ALIKIBA AMTAJA MMILIKI WA CROWN MEDIA, AWA MBOGO ASEMA " MIMI SIO MPUMBAVU MIMI NDO NIMEWALETEA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny
  • Zábava

Komentáře • 52

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 Před 2 měsíci +7

    Washamba wanachotaka kiba awe mtu wa nnahelaa mimi tajirii nnanyumba agrei kariakoo ina ghorofa 4 crown FM ni yakwanguu hahaha ushamba ni mzigo yani mtu ili alizike inabidi isikie alikiba hana hata hero la maandazi ila furani anagari

  • @UwamuregeyeSamuel-rq7jz
    @UwamuregeyeSamuel-rq7jz Před 2 měsíci +5

    Saluti king kiba👑👑💖💖💖👏👏👍

  • @aliiseif3875
    @aliiseif3875 Před 2 měsíci +4

    Alo uliza hili swali ndo anae sababisha watangazaji wadogo hawapati nafasi na ajira katika radio kubwa maana wanapelekwa na kiki

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 2 měsíci +3

    Kiba sio mshamba bana😂😂 mtoto wa town huyu hana ushamba wa pesa

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162 Před 2 měsíci +2

    Safi sana

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před 2 měsíci +4

    Tell them 👏

  • @petersenteu7252
    @petersenteu7252 Před 2 měsíci +2

    Only one king in EA

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 Před 2 měsíci +2

    Km kumiliki medea siyo utajiri jaribu kuimiliki uone,usiongee vitu ambavyo haujui fuatilia kwanza,uache ujinga...!

  • @AR-KHERRYKHERRYJR
    @AR-KHERRYKHERRYJR Před 2 měsíci +2

    Anaga misifaaa😘

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Před 2 měsíci +3

    Nakukubali sanaa uko sawaaa

  • @user-wn8ul7gp2b
    @user-wn8ul7gp2b Před 2 měsíci +2

    mwangu since day one❤

  • @HalimaNamangupa-xk7fb
    @HalimaNamangupa-xk7fb Před 2 měsíci +2

    King kibaa

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Před 2 měsíci +2

    The man 4life ❤❤❤

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma Před 2 měsíci +3

    Verry humble

  • @gatsonmatiko8000
    @gatsonmatiko8000 Před 23 dny

    Mungu ndyo kila kitu mr

  • @SaidWasaki-iq3qd
    @SaidWasaki-iq3qd Před 2 měsíci +1

    🙌🙌

  • @bonnywizzy1977
    @bonnywizzy1977 Před měsícem

    Huyu jamaa ajui kuongea 😂

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 2 měsíci +3

    Rais WA Crown 👑na king WA bongo fleva yaan hata kuongea kipesa pesa tu kitajiri Tajiri ❤😅

    • @ashrafrushaka2358
      @ashrafrushaka2358 Před 2 měsíci

      Hujui chochote bos...hii dunia ina sir sana usilo lijua ni giza....bakin kudanganywa hivyo hivyo wamiliki wapo bwana wakubwa

    • @MilkaMziray
      @MilkaMziray Před 2 měsíci

      We ndio mshamba

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 Před měsícem

      @@ashrafrushaka2358 hhhhhh maskin nakuonea huruma unateseka ukiwa wapi hebu tupe habari msemeji wa Familia. Hhhhhh

    • @ashrafrushaka2358
      @ashrafrushaka2358 Před měsícem

      @@zuweinaalhabsya8773 bro..tunza hiyo comment...sku ukiujua ukwel utanitafuta ...mi nilikua nabisha kukuzid wewe ...but ipo siku utafunguliwa macho na akil

  • @user-zi1lr8wk3w
    @user-zi1lr8wk3w Před 2 měsíci +2

    Mbna hicho kidevu ni cheusi sana

  • @princessplatnum4416
    @princessplatnum4416 Před 2 měsíci +2

    Mwamba anatumia akiri kubwa akuluouki

  • @samyspesho1698
    @samyspesho1698 Před 2 měsíci +3

    Sijaelewa

    • @user-xg5se4sy2t
      @user-xg5se4sy2t Před 2 měsíci +1

      Ndomana maisha yako magumu kwakua sio muelewa

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi255 Před 2 měsíci +2

    Ajifunze kuongea kwanza😮

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha120 Před 2 měsíci +2

    😂

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 Před 2 měsíci +3

    Rich mavoko kapost gari watu wamemzodoa et kaazima hawezi kununua naeweza kununua gari ni jux na watu wa wcb

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 2 měsíci

      Watz wengi ni watu maskini wa Mali na fikra mtu akiwa na kitu cha kwanza nikuumia na kutoamini nakutafuta kasoro

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 Před 2 měsíci

      Nikweli ndugu yani watu wanateseka utazani ni jambo la ajabu

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 2 měsíci

      @@mustafamsati9599 wtz wengi asili yao ni umaskini na tabia ya maskini ni kuwa na chuki na hasira na jambo la mafanikio Leo kila mtu anapambana kujua ile Mali sio ya Kiba ila atangaze na kufurahi maana hawakubali kuona Kiba anajambo la kimaendeleo badala ya kufurahi pale wamepata watu ajira ila mtu anatamani Ata paungue au papoteee

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 Před měsícem

      Haha😂

  • @user-fh6ib5kl1u
    @user-fh6ib5kl1u Před 2 měsíci +3

    Nenda kajieleze wewe

  • @TrubochudoBinani-zs7mi
    @TrubochudoBinani-zs7mi Před 2 měsíci +1

    Auna ubunifu wowote wewe mwenye ubunifu ni mond

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po Před 2 měsíci +3

    Jamaa hawezagi kujielezea kana hu kana hu kanaushamba😂😂

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 Před 2 měsíci

    Alikiba ana pesa sema siyo mtu wa ku show off km Mond,anakula unga anapepesuka nguvu miguuni hana na anapost....!!

  • @user-ex9dd4qx9v
    @user-ex9dd4qx9v Před 2 měsíci +1

    Uyu Jama ajui kujieleza

  • @PatricalVevo
    @PatricalVevo Před 2 měsíci +2

    Anaongea nini huyo king'''''asti

    • @isayamsisika6255
      @isayamsisika6255 Před 2 měsíci

      Ndio kashasema yakeeeeeeee... Mnaumia.?

    • @RichardRutembesa-ns1kn
      @RichardRutembesa-ns1kn Před 2 měsíci

      ​@@isayamsisika6255unajistukia !!

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 2 měsíci +2

      Anaongea alivomdate bi mkubwa wako

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 Před 2 měsíci

      Yani mashabik wenye chuki hio media inawatesa kinoma mala yakikweteile mala ooh yakikekeile hahaha ushamba tu hata salam menwja tu wa chibu anamedia ni biashara yakawaida tu

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 Před 2 měsíci +1

    Kumiliki media sio utajili mkuubwa kwani majizo ni tajili? Au salam SK anamiliki dizim fm ni tajilimkubwa?

    • @karaniomoit5259
      @karaniomoit5259 Před 2 měsíci

      ACHA wivu fungua yako

    • @asmahassan5661
      @asmahassan5661 Před 2 měsíci

      😂hakika​@@karaniomoit5259

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 Před 2 měsíci

      Wanao ponda kiba kufungua take nao wafungue zao kwani salam SK si kafungua yake safi inaitwa dizim FM mbona safi