Uwezi Amini DIAMOND Alinionesha Irizi Nakuniambia Nipe Mkono Tushindane

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 232

  • @innocentjoram4154
    @innocentjoram4154 Před 2 lety +14

    Aisee konde una moyo kwa mapito ulio pitia Ila usihofu Mungu asimame nawe 🙏🙏🙏

  • @alfabraxton
    @alfabraxton Před 2 lety +13

    *Waaah!! Kumbe Diamond Ako na roho mbaya hivo*

    • @wangash6144
      @wangash6144 Před 2 lety +3

      nilijua time waligeuka mzee abdul, na kutoka hiyo time havumi sana

    • @eshyndibalema1529
      @eshyndibalema1529 Před 2 lety +2

      Sana mjinga sana Diamond ana roho mbaya ndio maana alimdhalilisha mzee Abdul na alimllea

    • @janekavere
      @janekavere Před 2 lety +1

      Mzee Abdul alimlani kitambo huyo

    • @annastaziamichael6344
      @annastaziamichael6344 Před 2 lety

      @@janekavere 😂😂😂

  • @hadija846
    @hadija846 Před 2 lety +13

    Pamoja sana Konde wangu
    kwa kweli unanitowa machozi Yaani unapata mitihani migumu pole sana lakini M/Mungu yupo nawe wakati wote. Aamiin🙏🏼😍

  • @mohammedathman5816
    @mohammedathman5816 Před 2 lety +3

    Oe Hamo...big up brother yaani mzee baba wee ni mjeshi kweli n wala sio longo longo i pray for you pambanaaaa don't worry Mungu yupo nasi🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊

  • @tonystonekimutai7899
    @tonystonekimutai7899 Před 2 lety +6

    Love you harmonize from the start

  • @cheupestefano5424
    @cheupestefano5424 Před 2 lety +10

    Hiyo hirizi imeisha oza ndiyo maana jeshi kapata courage ya kutapika ukweli wote

  • @MCKYEKALOU254
    @MCKYEKALOU254 Před 2 lety +5

    I feel your pain brother 😥😥nishaawai fanya contract na studio moja apa kenya, now is 6 years since that contract was signed bt hio project bado haijawai kuarelease... Mateso tu na kunyimwa haki, bt now am doing my own thing ...... Ata kama ni kuende kwa choo na kichukua video nieke CZcams I will do Bora sita kazi na studio anymore

  • @brendamercy4508
    @brendamercy4508 Před 2 lety +9

    We gat you bro Kenya 🥰

  • @kadzopurity7944
    @kadzopurity7944 Před 2 lety +2

    So painful 😥😥, Don't give up #Harmonize May God protect you and may your wishes and dreams come true 🤲🤲🙏🙏Just believe in God Everything will ouky Because God's time is always the best

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 Před 2 lety +9

    Diamond ni mswahili japo kuwa ametoboa

  • @NaomyNyanyuki
    @NaomyNyanyuki Před 2 lety +8

    This the same thing Diamond did to Rich Mavoko.....

  • @naftalynaff7811
    @naftalynaff7811 Před 2 lety +34

    If whatever Harmonize has said is true then Diamond is not a human

  • @NduwimanaSammy
    @NduwimanaSammy Před 2 lety +15

    Kumbe ndio maana unaitwa jeshiiiiiiiiii acha na Mimi nipambane umenifanya nilie

  • @uyangasaidi785
    @uyangasaidi785 Před 2 lety +2

    Polesana nduguyangu usifatene namanenoyawatu muombe mungu utashindatui iyilonijaribu itapitatuuuu

  • @sir.opondojunior9989
    @sir.opondojunior9989 Před 2 lety +13

    Much love and respect Bro i think it's always good and right to put things on light at least now we know. Much much love Brother respect

  • @joshuakusaga9407
    @joshuakusaga9407 Před rokem

    Noma Sana naitwa japhetizo toka njombe kusin nafanya mziki ingia youtube searchi japhetizo utapata ngoma Kali zote Asante

  • @MerlinaKubadesha
    @MerlinaKubadesha Před 6 dny

    Daah usilolijua ni kama usiku wa giza jmn pole🎉🎉🎉🎉

  • @skydaddy6832
    @skydaddy6832 Před 2 lety +8

    TULIHAMA wasafi kwa UJINGAH Wao, Wapuuzi sanah

  • @kabuenakorodmusic5457
    @kabuenakorodmusic5457 Před 2 lety +3

    Your no # 1fun Harmonize keep it up.I feel your pain

  • @waitheranderitu4297
    @waitheranderitu4297 Před 2 lety +3

    I love Tanzania bongo music I mean their music is on another lever but my favorite is harmonize

  • @hawagkalume9016
    @hawagkalume9016 Před rokem +1

    Pole sana konde gang pambana sana brother

  • @fizzyblinkboy
    @fizzyblinkboy Před rokem +1

    I appreciate you harmonize

  • @mariamzara5498
    @mariamzara5498 Před 2 lety

    Harmonize kuja mombasaaaa kenya 🇰🇪🇰🇪 usha tengeneza jeshi huku kuja kamanda respect

  • @andrewodionyi4563
    @andrewodionyi4563 Před 2 lety +3

    Very painful😭😭but continue working smart hermonise

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 2 lety

    Duuuu pole sana kijana daaaa. M m m. Kweri TULICHUKIA KUMBEEEE NDIO HIVIIII DAAAA POLEEE KIJANA

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 Před 2 lety +4

    Siri ya mtungi aijuae ukata.
    Leo mtungi umevunjika Siri nje.🤭😁😁😁

  • @malkoabdi
    @malkoabdi Před 2 lety +6

    ❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏 DIAMOND IS DEAD MAN WORKING BAD MAN

  • @mwajitajunior7633
    @mwajitajunior7633 Před 2 lety +7

    Whatever harmonize is telling people it's very true and you can just tell from his face

    • @georgenjeri8547
      @georgenjeri8547 Před 9 měsíci

      True Bro 4 Sure This Is Coming From His Heart

  • @thomasphilimonmolel8855

    Harmonize jembe 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💯☑️

  • @natashaamanda6234
    @natashaamanda6234 Před 2 lety

    Harmonize uko sawa broo

  • @stsg2769
    @stsg2769 Před 2 lety +2

    Mungu akupe kila la heri Tembo muti uliyo pandwa na mungu hakuna mwana damu wa kuwongowaa

  • @samiridicksoni9067
    @samiridicksoni9067 Před 2 lety +7

    Harmonize pambana ii Dunia ni yamungu wote tunapita

  • @user-wv1qy6uk6c
    @user-wv1qy6uk6c Před 9 měsíci

    Shetani alipokuwa anataka kuwa mungu mungu alimfukuza mbinguni kinachomuuma harmonize nihaelewi nafac ake na alipo

  • @elizaberthpius4511
    @elizaberthpius4511 Před 2 lety +1

    Harmonize is de Best 🔥🔥🔥

  • @dorcasshish5359
    @dorcasshish5359 Před 2 lety +2

    Diamond issa witch for real .Who does this??

  • @nellyatsango1399
    @nellyatsango1399 Před 2 lety

    Mob love 😍😍😍 to Konde boy from 🇰🇪

  • @christineonyango5903
    @christineonyango5903 Před 2 lety

    Harmonize wachana na wenye uwivu. This message is from Kenya 🇰🇪

  • @winniemwesh5557
    @winniemwesh5557 Před 2 lety +4

    Mwaga yote baba hawatutishiiii kondegang for everybody jeshiiiiiii mwaga yote

  • @mercywagaki4154
    @mercywagaki4154 Před 2 lety

    Wagapi tutamsupport na kumfollow harmo ...

  • @saidimwandoro7455
    @saidimwandoro7455 Před 2 lety +2

    Diamond anawivu Sana mkundu wake pamoja na hiyo wasafi yake Kuma yeye

  • @GkMbichwa
    @GkMbichwa Před 2 měsíci

    Jeshi inakufaa sana bro

  • @maximemaxime-rf1jb
    @maximemaxime-rf1jb Před měsícem

    All in all unapambana xana bro

  • @aminamsimbe4034
    @aminamsimbe4034 Před 2 lety +1

    Kaza buti mwanangu mungu amekupa kipaji kitumie utaulizwa na mungu siku ya mwisho juu ya talanta ulizopewa achana na waswahili huyo ni Kama mo wa Simba

  • @frdmedia6235
    @frdmedia6235 Před 2 lety +3

    Wewe mambo yamechacha ndio unamwaga mabaya iyo kawaida katikamaisha utakuw unahadisia kilasiku ndio dunia iyo

  • @mafedhakhalfani3275
    @mafedhakhalfani3275 Před 2 lety +1

    Wow wale watu wanyama🙄🙄 diamond clean your heart uende mbinguni huo sio uislam

  • @issamasoud4756
    @issamasoud4756 Před 2 lety +1

    Kumbe anaroho mbaya sana hivo huyo jamaa diamond

  • @qatarmobaile2153
    @qatarmobaile2153 Před 2 lety

    Pole sana konde

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 Před 2 lety +5

    Uyu dogo tulimheshim sana. Lakin kwa UONGEAJI HUU kama bint wa uswahilini, imemshusha sana sana sana... Yani angekua tu cool afanye yake watu waone vitendo.. kwa mdomo huo daah Amejirudisha nyuma sana kwa watu wente class zao kumheshimu..

    • @happynessbenard1319
      @happynessbenard1319 Před 2 lety

      Hawezi kurudi nyuma cos kwenye label yalotoka wanamsema Sana vibaya wanamuundia mpka machawa ili wamshushe kimziki lkn mungu yupo na yeye ameshajishusha Sana kila siku wanamsema akitoa nyimbo machawa wanaanza nyimbo mbovu ndo nn hicho

    • @richardmweri7918
      @richardmweri7918 Před 2 lety +1

      Wewe ndo unafeli

    • @andrewmethors5837
      @andrewmethors5837 Před 2 lety

      Pumbafu we ...hujui kupambana mtoto wa mama

  • @krifodysharifu291
    @krifodysharifu291 Před 2 lety

    Uko juu sana mshit chib

  • @omarbachu1074
    @omarbachu1074 Před 2 lety +1

    Diamond Nimchawi wa kawaida

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 Před 2 lety +1

    Mmm sipendi kumsema nassib hafu wewe napenda unavyo imba lakini makelele unayo fanya sipendi

  • @johncharles9439
    @johncharles9439 Před 2 lety +1

    Achana na mjinga km mashabiki tupo kwa Sana tambua yakua yeye sio mungu hawezi kukuzibia liziki liziki hutoka mungu na si binadam Ila pole na misuko suko ipo siku mungu atakulipia ,

  • @shabaniguma8696
    @shabaniguma8696 Před 2 lety +1

    Kila siku watu wakisema simba mchawi na kamkataa baba yake sio mtu mzuri ni mchawi sasa wata amini🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️

  • @robertmutasi7546
    @robertmutasi7546 Před 2 lety

    Utungu bana

  • @caretakerwajela4194
    @caretakerwajela4194 Před 2 lety

    We banae, makubwa, siri ulikuwa nayo kweli, wakuache bwana, umewazidi wote bro

  • @duncangichure6090
    @duncangichure6090 Před 2 lety +3

    Kondeee boy

  • @aminatanditse4987
    @aminatanditse4987 Před 2 lety

    Ni kweli tena pole jeshi huyo asikutishe

  • @mariamrio8236
    @mariamrio8236 Před 2 lety +1

    Mambo ya umasini ama utajili kawaida sema uki tubu zambi uta kuwa ume fa nikiwa

  • @saraphinajoely7047
    @saraphinajoely7047 Před 2 lety

    Pole piga kazi konde tupopamoja

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Před 2 lety +3

    Wakumtegemea Allah pekee

  • @donprinceabselhalims7421
    @donprinceabselhalims7421 Před 2 lety +1

    Maneno ni Mengi Ila kuna haja ya hawa wasanii wetu kujiridhisha na Aina ya mikataba wanayoingia na lebo/makampuni vile wakifanikiwa ndio wanagundua kuwa walifanya Makosa kwenye mikataba Yao halafu wanategemea huruma ya wananchi kupitia media

  • @harrietmurugi4345
    @harrietmurugi4345 Před 2 lety +5

    Waah I knew from the start that diamond was not a good person at all... Sitwahi Tena kuskiza muziki wako nguruwe ww

  • @sharrifidris3422
    @sharrifidris3422 Před 2 lety

    Sasa umetuambia yote hayo,, unataka tufanyeje? Ama umemumiss bossi wako wa awali tukuombee msamaha..Wewe ni mzuri haukosei MashaAllah.. Lakini ungetutajia mapungufu yako japo kidogo..

  • @safirisalama6912
    @safirisalama6912 Před 2 lety

    big up

  • @aluwiakatana1020
    @aluwiakatana1020 Před 2 lety

    Mm naswali bro natoka Kenya .kunaonyesha Kuna kitu mlishea sasa anaona akikubali anajua ww utazidi kuvuka. Sasa ww Eka mungu mbele. Alafu dawa za mwisho

  • @gugahmediaafrica9405
    @gugahmediaafrica9405 Před 2 lety +1

    Roho za kiafrika ziko ivo bro mtu atakusaidia ili watu wamsifie ila sio wewe unufaike kumliko

  • @kelvinjuma9646
    @kelvinjuma9646 Před 2 lety

    Jeshiiiii

  • @madaiincubationcenter4947

    Inasikitisha sana sasa Watanzania wengi wamejua ukweli Diamond atakosa thamani yake itashuka sana

  • @irenemsamba4763
    @irenemsamba4763 Před 2 lety

    Keke

  • @fintaniferx9535
    @fintaniferx9535 Před 2 lety

    Umenifulaisha kwa kujali ndugu zako nyuma wote ubalikiwe

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 Před 2 lety +1

    Airport security wangemtoa apo akafanyie media zake uswahilin uko

  • @mtsifabregascongo5654
    @mtsifabregascongo5654 Před 2 lety

    Pole sana bro diamond ni ndoki

  • @jamesmwandepu9613
    @jamesmwandepu9613 Před 2 lety

    Irizi ni nini?? Hata kiswahili hamjui??

  • @suleimanmbarak1260
    @suleimanmbarak1260 Před 2 lety

    Kwendeni zenu. Nyote ni washirikina. Hamuimbi bila ushirikina. Freemason nyie. Wenzenu wangapi wana struggle kuimba na ni wazuri sana lakini bila ya majuju na mahirizi na kutoingia Freemason basi hufiki popote.

  • @hawagkalume9016
    @hawagkalume9016 Před rokem

    Nami pia nitasajiliwa

  • @rosemwaka2924
    @rosemwaka2924 Před 2 lety +1

    Duniani sote tunapita

  • @mcrago8805
    @mcrago8805 Před 2 lety +2

    Najua ni namna ya kubust album yako

  • @AfroMedic
    @AfroMedic Před 2 lety

    Harmonize ana ushoga sana , sasa unarekodi watu iweje. Mambo ya kinadada hayo. Apo Ndio umekosea.

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross1132 Před 2 lety +1

    Kimtoshacho binadamu ni mchanga (udogo) tu

  • @hgcbj635
    @hgcbj635 Před 2 lety +1

    Kujiita jeshii kunasababu kweli kweli

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 Před 2 lety +4

    Msema pekee siku zote hubakia kua mkweli,bt subiri wajibu pigo lako mjomba

    • @samiridicksoni9067
      @samiridicksoni9067 Před 2 lety +5

      Mwanaume.ckuzote ni yule anae sema ukweli

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 Před 2 lety +1

      @@samiridicksoni9067 Umeonaeee 💪

    • @saidomary3645
      @saidomary3645 Před 2 lety +3

      wajibu pigo gani sasa kwa mfano ukweli wote umeongelewa eti maana ukweli ushaongelewa na tunahama wcb kuanzia kuda huu

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 2 lety

      Wengine nawashangaa ushabiki maandazi pakulala kwako Shida kula matatizo eti wajibu pigo nani asiowajua kwenda Aaaa hata wakijibu hatuwaogopi wala wlhawatutishi wachawi wakubwa

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 2 lety

      @@missmwayway4704 umeona nini acheni uchwa washamba nyinyi

  • @lucykiddo225
    @lucykiddo225 Před 2 lety

    Harmoniza anaujasiri sana

  • @ImuDabo
    @ImuDabo Před 9 měsíci

    Unanjaaa simba humuwezi

  • @ocholarose4654
    @ocholarose4654 Před 2 lety +1

    Diamond is not God keep on the world is waiting for you .. Kenyans are happy about you..

  • @clementgabriel1708
    @clementgabriel1708 Před 2 lety

    Ukinizingua tunazinguana je ulifanya kosa gani mpaka akakwambia hvo without any problem akwambie tu hvo sema na mazuri aliyokufanyia sasa

  • @alainebengasaligo7447
    @alainebengasaligo7447 Před 2 lety

    mimi ni mkongo Nipo uvira

  • @AmisiJaribuni-gz1zd
    @AmisiJaribuni-gz1zd Před rokem

    Tukopamoja nakukubali mwamba

  • @dianasospeter1708
    @dianasospeter1708 Před 2 lety

    Tuko pamoja usijal haya maisha tu!

  • @bonifacelutumo1196
    @bonifacelutumo1196 Před 2 lety

    Go on boy

  • @habimanaseraphin8124
    @habimanaseraphin8124 Před 2 lety

    Mnafiki asira yakuto sapotiwa marekani

  • @shirfadigubike7920
    @shirfadigubike7920 Před 2 lety

    Maneno yapo hata kwenye familia .itakuwa hapo sio familia moja.

  • @daudimwamwaja5128
    @daudimwamwaja5128 Před 2 lety

    Mwizi huyo diamond

  • @emmanuelndahan9815
    @emmanuelndahan9815 Před 2 lety

    Ndo Kiba aligoma kutoa mkono

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya7728 Před 2 lety

    Povu tuu hilo. Hata wewe nimchawi tuu. Daimondi atabaki kuwa juuu.

  • @lucymacha1853
    @lucymacha1853 Před 2 lety +1

    Huwezi chukiwa na kila mtu jeshiiii

  • @chibamaroofrank9942
    @chibamaroofrank9942 Před 2 lety

    Kwa maneno hayo hamtopatana..

  • @zephanialukumay3036
    @zephanialukumay3036 Před 2 lety

    Hakika diamond ni moja kati ya viumbe hatari sana,haifai hata kuishi,yaani amsaidie MTU halafu amfanyie mabaya yote hayo?! Kweli domo ni mbaya sana!!

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 Před 2 lety

    Dah? Noma

  • @user-wv1qy6uk6c
    @user-wv1qy6uk6c Před 9 měsíci

    Kama uko serious na nikwely kwann umrekodi mty inamaanisha kwamba Kuna upuzi ulikuwa unaandaa

  • @AmisiJaribuni-gz1zd
    @AmisiJaribuni-gz1zd Před rokem

    Dogo komaa unapambanasana usiogope sio mungu huyo