UCHAMBUZI WA KINA WA SPACE YA RAIS RUTO NA GEN-Z KWENYE KASRI LA KIKEKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Komentáře • 54

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 19 dny +9

    Hongera kwa kuacha kazi ughaibuni na kuja kuungana na watanzania wenzio, kuna baadhi wakifika huko hawapendi kurudi sasa unatuletea habari nzuri

  • @IssaNjojo
    @IssaNjojo Před 19 dny +10

    Sasaivi tumepata midia bora ya Africa

  • @zawadimsambwa4466
    @zawadimsambwa4466 Před 19 dny +6

    Ni redio bora sana Big up

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 Před 18 dny +6

    Sauti ya dhahabu ❤❤

  • @barakamfilinge6943
    @barakamfilinge6943 Před 19 dny +6

    Kipindi hiki ni kizuri Sana aisee kinaelimisha na kufanya uchambuzi mzuri

  • @khamzdady7977
    @khamzdady7977 Před 18 dny +3

    Kazi nzur sana nimependa sana uchambuzi wenu mnajua sanaaaaa🔥🔥🔥🙌

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k

    Hapa ni nyumbaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @yeyemkulu8743
    @yeyemkulu8743 Před 18 dny +3

    Hi ilikua majiano mazuri sana kuongea kuhusu yalio tokeya Kenya.❤🎉 Ila tunge omba kumuona rais Ruto katika Kasri la Kikeke yeye mwenyewe kwasababu tunao fuatilia Crown tuko wengi sana duniani.❤️🎉🔥👑👏

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 Před 16 dny +1

    Naiona crown media Mbali sanaa

  • @ZephaniahSekwa-fl2go
    @ZephaniahSekwa-fl2go Před 18 dny +6

    Hv huuu utulivu wa hiii redio naufeel mimi tu jaman?

  • @bazilmateru915
    @bazilmateru915 Před 11 dny +1

    Big up crown

  • @user-kh7bc4js1m
    @user-kh7bc4js1m Před 18 dny +1

    Asante salim

  • @eliaspius4949
    @eliaspius4949 Před 18 dny +3

    Oya Kikeke umekuja kufanya mapinguzi kwenye utangazaji

  • @CharlesClaudio-uf9nv
    @CharlesClaudio-uf9nv Před 17 dny +1

    Good 👍

  • @halphanhamisi8577
    @halphanhamisi8577 Před 18 dny +2

    Ruto Must Go

  • @octavians8855
    @octavians8855 Před 19 dny +3

    hongera kikeke

  • @edomc472
    @edomc472 Před 19 dny +3

    Big media in town

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Před 19 dny +4

    Salim kikeke ni baba wa habari africa

  • @victorburser1717
    @victorburser1717 Před 18 dny +3

    Kumbe hua wanajua madudu yalipo sema wanajizima data.

  • @kingwattanlibz9391
    @kingwattanlibz9391 Před 19 dny +3

    hamjui yaliyopo kenya.....hakuna alichofanya ndani ya hii miaka miwili..Anadai ameboresha sekta ya Afya wakati madaktari juzi tu waligoma miezi mitatu mtawalia,hospitali hazina dawa,,shule ndio shida....Alichobarikiwa Ruto ni kwamba anajua kuongea na uongo wake unaweza kufanya wewe uamini anazungumza ukweli

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t Před 13 dny

    Good job crown

  • @LINJEBOY
    @LINJEBOY Před 16 dny

    Moja kat ya kipind bola n hiki crown tuko very classic kuanzia mike ni nomaa lugha tunayotumia saf wou balaaaa naona kabsa BBC imerud tz sasa

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 17 dny +1

    Wakenya washawekwa kitako watatulia 2 serekali za kiafrica ni rahisi sn kulaghai raia wao

  • @elikanawilson2966
    @elikanawilson2966 Před 18 dny +1

    💥

  • @NoelladuniaJohn
    @NoelladuniaJohn Před 16 dny

    Wow

  • @user-kf4cc2rh1k
    @user-kf4cc2rh1k Před 16 dny

    Safi sanaa

  • @salvatorystephano936
    @salvatorystephano936 Před 19 dny +1

    Crown media #VisitMasumbwe

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 17 dny +1

    Kwa Tanzania hatuko macho sisi 2melala na hatuwezi kuamka ataa 2amshwe na nani

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt Před 17 dny

    Watu walikuwa milioni moja online, listening to that conversation

  • @richardkwayson7202
    @richardkwayson7202 Před 19 dny +1

    Hii mojadala naikubali sana

  • @ZahraFarid-y5f
    @ZahraFarid-y5f Před 18 dny +2

    Vipindi vipo poa ila mfanye marekebisho kwenye sauti ina twitwa yani inaumiza maskio ingekua bass jpo kidogo

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 Před 19 dny +1

    😂😂😂 safi sanaa

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga Před 18 dny +1

    Kwenye Sauti bado tunaumia masikio,Twita zinaumiza masikio

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt Před 18 dny +1

      Spika za cm yako ndo zinazo kuumiza maskio!badilisha cm

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 19 dny +1

    Big up crown media

  • @user-ok5cv2ux2z
    @user-ok5cv2ux2z Před 19 dny +1

    Kweri mkovizurisana mtafikambari

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 Před 19 dny +1

    Kasri là kikeke

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 Před 17 dny

    Good kikeke

  • @user-yn7mt4mh8n
    @user-yn7mt4mh8n Před 19 dny +1

    Tanzania Akuna vijana wakufanya mandanano Kama vijana wa Kenya

    • @suleimanh1826
      @suleimanh1826 Před 19 dny +1

      Vijana tupo. Kama unataka ushahidi rejea kwenye matokeo ya sensa. Ila serikali yetu inatutendea vyema sana. Ahsante kwa mama samia

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 Před 18 dny

      We Fala C Ufanye Wewe na MAMAAKO Itatoaha😂

  • @abdulrahmanhassan3238
    @abdulrahmanhassan3238 Před 16 dny

    Hii media ni ya kiwango cha lami

  • @LAMECKSHEDRACK
    @LAMECKSHEDRACK Před 19 dny +1

    Dar Leo nimekaa kinyonge

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j Před 19 dny +1

    Ruto anaweza kukwepa wimbi kubwa la GEN-Z iwapo ataondoa kodi zinazopazwa sauti na wakenya wenyewe.....

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před 19 dny +1

      issue sio kodi issue ni rushwa na matumizi mabaya ya hizo kodi.

    • @kingwattanlibz9391
      @kingwattanlibz9391 Před 19 dny

      Tozo na wizara zisizoleta tija na kubwa zaid KUPIGANA VITA DHIDI YA CORRUPTION ambayo ndio kiini cha haya yote

    • @4806lency
      @4806lency Před 13 dny

      Issue ni corruption in the government