Daaah inabidi tujitume bila kujali chochote hata mimi Nina ndoto kubwa ipo siku tu Nitabadilisha na Mimi maisha ya mtu mmoja au kuweka Furaha machoni kwa mtu mmoja hongera sana Kaka.
Hongera saaana naona wivu WA maendeleo natakiwa niendelee kujituma NAMI nizidi zaidi ya majizzo penye Nia Pana njia mungu nipe njia zaidi na Mimi majizzo ubarikiwe zaidi ya hapo ulipo zaidi ukimtanguliza mungu aliyekufikisha hapo Kwa kumshukuri na kukumbuka wenye uitaji utazidi kubarikiwa
Always actions speak a lot than words itself. Watu wafanye kazi sio kuongea ongea tuu hii ni fundisho kwa media zote ambazo zinataka kumiliki maeneo yao🔥💥🔥💥
Moyo wa Furaha pamoja nami, salaam za pongezi kwa Mtz mzawa mwenzangu kwa hatua kubwa. Zaidi ya pongezi nashkuru kwa kutupa moyo wa matumaini kuzifikia ndoto kubwa ili hali bado hatua ni Kama ile ya mtoto akingali🤰
Bila ya Kiki watu Wanafanya makubwa sijui kwanini wengine Wamekuwa wanaamini Kiki zaidi na kuacha ndoto na focus pembeni kama vile simu bila ya charging haiendi
Daaah inabidi tujitume bila kujali chochote hata mimi Nina ndoto kubwa ipo siku tu Nitabadilisha na Mimi maisha ya mtu mmoja au kuweka Furaha machoni kwa mtu mmoja hongera sana Kaka.
Ila Kila mafanikio Kuna Siri nyuma yake,we mwombe mungu tu atakachokupa mashukuru
Nampendaga sana huyu mbaba hanaga mambo mengi yani yupo simple na hana kiki huyu goood!!
Siku zote Mungu hamtupi mwenye niya njema, Hongera baba harusi🔥🔥🔥
God is so good all the time my brother ❤️🙏
Daah majay wewe ni noma sana daah si kwa mjengo huo balaa zito
Waooo Amazing hongera sana Majizo 👍👌🏿❤🇹🇿🇨🇭
Hongera Sana kwake ogopa Sana anaefanya kazi kimya kimya
Kweli aisee
Sanaaaaa
Mungu Mlinde, Mbariki na Kumpa Afya Njema🤲🙏❤🇹🇿
Daah anawez sio wa misifa majizo
Kabisa
Alhmdulilah maasha Allah..hongera zimfìkie
Mungu akuzidishie shemela.hukukosea kuoa mchanga,ulijua unachotaka nakuandaa.Hongera tena hongera tena.Endelea kumcha Mungu kwakila jambo.
Hilo jengo liko hapa mbezi Beach jilani na kanisa la wasabato
Hongera sana broo hio competition namsubir mond nae afanye yake ushindan wenu unasaidia taifa kwenda speed sana hongeren
Naomba wasani watazaniya bayige mufano kwa LuLu namume wake🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mwamba huyu hapa masha Allha hongera zake kila hatua dua🙏😍🔥
Hongera sana kaka Mwenye zi Mungu akuinue zaidi akulinde akuepushe na kiburi cha uzima akufanye uwe karibu yake hata wakati wa raha Inshallah
Wow congratulations Boss maje 🙏
True Definition..From Coming From The Bottom Now He is Here
Hongera sana boss MaJ
Hongera saaana naona wivu WA maendeleo natakiwa niendelee kujituma NAMI nizidi zaidi ya majizzo penye Nia Pana njia mungu nipe njia zaidi na Mimi majizzo ubarikiwe zaidi ya hapo ulipo zaidi ukimtanguliza mungu aliyekufikisha hapo Kwa kumshukuri na kukumbuka wenye uitaji utazidi kubarikiwa
Coongleee brother Mungu akupe maisha marefu umeonyesha njia# sky hongera sana
Masha allah
Masha Allah God is good be blesse more bro 😘😘❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏
Good majay I like it keep it up 💯💯💯
All the best brother from mwananyamala komakoma mpaka Magic fm kisha Disco vimbi na sasa CEO EFM. Hongera sana
hongera sana, sasa hivi hata ukioa sasa
Mungu akuinue zaidi napia nakuomba unisaidie nitoe nyimbo zangu nyimbo za injili naomba Sana majizo🙏nisaidie
MashaAllah Hongera baba fans 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Congrats majizo u made it!
Mungu akufungulie baraka zaidi 🙏👏
Hongera kwa jengo hlo lakn la wasafi kitakuwa bora zaidi
hahahahah
Mashaa Allah
Always actions speak a lot than words itself. Watu wafanye kazi sio kuongea ongea tuu hii ni fundisho kwa media zote ambazo zinataka kumiliki maeneo yao🔥💥🔥💥
Nani tena uyo anaongea ongea tena
@@tumlakimwaitumule 😂😂😂😂 nimesema tuu
Safi sn 🔥🔥🔥🔥
Mash Allah God bless you ameen 🙏🙏
Safi sana hongera zako
Majay na Diamond ni vijana hatari sana! Wanajua wanachokifanya....
All de best bro Majay
#EFM for Sure!
Kabisa kaka
umeongea ki uhalisia, hao ni vijana wakuogopwa ingawa wanachukuliwa poa poa
Ume comment kwa akili sanaa mwamba 👏🏿 😇 🤗
Hongera brother #DREAMBIG👏👏
Moyo wa Furaha pamoja nami, salaam za pongezi kwa Mtz mzawa mwenzangu kwa hatua kubwa. Zaidi ya pongezi nashkuru kwa kutupa moyo wa matumaini kuzifikia ndoto kubwa ili hali bado hatua ni Kama ile ya mtoto akingali🤰
Hard work pays hongera kwake Majizzo
Manshallah
Dah katisha sana anastahili hongera 💪🏾💪🏾
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽 Hongera kwake
Congratulations my brother papa G🙏🙏
Mashallah
Congratulations 👏👏👏
Sasa anaweza kuoa, maana sio kwa hatua hiyo, huwezi kuoa ukiwa unaumiza kichwa na majukumu kama hayo. Hongera kijana mwenzangu.
Kabisa
U think big
Kuna ugumu gan kuoa wakat uyo mtu unotaka kumuoa unaishi nae ndan kama mkeo wabongo bwana
Njoo nikuoe
Unataka aoe mala mbili Lulu kawekewa na halusi kabisa wewe unasema aoe nn Teena sasa
Hongera kwao👏👏
Huwa nikiona watu kama hawa waliotoka ktk familia maskin wanafanikiwa huwa wananipa matumain ya kufikia malengo yangu
MashAllah
Mashallah, hongera sana #Majizo 🙏
Nina imani Sms itafikia huku ..Siku moja..God bless Sms
Hongera sana Majizo ninaipenda Efm hasa kipindi cha asubuhi asubuhi na singeli 😁
Hongera sana hayo ndio maendeleo
True inspiration for us growing youngs
Hongera Francis majizzo
Congrats bro 👏👏👏majjizo
Bila ya Kiki watu Wanafanya makubwa sijui kwanini wengine Wamekuwa wanaamini Kiki zaidi na kuacha ndoto na focus pembeni kama vile simu bila ya charging haiendi
Inshallah Allah akusimamiyee
may God bless you brother.
Awa ndo wa fanya kazi bila kuji titimuwa ama nini !!! 👏👏👏
Inspiring in deed 🙌
Hongera sana
Amin mungu azidishe nuru😘😘
Hongera majizo
mimi ni team simba jenGo ni zuri sawa lakin sio kusem majeng ya mediA zote basi utAenjoy soon
Kwan uongo kwanza kuna Media binafsi ina jengo lake wenyewe
Mashallah tabarakallah
Mashallah..
Hongera mj
Excellent
One love brother #sky
& #sns
woowww!!!bravooooo👏👏👏👏👏
Pmoja sana
Wapunguze kupiga visingel kwenye kipind cha michezo kipind masaa matatu lkn wanaongea dakika 5 dkk 20 singeli
You made it Baba G
Mashaallah
Hongera Sana majay
Efm 🔥 majey ww congrats
Hongera mwamba
Waoooo mungu ni mkubwa Sana me naomba kz ya usafi to jomoni
Kweli nimeamini kama ukingali hai usikati tama maisha niya Mungu
kati ya watangazaji ni wewe tu nayekuamini ukiongea nafuatilia uko vizuri sana
Hongera
Ma jay💪💪🏆🏆🏆🏆
Congrats 🔥
Big up ,Yote ukiamua na kutenda inawezekana
Face YOUR FEAR💪💪💪💪 WE MOVE
Nice
Ongela sana
Sijui niandike nn ila nejikuta tu nalia in shaa llah siku moja námi nitapiga hatua
Hongera sana bro ila ingawa nilinyimwaga kazi kipindi kile
Congratulations majizzo
Big up brazaa
Sns for life na sisi tutafika as soon as possible
Congratulations brother
Ogera sana kaka majizo
🔥🔥 ❤
NICE
Ngoja #Wasafimedia waikamilishe #WasafiTower ndio mtakapo mjua #mondi na kwa yale makeke mji utasimama 😋😋
😂😂😂
😃😃😃😃kweli
Kwahiyo unaona siiifaa🤨🚮🚮🚮🚮
So
Diamond kajaje hapa ebu acheni wivu kumbe mnataka kila zuri liwe lenu na lisiwe kwa wenzenu chefuuuu
Hadi nalia kwa furaha Mungu azidi kufungulia😍
Unawazimu ww sio bure sasa kinachokuliza Kipi?? Vyakwako au tamaa zisizokua nafaida acha ufara rofa ww