UCHAMBUZI WA KINA WA SPACE YA RAIS RUTO NA GEN-Z KWENYE KASRI LA KIKEKE
Vložit
- čas přidán 5. 07. 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Hongera kwa kuacha kazi ughaibuni na kuja kuungana na watanzania wenzio, kuna baadhi wakifika huko hawapendi kurudi sasa unatuletea habari nzuri
Sasaivi tumepata midia bora ya Africa
Ni redio bora sana Big up
Sauti ya dhahabu ❤❤
Kipindi hiki ni kizuri Sana aisee kinaelimisha na kufanya uchambuzi mzuri
Kazi nzur sana nimependa sana uchambuzi wenu mnajua sanaaaaa🔥🔥🔥🙌
Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hi ilikua majiano mazuri sana kuongea kuhusu yalio tokeya Kenya.❤🎉 Ila tunge omba kumuona rais Ruto katika Kasri la Kikeke yeye mwenyewe kwasababu tunao fuatilia Crown tuko wengi sana duniani.❤️🎉🔥👑👏
Naiona crown media Mbali sanaa
Hv huuu utulivu wa hiii redio naufeel mimi tu jaman?
Big up crown
Asante salim
Oya Kikeke umekuja kufanya mapinguzi kwenye utangazaji
Good 👍
Ruto Must Go
hongera kikeke
Big media in town
Salim kikeke ni baba wa habari africa
Kumbe hua wanajua madudu yalipo sema wanajizima data.
hamjui yaliyopo kenya.....hakuna alichofanya ndani ya hii miaka miwili..Anadai ameboresha sekta ya Afya wakati madaktari juzi tu waligoma miezi mitatu mtawalia,hospitali hazina dawa,,shule ndio shida....Alichobarikiwa Ruto ni kwamba anajua kuongea na uongo wake unaweza kufanya wewe uamini anazungumza ukweli
Good job crown
Moja kat ya kipind bola n hiki crown tuko very classic kuanzia mike ni nomaa lugha tunayotumia saf wou balaaaa naona kabsa BBC imerud tz sasa
Wakenya washawekwa kitako watatulia 2 serekali za kiafrica ni rahisi sn kulaghai raia wao
💥
Wow
Safi sanaa
Crown media #VisitMasumbwe
Kwa Tanzania hatuko macho sisi 2melala na hatuwezi kuamka ataa 2amshwe na nani
Watu walikuwa milioni moja online, listening to that conversation
Hii mojadala naikubali sana
Vipindi vipo poa ila mfanye marekebisho kwenye sauti ina twitwa yani inaumiza maskio ingekua bass jpo kidogo
Fhone zako MBOV tu bhana😂
😂😂😂😂😂@@rajabukipara3008
Una2mia Teckno ww
😂😂😂 safi sanaa
Kwenye Sauti bado tunaumia masikio,Twita zinaumiza masikio
Spika za cm yako ndo zinazo kuumiza maskio!badilisha cm
Big up crown media
Kweri mkovizurisana mtafikambari
Kasri là kikeke
Good kikeke
Tanzania Akuna vijana wakufanya mandanano Kama vijana wa Kenya
Vijana tupo. Kama unataka ushahidi rejea kwenye matokeo ya sensa. Ila serikali yetu inatutendea vyema sana. Ahsante kwa mama samia
We Fala C Ufanye Wewe na MAMAAKO Itatoaha😂
Hii media ni ya kiwango cha lami
Dar Leo nimekaa kinyonge
Sàna
Unashida gan
Weekend imekaa hovyo sana
Hawakuwepo hewani
Ruto anaweza kukwepa wimbi kubwa la GEN-Z iwapo ataondoa kodi zinazopazwa sauti na wakenya wenyewe.....
issue sio kodi issue ni rushwa na matumizi mabaya ya hizo kodi.
Tozo na wizara zisizoleta tija na kubwa zaid KUPIGANA VITA DHIDI YA CORRUPTION ambayo ndio kiini cha haya yote
Issue ni corruption in the government