NI FITINA TU NDIZO AMBAZO ZINAMKWAMISHA FEISAL SALUM PALE AZAM
Vložit
- čas přidán 23. 10. 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Feisal Toto ni mcheza mzuri sana katika uzawa
Fei super talented kwa wenye akili wanajua ilo ana Uwezo mkubwa wakutofunikwa duarani
Makosa aliyoyafanya Feisal ameenda kucheza Timu ndogo kuzidi uwezo wake. Feisal si wa kucheza Azam
Jamaa unaongea kispoti sana fei ni htr sana Kwa wachezaji wazawa kwenye nafasi yake hakuna anaemfika
Chambuzi wangu na moja mpaka sasa
Exactly Oscar upo sahihi mm ni Yanga lakn feii yupo vzuri anatakiwa awepo kwenye national team
Ww ni mpuuzi kweli
Mbona hua anaitwa shida anashobo ndio zinamuangusha lkn ni mchezaji mzuri sana ila match ilimpalia hakua vzr kivilee
😂😂😂😂😂😂😂baba levo siku kama hayupo huwa Mimi sisikilizagi kabisa hichi kipindi chenu😂
wwe kama mimi tu
Hata me pia
Anajiita B LEVO BA FUNDI MANYUMBA 😂😂😂
Ht mm 😅
Unakosa fikra za kishabiki na kichawa. Watu wengi hatupendi FACT ndio maana baadhi ya TV zimeajiri watu wa hovyo ili kutifurahisha.😤
Yani kaka umeongea sawa sana watuwanamvhukia kwasababu tu kaacha timu yao hebu wamuache mpira jamani ni huru!!!!!!!!!!!!
Huyo bb levo na mpira wapi na wapiiiiiiii
Pumba tu😂
Baba levo hujuwi mpira kwenda kule
Mnaacha kumjadili aziz k
Oscar we mnafki Sana ulisema anafunga angeitwa kwenye timu ya taifa Leo ii unasema magoli sio inshu kisa wamemuacha kwenye magoli
Oska kaombe kazi ya kupanga kikos Cha Tim ya taifa siunaona wapangaji hawawajui wachezaji wa zur
Kweli kabisa
Kawe wewe Kocha!
Akiendelea kucheza kama Jana ataitwa.
Usimpangie Kocha,
Uyo mtu alie muweka baba revo kuchambua alilenga safi sana
Baba levo hajui kuchambua analeta uyanga kwenye ushambuzi hapo kazi yako kuchambua sio kuisifia yanga mtoen icho kitengo anaalibu
Baba levo sio mchambuzi anafaa kua mchamba wima
Oscar upo clear sanaaa
Sio Feisla tu Azam hata wangekuwa na Mbape asiingeonekana, Huwezi kutegemea mchezaji mmoja kwenye Timu.
Mpira bila magoli utashinda vp?! mahaba yakizid utashindwa kuchambua mpira utakuwa kama shabiki angefunga alafu Aziz ki asifunge leo ungesema hakuna kiungo anaejua kufunga kama yeye pale yanga kisa Aziz ki kafunga leo magoli sio inshu na wakati ndio yameipa yanga point. Bro..ifanye kazi yako kwa ufasaha acha kutumika
Acha uyanga
Baba levo ndo ananogesha kpndi😊
Alikamia sana hiyo match
Uyu baba levo kwani n lazima achambue mpira anaharibu sna
Oscar uko sawa
Baba levo hujuwi mpira
Baba levo umeongea fact
Sio kupaniaaa feisal anajua ww baba levo wanazungumziaa feisal sio team
Baba levo ypo kimajungu zaid
Kweli Feisal alistahili kuitwa timu ya taifa
Baba levo wa2 wanahesabu nazi ww unahesabu makumbi yaani ww uyanga umeuweka mbele kuliko ukweli kiufupi 2nakupenda ila kwa kipindi cha michezo una2haribia mn inaonekana hujui mpira kbs
Bora asiende maana atawaliza kwa kuwaangia wenzie .
Fesal anajua mpira
Huyu Baba levo anaongea kishabiki
Kwan lazima acheze tim ya taifa
Mpeleke mamaako acheze
Fitina gani tena?
Ww muongo acha unafiki
Huyo mtoto wa kizanzibar anaujua mpira tuache chuki
Acheni fitina
hii sms ni ya baba level na oscal naomba muwaambie ally kamwe na ahamed ally wawatangazie mashabiki wa timu zetu tukajazane pale keko hadi waziri mkuu aje atuambie lile zigo la mwizi ni la nani?
Babalevo pumba speaking
Baba levooo sio mtu wa michezoo
Huyu baba level mwambie akafanye uchawa mpira so kz yke
Afu sikupendi
Osca upo sawa sana
Oscar unaongea na mtu asie ujua mpira unajichosha Kichw bb levo hamna kitu
Oscar huna akili
N kwel kabsa Huwa analeta charange humo ndan!!
Oscar ndo umesema au bd
Kiukweli sisi wazanzibari kama fei toto hayupo kwenye kukodi cha taifa basi na sisi hatupo pamoja nayo iyende tuu nikiona za yanga na T FF Tunajua
Yaan we oscar wewe usimtetee fei alipania sana
Unazingua fei toto amepotea
Kama anajua mpelekeni kwa wake zenu msitusimbue maboya wachambuzi wa mbuzi
Fei kajiuamwenyewe astafutemchawi
feitoto anajuasoka awempole. kakakatu😂😆😃😄🤣
Huyu baba levo kwa nini yupo hapo
Kwani redio yako ni kweli fei alipania
Mpira usharudi
Osika unavutaga bangi
Ety tutaktana nao kaliua
HUYO CHAWA BABA LEVO KAZI KULETA FIKRA ZA KITOPOLO TU HAPO STUDIO.😤
Hakuna mchambuzi hapa 😂 wote wanasiasa za mpira
Mpira ni magoli 😂😂😂wacha uongo wewe kasema pele mpira magoli
😂Baba levo
Mchambuzi huyu fala sana basi ww peleka vyeti uwe kocha wa timu ya taifa mbona ww huingiliwi kwenye taaluma yk Oscar ww msenge
Mpira magoli
Oscar sio mchambuzi yule sira na yule beki wa kulia wa azam ndio walikuwa mwiba mchungu kwa Yanga
Oscar wewe ni Kati ya wachambuzi hovyo kabisa wa Soka, nani alikuambia Feisal ni lazima aitwe stars, Magoli unayosema kazifunga Timu zipi? Mwambieni aoneshe consistency arejeshe kiwango siyo kupiga debe
Ukimsaliti bibi hata Babu unaweza kumsaliti. Tanzania Kuna wechezaji wengi wapo benchi Feisal Hana kiwango Cha national timu. Mbona wameachwa wengi kv shomari kapombe, zimbwe, timu inasonga mbele.
Feisal alijiona lulu Kwa kupambwa na wajinga wachache sasa matokeo yake ndio hayo hakuna haja ya kulaumu.
Ukiwa hujavuta bangi unaongea vitu vya maana ila ukishavutia chooni sasa unaongea unavyojua wewe
Kipindi kinakufa kwa wajinga wachache
B LEVO LEO UMEJAMBA 😃,,FEI HAKUPANIA MCHEZO NA NDIO MANA ALICHEZA VZURI JAPO HAWAKUSHINDA NA YEYE HAKUFUNGA(Kacheza kawaida)
Una zeeka vibaya mchezi yupo yeye tu TZ wameachwa wangapi bhana? Chambua kwa akili