Simba SC 4-1 Geita Gold FC | NBC Premier League 21/05/2024
Vložit
- čas přidán 20. 05. 2024
- Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Geita Gold FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa leo Azam Complex, Chamazi.
Geita walitangulia kwa goli la Geofrey Julius dakika ya 11, kabla ya Simba kusawazisha dakika ya 45 kwa penati ya Saidi Ntibazonkiza ambaye pia alifunga la pili dakika ya 72 kwa free-kick.
Aliyekamilisha mabao mawili ya mwisho ni Ladaki Chasambi dakika ya 86 na 90.....
Hazama highlights - Sport
Achana na chasambi em angalia mzamiru anachokifanya ni zaidi ya contribution .. leo maua yangu yote kwa mzamiru Yaassin Selemba 🤚🏻🤚🏻
Sio leo tu ndani ya kikosi ukitoa chama huyo ndo mchezaji bora kasa
@@NasriMohammed-yw7lphata kwa azam mlisema hivohivo
Mgunda pekee ndo huwa analeta magoli meng Simba ❤️❤️❤️😊
Kama anacheza na timu dhaifu anapata sasa subiri KMC mkikutana tena namba tatu inawahusu timu yenu haiko sawa
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naipenda simba milele
Asante Mungu tumeshinda,wachezaji wamepambana Asante sana Mungu awabariki
kazi mzuri kwa majeshi ya simba
Huyu chasambi ni bora kuliko kibu
Simba nguvu moja❤❤❤❤
Chasambi ni hazina ya taifa la TANZANIA
Simba Nguvu Moja 😎
Simbaaaaaaaaaaaaaaaa Angu
Kazi Safi twashukuru❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
Simba jaman amgopi?yaan hadi rahaa simba yangu kufunga magori yote haya. Hivi Mo ulichelewe wapi kumtafuta kaka Mgunda toka mwanzo hadi yanga walikuwa wanatuokota tu kutufunga kama majinga hivi lakini sio mbaya.❤❤👍👍🙏🙏🙏 shukurani nyingi kwa wachezaji❤❤❤😢😢
Mungu isaidie simba
Simba nguvu moja
Hili la mwishoo kipa kapigwa na butwaaa
Tunawashukuru wachezaji mumepambani nembo yetu
Chasambi ni moto
Simba tumepata wa kuziba pengo la sakho nae ni Cha ....... wana🦁 malizieni 🤣
Kisugu alisema kadi nyekundu ya Coast Union iliwasaidia Yanga kushinda mechi vipi kadi nyekundu ya Simba vs Geita Mungu sio Kisugu
Duuu jamani nimeinjoy
Chasambi kama Papi sako...😅
Saido sepa tu
Mimi nasimba dam dam paka kiyama ila sina imani na viongozi
Mimi wakwanza munipe laki sangu
laki sako njoo uchukue..😂
Kwanz juwa kusem nd tukupe izo laki zako😂😂
Laki gan 😮
Kibogoyo kapewa bwimbwi litamshindajeee!
Hatuna laki
Sauti hamna
Utopolo ni wasenge achen wivu na tunawasubir paka nyie
Kapombe hafai kuchezea Simba makosa ni Mengi
Sahihi😅
Mimi nashauri viongozi wa kolo fc Indoeni wazee wote wenye vipara akiwemo Mzamiru, Saidi,Kapombe,Manula, Shabalala,John Boko, na benchi LA ufundi,hasa mkiwaacha waendelee kuwepo wanawaharibia mwenendo wa timu Mgunda na Matola wana majungu hamjawagundua tu
🦁🦁🦁🦁🦁
Kadi nyekundu kisugu haija wanufaisha hpo
Ila Kapombe wajemeni duuh
Like 100 jaman
Unyamani tuu
Yamebebwa huyu refa afungiwe mjinga sana
We fala nn
Ugua pole
pole ndo ukubwa huo punguza makasiriko😂
Hahaha ulibeti?😂😂
We kenge kabebwe na wewe kama ni raha sana
wasenge
Msimu ujao wa kutolewa ni saido na chama tu hao wengine tuwape muda
Ata pa omary jobe unamtaka kaka
Refa ni mshabiki wa simba
Bado ujasema
Na mtasemaaaa❤
Lini mtakubali makosa?
Jobe sioni streka hapo
uyu chachandu atali sana ni mwepesi balaa uyu namtabilia msim ujao atakuwa atali sana
Chachandu tena..🤣🤣 ni chasambi bana sema yupo vizur Aisee 👏🙌🔥
Swa
Yani mechi ya Azam ndo imechezwa mapema na hamjaweka full highlights ila simba wamecheza usiku saa 1 tayari mmeipandisha full highlights mnazingua
Mpira wa machakacha wa azam usifananishe na mpira wakwl wa simb
Chanel yenyew n ya azam cyo ya simba alaumiwe nani kwa mfano
punguza makasiriko😂😂
Mpira gani ulionao we kolo@@user-ud2yi5vg9w
Simba wamebebwa na refa tunaomba tff ichunguze
Labda waje kuchunguza maisha yako😅😅
@@andrewmadaga7913 sisi yanga mabingwa tayari
🎉. C 000=0000=000==0. 00. '. :. Vv. V. Vvv vvvvvv v. V vv. V. V. V. Vv. V. Vvv. Vv. V. V. Vvv v. Vv.
V vv. Vv. V v v. Vv v. Mvvv vvv. Bv vvv. Vvvvvv. Vv v v vv. V. Vvvv. Vvvvvvvvvvv. Bvv vvvvvvvvvvvvvvvvvv. Vvvvv. Vvvvv v. B vv vvvvvv vvbvvvvvv vvvv vvvbbvvvvv vvv. Vvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvv vvvv. V v. Vvvv. V. Vv v. V v b. B. B. Bb b. Bbbvv b vv. V. Vvvv bb. Vvb b. Bvj b v. Bvb bb bbb. Bbbb. Bbj b. B vb. Bbbb bbb bbbbbbbbbbb. Vbbbbbbb bb bbb. Bbj bbbbbvbb. B bbbb:-!:-!;););):-!:-!;);););););):-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-P:-P:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-P:-P:-P😆:-P:-P;):-P:-P;):-P:-P:-P:-Pv. Vvvvv. K. Vv vk vv. Kv v v. :::. Vkvvvv vvvv. V. Vvvvvvg. V:. ,. V. Yu. I. B. U I. I vj. V. V v. M. Y. F. V b. V. "'::😅😅😅 9:50 😅😮😮😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😮😅😅😅😮😮😮 9:50 😮😮 9:50 😮😮😮😮😮😮😮😅😮😮😮😅😮😮😮😮😅😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😅😮 9:50 😮
Saido sepa tu