DULLY SYKES ABANANISHWA NA SALIM KIKEKE/ AIMBA KASWIDA LIVE/ NILIMTOA DIAMOND NA ALIKIBA
Vložit
- čas přidán 3. 07. 2024
- Dully Sykes kwenye Kasri La Kikeke.
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz - Zábava
Asantee king kwa kumuleta salim kikeke mupe zawadi ya v8 ndio baba yetu wa habari
sasa wewe kwa akili zako unazani hii media ya kiba 😆😆,,yani kikeke ndo mwenye media then kiba ni brand tu katumia yani ni kama unavyoona wasafi ni ya kusaga alafu diamond ni brand ametumia ,,
@@fredmbossa-kc3qn sasa wewe kwaakili zako. Unajua nini acha ujuaji
@@fredmbossa-kc3qn Hujui kitu kuhusu kampuni, ndo maana unasema hivyo
@@allykwaya hongera kwa wewe unaejua
Dully sykey ndio msani wa kwanza kuja kenya Tanzania zima
Si wa kwanza kuna marehemu mbaraka mwishee na pia alikufia mombasa kenya hapo kengeleni kwa ajili ya ajali ya gari
Founder of bongo fleva💯🇹🇿
From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
We recognize him as the first bong flavor creater
Hongera Kikeke bro tunakukubari na HAPO upon sehemu sasa
Mwanga na Nuru Kwa watanzania wooote🎉🔥🔥🎤🎧📻📺👑👑👑
Uyo ndo baba wa huu muzik anatakiwa apewe tuzo kubwa sana ya heshima
Dini INA umuhimu mkubwa sana kwa ajili ya maadili na kusafisha iimaan zetu vipindi vya dini pia no muhimu sana kuliko kila kitu maadili yetu yameharibika kwa sabu dini hatuipi kipaumbele
Crown FM crown Digital makofi mengi mengi Sana aaaa❤❤❤❤
👋👋
Noma san ❤❤❤
Munipe likes hapa natokea kenya
Big 🆙 King KIBA 👑
Big 🆙 Mr Kikeke Salim, we are proud of you from DR C.O.N.G.O🇨🇩 Lubumbashi WANTANSHI🇨🇩✌️
Kaka salim M.mungu akubariki sana kipindi kinapendeza❤❤❤mashalwa
Jamani tutafutieni na marrow
Huyu ni LEGEND wallah ❤
Dully Sykes yuko Vizuri ❤❤
Syo vizuri tu vzur sanaa😂😂😂
Crown on 🔥🔥🔥
Ongera sana Crown 🎉
Mungu akupe maisha marefu bro dullysykes
Asante sana
Laiti kama ungesajili ubongo freva kama founder au mbunifu wa bongo fleva naalafu ungekuwa unachukua asilimia zako naamin sasaiv ungekuwa tajiri namba moja Tanzania na afrika kwa pamoja ..kama waliobuni sawap au twita au chochote walioanzishaga izo web site or whatever uko marekan..ungepiga sana ela..big up sana duli huna rohombaya wala malalamiko..heshima kwako kaka duli Sykes
uzur wake dull hanaga sijui mambo ya kingeleza
Kikeke broo uko vzr
King Kikeke 👑 🔥 🔥
Crown media...HAPA ndio nyumbani 🎉🎉🎉
Kali sana
Kikeke wallah wewe ni number one
studio kali sana ,,ila hii media itafika mbali sana
Inshaallaah muweke pia na vipindi vya Dino vipindi vinavyohusu masuala ya dini I vipindi vinavyozungumzia dini shukran
upo sawa kaka
KING KIKEKE KWENYE HII ANGLE KING KAUA KINGS NA CROWN FOR LIFE
Kali sana aiseee ❤❤🔥🔥
Kaka Dully ❤❤❤❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mashaallah nawakubali wote
Safi sana, ❤❤❤❤
Jmn tunaomba izo mak mziwek nembo ya crown jmn
Uko sahihi kabisa hata mimi nina maoni hayo
Kabisa
Moto sana
Safisana Dully Sykes
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh all jumaa kariim all jumaa Mubarak mashaallaah tabaarakallah ndugu zangu wapendwa we crown FM crown kasri nawaomba kwa hisani yenu na iimaan yenu inshaallah muweke pia vipindi vya Dino vipindi vinavyohusu Dino shukran afwan
Asante kwa kufikisha
Safi cnaaa
Crown fm mnatuangusha, Dully Sykes sio muasisi wa bongo flava, hebu fanyeni utafiti kabla hamjarusha hewani
Tuambie wewe
Hawa ni waongo muasisi ni TID alianza na Tutakumbuka na malaika
@@TwalibuAlbaamiryShokaTID kamkuta dully na juma nature washa toka kitambo2😢😢😢
Salute kikeke kutuletea maojiano hayo bwana dury
Wanyama
Crown fire
Mm nishie kusema hivi nyimbo zote alizoimba prince Dully Sykes zote ni Hit songs 🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Tukianza na nyambizi ❤️🔥🔥❤️🔥
Kikeke ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sykes Prince.
Duli skykes hazeeki ... mashalah..tuliosikia salim kikeke kalikwepesha swali la Daimond fasta akamzungumzia alikiba tujuane🤣😂
Hahahah asante duli ni wapeke lkn leo umejielezea vzr sana kk kitenge unajua❤❤
Crown❤
Mungu ni mkubwa 🎉
Saleh Jabir founder of Bongo flave since 1992 he live in London
Not true
Crown naifata 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Dullysykes kwer ni wa kitambo sana aisee mi mwenyewe nimekuwa namskiliza tokea kipindi nasoma primary mpk secondary na moja kati ya song iliyonibamba sana ni ile ya Dhahabu i think watu wa zaman mnaujua huu wimbo
Najaribu kuidowlod
Mwamba azeeki jmni duuuuh
Daaah G kawatoa wing halafu yeye wala hatabuliki jmn ktk hili wasani muwatazame hawa jamqn
Hapa ni nyumbani
Kumbe ALIKIBA DOGO KWA dully
ulikuwa ujui nikababu
Dully 1982 ally 1986
Mmetixha crown mmmh hatalbxana
Young Journalist mnaosikiliza Sikiliza jinsi kikeke anavyofungua kipindi kwa umahiri na utulivu wa hali ya juu bila kukosa ubunifu mkubwa #uzoefu
safi
Good
big up kikeke nakukubali
Unyama mwingi sana
Baby candy,I like it
Ila jamani ebu nielewesheni mnaposema founder wa Bongofleva mnamaanisha nini hasa?! Mkisema mmoja wa watu wa mwanzoni mwa Bongofleva nadhani ni sawa
Maana ya neno founder ni kuwa mwanzilishi wa jambo au kitu fulan linatokana na neno foundation yaan msingi
HIP HOP from America
Zuku Rumba from Congo
Rage from Jamaica
Takeu from TZ Muhasisi Mr Nice
Bongo frava from TZ muhasisi Dully but wengi wa walikuwa wanaimba ZUKU identity ya Congo
@@octavian54very explained
Yeye ni founder ndiyo kwa sababu ni msanii wa kwanza kutumia biti la bongo flavor kuimba. Wapo sahihi
Nakubali
Ila crown inasikika vizr kinoma
Kwahyo wasafi haisikiki vzur? acha unafki mzee
tuipende sana iwe kubwa
Kikekebwaaa
Sikiliza kwa makini dakika ya nne , Alikiba ni Raisi sio mmliki 🫡
❤❤❤
Here is home.
Yoo!ooo clouwn nawakubari kinoma noma sema nini daa! Iyo story ya uyo mwamba apo dully amenifuraisha sana kumgusia uyo mzee dagaa,rabembe siyo pow nimecheka kweri kweri!😅😅😅
Huyu alipata bahati babake alikuwa mwanamuziki ikawa rahisi kwake kujulikana mtoto wa Mzee Sykes
Kali
❤️❤️🙌
Anazuga bwege huyo😂😂😂😂 alitupasulia sana mademu wetu wa kariakoo na magomeni kinoma sana😂😂😂
Iwaaaaaq Camera Leo zipo clean...
🎉
❤❤
nyimbo yake OPP
Kaka mkuu wa shule ndio head boy ama prefect
Kuizungumzia Julieta bila kumtaja BJB Alipiga verz na chorus ni kutoitendea haki Hio Historia ya hio ngoma
❤
Uko vzr
Nkbl San dur
Dully mkorofi sana. ETI why hapa kuna waZENJI wengi? Hahahaaaaaa!
💥💥
Owaaaaa
Nyambizi nakupenda. Wapi hiyo
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Misifaaaaa
Saf namiss malaw nae pia.
Ndio mkoko umeanza kualika maua
👍✌️👊.
King 👑 bado Tunata anina ali
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hata me handsome naikubali mpaka leo japo sijui imetoka mwaka gani 😅
2003
Unfortunately hamjafanya homework yenu ya kutosha tumesikia wakina Othman Njaidi na Tumain Meshack kabla ya Dully tumesikia wakina Big Dog Pose kabla ya Dully tumewasikia Wasanii kabla yake and no disrespect kwa Dully ni miongoni mwa wasanii wakongwe na Wazuri Ila sio muasisi
Hako kamlio ka Kasri ni nouuuma sana .......
nan kaona umboso ndani ya dully 😮