DULLY SYKES ABANANISHWA NA SALIM KIKEKE/ AIMBA KASWIDA LIVE/ NILIMTOA DIAMOND NA ALIKIBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024
  • Dully Sykes kwenye Kasri La Kikeke.
    Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
  • Zábava

Komentáře • 154

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Před 5 dny +35

    Asantee king kwa kumuleta salim kikeke mupe zawadi ya v8 ndio baba yetu wa habari

    • @fredmbossa-kc3qn
      @fredmbossa-kc3qn Před 3 dny +3

      sasa wewe kwa akili zako unazani hii media ya kiba 😆😆,,yani kikeke ndo mwenye media then kiba ni brand tu katumia yani ni kama unavyoona wasafi ni ya kusaga alafu diamond ni brand ametumia ,,

    • @user-td4le3xf7h
      @user-td4le3xf7h Před 3 dny

      @@fredmbossa-kc3qn sasa wewe kwaakili zako. Unajua nini acha ujuaji

    • @allykwaya
      @allykwaya Před 2 dny

      ​@@fredmbossa-kc3qn Hujui kitu kuhusu kampuni, ndo maana unasema hivyo

    • @fredmbossa-kc3qn
      @fredmbossa-kc3qn Před 2 dny

      @@allykwaya hongera kwa wewe unaejua

  • @SuleimanJembe-qj9nd
    @SuleimanJembe-qj9nd Před 5 dny +17

    Dully sykey ndio msani wa kwanza kuja kenya Tanzania zima

    • @rahmatsumo3274
      @rahmatsumo3274 Před 5 dny +2

      Si wa kwanza kuna marehemu mbaraka mwishee na pia alikufia mombasa kenya hapo kengeleni kwa ajili ya ajali ya gari

  • @BonusNdamcho-gx2mq
    @BonusNdamcho-gx2mq Před 5 dny +16

    Founder of bongo fleva💯🇹🇿

  • @alibachirofficial3939
    @alibachirofficial3939 Před 5 dny +6

    From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
    We recognize him as the first bong flavor creater

  • @elisharuhonkonya
    @elisharuhonkonya Před 5 dny +13

    Hongera Kikeke bro tunakukubari na HAPO upon sehemu sasa

  • @mikidadyhamis4070
    @mikidadyhamis4070 Před 5 dny +6

    Mwanga na Nuru Kwa watanzania wooote🎉🔥🔥🎤🎧📻📺👑👑👑

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 Před 5 dny +10

    Uyo ndo baba wa huu muzik anatakiwa apewe tuzo kubwa sana ya heshima

  • @abdulazizjeizan-vx1mc
    @abdulazizjeizan-vx1mc Před 5 dny +10

    Dini INA umuhimu mkubwa sana kwa ajili ya maadili na kusafisha iimaan zetu vipindi vya dini pia no muhimu sana kuliko kila kitu maadili yetu yameharibika kwa sabu dini hatuipi kipaumbele

  • @mcshujaa6496
    @mcshujaa6496 Před 5 dny +7

    Crown FM crown Digital makofi mengi mengi Sana aaaa❤❤❤❤

  • @JescaShirima-ko7gx
    @JescaShirima-ko7gx Před 5 dny +5

    Noma san ❤❤❤

  • @Dianibeach718
    @Dianibeach718 Před 4 dny +6

    Munipe likes hapa natokea kenya

  • @adorateurpaulbukuru6864
    @adorateurpaulbukuru6864 Před 4 dny +1

    Big 🆙 King KIBA 👑
    Big 🆙 Mr Kikeke Salim, we are proud of you from DR C.O.N.G.O🇨🇩 Lubumbashi WANTANSHI🇨🇩✌️

  • @fatmasayid8895
    @fatmasayid8895 Před 5 dny +2

    Kaka salim M.mungu akubariki sana kipindi kinapendeza❤❤❤mashalwa

  • @nesymichael4286
    @nesymichael4286 Před 5 dny +8

    Jamani tutafutieni na marrow

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 5 dny +2

    Huyu ni LEGEND wallah ❤

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 5 dny +5

    Dully Sykes yuko Vizuri ❤❤

    • @tasamtv
      @tasamtv Před 5 dny

      Syo vizuri tu vzur sanaa😂😂😂

  • @S.king_7
    @S.king_7 Před 5 dny +4

    Crown on 🔥🔥🔥

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz Před 5 dny +3

    Ongera sana Crown 🎉

  • @shamte9musicofficial126
    @shamte9musicofficial126 Před 4 dny +1

    Mungu akupe maisha marefu bro dullysykes

  • @AmaniAnzuruni
    @AmaniAnzuruni Před 5 dny +3

    Asante sana

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 2 dny

    Laiti kama ungesajili ubongo freva kama founder au mbunifu wa bongo fleva naalafu ungekuwa unachukua asilimia zako naamin sasaiv ungekuwa tajiri namba moja Tanzania na afrika kwa pamoja ..kama waliobuni sawap au twita au chochote walioanzishaga izo web site or whatever uko marekan..ungepiga sana ela..big up sana duli huna rohombaya wala malalamiko..heshima kwako kaka duli Sykes

  • @silashemed4849
    @silashemed4849 Před 5 dny +5

    uzur wake dull hanaga sijui mambo ya kingeleza

  • @user-yj6uk1jl1m
    @user-yj6uk1jl1m Před 5 dny +5

    Kikeke broo uko vzr

  • @josephbundala7277
    @josephbundala7277 Před 4 dny +2

    King Kikeke 👑 🔥 🔥

  • @pablotm3231
    @pablotm3231 Před 3 dny

    Crown media...HAPA ndio nyumbani 🎉🎉🎉

  • @bonnypaul1516
    @bonnypaul1516 Před 5 dny +4

    Kali sana

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Před 5 dny +3

    Kikeke wallah wewe ni number one

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn Před 3 dny +1

    studio kali sana ,,ila hii media itafika mbali sana

  • @abdulazizjeizan-vx1mc
    @abdulazizjeizan-vx1mc Před 5 dny +2

    Inshaallaah muweke pia na vipindi vya Dino vipindi vinavyohusu masuala ya dini I vipindi vinavyozungumzia dini shukran

  • @chodohbbway2843
    @chodohbbway2843 Před 2 dny

    KING KIKEKE KWENYE HII ANGLE KING KAUA KINGS NA CROWN FOR LIFE

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 5 dny +2

    Kali sana aiseee ❤❤🔥🔥

  • @buanaquendaabdalaabdala8260

    Kaka Dully ❤❤❤❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @user-hu3sc4kg1f
    @user-hu3sc4kg1f Před 15 hodinami

    Mashaallah nawakubali wote

  • @Oficialkb
    @Oficialkb Před 5 dny +3

    Safi sana, ❤❤❤❤

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k

    Jmn tunaomba izo mak mziwek nembo ya crown jmn

  • @JoaquimMashalangende-fw7xs

    Moto sana

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb Před 5 dny +4

    Safisana Dully Sykes

  • @abdulazizjeizan-vx1mc
    @abdulazizjeizan-vx1mc Před 5 dny +1

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh all jumaa kariim all jumaa Mubarak mashaallaah tabaarakallah ndugu zangu wapendwa we crown FM crown kasri nawaomba kwa hisani yenu na iimaan yenu inshaallah muweke pia vipindi vya Dino vipindi vinavyohusu Dino shukran afwan

  • @user-kh7bc4js1m
    @user-kh7bc4js1m Před 5 dny +5

    Safi cnaaa

  • @RaymondMuga
    @RaymondMuga Před 5 dny +2

    Crown fm mnatuangusha, Dully Sykes sio muasisi wa bongo flava, hebu fanyeni utafiti kabla hamjarusha hewani

  • @user-ok5cv2ux2z
    @user-ok5cv2ux2z Před 4 dny

    Salute kikeke kutuletea maojiano hayo bwana dury

  • @jibrilmohammed3698
    @jibrilmohammed3698 Před 5 dny +6

    Wanyama

  • @williamsongoro4397
    @williamsongoro4397 Před 5 dny +2

    Crown fire

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Před 2 dny

    Mm nishie kusema hivi nyimbo zote alizoimba prince Dully Sykes zote ni Hit songs 🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏

    • @ce-08
      @ce-08 Před dnem

      Tukianza na nyambizi ❤️‍🔥🔥❤️‍🔥

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma9597 Před 4 dny +1

    Kikeke ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @allykwaya
    @allykwaya Před 2 dny

    Sykes Prince.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 2 dny

    Duli skykes hazeeki ... mashalah..tuliosikia salim kikeke kalikwepesha swali la Daimond fasta akamzungumzia alikiba tujuane🤣😂

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa8828 Před 4 dny

    Hahahah asante duli ni wapeke lkn leo umejielezea vzr sana kk kitenge unajua❤❤

  • @ShabaniAssumani
    @ShabaniAssumani Před 5 dny +2

    Crown❤

  • @JhoseMulokozi-fl4io
    @JhoseMulokozi-fl4io Před 5 dny +1

    Mungu ni mkubwa 🎉

  • @ahmedsaid2223
    @ahmedsaid2223 Před 2 dny

    Saleh Jabir founder of Bongo flave since 1992 he live in London

  • @LavieStrong
    @LavieStrong Před 4 dny

    Crown naifata 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Před 5 dny +8

    Dullysykes kwer ni wa kitambo sana aisee mi mwenyewe nimekuwa namskiliza tokea kipindi nasoma primary mpk secondary na moja kati ya song iliyonibamba sana ni ile ya Dhahabu i think watu wa zaman mnaujua huu wimbo

  • @jumaahmadi
    @jumaahmadi Před dnem

    Mwamba azeeki jmni duuuuh

  • @abinikaka2579
    @abinikaka2579 Před 5 dny +2

    Daaah G kawatoa wing halafu yeye wala hatabuliki jmn ktk hili wasani muwatazame hawa jamqn

  • @JeremiahWilfredy
    @JeremiahWilfredy Před 5 dny +3

    Hapa ni nyumbani

  • @milalaemmanuel445
    @milalaemmanuel445 Před 5 dny +10

    Kumbe ALIKIBA DOGO KWA dully

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi Před 5 dny +1

    Mmetixha crown mmmh hatalbxana

  • @theophilwisdom2308
    @theophilwisdom2308 Před 4 dny +1

    Young Journalist mnaosikiliza Sikiliza jinsi kikeke anavyofungua kipindi kwa umahiri na utulivu wa hali ya juu bila kukosa ubunifu mkubwa #uzoefu

  • @emmanuelkituma
    @emmanuelkituma Před 5 dny +3

    safi

  • @Othmanog
    @Othmanog Před 5 dny +1

    Good

  • @kareemkiwamba139
    @kareemkiwamba139 Před 4 dny

    big up kikeke nakukubali

  • @Lando_Anthony
    @Lando_Anthony Před 5 dny +2

    Unyama mwingi sana

  • @RamadhananMambo
    @RamadhananMambo Před 3 dny

    Baby candy,I like it

  • @djtobasoba3660
    @djtobasoba3660 Před 5 dny +6

    Ila jamani ebu nielewesheni mnaposema founder wa Bongofleva mnamaanisha nini hasa?! Mkisema mmoja wa watu wa mwanzoni mwa Bongofleva nadhani ni sawa

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 Před 5 dny

      Maana ya neno founder ni kuwa mwanzilishi wa jambo au kitu fulan linatokana na neno foundation yaan msingi

    • @octavian54
      @octavian54 Před 5 dny +3

      HIP HOP from America
      Zuku Rumba from Congo
      Rage from Jamaica
      Takeu from TZ Muhasisi Mr Nice
      Bongo frava from TZ muhasisi Dully but wengi wa walikuwa wanaimba ZUKU identity ya Congo

    • @alibachirofficial3939
      @alibachirofficial3939 Před 5 dny +1

      ​@@octavian54very explained

    • @simpleboytz255
      @simpleboytz255 Před 5 dny

      Yeye ni founder ndiyo kwa sababu ni msanii wa kwanza kutumia biti la bongo flavor kuimba. Wapo sahihi

  • @saadaliy3979
    @saadaliy3979 Před 5 dny +1

    Nakubali

  • @user-jz7bn2kx9o
    @user-jz7bn2kx9o Před 5 dny +4

    Ila crown inasikika vizr kinoma

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq Před 4 dny +1

    Kikekebwaaa

  • @Soso12nov
    @Soso12nov Před dnem

    Sikiliza kwa makini dakika ya nne , Alikiba ni Raisi sio mmliki 🫡

  • @JescaShirima-ko7gx
    @JescaShirima-ko7gx Před 5 dny +2

    ❤❤❤

  • @JofreyAmi
    @JofreyAmi Před 4 dny

    Here is home.

  • @DaudiJoseph-s1s
    @DaudiJoseph-s1s Před 4 dny

    Yoo!ooo clouwn nawakubari kinoma noma sema nini daa! Iyo story ya uyo mwamba apo dully amenifuraisha sana kumgusia uyo mzee dagaa,rabembe siyo pow nimecheka kweri kweri!😅😅😅

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 Před dnem

    Huyu alipata bahati babake alikuwa mwanamuziki ikawa rahisi kwake kujulikana mtoto wa Mzee Sykes

  • @user-ez9vi4pf3g
    @user-ez9vi4pf3g Před 5 dny

    Kali

  • @adamsonmwasumbi4201
    @adamsonmwasumbi4201 Před 5 dny +1

    ❤️❤️🙌

  • @swahilifashion2206
    @swahilifashion2206 Před 20 hodinami

    Anazuga bwege huyo😂😂😂😂 alitupasulia sana mademu wetu wa kariakoo na magomeni kinoma sana😂😂😂

  • @elgibborpro
    @elgibborpro Před 2 dny

    Iwaaaaaq Camera Leo zipo clean...

  • @princekassimtz5848
    @princekassimtz5848 Před 4 dny +1

    🎉

  • @JosephMutambala
    @JosephMutambala Před 5 dny +1

    ❤❤

  • @ahmedsaid2223
    @ahmedsaid2223 Před 2 dny

    nyimbo yake OPP

  • @spartachize122
    @spartachize122 Před 4 dny

    Kaka mkuu wa shule ndio head boy ama prefect

  • @saidsidaz
    @saidsidaz Před 3 dny

    Kuizungumzia Julieta bila kumtaja BJB Alipiga verz na chorus ni kutoitendea haki Hio Historia ya hio ngoma

  • @matambitvog8786
    @matambitvog8786 Před 5 dny +2

  • @user-ur6eu8eb9w
    @user-ur6eu8eb9w Před 5 dny

    Uko vzr

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm Před 5 dny +2

    Nkbl San dur

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 Před 5 dny

    Dully mkorofi sana. ETI why hapa kuna waZENJI wengi? Hahahaaaaaa!

  • @denisfranciskibindu6951

    💥💥

  • @lukasmnyethi5903
    @lukasmnyethi5903 Před 5 dny +3

    Owaaaaa

  • @malikeyndotopopote
    @malikeyndotopopote Před 4 dny

    Nyambizi nakupenda. Wapi hiyo

  • @echasafuraha3423
    @echasafuraha3423 Před 5 dny +1

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @jinjadarfox2906
    @jinjadarfox2906 Před 5 dny +2

    Misifaaaaa

  • @YusuphSomo
    @YusuphSomo Před 5 dny +5

    Saf namiss malaw nae pia.

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 Před 5 dny +2

    Ndio mkoko umeanza kualika maua

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 5 dny +2

    👍✌️👊.

  • @vangoodtv7371
    @vangoodtv7371 Před 3 dny

    King 👑 bado Tunata anina ali

  • @user-qo7ck5yt7t
    @user-qo7ck5yt7t Před 5 dny +2

    🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @user-st3hv8pi9i
    @user-st3hv8pi9i Před 5 dny +1

    Hata me handsome naikubali mpaka leo japo sijui imetoka mwaka gani 😅

  • @kaporosalum6123
    @kaporosalum6123 Před 16 hodinami

    Unfortunately hamjafanya homework yenu ya kutosha tumesikia wakina Othman Njaidi na Tumain Meshack kabla ya Dully tumesikia wakina Big Dog Pose kabla ya Dully tumewasikia Wasanii kabla yake and no disrespect kwa Dully ni miongoni mwa wasanii wakongwe na Wazuri Ila sio muasisi

  • @samnyambabe2529
    @samnyambabe2529 Před dnem

    Hako kamlio ka Kasri ni nouuuma sana .......

  • @RenoMashala
    @RenoMashala Před 4 dny +1

    nan kaona umboso ndani ya dully 😮