“Nifungulieni nimuone Baba” Tazama Barnaba alivyoishiwa nguvu akimuelezea Ruge

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 03. 2019
  • Msanii wa THT, Barnaba alijikuta akiishiwa nguvu na kubebwa na watu wa huduma ya kwanza alipokuwa akitoa neno wakati wa shughuli ya kumuaga #RugeMutahaba viwanja vya Karimjee.
    Tuko LIVE kupitia #AzamXtra #UTV #AzamTVApp #UFM na Ukurasa wetu wa Facebook wa #AzamTV
    #JasiriMuongozaNjia #RugeMutahaba #TutaonanaBaadae #PumzikaRuge

Komentáře • 462

  • @priscakambi7451
    @priscakambi7451 Před 5 lety +22

    Pole xana mungu akutie nguvu barnaba akuvushe kwenye hili litapita inshaallah nimeumia sana najikuta nashindwa kuzuia machoz i yangu

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 5 lety +31

    Nikiona nalia sana kweli alikuwa baba kweli pole mungu hakupe nguvu

  • @peterluhamba2881
    @peterluhamba2881 Před 5 lety +13

    pole sana barnaba polen sana wafiwa ndugu na jamaa mwenyez mungu awatie nguvu ktk kipind hiki kigumu

  • @elizerbethmichael9992
    @elizerbethmichael9992 Před 3 lety +10

    Barnaba ameniliza jaman yaan hii 2021 ni kama taarifa ya leo! Rest in Peace Boss Ruge, Rest in Peace Kibonde Dunia Mapito!

  • @pendodavis6704
    @pendodavis6704 Před 5 lety +11

    pole sana Barbara boy, maneno yako yamenitoa machoz.najua wakat unaopitia kwa sasa Mwenyez Mungu mfariji wakweli akupe faraja baba pole sana

  • @aishamwaitege5191
    @aishamwaitege5191 Před 3 lety +68

    Jamn anaeangalia 2020 mwez 8 nabado ameliaa kwauchungu kam taarifa kazipat saiz tujuane

  • @priscamchomvu4021
    @priscamchomvu4021 Před 5 lety +7

    I don't knw how much naweza kusema but only tears in my face . Pole Barnaba pole kakangu hutampata km yy but yupo he will wipe ur tears just belv only. R. I. P Ruge

  • @mwanahamisimrisho3977
    @mwanahamisimrisho3977 Před 5 lety +24

    Pole barnaba nimelia umenikumbusha nilivyofiwa na mzazi angu

  • @getrudemsigala8481
    @getrudemsigala8481 Před 5 lety +38

    Daah....... more than pain pole barnaba.

    • @sautiyamtotofoundation8392
      @sautiyamtotofoundation8392 Před 5 lety

      SAUTI YA MTOTO FOUNDATION NI TAASISI INAYOTETEA HAKI ZA WATOTO TANZANIA BARA..SISI SOTE WAZAZI,AU WAZAZI WA BAADAE ..ILI KUTAMBUA MALEZI BORA YA WATOTO NA CHANGAMOTO ZAO ZINAKUAJE KATIKA UKUAJI ..TAFADHALI SUBSCRIBE SASA..ITAKUSAIDIA SANA KUJIFUNZA NA UTAWASAIDIA WENGINE,NDUGU JAMAA NA MARAFI ..SUBSCRIBE SASA TWENDE PAMOJA..#sautiyamtotofoundation

  • @Doro2022
    @Doro2022 Před 5 lety +24

    Uyo kaka ameguswa kweli 😭🙏

  • @johngasto7751
    @johngasto7751 Před 5 lety +116

    Yan Barnaba ana maumivu yale yenyewe kabisa sio ya kuact

  • @mrbasit4718
    @mrbasit4718 Před 5 lety +40

    Hakuna ajuae kesho.
    Huwez amin kama huyo mc tayar katutoka.
    R IP Ruge.
    R I P Kibonde

  • @alvinalfredy3696
    @alvinalfredy3696 Před 5 lety +47

    Tukiwa namaumivu makubwa pia tutambue Boss Ruge hajafa ila kashinda mbio katutangulia kwenye mstari wa ushindi ambao wote tunaukimbilia. Kila nafsi itaonja mauti

  • @safiakhamiss1528
    @safiakhamiss1528 Před 5 lety +11

    Pole sana

  • @fatmakungu2160
    @fatmakungu2160 Před 5 lety +1

    pole Sana my brother Mwenyezi Mungu akupe moyo wa imani

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 Před 5 lety +5

    Wallahi nmelia kupitia barnaba kweli ameelezea kiuhasilia ...I.r.p Ruge

  • @sweetestgospelmelodies5723
    @sweetestgospelmelodies5723 Před 5 lety +30

    Life ni swala pana sana tujue kutumia wakati tulionao sasa zaidi ni kutenda mema tu yani duh inasikitisha uyu mtu mmoja kugusa maisha ya watu kiasi hiki

  • @zulfamwinyi187
    @zulfamwinyi187 Před 5 lety +88

    Nimeumia barnaba hapo aliposema mama yk amefariki Ruge ndy baba na ndy mama nimekumbuka wazazi wng mungu awarehemu amiin😭😭

  • @leahsimon5334
    @leahsimon5334 Před 5 lety +7

    Dah pole barnaba nimemwaga machozi, Mungu akutie nguvu

  • @ntuzuone5600
    @ntuzuone5600 Před 5 lety +17

    Duh!! Nimelia kweli

  • @nshomamayungu2326
    @nshomamayungu2326 Před 5 lety +11

    Pole barnaba mungu akutie nguvu sana.

  • @masterisambi6926
    @masterisambi6926 Před 5 lety +6

    Pole barnaba mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu. R. I. P RUGE MTAHABA Mungu haiweke roho ya marehemu mahali pema peponi Amina.

  • @kiki-ko8vi
    @kiki-ko8vi Před 5 lety +2

    Ulipo sema wakufungulie umuone baba,,,dah! I just missed my dad kila siku nalia hata sielewi

  • @wiseriziki2433
    @wiseriziki2433 Před 5 lety +1

    Wasanii wote mlio pita THT (Tanzania House of Talent) Poleni sana. Endelezeni yale mazuri mliyo jifunza na kuendeleza vipaji vyenu kwa wengine kama Ruge alivyo fanya kwenu, RIP Ruge

  • @winniealuoch7539
    @winniealuoch7539 Před 5 lety +2

    May the Almighty God give you strength during this typing moment Barnaba.You will be strong.

  • @SalmaMohamed-fg8re
    @SalmaMohamed-fg8re Před 5 lety +29

    Barnabas u make me cry again ....pole saana

    • @sautiyamtotofoundation8392
      @sautiyamtotofoundation8392 Před 5 lety

      SAUTI YA MTOTO FOUNDATION NI TAASISI INAYOTETEA HAKI ZA WATOTO TANZANIA BARA..SISI SOTE WAZAZI,AU WAZAZI WA BAADAE ..ILI KUTAMBUA MALEZI BORA YA WATOTO NA CHANGAMOTO ZAO ZINAKUAJE KATIKA UKUAJI ..TAFADHALI SUBSCRIBE SASA..ITAKUSAIDIA SANA KUJIFUNZA NA UTAWASAIDIA WENGINE,NDUGU JAMAA NA MARAFI ..SUBSCRIBE SASA TWENDE PAMOJA..#sautiyamtotofoundation

  • @tumajuma6917
    @tumajuma6917 Před 5 lety +1

    pole sana Barnaba na THT 😭😭😭kazi ya Mungu haina makosa.

  • @peacekatembo6944
    @peacekatembo6944 Před 3 lety +1

    Am watching this again in 2020 but still nalia bcoz of barnaba

  • @leemassawe8968
    @leemassawe8968 Před 5 lety +4

    Pole sana barnaba najua umeumia kweli kweli jmn r.i.p ruge mtahaba

  • @devothafrank5660
    @devothafrank5660 Před 5 lety +39

    Niliapaaa sitokaa nilie tenaaa maana watu wa muhimu wote nishawalilia nashangaaa najikuta nalia Ilaa jamani kunawaume wanamaumivu daah 😭😭😭😭😢

  • @suzychule8549
    @suzychule8549 Před 5 lety +14

    pole sana barnaba kwa msiba wa ruge

    • @abelabyekwaso4194
      @abelabyekwaso4194 Před 5 lety

      Usiumie sanaaa kifo kimepagwa kwa kila binafam yeye ametangulia sisi tuko nyuma

  • @angelmaufi
    @angelmaufi Před 5 lety +11

    May his soul rest in peace!

  • @naomimakuya7960
    @naomimakuya7960 Před 5 lety +2

    Pole barnaba na tasnia nzima ya sanaa kwa kumpoteza mtu muhimu rip ruge

  • @lillycaxy7969
    @lillycaxy7969 Před 5 lety +6

    Barnab be strong and go through counselling

  • @josephajosephat8370
    @josephajosephat8370 Před 5 lety +14

    Pole sana Barnaba, pumzika kwa aman Ruge

  • @dangotesam9845
    @dangotesam9845 Před 5 lety +7

    Duh! Pole sana Barnaba. Sote ni wa kupita tu

  • @magrethsimon9274
    @magrethsimon9274 Před 2 lety +1

    Pole sana mdogo wang Barnaba, mwenyez mungu akupe nguvu.

  • @marianachristophory4916
    @marianachristophory4916 Před 4 lety +1

    Nimelia kwakweli, pole barnaba, pole tht, pole familia ya clouds, pole familia ya ruge, ruge mwenyezi Mungu akuweke pema peponi hii ni safari ya kila binadamu.

  • @herimoshi3550
    @herimoshi3550 Před 5 lety +1

    Dahh. Barnaba ! Pole sana mdogo wangu, imenigusa sana

  • @estheruwanji3373
    @estheruwanji3373 Před 5 lety +3

    Woiye may he Rip..from kenya poleni sana

  • @hamzahamisi7958
    @hamzahamisi7958 Před 5 lety +5

    R i p ruge poleni sana familia nzima ya ruge na watu wote wa karibu

  • @racheljoseph9906
    @racheljoseph9906 Před 5 lety +10

    Mh! Barnaba umenifanya nilie na mm Mungu akutie nguvu tena.

  • @asnathladislaus1778
    @asnathladislaus1778 Před 5 lety +1

    Mungu awape ujasiri na ustahamilivu familia ya marehemu

  • @aproniasanga5066
    @aproniasanga5066 Před 5 lety +34

    Maumivu toka ndani ya moyo jamani pole mdogo wetu😭😭😭😭

  • @makenazfash2078
    @makenazfash2078 Před 5 lety +9

    Kweli barnaba ameguswa sana na msiba

  • @bestcodetz5726
    @bestcodetz5726 Před 5 lety +53

    LIKE HAPA KAMA UMEMSKIA BARNABA AKILIA KWA UCHUNGU AKISEMA "KAMA TATIZO NI FIGO RUGE UNGESEMA NIKUPE'

  • @marrytarimo6089
    @marrytarimo6089 Před 5 lety +33

    Pole sana Barnabas hujawa mnafiki kama wengne

    • @mligombuma2287
      @mligombuma2287 Před 5 lety

      Kabisaaa

    • @joycenicholaus6549
      @joycenicholaus6549 Před 5 lety

      Duh! unaniliza sana

    • @sautiyamtotofoundation8392
      @sautiyamtotofoundation8392 Před 5 lety

      SAUTI YA MTOTO FOUNDATION NI TAASISI INAYOTETEA HAKI ZA WATOTO TANZANIA BARA..SISI SOTE WAZAZI,AU WAZAZI WA BAADAE ..ILI KUTAMBUA MALEZI BORA YA WATOTO NA CHANGAMOTO ZAO ZINAKUAJE KATIKA UKUAJI ..TAFADHALI SUBSCRIBE SASA..ITAKUSAIDIA SANA KUJIFUNZA NA UTAWASAIDIA WENGINE,NDUGU JAMAA NA MARAFI ..SUBSCRIBE SASA TWENDE PAMOJA..#sautiyamtotofoundation

    • @wittyjamanidarmura9141
      @wittyjamanidarmura9141 Před 5 lety

      Marry Tarimo kabisaaaa ametia uruma xnaaa

    • @sautiyamtotofoundation8392
      @sautiyamtotofoundation8392 Před 5 lety

      @@wittyjamanidarmura9141 SAUTI YA MTOTO FOUNDATION NI TAASISI INAYOTETEA HAKI ZA WATOTO TANZANIA BARA..SISI SOTE WAZAZI,AU WAZAZI WA BAADAE ..ILI KUTAMBUA MALEZI BORA YA WATOTO NA CHANGAMOTO ZAO ZINAKUAJE KATIKA UKUAJI ..TAFADHALI SUBSCRIBE SASA..ITAKUSAIDIA SANA KUJIFUNZA NA UTAWASAIDIA WENGINE,NDUGU JAMAA NA MARAFI ..SUBSCRIBE SASA TWENDE PAMOJA..

  • @hilalmahrazi2287
    @hilalmahrazi2287 Před 5 lety +3

    Ruge RIP umekuwa funzo kwa wengi.
    Barnaba pole sana mwanangu hiyo ndio dunia usiache kumuomba mungu

  • @elizabethminja5006
    @elizabethminja5006 Před 5 lety +9

    very sad 😢😢😢

  • @WillyWich-sf1ue
    @WillyWich-sf1ue Před 7 měsíci +1

    Nov 2023,,nimemwaga machozi kwa uchungu aliozungumza Barnaba kanikumbusha marehemu babangu😢

  • @eunicemoses7080
    @eunicemoses7080 Před 5 lety +2

    I found ma self crying.R.I.P Ruge mungu awatie nguvu wote

  • @shurukali8676
    @shurukali8676 Před 5 lety +15

    Pole barnaba

  • @joyceleah7655
    @joyceleah7655 Před 3 lety +2

    This is so emotional 😭😭

  • @marianan.bundala9557
    @marianan.bundala9557 Před 5 lety +3

    Pole barinaba mwebee baba

  • @samwelmgallah67
    @samwelmgallah67 Před 5 lety +2

    May god bless ruge

  • @shaibuhemed5720
    @shaibuhemed5720 Před 5 lety

    pole sana barnaba mungu akutangulie ktk maisha yako!

  • @OmanOman-hr6cb
    @OmanOman-hr6cb Před 5 lety +6

    Dah huzuni sana mpka nimelia

  • @priscaphedrick1579
    @priscaphedrick1579 Před 5 lety +3

    Pole sana barnabas maneno yako nahistoria vimenigusa sana mimi ni mgumu sana kulia lakini nimelia alijitoa kwa moyo wote R.I.P Ruge

    • @zakariamwambughi834
      @zakariamwambughi834 Před 5 lety

      mweee jaman mbona amenikumbusha mbali banarba nimeanzaje kuingia humu...? duuuuh.

  • @christophermwenti9594
    @christophermwenti9594 Před 5 lety +1

    pumzika kwa amani Brather mungu ametoa na Mungu ametwaa RIP Ruge

  • @julieelias8851
    @julieelias8851 Před 5 lety +4

    dah nimelia kama mtoto mimi jaman...Duh rugeee pole barnaba

  • @shaibuhemed5720
    @shaibuhemed5720 Před 5 lety

    pole sana barnaba mungu akutangulie ktk maisha yko

  • @salimamasanja4659
    @salimamasanja4659 Před 5 lety +3

    Machozi yamenitoka,pole sana barnaba,pumzika kwa Amani luge

  • @christophermwenti9594
    @christophermwenti9594 Před 5 lety +7

    binafsi imeniuma Sana
    kwani nakumbuka Mali sana mnoma mwaka 1999

  • @happinessmamuya3391
    @happinessmamuya3391 Před 5 lety +14

    kiukweli nimelia nilkua sijui huyu mtu anakazi kubwa hivi jamani barnaba pole mwanangu

  • @umutoni-roussel5233
    @umutoni-roussel5233 Před 5 lety +1

    I didn't know him ,but i liked him,sorry for the family and friends and may his soul rest in peace

  • @asiahamza9495
    @asiahamza9495 Před 5 lety +5

    Inna lillahi wainna illahi rajuun

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon782 Před 5 lety +53

    barnaba jmni unaniliza mwezio Pole san

  • @getruderlubawa2936
    @getruderlubawa2936 Před 5 lety +8

    dah polen sana barnaba jaman Mungu akutie nguvu najua maumivu uliyonayo sasa hivi

  • @brigidmua9558
    @brigidmua9558 Před 5 lety +4

    Poleni Tanzania...Rip sir

  • @braniceadisa6366
    @braniceadisa6366 Před 5 lety +1

    So sad barnabas all also in tears here and i dont him just had him on media mungu awape nguvu

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 3 lety

    Mmmmm ya mungu ni makubwa Pumzika kibonde Pumzika luge

  • @khadijaaboubakary2822
    @khadijaaboubakary2822 Před 5 lety +1

    Daaahh😭😭😭 lia tu kaka huna haki ya kulia moyo unaumaa '' 'Ruge rest and peace baba

  • @rahelseleman9857
    @rahelseleman9857 Před 5 lety +24

    Mpaka machozi yananitoka pole barnaba r. I. P ruge

    • @halimaramadhani1896
      @halimaramadhani1896 Před 5 lety

      Rahel Seleman wallwah ambaye hajashusha choz hapa sio binadamu duh Allah awape nguvu machoz yamenitoka jaman

  • @gidionngorogoro3272
    @gidionngorogoro3272 Před 5 lety +26

    Machozi yamenitoka! So sad! R.I.P Ruge!

  • @magehkihwele8274
    @magehkihwele8274 Před 5 lety +4

    Barnaba unaniliza mwenzio😭😭😭

  • @tabuselemani6869
    @tabuselemani6869 Před 5 lety +20

    barnaba umeniliza sana leo hatuna jinsi nikumuombea baba atu mpendwa Ruge

  • @fumbukajuniour6782
    @fumbukajuniour6782 Před 5 lety +1

    It's xo xad rext in peace Ruge u have left unforgettable legacy much rexpect 2 Allah coz he ix only one knows everyone's destiny

  • @mrskhalid1206
    @mrskhalid1206 Před 5 lety +2

    Daah naumia mie 😥😥😥😥rest in peace legend

  • @blessedammy3026
    @blessedammy3026 Před 5 lety +3

    So sad poleni sana

  • @dollyciku5678
    @dollyciku5678 Před 5 lety +1

    Duh!!😭😭inahuzunisha kweli RIP Ruge

  • @zakeishengomaeward5918
    @zakeishengomaeward5918 Před 5 lety +8

    FM Kibonde hatuko na ww tena sasa da!!! R.I.P RUGE ,,,,,R.I.P KIBONDE......

  • @angelankeka1114
    @angelankeka1114 Před 5 lety +2

    R.I.P. mpiganaje Mungu mkali jamani wangekuwa wanarudi ungeamka umuone Barnaba na Mimi tulivyo umia mikuu

  • @hyasintakundy369
    @hyasintakundy369 Před 5 lety +3

    Katika wasanii wote wa tht wote wameumia lkn barnaba ameumia zaidi yaan mpaka analiza pole barnaba pumzika kwa amani kipenz cha watu pumzika legend see you again

    • @orivakapinga1072
      @orivakapinga1072 Před 5 lety

      da nimelia Sana Kama nilivyomlilia mama na baba yangu, inaumiza kwakweli

  • @mathayomkumbuchile1569
    @mathayomkumbuchile1569 Před 3 lety +1

    Ruge was my role model and he was the only inspirational speaker of our time

  • @liddyabaruti2606
    @liddyabaruti2606 Před 5 lety

    Yaan nimelia barnaba pole sana kaka angu mungu akutie nguvu

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 Před 5 lety +1

    Pole sana barnaba 😭😭😭😭😭

  • @jacklinevosevwa9859
    @jacklinevosevwa9859 Před 5 lety +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭pole sana barnaba

  • @josephmlela9757
    @josephmlela9757 Před 5 lety

    Pole saaaana kaka,,, Mungu akutie nguvu

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 Před 5 lety +1

    Daaah Kibonde nawe umemfata Ruge daaah Mungu mkali

  • @irenealexander4545
    @irenealexander4545 Před 5 lety

    Mungu ailaze roho ya marehem pema pepon

  • @joharishabani9356
    @joharishabani9356 Před 3 lety +1

    inauma sanaaa

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid9764 Před 5 lety

    Pole Sana

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 5 lety +1

    Innalilah Wainnailah Rajiun, Rest In Peace Ruge Mutahaba

  • @sacg9783
    @sacg9783 Před rokem

    Dunia tunapita wenyeji wetu juu kwa baba ,🙏🙏😭😭😭😭Barnaba umeniliza umeacha nikumbuke mengi 😭😭😭😭

  • @raxhidymono9258
    @raxhidymono9258 Před 5 lety +9

    Pole sana banaba pole mungu atakusaidia inauma sana pole jamani unaongea kwa machungu na majonzi makubwa pole

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před 3 lety +1

    Wazuri wote wenye mioyo ya huruma wanaondoka eeee mungu baba unatucha na nani wanao😭😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @OverdozClassic
    @OverdozClassic Před 5 lety

    pole ndgu yngu. Barnaba na Tanzania kwa ujumla...

  • @gamingcasbet1
    @gamingcasbet1 Před 5 lety +2

    Daa so pain

  • @salmaoman6347
    @salmaoman6347 Před 5 lety +4

    Daaah

  • @nianialljames6205
    @nianialljames6205 Před 5 lety +1

    Barnaba jmn polee hakuna msanii kma wewe wengine wanakwamnia kiki mungu awasamehe