UCHAMBUZI MZITO WA UCHAGUZI WA UINGEREZA | KASRI LA KIKEKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Komentáře • 85

  • @EmanuelGeoffrey
    @EmanuelGeoffrey Před 19 dny +39

    Nani yupo kama mimi bila kusikiza crown Sijisikii vizuri,, kama upo nipe like zako hapo

  • @abrablack
    @abrablack Před 19 dny +14

    Yaani BBC hii hapa. Hii imekaa vzur sana. Congratulations Crown media. Hapa ni nyumbani

  • @Ambagaye
    @Ambagaye Před 19 dny +13

    Kikeke umeleta mabadailiko makubwa sana kwenye utanganzaji wa Tanzania. Crown Media itakuwa media house kubwa sana kutokana na utangazaji wako.

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 Před 17 dny +2

    Hivi Salim hicho kipaji Huwa unakumbuka kumshikuru Mungu. Yan unatangaza vizuri kiasi kwamba mtu huchoki kusikia. Hii imekaa vizuri san. Mungu AKUPE maisha marefu

  • @MuharramHassan-gc3wl
    @MuharramHassan-gc3wl Před 19 dny +7

    Sijawahi kucomment hata siu moja ila leo namimi nimejaribu yoye sababu hii ni channel ya watanzania kikeke allah akubariki na pia akuhifadhi kwa kuibadilisha tasnia yetu tanzania kama upo mamimi like hapo

  • @CostantinoFredrick-dw8nh
    @CostantinoFredrick-dw8nh Před 19 dny +11

    Kipindi kikubwa sana, kinachochambua Kwa kina,crown oko vzuri

  • @JumaMatiko-zp5nm
    @JumaMatiko-zp5nm Před 17 dny +1

    Hongera sana Salim kikeke wa tanzania tulikuwa tumeikosa Sana sauti yako brother!.Ulipotoka bbc tulikuwa tumeikosa sauti yako Sana.

  • @ELIAMICHAEL46
    @ELIAMICHAEL46 Před 19 dny +7

    Hapa ni nyumbanii crown Media on fire 🔥

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 19 dny +9

    Congratulations Crown radio 👊

  • @Cutterose
    @Cutterose Před 6 dny +1

    Crown mtaniuwa naiyona mbali sana crown fm mvuke mipaka africa nzima yupo kikeke najua hamshindwi kitu hapo

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před 17 dny +3

    Kule Wasafi upuuzi mwingi na umbea.... Hii ndio tulikuwa tunataka watz 🇹🇿 kupata elimu sahihi

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 Před 19 dny +7

    Crown 👑 media

  • @albertjames6845
    @albertjames6845 Před 19 dny +9

    Kikeke ni hazina ya tasnia ya Habari

  • @fadhilimpini
    @fadhilimpini Před 19 dny +6

    Wakwanza from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @ahmedronga7583
    @ahmedronga7583 Před 19 dny +12

    Sasa BBC ya nini wakati kila kitu tunakipata hapa

    • @barakaPaulo-ei8zp
      @barakaPaulo-ei8zp Před 19 dny

      Hahaha qubaliiii sanaaaaa

    • @Fadhilimwamlima
      @Fadhilimwamlima Před 19 dny +1

      Na kikeke Ana watu ambao alifanya nao kazi bbc kwaiyo lazima apate Habari nyingi inje ya nchi

  • @user-iu1ym3dc2i
    @user-iu1ym3dc2i Před 19 dny +5

    Tudo ndani ya mozambiqui

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc Před 19 dny +6

    Hii radio itafika mbali sana

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 Před 19 dny +3

    Bila shala zuhura yunusu anahitajika hapa weka na Charles Hillary

  • @juliusmsegu3347
    @juliusmsegu3347 Před 16 dny

    Kuanzia sasa jinanjisajii kua mwanafamilia wa hiki kipindi. Yaan ni BBC mtupu. Hongera king kiba hongera pia Salim kikieke. Hii ndio maana ya chombo cha habari. Burudani sawa lakini habari kama za muhimu ndio msingi wa kitu kinachoitwa chombo cha habari. Hii ndio itakayotofautisha kati ya redio za udaku na chombo cha habari. Big up sana crown Media

  • @JoseWilson-vb2di
    @JoseWilson-vb2di Před 19 dny +2

    Kwel mmeleta mapinduzi makubwa ya habari hongereni sana tena sana najivunia kuwa mwanafamilia wa grown media nikiwa hapa njombe makambako

  • @Oficialkb
    @Oficialkb Před 19 dny +2

    Jaman ongezen vipinde bila crown tuwende maana tushazoea burudan, fanyen kwel basi 🔥🔥🔥🔥🔥

    • @fadhilisule
      @fadhilisule Před 16 dny

      We kikeke weeewe dah BBC yangu imerudi karibu kabisa

  • @petermgaya9693
    @petermgaya9693 Před 17 dny

    Huu ndio uchambuzi sasa. Hongera kikeke

  • @bensonmwakalindile8545

    Aiseeh hongeren kama crown,na kikeke na timu yako.keep it up.kaz nzur

  • @mwendajr6035
    @mwendajr6035 Před 18 dny

    Mnatisha sana crown media

  • @carolernest9222
    @carolernest9222 Před 19 dny +1

    Mapinduzi ya industry ya habari 🔥

  • @barakamfilinge6943
    @barakamfilinge6943 Před 19 dny +2

    Uchambuzi mzuri sana na kipindi Cha kuelimisha sana

    • @ISSASHABANI-sw7lx
      @ISSASHABANI-sw7lx Před 19 dny +1

      Sasa utachaguwa wewe kama kuskiliza juma lokole aliebkuwa hajuwi nini maana ya habari ama kuskiliza redio ya watu walio somea habar

    • @Fadhilimwamlima
      @Fadhilimwamlima Před 19 dny

      ​@@ISSASHABANI-sw7lxmsanii amenunuwa jumba la kifahari 😂😂😂

    • @barakamfilinge6943
      @barakamfilinge6943 Před 15 dny

      @@ISSASHABANI-sw7lx 😃😃😃

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 Před 16 dny

    Yeeebabah 😇 😇 😇

  • @paul1985ization
    @paul1985ization Před 19 dny +1

    Ile Radio ya Familia inaaanza kukosa uhalali. Niwaombe sana Crown msiweke uchawa sana. Uchawa unagawa watu. Kuweni fair kwa kila mtu. Sisi sote ni nchi moja.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 19 dny

      Hamna chawa hapo hapo professionalism ndio imezingatiwa ndo maana kila mtu kakaa kwenye sehemu yake sio mtu mmoja anachambua lila kitu kikee huwezi mfananisha na mtu yoyote kibongo bongo Huyu alikua mwanahabari wakimataifa

  • @linnashayo6710
    @linnashayo6710 Před 18 dny

    Aiseee hii crown nimeipenda buure

  • @jinsiyakutengezavijora8909

    Watuache t2 midia zote

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 Před 19 dny +2

    That is democracy

  • @Fadhilimwamlima
    @Fadhilimwamlima Před 19 dny

    Abu mleteni crown 👑

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 Před 17 dny

    Safii kikeke

  • @frankyeye
    @frankyeye Před 16 dny

    Crown media so hot

  • @math2sany97
    @math2sany97 Před 19 dny +2

    Tuko pamoja

  • @Lamar-e4t
    @Lamar-e4t Před 19 dny

    Crown 4Life 💥🔥🔥🔥

  • @official_m.jay255
    @official_m.jay255 Před 19 dny +2

    Aminia croun

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 19 dny +1

    Hapa ni home

  • @rajabumhasha8468
    @rajabumhasha8468 Před 19 dny

    Hongera crown

  • @WiliamTomas-oo9kb
    @WiliamTomas-oo9kb Před 18 dny

    Noma sana kumbe utamu uko uku

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 19 dny +1

    ✌️👍👊.

  • @Fadhilimwamlima
    @Fadhilimwamlima Před 19 dny

    Crown 👑 nihatari sana tz , midea zingine utasikia msani flani amenunuwa gari jipya😅😂

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx Před 19 dny +1

    Kuna wapuuzi walisema oooh salum kikeke katoka bbc kaja kuajiriwa na crown sasa kama walikuwa hawajuwi hichi ndo kilicho mfanya ali kiba mbaka amvute kikeke

    • @Japanese-lz1or
      @Japanese-lz1or Před 16 dny

      Amvute wapi wakati wote ni wamiliki wa hio media kikeke na alikiba wote wameweka shares hapo

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo7617 Před 19 dny +3

    bila crown hakuna masisha naona siku haziendi kabisa

  • @HamimuMakumba
    @HamimuMakumba Před 15 dny

    🎉

  • @JemesSakala
    @JemesSakala Před 19 dny +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @alcadoathumani9957
    @alcadoathumani9957 Před 16 dny

    Kweli hapa ninyumbani

  • @WilliumJoseph-i8w
    @WilliumJoseph-i8w Před 19 dny

    Maana halisi ya combo cha habari ✊

  • @khamzdady7977
    @khamzdady7977 Před 18 dny

    🔥🔥🔥👑

  • @user-iu1ym3dc2i
    @user-iu1ym3dc2i Před 19 dny +3

    Poa

  • @abukhadija1993
    @abukhadija1993 Před 19 dny +1

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @azizaomary2568
    @azizaomary2568 Před 18 dny

    ❤❤❤❤

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 19 dny +1

    Kipindi kimetuliya sio vya fujo vya kinanihi kule

  • @danielmgalla558
    @danielmgalla558 Před 19 dny +2

    Bonge la kipindi

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 Před 17 dny

    Vita vya Gaza vitaleta mageuzi mengi uk ufaransa na usa na ulaya yote

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 17 dny

    Na ccm pia itaondoka madarakani In Shaa Allah anaebisha aje na hoja

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha120 Před 19 dny

    🎉🎉🎉🎉

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před 18 dny

    Huyu jamaa ni kichwa

  • @AliDulla
    @AliDulla Před 18 dny

    Bbc kiba umeweza bro

  • @adelinakihwelo721
    @adelinakihwelo721 Před 19 dny +1

    BBC

  • @allyiddy4542
    @allyiddy4542 Před 17 dny

    Azam chanel namba ngapiiiiii ?

  • @Yegon254
    @Yegon254 Před 19 dny

    Hii ni kubwa zaidi

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam Před 19 dny

    Democrasia yakweli na furaha zaidi

    • @petermgaya9693
      @petermgaya9693 Před 17 dny

      Sana aisee Democrasia ya Hali ya juu mno, chama kinaondoka kinakuja chama kingine

  • @funforfunnychannel
    @funforfunnychannel Před 18 dny

    Yan kikeke tunahisi kama bbc vile tu

  • @abukhadija1993
    @abukhadija1993 Před 19 dny +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @EtieniRama
    @EtieniRama Před 19 dny

    ❤❤❤😂😂❤❤❤😮

  • @ayubugeorge2168
    @ayubugeorge2168 Před 17 dny

    Zelensk hana uhalari wa kuwa Raisi Muda wake ulishapita

  • @softsoftbby8013
    @softsoftbby8013 Před 18 dny

    Kapata ushindi kwa sababu ya waislam,waislam walionesha nguvu ya ummoja

  • @WilliumJoseph-i8w
    @WilliumJoseph-i8w Před 19 dny

    🎉

  • @sadikiissa2454
    @sadikiissa2454 Před 19 dny

    ❤❤❤❤