MWENDOKASI IMEFELI? JIONEE RIPOTI YA UCHUNGUZI | KASRI LA KIKEKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Komentáře • 194

  • @nasirahassan9373
    @nasirahassan9373 Před 4 dny +62

    Kikeke umekuja kufanya mapinduz ya WANAHABARI yani kama naangalia BBC the way waandishi wa habari wanavo present! hii kama sio tanzania kabisa kongole kwako KIKEKE

  • @dr_donye
    @dr_donye Před 4 dny +31

    Kikeke wa moto sana na team yake 🔥🔥🔧 crown inaleta habari za moto mashaallah watu wanapekua kila angle ❤❤❤💜👑🏠

  • @talibthetruth8709
    @talibthetruth8709 Před 4 dny +20

    Yani crown ni habar kma nje vile❤

  • @stateofart1089
    @stateofart1089 Před 4 dny +38

    Hii redio ni ya moto, wengi wanajipendekeza kwenye serikali ila hii ni kiboko. Kikeke amewasha moto

    • @starjay3052
      @starjay3052 Před 4 dny +2

      dah kweli amini damu yangu kikeke kama bbc amini alafu kikeke. dunia anajua anachokifanya

    • @dicksontimotheo7617
      @dicksontimotheo7617 Před 3 dny

      kweli asee zile rsdio nyingine kila wanaongelea mapenzi tu ndoa mahusiano asee tunashkuru sana ila tuombe mungu wasinunuliwe tu

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 4 dny +15

    Ahsante sana Crown👑 nyie ni radio ya uma👏🏽👏🏽👏🏽🫱🏽‍🫲🏾

  • @HASASON
    @HASASON Před 4 dny +22

    Journalism inagain respect kupitia crown media, ni ukweli media nyingi Tanzania zinaongozwa na failures watu wenye akili ndogo sana, crown imeleta revolution unafatilia story mpaka unaridhika

    • @Mr-GMB
      @Mr-GMB Před 3 dny +1

      Labda huko mbeleni nao wasibanwe kama media nyingine zilivyobanwa na kugeuka😅

  • @talibthetruth8709
    @talibthetruth8709 Před 4 dny +32

    Yani kwa hakika siku hizi tunapata taarifa nzuri

  • @shabanimpalazo2695
    @shabanimpalazo2695 Před 4 dny +16

    Safi sana nakuona kama Kikeke namba 2 upo vizuri sana ndugu yangu

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 Před 4 dny +16

    BBC ya Tanzania 🇹🇿 crown media

    • @aminata3702
      @aminata3702 Před 3 dny +1

      BBC ni uchafu ,Usifananishe na CROWN baba lao😊

    • @fredducaunt
      @fredducaunt Před dnem

      ​@@aminata3702😂😂
      BBC ya Tanzania dogo

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe Před 4 dny +14

    Hongera kikeke na na time Yako maana kocha ni kikeke

  • @Ndenza
    @Ndenza Před 3 dny +4

    Media nyingine wanatumiaga camera za itel croun imekuja na iphone 20 kabla haijatoka kabisa namaanisha hii sio level za Dunia hi angavu sana❤❤❤❤

  • @Relis_talkswisdom.
    @Relis_talkswisdom. Před 3 dny +5

    Mzee muchunguzi anaongea kitaalamu sana ,anahitaji interview ndefu.

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 Před 4 dny +10

    Habari imenyooka sana hii safi sana

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o Před 4 dny +7

    Dah aisee hii tv itafka mbali sana

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Před 3 dny +3

    Imepowa crown 👑 hapa ninyumban

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz Před 3 dny +3

    Hiii Media ina criativity saana. Congractulation kwenu🎉

  • @cartalunya
    @cartalunya Před 4 dny +6

    hamna ayo asiejua ayo wote ni 🔥🔥🔥🔥

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Před dnem

    Hongera Crown TV Habari Yako imejaa uchambuzi wa pande zote. " Watoa huduma na wanaohudumiwa,,".

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o Před 4 dny +7

    Kiukweli mwendi kas zinatesa sana

  • @DavidYamungu-rl5os
    @DavidYamungu-rl5os Před 4 dny +33

    Wa Pili Naomba Like zangu za Crown Hapa Ni Nyumban ❤

  • @FahareJuma
    @FahareJuma Před 3 dny +1

    Mbondiya salimu kikeke so de mozambeq
    Napenda sana crown media😅😊😊😅😮

  • @johnmichael2524
    @johnmichael2524 Před 4 dny +7

    Taarifa inatolewa kisasa hadi raha

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 4 dny +4

    Crown hatuna baya

  • @alexmavindi2104
    @alexmavindi2104 Před 3 dny +2

    BBC ndani ya CROWN MEDIA, Congratulations 😁👏👏

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist Před 3 dny +3

    HII CHANEL IPO POSA SANA MWANDISHI UMEUPIGA MWINGI KEEP UP U DESERVE SUBSCRIPTION

  • @idrisaibrahim9537
    @idrisaibrahim9537 Před 4 dny +6

    hii ndio media ya wana nchi apa ni nyumbani

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz Před 4 dny +5

    Kikeke on 🔥

  • @eliasakhamisi7947
    @eliasakhamisi7947 Před 4 dny +6

    Hizi ndizo habari acha misifa ya kipuuzi

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o Před 4 dny +5

    Ila hiz kampuni zngekua kama tatu ingekua sawa mno

  • @salimhamad3878
    @salimhamad3878 Před 3 dny +6

    Nilikuwa nasubir kwa hamu Media itakayo fanya cover ya issue ya mwendo kasi maana vyombo vya Habari vilikaa kimya kutokureport kitu muhimu kama hiki

    • @ANDREWAMANI-se4bp
      @ANDREWAMANI-se4bp Před 3 dny

      Nakuunga mkono mzee sisi watumiaji tunaelewa ugumu WA huu usafir

    • @NardhisMhagama-sy3eq
      @NardhisMhagama-sy3eq Před dnem

      SI wanakataza watu wasitowe taarifa utakamatwa mtakosa ya mitandao

    • @NardhisMhagama-sy3eq
      @NardhisMhagama-sy3eq Před dnem

      Mawaziri wapande mwendokasi wakati Wana waogopa raia kwasababu ni waongo Kwa ahadi

    • @NardhisMhagama-sy3eq
      @NardhisMhagama-sy3eq Před dnem

      Mwishowe MTA muita DPW msidanganye watu dawa nikutobowa nzege nakufunga reli

  • @augenmagabila3081
    @augenmagabila3081 Před 3 dny

    HONGERENI SANA CROWN MEDIA KWA HABARI YENYE UWAZI, PICHA ANGAVU NA SAUTI NZURI 👏👏👏👏

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe Před 4 dny +7

    Mwendo Kasi sije nyingi daladala zisirudi zitaongeza foleni

  • @BRIGHTMORNINGMINISTRIES-xf1pr

    I appreciate this station

  • @rajabubonero6396
    @rajabubonero6396 Před 3 dny +1

    Hongereni sana.. kipindi kimekaa vizuri

  • @DambweRama
    @DambweRama Před 3 dny +1

    CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉

  • @isayakitaponda8337
    @isayakitaponda8337 Před 21 hodinou

    Positive news.

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 Před 3 dny

    Aiseeeeee mwandishi wa habari. Kongole sanaaa nimeenjoy kuitazama hiii habari yako. INAVUTIA, INAELEWEKA VIZURI KABISAAA NA haichoshi kusikiliza haina makele mengi yaan iko kwa viwango vya kimataifa hongera sana crown media

  • @DazzWazenji-uy6cr
    @DazzWazenji-uy6cr Před 3 dny +1

    Crown media noma❤❤

  • @NoelChambo
    @NoelChambo Před 4 dny +4

    Mzee wa kihaya kaongea kitaalam

  • @barakaPaulo-ei8zp
    @barakaPaulo-ei8zp Před 3 dny

    Kubaliiii sanaaa Crown 👑tv and Fm

  • @Chida
    @Chida Před 3 dny +2

    Uhondo huu ni kutoka Crown Media tu

  • @AbdullahMwela
    @AbdullahMwela Před 3 dny +1

    Camera za crown 📸

  • @Joecharles-vu7lo
    @Joecharles-vu7lo Před 4 dny +4

    Tuweke na train kama inawezekana watu wanazidi kuongzeka .

  • @PeterGunze
    @PeterGunze Před 2 dny

    Dr. Mchunguzi ni safi sana forward thinking

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 Před 2 dny

    Ase safi sana hadi namuona anaepiga pesa zake kwa kesh money mko vizuri kufatilia tabu anazo pitia mtanzania

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129 Před 4 dny +2

    Mradi ukisimamiwa na watumishi wa umma shughuli imeisha. Utasikia changamoto na mchakato kila kukicha.

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 Před 2 dny

    BBC ya bongo...hongera Salim Kikeke kwa kuleta mapinduzi ktk sekta ya habari

  • @ALiBAba-zz2td
    @ALiBAba-zz2td Před 4 dny +2

    impressive

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh Před 4 dny +3

    Rais wa jamuhur ya muungano wa tz fanya kitu mama angu tunateseka sisi wenye maisha ya chini nunua Ata magari ya umeme

  • @ANDREWAMANI-se4bp
    @ANDREWAMANI-se4bp Před 3 dny

    Hapo mmetisha sana asante kwa kutufikia.
    Solution ni hiyo
    Magari yaongezwe na mfumo wanmalipo ubadilishwe kutatua taizo la mtu unafika kituoni unaambiwa chenji hamna

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 Před 4 dny +2

    Nzur sana

  • @WendoJuma
    @WendoJuma Před 4 dny +5

    Kule kwengine utaskia Lokole kanyamba pamoja na mashalove😂

  • @swaggerizedninjagoseprocom8523

    Mwendokasi haijakizi kabisaaaaa

  • @mosesmdindile332
    @mosesmdindile332 Před 3 dny

    Big up crown media

  • @user-qo5it1uc9m
    @user-qo5it1uc9m Před 3 dny

    Crown media safi sana, king kiba

  • @sadile1057
    @sadile1057 Před 4 dny +2

    Safi

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Před 4 dny +2

    Crown taifa

  • @Laiterz007
    @Laiterz007 Před 4 dny +3

    ❤❤

  • @peternguluchuma
    @peternguluchuma Před dnem

    Hii ndio Radio ya kweli sasa

  • @fortidaskashaigili7496

    Mm sipandi tena mwendo Kasi, Bora Dala Dala, mambo Gani unasimama kituoni masaa zaidi ya 2 eti unasubiria mwendo Kasi, ni upuzi mtupu, mwendokasi imefeli sana ya xpress , Alf wao wanatukalisha ili tugombanie

  • @smallscaleminingsupplies9670

    Mwendo kasi inahitaji mwekezaji aweke gari za kutosha Dart wamefeli

  • @DeusMasunga-lq1jo
    @DeusMasunga-lq1jo Před 3 dny

    Huy ndo therealtemedayoo❤❤#Crownhapani nyumbani

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 Před 4 dny +3

    Wekeni miundombinu ya train za majini kuondoa ttz mabas pekee hayawez kuondoa ttz

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 Před 2 dny

    Safi sana mtupe vitu vya kueleweka sasa

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume Před 2 dny

    Safiiii crown media

  • @GIDEONEMMANUEL-hb3ok
    @GIDEONEMMANUEL-hb3ok Před 4 dny +2

    🎉🎉

  • @JoelMafulahya
    @JoelMafulahya Před 3 dny

    👑 salute

  • @HemedDaudi
    @HemedDaudi Před 3 dny

    Aisee crown mumegusa kwenyewe mwendokasi ni majanga sana yaani shida tupu binafsi sipandagi magari hayo saiv

  • @eliaspius4949
    @eliaspius4949 Před 3 dny

    Temidayo kazi nzuri sana kaka

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli1478 Před 3 dny

    Daaaaah safi saaaana

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 Před 2 dny

    Media zingine zinasifisifia wakat mambi hayaendi sjawahi sikia taarifa hii kwenye media yeyote

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 Před 13 hodinami

    Yaaan vitu vingine vinachekesha sana nipeni mimi kazi ya kusimamia nionyeshe mfan hiki kinachoendelea ni upuuzi

  • @dottombilinyi5979
    @dottombilinyi5979 Před 4 dny +2

    yap

  • @bakarimakalo7128
    @bakarimakalo7128 Před 15 hodinami

    Mwendo Kasi: Tatizo ubunifu katika uendeshaji wa huduma hii ya Mwendo Kasi. Mh. Kindamba lazima kuwe aina TATU ya mabasi. 1. Haraka Services - Mabasi mengi madogo aina Coasters DalaDala 2. Mabasi makubwa ya kawaida 65 seats 3. Mabasi makubwa Kumba Kumba ambayo yatapewa nafasi kubwa kutumia miundombinu mipya. Katika makundi matatu haya kila moja liwe na utawala wake Zonal administration wenye mipango ya utawala wa fedha, ubunifu na uendeshaji. Zonal zipewe nafasi ya kushindana ili marupurupu yao yategemee TIJA. Juu ya Zonal hizo tatu kuwe na Muangalizi Mkuu kwa Cheo cha Mkurugezi Mkuu. Bila ushindani wa ndani Mwendo Kasi Haitafanikiwa.

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Před 4 dny +2

    Watalamu wetu wanatuangusha wanakula hela tu na Hakuna kununua Magari.

  • @mathayobmasunzu278
    @mathayobmasunzu278 Před 3 dny

    Safi sana

  • @omarylugusha
    @omarylugusha Před 2 dny

    Habari bora kuwahi kutokea Tanzania

  • @user-bf4xh9kc3n
    @user-bf4xh9kc3n Před 3 dny

    Mm nahisi kikeke ana hisa hapo crown

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před 4 dny +2

    Imefeli siku nyingi sana kama serikali haipo

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 Před dnem

    Mwendo Kasi Bado sana

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 Před 2 dny

    Magari machache sana

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 Před 2 dny

    Kama kawaida wanahabari igeni sasa kwa Kikeke ruksa kwasababu huwa hamjiongezi uongo mwingi na uchawa sasa hapa mkiiga ni vizuri.

  • @user-ht5ez5gf7w
    @user-ht5ez5gf7w Před dnem

    yote kwa yote grown mmetisha kaz nzuri

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani Před 4 dny +1

    Watasikia?maana wakuu wetu kurekebishwa kwaovni Kero au ugomvi🙏🏿

  • @MpendaNgalagale
    @MpendaNgalagale Před dnem

  • @Brama_A37
    @Brama_A37 Před 3 dny

    Temidayo on Fire💥💥🙌

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Před 4 dny +1

    Huyo sijui ni mama au Shangai ni hovyo tu

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4j Před dnem

    Waturudishie daladala .
    Bajaji sh 5000 kutoka kariakoo mpaka mbezi .mwendokasi zinajaa unaweza fia ndani na magonjwa ya kuambukiza ukirudi

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 Před 3 dny

    Safi sanaa kikeke hy ndokazi ya kutatua changamoto ndotunayo itaka

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Před 3 dny

    Mwendo kasi wamechemka ni mateso tupu kwakweli,basi ni chache sana wawape Abood au Bm izo njia kila leo ni adithi izo izo..

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 Před 2 dny

    Changamoto kubwa pia unakuta mpo kwenye vituo gari zikifika badala ya kupakia watu wanapaki magari sasa hapo ndio kupunguza au kuongeza tatizo kazi yao nikubeba abiria na huo ni mwendo kasi ukifika kituoni hautakiwi kupaki nikupakia na kuondoka cyo unapaki gari wakati abiria wamejazana kwenye vituo cyo sawa

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume Před 2 dny

    Dar inahitaji pia kuwa metro yaanii zile treni za ardhini

  • @DeodatusiLyaruuu
    @DeodatusiLyaruuu Před 3 dny

    Crown mnafanya kitu kizuri Sana video Ina quarry nzuri sound nzur ongera

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před 4 dny +3

    Mwekezaji yu wap ety...kama ameshindwa wamuondoe

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re Před 16 hodinami

    Hii hali ni uongo tu hakuna kitu hapo. bila kushirikisha watu binafsi hakuna kitu. kwenye hela hakuna cha uaminifu hapo.

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb Před 18 hodinami

    Wamefeli ni usafiri mbovu Sana mm nauita usafiri wa kupeana marazi

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Před 4 dny +2

    Hata tren itakufa tu

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Před 4 dny +1

    Toka makambako Town hapa

  • @Yayouselim
    @Yayouselim Před dnem

    Kweli jamani mabasi 80 si aibu hiii

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 3 dny

    longo longo nyimgi sana watanzania tuanatakiwa kuwa serious! Kwa nini msilete hata mabasi ya umeme?