Kibonde aliacha magari mawili kwa fundi akamwambia "nakulipa kabisa nisife na deni"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 03. 2019

Komentáře • 212

  • @wemakalam3233
    @wemakalam3233 Před 5 lety +64

    Ukitaka utukanwe na watanzania ongea kiengereza daah utakuwa unawakera kwa sababu hawapati umbea vizuri huo ndio ukweli .

    • @azizamohd5728
      @azizamohd5728 Před 5 lety +2

      Wanateseka😁😁

    • @winniengesa9421
      @winniengesa9421 Před 5 lety +4

      Wema umeongea ukweli kabisa .nashinwa kuelewa Nini mbaya hapa sasa. Kwani mtu akiongea kizungu yuaringa watanzania jamaneni mchhhhwwwwww.... Mwenye hajaenda shule ameze wembe...

    • @flyboy3052
      @flyboy3052 Před 5 lety +1

      Kweli kabisa

    • @purryselestine4000
      @purryselestine4000 Před 5 lety +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aki ya Mungu

    • @magehkihwele8274
      @magehkihwele8274 Před 5 lety +1

      Wema Kalam yaaani waTz bhn tuko na mishidaaaaa😂

  • @carrendan874
    @carrendan874 Před 5 lety +26

    Mbona kijana yuajielezea vizuri sana ila watanzania mnakera kwa kweli hampendani wivu majungu yamewajaa hata nafasi hamna😏😏

    • @siwaletv4185
      @siwaletv4185 Před 5 lety

      Eti 'kijana yuajieleza vizuri'
      Unajua maana ya kujieleza vizuri!!?? Mtu anachanganya lugha mbili tofauti huoni??
      Kama kiingereza aongee kingereza na kama ni Kiswahili aongee kiswahili sio kutuchanganyi UPUUUZI.
      Halafu na wewe kupendana hakupimwi kwa vipimo hivyo.

    • @fatmaadam1778
      @fatmaadam1778 Před 5 lety

      Wewe unaosema watanzania tuna kera mbona huongei kichina acha kutuzalau mboyawe tena mpuuzi usipende kutuzalau punguwe

    • @dianajames1663
      @dianajames1663 Před 5 lety +1

      Carren Dan walimwengu hawana jema my

    • @dianajames1663
      @dianajames1663 Před 5 lety

      Siwale TV ongea ww unaejua bas

    • @carrendan874
      @carrendan874 Před 5 lety

      @@fatmaadam1778 matusi ya nini? Kwanza rudi shule jifunze tofauti ya L-R...pili iyo smart phone naona yakushinda coz kila kitu huelewi rudi tu village na urudie kile kitochi chako iyo phone huiwezi.tatu mhoji ni mtanzania mhojiwa nae ni mtanzania wanao mponda ni watanzania sasa sisi ambao c watanzania pia tumponde kama mnavyofanya nyinyi ukweli tu usemwe hampendani na ikikuuma sana nifate Kenya we punguani...jina lako na comment yako ya matusi haviendani kabisa 😒😒 mwenye alikuazima iyo phone hebu mrudishie haikufai kabisa,,,,,, nimemaliza usidhani nitarudi hapa nijibizane na wewe cna mda huo.

  • @Amani715
    @Amani715 Před 5 lety +13

    Funny how people are missing the point here. The point ain’t him mixing English and Swahili, he can speak however he wants cuz watu wako different, the point here ni about Kibonde and how a great guy he was. Tuachage siku zote kuona negative in everything, dah, this is sad jamani. Kwa mwendo huu hatutafika. #justsaying#. Hongera sana Ivan. Keep up the good work.

  • @ernestmbwana6282
    @ernestmbwana6282 Před 5 lety +39

    Mnalalamika nini mshkaji ana own ofisi inaitwa Texas
    Unataka aongee kiswahili cha kipemba au cha mafinga?,
    Babu Ng"ata ng'eng'e..

  • @pendotitu7754
    @pendotitu7754 Před 5 lety +7

    mm natamani angeongea hata kihindi😂😂😂😂😂😂😂

  • @wiseriziki2433
    @wiseriziki2433 Před 5 lety +16

    Mliambiwa mkasome hamkutaka sasa dunia ita waacha kwa kasi. Everyday this world is becoming a smaller place may be a village. Inapaswa kujua kuzungumza lugha zaid ya moja kuweza kuwasiliana na ulimwengu.

    • @florankya889
      @florankya889 Před 5 lety +1

      Agiza pepsi baridii nakuja kulipa👏👏

  • @hashpappi3830
    @hashpappi3830 Před 5 lety +2

    Great interview mdogo wangu Manyanya. Kaka ako hapa Samora USA

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 Před 5 lety +10

    Nanyie si muongee kiingereza jamani.

  • @bitunihassan9950
    @bitunihassan9950 Před 5 lety +1

    Nakukubali nakubali maneno yako anza kunipenda mie

  • @gaudinamosnchobe4909
    @gaudinamosnchobe4909 Před 5 lety +40

    Hii nchi itachelewa sana kuendelea sasa nyie kingereza kinawauma nini

    • @gwamakamwakyambiki3963
      @gwamakamwakyambiki3963 Před 5 lety +4

      ongea na wewe! pia watu na backgraund zao! wengine wameishi nje zaidi ya miaka 15! english ikakaakinywani waliyo zoea kuongea uko nje! sasa wewe ulikimbia shule unashangaa wenzio wanawasiliana kwa lugha ya kingeleza! rudi shule brother acha uwivu! haikusaidii!

    • @fadhiliibrahim9702
      @fadhiliibrahim9702 Před 5 lety

      Hayajasoma yanaona wivu

    • @cavoo4get649
      @cavoo4get649 Před 5 lety

      Gaudinamos Nchobe kama ulikimbia umande pole sana man, wacha sisi tuendelee kuvunja mayai 😂😂u gat me boy!!

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 Před 5 lety +1

      @@gwamakamwakyambiki3963 wewe pia rudi Shule Maana hata Kiswahili hujui..

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 Před 5 lety +2

      Hivi nyiee mnaakili kweli hivi mtu akisema Maneno haya ndio kakimbia shule..?Acheni ushambaa watanzania walio wengi wanajua kuongea Kingereza ndio eti mtu kasoma..?kuna watu wameishi La Saba na Kingereza wanakijua kuliko hata wale mnaojidai Kukijua na Hizo shule.Huo ndio ukwli wa Tz tuache ujinga Mahojiano ya Kiswahili Kingereza cha nini na Wengine hata huko nje Hawajafikia wala hawajakaa..ni kujiendekeza tu kuna watu wanakaa huko huko nje kwa Zaidi ya Miaka Mitano na Bado wakirudi hutasikia Huo unaoonekana kuwa ni ujanja kumbe utumwa.Kama kingereza ongea Kingereza kama Kiswahili ongea Kiswahili huko kuchanganya kwanza Kati Matumizi ya Lugha au unapozungumza haitakiwa..Na Ndio maana hata JPM aliwaambia wengine hata hamjafika huko mnajidai Yes,No.

  • @husnatgamaah1335
    @husnatgamaah1335 Před 5 lety +44

    Hata akiongea kimasai nyie inawahusu nini? Rudini shule huko sio mnapangia mtu jinsi ya kuongea😏😏 hatujawaomba mkimbie umande.

    • @ameenaalebri2952
      @ameenaalebri2952 Před 5 lety +2

      Wambie bhana washamba Sana wakata hao ndo wanataka kujua English lazma usikie mtu anaongea ndo kujifunza huko

    • @wolfhelmgothom6641
      @wolfhelmgothom6641 Před 5 lety +3

      Safi sanaa Hawajielewi wamejaa Wivu wabongo Hatariiii

    • @richardsoka2400
      @richardsoka2400 Před 5 lety +1

      @husnat gamaah ebu wapasheee!walikimbia umande!

    • @Rogathe-Rogathe
      @Rogathe-Rogathe Před 5 lety +1

      Big point Gamaah!

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 Před 5 lety

      Da HUSNA uko sahihi ila umeamua MKALI,maana ukitaja UMANDE tu wengi tunashtuka 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Před 5 lety +3

    Evans my lovely shem@ka hamtaki kajambe mbeleee🤣shem mi nshakuelewa inatosha✔

  • @chrisslinda9971
    @chrisslinda9971 Před 5 lety +8

    nothing about kibonde...its marketing business happening here....

  • @rennyjohnbosco5674
    @rennyjohnbosco5674 Před 5 lety +4

    Asante kaka Umenifundishaa kitu Kuepuka ugomvi usio Na lazimaa

  • @vivimndeme384
    @vivimndeme384 Před 5 lety +6

    Jaman kaka.mzur mashalaa ila kaka usivae bana Helen 🙄🙄

  • @hashpappi3830
    @hashpappi3830 Před 5 lety

    Umekuwa humble sana. I respect that

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před 5 lety

    Nmekupenda bure kaka yngu waongea vzur mungu akupe moyo huohuo

  • @esnartmagoti9292
    @esnartmagoti9292 Před 5 lety

    Hongera kaka! Una mneno mazuri sana

  • @denniskalisti2570
    @denniskalisti2570 Před 5 lety +8

    Ongea lugha unayoweza na kupenda achana na wanaokuponda ata cha kuomba maji cjui

    • @joanotieno3579
      @joanotieno3579 Před 5 lety

      Dennis Kalisti mbona watanzania mna wivu wenzenu wakiongea kingereza???
      Si mara ya kwanza kuona hili. Thank God am Kenyan, English is our 2nd language

  • @blesseddeebrownie7334
    @blesseddeebrownie7334 Před 5 lety +3

    jamaaan ni nn mnachomuongelea shemeji yang....huyu kaishi nje karud juzi tu ndo kaanzisha hio carwash ....muacheni khaaa

  • @sanifumedia9614
    @sanifumedia9614 Před 5 lety

    Dudu baya kidogo azimie baada ya kusikia wimbo huu

  • @ashabakke4733
    @ashabakke4733 Před 5 lety

    Huyo ni kweli ana imani. Ningependa kukutana na mtu km huyu. Thanks

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před 5 lety +1

    Tanzania ni tourist country mwacheni kaka wa watu haongee mabye anajifunza Na kingeleza ukitaka kikukae lazima ukiongee bila kuogopa,then watu wote wanaolalamika ni shule zakayumba kam mie😂😂tulieni jamani Tanzania ni tourist country Na kuna baadhi ya sehemu bila kingeleza kazi upati

  • @mercyignas3165
    @mercyignas3165 Před 5 lety +4

    watu wengne wivu na ujinga unawasumbua kwan akiongea inawahucu nn

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 5 lety +2

    Kweli upendo sana

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před 5 lety +1

    Awww amina bro

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 5 lety

    Mashallah, kithungu kama chote

  • @kindandakudingwa7514
    @kindandakudingwa7514 Před 5 lety +1

    Daaaah....
    Maisha haya!!!!

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Před 5 lety +2

    Jamaa anaongea kwa kujiamini hadi raha

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 Před 5 lety

      Evans mtu wa mjini mjanja na smart kitambo sana kassfiri sana pia

  • @sampatrick9951
    @sampatrick9951 Před 5 lety +3

    Sisi ambao atuelewi kingereza mnatusaidia vp

    • @gabriellydaud5411
      @gabriellydaud5411 Před 5 lety +1

      Sam Patrick rasi Simba

    • @marylulufocus2970
      @marylulufocus2970 Před 5 lety

      @Sam Patrick weka ze kila mwanzo wa neno na ing mwisho wa kitenz.... zaid tumia gugo utaelewa tuu!!!
      kwan unateseka???

  • @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326

    Mungu amrehem insha Allah

  • @justinwakudat6792
    @justinwakudat6792 Před 5 lety +1

    Hapo unawaacha wabongo hawakwelewi

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Před 5 lety

    Maashallah

  • @Georgekawamala
    @Georgekawamala Před 5 lety +1

    Tuache ulimbukeni jamani English is just a language, it won't always classify you as an educated person

    • @wonderdimples8699
      @wonderdimples8699 Před 5 lety

      I wonder what about English Tanzanians see education!!!!!hahhaha akili zao bado ziko colonized

  • @a2gmgimwa3
    @a2gmgimwa3 Před 5 lety

    Kwa hiyo kama alicha hapo magar mmesikia fundi kasema hatoi hayo magar mpaka muende kuleta hiyo habar mnaboa sana.

  • @kalash_tz9390
    @kalash_tz9390 Před 5 lety +31

    Broring uporingi gudiringi kinomaringi unaongeringi englishiringi. kwn unateseka nilivyokometiringi

  • @gracetweve8485
    @gracetweve8485 Před 5 lety

    Hahahaha mapovu watu lugha gongana eeeee

  • @musaamuj
    @musaamuj Před 5 lety

    what's up Tanzania, English issa problem. lol welcome to kenya we will teach you guys for free, jewellery mwatakata tafsiri? kama una sononeka gonga like ufarijike

  • @patrickkajala7614
    @patrickkajala7614 Před 5 lety

    Hiyo inaitwa ngeri ya genge charii yangu sukuma twende babu uko poa bro,yentete babu vibe kama lotee,charii ya R,

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 Před 5 lety +3

    Tanzania is a British colony and English is a business language in Tanzania, sasa mbona mnawashwa nyie mnaolalamika huyo ni mfanyabiashara na Anatumia English in between his conversation sasa wewe Kama hujui sio lazima uangalie nenda kaangalie interview za bambo,kingwendu, na wengine pumbavu wakubwa.

    • @shaqdizo7678
      @shaqdizo7678 Před 5 lety

      @@floryn1636 😂😂😂 Germany was there first and left then British took over until 1964 then they hand over to mwalimu nyerere, Kuma ww we got our independence from the British not Germany go back to school

    • @floryn1636
      @floryn1636 Před 5 lety

      And its Zanzibar..i dont kniw anything about that worthless country Tanzania 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @berithaandersonn2234
      @berithaandersonn2234 Před 5 lety

      @@floryn1636 You are so negative minded... hujaelewa message yake unakurupuka na matusi juu! Si lazima kujibu kila kitu we potezea tu.

    • @khalekichambo2143
      @khalekichambo2143 Před 5 lety

      I was coming to correct Shaq on the British colony part then I saw Florence's comment, what a filthy mouth you have got girl. Is that what you got from your British slave masters?
      Kenyans are full of it you make me sick. FYI Tanzanians are speakers of fluent Swahili compared to your so proud English speaking slaves. Have you ever asked yourselves why you are using and proud of using a language that shows what your ancestors went through?
      Nothing about English describes Kenyans but Swahili is a mixture of Bantu speakers and you might be one of them. Next time rinse your mouth with chlorine before abusing a Tanzanian and hey this is a Tanzanian online channel what the hell are you doing here spitting your venom?stick to your boring Kenyan stars and leave Tanzanians to criticise Tanzanians. You are not welcomed if you have nothing good to comment on here because as Tanzanians we stick together to attack you. Now go on spitting cause that's all you learnt from your slave masters

  • @irenengatia4289
    @irenengatia4289 Před 5 lety +1

    Watu mnangebe. Tanzania tunaongea kiswanglish

  • @bettiejohn2579
    @bettiejohn2579 Před 5 lety

    Jamani hyo kitaalamu mbona inaruhusiwa MTU Kufanya code mixing na code switching anapojiskia? Sivema kuingilia Uhuru wa mtu

  • @binttsulu647
    @binttsulu647 Před 5 lety

    Kijana huko sawa sana kwa maongeo yako ...na mwenye ajui kingereza arudi shule tena wajinga nyinyi

  • @arafazakir1763
    @arafazakir1763 Před 5 lety +4

    Watanzania tunaongeza kwa majungu kuliko kufanya kazi

  • @papafikiri
    @papafikiri Před 5 lety

    Ukifa kauli,ni nyingi sana

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Před 5 lety +3

    Fursa

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 Před 5 lety +6

    Sasa we fundi wa gari akikisha gari zinafika kwa familia

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 Před 5 lety +1

      Mussa Abdiel, kaka hapo ume- Act kama Kamanda SIRO vile😅😅😅

  • @tangaboytz2141
    @tangaboytz2141 Před 5 lety

    😁😁😁😁😁 Kiswanglishi

  • @chriskingnampoto3214
    @chriskingnampoto3214 Před 5 lety +4

    mapunga yasio soma mnazingua kama hamuelewi funga data

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau8234 Před 5 lety +3

    😂😂😂😂comments jamani zimenichekesha wacheni mwezenu aongee lugha inayo mufurahisha jamani +254

  • @TheKaida23
    @TheKaida23 Před 5 lety

    Daah hyo Intro jamaa... kaua

  • @elinahdaudi8195
    @elinahdaudi8195 Před 5 lety +1

    You're handsome lol

  • @allyhamissi5835
    @allyhamissi5835 Před 5 lety

    rip

  • @aspaslove113
    @aspaslove113 Před 5 lety

    man ongea lugha utakao kama ulisoma kuna shida gani?

  • @mfubwakilua5380
    @mfubwakilua5380 Před 5 lety

    Aamin

  • @festomartinchanga1987
    @festomartinchanga1987 Před 5 lety

    Gari mpya inapakwa ranging bana?

  • @rosemaiko9405
    @rosemaiko9405 Před 5 lety

    Kuna wao wanaojiona malaika dunia wameimaliza

  • @irenengatia4289
    @irenengatia4289 Před 5 lety

    Wivu tu na kaka wa watu maskini

  • @asheryissa6100
    @asheryissa6100 Před 5 lety

    Tujifunze

  • @richardyusuphmsongolomakat2049

    Wengine wangesema namdai

    • @nzwilamakonda8053
      @nzwilamakonda8053 Před 5 lety +1

      Kumbuka gari imeshachukuliwa nyuma kabla ya kibonde kufariki atadaije na mtu aliyeagizwa alikuwa ameshapewa maelezo yote

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 Před 5 lety

    Anajieleza kinaeleweka nini kingine kwani

  • @luomusicchannelfromtanzani5650

    Mbonaa jamaaa kajielezaaa tuuuu vizuuuriii, mnamtukana kwamb hajui kingereza kwa nn lkn?

  • @msyangirichard8309
    @msyangirichard8309 Před 5 lety +1

    huyu naye anatafuta kujulikana kupanua biashara yake kwani mpaka utangaze

  • @leodgardchristopher95
    @leodgardchristopher95 Před 5 lety +1

    Kama unaona anaringa kutumia English na wewe Smartphone yako English ya nini tumia kwa kiswahili sasa.. MSIFOSI TUFANANE🖐🏽 hujui usitukwaze tunaojua.. Englsh is funny ✊🏽✊🏽

    • @umikram6755
      @umikram6755 Před 5 lety

      Buhaaaaaaaa aweke kiswahil hatoelewa abadan.maana ukae usome kiswahl fasaha.

    • @leodgardchristopher95
      @leodgardchristopher95 Před 5 lety

      um ikram 😂😂😂😂 kumbe kiswahili nacho kigumu...

    • @umikram6755
      @umikram6755 Před 5 lety +1

      @@leodgardchristopher95 NIKWEL KIGUM HICHO TUONGEACHO NICHA KIZUSHI. KISWAHIL FASAHA MTIHAN

    • @leodgardchristopher95
      @leodgardchristopher95 Před 5 lety

      Kwelii.. sio hiki cha naendaGA, unatakaGA 😆😆

  • @cyadi.17
    @cyadi.17 Před 5 lety

    Toyota harrier Lexus ndio gari gani jamen

    • @Waberoya
      @Waberoya Před 5 lety +2

      zipo bana, try to google.Lexus ni kampuni under toyota

  • @jackiejackie1272
    @jackiejackie1272 Před 5 lety +1

    Mmmm uyu nayee

  • @dannycornll9223
    @dannycornll9223 Před 5 lety

    1:03
    TOYOTA HARRIER LEXUS ndo nini?

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 Před 5 lety +8

    😂😂😂 msenge ongea kiswahili, au ongea kizungu bas mpaka mwisho..😒

    • @idgafbmw295
      @idgafbmw295 Před 5 lety +6

      Young Inspired kwani lazima mwache aongee anavyojisikia ,unamtukania nini ,wewe ndo msenge Kama hujui kizungu usione wivu mwenzio anapokiongea

    • @leopoldmwesa6968
      @leopoldmwesa6968 Před 5 lety

      Acha hzo wewe!matusi ya nini!KAYUMBA WEEEH!

    • @younginspired3899
      @younginspired3899 Před 5 lety

      Mkafirwe 🖕🖕

  • @officialyasum5390
    @officialyasum5390 Před 5 lety +1

    all the way from zanzibar, angalia video ya wimb wang mpya kweny youtube channel yang...support good music
    czcams.com/video/UrbKWLLxmgY/video.html

  • @chriskingnampoto3214
    @chriskingnampoto3214 Před 5 lety +3

    jamaa yuko poa sana

  • @yasiniselemani2412
    @yasiniselemani2412 Před 5 lety +3

    Vua helen kaka utaolewa

  • @Kenchiyh
    @Kenchiyh Před 5 lety

    Lol comments zinafurahisha

  • @hussmuya5246
    @hussmuya5246 Před 5 lety +12

    Wabongo bana mtu anahojiwa kiswahili ajifanya anachanganya lugha nani anashida na kingilish lunga ya kislave

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 Před 5 lety +8

    Mh.dunia imebeba jaman.mtu akiona maiki tu.zinaanza this and the,yes you,too.go,no no no,what,ok.

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 Před 5 lety +1

      😃😃😃😃😃😃

    • @alexjosephat9030
      @alexjosephat9030 Před 5 lety

      Hahahaha

    • @iddykambi4334
      @iddykambi4334 Před 5 lety +1

      Hamad Shein sasa wewe unateseka nn ya mtu utachelewa fanya yako

    • @zuusaidibushiri5556
      @zuusaidibushiri5556 Před 5 lety

      Hamad shein mungu anakuona😀

    • @hamadshein935
      @hamadshein935 Před 5 lety +1

      @@iddykambi4334 dogo umewahi kuona mzungu.hata kama anajua kiswahili.akiwa anahojiwa.kwa kingereza anajibu.kiswahli?

  • @simonmkodya3936
    @simonmkodya3936 Před 5 lety

    Hiyo helen hiyoo kaka ww ni mvulana au mwanaime

  • @khadijasaid4137
    @khadijasaid4137 Před 5 lety

    Acha upimbi kwani wazaramo wamekuathiri nini hebu taja kabila lako tulijue,

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 Před 5 lety +3

    wewe mzaramo si bora uongee kulugha cha kijijini chenu..kuliko icho kiswnglishi

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma8713 Před 5 lety

    Unajua sisi waswahili tuliosoma kidogo. nishida sana. Vijingereza kwa wingi. huwo. ni utumwa pumbafu nyie

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 Před 5 lety

      Ww kama huwezi kuongea kaa kimya, hayakuhusu mwache mwenzio aongee.

  • @priscangimba944
    @priscangimba944 Před 5 lety

    Ongea kiswahili

  • @susansamson1099
    @susansamson1099 Před 5 lety +2

    Huyu mhaya

  • @simpleboytz255
    @simpleboytz255 Před 5 lety

    "THAMANI ZA WATU KATIKA MAISHA YAKO - CZcams" m.czcams.com/video/3bicWU_73NM/video.html

  • @christinemangati1865
    @christinemangati1865 Před 5 lety +1

    Kizungu hapana ,

  • @MBIKETV
    @MBIKETV Před 5 lety

    SUBSCRIBER CHANNEL IYO
    czcams.com/channels/UuR0QeL3vbzsSm10MucCpA.html

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 Před 5 lety

    Kingereza cha nini msenge ww

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Před 5 lety

    Fursa