MCHINA ALIYEKUJA TANZANIA KUMTAFUTA BABA YAKE | AIR TANZANIA YA KWANZA YATUA CHINA | NYINGINE ZAJA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 05. 2021

Komentáře • 391

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Před 3 lety +113

    Tusinge kua nazo izo ndege ingekuaje.MUNGU ilaze mahali pema peponi mwanzilishi wetu .pombe magufuli.. AMENI

    • @uhurunyereremusa8592
      @uhurunyereremusa8592 Před 3 lety +6

      kwani kabla ya hizo ndege watu walikuwa wanakwendaje China?? hakuna cha ajabu

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 Před 3 lety +1

      Amina.

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 Před 3 lety +12

      @@uhurunyereremusa8592 Walikuwa wakenda na ndege za watu sasa tunazo za kwetu tunajivunia Magufuli Mwenyezimungu amrehemu uko alipo amjalie pepo isiyo na mwisho! Amina.

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 3 lety +1

      Eee kelele wivu tu kabla ya Magufuli yalikua yansnufaika mataifa mengine uelewe

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 3 lety +1

      Kama sio juhudi zako magufuli na mindege tungeipata wapi Tena magufuli aka endelea kusema UWIII! KWELI NIKIONDOKA IKITOKEA MUNGU AMENICHUKUA MINDEGE ITA NUNULIWA? PUMZIKA KWENYE HERI DADDY FROM TANZANIAN

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 Před 3 lety +26

    Hongera sana mtangazaji una utulivu, huna mbwembwe, sauti yako iko vzr, umetulia na sautt yako. Watangazaji igeni style hii, mnaboa sana una mhoji mtu halafu ww mwenyewe ndo unakuwa na maneno mengi

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv Před měsícem +1

    Nice mix 🇨🇳🇹🇿 from 🇯🇵❤❤❤❤❤

  • @shyfettymtunda1928
    @shyfettymtunda1928 Před 3 lety +17

    Aisee kametoka bomba.Hongera sana wazazi wake.
    Kwakweli bwana Mwapamba kaliwakilisha Taifa vizuri.😄

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Před 3 lety +47

    Umetokea bomba sana nusu china nusu Tz❤❤

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo4973 Před 3 lety +10

    Chuma Ali fanya kazi Allah 🙏 msamehe mabaya yake

  • @luganomwaigomole8849
    @luganomwaigomole8849 Před 3 lety +9

    Mnyaki km Mnyakyusa Respect kwa Baharia mwenzangu... Karibu Mbeya kijana.. We Proudly as well For Our Nation... The Blessed Land.

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 Před 3 lety +11

    Mwana mwema wa Afrika daima TUTAKukumbuka . Shujaa wa Afrika John Pombe MaGufuli. WALIOKUPIGA VITA HAWATAFANIKIWA DAIMA TUTAKUTETEA ALUTA CONTINUA.
    . RIP JPM. MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 Před 3 lety +17

    JPM Safi Sana japo Wana,ipo davlkn zinawafaa upumnzike kwa amani amen

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 Před 3 lety +14

    Jpm forever. Hatuna jinsi kwa sababu wewe mungu ndio muweza wa mambo yote I wish ungetuachia jpm tumalize nae miaka kumi tu tungekua mbali sana.

  • @caltongenmercantile4651
    @caltongenmercantile4651 Před 3 lety +7

    Mwandishi hongera sana , unajua kuhoji kukidhi maswali na uhitaji wa watazamaji wako - keep it up brother

  • @dothomwandaliw4057
    @dothomwandaliw4057 Před 3 lety +42

    Hakuna km maguu mungu ailaze mahali pema peponi

  • @derrickmutuma7185
    @derrickmutuma7185 Před 3 lety +22

    Congratulations Tanzania. Love from Kenya.

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Před 3 lety +22

    Safi sana ATCL, maendeleo hayo, kwa sasa biashara kutoka China kuja Tanzania imerahisishwa,
    Kikubwa mlinde sana mizigo inayotoka na inayoingia tusije kuletewa mabomu ya mbalimbali, na mizigo inayotoka mchunge mali zetu zisiondoke kiholela

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 Před 3 lety +6

    Una uelewa sana dogo, umuhimu wa nia yako ya kutaka kumjua baba, hongera sana

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 Před 3 lety +17

    Wowww this Tz/Chinese guy is very smart

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 Před 3 lety +33

    Full popo eti China wananita muafrica nikija Africa wananita Mu China😂
    Safi sana brother mapamba
    Hio nayo fursa kichina na kiswahili utapiga pesa

  • @Jenniferspace
    @Jenniferspace Před 3 lety +15

    He looks like Filipino or Thai❤️👍🏾

  • @amigodossantos4129
    @amigodossantos4129 Před 3 lety +10

    Duuh Tanzania yetu iko forward na Ndege straight to China

  • @ruthmaeja6340
    @ruthmaeja6340 Před 3 lety +16

    Huu mchanganyiko uko pouwa kabisa yaani Handsome Mungu fundi🙏🏾

  • @josephinanikwelimdacki3330

    I love jpm walio sema ndege hazina aibu sasa wa naona aibu tuna muitunze nchi yetu mlioko madarakani

  • @tuterlakapo2016
    @tuterlakapo2016 Před 3 lety +4

    Powa Sana.. inafurahisha mno kuona kijana wa kichinatanzania.. ambae ni mchangamfu mno wa kujitambua/kujinasibu kuayeye ni MtanazChaina.. hkk inapendeza sna na kufurahisha inastahil.

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 3 lety +32

    Kweli Tanzania hakuna Corona.

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 3 lety +34

    Mambo ya Magufuli hayo mandege! Waliomtukana ooh ananunua mandege!

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 Před 3 lety +7

    Mweee..mweee... Mwampamba. Wanyakyusa hoyeeee. Na sisi tupogo kimataifa.

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn9453 Před rokem

    Hongera sana Tonny Zhang (Mapamba) You have tracked your origin.

  • @rosa629
    @rosa629 Před 3 lety +6

    Anaongea kiswahili kizuri sana chaaa...

  • @fctlinesfactlines2817
    @fctlinesfactlines2817 Před 3 lety +5

    Mtanzania Mwenye asili ya China aliekuja kumtafuta Baba yake

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 3 lety +4

    Very interesting i love it. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo Před 3 lety +3

    jaman mkienda nchi za watu kutuwakilisha hakikisha unaacha mbegu kama hizi inakua poa sana

  • @fuadabdalla7097
    @fuadabdalla7097 Před 3 lety +9

    MAMA SAMIA AMPE UBALOZI WA CHINA HUYU CONNECTION ITAKUA KUBWA

    • @amaliweston3963
      @amaliweston3963 Před 3 lety

      VERY GOOD IDEA. THE YOUNG MAN IS VERY WELL SPOKEN. HE WOULD REPRESENT OUR COUNTRY VERY WELL. CAN SPEAK BOTH LANGUAGES WELL. WISHING HIM THE BEST.

    • @helangumusana5219
      @helangumusana5219 Před 3 lety

      Huyo raia wa tz kumbuka

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv Před měsícem +1

      ​@@helangumusana5219ye

  • @phillipmatola6964
    @phillipmatola6964 Před 3 lety +25

    WANYAKYUSA noma... Watoto mpaka China duuuh

  • @berthamasanja3512
    @berthamasanja3512 Před 3 lety +2

    Kijana amshukuru Mungu Sana kwa kupata babake na kapendeza Sana kwa rangi

  • @mursalsaid3327
    @mursalsaid3327 Před 3 lety +5

    Safi sana 👍

  • @maryamtassama494
    @maryamtassama494 Před rokem +1

    Broo wewe nintangazaji mzuri kwa Tanzania nnzima.keep up utafika mbali

  • @annasalum3366
    @annasalum3366 Před 3 lety +8

    Alafu wachina wenzako kivip ww n myakusa bwana sio mchina

  • @rehemamkalawa3801
    @rehemamkalawa3801 Před 3 lety +23

    Kumbe wachina mkichanganya dammu mnanoga hivyoo!

    • @isaacvtv547
      @isaacvtv547 Před 3 lety +1

      Hata hapa USA watoto kama hao from white + black = rangi huwa kama hiyo.
      Changamoto watoto wanabaguliwa na wazungu maana si mzungu halisi piya na akienda kwa wa black napenyewe wanasema siyo black

    • @donaldmwahalende4841
      @donaldmwahalende4841 Před 3 lety

      Handsome

    • @fatimambaruku1833
      @fatimambaruku1833 Před 3 lety

      😀😀😀

    • @isayasway4892
      @isayasway4892 Před 3 lety

      Nawewe tafuta mchinaa😂😂😂

    • @isayasway4892
      @isayasway4892 Před 3 lety

      Nawewe tafuta mchinaa😂😂😂

  • @revocatusmkude4049
    @revocatusmkude4049 Před 3 lety +2

    Uwaambie kwamba tunajua wao wanachotaka kwetu ni kutuchuma tu awana urafiki ni watu wabaya ikiwezekana ludi home achana nao

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před 3 lety +10

    Rip baba yetu magufuri maono yako hakika yalikuwa mbali faida ya ndege inaonekana sasa

  • @vumiliachacha2743
    @vumiliachacha2743 Před 3 lety +1

    Kweli mpaka nimemkumbuka magufuli jaman huku masaka tonge bado yanamkejeli

  • @mwanjekeyz8671
    @mwanjekeyz8671 Před 3 lety +6

    Mungu atupe hela kwakwel airport yetu lakin wachina walivoo jaa hapo utafkir sio kwetu

  • @nicholasamosbakar6182
    @nicholasamosbakar6182 Před 3 lety +3

    Kajieleza vizur sana mchinzania mwenzetu.

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 Před 3 lety

    mashaallah asate kw kutujuza kk yetu bro hii tz au China ❤❤

  • @bahatisunga1642
    @bahatisunga1642 Před rokem

    Popote ulipo Mwampamba hongera sana kwa kutoa kopi Japo ukiwa uchi za watu huwezi kutumia mwa kama mimi Babangu aliishi nchini Zambia jina lake Mwaisunga ila Zambia alikua anatumia jina la Sunga badala Mwaisunga na mimi nimezoe kujita Bahati Sunga

  • @awalimunishi
    @awalimunishi Před 3 lety +1

    Mshukuru Baba walau umekuwa mchina mwenye macho makubwa.

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 3 lety +3

    Kweli kabisa kubadilisha ndenge ni shida

  • @dothomwandaliw4057
    @dothomwandaliw4057 Před 3 lety +23

    Magufuli oyeeee

  • @sharifumauridi4760
    @sharifumauridi4760 Před 3 lety +15

    NAKUKUBALI SANA KABWANGA NAZIPENDA SANA STORI ZAKO CLOUDS. TUNAE MKUBALI MSHIKAJI GONGA LIKE APA TUJUANE

  • @frejascompany6094
    @frejascompany6094 Před rokem

    Oooh karibu mbeya kwenu mnnyakyusa mmwenzangu

  • @iffatuma4823
    @iffatuma4823 Před 3 lety

    Mashallah

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 Před 3 lety +1

    Bwana Tony Mnyakyusa anahamasisha saaana hahaah!!

  • @hramadhaniramadhani5328
    @hramadhaniramadhani5328 Před 3 lety +1

    Jux Aje Amchukue Mwanawe Uku/

  • @emmanuelmaiko8503
    @emmanuelmaiko8503 Před 3 lety +1

    Jamaa nimempenda sana mnyachusa

  • @jescaswai9332
    @jescaswai9332 Před 3 lety +3

    ana bahat huyu jamaa ni kweli ndio mzee wako na kuna wenzio kama wewe kama edy galamwenda'na emy galamwnda wenyewe wanyaru wazaz wao rest in peace 'mshukuru mungu mnyak mama alicheza brother MZEE mapamba mzee wa kanisa langu coal mining kyela mbeya

  • @damsonwillison435
    @damsonwillison435 Před 3 lety +2

    Kijana yuko safi kabsa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 3 lety

    Hongera mbongo mchina

  • @eastafricabrokerkiller8028

    well done

  • @geroldmwinuka6411
    @geroldmwinuka6411 Před 3 lety

    Nimeipenda

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 Před 3 lety

    Nice tony uko bien full ma conference

  • @doctorpheisaltv6266
    @doctorpheisaltv6266 Před 3 lety +5

    Jitibu ugonjwa wa ngiri busha kwa mti huu bofya apa 👉

  • @josephmalisa2987
    @josephmalisa2987 Před 3 lety

    Hongera sana kijana mimi nakuelewa saana tu

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před rokem

    Mwaisa karibu mwakaleli

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 Před 3 lety

    Hongera sn Tony.

  • @olipafrank7518
    @olipafrank7518 Před 3 lety

    Nakubali sanaaa mtangazajii

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 3 lety

    👌🏾

  • @lovenessmwaitege5324
    @lovenessmwaitege5324 Před 3 lety +5

    Toni Mwamapamba ndaga kalibu Tukuyu kwenu

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete9015 Před 3 lety +23

    Magufuli maono yako yameanza kuzaa matunda usamehewe kwa makosa yako kwa wema wako

    • @hajihamis5089
      @hajihamis5089 Před 3 lety

      Kwan kabla ya kua na ndege zetu wachina ilikua hawaj acheni ujinga

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x Před 3 lety

      @@hajihamis5089 zilikuwepo lakini cyo zetu wewe huelewi kitu Magufuli pumzika kwa Amani baba nasi tupo nyuma yako

  • @petersakariwakube8215
    @petersakariwakube8215 Před 3 lety +6

    Please use two microphones. It's part of the media protocols.

  • @josephinanikwelimdacki3330

    Love jpm aibu yao

  • @velimathias608
    @velimathias608 Před 3 lety

    Amen

  • @joycesichone4121
    @joycesichone4121 Před 3 lety

    Mmmmh wanyakyusa mpo vizuri😀😀😀😋

  • @markhenry6677
    @markhenry6677 Před 3 lety

    Safi sana

  • @salehpandu2250
    @salehpandu2250 Před 3 lety +3

    Nice guestions and discussion and answers

  • @angelmwanjalila857
    @angelmwanjalila857 Před 3 lety +4

    Ukoo wa Mapamba tuna kikao tarehe 26/6/2021 karibu kaka

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Před 3 lety

      Kwenye kikao, ongeleeni kuhusu mchumba, mwambieni kuna binti wa kifipa huku mama yake mchina baba mfipa, tunaomba aoe huku jina la baba ni chikandaa😅

  • @shedrackjacksonkaboza4348

    Tz my 💕 country

  • @seneequamoyo8111
    @seneequamoyo8111 Před 3 lety

    Handsome man

  • @masupildula
    @masupildula Před 3 lety +1

    Haha mimi ni mtanzania lakini sijui kitu chochote inayo husu tanzania 😢 因为我一生来就在中国(北京)九岁时,觉得汉语是我母语<>kasababu niko china(Beijing) tangu nimezaliwa,
    miaka 9, nimehisi luha kubwa ni kichina

  • @amaliweston3963
    @amaliweston3963 Před 3 lety +4

    THE REPORTER IS VERY GOOD🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @zamzamsuleiman6824
    @zamzamsuleiman6824 Před 3 lety

    Ilikuwa mtuoneshe wakati chombo ndio kinachimba polepole kuanza safari. It would be wonderful.....

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb Před 3 lety +1

    The guy is handsome

  • @kapeljjkapeljj5407
    @kapeljjkapeljj5407 Před 3 lety +1

    Duh hawatatuletea corona yao nawako weng sana mh nouma

  • @fahimafah349
    @fahimafah349 Před 3 lety +1

    Nimeipenda sauti yako mutangazaji

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 Před 3 lety +2

    Hakika.Tz oyeeeeee..maguu oyee

  • @alluabdallah6893
    @alluabdallah6893 Před 3 lety +8

    Wanyaqusa mwaka wenu huu mumepata damu ya kichina ambay inatuwakilisha

  • @christinawallasch5228
    @christinawallasch5228 Před 3 lety

    Kijana mzuri.

  • @christinacharles9771
    @christinacharles9771 Před 3 lety +6

    Tanzania Corona hakuna. Kama nchi nyingine wanaona hatuna corona, na sisi ndivyo tunavyojua, kwa nini mtu mmoja aanze kutuaminisha kwamba Tanzania kuna Corona? Tz wake up

  • @moisemsanga9081
    @moisemsanga9081 Před 3 lety +3

    Mbona kama sukuma genge 😂😂

  • @johansenrauben6166
    @johansenrauben6166 Před 3 lety +1

    Brother habari nawezaje kupata connection na huyo ndg

  • @gabrieladam1065
    @gabrieladam1065 Před rokem

    Wanyakyusa tupo kila sehemu hahaaa

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před 3 lety +6

    R I P Magufuli..
    Tutakukumbuka kwa mengi uliyoyafanya..umeacha alama.

  • @shishishishi3892
    @shishishishi3892 Před 3 lety +1

    Mzuri uyo kaka

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 Před 3 lety +6

    Hawo nahisi ndio wanaotaka bagamoyo, mbona wengi 😂😂😂

    • @mrsnam6897
      @mrsnam6897 Před 3 lety

      🤣🤣🤣🤣

    • @TeamKRX
      @TeamKRX Před 3 lety

      Wanaitaka wakome jamani

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 Před 3 lety

      @@TeamKRX he we kama wanataka bagamoyo wanafanikiwa niwengi Sana, wenyeji wa kikwete mwenyewe a nawapenda wa China, mie nilijuwa hyo mtoto ni wake

  • @omarmatuta7709
    @omarmatuta7709 Před 3 lety

    Yule mwanangu wa kihindi wallah namfata mana daah mie damu yngu haipotei

  • @burundishallsmile1day109

    😊😊🎩

  • @precioussilungwe7365
    @precioussilungwe7365 Před 3 lety +2

    Wisile ndagha Mwaisa🤣🤣🤣🤣🤣eJho umwana jho Mwambamba. Wanyakyusa mpo juu mbegu mpaka China khaaaa

  • @fadumayusuf6564
    @fadumayusuf6564 Před 3 lety

    Mvumilivu hula mbivu hongera Tanzania

  • @enockaward7346
    @enockaward7346 Před 3 lety +2

    Wa ushirika tukuyu kwao

  • @rachaelw580
    @rachaelw580 Před 3 lety

    Mungu akusaidie ukutane na yule aliyebabako

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Před 3 lety +2

    Angekuwa mbongo ungekua unasikia kiingereza kidogo kiswahili kidogo "

  • @saidhamad533
    @saidhamad533 Před 3 lety +2

    Uwanja wa ndege wekeni na lugha ya kichina maana ni wengi sana tanzania