P-Square wazinguana tena, tatizo ni pesa na Mr P kumuonea wivu Rude Boy!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 105

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 Před měsícem +9

    Mungu awasaidie sana hawa mapacha 😢😢😢😢 daah kweli walimwengu siyo wa kuwapa nafasi

  • @abubakarimsere
    @abubakarimsere Před měsícem +13

    Kila mmoja angaalie maisha yeke muziki umewashinda😢😢

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um Před měsícem +1

    Shida 1 Mr p mungu kampa kipaji Cha kuproduse na kuchezea ila rude boy anajua sana mziki Sasa iyo so nzuri kunichukia ndugu yako mnaefanana kila k2 mungu akupi vyote rude boy msanii mzurii🙌

  • @franccoz94
    @franccoz94 Před měsícem +11

    Ndugu wakigombanaa chukua jembe ukalimee

  • @Young_boys24609
    @Young_boys24609 Před 22 dny +1

    Very good 👍❤

  • @Its_Goodluck
    @Its_Goodluck Před měsícem +3

    Mapacha huwa ni kawaida kutofautiana ila huwa wanapendana sana

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i Před měsícem +12

    Sio bure kuna mtu anawachanganya hawa watoto. Kuna mtu yupo nyuma anawachanganya hawa watu na huenda hatoki mbali huenda wako nae karibu

    • @missp1814
      @missp1814 Před měsícem

      Inawezekana mtu akachangia kuwavuruga ila shida kubwa ni wao kuruhusu.....itakuwa mahusiano baina Yao yalikuwa sio mazuri tu ndo maana inakuwa mtu mwingine kuwagombanisha....Ndugu wanaopendana wamekuwa wote wanajuana vizuri hata mtu akitaka kuwavuruga mnashtuka mapema,ila sio hao p square wanashida

    • @kwzjkwz3532
      @kwzjkwz3532 Před 28 dny +1

      kuna kaka yao anaitwa Juda

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před měsícem +2

    Hawa nao utafikiri sio ndugu ?! 😢😢 Mbona hawapendani sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před měsícem +6

    Walipo OA tu shida zikaanza

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Před měsícem +4

    Pesa ni noma

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před měsícem +3

    Mm ni shabiki mkubwa sana wa #Rudeboy🎉🎉🎉 jamaa anahandika sana

  • @kevo_da_clever
    @kevo_da_clever Před měsícem +5

    Hawa jamaa watauana

  • @Qqambaa
    @Qqambaa Před měsícem +7

    Nikipata subs ata mmoja nitafurahi tanzania ni majirani wazuri nawapenda sana tunaishi nao mombasa vzr 2

  • @user-bw2qo6bg1n
    @user-bw2qo6bg1n Před měsícem +1

    Heeeeee😢😢

  • @lovirinaa
    @lovirinaa Před měsícem +1

    I feel sorry for them jmn ndugu tena mapacha wana gombana kisa money/music so sad I wonder her the mother is feelin

  • @davidtentacion3104
    @davidtentacion3104 Před měsícem +3

    😂😂ila mr pesa ni muharibifu sana kwa kila idara

  • @DjMswati
    @DjMswati Před měsícem +6

    pesa haina ndugu niliongea na RUDE BOY aliniambia yote😊😂😂

    • @marthyporteah
      @marthyporteah Před měsícem +1

      acha uongo 😅

    • @DjMswati
      @DjMswati Před měsícem

      @@marthyporteah kwel😂😂

    • @RayChausa
      @RayChausa Před měsícem +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂Producer wake ndio wewe😂😂

    • @DjMswati
      @DjMswati Před měsícem

      @@RayChausa 😂😂🤣

  • @ngoniempire2181
    @ngoniempire2181 Před 26 dny

    Peter mpambanaji sana aisee namkubali, huyu Poul bishoo

  • @user-lk9rh5xp4u
    @user-lk9rh5xp4u Před měsícem +4

    Pesa ni fitna sana

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před měsícem +8

    Hawapo siriaz hao mapacha. Wana hela, famous, wanapendwa, mahandsome, sasa wanataka nn na hao 😅

  • @AbdulMaeda
    @AbdulMaeda Před měsícem

    Rude ni 🔥

  • @MbalasaJRMwakabalile
    @MbalasaJRMwakabalile Před měsícem

    Rude boy Genious sana

  • @mamy8220
    @mamy8220 Před měsícem

    Inauma 😢😢

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 Před měsícem

    Mama kwenye maishaa nisiraha kubwa sana

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 Před měsícem +2

    Hawa jamaa walitikisa kwa vibao vyao moto moto, aise hawakua na mshindani ilikua sio pw

  • @tarickroshan
    @tarickroshan Před měsícem +1

    ulianza vizur ila mwishon umamaliza kama mtu asie kua na akili

  • @patrickmarco964
    @patrickmarco964 Před měsícem

    😢😢 kaz nayo

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem

    Yan undugu na pesa nivitu viwili tofauti..naijua iyo

  • @Green_v4w
    @Green_v4w Před měsícem

    ila kwa mziki rudboy yupo vizuri

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Před měsícem

    Paul okoye

  • @Mbisamazembe
    @Mbisamazembe Před měsícem

    Work hard guys

  • @RahmaAwadh-ul9yu
    @RahmaAwadh-ul9yu Před měsícem

    Imeshashindikana basi tena

  • @tomshiii485
    @tomshiii485 Před měsícem

    Nilijitahidi sana kuwapatanisha lakini mke wa Mr P akutaka niwe nakanyaga kwake, mpaka sahiv nimeamua kuwaacha na mambo yao, japo wananiomba sana nizidi kuwapatanisha

  • @HENRYSILUNGWE-i1j
    @HENRYSILUNGWE-i1j Před měsícem

    Aaah me niko nao apa kwa asley mihogo yaan wamegoma kabisa kula mihogo na samaki kwa pamoja ko imenibidi niwagawanishe sema Peter anazngua

  • @tiktokTviral
    @tiktokTviral Před měsícem +3

    PESA SHKAMOO.!😂🤣😃😄

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem

    ✌️👊👍.

  • @stevkaliona4107
    @stevkaliona4107 Před měsícem +10

    Aiseeee bro@sky tumewachoka hawa jamaaaa mda wao umepita jamani ❤🎉gonga like kama wewe ni team@simulizi na sauti 🎉like zenu❤

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem

    watu wajifunze sasa....pesa hainaga adabu wala heshima😊....hao ndo tunaambiwa wametoka kifuko kimoja cha uzazi

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g Před měsícem

    Mr p anazingua jana kanipta kama hanijui mbezi

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2z Před měsícem

    Mi mwenyewe mama mtoto ananiibia pesa kitu kingine

  • @DM_15
    @DM_15 Před měsícem

    Kumbe raster man anakibunda kuliko Sharon boy,

  • @JohnRossan-pk5cl
    @JohnRossan-pk5cl Před měsícem

    Hawa jamaa sijui ni mapacha gani wasiopendana

  • @nickone8585
    @nickone8585 Před měsícem

    Kuna watu wanamtumia Mr P

  • @HamisimohamediChilumba-n4k
    @HamisimohamediChilumba-n4k Před měsícem

    Wanazingua pesa ni nn

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Před měsícem

    Wandugue wa damu awo Je watu Baki Pesa

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri Před měsícem +28

    Hao jamaa naishi nao hapa Lagos Mr p anazingua sana hata kunisalimia hataki ... Sababu anajua naongea sana na rude boy. Jana nilikua nao studio walikua hawaongei

    • @Harmonizee
      @Harmonizee Před měsícem +2

      walikuja kwenye sherehe yangu ya kuzaliwa jana, hawakuzungumza hata Pamoja.

    • @WilsonSonoko-qi5be
      @WilsonSonoko-qi5be Před měsícem +1

      M mwenyewe nlimuona juz alikua anaendesha gar kidogo amgonge kakaake sema mwamba anazingua sana

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před měsícem +3

      😂😂😂😂😂😂mpoje nyie

    • @ProsperSantos
      @ProsperSantos Před měsícem +1

      Dah acha tu kaka juzi niliwaalika kwenye part lakini kila mtu alikua busy na mambo yake sema peter mkorofi sana ila ndawalekebisha mana ata mwenzie anataka aame lagos

    • @mansouromary9246
      @mansouromary9246 Před měsícem +1

      😂😂😂oyaaaaaaaaaaaaaa

  • @sund2553
    @sund2553 Před měsícem

    MaPacha wasio pendana daaah kweli pesa ni shenani

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 Před měsícem

    Awa jamaa walipaza mbaali sana sauti ya mtu mweusi.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem

    Washatuchosha awo jamaa na maugomvi Yao..

  • @ShowdaddiKatuya-me2fp
    @ShowdaddiKatuya-me2fp Před měsícem

    Munauwakika Hawa ni mapacha kweli

  • @allyjumaally8353
    @allyjumaally8353 Před měsícem

    Wana semaga mapacha wachawi walogane sasa

  • @FeisalKhatija
    @FeisalKhatija Před měsícem

    Awa mmoja inabid afe ili mambo yawe sawe kati ya Mr p na rude boy Inabid mmoja afe

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 Před měsícem

    Pesa ni shetani munaweza kuvunja undugu kwa ajili ya pesa it's not good at all 😢

  • @abudoeugenio6903
    @abudoeugenio6903 Před měsícem

    Wasizinguwe watu. Tumewachoka.

  • @user-sw6uo6rv6j
    @user-sw6uo6rv6j Před měsícem

    Mr p ni yupi mm hata cwajui

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 Před měsícem

    Hakuna binadamu yeyote duniani watakao kaa pamoja wasigombane hiyo haipo na haiwezi tokea kwa hiyo ni kawaida tu

  • @jdeoffspliny2594
    @jdeoffspliny2594 Před 25 dny

    Hapo mchawi ni jude anaogopa wakiungana watakuwa na nguvu na kudai haki zao jude mpigaji tu mm aliwa nizurumu bhana

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před měsícem

    Muwe mnaleta habali kama mmeenda shule eti mapacha hagombanagi

  • @AllyMaritini
    @AllyMaritini Před měsícem

    Hichoo ndio mnakiweza iv kwanin mnajifikilia nynyi tu iv nyie mnao endeshaa iz media niwatanzania kweli mmepumbazwa na pesa na sio masrahi ya taifa lenu nyie ni hasarah kwa taif wekeni hoja zinazo jengaa taifa UMOJA NI USHINDI

  • @CredoMatanga
    @CredoMatanga Před měsícem

    Mond mabillboard 😂

  • @willtzee837
    @willtzee837 Před 23 dny

    Ukiwa na kaka anaitwa Jude (Juda Iskarioti) NI shida sanaa, badala ya kuwasaidia kutatua mzozo yeye anaegemea pande moja, boooonge moja la kiazi yaani kaka yao

  • @fiston-asifiwe
    @fiston-asifiwe Před měsícem

    Nilikuwaga shabiki wao ila niliachaga baada ya kugundua kuwa ni mapacha wa mchongo tu

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 Před měsícem

      Mmmh wamchongo kivip yaani kuwa sio tumbo Moja kwa mama mmoja,🤔

    • @fiston-asifiwe
      @fiston-asifiwe Před měsícem

      @@mariamkibindo1741 tumezoea kuona mapacha wakiwa na ushirikiano mkubwa ila ao ugomvi mara kwa mara

    • @pendo8082
      @pendo8082 Před měsícem

      Ivi ww huoni wanavyo fanana

    • @LatifaCharles
      @LatifaCharles Před měsícem

      Uyu mpuuzi shabiki andazi

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 Před měsícem +1

    Nyie wapumbavu tu

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před měsícem

    Mm ni shabiki mkubwa sana wa #Rudeboy🎉🎉🎉 jamaa anahandika sana