Mkurugenzi Mkuu wa Clouds Media Group #JosephKusaga aizungumzia Clouds Mpya Baada ya Jengo la Clouds kupata hitlafu ya Moto mkubwa uliounguza sehemu kubwa........Tazama zaidi #cloudsmedia
It is a good strategy of managing the current situation. For quite sometime Ruge has been given a front role of being Clouds Icon and leader. It is equally fair for Joe now to get in while Ruge is still recovering. We wish Ruge a quick recovery and get back to business. Congratulations Joe and the entire Clouds Team.
Najivunia kuwa sehem ya mwananchi nilie sikiliza clouds kwa miaka mingi ila sintasahau kuwa kuna siku niliwahi kupigwa na mzee wangu sababu ni kusikiliza clouds badala ya redio nyingine hongera sana kwa mkurugenzi mtendaji Joseph Kusaga pamoja na familia nzima ya CMG!!!!!!!
@@graphixmaster6146 wakati huo ndio clouds inaanza kusikika Arusha mzee akawa anasema tunasikiliza miziki ya kihuni tukiwa ofisini yeye anataka kusikiliza anachotaka lakini akitoka tu hata dk 1 anakuta nimeweka clouds ndio akanipiga bonge la konzi 2 lakini haikusaidi waka kubadili nia yangu na baadae kabisa ikawa kama vile maeneo yale tuliokua tunafanya biashar wakaelewa na kuanza kuisikiliza na hata kuipenda Clouds fm na vipindi vyangu kwa eakati huo ilikua PB dk beat ambayo kwa sasa ni Xxl na Afrika Bambataa na Sport Xtra njia Panda na Clouds fm top 20!!!!!!!
uwepo wa NRG radio Kenya kwa namna moja ama nyingine umefanya clouds waige na kubadilika its good muhimu kuappreciate in Tz clouds lead in digital radio studio NRG Kenya naaiapreciate congratulations blue media
+Ng'wamba Bila I know bro about clouds in the middle east mpaka Rwanda when it comes to digital ukisasa NRG radio ni ya mda mfupi Ila upande wa digital kwa sasa inaongoza naona ndo clouds wanaiga kufanya live stream na vipind viwe vinarukA kama NRG radio ndio kitu ninachokizingumzia Mzee ukiona zaman clouds wanarekod vipind ndo wanaweka kwenye account yao CZcams now itakuwa live stream and live on air "
Chichi Jr their studio had fire accident a reason they couldn't launch live broadcast. Kwenye hiyo clip the owner anakuambia Obivan ya kwanza ilikuwa yao!
Bosi angalieni jinsi tofauti yakufanya biashara nawasanii bila kuwabania nyimbo zaoo. Mi binafsi crauds ndio midia yangu nayoikubali BT naboreka sana napo kua simsiki msani anae vuma kwa wakati. Husika mfano hivi sasa ni mond
ningekua mbali sasa nilifika kitega uchumi wakati uo yuko broo taji liundi alisifu sauti yangu lakini Dunia niliivaa nikaiona bora ningekua bongo la mtangazaji ila yote maisha
Mnanikela nyombo ninazotaka hazipigwi ndio maana sina hata mdaa wakuwafatilia wala kuwasikiliza mkiendelea hivyo hamta fika popote mtazidi kudidimia nyie sio mungu
Steven Magema acha kulalamika hivyo ni vyombo vya watu binafsi anzisha cha kwako upige nyimbo unazozitaka na pia ww So Mungu vilevile kusema hawatafika popote shit 🤧
Hahahaha, mbona mnaochangia/ kukoment ni ninyi wenyewe watumishi wa clouds tu? Pigeni kazi Mzee kusaga,vijana wasikushauri kupambana kwani wewe ni mpambanaji. Usitumie muda mwingi kujibu makosa yanayosababishwa na watangazaji wako na madj wenye roho mbaya. Timua wafanyakazi hao anza upya
Huu uwekezaji ni mkubwa sana, hongera CMG
Nampenda sana huyu mzee anabusara sana.
viva clouds wasibishane na waliochonga barabara
Clouds Media group👊👊👊
Kama unakubali like tafadhari twende sawa
Sijawahi jutia kuwapenda clouds japo kuna vifaranga hua wanabishabisha
Mungu ibariki clouds na wafanyakazi wote we loveee you kusaga r.I.p ruge
Mashallah m/mungu awafanyie wepesi kwenye kazi zenu
Nina idea ya kipindi cha TV hopefully one days meet you boss KUSAGA
It is a good strategy of managing the current situation. For quite sometime Ruge has been given a front role of being Clouds Icon and leader. It is equally fair for Joe now to get in while Ruge is still recovering. We wish Ruge a quick recovery and get back to business. Congratulations Joe and the entire Clouds Team.
Hakika mungu ni mwema kwakila jambo #CLOUDSMEDIA 💪
SAFI SANA UBUNIFU MZURI JOE KUSAGA KEEP IT UP
kazi nzuri saana. big up CMG, wachonga barabara ya burudani. Happy birthday CMG #19
Kila la kheri kaka kusaga mungu azidi kuwajalia na msonge mbele Cloud nawapenda sana viva Cloud
hongereni kwa mafanikio makubwa, kila la kheri kwenye hustle zenu
mjita original nakukubali sana @chikaka wa nyaindi
Radio Pendwa ya WATU
# Clouds fm
Najivunia kuwa sehem ya mwananchi nilie sikiliza clouds kwa miaka mingi ila sintasahau kuwa kuna siku niliwahi kupigwa na mzee wangu sababu ni kusikiliza clouds badala ya redio nyingine hongera sana kwa mkurugenzi mtendaji Joseph Kusaga pamoja na familia nzima ya CMG!!!!!!!
Titus Gaspar huyo mzeewako hana akili
@@graphixmaster6146 wakati huo ndio clouds inaanza kusikika Arusha mzee akawa anasema tunasikiliza miziki ya kihuni tukiwa ofisini yeye anataka kusikiliza anachotaka lakini akitoka tu hata dk 1 anakuta nimeweka clouds ndio akanipiga bonge la konzi 2 lakini haikusaidi waka kubadili nia yangu na baadae kabisa ikawa kama vile maeneo yale tuliokua tunafanya biashar wakaelewa na kuanza kuisikiliza na hata kuipenda Clouds fm na vipindi vyangu kwa eakati huo ilikua PB dk beat ambayo kwa sasa ni Xxl na Afrika Bambataa na Sport Xtra njia Panda na Clouds fm top 20!!!!!!!
@@graphixmaster6146 kwa nn unamtukanania mzee wake sio poa
Ruge atabaki kua ruge tu
Mimi sio shabiki wa CMG lkn ninawapongeza sana kwa kufika mlipo!!!! HBd CMG!!!! Nina shauri mnge nunua hata Bus la Fiesta ni ushauri tu
Nowma Kweli Mshkaji Wangu
Hatareeeee...
Joh Joh Joh..
Noma Sana...
Nakubali
uwepo wa NRG radio Kenya kwa namna moja ama nyingine umefanya clouds waige na kubadilika its good muhimu kuappreciate in Tz clouds lead in digital radio studio NRG Kenya naaiapreciate congratulations blue media
Chichi Jr ati clouds imeiga NRG Radio? how long is NRG Radio in the game? do u know Clouds media group is in middle East too?
+Ng'wamba Bila I know bro about clouds in the middle east mpaka Rwanda when it comes to digital ukisasa NRG radio ni ya mda mfupi Ila upande wa digital kwa sasa inaongoza naona ndo clouds wanaiga kufanya live stream na vipind viwe vinarukA kama NRG radio ndio kitu ninachokizingumzia Mzee ukiona zaman clouds wanarekod vipind ndo wanaweka kwenye account yao CZcams now itakuwa live stream and live on air "
Chichi Jr their studio had fire accident a reason they couldn't launch live broadcast. Kwenye hiyo clip the owner anakuambia Obivan ya kwanza ilikuwa yao!
Ya mngeimprove TV yenu interms of studio na vipind ingekuwa poa sana
Mungu ana makusudi yake kumuchukua Ruge na kubaki......
#Kazi_Ye2 nikuwachongea bala bala Love Clouds
CMG noma mtabaki kileleni
Bbc wajipangee aisee CMG
Mpo vzr sana clouds tunawapenda sana
CMG nawakubali Sana happy 😊 birthday 🎂
nαkuвαlí kαzí чєnu
pαmσjα tunαwєzα
Happy birthday CMG. The people's brand
Ooooohh dame... Hongereni sana aysee ..clouds forever young..
mbon mmekata matango kweny kungamz jamni
mustufanyie hivy jamani tunakosa uhondo
Viva clouds kwani wanateseka?wafanye kama wanajikuna basi!!!
Yes....
....The icon Ruge should be smiling in heaven for the Excellent Work ur doing....Keep it up Kusaga...The Spirit Ruge is behind u...
Hongereni sana....
Kazi nzuri
Jamanii clouds ifakara ampatikan jamaniii
Peter Kyese hata mbeya wajameni
Congratulations clouds Media Group good job
Oh clouds Imekufa inakufaje kwa mfano mtapata taabuuuuuu sana
Hongeleni clouds
Clouds dam dam Milele 🔥🔥🔥🔥
kazinzuri sana kaka joseph kusaga.......... malengo mazuri nimependaa
Sio kwamba Joseph anatumia nguvu, ila ni kwamba Anajaribu ku prove a point kwa watu na wafanyakazi wake. Tusubiri Simba afanye na yeye yakwake
Big up Big Boss 💪💥💥💥
Watu kimyaaaaaaaa 😀😀
Hongereni saana wa 2 ni 2 tu avai moja
Big up
Nomad sana
HBD clouds media group mungu awe nanyi tuko pamoja
Yap bro balikiwe
Wooow nice
Happy Birth Moth clouds FM
Nice 👍 i appreciate your work 🔥🔥🔥
Dah jamaa wamewekeza San big up clouds # the people station
Mko vizuri
Nakubal mpo juu clouds
Ridio moja2 clouds
Big up ila mnafaa mtembee mikoani sio kwa fiesta tu but other talents search
Kwenye studios big up mlikua mnatia aibu sio siri, big name lakini studios Mungu saidia
Viva clouds
viva clouds
Huyu ndio don wa clouds na Wasafi hatari
wasafi bado iko nyuma sana
ila wanafosi tuu
lakini haifiki clouds hata kidogo coz clouds bado wako juu tuu hawa watu wakifanya fitina
@Hussein ata wew mtu akikufata hakakwambia tuwekeze uwezi kukataha saw
hii ni taasisi , kampuni
Hio ni lini inaanza
nkubli can brooo uko good
congratulations my number one station clouds media group daaaa vibe Kama loteeee alaaaaa
#hatubishani
#clouds19
Big congrats
Mungu azidi kuwainua
Hongera CMG
Tafuteni watumishi wa Mungu mfanye maombi kwanza mana kuna bonge la komboraa lipo hapo
duuuh
Hakuna chochote iyo imani yako tuu kama dua huwa wafanya sana
Bosi angalieni jinsi tofauti yakufanya biashara nawasanii bila kuwabania nyimbo zaoo. Mi binafsi crauds ndio midia yangu nayoikubali BT naboreka sana napo kua simsiki msani anae vuma kwa wakati. Husika mfano hivi sasa ni mond
good sana
Safi sana
Duuuh hatariiii
Big Boss!
nimeelewa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kitu kizuri
Mi huko sipo Niko tbc
Zote ni biashara hakuna tatizo chamsingi ni ubunifu pekee
kabisaa
Hbd🎂️🎉️
ningekua mbali sasa nilifika kitega uchumi wakati uo yuko broo taji liundi alisifu sauti yangu lakini Dunia niliivaa nikaiona bora ningekua bongo la mtangazaji ila yote maisha
Ikawaje sasa
Kwanini mnapoadhimisha miaka ishirini hawa watu mnawasahau?kwamfano Onyango,Bashiri,Mwita,Seif mbembe na wengine
naona nembo ya coconat fm znz hapo
Sawa
Baba ni baba tu
Watoto hata wakiota sharubu bado watamwita Baba
Songa mbele clouds
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏tupo pamoja nanyi
Good's
Mashallah
😍😍😍
Safi
Majiran wanaumia
wengi tumeipenda
tazama hii video inatukumbusha jambo LA msingi maishani czcams.com/video/lTefgPRh7fM/video.html
Keep up the spirit,.. all the way from Texas aoklahoma
Badilisheni na nyoyo zenu tumechoka na unyonyaji
Wasafi wajipange mamaezao
Mixer hizo hizo ndio zimeungwa wasafi fm inaana wasafi na clouds level sawa
Mr Kilaga upeo wako mdogo kuma ww angalia wasafi hata mwaka bado ila ipo juu wao wanamika mingapi we msenge nn katombwe na babako
Wasafi muda wowote tunaboresha zaidi hata hawa clouds changamoto wameipata wasafi...wanaiga
@@sirj1597 wasafi ipo juu ya wapi au kiredio chako geto ndo umetundika juu ya bati
Wasafi tv washaanza kuwaacha kwa subscribes
Mnanikela nyombo ninazotaka hazipigwi ndio maana sina hata mdaa wakuwafatilia wala kuwasikiliza mkiendelea hivyo hamta fika popote mtazidi kudidimia nyie sio mungu
Steven Magema acha kulalamika hivyo ni vyombo vya watu binafsi anzisha cha kwako upige nyimbo unazozitaka na pia ww So Mungu vilevile kusema hawatafika popote shit 🤧
Hahahaha, mbona mnaochangia/ kukoment ni ninyi wenyewe watumishi wa clouds tu? Pigeni kazi Mzee kusaga,vijana wasikushauri kupambana kwani wewe ni mpambanaji. Usitumie muda mwingi kujibu makosa yanayosababishwa na watangazaji wako na madj wenye roho mbaya. Timua wafanyakazi hao anza upya
Hahaha pambana na hali yako mzee
salut
Hakuna media hapa bongo itayokuja ukizidi Cloudsmedia nyie zungusheni viuno tu lakn clouds ndo anabaki kuwa baba yenu
MUNGU AWATIE NGUVU