GARDNER: KIBONDE ALIUGUA GHAFLA, ALIDAI TUMBO, TULIKOSA DAWA / ALIMKUMBUKA MKE WAKE!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 03. 2019
  • Mtangazaji Gardner G. Habash, rafiki wa karibu na mfanyakazi mwenza wa marehemu #Kibonde amezungumza nasi kuugua hadi kufariki kwa Ephraim Kibonde alfajiri ya leo.
  • Zábava

Komentáře • 46

  • @anithakalist6194
    @anithakalist6194 Před 5 lety +5

    Pole sana gadna G abash pole na familia pia,mwenyezi mungu ndiye mtoaji kumlaumu atuwezi pumzika Kwa amani Ephraim kibonde😭😭🙏🙏

  • @hadijapazia684
    @hadijapazia684 Před 5 lety +14

    Daaah Gardner unaonekana umelia sn kaka!!
    Pole sn

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 Před 5 lety +9

    Inah lillah raijuin poleni Sana Ni msiba wetu wote mungu atupe subra Amen.
    Na ampumzishe salama peponi Amen

  • @christinemangati1865
    @christinemangati1865 Před 5 lety +2

    Simanzi is deadly. Maybe he didn't eat for a while which triggered his gastric issue further. But kusema hakuna dawa,the government should have some chemist working 24/7.
    Poleni sana. It shall be well.

  • @maryspeter2724
    @maryspeter2724 Před 5 lety +2

    hayo maswali "alikuwa ni mtu Wa aina gani " ,muwe mnauliza Kabla MTU hajafa ili naye ajue , unafiki na umama mwing sana waandish

  • @frankndibalema6489
    @frankndibalema6489 Před 5 lety +1

    pole bro.Gadner kwa kupoteza swahiba wako .Mungu kampenda zaidi

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 Před 5 lety +6

    Polen wafiwa wote jaman clouds mmetoka kumzika boss wenu leo mfanya kz mwenzenu daa 😥 ata machungu hayajaisha polen wafiwa wote

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Před 5 lety

    Pole da umelia jmn alikuwa Rafiki yako wa kweli kabisa utapooza Sana gadinner da

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 Před 5 lety

    Pole nying kwako Bro @ George bantu Mungu akutie nguvu kwa kuondokewa na swahiba wako

  • @rehemaamon2692
    @rehemaamon2692 Před 5 lety

    Dah ww mungu ndo unajua watoto hawa wataishi vp maana ww ni baba wa yatima. poleni sana familia kwa ujumla. pumzika kwa amani kaka kibonde

  • @mamafatuma138
    @mamafatuma138 Před 5 lety +2

    poleni sana kazi ya Allah aina makosa

  • @kareemlaayjr4545
    @kareemlaayjr4545 Před 5 lety +1

    Pole sana

  • @dinamicheal5154
    @dinamicheal5154 Před 5 lety +3

    Polen sana clouds na ndugu na jamaa wa kaka yetu kibonde, na upumzike kwa aman

  • @maureenmwimano1973
    @maureenmwimano1973 Před 5 lety +1

    poleni sana kaka

  • @OmanOman-cr2xz
    @OmanOman-cr2xz Před 5 lety

    Pole sana kaka mungu awatie nguvu

  • @starrecordshancej1083
    @starrecordshancej1083 Před 5 lety

    Poleni saaaaaaana ndugu, jamaaa na marafiki.

  • @ayilarhoda2503
    @ayilarhoda2503 Před 5 lety

    Inauma sana jaman poleni sana familia na wana CMG.

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 Před 5 lety

    Pole mingi pia kwako@Gadna

  • @marywambuijamesnuuguna4187

    Poleni mungu awape nguvu

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 Před 5 lety +1

    Pole WATZ.

  • @heriethwilliamwilliam1781

    poleni sana familia ya marehemu na clouds kwa ujumla rest in peace kibonde 👫👪😫😭😱😰

  • @jasmineshechambo3401
    @jasmineshechambo3401 Před 5 lety +1

    Pole sana kaka

  • @najma3268
    @najma3268 Před 5 lety

    Polen sana wafiwa , nasi tumeguswa maana imekua pigo kubwa kweli

  • @alfredmwamba9617
    @alfredmwamba9617 Před 5 lety

    Gardner pole sana kwa kumpoteza FM kabadigidajabadiggggidaaaaaa tutamkumbuka

  • @hazelbrown4712
    @hazelbrown4712 Před 5 lety

    Dahh yani kama Rafiki yake Ruge ameenda nje ya Dar na Miguu yake anarudishwa ndani ya Dar akiwa ndanj ya Ndege Maiti... so sad wallah😢😢😢💔💔💔

  • @delabossreizer9471
    @delabossreizer9471 Před 5 lety +2

    Daaaa kama aligoma kuondoka mwanza huo muda naona alishaisi kitu flan ase inaumaaa

  • @evelyneernest8854
    @evelyneernest8854 Před 5 lety +1

    HAYA YOTE MAISHA UIIIII🙆🏾‍♀️🙆🏿‍♂️

  • @a.856
    @a.856 Před 5 lety

    Poleni sana rip baba kibs

  • @alfanshonde2438
    @alfanshonde2438 Před 5 lety +1

    Daa r.i.p kibonde

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 Před 5 lety +1

    kwa hakika nimeumia

  • @khalidikibakuli132
    @khalidikibakuli132 Před 5 lety

    cc tulimpenda ila mungu amempenda zaid

  • @stellafinsky9467
    @stellafinsky9467 Před 5 lety

    Kindly take care of is young kids

  • @donalddominic8905
    @donalddominic8905 Před 5 lety

    Rip ndg yetu kibonde

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Před 5 lety

    Kwahiyo kumbe angepata hizo dawa bas asingekufa ee Mungu tusaidie,Tanzania hii dawa muhimu hakuna

  • @rhodamalembo7873
    @rhodamalembo7873 Před 5 lety +2

    Polen xana kwa familia ya marehem na clouds lkn tunaomba serikali liangalie hili swala la dawa mahospitalin haswa mikoan kiukwel dawa n shida xana asilimia kubwa wafarki kwa kkoxa dawa

  • @syksyk7295
    @syksyk7295 Před 5 lety

    Rip kbonde

  • @sophicatesalim9757
    @sophicatesalim9757 Před 5 lety +1

    Alipata mshtuko maskini

  • @mwanadamtz1298
    @mwanadamtz1298 Před 5 lety

    MTU PEKEE WA KUCHUKUA NAFASI YA JAHAZI NI KABWANGA . R.I.P KIBONDE

  • @olivershayo5920
    @olivershayo5920 Před 5 lety

    jamani hospl hizi

  • @chadogyfrankibrahim2976
    @chadogyfrankibrahim2976 Před 5 lety +1

    R.I.P Ephraim kibonde nimeguswa

  • @hizim6699
    @hizim6699 Před 5 lety

    Alikua anaumwa tumbo nanini nanini ndo nini sasa yani hata ww akili yako kuna mtu anaumwa nananini hv hawa wabongo vp yani mtu kafa gafla namna hio alafu unasema alikua anaumwa tumbo nanini nanini km hujui sema hujui yani watu wanachezea kifo cha mtu alafu apo apo anasema amehuzunika
    Alo watu wanafiki apa tz ni atari au ni anti book,, kwa sababu mtu uwezi kujib tumbo nanini nanini ndo nini sasa ndo ugonjwa gn??

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 Před 5 lety

    Gadna pole manake jahazi sasa limeyumba

  • @halimamzanda6243
    @halimamzanda6243 Před 5 lety

    Mi nilijua kafa kwenye ile ajali daaa

  • @babenealoyce889
    @babenealoyce889 Před 5 lety

    Kwahiyo hakupata matibabu bukoba? Au nimesikia vibaya