Shida 1 Mr p mungu kampa kipaji Cha kuproduse na kuchezea ila rude boy anajua sana mziki Sasa iyo so nzuri kunichukia ndugu yako mnaefanana kila k2 mungu akupi vyote rude boy msanii mzurii🙌
Inawezekana mtu akachangia kuwavuruga ila shida kubwa ni wao kuruhusu.....itakuwa mahusiano baina Yao yalikuwa sio mazuri tu ndo maana inakuwa mtu mwingine kuwagombanisha....Ndugu wanaopendana wamekuwa wote wanajuana vizuri hata mtu akitaka kuwavuruga mnashtuka mapema,ila sio hao p square wanashida
Nilijitahidi sana kuwapatanisha lakini mke wa Mr P akutaka niwe nakanyaga kwake, mpaka sahiv nimeamua kuwaacha na mambo yao, japo wananiomba sana nizidi kuwapatanisha
Hao jamaa naishi nao hapa Lagos Mr p anazingua sana hata kunisalimia hataki ... Sababu anajua naongea sana na rude boy. Jana nilikua nao studio walikua hawaongei
Dah acha tu kaka juzi niliwaalika kwenye part lakini kila mtu alikua busy na mambo yake sema peter mkorofi sana ila ndawalekebisha mana ata mwenzie anataka aame lagos
Hichoo ndio mnakiweza iv kwanin mnajifikilia nynyi tu iv nyie mnao endeshaa iz media niwatanzania kweli mmepumbazwa na pesa na sio masrahi ya taifa lenu nyie ni hasarah kwa taif wekeni hoja zinazo jengaa taifa UMOJA NI USHINDI
Ukiwa na kaka anaitwa Jude (Juda Iskarioti) NI shida sanaa, badala ya kuwasaidia kutatua mzozo yeye anaegemea pande moja, boooonge moja la kiazi yaani kaka yao
Mungu awasaidie sana hawa mapacha 😢😢😢😢 daah kweli walimwengu siyo wa kuwapa nafasi
Kila mmoja angaalie maisha yeke muziki umewashinda😢😢
Kabisa
💯%🤝
Shida 1 Mr p mungu kampa kipaji Cha kuproduse na kuchezea ila rude boy anajua sana mziki Sasa iyo so nzuri kunichukia ndugu yako mnaefanana kila k2 mungu akupi vyote rude boy msanii mzurii🙌
Ndugu wakigombanaa chukua jembe ukalimee
Very good 👍❤
Mapacha huwa ni kawaida kutofautiana ila huwa wanapendana sana
Sio bure kuna mtu anawachanganya hawa watoto. Kuna mtu yupo nyuma anawachanganya hawa watu na huenda hatoki mbali huenda wako nae karibu
Inawezekana mtu akachangia kuwavuruga ila shida kubwa ni wao kuruhusu.....itakuwa mahusiano baina Yao yalikuwa sio mazuri tu ndo maana inakuwa mtu mwingine kuwagombanisha....Ndugu wanaopendana wamekuwa wote wanajuana vizuri hata mtu akitaka kuwavuruga mnashtuka mapema,ila sio hao p square wanashida
kuna kaka yao anaitwa Juda
Hawa nao utafikiri sio ndugu ?! 😢😢 Mbona hawapendani sana
Walipo OA tu shida zikaanza
Pesa ni noma
Mm ni shabiki mkubwa sana wa #Rudeboy🎉🎉🎉 jamaa anahandika sana
Kbs tangu wapo psquare yaan
Hawa jamaa watauana
Nikipata subs ata mmoja nitafurahi tanzania ni majirani wazuri nawapenda sana tunaishi nao mombasa vzr 2
Subs?
@@salimjumaa8180 subscribers
Heeeeee😢😢
I feel sorry for them jmn ndugu tena mapacha wana gombana kisa money/music so sad I wonder her the mother is feelin
😂😂ila mr pesa ni muharibifu sana kwa kila idara
pesa haina ndugu niliongea na RUDE BOY aliniambia yote😊😂😂
acha uongo 😅
@@marthyporteah kwel😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Producer wake ndio wewe😂😂
@@RayChausa 😂😂🤣
Peter mpambanaji sana aisee namkubali, huyu Poul bishoo
Pesa ni fitna sana
Hawapo siriaz hao mapacha. Wana hela, famous, wanapendwa, mahandsome, sasa wanataka nn na hao 😅
😂😂
Mitama
Rude ni 🔥
Rude boy Genious sana
Inauma 😢😢
Mama kwenye maishaa nisiraha kubwa sana
Hawa jamaa walitikisa kwa vibao vyao moto moto, aise hawakua na mshindani ilikua sio pw
ulianza vizur ila mwishon umamaliza kama mtu asie kua na akili
😢😢 kaz nayo
Yan undugu na pesa nivitu viwili tofauti..naijua iyo
ila kwa mziki rudboy yupo vizuri
Paul okoye
Work hard guys
Imeshashindikana basi tena
Nilijitahidi sana kuwapatanisha lakini mke wa Mr P akutaka niwe nakanyaga kwake, mpaka sahiv nimeamua kuwaacha na mambo yao, japo wananiomba sana nizidi kuwapatanisha
Aaah me niko nao apa kwa asley mihogo yaan wamegoma kabisa kula mihogo na samaki kwa pamoja ko imenibidi niwagawanishe sema Peter anazngua
PESA SHKAMOO.!😂🤣😃😄
Marahaba 😂😂😂
Marahaba hujambo mwanangu
✌️👊👍.
Aiseeee bro@sky tumewachoka hawa jamaaaa mda wao umepita jamani ❤🎉gonga like kama wewe ni team@simulizi na sauti 🎉like zenu❤
Umepita kwako🤫
Kwako ndo umepita
watu wajifunze sasa....pesa hainaga adabu wala heshima😊....hao ndo tunaambiwa wametoka kifuko kimoja cha uzazi
Mr p anazingua jana kanipta kama hanijui mbezi
Mi mwenyewe mama mtoto ananiibia pesa kitu kingine
Kumbe raster man anakibunda kuliko Sharon boy,
Hawa jamaa sijui ni mapacha gani wasiopendana
Kuna watu wanamtumia Mr P
Wanazingua pesa ni nn
Wandugue wa damu awo Je watu Baki Pesa
Hao jamaa naishi nao hapa Lagos Mr p anazingua sana hata kunisalimia hataki ... Sababu anajua naongea sana na rude boy. Jana nilikua nao studio walikua hawaongei
walikuja kwenye sherehe yangu ya kuzaliwa jana, hawakuzungumza hata Pamoja.
M mwenyewe nlimuona juz alikua anaendesha gar kidogo amgonge kakaake sema mwamba anazingua sana
😂😂😂😂😂😂mpoje nyie
Dah acha tu kaka juzi niliwaalika kwenye part lakini kila mtu alikua busy na mambo yake sema peter mkorofi sana ila ndawalekebisha mana ata mwenzie anataka aame lagos
😂😂😂oyaaaaaaaaaaaaaa
MaPacha wasio pendana daaah kweli pesa ni shenani
Awa jamaa walipaza mbaali sana sauti ya mtu mweusi.
Washatuchosha awo jamaa na maugomvi Yao..
Munauwakika Hawa ni mapacha kweli
Wana semaga mapacha wachawi walogane sasa
Awa mmoja inabid afe ili mambo yawe sawe kati ya Mr p na rude boy Inabid mmoja afe
Kufa ww mwanga mkubwa ww
Pesa ni shetani munaweza kuvunja undugu kwa ajili ya pesa it's not good at all 😢
Wasizinguwe watu. Tumewachoka.
Mr p ni yupi mm hata cwajui
Mwenye Ako amenyoa
Hakuna binadamu yeyote duniani watakao kaa pamoja wasigombane hiyo haipo na haiwezi tokea kwa hiyo ni kawaida tu
Hapo mchawi ni jude anaogopa wakiungana watakuwa na nguvu na kudai haki zao jude mpigaji tu mm aliwa nizurumu bhana
Muwe mnaleta habali kama mmeenda shule eti mapacha hagombanagi
Hichoo ndio mnakiweza iv kwanin mnajifikilia nynyi tu iv nyie mnao endeshaa iz media niwatanzania kweli mmepumbazwa na pesa na sio masrahi ya taifa lenu nyie ni hasarah kwa taif wekeni hoja zinazo jengaa taifa UMOJA NI USHINDI
Mond mabillboard 😂
Ukiwa na kaka anaitwa Jude (Juda Iskarioti) NI shida sanaa, badala ya kuwasaidia kutatua mzozo yeye anaegemea pande moja, boooonge moja la kiazi yaani kaka yao
Nilikuwaga shabiki wao ila niliachaga baada ya kugundua kuwa ni mapacha wa mchongo tu
Mmmh wamchongo kivip yaani kuwa sio tumbo Moja kwa mama mmoja,🤔
@@mariamkibindo1741 tumezoea kuona mapacha wakiwa na ushirikiano mkubwa ila ao ugomvi mara kwa mara
Ivi ww huoni wanavyo fanana
Uyu mpuuzi shabiki andazi
Nyie wapumbavu tu
Mm ni shabiki mkubwa sana wa #Rudeboy🎉🎉🎉 jamaa anahandika sana