Eti 'kijana yuajieleza vizuri' Unajua maana ya kujieleza vizuri!!?? Mtu anachanganya lugha mbili tofauti huoni?? Kama kiingereza aongee kingereza na kama ni Kiswahili aongee kiswahili sio kutuchanganyi UPUUUZI. Halafu na wewe kupendana hakupimwi kwa vipimo hivyo.
@@fatmaadam1778 matusi ya nini? Kwanza rudi shule jifunze tofauti ya L-R...pili iyo smart phone naona yakushinda coz kila kitu huelewi rudi tu village na urudie kile kitochi chako iyo phone huiwezi.tatu mhoji ni mtanzania mhojiwa nae ni mtanzania wanao mponda ni watanzania sasa sisi ambao c watanzania pia tumponde kama mnavyofanya nyinyi ukweli tu usemwe hampendani na ikikuuma sana nifate Kenya we punguani...jina lako na comment yako ya matusi haviendani kabisa 😒😒 mwenye alikuazima iyo phone hebu mrudishie haikufai kabisa,,,,,, nimemaliza usidhani nitarudi hapa nijibizane na wewe cna mda huo.
Funny how people are missing the point here. The point ain’t him mixing English and Swahili, he can speak however he wants cuz watu wako different, the point here ni about Kibonde and how a great guy he was. Tuachage siku zote kuona negative in everything, dah, this is sad jamani. Kwa mwendo huu hatutafika. #justsaying#. Hongera sana Ivan. Keep up the good work.
Mliambiwa mkasome hamkutaka sasa dunia ita waacha kwa kasi. Everyday this world is becoming a smaller place may be a village. Inapaswa kujua kuzungumza lugha zaid ya moja kuweza kuwasiliana na ulimwengu.
ongea na wewe! pia watu na backgraund zao! wengine wameishi nje zaidi ya miaka 15! english ikakaakinywani waliyo zoea kuongea uko nje! sasa wewe ulikimbia shule unashangaa wenzio wanawasiliana kwa lugha ya kingeleza! rudi shule brother acha uwivu! haikusaidii!
Hivi nyiee mnaakili kweli hivi mtu akisema Maneno haya ndio kakimbia shule..?Acheni ushambaa watanzania walio wengi wanajua kuongea Kingereza ndio eti mtu kasoma..?kuna watu wameishi La Saba na Kingereza wanakijua kuliko hata wale mnaojidai Kukijua na Hizo shule.Huo ndio ukwli wa Tz tuache ujinga Mahojiano ya Kiswahili Kingereza cha nini na Wengine hata huko nje Hawajafikia wala hawajakaa..ni kujiendekeza tu kuna watu wanakaa huko huko nje kwa Zaidi ya Miaka Mitano na Bado wakirudi hutasikia Huo unaoonekana kuwa ni ujanja kumbe utumwa.Kama kingereza ongea Kingereza kama Kiswahili ongea Kiswahili huko kuchanganya kwanza Kati Matumizi ya Lugha au unapozungumza haitakiwa..Na Ndio maana hata JPM aliwaambia wengine hata hamjafika huko mnajidai Yes,No.
Tanzania ni tourist country mwacheni kaka wa watu haongee mabye anajifunza Na kingeleza ukitaka kikukae lazima ukiongee bila kuogopa,then watu wote wanaolalamika ni shule zakayumba kam mie😂😂tulieni jamani Tanzania ni tourist country Na kuna baadhi ya sehemu bila kingeleza kazi upati
what's up Tanzania, English issa problem. lol welcome to kenya we will teach you guys for free, jewellery mwatakata tafsiri? kama una sononeka gonga like ufarijike
Tanzania is a British colony and English is a business language in Tanzania, sasa mbona mnawashwa nyie mnaolalamika huyo ni mfanyabiashara na Anatumia English in between his conversation sasa wewe Kama hujui sio lazima uangalie nenda kaangalie interview za bambo,kingwendu, na wengine pumbavu wakubwa.
@@floryn1636 😂😂😂 Germany was there first and left then British took over until 1964 then they hand over to mwalimu nyerere, Kuma ww we got our independence from the British not Germany go back to school
I was coming to correct Shaq on the British colony part then I saw Florence's comment, what a filthy mouth you have got girl. Is that what you got from your British slave masters? Kenyans are full of it you make me sick. FYI Tanzanians are speakers of fluent Swahili compared to your so proud English speaking slaves. Have you ever asked yourselves why you are using and proud of using a language that shows what your ancestors went through? Nothing about English describes Kenyans but Swahili is a mixture of Bantu speakers and you might be one of them. Next time rinse your mouth with chlorine before abusing a Tanzanian and hey this is a Tanzanian online channel what the hell are you doing here spitting your venom?stick to your boring Kenyan stars and leave Tanzanians to criticise Tanzanians. You are not welcomed if you have nothing good to comment on here because as Tanzanians we stick together to attack you. Now go on spitting cause that's all you learnt from your slave masters
Kama unaona anaringa kutumia English na wewe Smartphone yako English ya nini tumia kwa kiswahili sasa.. MSIFOSI TUFANANE🖐🏽 hujui usitukwaze tunaojua.. Englsh is funny ✊🏽✊🏽
Ukitaka utukanwe na watanzania ongea kiengereza daah utakuwa unawakera kwa sababu hawapati umbea vizuri huo ndio ukweli .
Wanateseka😁😁
Wema umeongea ukweli kabisa .nashinwa kuelewa Nini mbaya hapa sasa. Kwani mtu akiongea kizungu yuaringa watanzania jamaneni mchhhhwwwwww.... Mwenye hajaenda shule ameze wembe...
Kweli kabisa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aki ya Mungu
Wema Kalam yaaani waTz bhn tuko na mishidaaaaa😂
Mbona kijana yuajielezea vizuri sana ila watanzania mnakera kwa kweli hampendani wivu majungu yamewajaa hata nafasi hamna😏😏
Eti 'kijana yuajieleza vizuri'
Unajua maana ya kujieleza vizuri!!?? Mtu anachanganya lugha mbili tofauti huoni??
Kama kiingereza aongee kingereza na kama ni Kiswahili aongee kiswahili sio kutuchanganyi UPUUUZI.
Halafu na wewe kupendana hakupimwi kwa vipimo hivyo.
Wewe unaosema watanzania tuna kera mbona huongei kichina acha kutuzalau mboyawe tena mpuuzi usipende kutuzalau punguwe
Carren Dan walimwengu hawana jema my
Siwale TV ongea ww unaejua bas
@@fatmaadam1778 matusi ya nini? Kwanza rudi shule jifunze tofauti ya L-R...pili iyo smart phone naona yakushinda coz kila kitu huelewi rudi tu village na urudie kile kitochi chako iyo phone huiwezi.tatu mhoji ni mtanzania mhojiwa nae ni mtanzania wanao mponda ni watanzania sasa sisi ambao c watanzania pia tumponde kama mnavyofanya nyinyi ukweli tu usemwe hampendani na ikikuuma sana nifate Kenya we punguani...jina lako na comment yako ya matusi haviendani kabisa 😒😒 mwenye alikuazima iyo phone hebu mrudishie haikufai kabisa,,,,,, nimemaliza usidhani nitarudi hapa nijibizane na wewe cna mda huo.
Funny how people are missing the point here. The point ain’t him mixing English and Swahili, he can speak however he wants cuz watu wako different, the point here ni about Kibonde and how a great guy he was. Tuachage siku zote kuona negative in everything, dah, this is sad jamani. Kwa mwendo huu hatutafika. #justsaying#. Hongera sana Ivan. Keep up the good work.
Ndelly Jonas wanaume wa dar ndo walivyo
Beatrice Christian inasikitisha then
Mnalalamika nini mshkaji ana own ofisi inaitwa Texas
Unataka aongee kiswahili cha kipemba au cha mafinga?,
Babu Ng"ata ng'eng'e..
Ernest Mbwana kabisa
Ernest Mbwana apo kwenye mafinga umetuonea😂😂😂😂🏃🏃
Saka mahela cha waongee hulali njaa
Umeonaeee acha aongee ata kirangii
Ernest Mbwana 🤣🤣🤣🤣
mm natamani angeongea hata kihindi😂😂😂😂😂😂😂
Mliambiwa mkasome hamkutaka sasa dunia ita waacha kwa kasi. Everyday this world is becoming a smaller place may be a village. Inapaswa kujua kuzungumza lugha zaid ya moja kuweza kuwasiliana na ulimwengu.
Agiza pepsi baridii nakuja kulipa👏👏
Great interview mdogo wangu Manyanya. Kaka ako hapa Samora USA
Nanyie si muongee kiingereza jamani.
Nakukubali nakubali maneno yako anza kunipenda mie
Hii nchi itachelewa sana kuendelea sasa nyie kingereza kinawauma nini
ongea na wewe! pia watu na backgraund zao! wengine wameishi nje zaidi ya miaka 15! english ikakaakinywani waliyo zoea kuongea uko nje! sasa wewe ulikimbia shule unashangaa wenzio wanawasiliana kwa lugha ya kingeleza! rudi shule brother acha uwivu! haikusaidii!
Hayajasoma yanaona wivu
Gaudinamos Nchobe kama ulikimbia umande pole sana man, wacha sisi tuendelee kuvunja mayai 😂😂u gat me boy!!
@@gwamakamwakyambiki3963 wewe pia rudi Shule Maana hata Kiswahili hujui..
Hivi nyiee mnaakili kweli hivi mtu akisema Maneno haya ndio kakimbia shule..?Acheni ushambaa watanzania walio wengi wanajua kuongea Kingereza ndio eti mtu kasoma..?kuna watu wameishi La Saba na Kingereza wanakijua kuliko hata wale mnaojidai Kukijua na Hizo shule.Huo ndio ukwli wa Tz tuache ujinga Mahojiano ya Kiswahili Kingereza cha nini na Wengine hata huko nje Hawajafikia wala hawajakaa..ni kujiendekeza tu kuna watu wanakaa huko huko nje kwa Zaidi ya Miaka Mitano na Bado wakirudi hutasikia Huo unaoonekana kuwa ni ujanja kumbe utumwa.Kama kingereza ongea Kingereza kama Kiswahili ongea Kiswahili huko kuchanganya kwanza Kati Matumizi ya Lugha au unapozungumza haitakiwa..Na Ndio maana hata JPM aliwaambia wengine hata hamjafika huko mnajidai Yes,No.
Hata akiongea kimasai nyie inawahusu nini? Rudini shule huko sio mnapangia mtu jinsi ya kuongea😏😏 hatujawaomba mkimbie umande.
Wambie bhana washamba Sana wakata hao ndo wanataka kujua English lazma usikie mtu anaongea ndo kujifunza huko
Safi sanaa Hawajielewi wamejaa Wivu wabongo Hatariiii
@husnat gamaah ebu wapasheee!walikimbia umande!
Big point Gamaah!
Da HUSNA uko sahihi ila umeamua MKALI,maana ukitaja UMANDE tu wengi tunashtuka 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Evans my lovely shem@ka hamtaki kajambe mbeleee🤣shem mi nshakuelewa inatosha✔
nothing about kibonde...its marketing business happening here....
Asante kaka Umenifundishaa kitu Kuepuka ugomvi usio Na lazimaa
Yer kwel
Jaman kaka.mzur mashalaa ila kaka usivae bana Helen 🙄🙄
Au nayeye alitolewa marinda nahuyo boss wake
Umekuwa humble sana. I respect that
Nmekupenda bure kaka yngu waongea vzur mungu akupe moyo huohuo
Hongera kaka! Una mneno mazuri sana
Ongea lugha unayoweza na kupenda achana na wanaokuponda ata cha kuomba maji cjui
Dennis Kalisti mbona watanzania mna wivu wenzenu wakiongea kingereza???
Si mara ya kwanza kuona hili. Thank God am Kenyan, English is our 2nd language
jamaaan ni nn mnachomuongelea shemeji yang....huyu kaishi nje karud juzi tu ndo kaanzisha hio carwash ....muacheni khaaa
Dudu baya kidogo azimie baada ya kusikia wimbo huu
Huyo ni kweli ana imani. Ningependa kukutana na mtu km huyu. Thanks
Asha Bakke Ni mtu poa sana me nimemuona!!
Tanzania ni tourist country mwacheni kaka wa watu haongee mabye anajifunza Na kingeleza ukitaka kikukae lazima ukiongee bila kuogopa,then watu wote wanaolalamika ni shule zakayumba kam mie😂😂tulieni jamani Tanzania ni tourist country Na kuna baadhi ya sehemu bila kingeleza kazi upati
watu wengne wivu na ujinga unawasumbua kwan akiongea inawahucu nn
Kweli upendo sana
Awww amina bro
Mashallah, kithungu kama chote
Daaaah....
Maisha haya!!!!
Jamaa anaongea kwa kujiamini hadi raha
Evans mtu wa mjini mjanja na smart kitambo sana kassfiri sana pia
Sisi ambao atuelewi kingereza mnatusaidia vp
Sam Patrick rasi Simba
@Sam Patrick weka ze kila mwanzo wa neno na ing mwisho wa kitenz.... zaid tumia gugo utaelewa tuu!!!
kwan unateseka???
Mungu amrehem insha Allah
Hapo unawaacha wabongo hawakwelewi
Wabongo amkeni, maisha ni kutaka kuelewa.
Maashallah
Tuache ulimbukeni jamani English is just a language, it won't always classify you as an educated person
I wonder what about English Tanzanians see education!!!!!hahhaha akili zao bado ziko colonized
Kwa hiyo kama alicha hapo magar mmesikia fundi kasema hatoi hayo magar mpaka muende kuleta hiyo habar mnaboa sana.
Broring uporingi gudiringi kinomaringi unaongeringi englishiringi. kwn unateseka nilivyokometiringi
Nawewe pole sana jamaa cjui unashida gani
😁😁😁😁
Mimiring natesekaringi
Kwaniwestewe hutetesiteki ama wasemastaje
Wewerinng ni mijingaring
Hahahaha mapovu watu lugha gongana eeeee
what's up Tanzania, English issa problem. lol welcome to kenya we will teach you guys for free, jewellery mwatakata tafsiri? kama una sononeka gonga like ufarijike
Hiyo inaitwa ngeri ya genge charii yangu sukuma twende babu uko poa bro,yentete babu vibe kama lotee,charii ya R,
Tanzania is a British colony and English is a business language in Tanzania, sasa mbona mnawashwa nyie mnaolalamika huyo ni mfanyabiashara na Anatumia English in between his conversation sasa wewe Kama hujui sio lazima uangalie nenda kaangalie interview za bambo,kingwendu, na wengine pumbavu wakubwa.
@@floryn1636 😂😂😂 Germany was there first and left then British took over until 1964 then they hand over to mwalimu nyerere, Kuma ww we got our independence from the British not Germany go back to school
And its Zanzibar..i dont kniw anything about that worthless country Tanzania 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@floryn1636 You are so negative minded... hujaelewa message yake unakurupuka na matusi juu! Si lazima kujibu kila kitu we potezea tu.
I was coming to correct Shaq on the British colony part then I saw Florence's comment, what a filthy mouth you have got girl. Is that what you got from your British slave masters?
Kenyans are full of it you make me sick. FYI Tanzanians are speakers of fluent Swahili compared to your so proud English speaking slaves. Have you ever asked yourselves why you are using and proud of using a language that shows what your ancestors went through?
Nothing about English describes Kenyans but Swahili is a mixture of Bantu speakers and you might be one of them. Next time rinse your mouth with chlorine before abusing a Tanzanian and hey this is a Tanzanian online channel what the hell are you doing here spitting your venom?stick to your boring Kenyan stars and leave Tanzanians to criticise Tanzanians. You are not welcomed if you have nothing good to comment on here because as Tanzanians we stick together to attack you. Now go on spitting cause that's all you learnt from your slave masters
Watu mnangebe. Tanzania tunaongea kiswanglish
Jamani hyo kitaalamu mbona inaruhusiwa MTU Kufanya code mixing na code switching anapojiskia? Sivema kuingilia Uhuru wa mtu
Kijana huko sawa sana kwa maongeo yako ...na mwenye ajui kingereza arudi shule tena wajinga nyinyi
Watanzania tunaongeza kwa majungu kuliko kufanya kazi
Arafa Zakir
Sana
Ukifa kauli,ni nyingi sana
Fursa
Sasa we fundi wa gari akikisha gari zinafika kwa familia
Mussa Abdiel, kaka hapo ume- Act kama Kamanda SIRO vile😅😅😅
😁😁😁😁😁 Kiswanglishi
mapunga yasio soma mnazingua kama hamuelewi funga data
😂😂😂😂comments jamani zimenichekesha wacheni mwezenu aongee lugha inayo mufurahisha jamani +254
tumekuelew pole na msiba
@@peterpeter6214 asante
Daah hyo Intro jamaa... kaua
You're handsome lol
Yes he is for real.
rip
man ongea lugha utakao kama ulisoma kuna shida gani?
Aamin
Gari mpya inapakwa ranging bana?
Kuna wao wanaojiona malaika dunia wameimaliza
Wivu tu na kaka wa watu maskini
Tujifunze
Wengine wangesema namdai
Kumbuka gari imeshachukuliwa nyuma kabla ya kibonde kufariki atadaije na mtu aliyeagizwa alikuwa ameshapewa maelezo yote
Anajieleza kinaeleweka nini kingine kwani
Mbonaa jamaaa kajielezaaa tuuuu vizuuuriii, mnamtukana kwamb hajui kingereza kwa nn lkn?
huyu naye anatafuta kujulikana kupanua biashara yake kwani mpaka utangaze
Kama unaona anaringa kutumia English na wewe Smartphone yako English ya nini tumia kwa kiswahili sasa.. MSIFOSI TUFANANE🖐🏽 hujui usitukwaze tunaojua.. Englsh is funny ✊🏽✊🏽
Buhaaaaaaaa aweke kiswahil hatoelewa abadan.maana ukae usome kiswahl fasaha.
um ikram 😂😂😂😂 kumbe kiswahili nacho kigumu...
@@leodgardchristopher95 NIKWEL KIGUM HICHO TUONGEACHO NICHA KIZUSHI. KISWAHIL FASAHA MTIHAN
Kwelii.. sio hiki cha naendaGA, unatakaGA 😆😆
Toyota harrier Lexus ndio gari gani jamen
zipo bana, try to google.Lexus ni kampuni under toyota
Mmmm uyu nayee
1:03
TOYOTA HARRIER LEXUS ndo nini?
Baiskeli.
😂😂😂 msenge ongea kiswahili, au ongea kizungu bas mpaka mwisho..😒
Young Inspired kwani lazima mwache aongee anavyojisikia ,unamtukania nini ,wewe ndo msenge Kama hujui kizungu usione wivu mwenzio anapokiongea
Acha hzo wewe!matusi ya nini!KAYUMBA WEEEH!
Mkafirwe 🖕🖕
all the way from zanzibar, angalia video ya wimb wang mpya kweny youtube channel yang...support good music
czcams.com/video/UrbKWLLxmgY/video.html
jamaa yuko poa sana
Vua helen kaka utaolewa
Hahahahaha
R. I. P kibonde
Lol comments zinafurahisha
Wabongo bana mtu anahojiwa kiswahili ajifanya anachanganya lugha nani anashida na kingilish lunga ya kislave
Kila mtu na hulka yake mkuu kwani shida ipo Wapi unasikiliza unaacha tu.
Kaka we mwenye imemalza zanini
Mh.dunia imebeba jaman.mtu akiona maiki tu.zinaanza this and the,yes you,too.go,no no no,what,ok.
😃😃😃😃😃😃
Hahahaha
Hamad Shein sasa wewe unateseka nn ya mtu utachelewa fanya yako
Hamad shein mungu anakuona😀
@@iddykambi4334 dogo umewahi kuona mzungu.hata kama anajua kiswahili.akiwa anahojiwa.kwa kingereza anajibu.kiswahli?
Hiyo helen hiyoo kaka ww ni mvulana au mwanaime
Acha upimbi kwani wazaramo wamekuathiri nini hebu taja kabila lako tulijue,
mmakonde uyo
wewe mzaramo si bora uongee kulugha cha kijijini chenu..kuliko icho kiswnglishi
Unajua sisi waswahili tuliosoma kidogo. nishida sana. Vijingereza kwa wingi. huwo. ni utumwa pumbafu nyie
Ww kama huwezi kuongea kaa kimya, hayakuhusu mwache mwenzio aongee.
Ongea kiswahili
Huyu mhaya
Susan Samson acha zako ruge si alikua mhaya mbona akua na misifa,, sifa ni uluka ya mtu acheni kukalili
Kweli
Acha kukalili maisha Susan utapotea
@@evaristerelias7373 ha ha nenda kaulize
@@evaristerelias7373 mzee mzima that dude
"THAMANI ZA WATU KATIKA MAISHA YAKO - CZcams" m.czcams.com/video/3bicWU_73NM/video.html
Kizungu hapana ,
SUBSCRIBER CHANNEL IYO
czcams.com/channels/UuR0QeL3vbzsSm10MucCpA.html
Kingereza cha nini msenge ww
Matusi yanininiii were jamnii
Kube hupedi kingereza bro.
@@yothamugaya5679 nikasome ili nisikilize hyo broken english ng'ombe ww
Fursa