“Nifungulieni nimuone Baba” Tazama Barnaba alivyoishiwa nguvu akimuelezea Ruge
Vložit
- čas přidán 1. 03. 2019
- Msanii wa THT, Barnaba alijikuta akiishiwa nguvu na kubebwa na watu wa huduma ya kwanza alipokuwa akitoa neno wakati wa shughuli ya kumuaga #RugeMutahaba viwanja vya Karimjee.
Tuko LIVE kupitia #AzamXtra #UTV #AzamTVApp #UFM na Ukurasa wetu wa Facebook wa #AzamTV
#JasiriMuongozaNjia #RugeMutahaba #TutaonanaBaadae #PumzikaRuge
Pole xana mungu akutie nguvu barnaba akuvushe kwenye hili litapita inshaallah nimeumia sana najikuta nashindwa kuzuia machoz i yangu
Nikiona nalia sana kweli alikuwa baba kweli pole mungu hakupe nguvu
pole sana barnaba polen sana wafiwa ndugu na jamaa mwenyez mungu awatie nguvu ktk kipind hiki kigumu
Barnaba ameniliza jaman yaan hii 2021 ni kama taarifa ya leo! Rest in Peace Boss Ruge, Rest in Peace Kibonde Dunia Mapito!
pole sana Barbara boy, maneno yako yamenitoa machoz.najua wakat unaopitia kwa sasa Mwenyez Mungu mfariji wakweli akupe faraja baba pole sana
Duuuh Pole. Sana Barnaba zote njia yetu ni moja
Barnabas umeniliza du nenda ruge mungu akupe pumziko
Jamn anaeangalia 2020 mwez 8 nabado ameliaa kwauchungu kam taarifa kazipat saiz tujuane
We
🙏🙏🙏🙏🙏
❤
I don't knw how much naweza kusema but only tears in my face . Pole Barnaba pole kakangu hutampata km yy but yupo he will wipe ur tears just belv only. R. I. P Ruge
Pole barnaba nimelia umenikumbusha nilivyofiwa na mzazi angu
Daah....... more than pain pole barnaba.
SAUTI YA MTOTO FOUNDATION NI TAASISI INAYOTETEA HAKI ZA WATOTO TANZANIA BARA..SISI SOTE WAZAZI,AU WAZAZI WA BAADAE ..ILI KUTAMBUA MALEZI BORA YA WATOTO NA CHANGAMOTO ZAO ZINAKUAJE KATIKA UKUAJI ..TAFADHALI SUBSCRIBE SASA..ITAKUSAIDIA SANA KUJIFUNZA NA UTAWASAIDIA WENGINE,NDUGU JAMAA NA MARAFI ..SUBSCRIBE SASA TWENDE PAMOJA..#sautiyamtotofoundation
Uyo kaka ameguswa kweli 😭🙏
Yan Barnaba ana maumivu yale yenyewe kabisa sio ya kuact
Kabisaaaa
Kwani barnaba Nimtoto wamalehemu
@@shakilaabdala2944 hapana sio mzazi wake
Lkn kwa jinsi alivomlea ni kama babaake
@@johngasto7751 thought nimwanawe coz ako na wawili na zamaradi
Nothing
Hakuna ajuae kesho.
Huwez amin kama huyo mc tayar katutoka.
R IP Ruge.
R I P Kibonde
Tukiwa namaumivu makubwa pia tutambue Boss Ruge hajafa ila kashinda mbio katutangulia kwenye mstari wa ushindi ambao wote tunaukimbilia. Kila nafsi itaonja mauti
Pole sana
pole Sana my brother Mwenyezi Mungu akupe moyo wa imani
Wallahi nmelia kupitia barnaba kweli ameelezea kiuhasilia ...I.r.p Ruge
Life ni swala pana sana tujue kutumia wakati tulionao sasa zaidi ni kutenda mema tu yani duh inasikitisha uyu mtu mmoja kugusa maisha ya watu kiasi hiki
👏🏻
Kabisa bro
Nimeumia barnaba hapo aliposema mama yk amefariki Ruge ndy baba na ndy mama nimekumbuka wazazi wng mungu awarehemu amiin😭😭
pole sana
Kama, mwanamke, kulialia, 2,msengeeee,kmaaaaa
@@asumanmoshi1642 matusi yanakujaje kwenye coment yng?
Jamaniii😩😩😩
Nimelia aise
Dah pole barnaba nimemwaga machozi, Mungu akutie nguvu
Pore barinaba kwa msiba
Duh!! Nimelia kweli
Pole barnaba mungu akutie nguvu sana.
R.l.p ruge
Pole barnaba mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu. R. I. P RUGE MTAHABA Mungu haiweke roho ya marehemu mahali pema peponi Amina.
Poleee
Ulipo sema wakufungulie umuone baba,,,dah! I just missed my dad kila siku nalia hata sielewi
Wasanii wote mlio pita THT (Tanzania House of Talent) Poleni sana. Endelezeni yale mazuri mliyo jifunza na kuendeleza vipaji vyenu kwa wengine kama Ruge alivyo fanya kwenu, RIP Ruge
May the Almighty God give you strength during this typing moment Barnaba.You will be strong.
Barnabas u make me cry again ....pole saana
SAUTI YA MTOTO FOUNDATION NI TAASISI INAYOTETEA HAKI ZA WATOTO TANZANIA BARA..SISI SOTE WAZAZI,AU WAZAZI WA BAADAE ..ILI KUTAMBUA MALEZI BORA YA WATOTO NA CHANGAMOTO ZAO ZINAKUAJE KATIKA UKUAJI ..TAFADHALI SUBSCRIBE SASA..ITAKUSAIDIA SANA KUJIFUNZA NA UTAWASAIDIA WENGINE,NDUGU JAMAA NA MARAFI ..SUBSCRIBE SASA TWENDE PAMOJA..#sautiyamtotofoundation
pole sana Barnaba na THT 😭😭😭kazi ya Mungu haina makosa.
Am watching this again in 2020 but still nalia bcoz of barnaba
Pole sana barnaba najua umeumia kweli kweli jmn r.i.p ruge mtahaba
pow
Niliapaaa sitokaa nilie tenaaa maana watu wa muhimu wote nishawalilia nashangaaa najikuta nalia Ilaa jamani kunawaume wanamaumivu daah 😭😭😭😭😢
Inauma sana
Inatia urum
pole sana barnaba kwa msiba wa ruge
Usiumie sanaaa kifo kimepagwa kwa kila binafam yeye ametangulia sisi tuko nyuma
May his soul rest in peace!
Pole barnaba na tasnia nzima ya sanaa kwa kumpoteza mtu muhimu rip ruge
Barnab be strong and go through counselling
Pole sana Barnaba, pumzika kwa aman Ruge
Duh! Pole sana Barnaba. Sote ni wa kupita tu
Pole Sana bro barnaba
Pole sana mdogo wang Barnaba, mwenyez mungu akupe nguvu.
Nimelia kwakweli, pole barnaba, pole tht, pole familia ya clouds, pole familia ya ruge, ruge mwenyezi Mungu akuweke pema peponi hii ni safari ya kila binadamu.
Dahh. Barnaba ! Pole sana mdogo wangu, imenigusa sana
Woiye may he Rip..from kenya poleni sana
R i p ruge poleni sana familia nzima ya ruge na watu wote wa karibu
Mh! Barnaba umenifanya nilie na mm Mungu akutie nguvu tena.
Mungu awape ujasiri na ustahamilivu familia ya marehemu
Maumivu toka ndani ya moyo jamani pole mdogo wetu😭😭😭😭
pole san
Nimelia Sana,,duu hakika alikuwa msaada
Kweli barnaba ameguswa sana na msiba
LIKE HAPA KAMA UMEMSKIA BARNABA AKILIA KWA UCHUNGU AKISEMA "KAMA TATIZO NI FIGO RUGE UNGESEMA NIKUPE'
Inasikitisha best code na barnaba anajuwa kuombeleza nakumbuka Kwa masogange alilia
Luge alikuwa na roho nzur nasikia
Da, nimeuziwa hedifone olijino na bint mmoja kumbe mbovu imebidi nimekumbuka Nina yangu feki tu ya kawaida nilikuwa nayo umetowa saut mana Ile Leo ndo omegoma saut Kwa mbal sana
Kafanana na mwanawe mkubwa marehem
Kuna nandy nawo walilia
Pole sana Barnabas hujawa mnafiki kama wengne
Kabisaaa
Duh! unaniliza sana
SAUTI YA MTOTO FOUNDATION NI TAASISI INAYOTETEA HAKI ZA WATOTO TANZANIA BARA..SISI SOTE WAZAZI,AU WAZAZI WA BAADAE ..ILI KUTAMBUA MALEZI BORA YA WATOTO NA CHANGAMOTO ZAO ZINAKUAJE KATIKA UKUAJI ..TAFADHALI SUBSCRIBE SASA..ITAKUSAIDIA SANA KUJIFUNZA NA UTAWASAIDIA WENGINE,NDUGU JAMAA NA MARAFI ..SUBSCRIBE SASA TWENDE PAMOJA..#sautiyamtotofoundation
Marry Tarimo kabisaaaa ametia uruma xnaaa
@@wittyjamanidarmura9141 SAUTI YA MTOTO FOUNDATION NI TAASISI INAYOTETEA HAKI ZA WATOTO TANZANIA BARA..SISI SOTE WAZAZI,AU WAZAZI WA BAADAE ..ILI KUTAMBUA MALEZI BORA YA WATOTO NA CHANGAMOTO ZAO ZINAKUAJE KATIKA UKUAJI ..TAFADHALI SUBSCRIBE SASA..ITAKUSAIDIA SANA KUJIFUNZA NA UTAWASAIDIA WENGINE,NDUGU JAMAA NA MARAFI ..SUBSCRIBE SASA TWENDE PAMOJA..
Ruge RIP umekuwa funzo kwa wengi.
Barnaba pole sana mwanangu hiyo ndio dunia usiache kumuomba mungu
very sad 😢😢😢
Nov 2023,,nimemwaga machozi kwa uchungu aliozungumza Barnaba kanikumbusha marehemu babangu😢
I found ma self crying.R.I.P Ruge mungu awatie nguvu wote
Pole barnaba
Pole sana broo inauma sana
pole barnaba unaniliza kila nikiangalie you tube
This is so emotional 😭😭
Pole barinaba mwebee baba
May god bless ruge
pole sana barnaba mungu akutangulie ktk maisha yako!
Dah huzuni sana mpka nimelia
Pole sana barnabas maneno yako nahistoria vimenigusa sana mimi ni mgumu sana kulia lakini nimelia alijitoa kwa moyo wote R.I.P Ruge
mweee jaman mbona amenikumbusha mbali banarba nimeanzaje kuingia humu...? duuuuh.
pumzika kwa amani Brather mungu ametoa na Mungu ametwaa RIP Ruge
dah nimelia kama mtoto mimi jaman...Duh rugeee pole barnaba
pole sana barnaba mungu akutangulie ktk maisha yko
Machozi yamenitoka,pole sana barnaba,pumzika kwa Amani luge
binafsi imeniuma Sana
kwani nakumbuka Mali sana mnoma mwaka 1999
kiukweli nimelia nilkua sijui huyu mtu anakazi kubwa hivi jamani barnaba pole mwanangu
Pole barnaba mungu akutie nguvu
Happiness Mam
I didn't know him ,but i liked him,sorry for the family and friends and may his soul rest in peace
Inna lillahi wainna illahi rajuun
barnaba jmni unaniliza mwezio Pole san
Poln sana kaz ya mungu tumwombee apumzike kwa amani
Lucas Maro kweli inauma san
Jikaze barnaba ,kinachotakiwa tumuombee afike safar yake salama
dah polen sana barnaba jaman Mungu akutie nguvu najua maumivu uliyonayo sasa hivi
Poleni Tanzania...Rip sir
So sad barnabas all also in tears here and i dont him just had him on media mungu awape nguvu
Mmmmm ya mungu ni makubwa Pumzika kibonde Pumzika luge
Daaahh😭😭😭 lia tu kaka huna haki ya kulia moyo unaumaa '' 'Ruge rest and peace baba
Mpaka machozi yananitoka pole barnaba r. I. P ruge
Rahel Seleman wallwah ambaye hajashusha choz hapa sio binadamu duh Allah awape nguvu machoz yamenitoka jaman
Machozi yamenitoka! So sad! R.I.P Ruge!
Kabisa
Dah nimejikuta naliaa Sanaa ..Mungu akutie nguvu barinaba nawafiwa wote
Barnaba unaniliza mwenzio😭😭😭
barnaba umeniliza sana leo hatuna jinsi nikumuombea baba atu mpendwa Ruge
It's xo xad rext in peace Ruge u have left unforgettable legacy much rexpect 2 Allah coz he ix only one knows everyone's destiny
Daah naumia mie 😥😥😥😥rest in peace legend
So sad poleni sana
Duh!!😭😭inahuzunisha kweli RIP Ruge
FM Kibonde hatuko na ww tena sasa da!!! R.I.P RUGE ,,,,,R.I.P KIBONDE......
R.I.P. mpiganaje Mungu mkali jamani wangekuwa wanarudi ungeamka umuone Barnaba na Mimi tulivyo umia mikuu
Katika wasanii wote wa tht wote wameumia lkn barnaba ameumia zaidi yaan mpaka analiza pole barnaba pumzika kwa amani kipenz cha watu pumzika legend see you again
da nimelia Sana Kama nilivyomlilia mama na baba yangu, inaumiza kwakweli
Ruge was my role model and he was the only inspirational speaker of our time
Yaan nimelia barnaba pole sana kaka angu mungu akutie nguvu
Pole sana barnaba 😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭pole sana barnaba
Pole saaaana kaka,,, Mungu akutie nguvu
Daaah Kibonde nawe umemfata Ruge daaah Mungu mkali
Mungu ailaze roho ya marehem pema pepon
inauma sanaaa
Pole Sana
Innalilah Wainnailah Rajiun, Rest In Peace Ruge Mutahaba
Dunia tunapita wenyeji wetu juu kwa baba ,🙏🙏😭😭😭😭Barnaba umeniliza umeacha nikumbuke mengi 😭😭😭😭
Pole sana banaba pole mungu atakusaidia inauma sana pole jamani unaongea kwa machungu na majonzi makubwa pole
Jaman inauma
Sana
Wazuri wote wenye mioyo ya huruma wanaondoka eeee mungu baba unatucha na nani wanao😭😭😭😭😭💔💔💔💔
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
pole ndgu yngu. Barnaba na Tanzania kwa ujumla...
Daa so pain
Daaah
Barnaba jmn polee hakuna msanii kma wewe wengine wanakwamnia kiki mungu awasamehe