Hii Ndio CLOUDS MEDIA GROUP Mpya / THE NEXT CMG

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 12. 2018
  • Mkurugenzi Mkuu wa Clouds Media Group #JosephKusaga aizungumzia Clouds Mpya Baada ya Jengo la Clouds kupata hitlafu ya Moto mkubwa uliounguza sehemu kubwa........Tazama zaidi #cloudsmedia

Komentáře • 140

  • @raykivuyo6871
    @raykivuyo6871 Před 5 lety +8

    Huu uwekezaji ni mkubwa sana, hongera CMG

  • @stylejordan7101
    @stylejordan7101 Před 5 lety +4

    Nampenda sana huyu mzee anabusara sana.

  • @fredytarimo6421
    @fredytarimo6421 Před 5 lety +22

    viva clouds wasibishane na waliochonga barabara

  • @prospermsanzi8815
    @prospermsanzi8815 Před 5 lety +53

    Clouds Media group👊👊👊
    Kama unakubali like tafadhari twende sawa

  • @matthewben2146
    @matthewben2146 Před 4 lety +1

    Sijawahi jutia kuwapenda clouds japo kuna vifaranga hua wanabishabisha

  • @sharifusuleiman8312
    @sharifusuleiman8312 Před 4 lety +1

    Mungu ibariki clouds na wafanyakazi wote we loveee you kusaga r.I.p ruge

  • @kudratkudrat7863
    @kudratkudrat7863 Před 5 lety +6

    Mashallah m/mungu awafanyie wepesi kwenye kazi zenu

  • @makiniswingadventures3517

    Nina idea ya kipindi cha TV hopefully one days meet you boss KUSAGA

  • @iskitogo
    @iskitogo Před 5 lety +2

    It is a good strategy of managing the current situation. For quite sometime Ruge has been given a front role of being Clouds Icon and leader. It is equally fair for Joe now to get in while Ruge is still recovering. We wish Ruge a quick recovery and get back to business. Congratulations Joe and the entire Clouds Team.

  • @berrotyger108
    @berrotyger108 Před 5 lety +3

    Hakika mungu ni mwema kwakila jambo #CLOUDSMEDIA 💪

  • @amosmwakapesa8540
    @amosmwakapesa8540 Před 5 lety +6

    SAFI SANA UBUNIFU MZURI JOE KUSAGA KEEP IT UP

  • @mikaevaristposho9637
    @mikaevaristposho9637 Před 5 lety +9

    kazi nzuri saana. big up CMG, wachonga barabara ya burudani. Happy birthday CMG #19

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 5 lety +2

    Kila la kheri kaka kusaga mungu azidi kuwajalia na msonge mbele Cloud nawapenda sana viva Cloud

  • @taicollegetz
    @taicollegetz Před 5 lety +5

    hongereni kwa mafanikio makubwa, kila la kheri kwenye hustle zenu

  • @richierobert7182
    @richierobert7182 Před 5 lety +1

    mjita original nakukubali sana @chikaka wa nyaindi

  • @godfreymasengo947
    @godfreymasengo947 Před 5 lety +8

    Radio Pendwa ya WATU
    # Clouds fm

  • @titusgaspar9134
    @titusgaspar9134 Před 5 lety +3

    Najivunia kuwa sehem ya mwananchi nilie sikiliza clouds kwa miaka mingi ila sintasahau kuwa kuna siku niliwahi kupigwa na mzee wangu sababu ni kusikiliza clouds badala ya redio nyingine hongera sana kwa mkurugenzi mtendaji Joseph Kusaga pamoja na familia nzima ya CMG!!!!!!!

    • @graphixmaster6146
      @graphixmaster6146 Před 5 lety

      Titus Gaspar huyo mzeewako hana akili

    • @titusgaspar9134
      @titusgaspar9134 Před 5 lety

      @@graphixmaster6146 wakati huo ndio clouds inaanza kusikika Arusha mzee akawa anasema tunasikiliza miziki ya kihuni tukiwa ofisini yeye anataka kusikiliza anachotaka lakini akitoka tu hata dk 1 anakuta nimeweka clouds ndio akanipiga bonge la konzi 2 lakini haikusaidi waka kubadili nia yangu na baadae kabisa ikawa kama vile maeneo yale tuliokua tunafanya biashar wakaelewa na kuanza kuisikiliza na hata kuipenda Clouds fm na vipindi vyangu kwa eakati huo ilikua PB dk beat ambayo kwa sasa ni Xxl na Afrika Bambataa na Sport Xtra njia Panda na Clouds fm top 20!!!!!!!

    • @banshbansh2329
      @banshbansh2329 Před 5 lety

      @@graphixmaster6146 kwa nn unamtukanania mzee wake sio poa

  • @azamhamadi5708
    @azamhamadi5708 Před 5 lety +3

    Ruge atabaki kua ruge tu

  • @Zungu_Mwamba
    @Zungu_Mwamba Před 5 lety +2

    Mimi sio shabiki wa CMG lkn ninawapongeza sana kwa kufika mlipo!!!! HBd CMG!!!! Nina shauri mnge nunua hata Bus la Fiesta ni ushauri tu

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Před 5 lety +2

    Nowma Kweli Mshkaji Wangu
    Hatareeeee...
    Joh Joh Joh..
    Noma Sana...
    Nakubali

  • @djchichijr2553
    @djchichijr2553 Před 5 lety +6

    uwepo wa NRG radio Kenya kwa namna moja ama nyingine umefanya clouds waige na kubadilika its good muhimu kuappreciate in Tz clouds lead in digital radio studio NRG Kenya naaiapreciate congratulations blue media

    • @karyori69
      @karyori69 Před 5 lety

      Chichi Jr ati clouds imeiga NRG Radio? how long is NRG Radio in the game? do u know Clouds media group is in middle East too?

    • @djchichijr2553
      @djchichijr2553 Před 5 lety

      +Ng'wamba Bila I know bro about clouds in the middle east mpaka Rwanda when it comes to digital ukisasa NRG radio ni ya mda mfupi Ila upande wa digital kwa sasa inaongoza naona ndo clouds wanaiga kufanya live stream na vipind viwe vinarukA kama NRG radio ndio kitu ninachokizingumzia Mzee ukiona zaman clouds wanarekod vipind ndo wanaweka kwenye account yao CZcams now itakuwa live stream and live on air "

    • @karyori69
      @karyori69 Před 5 lety

      Chichi Jr their studio had fire accident a reason they couldn't launch live broadcast. Kwenye hiyo clip the owner anakuambia Obivan ya kwanza ilikuwa yao!

  • @straitnews3441
    @straitnews3441 Před 5 lety +2

    Ya mngeimprove TV yenu interms of studio na vipind ingekuwa poa sana

  • @angelntandu4648
    @angelntandu4648 Před 5 lety +3

    Mungu ana makusudi yake kumuchukua Ruge na kubaki......

  • @christophermassawe1418
    @christophermassawe1418 Před 5 lety +3

    #Kazi_Ye2 nikuwachongea bala bala Love Clouds

  • @laurentmbakile9389
    @laurentmbakile9389 Před 4 lety

    CMG noma mtabaki kileleni

  • @manassecharles2251
    @manassecharles2251 Před 5 lety +2

    Bbc wajipangee aisee CMG

  • @amosimusso7589
    @amosimusso7589 Před 5 lety +4

    Mpo vzr sana clouds tunawapenda sana

  • @pascaltv2456
    @pascaltv2456 Před 5 lety +3

    CMG nawakubali Sana happy 😊 birthday 🎂

  • @konglevelproduction5052
    @konglevelproduction5052 Před 5 lety +2

    nαkuвαlí kαzí чєnu
    pαmσjα tunαwєzα
    Happy birthday CMG. The people's brand

  • @simonmuga2083
    @simonmuga2083 Před 5 lety +3

    Ooooohh dame... Hongereni sana aysee ..clouds forever young..

  • @fetymwamba8685
    @fetymwamba8685 Před 5 lety +6

    Viva clouds kwani wanateseka?wafanye kama wanajikuna basi!!!

  • @mastermfaume
    @mastermfaume Před 5 lety +2

    Yes....

  • @omurangiramurangira1523

    ....The icon Ruge should be smiling in heaven for the Excellent Work ur doing....Keep it up Kusaga...The Spirit Ruge is behind u...

  • @Eddie25502
    @Eddie25502 Před 5 lety +2

    Hongereni sana....
    Kazi nzuri

  • @peterkyese4516
    @peterkyese4516 Před 5 lety +5

    Jamanii clouds ifakara ampatikan jamaniii

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 Před 5 lety +2

    Congratulations clouds Media Group good job

  • @husseinhamza2054
    @husseinhamza2054 Před 5 lety +4

    Oh clouds Imekufa inakufaje kwa mfano mtapata taabuuuuuu sana

  • @stellampandiko188
    @stellampandiko188 Před 5 lety +3

    Hongeleni clouds

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 Před 5 lety +1

    Clouds dam dam Milele 🔥🔥🔥🔥

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 Před 5 lety +3

    kazinzuri sana kaka joseph kusaga.......... malengo mazuri nimependaa

  • @jamesprosper4790
    @jamesprosper4790 Před 5 lety +6

    Sio kwamba Joseph anatumia nguvu, ila ni kwamba Anajaribu ku prove a point kwa watu na wafanyakazi wake. Tusubiri Simba afanye na yeye yakwake

  • @gbconline2006
    @gbconline2006 Před 5 lety +3

    Big up Big Boss 💪💥💥💥

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 5 lety +1

    Watu kimyaaaaaaaa 😀😀

  • @mosesmkoma6882
    @mosesmkoma6882 Před 5 lety

    Hongereni saana wa 2 ni 2 tu avai moja

  • @deoben1141
    @deoben1141 Před 5 lety +1

    Big up

  • @geofreyndibalema6882
    @geofreyndibalema6882 Před 5 lety +1

    Nomad sana

  • @cathbertkamugisha1547
    @cathbertkamugisha1547 Před 5 lety +8

    HBD clouds media group mungu awe nanyi tuko pamoja

  • @stevesampasa6885
    @stevesampasa6885 Před 5 lety +2

    Yap bro balikiwe

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 Před 5 lety +4

    Wooow nice

  • @tembomnyama2310
    @tembomnyama2310 Před 5 lety

    Happy Birth Moth clouds FM

  • @nickalreadyknows
    @nickalreadyknows Před 5 lety +3

    Nice 👍 i appreciate your work 🔥🔥🔥

  • @richardwalesi5913
    @richardwalesi5913 Před 5 lety +2

    Dah jamaa wamewekeza San big up clouds # the people station

  • @pgctusariver9808
    @pgctusariver9808 Před 5 lety +1

    Mko vizuri

  • @abasijuma7130
    @abasijuma7130 Před 5 lety

    Nakubal mpo juu clouds

  • @athumannuru3648
    @athumannuru3648 Před 5 lety +3

    Ridio moja2 clouds

  • @bennyfatel
    @bennyfatel Před 5 lety +1

    Big up ila mnafaa mtembee mikoani sio kwa fiesta tu but other talents search

  • @HASASON
    @HASASON Před 5 lety +1

    Kwenye studios big up mlikua mnatia aibu sio siri, big name lakini studios Mungu saidia

  • @farijidee2386
    @farijidee2386 Před 5 lety +1

    Viva clouds

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 Před 5 lety +2

    viva clouds

  • @husseinhamza2054
    @husseinhamza2054 Před 5 lety +4

    Huyu ndio don wa clouds na Wasafi hatari

    • @banshbansh2329
      @banshbansh2329 Před 5 lety

      wasafi bado iko nyuma sana
      ila wanafosi tuu
      lakini haifiki clouds hata kidogo coz clouds bado wako juu tuu hawa watu wakifanya fitina

    • @hamadsaidy8752
      @hamadsaidy8752 Před 4 lety

      @Hussein ata wew mtu akikufata hakakwambia tuwekeze uwezi kukataha saw

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 Před 5 lety +1

    hii ni taasisi , kampuni

  • @josephmaduhu7871
    @josephmaduhu7871 Před 5 lety +1

    Hio ni lini inaanza

  • @najumongdeoxcar6312
    @najumongdeoxcar6312 Před 5 lety +2

    nkubli can brooo uko good

    • @dottosalu9964
      @dottosalu9964 Před 5 lety

      congratulations my number one station clouds media group daaaa vibe Kama loteeee alaaaaa

  • @ramadhanimagomba7395
    @ramadhanimagomba7395 Před 5 lety +3

    #hatubishani
    #clouds19

  • @doreenpeter4159
    @doreenpeter4159 Před 5 lety

    Big congrats

  • @Togolay24TV
    @Togolay24TV Před 5 lety

    Mungu azidi kuwainua

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 Před 5 lety

    Hongera CMG

  • @ibrahimkingwa5581
    @ibrahimkingwa5581 Před 5 lety +3

    Tafuteni watumishi wa Mungu mfanye maombi kwanza mana kuna bonge la komboraa lipo hapo

  • @allyjuma6136
    @allyjuma6136 Před 5 lety +3

    Bosi angalieni jinsi tofauti yakufanya biashara nawasanii bila kuwabania nyimbo zaoo. Mi binafsi crauds ndio midia yangu nayoikubali BT naboreka sana napo kua simsiki msani anae vuma kwa wakati. Husika mfano hivi sasa ni mond

  • @emaydickson4239
    @emaydickson4239 Před 5 lety +1

    good sana

  • @oskavenansi3403
    @oskavenansi3403 Před 4 lety

    Safi sana

  • @richardkobero6988
    @richardkobero6988 Před 5 lety +1

    Duuuh hatariiii

  • @amosnjeru5011
    @amosnjeru5011 Před 5 lety

    Big Boss!

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Před 5 lety

    nimeelewa

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 Před 5 lety +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jumamichael4083
    @jumamichael4083 Před 5 lety

    Kitu kizuri

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi7883 Před 5 lety +1

    Mi huko sipo Niko tbc

  • @dizzobusiness3042
    @dizzobusiness3042 Před 5 lety +1

    Zote ni biashara hakuna tatizo chamsingi ni ubunifu pekee

  • @jozzyedward5234
    @jozzyedward5234 Před 5 lety +1

    Hbd🎂️🎉️

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 Před 5 lety

    ningekua mbali sasa nilifika kitega uchumi wakati uo yuko broo taji liundi alisifu sauti yangu lakini Dunia niliivaa nikaiona bora ningekua bongo la mtangazaji ila yote maisha

  • @sefumbembe439
    @sefumbembe439 Před 5 lety +1

    Kwanini mnapoadhimisha miaka ishirini hawa watu mnawasahau?kwamfano Onyango,Bashiri,Mwita,Seif mbembe na wengine

  • @masoudaliy5483
    @masoudaliy5483 Před 5 lety +2

    naona nembo ya coconat fm znz hapo

  • @edrickniwamanya439
    @edrickniwamanya439 Před 5 lety

    Sawa

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 5 lety

    Baba ni baba tu
    Watoto hata wakiota sharubu bado watamwita Baba
    Songa mbele clouds

  • @hamisihassan5114
    @hamisihassan5114 Před 5 lety

    Good's

  • @user-zj3ke9gc2u
    @user-zj3ke9gc2u Před 5 lety

    Mashallah

  • @edward83113
    @edward83113 Před 5 lety

    😍😍😍

  • @abdallahkitwana8471
    @abdallahkitwana8471 Před 5 lety

    Safi

  • @mabaujames3632
    @mabaujames3632 Před 5 lety

    Majiran wanaumia

  • @gonzalesdeus5117
    @gonzalesdeus5117 Před 5 lety

    wengi tumeipenda

  • @laulauronald
    @laulauronald Před 5 lety +1

    tazama hii video inatukumbusha jambo LA msingi maishani czcams.com/video/lTefgPRh7fM/video.html

  • @derrickkamara3184
    @derrickkamara3184 Před 5 lety

    Keep up the spirit,.. all the way from Texas aoklahoma

  • @husseinc
    @husseinc Před 5 lety +4

    Badilisheni na nyoyo zenu tumechoka na unyonyaji

  • @haitumikitena4978
    @haitumikitena4978 Před 5 lety +3

    Wasafi wajipange mamaezao

    • @kidullahmwanamziki791
      @kidullahmwanamziki791 Před 5 lety

      Mixer hizo hizo ndio zimeungwa wasafi fm inaana wasafi na clouds level sawa

    • @sirj1597
      @sirj1597 Před 5 lety

      Mr Kilaga upeo wako mdogo kuma ww angalia wasafi hata mwaka bado ila ipo juu wao wanamika mingapi we msenge nn katombwe na babako

    • @kidullahmwanamziki791
      @kidullahmwanamziki791 Před 5 lety

      Wasafi muda wowote tunaboresha zaidi hata hawa clouds changamoto wameipata wasafi...wanaiga

    • @godlovegeorge2334
      @godlovegeorge2334 Před 5 lety

      @@sirj1597 wasafi ipo juu ya wapi au kiredio chako geto ndo umetundika juu ya bati

  • @saidhamisi3550
    @saidhamisi3550 Před 5 lety +1

    Wasafi tv washaanza kuwaacha kwa subscribes

  • @stevenmagema8358
    @stevenmagema8358 Před 5 lety +3

    Mnanikela nyombo ninazotaka hazipigwi ndio maana sina hata mdaa wakuwafatilia wala kuwasikiliza mkiendelea hivyo hamta fika popote mtazidi kudidimia nyie sio mungu

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows Před 5 lety

      Steven Magema acha kulalamika hivyo ni vyombo vya watu binafsi anzisha cha kwako upige nyimbo unazozitaka na pia ww So Mungu vilevile kusema hawatafika popote shit 🤧

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 Před 5 lety +2

    Hahahaha, mbona mnaochangia/ kukoment ni ninyi wenyewe watumishi wa clouds tu? Pigeni kazi Mzee kusaga,vijana wasikushauri kupambana kwani wewe ni mpambanaji. Usitumie muda mwingi kujibu makosa yanayosababishwa na watangazaji wako na madj wenye roho mbaya. Timua wafanyakazi hao anza upya

  • @fastmedia6881
    @fastmedia6881 Před 5 lety

    salut

  • @godlovegeorge2334
    @godlovegeorge2334 Před 5 lety +3

    Hakuna media hapa bongo itayokuja ukizidi Cloudsmedia nyie zungusheni viuno tu lakn clouds ndo anabaki kuwa baba yenu

  • @emanuelwilliam1607
    @emanuelwilliam1607 Před 5 lety

    MUNGU AWATIE NGUVU