DIAMOND PLATNUMZ AONGEA KUHUSU RUGE MUTAHABA KWA MARA YA KWANZA
Vložit
- čas přidán 22. 04. 2019
- Diamond Platnumz Ameongelea Ishu ya Yeye Kuonekana Alichelewa Kwenye Msiba wa Ruge Mutagaba na Kutoweka Post Katika Page zake za Mitandao ya Kijamii.
.
#BLOCK89 #Block89WFM #HiiNiYetuSote #SanaaImezaliwaUpya - Zábava
nimewapenda sana hawa watangazaji cos wameweka uboss pembeni,,,,kazi nzuri jonijoo
Nimependa Watangazaji wapo open kuuliza maswalii. safi sana Chibudeeee
Tunaoamini mahusiano yana mambo mengi na kuna muda inabidi tusimponde Mondi kwasababu hata yeye Alivumilia mengi tupeane like za kiutu uzima
Hi
kama nimekuelewa vile ok nicheki humu monica 0654596677
Monica Obasi
Nimekuelewa sana Monica so hebu nicheki kwanza +258861769403
Kwa kweli mond nimepata vizur sana kiukweli huko sahihi kiupande fulan nao wanawake jaman wanamitihan yao yey sio chiz kuachana na zari na kukaa kimya mda mlefu bila kuongea lolote katika wawili wapenda nao sikitu lahisi lakin yeye kavumilia hakutaka kuzungumzia lolote zaidi ya zari alie kuwa anavuma mitandaoni daily, so mm nisemetu kuwa asingekuwa zari kuwa unajua sana kuzungumza mitandaon na katika vyombo mbali mbali upande wangu mm nionavyo sinzani kama mond angekuja kufunguka yote haya kama kaweza kumvumilia mda wote wamatukio iweje angeshindwa kwasasa ila kaamua kufunguka mond kutokana na kuandamwa hakumuishi ingali yeye yupo kimya (hivyo kwa upande flan waasilimia mia mondi yuko sahihi sana)
Aliesikia chibu kasema akiwaamtakidem anafanyamatukio mpka anasepemwenyew gonga like
Defensive Mechanism
Dimond you are very mature and wise! Mungu akujalie uwe billionea mwenye furaha! Nakutakia maisha mema na mpenzi wako Tanasha. You deceve better and good life. I hope Tansha is the one! Zari is a gold digger! Amekushika na watoto sasa anakukomoa usiwaone. Kaza moyo
Yote yataoita tuu! I takuja kuwaina tuu.
Both presenter are doing such a nice job but my advice to you both is when asking a question its really awesome to wait an answer then you move to the other perspect....Haya endeleeni kukandamiza maswali tuzd kuwafuatilia,braaavoo tchao!
Congrats kwa hawa watangazaji....nimewapenda sana mko vizuri....mnajua kazi....pigeni kazi vijana jpm.
hivi unajua kama DIAMOND akinywa PEPSI analipwa? hahahahahaha u star raha kama huamin pitia instagram yake
Ahahaa mbavu zangu jmn
@@dotomohd9156 na ndio maana akinywa anaoneshwa na camera
#SIMBA to GOD be the glory,the swag is supper dope and i love your vybe through your music
#KENYALOVESYOU
Mulio lala mkiamkaa plz mm niwakwanzaaa kukoment naomba like zenu jamani,, duuu
Nimekupa like yako mze namimi pia sasa
@@cglnoirshangwefeliz6162 😂😂
Nimependa the arrangement ya hii studio, ipo professional sana!!!...
na ww kama umemsikia bwege uyu mtangazaji amesema marehemu kabla ajafa gonga like zako zote twende sawa
Yani cjawahi mwona chibu anakubali kuwa amekosea
Uyu jamaa anaongea kweli ila kuna watu tu wazusha uongo ila mungu anawaon
Kama umemuona female presenter anamuangalia sana mondi gonga like hapa 😂😂😂
😀😀 pole simba kubali matokeo tuu respect mama tee
Diamond we ni mtaalam sana wa kujibu maswari,big up kwako👏👏
Maswali
Mimi pia nikama wa 18 vile kwenye view like zenyu please
Muongo diamond uingie ndani wakati Rais anatakiwa awe wa mwisho kuingia ungie ukiwa we nani
Of course he has spoken truth but remember kila mtu mtu anamadhaifu yake na saa zingune marafiki wa kweli hukoseana maneno so kuweni makini waandishi wa habari nawapongeza sna
Ivi nyiee mnaombagaa likes mnazipelekaga wapi🙌
safi mr chibudenga
Tanzania's media is intelligent. Much love.
Kama umeona konki hana biff na mondii weka like twende sawaa.
Wahindi
Chan duty uh
Kaliii Sana simba mnyama makali
@Aziz Karata urihe none???😀😀😀
Mtangazaji unamuuliza boss wako maswali kama hayo atakufukuza kazi shauri yako
Umetisha!!!
hatarii.... 🔥 🔥
Jonijooo now u no nakukubali sanaaaaa Mzee baba akoo
Umetisha brow
Pole daimond najua hakuna anae jua ndani ya moyo wako ila ni mungu tu tusihuku
Nakubali#___Baba akoo.
Mpo vizuri Sana wasafi
Kama umeoenda majibu ya Mondi gusa profile yangu apo...
MALECOM , ok
Safi sana ila watangazaji mnaongea sana real
Bro anajitambua kweli kweli
ww umeulizwa Ruge anamchango gani kwenye muziki wako unachojibu sasa hata mtt wa darasa la nne anakushinda nafsi inakusuta sana sijui tu kiwango cha ubongo ulichonacho na unawaza nini umesaidiwa sana sisi tangu unaanza ww tunakufuatilia bahati nzuri kuna sehem tulikuwa tunakuona kabisa uwe unashukuru Maana hata Mungu Atakujalia kwakuwa unashukuru hata kidogo akikupa
mmmmh vijana wameajiliwa ili wamkomoe boss mbna maswal mazito namna hiyo
wewe kwa IQ yako ndogo ndo unahisi ivo ila vijana wako clear kabisa wanatekeleza wajibu wao na taaluma yao
Yaan hatar
We hivyo vitu planned ili wapige pesa
Hawa Wanawake wanaweza wakakiharibu kipindi, hawatulii
@@shadracktito6293 Actually lazima walimwuliza kwanza ili isije kuwa noma. Mengine ya kushtukiza utaona sura yake inakuwa tofauti...
Interview ya kikong linapokuj suala LA kuzikana tuzikane tyuu matatzo tuweke pemben kama umesikia hyooo like yako pliz
fabian moses oky
We here bcz of zari,mondi ain't shiet this days
Hajajib personally ruge alikuwa anamchango gani kwny mziki wake
Kabla ya marehemu Ruge hajafariki.... !!!!!!!!😎
Karma is real diamond atamaliza vibaya sana i am here you guyz will prove wrong...
Wewe utamalizaje
@@jumannenamwette4041 ww ni musemaji wa dai cizi kama yeye
Amini kwmb mzee you!
Like zenu jmn Kama unamukubali chibu
Maswali Mazuri lkn Mnampa maswali mengi wakati m1 hadi anasahau anakuwa hajibu vyote
Interview Hit
frequency za wasafi fm kwa arusha ningapi ngapi jombaaaa......love the stereo
Wangapi wameona tabasamu LA zege LA baunsaaa
nice brother mond
Naupenda ukakamavu wa Aaliyah kwa utangazaji❤️
Suali moja moja bs ajibu uulize jngne ingependeza
Diamond hukuwa specific kwenye mchango wa Ruge. Say it bro kama unapenda ukweli!
Mchango gani unaozungumziya??
@@johnnydepp3218 Unataka kusema Ruge hana mchango wowote katika kushape muziki wa Diamond? Please! Labda hufahamu kuhusu Diamond. Rudi nyuma hadi 2009/2010. Usisikilize hizi porojo zake za sasa.
Duuh Diamond kweli umeongea
Nasibu umejiumauma sana kwenye hili swali bro, Be Honest
Joni joh babako wahuni si watu wazuri huogopi boss🔥🔥🔥
Upo poa sana Simba 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Aliye sikia So aaah,,,,,,, kama mm like twende sawa
Kilichotokea mlishapanga na watangazaji watakuhoji nn sasa kinachotokea watangazaji wanajikuta kuongea sana ili wasisahau na wanajikuta wanajibu na maswali hadi wakatizwe🤣🤣
Waswahili hamna dogo
@@johnnydepp3218 we mzungu umepitaje hapa😂😂
Bloody many
King king
Upo vzr chibu kwa majibu yako 🙌🙌🙌
Diamond amevaa kama referee. Chunga usipewe red card..
😂😂😂
R.I.p Ruge.sote njia moja .tutaonana baaadae inshaAllah.
Wcb
Za asubuhi..
Nzuri lakini watanfazaji mnalinda sana chakula chenu maana naona mnamuhuriza maswari lakini mnajijibu some time's
hivi a kiwa chooni anaingia na mlinzi?
Wangap wamesikia marehem ruge amefariki😂😂😂
Sema nn mi nabaki kimy
Nice
Kuzika ni kifanya kati ya mambo haya.. kutazama Maiti, kubeba Jeneza, kutupa mchanga kaburini.Ukienda mazishini na usifanye hivi vitu hujazika.Binadamu tunasahau kwamba tunaenda kuzika na sio kwenda ili uonekane kuwa ulihudhuria.
Watangazaji wapo vzr sn.yani hayo maswali Hadi ashushia soda😁😁
umeona
👏🏻👏🏻
haya maswali ndo source ya hiki kipindi kufutwa na jonijo kuondoka wasafi .
Hata hamjui kuhuriza maswali
Jamani msimuulize Simba swali nyingi za kutaka kumfanya aongee mabaya kuhusu marehemu ruge
Clever Boy kumbe umeona hee
Block 89
Poa sana brow
Jonijooooo. Vip zile show zako tena ztaendeleaje
Wanafiki tyuu mbwa nyie
Hiii ni konk!!!!!
Brother ukiacha ma drama Mziki wako utafka mbali sana zaidi ya hapa natagemea 1day ngoma zako zingie ata kwenye billboard
afike mbali wap tena
Allen Konky kwa sahvi unaweza mlinganisha na Davido au wiz kid uwoni jaamaa kahacha gepu kubwa sana
m sielewagi hata mambo ya watu
Watakaaaa2 kazi ndy inaanza
Mondi hajawahi kuwa na biffu na mtuu yeyote , kama unaamini kama mondi hajawahi kushindwa na interview gonga like hapa
Naomba like zenu jamani
HAPO WATANGAZAJI HAMKO NA BOSS ANATAKIWA KUCHEKIWA HAKIRI KAUMIA KUONA ZARI KAPATA MCHUMBA
Ebu nambieni izo like ni zakazi gani maana naona maombi nimengi eti mala mi niwakwanza ku comment nipeni like munazipeleka wapi 🤣🤣🤣🤣🤣
Daah aya bna
Mondy Simbaaaaa
Kama unamuona uyo dada anavomaangalia mond vizur tupo pamoj
Anampenda hata kukata mauno mbele yke mmh nimeona
nimemcheck sana huyo Broun lkn black ako simple mbona
Nimeon macho yamelegea yuk tayar kwa chochte
Daaaaa!!! Aiseee ninyi mkasome kwa clouds media
Wale jamaa wanajua sn
.Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng'ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂 raha sana.
Dr Focus hi
@@nambulisarah2467 nambie
Hehèe....hvyo virasta navyo...katoe...🤔🤔🤔🤔
Je,wasafi Media inatufikia Bukoba kwa frequency ngp?
Unajbu vzr San na umeleweka san
Like hapa kwajili ya mondi 😁😁😁
Mm nawapa credit watangazaji muko real hakuna cha bosi hpo Safi Sana wasafi fm
Chibuuuuuu denga
Uyo dem anajuwa sana da kwa maswal noma
Mmmh mtihan
Hawa wanawake wanaweza wakakiharibu kipindi, hawatulii
😷😷
mbona kama alikuwa anakupenda sana alikusaliti na piter na ukavunga tu acha uboya watu hawaaemag vya uvunguni
Pepsi
Hao wadad wanajifunza kufanya interview mbona kelele sana
Rashid Yahya unprofessional
na kubali mzee baba simbaaa
yaani munamuogoooopa huyo mshkaji kumuuliza masuali dah kweli umaarufu nyoko
Mbona mnamuongelea sana merehemu ivi amna vyakumuhoji dai