MWENDOKASI IMEFELI? JIONEE RIPOTI YA UCHUNGUZI | KASRI LA KIKEKE
Vložit
- čas přidán 4. 07. 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Kikeke umekuja kufanya mapinduz ya WANAHABARI yani kama naangalia BBC the way waandishi wa habari wanavo present! hii kama sio tanzania kabisa kongole kwako KIKEKE
Kikeke wa moto sana na team yake 🔥🔥🔧 crown inaleta habari za moto mashaallah watu wanapekua kila angle ❤❤❤💜👑🏠
Yani crown ni habar kma nje vile❤
Hii redio ni ya moto, wengi wanajipendekeza kwenye serikali ila hii ni kiboko. Kikeke amewasha moto
dah kweli amini damu yangu kikeke kama bbc amini alafu kikeke. dunia anajua anachokifanya
kweli asee zile rsdio nyingine kila wanaongelea mapenzi tu ndoa mahusiano asee tunashkuru sana ila tuombe mungu wasinunuliwe tu
Ahsante sana Crown👑 nyie ni radio ya uma👏🏽👏🏽👏🏽🫱🏽🫲🏾
Journalism inagain respect kupitia crown media, ni ukweli media nyingi Tanzania zinaongozwa na failures watu wenye akili ndogo sana, crown imeleta revolution unafatilia story mpaka unaridhika
Labda huko mbeleni nao wasibanwe kama media nyingine zilivyobanwa na kugeuka😅
Yani kwa hakika siku hizi tunapata taarifa nzuri
Safi sana nakuona kama Kikeke namba 2 upo vizuri sana ndugu yangu
BBC ya Tanzania 🇹🇿 crown media
BBC ni uchafu ,Usifananishe na CROWN baba lao😊
@@aminata3702😂😂
BBC ya Tanzania dogo
Hongera kikeke na na time Yako maana kocha ni kikeke
Media nyingine wanatumiaga camera za itel croun imekuja na iphone 20 kabla haijatoka kabisa namaanisha hii sio level za Dunia hi angavu sana❤❤❤❤
Mzee muchunguzi anaongea kitaalamu sana ,anahitaji interview ndefu.
Habari imenyooka sana hii safi sana
Dah aisee hii tv itafka mbali sana
Imepowa crown 👑 hapa ninyumban
Hiii Media ina criativity saana. Congractulation kwenu🎉
hamna ayo asiejua ayo wote ni 🔥🔥🔥🔥
Hongera Crown TV Habari Yako imejaa uchambuzi wa pande zote. " Watoa huduma na wanaohudumiwa,,".
Kiukweli mwendi kas zinatesa sana
Wa Pili Naomba Like zangu za Crown Hapa Ni Nyumban ❤
Unaomba like we mtoto wa kike? Acheni ushamba wanongo😅
CHUKUA LIKE NA COMMENT
Mbondiya salimu kikeke so de mozambeq
Napenda sana crown media😅😊😊😅😮
Taarifa inatolewa kisasa hadi raha
Crown hatuna baya
BBC ndani ya CROWN MEDIA, Congratulations 😁👏👏
HII CHANEL IPO POSA SANA MWANDISHI UMEUPIGA MWINGI KEEP UP U DESERVE SUBSCRIPTION
hii ndio media ya wana nchi apa ni nyumbani
Kikeke on 🔥
Hizi ndizo habari acha misifa ya kipuuzi
Ila hiz kampuni zngekua kama tatu ingekua sawa mno
Nilikuwa nasubir kwa hamu Media itakayo fanya cover ya issue ya mwendo kasi maana vyombo vya Habari vilikaa kimya kutokureport kitu muhimu kama hiki
Nakuunga mkono mzee sisi watumiaji tunaelewa ugumu WA huu usafir
SI wanakataza watu wasitowe taarifa utakamatwa mtakosa ya mitandao
Mawaziri wapande mwendokasi wakati Wana waogopa raia kwasababu ni waongo Kwa ahadi
Mwishowe MTA muita DPW msidanganye watu dawa nikutobowa nzege nakufunga reli
HONGERENI SANA CROWN MEDIA KWA HABARI YENYE UWAZI, PICHA ANGAVU NA SAUTI NZURI 👏👏👏👏
Mwendo Kasi sije nyingi daladala zisirudi zitaongeza foleni
I appreciate this station
Hongereni sana.. kipindi kimekaa vizuri
CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉
Positive news.
Aiseeeeee mwandishi wa habari. Kongole sanaaa nimeenjoy kuitazama hiii habari yako. INAVUTIA, INAELEWEKA VIZURI KABISAAA NA haichoshi kusikiliza haina makele mengi yaan iko kwa viwango vya kimataifa hongera sana crown media
Crown media noma❤❤
Mzee wa kihaya kaongea kitaalam
Kubaliiii sanaaa Crown 👑tv and Fm
Uhondo huu ni kutoka Crown Media tu
Camera za crown 📸
Tuweke na train kama inawezekana watu wanazidi kuongzeka .
Dr. Mchunguzi ni safi sana forward thinking
Ase safi sana hadi namuona anaepiga pesa zake kwa kesh money mko vizuri kufatilia tabu anazo pitia mtanzania
Mradi ukisimamiwa na watumishi wa umma shughuli imeisha. Utasikia changamoto na mchakato kila kukicha.
BBC ya bongo...hongera Salim Kikeke kwa kuleta mapinduzi ktk sekta ya habari
impressive
Rais wa jamuhur ya muungano wa tz fanya kitu mama angu tunateseka sisi wenye maisha ya chini nunua Ata magari ya umeme
Hapo mmetisha sana asante kwa kutufikia.
Solution ni hiyo
Magari yaongezwe na mfumo wanmalipo ubadilishwe kutatua taizo la mtu unafika kituoni unaambiwa chenji hamna
Nzur sana
Kule kwengine utaskia Lokole kanyamba pamoja na mashalove😂
Hahahahahaha
Mwendokasi haijakizi kabisaaaaa
Big up crown media
Crown media safi sana, king kiba
Safi
Crown taifa
❤❤
Hii ndio Radio ya kweli sasa
Mm sipandi tena mwendo Kasi, Bora Dala Dala, mambo Gani unasimama kituoni masaa zaidi ya 2 eti unasubiria mwendo Kasi, ni upuzi mtupu, mwendokasi imefeli sana ya xpress , Alf wao wanatukalisha ili tugombanie
Mwendo kasi inahitaji mwekezaji aweke gari za kutosha Dart wamefeli
Huy ndo therealtemedayoo❤❤#Crownhapani nyumbani
Wekeni miundombinu ya train za majini kuondoa ttz mabas pekee hayawez kuondoa ttz
Safi sana mtupe vitu vya kueleweka sasa
Safiiii crown media
🎉🎉
👑 salute
Aisee crown mumegusa kwenyewe mwendokasi ni majanga sana yaani shida tupu binafsi sipandagi magari hayo saiv
Temidayo kazi nzuri sana kaka
Daaaaah safi saaaana
Media zingine zinasifisifia wakat mambi hayaendi sjawahi sikia taarifa hii kwenye media yeyote
Yaaan vitu vingine vinachekesha sana nipeni mimi kazi ya kusimamia nionyeshe mfan hiki kinachoendelea ni upuuzi
yap
Mwendo Kasi: Tatizo ubunifu katika uendeshaji wa huduma hii ya Mwendo Kasi. Mh. Kindamba lazima kuwe aina TATU ya mabasi. 1. Haraka Services - Mabasi mengi madogo aina Coasters DalaDala 2. Mabasi makubwa ya kawaida 65 seats 3. Mabasi makubwa Kumba Kumba ambayo yatapewa nafasi kubwa kutumia miundombinu mipya. Katika makundi matatu haya kila moja liwe na utawala wake Zonal administration wenye mipango ya utawala wa fedha, ubunifu na uendeshaji. Zonal zipewe nafasi ya kushindana ili marupurupu yao yategemee TIJA. Juu ya Zonal hizo tatu kuwe na Muangalizi Mkuu kwa Cheo cha Mkurugezi Mkuu. Bila ushindani wa ndani Mwendo Kasi Haitafanikiwa.
Watalamu wetu wanatuangusha wanakula hela tu na Hakuna kununua Magari.
Safi sana
Habari bora kuwahi kutokea Tanzania
Mm nahisi kikeke ana hisa hapo crown
Imefeli siku nyingi sana kama serikali haipo
Mwendo Kasi Bado sana
Magari machache sana
Kama kawaida wanahabari igeni sasa kwa Kikeke ruksa kwasababu huwa hamjiongezi uongo mwingi na uchawa sasa hapa mkiiga ni vizuri.
yote kwa yote grown mmetisha kaz nzuri
Watasikia?maana wakuu wetu kurekebishwa kwaovni Kero au ugomvi🙏🏿
❤
Temidayo on Fire💥💥🙌
Huyo sijui ni mama au Shangai ni hovyo tu
Waturudishie daladala .
Bajaji sh 5000 kutoka kariakoo mpaka mbezi .mwendokasi zinajaa unaweza fia ndani na magonjwa ya kuambukiza ukirudi
Safi sanaa kikeke hy ndokazi ya kutatua changamoto ndotunayo itaka
Mwendo kasi wamechemka ni mateso tupu kwakweli,basi ni chache sana wawape Abood au Bm izo njia kila leo ni adithi izo izo..
Changamoto kubwa pia unakuta mpo kwenye vituo gari zikifika badala ya kupakia watu wanapaki magari sasa hapo ndio kupunguza au kuongeza tatizo kazi yao nikubeba abiria na huo ni mwendo kasi ukifika kituoni hautakiwi kupaki nikupakia na kuondoka cyo unapaki gari wakati abiria wamejazana kwenye vituo cyo sawa
Dar inahitaji pia kuwa metro yaanii zile treni za ardhini
Crown mnafanya kitu kizuri Sana video Ina quarry nzuri sound nzur ongera
Mwekezaji yu wap ety...kama ameshindwa wamuondoe
Hii hali ni uongo tu hakuna kitu hapo. bila kushirikisha watu binafsi hakuna kitu. kwenye hela hakuna cha uaminifu hapo.
Wamefeli ni usafiri mbovu Sana mm nauita usafiri wa kupeana marazi
Hata tren itakufa tu
Toka makambako Town hapa
Kweli jamani mabasi 80 si aibu hiii
longo longo nyimgi sana watanzania tuanatakiwa kuwa serious! Kwa nini msilete hata mabasi ya umeme?