Hongera sana Kikeke!! Kwenye swala la DRC na Rwanda hawa wachambuzi kiango Chao Kiko chini Sana kwenye hili swala, labda wajulishe mapema kuhusu topic wajiandae vizuri kabla ya kuingia studio, otherwise ni disappointment kubwa.
Kiukweli kike uko vzr ila hao ulio nao hauwazi swala la rwanda na drc nipana kuliko hivo wanavo dhan rwanda na drc halitosha kila his uki msikiliza tabombek au nyele mwaka 1996 uta elewa kwa wale siyo wanya rwanda bali niwa kongo mani hata tanzani kuna wajuluo wa msoma na wapo wa jaluo wa kenya wapo wa masai wa tanzia na wa masai wa Kenyana ha baguliwi popote kwann wanya mulenge wa nyanya swe
Haya ni mapinduzi makubwa hii ni zaidi ya burudani Tz,Africa na Dunia nziama.Nafurahia sna ninapo fatilia vipindi vya CROWN MEDIA & CROWN FM na hasa KASRI la KIKEKE duh siboreki kabisa naburudika na ninapata elimu
Kikeke kaifanya crown kuwa bbc kabisa hongera Sana alikiba umetupa kitu sahihi
Nakubali kazi kutokea Katavi
Tupe mambo mzee wa haki ❤❤unatupa vitu vya kweli 😍😍
Qasri la kikeke 🔥
Hongera sana Kikeke!! Kwenye swala la DRC na Rwanda hawa wachambuzi kiango Chao Kiko chini Sana kwenye hili swala, labda wajulishe mapema kuhusu topic wajiandae vizuri kabla ya kuingia studio, otherwise ni disappointment kubwa.
Wabongo kujifanya mnajua ss. Nenda ww kachambue, kazi kualibu ugali wa watu tu
@@tadyinkmussa2530😆😆😆😆Kuna watu wahifanya wachambuzi na akiekwa pale hamna kitu
Tv yetu iyo Mungu ibariki
Kikeke yaani we mwamba kweli kweli❤❤❤❤🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Léo Nakukubal Sana 💜🫂 brother 💥💥💥💥🔥💎🌚💎🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
BBC Watuache sas ❤❤
Nakubal kaz ya kikeke
Pamoja sana Mfalme
Leonardo utafika mbali bro ... appreciate sana kaka
It's bbc or crown
Bona kenya ampatikani kwa startimes
Kuanzia wiki ijayo itapatiķana Azam Tv
Nice❤
🙌🏽🔥🔥🔥🔥
⛹🏼⛹🏼⛹🏼😎
Hapa home
Kiukweli kike uko vzr ila hao ulio nao hauwazi swala la rwanda na drc nipana kuliko hivo wanavo dhan rwanda na drc halitosha kila his uki msikiliza tabombek au nyele mwaka 1996 uta elewa kwa wale siyo wanya rwanda bali niwa kongo mani hata tanzani kuna wajuluo wa msoma na wapo wa jaluo wa kenya wapo wa masai wa tanzia na wa masai wa Kenyana ha baguliwi popote kwann wanya mulenge wa nyanya swe
Hiyo sio kweli Brazil 🇧🇷 wachezaji wake wa time ya taifa wote wanatoka au wanacheza nje ya nchi bongo hatuna mifumo ni upigaji
MIFUMO NI WATU_
Hii media kiboko so kwaizo camera
😊
Haya ni mapinduzi makubwa hii ni zaidi ya burudani Tz,Africa na Dunia nziama.Nafurahia sna ninapo fatilia vipindi vya CROWN MEDIA & CROWN FM na hasa KASRI la KIKEKE duh siboreki kabisa naburudika na ninapata elimu
Huyo Askari muongo tu kiufupi ndio taasisi inayoongoza kwa rushwa anaongea Siasa tu
mpeni kipind huyu anajua san anakitu kikeke mpen hat kisegment
Leonardo fundiii
oya hii media nataman iwe nchi nzma wana balaa zito wako wapya yan
Moto sana
ledio yenu inasumbua uku pugu inafoka tu mnatunyima uhondo
mimi nikonanyie sambamba kutokea 🇺🇸.
It's bbc or crown