hii ni AGST 2022 NIMERUDII KUITIZAMA tena hii Vidio, kuna kitu sikukielewa... Juu ya CHAGUO. Asante #RUGE Asante MJOMBA Asante Dr. ELLIE Asante C M G Asantee Tz!
R.i.p ruge.....lakin mpoto hapo umetudanganya....hata ungenunua gari...pia gari lingenunua tu shamba...inategemea na gari utakalolinunua...haahaa.....lakin ukulima hauna namna wala elim...yoyote unaetaka kulima kwa uwezo wa mungu utapata tu... na ndomaana wote tupo kwenye kilimo hicho hicho na tunapata vizur tu
siwez msahau ruge. ni mtu ambaye ni nyota ing'aayo kwa mtanzania mmoja mmoja. hata hao ambao wanahis waligombana nae, watakuwa walishindwa ktk kujenga hoja zinazoeleweka. wakahis anawachukia kumbe anawajenga
Ama kweli hii dunia haiishi vioja. Tunaambiwa "Ishi ulaumiwe Ufe usifiwe " ndio haya sasa. Ebu gonga like kama unakubaliana nami. Kenya tuko pamoja nanyi kwa maombolezi
tujitahidi sana kumsifia mtu anapokua hai.mm sikujua kua mtu huyu uhai wake ametenda mengi sana kwenye taifa.ingejulikana,wengi wangemsogea wakavuna.tubadilike.mungu amlaze mahara pema peponi AMINA.
Mrisho mpoto baba naamini maneno yako ww kwangu huna mfano huyo dudu baya hana akili serekali impatie adhabu mtu aliye tangulia mbele ya haki hasemwi kwa mabaya
Mrisho mpoto baba naamini maneno yako ww kwangu huna mfano huyo dudu baya hana akili serekali impatie adhabu mtu aliye tangulia mbele ya haki hasemwi kwa mabaya
Hata uyo dudu anayemsema Ruge vibaya utakuta amemshauli vizuri akagoma hata mm nikikushauli ukigoma nakupotezeya R.I.P Ruge
Nimemjua leo Ruge na nimempenda sana. Ni mmoja wa viongozi wachache katika Afrika Mashariki.
Mashaala
Mungu almjalia upeo,ufaham marehem
Ruge inna lilah wa inna lilah rajun
Nimeamin kweli huy mtu daah..siwez elezea mwenyezi mungu ampumzishe mahala pema pepon mpendwa wetu!! Hapa nimejifunza kitu kikubwa sana ambacho kitanisaidia ktk life langu!!R.I.P kaka wetu.
Jamii ya wa2 wenye mitazamo kama ya Ruge huwa hawana maisha vilee..Mungu amrehem Inshallah.
Allah akujalie makaz Mema Ruge kilichobaki ni Mema yako na Allah akufungulie mlongo wa kher pumzika kwa Aman
hii ni AGST 2022 NIMERUDII KUITIZAMA tena hii Vidio, kuna kitu sikukielewa... Juu ya CHAGUO.
Asante #RUGE
Asante MJOMBA
Asante Dr. ELLIE
Asante C M G
Asantee Tz!
Kiukweli Ruge alikuwa mtu, Rest In peace Ruge 🤭
Yani toka ugonjwa hadi kifo Lady jaydee na dudubaya ndio wanaomsema vibaya ruge duh mungu awasamehe
Kweli hakuna mtu atake ziba pengo la Ruge.
Dah jamaa kichwa sana hy mungu amponye 🙏🙏🙏
Hongera mrisho mpoto
Ooh jamani Ruge Mungu angalia mema aliyofanya Ruge, mbona Dorcas ulimrudishia uhai wake!
Get well #MrRuge
allah akufanyie wepesi brother.
Najikuta machozi yakInitoka kila nisikiapo akitajwa RUGE KIFO CHAKE KIMENIGUSA SANA, Kapumzike salama BRO UMEFANYA MENGI SANA
Come back #MR RUGE
vzl sana pongezii Kwa luge
Wow
Amen Amen, Mwenyezi Mungu amsameh makosa yake na amlaze Pema pepon, Pole familia, Pole Tanzania
Jamaaa kaongea Fact sna duuu hatar sna
Nashangaa mtu anaeleta tofaut zake wakat mwenzie kashalala Mungu ampunguzie adhab ya kabur
R.i.p ruge alimkula ushaur bomba mpoto Leo unkula maisha 2022
Pumzika kwa amani ruge
Yani alikuwa bonge la mtu huyu kaka pumzika kaka yetu Mungu kakupenda zaidi
RIP RUGE WENGI WATAKUKUMBUKA😢😢
Mungu amlaze mahari pema peponi
Namkubali sana Makonda na marehemu Ruge.Watu muhimu sana ila mmoja ameondoka.
R.i.p ruge.....lakin mpoto hapo umetudanganya....hata ungenunua gari...pia gari lingenunua tu shamba...inategemea na gari utakalolinunua...haahaa.....lakin ukulima hauna namna wala elim...yoyote unaetaka kulima kwa uwezo wa mungu utapata tu... na ndomaana wote tupo kwenye kilimo hicho hicho na tunapata vizur tu
siwez msahau ruge. ni mtu ambaye ni nyota ing'aayo kwa mtanzania mmoja mmoja. hata hao ambao wanahis waligombana nae, watakuwa walishindwa ktk kujenga hoja zinazoeleweka. wakahis anawachukia kumbe anawajenga
Jovian Geofrey hata hao nimikono ya ruge watu wanataka Uhuru bila kujua garama zake nskumchukia mtu
Jovian Geofrey hata hao nimikono ya ruge watu wanataka Uhuru bila kujua garama zake nskumchukia mtu
@@ericteretio961 umeona eee
Ama kweli hii dunia haiishi vioja. Tunaambiwa "Ishi ulaumiwe Ufe usifiwe " ndio haya sasa. Ebu gonga like kama unakubaliana nami. Kenya tuko pamoja nanyi kwa maombolezi
RUGE RUGE...MUNGU AKUPONYE BRO
Mh!😭😭
Rip
RIP Ruge
Magar mashamba majumba hatutazkw nay
tutayaach ap ap
Dunian kkubwa n
Kufanya
IBADA n kumrudia
MUUMBA wet
Binadamu wanamsema vibaya Ila jamaa alikuwa ni bonge la MGODI
Quick Recover boss Ruge we love u
Rip Ruge
R.i.p king
RIP
Sadaka za ruge Mungu azikumbuke kama za Abiri ampe afya tena kwel anaumwa lkn nmeamini sadaka zake zibanena
Wasanii ndio maana wengi wenu mnakua mashoga yaani kila kitu kwenu nitegemezi tu.sasa wewe ulikua akili hiyo huna mpaka akupe ruge!!
JOSEPH MICHAEL hamna unaweza ukawa Na akili lakini pia ukahitaji ushauri kutoka Kwa mtu mwingine kwani mtu akiomba ushauri huna akili?
Mm namkumbuka Boss Ruge akiwa fiester Mleba mkoani kwetu kagera bukoba Dar tutayamiss mengi wahaya
Wewe pia haujielewi .Hongera mpoto
Hamna ishu bwanaaa
Daaa luge kilikua kichwa sn
Mungu azidi kumponya baba wataifaaa mungu yunaweee kwakila hatua tunaumia sanaaa juuu yakooo bloood
tujitahidi sana kumsifia mtu anapokua hai.mm sikujua kua mtu huyu uhai wake ametenda mengi sana kwenye taifa.ingejulikana,wengi wangemsogea wakavuna.tubadilike.mungu amlaze mahara pema peponi AMINA.
Alihadi atatenda
Maneno mazito
Mrisho mpoto baba naamini maneno yako ww kwangu huna mfano huyo dudu baya hana akili serekali impatie adhabu mtu aliye tangulia mbele ya haki hasemwi kwa mabaya
Ruge apone mapema. Mtu makini
samahan waungwana,kwani huyu brother anasumbuliwa na maradhi gani
Ilikua figo
+
Mengi hujulikana wkti wa kifo,tujifunze kuyasema b4
UPUMBAVU MBONA HUKUSEMA WKT WA UHAI WAKE
alisema kabla ya mauti . hiyo ilikuwa tarehe 20 ruge kafariki 26
Hata kama angesema kabla,wewe ungefaidika nini?
@@hamisikabwe3980 kumbe pumba mko wengi
Mpumbavu n wew usie elewa na hiyo ni kabla hajafa ndo kipindi watanzania tunamchangia pesa za matibabu kiazi wew upo dunia gani?
@@mathiusthomas3074 umekula sabuniya kufulia nn.mipovu miiingi?
Kumbe mtoto wa kihislamu wewe Mjomba unangonga pombe ?poleee mjomba
Gavana Shy haaa kwani waislam halewi😁😁
Mrisho mpoto baba naamini maneno yako ww kwangu huna mfano huyo dudu baya hana akili serekali impatie adhabu mtu aliye tangulia mbele ya haki hasemwi kwa mabaya