NI FITINA TU NDIZO AMBAZO ZINAMKWAMISHA FEISAL SALUM PALE AZAM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 10. 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 84

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 9 měsíci +4

    Feisal Toto ni mcheza mzuri sana katika uzawa

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 Před 9 měsíci +5

    Fei super talented kwa wenye akili wanajua ilo ana Uwezo mkubwa wakutofunikwa duarani

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před 9 měsíci +2

    Makosa aliyoyafanya Feisal ameenda kucheza Timu ndogo kuzidi uwezo wake. Feisal si wa kucheza Azam

  • @abdulazizimohamad6946
    @abdulazizimohamad6946 Před 9 měsíci +4

    Jamaa unaongea kispoti sana fei ni htr sana Kwa wachezaji wazawa kwenye nafasi yake hakuna anaemfika

  • @feisalseif6488
    @feisalseif6488 Před 9 měsíci +1

    Chambuzi wangu na moja mpaka sasa

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 Před 9 měsíci +5

    Exactly Oscar upo sahihi mm ni Yanga lakn feii yupo vzuri anatakiwa awepo kwenye national team

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb Před 9 měsíci

      Ww ni mpuuzi kweli

    • @DivinePromise-sv3qq
      @DivinePromise-sv3qq Před měsícem

      Mbona hua anaitwa shida anashobo ndio zinamuangusha lkn ni mchezaji mzuri sana ila match ilimpalia hakua vzr kivilee

  • @FelisterDuway
    @FelisterDuway Před 9 měsíci +11

    😂😂😂😂😂😂😂baba levo siku kama hayupo huwa Mimi sisikilizagi kabisa hichi kipindi chenu😂

    • @ibnmasuod2184
      @ibnmasuod2184 Před 9 měsíci +1

      wwe kama mimi tu

    • @AlexJacobo-vc2kt
      @AlexJacobo-vc2kt Před 9 měsíci +1

      Hata me pia

    • @brunomirambi8792
      @brunomirambi8792 Před 9 měsíci +1

      Anajiita B LEVO BA FUNDI MANYUMBA 😂😂😂

    • @RyanElias1
      @RyanElias1 Před 9 měsíci +1

      Ht mm 😅

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 Před 9 měsíci +2

      Unakosa fikra za kishabiki na kichawa. Watu wengi hatupendi FACT ndio maana baadhi ya TV zimeajiri watu wa hovyo ili kutifurahisha.😤

  • @makamelila
    @makamelila Před 2 měsíci

    Yani kaka umeongea sawa sana watuwanamvhukia kwasababu tu kaacha timu yao hebu wamuache mpira jamani ni huru!!!!!!!!!!!!

  • @Jamalhusen7025
    @Jamalhusen7025 Před 9 měsíci +1

    Huyo bb levo na mpira wapi na wapiiiiiiii

  • @salehharuna7675
    @salehharuna7675 Před 9 měsíci +1

    Baba levo hujuwi mpira kwenda kule

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 Před 9 měsíci

    Mnaacha kumjadili aziz k

  • @enerickondyanabo337
    @enerickondyanabo337 Před 9 měsíci +1

    Oscar we mnafki Sana ulisema anafunga angeitwa kwenye timu ya taifa Leo ii unasema magoli sio inshu kisa wamemuacha kwenye magoli

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 Před 9 měsíci

    Oska kaombe kazi ya kupanga kikos Cha Tim ya taifa siunaona wapangaji hawawajui wachezaji wa zur

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Před 9 měsíci

    Kweli kabisa

  • @matiankomola2391
    @matiankomola2391 Před 9 měsíci +2

    Kawe wewe Kocha!
    Akiendelea kucheza kama Jana ataitwa.
    Usimpangie Kocha,

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 9 měsíci

    Uyo mtu alie muweka baba revo kuchambua alilenga safi sana

  • @user-pe2ox3wr1j
    @user-pe2ox3wr1j Před 9 měsíci

    Baba levo hajui kuchambua analeta uyanga kwenye ushambuzi hapo kazi yako kuchambua sio kuisifia yanga mtoen icho kitengo anaalibu

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx Před 4 měsíci

    Baba levo sio mchambuzi anafaa kua mchamba wima

  • @happymackjacob3480
    @happymackjacob3480 Před 9 měsíci

    Oscar upo clear sanaaa

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před 9 měsíci

    Sio Feisla tu Azam hata wangekuwa na Mbape asiingeonekana, Huwezi kutegemea mchezaji mmoja kwenye Timu.

  • @BusaluThobias-ff6po
    @BusaluThobias-ff6po Před 9 měsíci

    Mpira bila magoli utashinda vp?! mahaba yakizid utashindwa kuchambua mpira utakuwa kama shabiki angefunga alafu Aziz ki asifunge leo ungesema hakuna kiungo anaejua kufunga kama yeye pale yanga kisa Aziz ki kafunga leo magoli sio inshu na wakati ndio yameipa yanga point. Bro..ifanye kazi yako kwa ufasaha acha kutumika

  • @athumanmsuya2688
    @athumanmsuya2688 Před 9 měsíci

    Acha uyanga

  • @mwajabujumanne9025
    @mwajabujumanne9025 Před 9 měsíci

    Baba levo ndo ananogesha kpndi😊

  • @andrewmwakyangwe3520
    @andrewmwakyangwe3520 Před 9 měsíci

    Alikamia sana hiyo match

  • @SalimNassor-bs4ew
    @SalimNassor-bs4ew Před 8 měsíci

    Uyu baba levo kwani n lazima achambue mpira anaharibu sna

  • @user-ff4gi8dl7z
    @user-ff4gi8dl7z Před 9 měsíci

    Oscar uko sawa

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 Před 9 měsíci

    Baba levo hujuwi mpira

  • @yohananjelwa4101
    @yohananjelwa4101 Před 9 měsíci

    Baba levo umeongea fact

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Před 9 měsíci

    Sio kupaniaaa feisal anajua ww baba levo wanazungumziaa feisal sio team

  • @SalimNassor-bs4ew
    @SalimNassor-bs4ew Před 8 měsíci

    Baba levo ypo kimajungu zaid

  • @halidmauga96
    @halidmauga96 Před 9 měsíci

    Kweli Feisal alistahili kuitwa timu ya taifa

  • @rashidmohd6260
    @rashidmohd6260 Před 9 měsíci

    Baba levo wa2 wanahesabu nazi ww unahesabu makumbi yaani ww uyanga umeuweka mbele kuliko ukweli kiufupi 2nakupenda ila kwa kipindi cha michezo una2haribia mn inaonekana hujui mpira kbs

  • @mzeewetu9718
    @mzeewetu9718 Před 9 měsíci

    Bora asiende maana atawaliza kwa kuwaangia wenzie .

  • @alisaleh2093
    @alisaleh2093 Před 9 měsíci

    Fesal anajua mpira

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 Před 9 měsíci

    Huyu Baba levo anaongea kishabiki

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Před 9 měsíci +1

    Kwan lazima acheze tim ya taifa

  • @user-kk3tv6kw1o
    @user-kk3tv6kw1o Před 2 měsíci

    Fitina gani tena?

  • @ShabanMsanifu-ov2kg
    @ShabanMsanifu-ov2kg Před 7 měsíci

    Ww muongo acha unafiki

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 Před 9 měsíci

    Huyo mtoto wa kizanzibar anaujua mpira tuache chuki

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Před 9 měsíci

    Acheni fitina

  • @rickpoz1795
    @rickpoz1795 Před 9 měsíci

    hii sms ni ya baba level na oscal naomba muwaambie ally kamwe na ahamed ally wawatangazie mashabiki wa timu zetu tukajazane pale keko hadi waziri mkuu aje atuambie lile zigo la mwizi ni la nani?

  • @side216
    @side216 Před 9 měsíci

    Babalevo pumba speaking

  • @SaidSaid-qp8xl
    @SaidSaid-qp8xl Před 9 měsíci

    Baba levooo sio mtu wa michezoo

  • @HazardYussuf
    @HazardYussuf Před 9 měsíci

    Huyu baba level mwambie akafanye uchawa mpira so kz yke

  • @salehharuna7675
    @salehharuna7675 Před 9 měsíci +1

    Afu sikupendi

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 9 měsíci

    Osca upo sawa sana

  • @ChaseGabagambi-ur8xu
    @ChaseGabagambi-ur8xu Před 9 měsíci

    Oscar unaongea na mtu asie ujua mpira unajichosha Kichw bb levo hamna kitu

  • @sikujuahamisi7252
    @sikujuahamisi7252 Před 9 měsíci +1

    Oscar huna akili

  • @SayuniEnock-tu4pf
    @SayuniEnock-tu4pf Před 9 měsíci

    N kwel kabsa Huwa analeta charange humo ndan!!

  • @seifismail6041
    @seifismail6041 Před 9 měsíci

    Oscar ndo umesema au bd

  • @user-rk1le2ld8d
    @user-rk1le2ld8d Před 8 měsíci

    Kiukweli sisi wazanzibari kama fei toto hayupo kwenye kukodi cha taifa basi na sisi hatupo pamoja nayo iyende tuu nikiona za yanga na T FF Tunajua

  • @matrida.lunyilija5196
    @matrida.lunyilija5196 Před 9 měsíci

    Yaan we oscar wewe usimtetee fei alipania sana

  • @user-ln5yv5ff5p
    @user-ln5yv5ff5p Před 9 měsíci

    Unazingua fei toto amepotea

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Před 9 měsíci

    Kama anajua mpelekeni kwa wake zenu msitusimbue maboya wachambuzi wa mbuzi

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 Před 9 měsíci

    Fei kajiuamwenyewe astafutemchawi

  • @RamadhanYusufu-lj3hu
    @RamadhanYusufu-lj3hu Před 2 měsíci

    feitoto anajuasoka awempole. kakakatu😂😆😃😄🤣

  • @kasseraandrew3614
    @kasseraandrew3614 Před 9 měsíci

    Huyu baba levo kwa nini yupo hapo

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 Před 9 měsíci

    Mpira usharudi

  • @user-iy7sj8wv5b
    @user-iy7sj8wv5b Před 9 měsíci

    Osika unavutaga bangi

  • @user-uz7dj2xl2v
    @user-uz7dj2xl2v Před 9 měsíci

    Ety tutaktana nao kaliua

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Před 9 měsíci

    HUYO CHAWA BABA LEVO KAZI KULETA FIKRA ZA KITOPOLO TU HAPO STUDIO.😤

  • @jbdellijunior
    @jbdellijunior Před 9 měsíci

    Hakuna mchambuzi hapa 😂 wote wanasiasa za mpira

  • @asifznz
    @asifznz Před 9 měsíci

    Mpira ni magoli 😂😂😂wacha uongo wewe kasema pele mpira magoli

  • @guccij6236
    @guccij6236 Před 9 měsíci

    😂Baba levo

  • @KadabraGadna-xu5ez
    @KadabraGadna-xu5ez Před 9 měsíci

    Mchambuzi huyu fala sana basi ww peleka vyeti uwe kocha wa timu ya taifa mbona ww huingiliwi kwenye taaluma yk Oscar ww msenge

  • @user-do8tq7ec3f
    @user-do8tq7ec3f Před 2 měsíci

    Mpira magoli

  • @mariammbwana9018
    @mariammbwana9018 Před 9 měsíci

    Oscar sio mchambuzi yule sira na yule beki wa kulia wa azam ndio walikuwa mwiba mchungu kwa Yanga

  • @jonasafumwisye6357
    @jonasafumwisye6357 Před 9 měsíci

    Oscar wewe ni Kati ya wachambuzi hovyo kabisa wa Soka, nani alikuambia Feisal ni lazima aitwe stars, Magoli unayosema kazifunga Timu zipi? Mwambieni aoneshe consistency arejeshe kiwango siyo kupiga debe

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri9176 Před 9 měsíci

    Ukimsaliti bibi hata Babu unaweza kumsaliti. Tanzania Kuna wechezaji wengi wapo benchi Feisal Hana kiwango Cha national timu. Mbona wameachwa wengi kv shomari kapombe, zimbwe, timu inasonga mbele.
    Feisal alijiona lulu Kwa kupambwa na wajinga wachache sasa matokeo yake ndio hayo hakuna haja ya kulaumu.

  • @frankkatima607
    @frankkatima607 Před 9 měsíci

    Ukiwa hujavuta bangi unaongea vitu vya maana ila ukishavutia chooni sasa unaongea unavyojua wewe

  • @mastermacheni932
    @mastermacheni932 Před 9 měsíci

    Kipindi kinakufa kwa wajinga wachache

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 9 měsíci

    B LEVO LEO UMEJAMBA 😃,,FEI HAKUPANIA MCHEZO NA NDIO MANA ALICHEZA VZURI JAPO HAWAKUSHINDA NA YEYE HAKUFUNGA(Kacheza kawaida)

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 Před 9 měsíci +2

    Una zeeka vibaya mchezi yupo yeye tu TZ wameachwa wangapi bhana? Chambua kwa akili