WACHINA WANAVYOKULA CHURA, NYOKA, KONOKONO, MENDE, NG'E NA MAMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 11. 2019
  • #VYAKULACHINA #YIWUNIGHTMARKET
    Yiwu Night Market ni sehemu maarufu kwenye mji wa Yiwu China eneo ambalo Wachina wengi hulitumia wakati wa usiku kama sehemu ya kupata vyakula vyao vya asili baada ya shughuli zao za kila siku, soko hilo hufunguliwa kuanzia saa 12 jioni hadi ya saa 10 alfajiri, Ayo TV, millardayo.com imepita eneo hilo na hii ni ripoti yake.

Komentáře • 579

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv Před měsícem +1

    Mimi napendelea kula kaa pamoja na hiyo mikate nimekuwa nakuja hapo kwa. Wiki mala tatu jumatatu ijumaa na jumapili nimeolewa na muchina.❤❤❤

  • @jndaki8273
    @jndaki8273 Před 4 lety +40

    Kam umemuona jmaaa anapiga miayo mbele ya vykula ivi gonga like😂😂

  • @twahatktekele9227
    @twahatktekele9227 Před 4 lety +34

    Nimependa Mzee Baba avokigonga kichina.,dadeq kam Jet Lee😁😁😁

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph4558 Před 4 lety +10

    Hilo jamaa linagonga kiswahili cha mtaani kabsa🤣🤣🤣eti we piga tu hyo

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 Před 4 lety +3

    Kma umesikia jamaa anamuuliza Bei kwa kichina #xiukayi😀😀😀😀 twende pamoja

  • @fredrickwebiro3605
    @fredrickwebiro3605 Před 4 lety +6

    Kwamtazamo wangu nahisi kutokana na kuwa china ndio nchi yenye watu wengi kuliko nchi zote duniani inawezekana kunakipindi ilitokea baa la njaa watu hao wakakosa chakula ndipo wakaanza kula kila walichokiona mbele yao. Pia nafikiri kipindi hicho kiliendelea hadi hali ya chakula iliporejea lakina kwakua mazoea hujenga tabia basi wakajikuta wameanza kuzoea kula hao viumbe na kuweka hiyo kuwa kama tamaduni yao.
    Pia haina madhara sana kwenye miili yao kwakua viumbe hai wengi wana madini na proteins kwa wingi. Kikubwa ni kujua namna ya kuvitoa sumu kwa vile viumbe vyenye sumu kama nyoka walio na sumu au n'nge na viumbe wengine wenye sumu. Maana imagine hata watu wakiwa porini wakikosa chakula huwa wanakamata chochote wanachokiona mbele yao wanakichoma na kukila Mfano: wanaweza wakala kobe, nyoka, panya, nungunungu na hata konokono na bila kupata madhara yeyote. Hii inasaidia kupunguza njaa na kufanikisha kuokoa maisha yao kipindi cha njaa.
    Hongera kwa Millardayo.com na timu yenu nzima maana unasaidia kuwafumbua macho wa tz wengi kufahamu mambo yaliyokuwa yakisemekana kama stori kuwa ni ukweli.
    ******************** Shei shei **************

    • @OmariNyota
      @OmariNyota Před rokem

      Kumbe una jua histori♥️♥️

  • @katotalifestylemedia1789
    @katotalifestylemedia1789 Před 4 lety +2

    Kaka napenda Sana kazi yako.
    unatufungulia dunia.
    ningependa kufanya kazi kwako tafadhar.
    ......Amir Katota, Kigoma Tanzania.

  • @carenprudence4011
    @carenprudence4011 Před 4 lety +81

    Kama nataka kwenda china aisee nita beba vyakula vyangu kabisa 😂

  • @twahatktekele9227
    @twahatktekele9227 Před 4 lety +19

    Mzee Baba umepewa msosi mbna hujala.,utakosa vitamin😁😁😁

  • @shekinahfaymatatiana5875
    @shekinahfaymatatiana5875 Před 4 lety +36

    Kweli adamu nahawa wange kuwa wachina atunge kuwa na dhambi ulenyoka wange mla😂😂😂😂😂

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem

    😂😂Mmmh kwye vinyakula nd shida Kupe money ya tz iko up🔥🔥🔥🔥🔥

  • @purymark5281
    @purymark5281 Před 4 lety +1

    Wachina na Philippines hawana tofauti,mbwa anachinjiwa mgeni wa heshima

  • @brigitamash2007
    @brigitamash2007 Před 4 lety +9

    dou wanakula vituko inchi ya china wanakula wadudu mamayoo

  • @faucynkrctian6607
    @faucynkrctian6607 Před 4 lety +7

    4:47 ..😂😂😂😂 Kuna mchina apo pembeni anakula kwa macho

  • @ingawajekalupula8063
    @ingawajekalupula8063 Před 4 lety +3

    Dadadeeq Kobe anauzwa kitoweo Kama kuku😂😂😂😂nimejikuta nacheka kwa sautii

  • @merryjulius4098
    @merryjulius4098 Před 4 lety +7

    Duh hapana kwa kweli..

  • @estherkoya8410
    @estherkoya8410 Před 4 lety +27

    Ndo maana wanyamq wengi wapo Afrika, china wangeisha had fisi

  • @merrycastor5836
    @merrycastor5836 Před 4 lety +15

    Mmmh jaman kichefuchefu 😆

  • @kebo2155
    @kebo2155 Před 4 lety +1

    Duh kali sana...

  • @gracejane4013
    @gracejane4013 Před 4 lety +8

    ati waenda hoteli waitisha. waiter naomba nyoka nusu na mix ya konokono😋😋😋

  • @humphreynduye6239
    @humphreynduye6239 Před 2 lety +1

    Yan hao ,,, duuuu
    Mbn bala

  • @isdorchuvu6280
    @isdorchuvu6280 Před 4 lety +3

    Eti nile Mitandu sijui Minnge na mijoka . Dah labda nishikiwe bastola ,kwanza uyo tandu unaweza sema ni mcheni flan hivi umening'inizwa ,wachina kuleni tu izo vitamin zenu.

  • @luganohenry6141
    @luganohenry6141 Před 4 lety +45

    kama namuona jux anaandaliwa tandu na mchina wake😂ajipange😁

  • @zawadiyusuf538
    @zawadiyusuf538 Před 4 lety +2

    Kazi ipo

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 Před 4 lety +10

    Konokono watamu sana.siyo china hata sisi huku kwetu hao wanaliwa.

    • @veronicatweve4786
      @veronicatweve4786 Před 4 lety

      Cosmas Thomas mhuu!🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️

    • @osmundixavel780
      @osmundixavel780 Před 4 lety

      Haaaaaaaa

    • @christinakanan7450
      @christinakanan7450 Před 4 lety

      R

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 Před 4 lety

      Eeeh dada angu, usisikie la kuambiwa,yaani is one of delicious meat!ungekuwa karibu nami ningekutafuta siku ili nawe upate onja radha yake.

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 Před 4 lety

      Ndiyo,yaani siyo wachina tu,huku kwetu hata watu wa Western Countries(Europeans) wanapitia kaka.yaani ukiikuta imetengenezwa na ipo kwenye sahani ww hata hautofahamu kuwa ni 🐌.

  • @diamondplatnumz6155
    @diamondplatnumz6155 Před 4 lety

    Noma

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 Před 4 lety +1

    sana ayooo tunakupata sana

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 Před 3 lety

    China China China, mmmmmh noma snaA

  • @rashidsuleiman1531
    @rashidsuleiman1531 Před 4 lety +1

    nakukubali mkalimani tulikua pamoja pale Zhejiang Shanghai ndani ya qming big up broo.

  • @iffahbahet1499
    @iffahbahet1499 Před 4 lety +50

    Mi hiyo harufu tu nahisi nitajamba wiki mbili mfululizo😁😁

  • @qasammawa5310
    @qasammawa5310 Před 2 lety

    A see,wafate maandiko,nazani hawana ustarabu s vyakula, vilivyoerekezwA namwenyezi mungu

  • @vonexmobile9116
    @vonexmobile9116 Před 4 lety +1

    China zipo Restaurants ambazo hawapiki wadudu (Arabian Restaurants) unapata Halal Foods hamna mambo ya nyoka na mende lkn kama ww ni mgeni basi uje na begi lako la Vyakula vya kibongo.

  • @chobastian-chobo5759
    @chobastian-chobo5759 Před 4 lety

    Hamisi kutoka pasiansi mwanza kule mlimani mpaka china 😂😂 safi sana kijana karibu sana mjini, we are proudly Tanzanians diaspora 💪🏼💪🏼🇹🇿

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 Před 4 lety +9

    Mimi chakula ninachokipenda kuliko yote hapa ni konokono. Hahahahaaaaaaaaa dahhhh hahahahaaaaaaa, uwiii

    • @AK-is9xi
      @AK-is9xi Před 4 lety

      Kuna ainambili wazanzibar pia wanakula na wanawapenda kichizi

  • @keshenidaniel5176
    @keshenidaniel5176 Před 4 lety +1

    Wachina ni watu washamba sana nini sasa icho

  • @iffahbahet1499
    @iffahbahet1499 Před 4 lety +13

    Kwa namnahiyo utakuwa na uno kweli...ndio maana wamepigwa pasi kalio zao

  • @hassanmkotya8167
    @hassanmkotya8167 Před 4 lety +4

    mmmh wananukia hadi hukuu kwelii noma

  • @westzonetv366
    @westzonetv366 Před 4 lety +2

    Millard bwana

  • @officialsalim3955
    @officialsalim3955 Před 4 lety

    Noma san

  • @upendozengula3416
    @upendozengula3416 Před 4 lety

    Mko juuuuu sana

  • @manenojames2011
    @manenojames2011 Před 3 lety

    Uko akufai kwenda

  • @loisjackeliakim4339
    @loisjackeliakim4339 Před 4 lety +3

    Wapo chalinze ( tywford , keda ) wananunua chatu kwa laki 3 sharti awe mzima tu

  • @shabanismaily5777
    @shabanismaily5777 Před 4 lety +11

    Uchafu kama wote daah!

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 Před 3 lety

    Dulla unatangaza vizur sana big up

  • @tokkichasikkomando8179

    Wooow chakula tamu sana aki

  • @florakabena12flora29
    @florakabena12flora29 Před 4 lety

    Waah makubwa haya

  • @salmaiddy6059
    @salmaiddy6059 Před 4 lety +2

    Mhhh mpaka nmesisimka

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Před 4 lety +1

    kula kila kitu kama sio sumu ,mm yenyewe naona mbwa wamezagaa zagaa huku tz wakiwe bhna na konokono,paka deal kwel

  • @ommymcoastent.5085
    @ommymcoastent.5085 Před 4 lety

    Eeeh hii Kali

  • @Mr_Ben255
    @Mr_Ben255 Před 3 lety

    Millard Ayo kweli we fighter

  • @moodychanday9220
    @moodychanday9220 Před 4 lety

    Mi nikiwa China nakulaga sana hawa ila nikurudigi Tz nakausha

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 Před 3 lety +3

    LEO NDIO NIMEAMINI HAKUNA KABIRA CHAFU KAMA WACHINA NAWW KAMA UNA AMINI ACHIA LIKE WAZEE WA SAMAKI NCHANGA BINDA

  • @shaban6644
    @shaban6644 Před 4 lety +6

    Ndo mana hawa jamaa uchumi wao upo juu sana Coz Wanapiga kazi masaa 24., imagine saa sita usku nyomi la watu kama wote utazani saa 8 mchana.,

  • @kassimulugajo6512
    @kassimulugajo6512 Před 4 lety

    dula tza nakubali sana

  • @frankmapunda5017
    @frankmapunda5017 Před 4 lety +4

    Ahsante Millard

  • @freddokuckelmann8502
    @freddokuckelmann8502 Před 4 lety +6

    Wasemeni tu Wachina na nyie muendelee kufa njaa wakati mna kila kitu cha kuliwa. Madini mnayo mnatupa wazungu tunachukua bure, baadaye mnapanda ndege zetu (ndege zenu hamzitaki) kuja kutuomba pesa (hizo hizo za kwenu) tena kwa kutupigia magoti. Mmepata raisi mjanja wa kuwasaidia, mnaanza kumsema vibaya. Kweli penye miti hamna wajenzi.

  • @justerkaregi8044
    @justerkaregi8044 Před 2 lety

    Ni tamu sana sana wewe

  • @Moon-wf2ec
    @Moon-wf2ec Před 4 lety

    Bado nyau washawash sisimizi ngadu

  • @aminamohamed1914
    @aminamohamed1914 Před 4 lety +6

    Jamani huyo muarabu ala mdudu gani

  • @happnesyonaa590
    @happnesyonaa590 Před 4 lety +1

    mmh mpk KiChefuuuuuuu chefuuuuuuu

  • @asyabinmaulid9570
    @asyabinmaulid9570 Před 4 lety +1

    Heeeh wenzetu mungu akunusuru na coronavirus....

  • @nyingos
    @nyingos Před 4 lety +2

    Halafu Kuna watu wanadharau samaki nchanga. a.k.a. panya

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 Před 4 lety +4

    Waafrika tunakwama wapi, muhimu sana kula haya mavitu maana yanaboresha hata kwenye ubongo, ndio maana huwa hatubuni chochote, tumekomalia ugali na wali tu.

  • @walivyojuma7095
    @walivyojuma7095 Před 4 lety +11

    Mmh wachina kiboko wamenishinda tabia adi mede nyuki

  • @mgendimussa7224
    @mgendimussa7224 Před 4 lety

    Mmmmmmmmh daaaah mmmmh ni htr

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 Před 4 lety +21

    Kamba ao watamu kinoma ata huku tz tunatumia na has a huku Zanzibar

    • @AK-is9xi
      @AK-is9xi Před 4 lety

      Hapo sio kamba tu vingi zanzibar wanakula takriban vyote

    • @sgfdhaikuhusu6086
      @sgfdhaikuhusu6086 Před 3 lety

      @@AK-is9xi mhh si kweli Mimi nimeviona km vitatu tuu Acha kutufananisha na wachinaaaaa

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Před 4 lety

    Noma na nusu

  • @hassanturky7511
    @hassanturky7511 Před 4 lety +1

    Ndomana wanapata maradhi ya ajabu ajabu. Na maradhi makubwa

  • @DenrichStar
    @DenrichStar Před 3 lety

    Daah inatisha

  • @liliannaomi6981
    @liliannaomi6981 Před 4 lety +2

    Hiyo we piga wala husijali😂😂😂😂

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 4 lety +10

    Hao wana asili ya majini sibure khaaaa toba roho yangu duh mimi hata nikiwauwa bs naogopa jee kumla

    • @nellywizz9631
      @nellywizz9631 Před 4 lety

      Asil hzo mzee

    • @antoinettedjumapili2522
      @antoinettedjumapili2522 Před 4 lety

      Fatma khanii
      kwa nini watu wasio na elimu huweka mambo ya kishirikina na majini kimbelembele?

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 Před 4 lety

      @@antoinettedjumapili2522 sio ivo mpenzi bali hivo sio vitu vyakawaida kula binadam niviumbe hatari

    • @antoinettedjumapili2522
      @antoinettedjumapili2522 Před 4 lety +1

      @@fatmakhanii1676
      sio viumbe hatari kila watu na desturi zao na chakula vyao hata wao na wazungu wanaona chakula vya kiafrika na wanajiuliza maswali

    • @antoinettedjumapili2522
      @antoinettedjumapili2522 Před 4 lety +1

      @@fatmakhanii1676
      naishi Australia nilipika majani ya viazi nikaweka samaki wa chunvi nikamupatia rafiki yangu mzungu akani uliza kwani chakula imekosekana kabisa ili nile majani ya viazi( matembele)

  • @magekakanga8488
    @magekakanga8488 Před 4 lety

    Wachina mmetishaa

  • @victormneney8236
    @victormneney8236 Před 4 lety +16

    Supu ya konokono ntatapika wiki
    Mendee mwezi chura 😤😤😤😧😧

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 Před 4 lety

    Hiyo njaa sababu wapo wengi sana wakisema wale nyama na samaki tu hazitatosha

  • @mukhtarmahat4131
    @mukhtarmahat4131 Před 2 lety

    24 hour economy..Let us try we Africans .
    we can prosper

  • @francissaanane5874
    @francissaanane5874 Před 4 lety

    aisee bora nisingeangalia, yak yak

  • @arapharuhinda6308
    @arapharuhinda6308 Před 3 lety

    Umeoneka tu

  • @bonipahcemsigwa6375
    @bonipahcemsigwa6375 Před 4 lety +3

    Hiyo wee piga tu wala usijali. Ni vitu vya uhakika!!!! Mtangazaji vp mbona hujapiga vitu vya uhakika hivyo? Duh! 😁😁😁😁😁😁😁

  • @hadijajumbe6291
    @hadijajumbe6291 Před 2 lety

    Sie tanga twala hiyo yaitwa mirindi ety konokono😂😂🙌🏼

  • @davidsedekia1337
    @davidsedekia1337 Před 4 lety +1

    Iyo wepigatu

  • @mathewndunguru6340
    @mathewndunguru6340 Před 4 lety +1

    Wachina ni shidaa nimekubali wana apply sayansi ilivyo kuzingatia vitamin mbalimbali

  • @rehemshehoz8704
    @rehemshehoz8704 Před 4 lety +3

    Mungu anawaon nyie n mtakuf nyie mmetuletea coron kwa kul hz wadud 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @lightnesstumsifu6593
    @lightnesstumsifu6593 Před 4 lety

    Mhm jamani

  • @aliceuhiriwe8814
    @aliceuhiriwe8814 Před 4 lety +1

    Wakuje wachukue hizi mende zinatusumbua hapa

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Před 4 lety +1

    Hao wengine chaza sio konokono bwana 👌👌

    • @AK-is9xi
      @AK-is9xi Před 4 lety

      Wengi hawajui kama kuna vitamu na adimu mjini hapo minaona china kunanifaa

  • @bertinaafonsorapaz8345

    Hapo kwenye mende napo uwiii

  • @princematta2150
    @princematta2150 Před 4 lety +6

    china adi matapishi watu wanakula ndio chakula chao cha taifa

  • @godfreylyimo9442
    @godfreylyimo9442 Před 3 lety

    Hahaja hizi mambo in balah

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Před 4 lety +1

    Wachina nyie ni noma mpka tandu🤨🤣🤣yan mdudu mbaya hyu akikungata leo maumivu hayaishi mpka kesho...

  • @kingjafu7759
    @kingjafu7759 Před 4 lety

    Kosher watamu saana

  • @leilathango8411
    @leilathango8411 Před 4 lety

    Wewe kaka yetu umewnda huko china umebeba chakula au unakula cha wachina

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 Před 3 lety

    Mmmh, maradhi hayataisha duniani

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 Před 4 lety +3

    Jamaa hadi lafdhi yake kama mchina😄😄😄😄

  • @sarahemmanuel3455
    @sarahemmanuel3455 Před 3 lety

    Mmmh nasikia kinyaa nikitizama wanavyokula dooh

  • @rithamsacky4655
    @rithamsacky4655 Před 4 lety

    Uwiiii ntajifia njaa....

  • @sophiawerema5861
    @sophiawerema5861 Před 3 lety +1

    Hapo korona haiwezi kuisha jamani.

  • @naomileonald8895
    @naomileonald8895 Před rokem

    Duuuuuh nimeangalia mara mbimbi jamni mmmh

  • @egideyakobo1565
    @egideyakobo1565 Před 4 lety

    Cakula nzuli sana ndoma Africa tunakufa na Magojwa Ikuwa ngumu kwangu kuzowea mbonga hawo ila nimezoweya cakula kitamu sana sio chana tu Korea Vyetinamu izi inci zote zahuku Asia wanakula

  • @shaffihsiraji3141
    @shaffihsiraji3141 Před 3 lety

    We Piga tu hata usijali😁😁😂😂

  • @salimomarmkapa
    @salimomarmkapa Před 4 lety

    Dura mwenyewe duh hapa na mimi pia nimesisimka aise. Kweli watu na tamaduni zao acha nyumbani pawe nyumani na tujivunie ya kwetu aise.