WACHINA WANAVYOKULA CHURA, NYOKA, KONOKONO, MENDE, NG'E NA MAMBA
Vložit
- čas přidán 14. 11. 2019
- #VYAKULACHINA #YIWUNIGHTMARKET
Yiwu Night Market ni sehemu maarufu kwenye mji wa Yiwu China eneo ambalo Wachina wengi hulitumia wakati wa usiku kama sehemu ya kupata vyakula vyao vya asili baada ya shughuli zao za kila siku, soko hilo hufunguliwa kuanzia saa 12 jioni hadi ya saa 10 alfajiri, Ayo TV, millardayo.com imepita eneo hilo na hii ni ripoti yake.
Mimi napendelea kula kaa pamoja na hiyo mikate nimekuwa nakuja hapo kwa. Wiki mala tatu jumatatu ijumaa na jumapili nimeolewa na muchina.❤❤❤
Kam umemuona jmaaa anapiga miayo mbele ya vykula ivi gonga like😂😂
Nimependa Mzee Baba avokigonga kichina.,dadeq kam Jet Lee😁😁😁
Yaaaa nakubali
😄😄😄😄 hatari mzee
Jet tree 🤣🤣🤣
Hilo jamaa linagonga kiswahili cha mtaani kabsa🤣🤣🤣eti we piga tu hyo
😂😂😂😂😂
Kma umesikia jamaa anamuuliza Bei kwa kichina #xiukayi😀😀😀😀 twende pamoja
Kwamtazamo wangu nahisi kutokana na kuwa china ndio nchi yenye watu wengi kuliko nchi zote duniani inawezekana kunakipindi ilitokea baa la njaa watu hao wakakosa chakula ndipo wakaanza kula kila walichokiona mbele yao. Pia nafikiri kipindi hicho kiliendelea hadi hali ya chakula iliporejea lakina kwakua mazoea hujenga tabia basi wakajikuta wameanza kuzoea kula hao viumbe na kuweka hiyo kuwa kama tamaduni yao.
Pia haina madhara sana kwenye miili yao kwakua viumbe hai wengi wana madini na proteins kwa wingi. Kikubwa ni kujua namna ya kuvitoa sumu kwa vile viumbe vyenye sumu kama nyoka walio na sumu au n'nge na viumbe wengine wenye sumu. Maana imagine hata watu wakiwa porini wakikosa chakula huwa wanakamata chochote wanachokiona mbele yao wanakichoma na kukila Mfano: wanaweza wakala kobe, nyoka, panya, nungunungu na hata konokono na bila kupata madhara yeyote. Hii inasaidia kupunguza njaa na kufanikisha kuokoa maisha yao kipindi cha njaa.
Hongera kwa Millardayo.com na timu yenu nzima maana unasaidia kuwafumbua macho wa tz wengi kufahamu mambo yaliyokuwa yakisemekana kama stori kuwa ni ukweli.
******************** Shei shei **************
Kumbe una jua histori♥️♥️
Kaka napenda Sana kazi yako.
unatufungulia dunia.
ningependa kufanya kazi kwako tafadhar.
......Amir Katota, Kigoma Tanzania.
Kama nataka kwenda china aisee nita beba vyakula vyangu kabisa 😂
Vikiisha hivo vyakula ustulaumu😀😀😀😀
Kila siku husema ivyo
Sifa Mdaki kuwa
🤣🤣🤣
,,😂😂
Mzee Baba umepewa msosi mbna hujala.,utakosa vitamin😁😁😁
😂😂😂
Kaambiwa wee piga tuu
Kweli adamu nahawa wange kuwa wachina atunge kuwa na dhambi ulenyoka wange mla😂😂😂😂😂
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
😅😅😅🙌🙌🙌🙌
Kwani uwongo jmn🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😂😂Mmmh kwye vinyakula nd shida Kupe money ya tz iko up🔥🔥🔥🔥🔥
Wachina na Philippines hawana tofauti,mbwa anachinjiwa mgeni wa heshima
dou wanakula vituko inchi ya china wanakula wadudu mamayoo
4:47 ..😂😂😂😂 Kuna mchina apo pembeni anakula kwa macho
Dadadeeq Kobe anauzwa kitoweo Kama kuku😂😂😂😂nimejikuta nacheka kwa sautii
Duh hapana kwa kweli..
Ndo maana wanyamq wengi wapo Afrika, china wangeisha had fisi
Hahah
Hash!
Hahahah
😂😂😂😂ni kweli kabisa
Hahahha
Mmmh jaman kichefuchefu 😆
Duh kali sana...
ati waenda hoteli waitisha. waiter naomba nyoka nusu na mix ya konokono😋😋😋
Hatar sana🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😄😄😄😄😄😄,,,Apo sasa
Duh!nomare
Yan hao ,,, duuuu
Mbn bala
Eti nile Mitandu sijui Minnge na mijoka . Dah labda nishikiwe bastola ,kwanza uyo tandu unaweza sema ni mcheni flan hivi umening'inizwa ,wachina kuleni tu izo vitamin zenu.
Duh hatariii
kama namuona jux anaandaliwa tandu na mchina wake😂ajipange😁
Hahhaha Mr Lugano umemwaga mtama sasa. Bro Nikama unaukweli flani hivi
Nimechekaaa
LUGANO HENRY hahahaha
😂😂
Hahaha duuh
Kazi ipo
Konokono watamu sana.siyo china hata sisi huku kwetu hao wanaliwa.
Cosmas Thomas mhuu!🏃🏼♀️🏃🏼♀️
Haaaaaaaa
R
Eeeh dada angu, usisikie la kuambiwa,yaani is one of delicious meat!ungekuwa karibu nami ningekutafuta siku ili nawe upate onja radha yake.
Ndiyo,yaani siyo wachina tu,huku kwetu hata watu wa Western Countries(Europeans) wanapitia kaka.yaani ukiikuta imetengenezwa na ipo kwenye sahani ww hata hautofahamu kuwa ni 🐌.
Noma
sana ayooo tunakupata sana
China China China, mmmmmh noma snaA
nakukubali mkalimani tulikua pamoja pale Zhejiang Shanghai ndani ya qming big up broo.
Mi hiyo harufu tu nahisi nitajamba wiki mbili mfululizo😁😁
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😁😁😁😁😁😁
😂😂😂😂😂😂wabongo
@@jeskapeter6553 wamefanyaje😂😂
😂😂😂😂
A see,wafate maandiko,nazani hawana ustarabu s vyakula, vilivyoerekezwA namwenyezi mungu
China zipo Restaurants ambazo hawapiki wadudu (Arabian Restaurants) unapata Halal Foods hamna mambo ya nyoka na mende lkn kama ww ni mgeni basi uje na begi lako la Vyakula vya kibongo.
Hamisi kutoka pasiansi mwanza kule mlimani mpaka china 😂😂 safi sana kijana karibu sana mjini, we are proudly Tanzanians diaspora 💪🏼💪🏼🇹🇿
Mimi chakula ninachokipenda kuliko yote hapa ni konokono. Hahahahaaaaaaaaa dahhhh hahahahaaaaaaa, uwiii
Kuna ainambili wazanzibar pia wanakula na wanawapenda kichizi
Wachina ni watu washamba sana nini sasa icho
Kwa namnahiyo utakuwa na uno kweli...ndio maana wamepigwa pasi kalio zao
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@@mutalemwagabriel2277 😂😂😂
😂😂😂
Bongo star seach
Huhuhuhuhu
mmmh wananukia hadi hukuu kwelii noma
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂ww
Millard bwana
Noma san
Mko juuuuu sana
Uko akufai kwenda
Wapo chalinze ( tywford , keda ) wananunua chatu kwa laki 3 sharti awe mzima tu
Uchafu kama wote daah!
Ndio wario reta nacorona
Dulla unatangaza vizur sana big up
Wooow chakula tamu sana aki
Waah makubwa haya
Mhhh mpaka nmesisimka
kula kila kitu kama sio sumu ,mm yenyewe naona mbwa wamezagaa zagaa huku tz wakiwe bhna na konokono,paka deal kwel
Eeeh hii Kali
Millard Ayo kweli we fighter
Mi nikiwa China nakulaga sana hawa ila nikurudigi Tz nakausha
LEO NDIO NIMEAMINI HAKUNA KABIRA CHAFU KAMA WACHINA NAWW KAMA UNA AMINI ACHIA LIKE WAZEE WA SAMAKI NCHANGA BINDA
Kabila chafu lipi acha upumbavu uwe una fatilia na sababu
Ndo mana hawa jamaa uchumi wao upo juu sana Coz Wanapiga kazi masaa 24., imagine saa sita usku nyomi la watu kama wote utazani saa 8 mchana.,
dula tza nakubali sana
Ahsante Millard
Wasemeni tu Wachina na nyie muendelee kufa njaa wakati mna kila kitu cha kuliwa. Madini mnayo mnatupa wazungu tunachukua bure, baadaye mnapanda ndege zetu (ndege zenu hamzitaki) kuja kutuomba pesa (hizo hizo za kwenu) tena kwa kutupigia magoti. Mmepata raisi mjanja wa kuwasaidia, mnaanza kumsema vibaya. Kweli penye miti hamna wajenzi.
Freddo Kuckelmann
yaani umesema kweli Afrika watu wengi wanalala njaa na chakula yote wako nayo
We mzungu choko tu
Fuck you
@@jonathanmzava5010 🤣🤣🤣🤣
Mzungu shoga wewe
Ni tamu sana sana wewe
Bado nyau washawash sisimizi ngadu
Jamani huyo muarabu ala mdudu gani
Amina mohamed nzi
mmh mpk KiChefuuuuuuu chefuuuuuuu
Heeeh wenzetu mungu akunusuru na coronavirus....
Halafu Kuna watu wanadharau samaki nchanga. a.k.a. panya
Waafrika tunakwama wapi, muhimu sana kula haya mavitu maana yanaboresha hata kwenye ubongo, ndio maana huwa hatubuni chochote, tumekomalia ugali na wali tu.
wewe unakula?
kama unakula ntakutafutia konokono, wapo wengi hapa
Mmh wachina kiboko wamenishinda tabia adi mede nyuki
Mmmmmmmmh daaaah mmmmh ni htr
Kamba ao watamu kinoma ata huku tz tunatumia na has a huku Zanzibar
Hapo sio kamba tu vingi zanzibar wanakula takriban vyote
@@AK-is9xi mhh si kweli Mimi nimeviona km vitatu tuu Acha kutufananisha na wachinaaaaa
Noma na nusu
Ndomana wanapata maradhi ya ajabu ajabu. Na maradhi makubwa
Daah inatisha
Hiyo we piga wala husijali😂😂😂😂
Hao wana asili ya majini sibure khaaaa toba roho yangu duh mimi hata nikiwauwa bs naogopa jee kumla
Asil hzo mzee
Fatma khanii
kwa nini watu wasio na elimu huweka mambo ya kishirikina na majini kimbelembele?
@@antoinettedjumapili2522 sio ivo mpenzi bali hivo sio vitu vyakawaida kula binadam niviumbe hatari
@@fatmakhanii1676
sio viumbe hatari kila watu na desturi zao na chakula vyao hata wao na wazungu wanaona chakula vya kiafrika na wanajiuliza maswali
@@fatmakhanii1676
naishi Australia nilipika majani ya viazi nikaweka samaki wa chunvi nikamupatia rafiki yangu mzungu akani uliza kwani chakula imekosekana kabisa ili nile majani ya viazi( matembele)
Wachina mmetishaa
Supu ya konokono ntatapika wiki
Mendee mwezi chura 😤😤😤😧😧
Hahahaha
😂😂😂😂😂😂
Hiyo njaa sababu wapo wengi sana wakisema wale nyama na samaki tu hazitatosha
24 hour economy..Let us try we Africans .
we can prosper
aisee bora nisingeangalia, yak yak
Umeoneka tu
Hiyo wee piga tu wala usijali. Ni vitu vya uhakika!!!! Mtangazaji vp mbona hujapiga vitu vya uhakika hivyo? Duh! 😁😁😁😁😁😁😁
Hahaha
Sie tanga twala hiyo yaitwa mirindi ety konokono😂😂🙌🏼
Iyo wepigatu
Wachina ni shidaa nimekubali wana apply sayansi ilivyo kuzingatia vitamin mbalimbali
Mungu anawaon nyie n mtakuf nyie mmetuletea coron kwa kul hz wadud 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mhm jamani
Wakuje wachukue hizi mende zinatusumbua hapa
Hao wengine chaza sio konokono bwana 👌👌
Wengi hawajui kama kuna vitamu na adimu mjini hapo minaona china kunanifaa
Hapo kwenye mende napo uwiii
china adi matapishi watu wanakula ndio chakula chao cha taifa
😣😣😝😝
Hahaja hizi mambo in balah
Wachina nyie ni noma mpka tandu🤨🤣🤣yan mdudu mbaya hyu akikungata leo maumivu hayaishi mpka kesho...
Kosher watamu saana
Wewe kaka yetu umewnda huko china umebeba chakula au unakula cha wachina
Mmmh, maradhi hayataisha duniani
Jamaa hadi lafdhi yake kama mchina😄😄😄😄
Mmmh nasikia kinyaa nikitizama wanavyokula dooh
Uwiiii ntajifia njaa....
Hapo korona haiwezi kuisha jamani.
Duuuuuh nimeangalia mara mbimbi jamni mmmh
Cakula nzuli sana ndoma Africa tunakufa na Magojwa Ikuwa ngumu kwangu kuzowea mbonga hawo ila nimezoweya cakula kitamu sana sio chana tu Korea Vyetinamu izi inci zote zahuku Asia wanakula
We Piga tu hata usijali😁😁😂😂
Dura mwenyewe duh hapa na mimi pia nimesisimka aise. Kweli watu na tamaduni zao acha nyumbani pawe nyumani na tujivunie ya kwetu aise.