I feel your pain brother 😥😥nishaawai fanya contract na studio moja apa kenya, now is 6 years since that contract was signed bt hio project bado haijawai kuarelease... Mateso tu na kunyimwa haki, bt now am doing my own thing ...... Ata kama ni kuende kwa choo na kichukua video nieke CZcams I will do Bora sita kazi na studio anymore
So painful 😥😥, Don't give up #Harmonize May God protect you and may your wishes and dreams come true 🤲🤲🙏🙏Just believe in God Everything will ouky Because God's time is always the best
Kaza buti mwanangu mungu amekupa kipaji kitumie utaulizwa na mungu siku ya mwisho juu ya talanta ulizopewa achana na waswahili huyo ni Kama mo wa Simba
Uyu dogo tulimheshim sana. Lakin kwa UONGEAJI HUU kama bint wa uswahilini, imemshusha sana sana sana... Yani angekua tu cool afanye yake watu waone vitendo.. kwa mdomo huo daah Amejirudisha nyuma sana kwa watu wente class zao kumheshimu..
Hawezi kurudi nyuma cos kwenye label yalotoka wanamsema Sana vibaya wanamuundia mpka machawa ili wamshushe kimziki lkn mungu yupo na yeye ameshajishusha Sana kila siku wanamsema akitoa nyimbo machawa wanaanza nyimbo mbovu ndo nn hicho
Achana na mjinga km mashabiki tupo kwa Sana tambua yakua yeye sio mungu hawezi kukuzibia liziki liziki hutoka mungu na si binadam Ila pole na misuko suko ipo siku mungu atakulipia ,
Maneno ni Mengi Ila kuna haja ya hawa wasanii wetu kujiridhisha na Aina ya mikataba wanayoingia na lebo/makampuni vile wakifanikiwa ndio wanagundua kuwa walifanya Makosa kwenye mikataba Yao halafu wanategemea huruma ya wananchi kupitia media
Sasa umetuambia yote hayo,, unataka tufanyeje? Ama umemumiss bossi wako wa awali tukuombee msamaha..Wewe ni mzuri haukosei MashaAllah.. Lakini ungetutajia mapungufu yako japo kidogo..
Mm naswali bro natoka Kenya .kunaonyesha Kuna kitu mlishea sasa anaona akikubali anajua ww utazidi kuvuka. Sasa ww Eka mungu mbele. Alafu dawa za mwisho
Kwendeni zenu. Nyote ni washirikina. Hamuimbi bila ushirikina. Freemason nyie. Wenzenu wangapi wana struggle kuimba na ni wazuri sana lakini bila ya majuju na mahirizi na kutoingia Freemason basi hufiki popote.
Wengine nawashangaa ushabiki maandazi pakulala kwako Shida kula matatizo eti wajibu pigo nani asiowajua kwenda Aaaa hata wakijibu hatuwaogopi wala wlhawatutishi wachawi wakubwa
Aisee konde una moyo kwa mapito ulio pitia Ila usihofu Mungu asimame nawe 🙏🙏🙏
*Waaah!! Kumbe Diamond Ako na roho mbaya hivo*
nilijua time waligeuka mzee abdul, na kutoka hiyo time havumi sana
Sana mjinga sana Diamond ana roho mbaya ndio maana alimdhalilisha mzee Abdul na alimllea
Mzee Abdul alimlani kitambo huyo
@@janekavere 😂😂😂
Pamoja sana Konde wangu
kwa kweli unanitowa machozi Yaani unapata mitihani migumu pole sana lakini M/Mungu yupo nawe wakati wote. Aamiin🙏🏼😍
Oe Hamo...big up brother yaani mzee baba wee ni mjeshi kweli n wala sio longo longo i pray for you pambanaaaa don't worry Mungu yupo nasi🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊
Love you harmonize from the start
Hiyo hirizi imeisha oza ndiyo maana jeshi kapata courage ya kutapika ukweli wote
I feel your pain brother 😥😥nishaawai fanya contract na studio moja apa kenya, now is 6 years since that contract was signed bt hio project bado haijawai kuarelease... Mateso tu na kunyimwa haki, bt now am doing my own thing ...... Ata kama ni kuende kwa choo na kichukua video nieke CZcams I will do Bora sita kazi na studio anymore
We gat you bro Kenya 🥰
So painful 😥😥, Don't give up #Harmonize May God protect you and may your wishes and dreams come true 🤲🤲🙏🙏Just believe in God Everything will ouky Because God's time is always the best
Diamond ni mswahili japo kuwa ametoboa
Hapo umesema
This the same thing Diamond did to Rich Mavoko.....
If whatever Harmonize has said is true then Diamond is not a human
His dybolic
Kabisa. I’m disappointed with Diamond sio mtu mzuri
The same thing Diamond did to Rich Mavoko
Kumbe ndio maana unaitwa jeshiiiiiiiiii acha na Mimi nipambane umenifanya nilie
Polesana nduguyangu usifatene namanenoyawatu muombe mungu utashindatui iyilonijaribu itapitatuuuu
Much love and respect Bro i think it's always good and right to put things on light at least now we know. Much much love Brother respect
Pppppppp
P
Very true
czcams.com/video/P9oyLQv-HEs/video.html
@@betsyakoko6810 czcams.com/video/P9oyLQv-HEs/video.html
Noma Sana naitwa japhetizo toka njombe kusin nafanya mziki ingia youtube searchi japhetizo utapata ngoma Kali zote Asante
Daah usilolijua ni kama usiku wa giza jmn pole🎉🎉🎉🎉
TULIHAMA wasafi kwa UJINGAH Wao, Wapuuzi sanah
czcams.com/video/P9oyLQv-HEs/video.html
🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Your no # 1fun Harmonize keep it up.I feel your pain
I love Tanzania bongo music I mean their music is on another lever but my favorite is harmonize
Pole sana konde gang pambana sana brother
I appreciate you harmonize
Harmonize kuja mombasaaaa kenya 🇰🇪🇰🇪 usha tengeneza jeshi huku kuja kamanda respect
Very painful😭😭but continue working smart hermonise
Duuuu pole sana kijana daaaa. M m m. Kweri TULICHUKIA KUMBEEEE NDIO HIVIIII DAAAA POLEEE KIJANA
Siri ya mtungi aijuae ukata.
Leo mtungi umevunjika Siri nje.🤭😁😁😁
❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏 DIAMOND IS DEAD MAN WORKING BAD MAN
Whatever harmonize is telling people it's very true and you can just tell from his face
True Bro 4 Sure This Is Coming From His Heart
Harmonize jembe 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💯☑️
Harmonize uko sawa broo
Mungu akupe kila la heri Tembo muti uliyo pandwa na mungu hakuna mwana damu wa kuwongowaa
Harmonize pambana ii Dunia ni yamungu wote tunapita
Shetani alipokuwa anataka kuwa mungu mungu alimfukuza mbinguni kinachomuuma harmonize nihaelewi nafac ake na alipo
Harmonize is de Best 🔥🔥🔥
Diamond issa witch for real .Who does this??
Mob love 😍😍😍 to Konde boy from 🇰🇪
Harmonize wachana na wenye uwivu. This message is from Kenya 🇰🇪
Mwaga yote baba hawatutishiiii kondegang for everybody jeshiiiiiii mwaga yote
Wagapi tutamsupport na kumfollow harmo ...
Diamond anawivu Sana mkundu wake pamoja na hiyo wasafi yake Kuma yeye
Jeshi inakufaa sana bro
All in all unapambana xana bro
Kaza buti mwanangu mungu amekupa kipaji kitumie utaulizwa na mungu siku ya mwisho juu ya talanta ulizopewa achana na waswahili huyo ni Kama mo wa Simba
Wewe mambo yamechacha ndio unamwaga mabaya iyo kawaida katikamaisha utakuw unahadisia kilasiku ndio dunia iyo
Wow wale watu wanyama🙄🙄 diamond clean your heart uende mbinguni huo sio uislam
Kumbe anaroho mbaya sana hivo huyo jamaa diamond
Pole sana konde
Uyu dogo tulimheshim sana. Lakin kwa UONGEAJI HUU kama bint wa uswahilini, imemshusha sana sana sana... Yani angekua tu cool afanye yake watu waone vitendo.. kwa mdomo huo daah Amejirudisha nyuma sana kwa watu wente class zao kumheshimu..
Hawezi kurudi nyuma cos kwenye label yalotoka wanamsema Sana vibaya wanamuundia mpka machawa ili wamshushe kimziki lkn mungu yupo na yeye ameshajishusha Sana kila siku wanamsema akitoa nyimbo machawa wanaanza nyimbo mbovu ndo nn hicho
Wewe ndo unafeli
Pumbafu we ...hujui kupambana mtoto wa mama
Uko juu sana mshit chib
Diamond Nimchawi wa kawaida
Mmm sipendi kumsema nassib hafu wewe napenda unavyo imba lakini makelele unayo fanya sipendi
Achana na mjinga km mashabiki tupo kwa Sana tambua yakua yeye sio mungu hawezi kukuzibia liziki liziki hutoka mungu na si binadam Ila pole na misuko suko ipo siku mungu atakulipia ,
czcams.com/video/P9oyLQv-HEs/video.html
Kila siku watu wakisema simba mchawi na kamkataa baba yake sio mtu mzuri ni mchawi sasa wata amini🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️
Utungu bana
We banae, makubwa, siri ulikuwa nayo kweli, wakuache bwana, umewazidi wote bro
Kondeee boy
czcams.com/video/P9oyLQv-HEs/video.html
Ni kweli tena pole jeshi huyo asikutishe
Mambo ya umasini ama utajili kawaida sema uki tubu zambi uta kuwa ume fa nikiwa
Pole piga kazi konde tupopamoja
Wakumtegemea Allah pekee
czcams.com/video/P9oyLQv-HEs/video.html
Maneno ni Mengi Ila kuna haja ya hawa wasanii wetu kujiridhisha na Aina ya mikataba wanayoingia na lebo/makampuni vile wakifanikiwa ndio wanagundua kuwa walifanya Makosa kwenye mikataba Yao halafu wanategemea huruma ya wananchi kupitia media
Waah I knew from the start that diamond was not a good person at all... Sitwahi Tena kuskiza muziki wako nguruwe ww
Sasa umetuambia yote hayo,, unataka tufanyeje? Ama umemumiss bossi wako wa awali tukuombee msamaha..Wewe ni mzuri haukosei MashaAllah.. Lakini ungetutajia mapungufu yako japo kidogo..
big up
Mm naswali bro natoka Kenya .kunaonyesha Kuna kitu mlishea sasa anaona akikubali anajua ww utazidi kuvuka. Sasa ww Eka mungu mbele. Alafu dawa za mwisho
Roho za kiafrika ziko ivo bro mtu atakusaidia ili watu wamsifie ila sio wewe unufaike kumliko
Jeshiiiii
Inasikitisha sana sasa Watanzania wengi wamejua ukweli Diamond atakosa thamani yake itashuka sana
Keke
Umenifulaisha kwa kujali ndugu zako nyuma wote ubalikiwe
Airport security wangemtoa apo akafanyie media zake uswahilin uko
Pole sana bro diamond ni ndoki
Irizi ni nini?? Hata kiswahili hamjui??
Kwendeni zenu. Nyote ni washirikina. Hamuimbi bila ushirikina. Freemason nyie. Wenzenu wangapi wana struggle kuimba na ni wazuri sana lakini bila ya majuju na mahirizi na kutoingia Freemason basi hufiki popote.
Nami pia nitasajiliwa
Duniani sote tunapita
Najua ni namna ya kubust album yako
Harmonize ana ushoga sana , sasa unarekodi watu iweje. Mambo ya kinadada hayo. Apo Ndio umekosea.
Kimtoshacho binadamu ni mchanga (udogo) tu
Kujiita jeshii kunasababu kweli kweli
Msema pekee siku zote hubakia kua mkweli,bt subiri wajibu pigo lako mjomba
Mwanaume.ckuzote ni yule anae sema ukweli
@@samiridicksoni9067 Umeonaeee 💪
wajibu pigo gani sasa kwa mfano ukweli wote umeongelewa eti maana ukweli ushaongelewa na tunahama wcb kuanzia kuda huu
Wengine nawashangaa ushabiki maandazi pakulala kwako Shida kula matatizo eti wajibu pigo nani asiowajua kwenda Aaaa hata wakijibu hatuwaogopi wala wlhawatutishi wachawi wakubwa
@@missmwayway4704 umeona nini acheni uchwa washamba nyinyi
Harmoniza anaujasiri sana
Unanjaaa simba humuwezi
Diamond is not God keep on the world is waiting for you .. Kenyans are happy about you..
Ukinizingua tunazinguana je ulifanya kosa gani mpaka akakwambia hvo without any problem akwambie tu hvo sema na mazuri aliyokufanyia sasa
mimi ni mkongo Nipo uvira
Tukopamoja nakukubali mwamba
Tuko pamoja usijal haya maisha tu!
Go on boy
Mnafiki asira yakuto sapotiwa marekani
Maneno yapo hata kwenye familia .itakuwa hapo sio familia moja.
Mwizi huyo diamond
Ndo Kiba aligoma kutoa mkono
Povu tuu hilo. Hata wewe nimchawi tuu. Daimondi atabaki kuwa juuu.
Huwezi chukiwa na kila mtu jeshiiii
Kwa maneno hayo hamtopatana..
Hakika diamond ni moja kati ya viumbe hatari sana,haifai hata kuishi,yaani amsaidie MTU halafu amfanyie mabaya yote hayo?! Kweli domo ni mbaya sana!!
Dah? Noma
Kama uko serious na nikwely kwann umrekodi mty inamaanisha kwamba Kuna upuzi ulikuwa unaandaa
Dogo komaa unapambanasana usiogope sio mungu huyo