Iyo ni kazi kubwa tena nzuri Ruge aliifanya Tanzania, Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amuepushe naazabu ya kaburini. Sasa uyo mpumbavu Dudu Baya alipendwa asaidiwe nini na marehemu? Nyimbo zenyewe ajuwi kutunga na ajuwi kuimba. Dudu Baya akua mtunzi muzuri wa nyimbo, uko jela alipo awekwe tu sana, apate listened apate hadabu na ajue kuaishim watu. Apate reminder kila wakati akifika ku court. Asante uyo ndio ujumbe wangu mimi.
life is too short, now it is history R I P, ikumbukwe kwenye mazuri ambayo utayafanya duniani kuna mabaya pia, binadamu si malaika tutakuishi kwa mazuri Mr Ruge
Jamani kwani wamekufa cku moja?huenda cku hyo hakua na mda leo muda anao,na niliwahi kusikia kua tar ile walozikwa wale watoto naye alikua na msiba kwenye familia yake,jamani naye ni binadamu hawezi kuturidhisha wa Tz wte.
Mbona makamu wa raisi alikwenda kwenye msiba ule Arusha na kwenye msiba huu hakwenda?Mbona kwenye ule msiba wa kuzama kwa meli ya Ukara kule Ukerewe kwa wasukuma Raisi wala makamu wake hawakwenda?
Iyo ni kazi kubwa tena nzuri Ruge aliifanya Tanzania, Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amuepushe naazabu ya kaburini. Sasa uyo mpumbavu Dudu Baya alipendwa asaidiwe nini na marehemu? Nyimbo zenyewe ajuwi kutunga na ajuwi kuimba. Dudu Baya akua mtunzi muzuri wa nyimbo, uko jela alipo awekwe tu sana, apate listened apate hadabu na ajue kuaishim watu. Apate reminder kila wakati akifika ku court. Asante uyo ndio ujumbe wangu mimi.
Jamani mbona hatumuoni Millard? Tunataku kusikia kutoka kwake
Rest in peace...prezident magufulu wacha hudhunika sana,,sisi wote ndio njia yetu yetu..
Rest In peace ruge
Poleni kwa msiba
😢😢😢😢😢
Aya maneno ya kusaga mbon ayaendan na tukio😂😂 mpaka ccm kataja duu
😭😭😭😭😭😭
Rest In Peace
😭😭😭😭
Rip, mengi, ruge, magufuri na ephrahim 😭
Rest In Peace Ruge Mutahaba
Pumzika kwa amani Ruge
Huyu jamaa hakujiandaa anapiga porojo tu.
ulitaka ajiandae nini ..au ulitaka asemeje ..ukiwa kwenye majonzi ungekua ww ndio usingeongea porojo ..na penyewe amejihd
tutakukumbuka Daima.....
Et ata mziki nacheza kiajabu ajabu tu
r.I.p bro
duh kwel huu msiba umenigusa
Special recognition kwa Makonda!!
Ndi nyumbani kk hata ukiwa huna kiwa Cha nyumba Chaka buri umesha nunua
Kama doto jamani r I p ruge
RIP
life is too short, now it is history R I P, ikumbukwe kwenye mazuri ambayo utayafanya duniani kuna mabaya pia, binadamu si malaika tutakuishi kwa mazuri Mr Ruge
Pumzika kw aman Ruge
Pumzika kwa amani mpendwa wetu
pumzika kwa Amani
Pumzika Kwa amani kaka yetu
Kusaga ndiyo mwenye maumivu ya kweli, na familia yake, wengine mmmh!!
pole sana lala salama
Mbona msiba wa Wale watoto Arusha waliokufa kwa ajali raisi hakuenda?kwani huu una nn ama Wale walikuwa sio watanzania?
Kama alikuwa hana mda. mbona unamhukumu mtu bila kujua sababu..
Jamani kwani wamekufa cku moja?huenda cku hyo hakua na mda leo muda anao,na niliwahi kusikia kua tar ile walozikwa wale watoto naye alikua na msiba kwenye familia yake,jamani naye ni binadamu hawezi kuturidhisha wa Tz wte.
Mbona makamu wa raisi alikwenda kwenye msiba ule Arusha na kwenye msiba huu hakwenda?Mbona kwenye ule msiba wa kuzama kwa meli ya Ukara kule Ukerewe kwa wasukuma Raisi wala makamu wake hawakwenda?
anauliza rais yeye kaenda upi?
@@jaliakamote5485
. .