Wachina watu wa kazi sana..imagine hajawahi kufika bongo..lakini imebidi ajifunze kiswahili ili aende sawa na wateja wake..hili ni somo tosha sana kwa watanzania
Hongera sn kijan wng sultan mungu akujaalie ufike mbali zaid.. pia sharo kwa dada Aisha kutupikia vyakula vya kibongo mm npo Hangzhou ila sku nikij Guangzhou ntakuj kula mkahawan apo 😘
Asanteee Millard dayo kw kuleta vpnd km hv n pia jribun kupit nchi nyng kujua ynayofnyk Kun wt haw jaajiriw il wmejiajir wenyew n wkion mmbo km hy nd wnxd kuwa n frja Hongern xn 🙏🙏👏👏
Kajifunza kiswahili miaka minne bado ana mumunya na yuko sawa. Mtanzania akisoma eglish kuanzia form one to form four akatoka hajui hata kujitambulusha mna mwita mjinga
Hapo umechanganya vitu viwili kati ya mfumo wa elimu ya tz ya miaka 4 na kujifunza lugha ya kiswahili kwa miaka 4 kwa huyo mchina, hupaswi kuringanisha kihivyo
inategemea alijifunza vip kunakusomea darasan na kukaa na watu ambao wanajua lugha mm hp najua kiarabu na huu ni mwaka wa 3 naongea kama waarabu wenyew
Mmmmh jaman nawaomba waje ,,,,tafadhali mheshimiwa Raisi Jonh pombe MAGUFULi nakuomba watu hawa uwachukue waje hapa Tanzania,,,, nakupenda sana Rais wangu naomba unsaidie waje hata nipige nao picha
Kama huwezi fungua restaurant Uchina Kama mtu mweusi anayeishi humo, kwa Nini tunawaruhusu wachina kuanza biashara kwetu, tena wanauza vitu ki bandia bandia???? Sana Sana Kenya wamejaa humo na pia waschana wa shule za secondary wamebeba miimba yao!!! Serikali hata haioni lolote Wala chochote!
amesema anapata wateja wengi ambapo muda wa kufunga kazi bado AISHA anawakaribisha wateja wake. mfano mwisho wa biashara ama kutembea mtaani ni saa 6:00 usku bado Aisha ana wateja
You all probably dont give a damn but does any of you know a method to log back into an instagram account..? I somehow forgot the password. I love any tricks you can give me.
Swahili to the world...
Tanzania flag to the world.....
Ahsante.......
Yaaaah
Jack
Tunapeperusha bendera!!
@@claysonjulius6520 pamojaaaa
Wachina watu wa kazi sana..imagine hajawahi kufika bongo..lakini imebidi ajifunze kiswahili ili aende sawa na wateja wake..hili ni somo tosha sana kwa watanzania
Hata wabongo wapo wanapiga kichina balaa
Justin Magotti q
Twafanana majina ya Babu Magoti..ila sielewi
Ee ase!
Hv v2 vya kawaida....kutana na mama wa kimasai hajasoma lkn anaongea kizungu na anamuuzia mzungu vinyago
Hongera sn kijan wng sultan mungu akujaalie ufike mbali zaid.. pia sharo kwa dada Aisha kutupikia vyakula vya kibongo mm npo Hangzhou ila sku nikij Guangzhou ntakuj kula mkahawan apo 😘
Nassor Khatib chiiii
Dah mchina anabonga kiswahili wakati baadhi ya wabongo mafara wnajifanya wazungu# hongera Aisha
Good.
I will be there kupata chakula cha nyumban. 👌👌👍👍💪🏽💪🏽
Yaani huyu anafaa apewe uraia kabisa maan na ameutangazia ulimwengu kuhusu tamaduni za ki kwetu
Hongera Sana Aisha kwa kuitangaza tanzania respect agoshi kwa kumuungisha aisha
Asanteee Millard dayo kw kuleta vpnd km hv n pia jribun kupit nchi nyng kujua ynayofnyk Kun wt haw jaajiriw il wmejiajir wenyew n wkion mmbo km hy nd wnxd kuwa n frja Hongern xn 🙏🙏👏👏
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hongera Aisha Kiswahili Hatareeee.
Aysha niajiri bas na mm jamani niko Beijing nikupikie vyakula vya kitanzania🔥❤😊👌
Kama unangalia 2019 gonga like hapa😎😎😎😎😎
Kajifunza kiswahili miaka minne bado ana mumunya na yuko sawa. Mtanzania akisoma eglish kuanzia form one to form four akatoka hajui hata kujitambulusha mna mwita mjinga
Hapo umechanganya vitu viwili kati ya mfumo wa elimu ya tz ya miaka 4 na kujifunza lugha ya kiswahili kwa miaka 4 kwa huyo mchina, hupaswi kuringanisha kihivyo
inategemea alijifunza vip kunakusomea darasan na kukaa na watu ambao wanajua lugha mm hp najua kiarabu na huu ni mwaka wa 3 naongea kama waarabu wenyew
Hahahaahhahhaahjahahhajajajaaj nimecheka kwanguvu😂😂😂😂😂😂😂
Do minne... Tusijisahaulishe 7 ya primary 🤣🤣🤣
englishi ya skuli ni ya somo sio ya lugha
millard kazi nzuri kaka mungu azidi kukubariki tuzidi kuona vitu vingi
Asante sana wachina wote tunawapenda pia najivunia kuwa Mtanzania.
I do like that hakika Naipenda TANZANia yangu...
Hyo kalii😄😄 Ugali mlendaa china, kwanza anapata wap muda wa kupika vtu vyote hvyo na yupo mwenyew
Yupo na mumuwe . acha kukurupa
Aisee Aisha Anaongea Kama Chiriku 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂Umeonaaaa
😂😂😂😂😂
@@muniraabdul205 😳😳😳
🤣🤣🤣🤣🤣
Asanteni ayo tv mnawork hard kutuletea habari
apo kwa maini nilikua nimesikia kama kasema mende😂😂😂😂lakini nipoa nimeipenda ongela sana aisha mwanamke kazikazi💪💪
uwiiii wewe utanivunja mbavu mwaya duh!
Nimechekaaa uwiiiii
.
😁😁😁😁
Mimi nipo hapa 🇨🇳 nataka kufika hapo ipo sehemu gani❤
Yani Mimi.miaka 35 sijui kichina
Nime ingia china kama nime kuzidi umri lakini sasa nakiUngumza... sasa takriban miaka miwili nimekuwa huku...
Unayo nafasi..🇰🇪🇹🇿
Teachingtruth Missionafrica Kichina kigumuu bhna 😂😂😂
Haha ua point killed me
😂😂😂😂😀
😂😂😂😂😂
Hongera sana Collage mate wangu Sultan lakini unatakiwa uwafundishe Kiswahili Fasaha ili wakifahamu. Mpe hi Cameraman wako Mohammed HB
Daah yani aisha nime mkubali sana aisee yuko vizuri
Wow nime Kupenda Aisha mnaubunifu.
Agoshi vizuri sana bro umepiga boonge la atua enzi ya ilala hakuna aliekuzania ivi cku 1.. Good
Mashaallah ❤
Nimependa kumbe hata kuna watu wanaamini tz ipo na pia inatamaduni zake
chips mayai yake inaonekana hatari!!
Umewaza Kama mimi
Nimempenda huyu dada,Aisha aniajiri mm niwe nawapelekea wateja vyakula walipo
MimiNimeipendaHyoSuruariYakakaYanjanoooo😃😃😃😃
Safi sana Aisha nimependa kiswahili chakoo
Waoooooooh Aisha
Uwiii Agosh hatar sana ,Agosh mwenyewe mpishi huyo ni hatareee 🙌🏻🙌🏻🙌🏻,Mchina mbele ya hela anaweza chocolate
Aisha miss u mom soon I'll be here
Wow wow....
Am sri lanka 🇱🇰
Kalu 💓
Kweli kiswahili kigumu umejifunza miaka 4 alaf unaongea hvo hhhhhhh hongera dada aisha
Hongera sis
hlo zege lake mashallah😋😋😋😋😋
Tanzania watu na mzuli😂😂😂😂😂😂😂
Jamani jamani 😝😝😀😀😀😀😀 yaani made in China mpaka chakula Cha kitanzania😄😄😄
Nani aliesikia lafudh ya kichina kwa mtangazaj gonga like twende sawa
Yaani anajua Sana, mm miaka 3 sijui lugha ya watu
Mashaallah .
Ubosh au agosh Alhamdulilah umetengenea
Good job hongera Aisha
Aisha karibu sana Tanzania😀
mko juu hongeren
Hatari fire
Mchina ashindwi
Saaafi Kiswahili hicho
Duu! Hatari sana
Hongera sana Aisha
Adiraha jamani mungu ajalie Aisha kiwasaidia watanzania huko
hongera dada mchina
Mashallah Aisha
My name piga kazi safii sana
Mmh sili kwa mchina hata kidogo hata akipika vyakula vya kikwetu bado siwaamini naona kama watanilisha chura
😂😂😂😂😂hutaki ujinga
Njoo China uone kama hutokula
Ninakula mbogamboga basi, na maharage
Anaongea haraka hatariiiiiiii
Nimepata kitu kutoka kwa Aisha asante millardayo
miladi mfanyie mpango wa viza uyo mtoto aje bongo kula bata
Hongera sana Aisha karb Tz
Namjua huyu nachakula chao nimekula sana
Wow😍😍
Well done, Kaka sulu
Good
Mmmmh jaman nawaomba waje ,,,,tafadhali mheshimiwa Raisi Jonh pombe MAGUFULi nakuomba watu hawa uwachukue waje hapa Tanzania,,,, nakupenda sana Rais wangu naomba unsaidie waje hata nipige nao picha
😍😍wow
Duh sawa sawa 😂❤️🤗
Afro dj anawaigizaga sauti sana
Safi sana👌
Mtangazaji unaharibu Kiswahili MGAHAWA UNAITA MKAHAWA
😂😂😂kiukweli nimempenda
Kumbe hata wachina Wanasema wafrika wanafanana nilizani wafrika tu ndo tunafikiria wachina wamefanana
Sisi tunafanana rangi hao wanafanana sura.. wale ni watoto wa baba mmoja
Kama huwezi fungua restaurant Uchina Kama mtu mweusi anayeishi humo, kwa Nini tunawaruhusu wachina kuanza biashara kwetu, tena wanauza vitu ki bandia bandia???? Sana Sana Kenya wamejaa humo na pia waschana wa shule za secondary wamebeba miimba yao!!! Serikali hata haioni lolote Wala chochote!
upendo mwingi kutoka Kenya wapi video ya hivi karibuni yaani baada ya COVID basi kama polisi wamepunguza vizuizi
Safi sana Mllard
Nice
Mashaallah
Nice inapendeza kuona Tanzania ipo juu mpaka china
Nimekummiss mbaya Aisha
I lov u Aisha bure bure!! 😂🤣😂😂🤣
Aysha mchina vs Juma sharobaro
Ha ha haaa ingependeza sana!
Ha ha haaa ingependeza sana!
Nakubali siku nikipata bahati nikija apo ndio mahudhurio kibao
Safi sana Bibi AISHA
Kiswahili cha 🇰🇪 Kisha Mombasa ndio kiko Sawa coz wanazungumza vizuri
Kojoa ukalale
Safi sana Bi Aisha
Aisha wangu nakupenda
😂😂😂😂 waaaa mtoto wawili
Hongera AISHA
Jaman naombeni niulize kdg kwa wanaojua,kwa nn polisi wanawafukuza..?
amesema anapata wateja wengi ambapo muda wa kufunga kazi bado AISHA anawakaribisha wateja wake. mfano mwisho wa biashara ama kutembea mtaani ni saa 6:00 usku bado Aisha ana wateja
Hatari Fire
Ahahahahah
Hapo kwenye polisi sijaelewa. Kwani hawana vibali vya biashara? Kama serikali inafunga watapata wapi mapato?
Hiyo firigisi unatakiwa aseme firigisi ya mnyama gan maana hawachelewi hao vyura Nije nje
Peter Ogast 😂😂😂😂
Uyo kashakuwa muislamu ww
Hongera sana
Duuuh safi saana
😍😍😍😍
You all probably dont give a damn but does any of you know a method to log back into an instagram account..?
I somehow forgot the password. I love any tricks you can give me.
Tanzania😍😍😝😋😗😙😘
Hongera Sana Mjasilia Mali Aisha
Kazi Kazi
Shikamoo kiswahili saf china
asee afrika ni tanzania sana na jamaa kafanya kitu kizuri sana napenda sana hichi kitu alichokifanya asee
Hyo chips yai konki
Maashaallah
Kwaiyo uyo aisha yupo mkoa gani umesema vile uko chaina tanga ya uko au pwani bagamoyo ya uko ili tujue kupata kuku kwa mlija
Hahaha