KWA UCHUNGU: MWIJAKU Afunguka HAYA kwenye MSIBA wa GARDNER G HABASH wa CLOUDS
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
R.I.P Mungu awatie nguvu clouds midia group
Nikweli mwijaku usemayo
Rest in peace captain 😭😭😭😭
mungu ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe😂😂😂😂
Sasa kama huwa mnajua kuna kifo mbona huwa mnawasema sana watu vibaya huku mnajua dunia siyo YETU
usiukumu mtu wacha mungu akumu akuna asiejuwa kuna kifo wala dhambi ndio mola akawek msamah na ataki binadam amukum binadanu mwenzie
Wewe waombee usihukumu
Inahusu nn ndugu ? Mabaya mabaya /mema mema ndugu na kifo kifo ukianza fikiria hayo basi hata hutofanya k2 Dunian unasubir kifo tu kama kujenga / kuzaaa nk ivyo wee mwombe MUngu tu , kwa wema waabudio lakin wanakufa Sio sabb ya ukamilifu hutokufa
Wewe nawe unakoment nn?? Kuna kaz pia kuna mambo ya kijamii ambao yanahusu kila mtu kwa bwana Mwijaku nani binadamu na ana mjua Mwenyez Mungu
Mwijaku dini unaijuwa
Sema kujichetua kwakwe tu
Kila siku anatoa aya hiyohiyo mwijaku
Hiyo ni hadithi co Aya
Bora yeye anaijua hiyo aya kuliko wewe unaemkosoa kwa kujionyesha unajua zaidi yake.
Nikweli mwijaku usemayo