ALIKIBA AMTAJA MMILIKI WA CROWN MEDIA, AWA MBOGO ASEMA " MIMI SIO MPUMBAVU MIMI NDO NIMEWALETEA"
Vložit
- čas přidán 2. 06. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Zábava
Washamba wanachotaka kiba awe mtu wa nnahelaa mimi tajirii nnanyumba agrei kariakoo ina ghorofa 4 crown FM ni yakwanguu hahaha ushamba ni mzigo yani mtu ili alizike inabidi isikie alikiba hana hata hero la maandazi ila furani anagari
Saluti king kiba👑👑💖💖💖👏👏👍
Alo uliza hili swali ndo anae sababisha watangazaji wadogo hawapati nafasi na ajira katika radio kubwa maana wanapelekwa na kiki
Kiba sio mshamba bana😂😂 mtoto wa town huyu hana ushamba wa pesa
Safi sana
Tell them 👏
Only one king in EA
Km kumiliki medea siyo utajiri jaribu kuimiliki uone,usiongee vitu ambavyo haujui fuatilia kwanza,uache ujinga...!
Anaga misifaaa😘
Nakukubali sanaa uko sawaaa
mwangu since day one❤
King kibaa
The man 4life ❤❤❤
Verry humble
Mungu ndyo kila kitu mr
🙌🙌
Huyu jamaa ajui kuongea 😂
Rais WA Crown 👑na king WA bongo fleva yaan hata kuongea kipesa pesa tu kitajiri Tajiri ❤😅
Hujui chochote bos...hii dunia ina sir sana usilo lijua ni giza....bakin kudanganywa hivyo hivyo wamiliki wapo bwana wakubwa
We ndio mshamba
@@ashrafrushaka2358 hhhhhh maskin nakuonea huruma unateseka ukiwa wapi hebu tupe habari msemeji wa Familia. Hhhhhh
@@zuweinaalhabsya8773 bro..tunza hiyo comment...sku ukiujua ukwel utanitafuta ...mi nilikua nabisha kukuzid wewe ...but ipo siku utafunguliwa macho na akil
Mbna hicho kidevu ni cheusi sana
Mwamba anatumia akiri kubwa akuluouki
Sijaelewa
Ndomana maisha yako magumu kwakua sio muelewa
Ajifunze kuongea kwanza😮
😂
Rich mavoko kapost gari watu wamemzodoa et kaazima hawezi kununua naeweza kununua gari ni jux na watu wa wcb
Watz wengi ni watu maskini wa Mali na fikra mtu akiwa na kitu cha kwanza nikuumia na kutoamini nakutafuta kasoro
Nikweli ndugu yani watu wanateseka utazani ni jambo la ajabu
@@mustafamsati9599 wtz wengi asili yao ni umaskini na tabia ya maskini ni kuwa na chuki na hasira na jambo la mafanikio Leo kila mtu anapambana kujua ile Mali sio ya Kiba ila atangaze na kufurahi maana hawakubali kuona Kiba anajambo la kimaendeleo badala ya kufurahi pale wamepata watu ajira ila mtu anatamani Ata paungue au papoteee
Haha😂
Nenda kajieleze wewe
Auna ubunifu wowote wewe mwenye ubunifu ni mond
Jamaa hawezagi kujielezea kana hu kana hu kanaushamba😂😂
Hupendi mambo mengi sio ushamba
Majiniazi hawawezagi kuongea sana mzee
Alikiba ana pesa sema siyo mtu wa ku show off km Mond,anakula unga anapepesuka nguvu miguuni hana na anapost....!!
Chuki na mond... Ila jamaa ni tajilii kweli
Uyu Jama ajui kujieleza
Wewe ukijua inatosha ila sisi tumemuelewa
Wivu utakuua boss
Anaongea nini huyo king'''''asti
Ndio kashasema yakeeeeeeee... Mnaumia.?
@@isayamsisika6255unajistukia !!
Anaongea alivomdate bi mkubwa wako
Yani mashabik wenye chuki hio media inawatesa kinoma mala yakikweteile mala ooh yakikekeile hahaha ushamba tu hata salam menwja tu wa chibu anamedia ni biashara yakawaida tu
Kumiliki media sio utajili mkuubwa kwani majizo ni tajili? Au salam SK anamiliki dizim fm ni tajilimkubwa?
ACHA wivu fungua yako
😂hakika@@karaniomoit5259
Wanao ponda kiba kufungua take nao wafungue zao kwani salam SK si kafungua yake safi inaitwa dizim FM mbona safi