SERIKALI INAFANYA KAZI KUBWA MNO KUTENGENEZA MAZINGIRA YA BIASHARA NA SISI NI JUU YETU KUPIGA KAZI NA KUACHANA NA POROJO. MPIGE MARUFUKO KWA WENYE HOTELI KUTUMIA MKAA NA KUNI ILI WASILETE TENA MAJANGA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA, NA BIASHARA YA MBOGA NA MATUNDA PIA IFANYWE KISASA SIO KURUNDIKA TU VITU HOVYO.
Ongela sana mueshimiwa chalamila
SERIKALI INAFANYA KAZI KUBWA MNO KUTENGENEZA MAZINGIRA YA BIASHARA NA SISI NI JUU YETU KUPIGA KAZI NA KUACHANA NA POROJO.
MPIGE MARUFUKO KWA WENYE HOTELI KUTUMIA MKAA NA KUNI ILI WASILETE TENA MAJANGA NA UHARIBIFU WA MAZINGIRA, NA BIASHARA YA MBOGA NA MATUNDA PIA IFANYWE KISASA SIO KURUNDIKA TU VITU HOVYO.
Tupo na uongozi wa kwenda kulalamika kwa wakati huu.tuutumie vizuri
Kaongea ukweli and Uhakika huo vipi mtu mmja maduka zaidi ya moja na wengine mpka wanakosa not good kabisa
Fremu ndio bei inapaa mara mbili. Wanyonge tutaeza pango kweli
Nchi anaendeshwa kibanafai
Habari za Chadema sijaziona huku chombo cha habari kinabagua sijui kwann
Zinakujaje humu habari za chadema humu hawaongelei Biashara ya siasa hebu acha siasa katika Maisha ya watu
@@MnubiMmAcha ushabiki kwenye office za CCM wameenda kuchukua nn tumia akili hiyo nisiasa Kobe wewe