UTACHEKA KUTANA NA AISHA MCHINA ANAEPIKA VYAKULA VYA KITANZANIA CHINA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 04. 2019

Komentáře • 267

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 Před 5 lety +58

    Swahili to the world...
    Tanzania flag to the world.....
    Ahsante.......

  • @justinmagotti
    @justinmagotti Před 5 lety +79

    Wachina watu wa kazi sana..imagine hajawahi kufika bongo..lakini imebidi ajifunze kiswahili ili aende sawa na wateja wake..hili ni somo tosha sana kwa watanzania

  • @nassorkhatib8645
    @nassorkhatib8645 Před 5 lety +31

    Hongera sn kijan wng sultan mungu akujaalie ufike mbali zaid.. pia sharo kwa dada Aisha kutupikia vyakula vya kibongo mm npo Hangzhou ila sku nikij Guangzhou ntakuj kula mkahawan apo 😘

  • @suratfrank6282
    @suratfrank6282 Před 5 lety +7

    Dah mchina anabonga kiswahili wakati baadhi ya wabongo mafara wnajifanya wazungu# hongera Aisha

  • @ramadhannasibu7753
    @ramadhannasibu7753 Před 5 lety +14

    Good.
    I will be there kupata chakula cha nyumban. 👌👌👍👍💪🏽💪🏽

  • @williamalex4792
    @williamalex4792 Před 5 lety +11

    Yaani huyu anafaa apewe uraia kabisa maan na ameutangazia ulimwengu kuhusu tamaduni za ki kwetu

  • @hamzalaus9599
    @hamzalaus9599 Před 5 lety +2

    Hongera Sana Aisha kwa kuitangaza tanzania respect agoshi kwa kumuungisha aisha

  • @talibally842
    @talibally842 Před 5 lety +4

    Asanteee Millard dayo kw kuleta vpnd km hv n pia jribun kupit nchi nyng kujua ynayofnyk Kun wt haw jaajiriw il wmejiajir wenyew n wkion mmbo km hy nd wnxd kuwa n frja Hongern xn 🙏🙏👏👏

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 5 lety +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hongera Aisha Kiswahili Hatareeee.

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa7353 Před 5 lety +7

    Aysha niajiri bas na mm jamani niko Beijing nikupikie vyakula vya kitanzania🔥❤😊👌

  • @maezadam5492
    @maezadam5492 Před 5 lety +30

    Kama unangalia 2019 gonga like hapa😎😎😎😎😎

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 5 lety +73

    Kajifunza kiswahili miaka minne bado ana mumunya na yuko sawa. Mtanzania akisoma eglish kuanzia form one to form four akatoka hajui hata kujitambulusha mna mwita mjinga

    • @pasquallungwa3517
      @pasquallungwa3517 Před 5 lety +1

      Hapo umechanganya vitu viwili kati ya mfumo wa elimu ya tz ya miaka 4 na kujifunza lugha ya kiswahili kwa miaka 4 kwa huyo mchina, hupaswi kuringanisha kihivyo

    • @rehemahramadhani3428
      @rehemahramadhani3428 Před 5 lety +1

      inategemea alijifunza vip kunakusomea darasan na kukaa na watu ambao wanajua lugha mm hp najua kiarabu na huu ni mwaka wa 3 naongea kama waarabu wenyew

    • @zuwenadavid856
      @zuwenadavid856 Před 5 lety +1

      Hahahaahhahhaahjahahhajajajaaj nimecheka kwanguvu😂😂😂😂😂😂😂

    • @theophilotheodosy5565
      @theophilotheodosy5565 Před 5 lety

      Do minne... Tusijisahaulishe 7 ya primary 🤣🤣🤣

    • @rasterwangu9708
      @rasterwangu9708 Před 5 lety +1

      englishi ya skuli ni ya somo sio ya lugha

  • @michaelkiumba6015
    @michaelkiumba6015 Před 5 lety +3

    millard kazi nzuri kaka mungu azidi kukubariki tuzidi kuona vitu vingi

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 Před 5 lety +4

    Asante sana wachina wote tunawapenda pia najivunia kuwa Mtanzania.

  • @abdulisimba6035
    @abdulisimba6035 Před 5 lety +5

    I do like that hakika Naipenda TANZANia yangu...

  • @qudratv9169
    @qudratv9169 Před 5 lety +6

    Hyo kalii😄😄 Ugali mlendaa china, kwanza anapata wap muda wa kupika vtu vyote hvyo na yupo mwenyew

    • @emaneez
      @emaneez Před 5 lety +2

      Yupo na mumuwe . acha kukurupa

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 Před 5 lety +15

    Aisee Aisha Anaongea Kama Chiriku 😂😂😂😂😂

  • @a.856
    @a.856 Před 5 lety +6

    Asanteni ayo tv mnawork hard kutuletea habari

  • @ratwifamajid3383
    @ratwifamajid3383 Před 5 lety +13

    apo kwa maini nilikua nimesikia kama kasema mende😂😂😂😂lakini nipoa nimeipenda ongela sana aisha mwanamke kazikazi💪💪

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv Před 26 dny

    Mimi nipo hapa 🇨🇳 nataka kufika hapo ipo sehemu gani❤

  • @teachingtruthmissionafrica9998

    Yani Mimi.miaka 35 sijui kichina

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 Před 5 lety +12

    Hongera sana Collage mate wangu Sultan lakini unatakiwa uwafundishe Kiswahili Fasaha ili wakifahamu. Mpe hi Cameraman wako Mohammed HB

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 5 lety +2

    Daah yani aisha nime mkubali sana aisee yuko vizuri

  • @ashnaomi2385
    @ashnaomi2385 Před 5 lety +2

    Wow nime Kupenda Aisha mnaubunifu.

  • @husseinkitingi8186
    @husseinkitingi8186 Před 5 lety +1

    Agoshi vizuri sana bro umepiga boonge la atua enzi ya ilala hakuna aliekuzania ivi cku 1.. Good

  • @salamoman9375
    @salamoman9375 Před rokem +2

    Mashaallah ❤

  • @adamsilumbe2764
    @adamsilumbe2764 Před 5 lety +5

    Nimependa kumbe hata kuna watu wanaamini tz ipo na pia inatamaduni zake

  • @austinkennedy9870
    @austinkennedy9870 Před 5 lety +19

    chips mayai yake inaonekana hatari!!

  • @najma3268
    @najma3268 Před 5 lety +3

    Nimempenda huyu dada,Aisha aniajiri mm niwe nawapelekea wateja vyakula walipo

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 Před 2 lety

      MimiNimeipendaHyoSuruariYakakaYanjanoooo😃😃😃😃

  • @juliussanane1860
    @juliussanane1860 Před 5 lety +3

    Safi sana Aisha nimependa kiswahili chakoo

  • @hamisaferuzi4648
    @hamisaferuzi4648 Před 2 lety

    Waoooooooh Aisha

  • @jocelinejohn7294
    @jocelinejohn7294 Před 5 lety

    Uwiii Agosh hatar sana ,Agosh mwenyewe mpishi huyo ni hatareee 🙌🏻🙌🏻🙌🏻,Mchina mbele ya hela anaweza chocolate

  • @brinahminja8256
    @brinahminja8256 Před 5 lety +1

    Aisha miss u mom soon I'll be here

  • @KaluperumaSL
    @KaluperumaSL Před 4 lety

    Wow wow....
    Am sri lanka 🇱🇰
    Kalu 💓

  • @kassimayoub5586
    @kassimayoub5586 Před 5 lety

    Kweli kiswahili kigumu umejifunza miaka 4 alaf unaongea hvo hhhhhhh hongera dada aisha

  • @kautharsalat6449
    @kautharsalat6449 Před 5 lety +1

    Hongera sis

  • @ummydaudi4940
    @ummydaudi4940 Před 5 lety +2

    hlo zege lake mashallah😋😋😋😋😋

  • @valerieshinia8526
    @valerieshinia8526 Před 4 lety +1

    Tanzania watu na mzuli😂😂😂😂😂😂😂

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 5 lety +2

    Jamani jamani 😝😝😀😀😀😀😀 yaani made in China mpaka chakula Cha kitanzania😄😄😄

  • @josephshayo6641
    @josephshayo6641 Před 5 lety +1

    Nani aliesikia lafudh ya kichina kwa mtangazaj gonga like twende sawa

  • @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538

    Yaani anajua Sana, mm miaka 3 sijui lugha ya watu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před 5 lety +3

    Mashaallah .

  • @hamedmaskari518
    @hamedmaskari518 Před 5 lety +3

    Ubosh au agosh Alhamdulilah umetengenea

  • @rozeeroz2515
    @rozeeroz2515 Před 5 lety

    Good job hongera Aisha

  • @rukkyayub2438
    @rukkyayub2438 Před 5 lety +3

    Aisha karibu sana Tanzania😀

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c Před 5 lety +4

    mko juu hongeren

  • @lukundomalunga3233
    @lukundomalunga3233 Před 5 lety +3

    Mchina ashindwi

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Před 2 lety

    Saaafi Kiswahili hicho

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 Před 5 lety

    Duu! Hatari sana
    Hongera sana Aisha

  • @nahyasalum8093
    @nahyasalum8093 Před 5 lety

    Adiraha jamani mungu ajalie Aisha kiwasaidia watanzania huko

  • @superiorsucces5388
    @superiorsucces5388 Před 5 lety +1

    hongera dada mchina

  • @badaral6167
    @badaral6167 Před rokem

    Mashallah Aisha

  • @bintkirunga4274
    @bintkirunga4274 Před 5 lety

    My name piga kazi safii sana

  • @sarahminja7255
    @sarahminja7255 Před 5 lety +2

    Mmh sili kwa mchina hata kidogo hata akipika vyakula vya kikwetu bado siwaamini naona kama watanilisha chura

  • @watchme5678
    @watchme5678 Před 5 lety +11

    Anaongea haraka hatariiiiiiii

  • @EjazAhmad-cl2fb
    @EjazAhmad-cl2fb Před 5 lety +1

    Nimepata kitu kutoka kwa Aisha asante millardayo

  • @mgishakaisi9849
    @mgishakaisi9849 Před 5 lety +3

    miladi mfanyie mpango wa viza uyo mtoto aje bongo kula bata

  • @marthaminjaminja261
    @marthaminjaminja261 Před 5 lety

    Hongera sana Aisha karb Tz

  • @nurumambovphelman7852
    @nurumambovphelman7852 Před 5 lety +2

    Namjua huyu nachakula chao nimekula sana

  • @faustinelukozi4458
    @faustinelukozi4458 Před 5 lety

    Wow😍😍

  • @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538

    Well done, Kaka sulu

  • @ramadhanjuma5046
    @ramadhanjuma5046 Před 3 lety

    Good

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 Před 5 lety

    Mmmmh jaman nawaomba waje ,,,,tafadhali mheshimiwa Raisi Jonh pombe MAGUFULi nakuomba watu hawa uwachukue waje hapa Tanzania,,,, nakupenda sana Rais wangu naomba unsaidie waje hata nipige nao picha

  • @3li_minnahtemba955
    @3li_minnahtemba955 Před 5 lety

    😍😍wow

  • @shukridjibril6848
    @shukridjibril6848 Před 2 lety

    Duh sawa sawa 😂❤️🤗

  • @PESMOBILEHIGHLIGHTS-rt6rc

    Afro dj anawaigizaga sauti sana

  • @gm7045
    @gm7045 Před 5 lety

    Safi sana👌

  • @malongoisack5811
    @malongoisack5811 Před rokem

    Mtangazaji unaharibu Kiswahili MGAHAWA UNAITA MKAHAWA

  • @fatmamajuu5255
    @fatmamajuu5255 Před 5 lety

    😂😂😂kiukweli nimempenda

  • @swahiliupdates3051
    @swahiliupdates3051 Před 5 lety +1

    Kumbe hata wachina Wanasema wafrika wanafanana nilizani wafrika tu ndo tunafikiria wachina wamefanana

    • @amalcsalim-uu7hk
      @amalcsalim-uu7hk Před 5 lety

      Sisi tunafanana rangi hao wanafanana sura.. wale ni watoto wa baba mmoja

  • @sierrakamau1510
    @sierrakamau1510 Před 5 lety

    Kama huwezi fungua restaurant Uchina Kama mtu mweusi anayeishi humo, kwa Nini tunawaruhusu wachina kuanza biashara kwetu, tena wanauza vitu ki bandia bandia???? Sana Sana Kenya wamejaa humo na pia waschana wa shule za secondary wamebeba miimba yao!!! Serikali hata haioni lolote Wala chochote!

  • @bwwm7914
    @bwwm7914 Před rokem

    upendo mwingi kutoka Kenya wapi video ya hivi karibuni yaani baada ya COVID basi kama polisi wamepunguza vizuizi

  • @mirajifikirini6949
    @mirajifikirini6949 Před 5 lety

    Safi sana Mllard

  • @naslamgollowatuacheee9852

    Nice

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan7769 Před 5 lety

    Mashaallah

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph9378 Před 5 lety

    Nice inapendeza kuona Tanzania ipo juu mpaka china

  • @elizabethsimemba5146
    @elizabethsimemba5146 Před 5 lety

    Nimekummiss mbaya Aisha

  • @narmyheart2021
    @narmyheart2021 Před 3 lety

    I lov u Aisha bure bure!! 😂🤣😂😂🤣

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 Před 5 lety +1

    Aysha mchina vs Juma sharobaro

  • @philipbiasaf8889
    @philipbiasaf8889 Před 3 lety

    Nakubali siku nikipata bahati nikija apo ndio mahudhurio kibao

  • @abrahimali3628
    @abrahimali3628 Před 5 lety

    Safi sana Bibi AISHA

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 Před 4 lety

    Kiswahili cha 🇰🇪 Kisha Mombasa ndio kiko Sawa coz wanazungumza vizuri

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 5 lety

    Safi sana Bi Aisha

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 5 lety +1

    Aisha wangu nakupenda

  • @queenmariana5887
    @queenmariana5887 Před 5 lety

    😂😂😂😂 waaaa mtoto wawili

  • @fahadjuma5150
    @fahadjuma5150 Před 5 lety

    Hongera AISHA

  • @thomashudson1083
    @thomashudson1083 Před 5 lety +1

    Jaman naombeni niulize kdg kwa wanaojua,kwa nn polisi wanawafukuza..?

    • @babukasiaka2833
      @babukasiaka2833 Před 5 lety

      amesema anapata wateja wengi ambapo muda wa kufunga kazi bado AISHA anawakaribisha wateja wake. mfano mwisho wa biashara ama kutembea mtaani ni saa 6:00 usku bado Aisha ana wateja

  • @jacquelinechalamila2256
    @jacquelinechalamila2256 Před 5 lety +2

    Hatari Fire

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 5 lety +3

    Hapo kwenye polisi sijaelewa. Kwani hawana vibali vya biashara? Kama serikali inafunga watapata wapi mapato?

  • @peterogast5983
    @peterogast5983 Před 5 lety +6

    Hiyo firigisi unatakiwa aseme firigisi ya mnyama gan maana hawachelewi hao vyura Nije nje

  • @lennoxxmarina9364
    @lennoxxmarina9364 Před 5 lety

    Hongera sana

  • @hamisinanyata1237
    @hamisinanyata1237 Před 5 lety

    Duuuh safi saana

  • @voicejoachim1370
    @voicejoachim1370 Před 5 lety

    😍😍😍😍

    • @augustusnova8245
      @augustusnova8245 Před 2 lety

      You all probably dont give a damn but does any of you know a method to log back into an instagram account..?
      I somehow forgot the password. I love any tricks you can give me.

  • @lufufu_mkandala9428
    @lufufu_mkandala9428 Před 5 lety

    Tanzania😍😍😝😋😗😙😘

  • @ramadhanimussa882
    @ramadhanimussa882 Před 5 lety

    Hongera Sana Mjasilia Mali Aisha
    Kazi Kazi

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 Před 3 lety

    Shikamoo kiswahili saf china

  • @gobacktv274
    @gobacktv274 Před 5 lety

    asee afrika ni tanzania sana na jamaa kafanya kitu kizuri sana napenda sana hichi kitu alichokifanya asee

  • @annapeter1128
    @annapeter1128 Před 5 lety +3

    Hyo chips yai konki

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Před 2 lety

    Maashaallah

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 Před 5 lety +1

    Kwaiyo uyo aisha yupo mkoa gani umesema vile uko chaina tanga ya uko au pwani bagamoyo ya uko ili tujue kupata kuku kwa mlija