JOSEPH KUSAGA MBELE YA RAIS MAGUFULI: 'WALISEMA MIMI NA RUGE NI WAHUNI''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 08. 2024

Komentáře • 38

  • @nabaodesigner9449
    @nabaodesigner9449 Před 5 lety +5

    Iyo ni kazi kubwa tena nzuri Ruge aliifanya Tanzania, Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amuepushe naazabu ya kaburini. Sasa uyo mpumbavu Dudu Baya alipendwa asaidiwe nini na marehemu? Nyimbo zenyewe ajuwi kutunga na ajuwi kuimba. Dudu Baya akua mtunzi muzuri wa nyimbo, uko jela alipo awekwe tu sana, apate listened apate hadabu na ajue kuaishim watu. Apate reminder kila wakati akifika ku court. Asante uyo ndio ujumbe wangu mimi.

  • @mahinga
    @mahinga Před 5 lety +6

    Jamani mbona hatumuoni Millard? Tunataku kusikia kutoka kwake

  • @christinanuurinkluge9118
    @christinanuurinkluge9118 Před 5 lety +2

    Rest in peace...prezident magufulu wacha hudhunika sana,,sisi wote ndio njia yetu yetu..

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 Před 5 lety +5

    Rest In peace ruge

  • @khadijanjama9016
    @khadijanjama9016 Před 5 lety +1

    Poleni kwa msiba

  • @adijaasani1630
    @adijaasani1630 Před 5 lety +3

    😢😢😢😢😢

  • @jumbebakari128
    @jumbebakari128 Před 5 lety +3

    Aya maneno ya kusaga mbon ayaendan na tukio😂😂 mpaka ccm kataja duu

  • @leylasameer2284
    @leylasameer2284 Před 5 lety +1

    😭😭😭😭😭😭

  • @elizabethminja5006
    @elizabethminja5006 Před 5 lety +2

    Rest In Peace

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya6423 Před 5 lety

    😭😭😭😭

  • @neemanicholaus5468
    @neemanicholaus5468 Před rokem

    Rip, mengi, ruge, magufuri na ephrahim 😭

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 5 lety +1

    Rest In Peace Ruge Mutahaba

  • @angelaimara
    @angelaimara Před 5 lety +3

    Pumzika kwa amani Ruge

  • @Manassehpm
    @Manassehpm Před 5 lety +4

    Huyu jamaa hakujiandaa anapiga porojo tu.

    • @celinelawrence5266
      @celinelawrence5266 Před 5 lety

      ulitaka ajiandae nini ..au ulitaka asemeje ..ukiwa kwenye majonzi ungekua ww ndio usingeongea porojo ..na penyewe amejihd

  • @johansenbuberwa5555
    @johansenbuberwa5555 Před 4 lety +1

    tutakukumbuka Daima.....

  • @ilhammshana9143
    @ilhammshana9143 Před 5 lety +3

    Et ata mziki nacheza kiajabu ajabu tu

  • @sabongetz4676
    @sabongetz4676 Před 5 lety

    r.I.p bro

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 Před 5 lety +1

    duh kwel huu msiba umenigusa

  • @kibakiwilson5891
    @kibakiwilson5891 Před 5 lety +1

    Special recognition kwa Makonda!!

  • @najimahrupiahgomo2109
    @najimahrupiahgomo2109 Před 5 lety +1

    Ndi nyumbani kk hata ukiwa huna kiwa Cha nyumba Chaka buri umesha nunua

  • @sarahsarah4919
    @sarahsarah4919 Před 5 lety +1

    Kama doto jamani r I p ruge

  • @simonnjowoka9337
    @simonnjowoka9337 Před 5 lety

    RIP

  • @fredricksaigon3065
    @fredricksaigon3065 Před 5 lety +2

    life is too short, now it is history R I P, ikumbukwe kwenye mazuri ambayo utayafanya duniani kuna mabaya pia, binadamu si malaika tutakuishi kwa mazuri Mr Ruge

  • @herielylimay1990
    @herielylimay1990 Před 5 lety +3

    Pumzika kw aman Ruge

  • @duaalawati6097
    @duaalawati6097 Před 5 lety +1

    Pumzika kwa amani mpendwa wetu

  • @johansenbuberwa5555
    @johansenbuberwa5555 Před 4 lety +1

    pumzika kwa Amani

  • @eileenremmy8576
    @eileenremmy8576 Před 5 lety +1

    Pumzika Kwa amani kaka yetu

  • @saidindaro5858
    @saidindaro5858 Před 5 lety

    Kusaga ndiyo mwenye maumivu ya kweli, na familia yake, wengine mmmh!!

  • @trendings1293
    @trendings1293 Před 5 lety +4

    Mbona msiba wa Wale watoto Arusha waliokufa kwa ajali raisi hakuenda?kwani huu una nn ama Wale walikuwa sio watanzania?

    • @jenipherchristopher2230
      @jenipherchristopher2230 Před 5 lety +3

      Kama alikuwa hana mda. mbona unamhukumu mtu bila kujua sababu..

    • @jaliakamote5485
      @jaliakamote5485 Před 5 lety +1

      Jamani kwani wamekufa cku moja?huenda cku hyo hakua na mda leo muda anao,na niliwahi kusikia kua tar ile walozikwa wale watoto naye alikua na msiba kwenye familia yake,jamani naye ni binadamu hawezi kuturidhisha wa Tz wte.

    • @mamahustru
      @mamahustru Před 5 lety +2

      Mbona makamu wa raisi alikwenda kwenye msiba ule Arusha na kwenye msiba huu hakwenda?Mbona kwenye ule msiba wa kuzama kwa meli ya Ukara kule Ukerewe kwa wasukuma Raisi wala makamu wake hawakwenda?

    • @kangujosephkangungu26
      @kangujosephkangungu26 Před 5 lety +2

      anauliza rais yeye kaenda upi?

    • @tshikuceaser1592
      @tshikuceaser1592 Před 5 lety +1

      @@jaliakamote5485
      . .