"Nilivyopata milioni 50 Ruge aliniambia nikanunue shamba, leo hii limeta mafanikio."Mrisho Mpoto

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 02. 2019
  • Mwanamuziki Mrisho Mpoto ameongea namna alivyopata msaada wa kimawazo hadi kufanikisha mafanikio aliyonayo...tazama hapa

Komentáře • 80

  • @vanessapriyanka9630
    @vanessapriyanka9630 Před 5 lety +14

    Hata uyo dudu anayemsema Ruge vibaya utakuta amemshauli vizuri akagoma hata mm nikikushauli ukigoma nakupotezeya R.I.P Ruge

  • @chrismutisya
    @chrismutisya Před 5 lety +4

    Nimemjua leo Ruge na nimempenda sana. Ni mmoja wa viongozi wachache katika Afrika Mashariki.

  • @syksyk7295
    @syksyk7295 Před 5 lety +3

    Mashaala
    Mungu almjalia upeo,ufaham marehem
    Ruge inna lilah wa inna lilah rajun

  • @elizampeter5958
    @elizampeter5958 Před 5 lety +2

    Nimeamin kweli huy mtu daah..siwez elezea mwenyezi mungu ampumzishe mahala pema pepon mpendwa wetu!! Hapa nimejifunza kitu kikubwa sana ambacho kitanisaidia ktk life langu!!R.I.P kaka wetu.

  • @mbarakafitina8255
    @mbarakafitina8255 Před 5 lety +3

    Jamii ya wa2 wenye mitazamo kama ya Ruge huwa hawana maisha vilee..Mungu amrehem Inshallah.

  • @asheryissa6100
    @asheryissa6100 Před 5 lety +3

    Allah akujalie makaz Mema Ruge kilichobaki ni Mema yako na Allah akufungulie mlongo wa kher pumzika kwa Aman

  • @mactongathe179
    @mactongathe179 Před rokem

    hii ni AGST 2022 NIMERUDII KUITIZAMA tena hii Vidio, kuna kitu sikukielewa... Juu ya CHAGUO.
    Asante #RUGE
    Asante MJOMBA
    Asante Dr. ELLIE
    Asante C M G
    Asantee Tz!

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +1

    Kiukweli Ruge alikuwa mtu, Rest In peace Ruge 🤭

  • @poschasbae9511
    @poschasbae9511 Před 5 lety +2

    Yani toka ugonjwa hadi kifo Lady jaydee na dudubaya ndio wanaomsema vibaya ruge duh mungu awasamehe

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před 5 lety +8

    Kweli hakuna mtu atake ziba pengo la Ruge.

  • @jovintosssi3287
    @jovintosssi3287 Před 5 lety +3

    Dah jamaa kichwa sana hy mungu amponye 🙏🙏🙏

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 Před 5 lety +1

    Hongera mrisho mpoto

  • @mchuumchu9801
    @mchuumchu9801 Před 5 lety +11

    Ooh jamani Ruge Mungu angalia mema aliyofanya Ruge, mbona Dorcas ulimrudishia uhai wake!

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 Před 5 lety +3

    Get well #MrRuge

  • @ngemabohero2853
    @ngemabohero2853 Před 5 lety

    allah akufanyie wepesi brother.

  • @mudrickmbuyu3263
    @mudrickmbuyu3263 Před 5 lety +5

    Najikuta machozi yakInitoka kila nisikiapo akitajwa RUGE KIFO CHAKE KIMENIGUSA SANA, Kapumzike salama BRO UMEFANYA MENGI SANA

  • @godwinmkoma7329
    @godwinmkoma7329 Před 5 lety +2

    Come back #MR RUGE

  • @khalidikibakuli132
    @khalidikibakuli132 Před 5 lety +1

    vzl sana pongezii Kwa luge

  • @uwaseafsa7506
    @uwaseafsa7506 Před 5 lety

    Wow

  • @secylovenessadaa4245
    @secylovenessadaa4245 Před 5 lety +1

    Amen Amen, Mwenyezi Mungu amsameh makosa yake na amlaze Pema pepon, Pole familia, Pole Tanzania

  • @egattamkaima676
    @egattamkaima676 Před 5 lety +1

    Jamaaa kaongea Fact sna duuu hatar sna

  • @lilianmlowoka6015
    @lilianmlowoka6015 Před 5 lety +2

    Nashangaa mtu anaeleta tofaut zake wakat mwenzie kashalala Mungu ampunguzie adhab ya kabur

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 2 lety

    R.i.p ruge alimkula ushaur bomba mpoto Leo unkula maisha 2022

  • @saydbarakismailiya1515
    @saydbarakismailiya1515 Před 5 lety +4

    Pumzika kwa amani ruge

  • @deboramrema2861
    @deboramrema2861 Před 5 lety +3

    Yani alikuwa bonge la mtu huyu kaka pumzika kaka yetu Mungu kakupenda zaidi

  • @edwinkigato3312
    @edwinkigato3312 Před 5 lety

    Mungu amlaze mahari pema peponi

  • @ananiamkasu8847
    @ananiamkasu8847 Před 5 lety

    Namkubali sana Makonda na marehemu Ruge.Watu muhimu sana ila mmoja ameondoka.

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Před 5 lety +1

    R.i.p ruge.....lakin mpoto hapo umetudanganya....hata ungenunua gari...pia gari lingenunua tu shamba...inategemea na gari utakalolinunua...haahaa.....lakin ukulima hauna namna wala elim...yoyote unaetaka kulima kwa uwezo wa mungu utapata tu... na ndomaana wote tupo kwenye kilimo hicho hicho na tunapata vizur tu

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 Před 5 lety +11

    siwez msahau ruge. ni mtu ambaye ni nyota ing'aayo kwa mtanzania mmoja mmoja. hata hao ambao wanahis waligombana nae, watakuwa walishindwa ktk kujenga hoja zinazoeleweka. wakahis anawachukia kumbe anawajenga

    • @ericteretio961
      @ericteretio961 Před 5 lety

      Jovian Geofrey hata hao nimikono ya ruge watu wanataka Uhuru bila kujua garama zake nskumchukia mtu

    • @ericteretio961
      @ericteretio961 Před 5 lety +1

      Jovian Geofrey hata hao nimikono ya ruge watu wanataka Uhuru bila kujua garama zake nskumchukia mtu

    • @joviangeofrey7212
      @joviangeofrey7212 Před 5 lety

      @@ericteretio961 umeona eee

  • @esthergofwa2402
    @esthergofwa2402 Před 5 lety

    Ama kweli hii dunia haiishi vioja. Tunaambiwa "Ishi ulaumiwe Ufe usifiwe " ndio haya sasa. Ebu gonga like kama unakubaliana nami. Kenya tuko pamoja nanyi kwa maombolezi

  • @babalois7240
    @babalois7240 Před 5 lety +1

    RUGE RUGE...MUNGU AKUPONYE BRO

  • @fetymwamba8685
    @fetymwamba8685 Před 5 lety

    Mh!😭😭

  • @luchiawangui9754
    @luchiawangui9754 Před 5 lety

    Rip

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 Před 5 lety +1

    RIP Ruge

  • @syksyk7295
    @syksyk7295 Před 5 lety +1

    Magar mashamba majumba hatutazkw nay
    tutayaach ap ap
    Dunian kkubwa n
    Kufanya
    IBADA n kumrudia
    MUUMBA wet

  • @bakariomary5781
    @bakariomary5781 Před rokem

    Binadamu wanamsema vibaya Ila jamaa alikuwa ni bonge la MGODI

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 Před 5 lety

    Quick Recover boss Ruge we love u

  • @luomusicchannelfromtanzani5650

    R.i.p king

  • @kilakitu9341
    @kilakitu9341 Před 5 lety

    RIP

  • @ivetalugambwa4833
    @ivetalugambwa4833 Před 5 lety

    Sadaka za ruge Mungu azikumbuke kama za Abiri ampe afya tena kwel anaumwa lkn nmeamini sadaka zake zibanena

  • @josephmichael2225
    @josephmichael2225 Před 5 lety +4

    Wasanii ndio maana wengi wenu mnakua mashoga yaani kila kitu kwenu nitegemezi tu.sasa wewe ulikua akili hiyo huna mpaka akupe ruge!!

    • @fatumanasibu3507
      @fatumanasibu3507 Před 5 lety

      JOSEPH MICHAEL hamna unaweza ukawa Na akili lakini pia ukahitaji ushauri kutoka Kwa mtu mwingine kwani mtu akiomba ushauri huna akili?

    • @neemaruttaiwa6202
      @neemaruttaiwa6202 Před 5 lety

      Mm namkumbuka Boss Ruge akiwa fiester Mleba mkoani kwetu kagera bukoba Dar tutayamiss mengi wahaya

    • @koshihadiraabdalla5673
      @koshihadiraabdalla5673 Před 5 lety

      Wewe pia haujielewi .Hongera mpoto

  • @muharamharoub8896
    @muharamharoub8896 Před 5 lety

    Hamna ishu bwanaaa

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 Před 5 lety

    Daaa luge kilikua kichwa sn

  • @godfreykabigi1506
    @godfreykabigi1506 Před 5 lety

    Mungu azidi kumponya baba wataifaaa mungu yunaweee kwakila hatua tunaumia sanaaa juuu yakooo bloood

    • @michaellucas8989
      @michaellucas8989 Před 5 lety

      tujitahidi sana kumsifia mtu anapokua hai.mm sikujua kua mtu huyu uhai wake ametenda mengi sana kwenye taifa.ingejulikana,wengi wangemsogea wakavuna.tubadilike.mungu amlaze mahara pema peponi AMINA.

  • @chessmikausho2468
    @chessmikausho2468 Před 5 lety

    Alihadi atatenda

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 5 lety

    Maneno mazito

  • @adamuiddy3183
    @adamuiddy3183 Před 5 lety

    Mrisho mpoto baba naamini maneno yako ww kwangu huna mfano huyo dudu baya hana akili serekali impatie adhabu mtu aliye tangulia mbele ya haki hasemwi kwa mabaya

  • @swediharuna24
    @swediharuna24 Před 5 lety

    Ruge apone mapema. Mtu makini

  • @omarinurdin7774
    @omarinurdin7774 Před 5 lety

    samahan waungwana,kwani huyu brother anasumbuliwa na maradhi gani

  • @albeez1844
    @albeez1844 Před 5 lety

    +

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 Před 5 lety +1

    Mengi hujulikana wkti wa kifo,tujifunze kuyasema b4

  • @reinfredyhera3457
    @reinfredyhera3457 Před 5 lety +9

    UPUMBAVU MBONA HUKUSEMA WKT WA UHAI WAKE

    • @faustinemlebya8451
      @faustinemlebya8451 Před 5 lety +2

      alisema kabla ya mauti . hiyo ilikuwa tarehe 20 ruge kafariki 26

    • @hamisikabwe3980
      @hamisikabwe3980 Před 5 lety +2

      Hata kama angesema kabla,wewe ungefaidika nini?

    • @reinfredyhera3457
      @reinfredyhera3457 Před 5 lety

      @@hamisikabwe3980 kumbe pumba mko wengi

    • @mathiusthomas3074
      @mathiusthomas3074 Před 5 lety +2

      Mpumbavu n wew usie elewa na hiyo ni kabla hajafa ndo kipindi watanzania tunamchangia pesa za matibabu kiazi wew upo dunia gani?

    • @reinfredyhera3457
      @reinfredyhera3457 Před 5 lety +1

      @@mathiusthomas3074 umekula sabuniya kufulia nn.mipovu miiingi?

  • @gavanashy3197
    @gavanashy3197 Před 5 lety

    Kumbe mtoto wa kihislamu wewe Mjomba unangonga pombe ?poleee mjomba

  • @adamuiddy3183
    @adamuiddy3183 Před 5 lety

    Mrisho mpoto baba naamini maneno yako ww kwangu huna mfano huyo dudu baya hana akili serekali impatie adhabu mtu aliye tangulia mbele ya haki hasemwi kwa mabaya