MRADI WA MIEZI SITA KUTEKELEZWA MIEZI MIWILI IRUWASA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • Wakazi takribani 9600 kutoka kata tatu za wilaya ya Iringa Kunufika na mradi wa maji wa Zaidi ya shilingi milioni 500
    Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mkoani Iringa (IRUWASA), Mhandisi David Pallangyo ujenzi wa mradi huo wa maji safi na salama utakuwa na tija kwa wananchi huku maeneo ambayo yatanufaika na mradi huo kuwa ni wakazi wa kata ya Kalenga, Mseke, Luhota na Kiwele.
    Pallangyo alisema ujenzi wa mradi huo ni utekelezaji wa maagizo ya serikali ya kutaka kuwaondoa wananchi na adha ya maji hasa wanawake kuwatua ndoo kichwani ambao ndiyo wamekuwa wahanga wa kutmba umbali mrefu kufuat huduma hiyo

Komentáře •