Simba SC 4-1 Geita Gold FC | NBC Premier League 21/05/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 05. 2024
  • Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Geita Gold FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa leo Azam Complex, Chamazi.
    Geita walitangulia kwa goli la Geofrey Julius dakika ya 11, kabla ya Simba kusawazisha dakika ya 45 kwa penati ya Saidi Ntibazonkiza ambaye pia alifunga la pili dakika ya 72 kwa free-kick.
    Aliyekamilisha mabao mawili ya mwisho ni Ladaki Chasambi dakika ya 86 na 90.....
    Hazama highlights
  • Sport

Komentáře • 75

  • @the_honest_080
    @the_honest_080 Před 24 dny +9

    Achana na chasambi em angalia mzamiru anachokifanya ni zaidi ya contribution .. leo maua yangu yote kwa mzamiru Yaassin Selemba 🤚🏻🤚🏻

  • @YulithaYoram
    @YulithaYoram Před 24 dny +6

    Mgunda pekee ndo huwa analeta magoli meng Simba ❤️❤️❤️😊

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před 24 dny

      Kama anacheza na timu dhaifu anapata sasa subiri KMC mkikutana tena namba tatu inawahusu timu yenu haiko sawa

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 25 dny +7

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @captainjoseph8131
    @captainjoseph8131 Před 24 dny +2

    Naipenda simba milele

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 Před 24 dny +3

    Asante Mungu tumeshinda,wachezaji wamepambana Asante sana Mungu awabariki

  • @fadhilidini1181
    @fadhilidini1181 Před 24 dny +3

    kazi mzuri kwa majeshi ya simba

  • @ammyjr...bestgamer4640
    @ammyjr...bestgamer4640 Před 24 dny +5

    Huyu chasambi ni bora kuliko kibu

  • @SAIDOMMARY
    @SAIDOMMARY Před 24 dny +1

    Simba nguvu moja❤❤❤❤

  • @MtuMBard
    @MtuMBard Před 24 dny +2

    Chasambi ni hazina ya taifa la TANZANIA

  • @nicholausyusti4068
    @nicholausyusti4068 Před 24 dny +2

    Simba Nguvu Moja 😎

  • @athumanmgissasimbadamu3316

    Simbaaaaaaaaaaaaaaaa Angu

  • @STARLINKFILMPRODUCTIONS
    @STARLINKFILMPRODUCTIONS Před 24 dny +2

    Kazi Safi twashukuru❤❤❤❤❤❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 24 dny +2

    Simba jaman amgopi?yaan hadi rahaa simba yangu kufunga magori yote haya. Hivi Mo ulichelewe wapi kumtafuta kaka Mgunda toka mwanzo hadi yanga walikuwa wanatuokota tu kutufunga kama majinga hivi lakini sio mbaya.❤❤👍👍🙏🙏🙏 shukurani nyingi kwa wachezaji❤❤❤😢😢

  • @RajabuHamisi-do5um
    @RajabuHamisi-do5um Před 24 dny

    Mungu isaidie simba

  • @hassanially1773
    @hassanially1773 Před 24 dny +1

    Simba nguvu moja

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k Před 24 dny +3

    Hili la mwishoo kipa kapigwa na butwaaa

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 Před 25 dny +3

    Tunawashukuru wachezaji mumepambani nembo yetu

  • @MusaClement-tw6om
    @MusaClement-tw6om Před 24 dny +2

    Chasambi ni moto

  • @JosephMroki-gg9nc
    @JosephMroki-gg9nc Před 24 dny +2

    Simba tumepata wa kuziba pengo la sakho nae ni Cha ....... wana🦁 malizieni 🤣

  • @jabirmfinanga8980
    @jabirmfinanga8980 Před 24 dny

    Kisugu alisema kadi nyekundu ya Coast Union iliwasaidia Yanga kushinda mechi vipi kadi nyekundu ya Simba vs Geita Mungu sio Kisugu

  • @ChristopherMambwe-tg6rx
    @ChristopherMambwe-tg6rx Před 24 dny +1

    Duuu jamani nimeinjoy

  • @l.t2552
    @l.t2552 Před 24 dny +2

    Chasambi kama Papi sako...😅

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 Před 23 dny +2

    Saido sepa tu

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před 25 dny +3

    Mimi nasimba dam dam paka kiyama ila sina imani na viongozi

  • @DanielSilanga
    @DanielSilanga Před 25 dny +22

    Mimi wakwanza munipe laki sangu

  • @hamadali3231
    @hamadali3231 Před 24 dny +1

    Sauti hamna

  • @LovelyBakedBuns-ue7un
    @LovelyBakedBuns-ue7un Před 24 dny +2

    Utopolo ni wasenge achen wivu na tunawasubir paka nyie

  • @mpamilamihayo7266
    @mpamilamihayo7266 Před 24 dny +2

    Kapombe hafai kuchezea Simba makosa ni Mengi

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 Před 24 dny +2

    Mimi nashauri viongozi wa kolo fc Indoeni wazee wote wenye vipara akiwemo Mzamiru, Saidi,Kapombe,Manula, Shabalala,John Boko, na benchi LA ufundi,hasa mkiwaacha waendelee kuwepo wanawaharibia mwenendo wa timu Mgunda na Matola wana majungu hamjawagundua tu

  • @LazaroLetema
    @LazaroLetema Před 24 dny

    🦁🦁🦁🦁🦁

  • @HajiJuma-oy1jy
    @HajiJuma-oy1jy Před 24 dny +1

    Kadi nyekundu kisugu haija wanufaisha hpo

  • @fidelismomburi1284
    @fidelismomburi1284 Před 23 dny

    Ila Kapombe wajemeni duuh

  • @DavidDamas-nl2lk
    @DavidDamas-nl2lk Před 25 dny +7

    Like 100 jaman

  • @FrancisMshakangoto
    @FrancisMshakangoto Před 24 dny

    Unyamani tuu

  • @roberttendewa1753
    @roberttendewa1753 Před 24 dny +3

    Yamebebwa huyu refa afungiwe mjinga sana

  • @abdallasaid5199
    @abdallasaid5199 Před 24 dny

    wasenge

  • @leeskillz3734
    @leeskillz3734 Před 25 dny +2

    Msimu ujao wa kutolewa ni saido na chama tu hao wengine tuwape muda

  • @okellorichard3985
    @okellorichard3985 Před 24 dny +1

    Refa ni mshabiki wa simba

  • @isaacimani3228
    @isaacimani3228 Před 24 dny +2

    Jobe sioni streka hapo

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl

    uyu chachandu atali sana ni mwepesi balaa uyu namtabilia msim ujao atakuwa atali sana

    • @andrewmadaga7913
      @andrewmadaga7913 Před 22 dny

      Chachandu tena..🤣🤣 ni chasambi bana sema yupo vizur Aisee 👏🙌🔥

  • @SwalehekomboKombo
    @SwalehekomboKombo Před 24 dny

    Swa

  • @DominicAndrew-yp5el
    @DominicAndrew-yp5el Před 25 dny

    Yani mechi ya Azam ndo imechezwa mapema na hamjaweka full highlights ila simba wamecheza usiku saa 1 tayari mmeipandisha full highlights mnazingua

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před 24 dny +1

    Simba wamebebwa na refa tunaomba tff ichunguze

  • @omarykifimbo3313
    @omarykifimbo3313 Před 24 dny +1

    🎉. C 000=0000=000==0. 00. '. :. Vv. V. Vvv vvvvvv v. V vv. V. V. V. Vv. V. Vvv. Vv. V. V. Vvv v. Vv.
    V vv. Vv. V v v. Vv v. Mvvv vvv. Bv vvv. Vvvvvv. Vv v v vv. V. Vvvv. Vvvvvvvvvvv. Bvv vvvvvvvvvvvvvvvvvv. Vvvvv. Vvvvv v. B vv vvvvvv vvbvvvvvv vvvv vvvbbvvvvv vvv. Vvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvvv vvvv. V v. Vvvv. V. Vv v. V v b. B. B. Bb b. Bbbvv b vv. V. Vvvv bb. Vvb b. Bvj b v. Bvb bb bbb. Bbbb. Bbj b. B vb. Bbbb bbb bbbbbbbbbbb. Vbbbbbbb bb bbb. Bbj bbbbbvbb. B bbbb:-!:-!;););):-!:-!;);););););):-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-P:-P:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-!:-P:-P:-P😆:-P:-P;):-P:-P;):-P:-P:-P:-Pv. Vvvvv. K. Vv vk vv. Kv v v. :::. Vkvvvv vvvv. V. Vvvvvvg. V:. ,. V. Yu. I. B. U I. I vj. V. V v. M. Y. F. V b. V. "'::😅😅😅 9:50 😅😮😮😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😮😅😅😅😮😮😮 9:50 😮😮 9:50 😮😮😮😮😮😮😮😅😮😮😮😅😮😮😮😮😅😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😅😮 9:50 😮

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 Před 23 dny +1

    Saido sepa tu