DIAMOND PLATNUMZ AONGEA KUHUSU RUGE MUTAHABA KWA MARA YA KWANZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 04. 2019
  • Diamond Platnumz Ameongelea Ishu ya Yeye Kuonekana Alichelewa Kwenye Msiba wa Ruge Mutagaba na Kutoweka Post Katika Page zake za Mitandao ya Kijamii.
    .
    #BLOCK89 #Block89WFM #HiiNiYetuSote #SanaaImezaliwaUpya
  • Zábava

Komentáře • 300

  • @beatuslongino5666
    @beatuslongino5666 Před 5 lety +20

    nimewapenda sana hawa watangazaji cos wameweka uboss pembeni,,,,kazi nzuri jonijoo

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 Před 5 lety +25

    Nimependa Watangazaji wapo open kuuliza maswalii. safi sana Chibudeeee

  • @monicajulius905
    @monicajulius905 Před 5 lety +201

    Tunaoamini mahusiano yana mambo mengi na kuna muda inabidi tusimponde Mondi kwasababu hata yeye Alivumilia mengi tupeane like za kiutu uzima

    • @ayoubmsangula2818
      @ayoubmsangula2818 Před 5 lety

      Hi

    • @rairambarairamba5086
      @rairambarairamba5086 Před 5 lety

      kama nimekuelewa vile ok nicheki humu monica 0654596677

    • @kwabeeemmanuel391
      @kwabeeemmanuel391 Před 5 lety

      Monica Obasi

    • @chavalabrandtv5315
      @chavalabrandtv5315 Před 5 lety

      Nimekuelewa sana Monica so hebu nicheki kwanza +258861769403

    • @awadhikawaga8498
      @awadhikawaga8498 Před 5 lety +1

      Kwa kweli mond nimepata vizur sana kiukweli huko sahihi kiupande fulan nao wanawake jaman wanamitihan yao yey sio chiz kuachana na zari na kukaa kimya mda mlefu bila kuongea lolote katika wawili wapenda nao sikitu lahisi lakin yeye kavumilia hakutaka kuzungumzia lolote zaidi ya zari alie kuwa anavuma mitandaoni daily, so mm nisemetu kuwa asingekuwa zari kuwa unajua sana kuzungumza mitandaon na katika vyombo mbali mbali upande wangu mm nionavyo sinzani kama mond angekuja kufunguka yote haya kama kaweza kumvumilia mda wote wamatukio iweje angeshindwa kwasasa ila kaamua kufunguka mond kutokana na kuandamwa hakumuishi ingali yeye yupo kimya (hivyo kwa upande flan waasilimia mia mondi yuko sahihi sana)

  • @mdmubrak8152
    @mdmubrak8152 Před 5 lety +150

    Aliesikia chibu kasema akiwaamtakidem anafanyamatukio mpka anasepemwenyew gonga like

  • @Sppah697
    @Sppah697 Před 5 lety +2

    Dimond you are very mature and wise! Mungu akujalie uwe billionea mwenye furaha! Nakutakia maisha mema na mpenzi wako Tanasha. You deceve better and good life. I hope Tansha is the one! Zari is a gold digger! Amekushika na watoto sasa anakukomoa usiwaone. Kaza moyo
    Yote yataoita tuu! I takuja kuwaina tuu.

  • @jumbelbrownman1295
    @jumbelbrownman1295 Před 5 lety +7

    Both presenter are doing such a nice job but my advice to you both is when asking a question its really awesome to wait an answer then you move to the other perspect....Haya endeleeni kukandamiza maswali tuzd kuwafuatilia,braaavoo tchao!

  • @madawakemikali776
    @madawakemikali776 Před 5 lety +2

    Congrats kwa hawa watangazaji....nimewapenda sana mko vizuri....mnajua kazi....pigeni kazi vijana jpm.

  • @rajabumrope8732
    @rajabumrope8732 Před 5 lety +46

    hivi unajua kama DIAMOND akinywa PEPSI analipwa? hahahahahaha u star raha kama huamin pitia instagram yake

  • @litmassmgenge4840
    @litmassmgenge4840 Před 5 lety +3

    #SIMBA to GOD be the glory,the swag is supper dope and i love your vybe through your music
    #KENYALOVESYOU

  • @lameckntahondi8073
    @lameckntahondi8073 Před 5 lety +140

    Mulio lala mkiamkaa plz mm niwakwanzaaa kukoment naomba like zenu jamani,, duuu

  • @KiooTvOnline
    @KiooTvOnline Před 5 lety +3

    Nimependa the arrangement ya hii studio, ipo professional sana!!!...

  • @dottomsham9884
    @dottomsham9884 Před 5 lety +6

    na ww kama umemsikia bwege uyu mtangazaji amesema marehemu kabla ajafa gonga like zako zote twende sawa

  • @mariammgeni8830
    @mariammgeni8830 Před 5 lety +20

    Yani cjawahi mwona chibu anakubali kuwa amekosea

  • @omarypongwe7155
    @omarypongwe7155 Před 5 lety +46

    Uyu jamaa anaongea kweli ila kuna watu tu wazusha uongo ila mungu anawaon

  • @kingsoboropayani5127
    @kingsoboropayani5127 Před 5 lety +4

    Kama umemuona female presenter anamuangalia sana mondi gonga like hapa 😂😂😂

  • @najmaahmed7172
    @najmaahmed7172 Před 5 lety +4

    😀😀 pole simba kubali matokeo tuu respect mama tee

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 Před 5 lety +3

    Diamond we ni mtaalam sana wa kujibu maswari,big up kwako👏👏

  • @cglnoirshangwefeliz6162
    @cglnoirshangwefeliz6162 Před 5 lety +62

    Mimi pia nikama wa 18 vile kwenye view like zenyu please

    • @doctorscora8837
      @doctorscora8837 Před 5 lety

      Muongo diamond uingie ndani wakati Rais anatakiwa awe wa mwisho kuingia ungie ukiwa we nani

  • @josephbanga8432
    @josephbanga8432 Před 5 lety +5

    Of course he has spoken truth but remember kila mtu mtu anamadhaifu yake na saa zingune marafiki wa kweli hukoseana maneno so kuweni makini waandishi wa habari nawapongeza sna

  • @thereal_mtangojr2634
    @thereal_mtangojr2634 Před 5 lety +3

    Ivi nyiee mnaombagaa likes mnazipelekaga wapi🙌

  • @sostentulian4192
    @sostentulian4192 Před 5 lety +4

    safi mr chibudenga

  • @writer-xi8sh
    @writer-xi8sh Před 5 lety +1

    Tanzania's media is intelligent. Much love.

  • @lameckntahondi8073
    @lameckntahondi8073 Před 5 lety +102

    Kama umeona konki hana biff na mondii weka like twende sawaa.

  • @ponsiankahesi3458
    @ponsiankahesi3458 Před 5 lety +2

    Mtangazaji unamuuliza boss wako maswali kama hayo atakufukuza kazi shauri yako

  • @shahamtindo
    @shahamtindo Před 5 lety +3

    Umetisha!!!

  • @mojay5335
    @mojay5335 Před 5 lety +6

    hatarii.... 🔥 🔥

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 Před 5 lety +10

    Jonijooo now u no nakukubali sanaaaaa Mzee baba akoo

  • @aishasilaji5759
    @aishasilaji5759 Před 5 lety +1

    Pole daimond najua hakuna anae jua ndani ya moyo wako ila ni mungu tu tusihuku

  • @kelvinjoseph694
    @kelvinjoseph694 Před 5 lety +3

    Nakubali#___Baba akoo.

  • @jumaibrahim7605
    @jumaibrahim7605 Před 5 lety +3

    Mpo vizuri Sana wasafi

  • @malecom
    @malecom Před 5 lety +102

    Kama umeoenda majibu ya Mondi gusa profile yangu apo...

  • @SUZIBALE_OG
    @SUZIBALE_OG Před 5 lety +27

    Safi sana ila watangazaji mnaongea sana real

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 Před 4 lety +2

    ww umeulizwa Ruge anamchango gani kwenye muziki wako unachojibu sasa hata mtt wa darasa la nne anakushinda nafsi inakusuta sana sijui tu kiwango cha ubongo ulichonacho na unawaza nini umesaidiwa sana sisi tangu unaanza ww tunakufuatilia bahati nzuri kuna sehem tulikuwa tunakuona kabisa uwe unashukuru Maana hata Mungu Atakujalia kwakuwa unashukuru hata kidogo akikupa

  • @peterngassalah6454
    @peterngassalah6454 Před 5 lety +60

    mmmmh vijana wameajiliwa ili wamkomoe boss mbna maswal mazito namna hiyo

    • @shadracktito6293
      @shadracktito6293 Před 5 lety +2

      wewe kwa IQ yako ndogo ndo unahisi ivo ila vijana wako clear kabisa wanatekeleza wajibu wao na taaluma yao

    • @barakasamora6361
      @barakasamora6361 Před 5 lety

      Yaan hatar

    • @evisonchotta8675
      @evisonchotta8675 Před 5 lety

      We hivyo vitu planned ili wapige pesa

    • @salimkhamis3638
      @salimkhamis3638 Před 5 lety

      Hawa Wanawake wanaweza wakakiharibu kipindi, hawatulii

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Před 5 lety +1

      @@shadracktito6293 Actually lazima walimwuliza kwanza ili isije kuwa noma. Mengine ya kushtukiza utaona sura yake inakuwa tofauti...

  • @fabianmoses3105
    @fabianmoses3105 Před 5 lety +19

    Interview ya kikong linapokuj suala LA kuzikana tuzikane tyuu matatzo tuweke pemben kama umesikia hyooo like yako pliz

  • @purity3776
    @purity3776 Před 5 lety +4

    We here bcz of zari,mondi ain't shiet this days

  • @bakarininga4100
    @bakarininga4100 Před 5 lety +16

    Hajajib personally ruge alikuwa anamchango gani kwny mziki wake

  • @meshackmganga6948
    @meshackmganga6948 Před 5 lety +5

    Kabla ya marehemu Ruge hajafariki.... !!!!!!!!😎

  • @uwinezagloria8618
    @uwinezagloria8618 Před 5 lety +12

    Karma is real diamond atamaliza vibaya sana i am here you guyz will prove wrong...

  • @richardjoseph9257
    @richardjoseph9257 Před 3 lety +1

    Amini kwmb mzee you!

  • @jariruabeid8858
    @jariruabeid8858 Před 5 lety +39

    Like zenu jmn Kama unamukubali chibu

  • @nureyna629
    @nureyna629 Před 5 lety +8

    Maswali Mazuri lkn Mnampa maswali mengi wakati m1 hadi anasahau anakuwa hajibu vyote

  • @kuryaboytv3426
    @kuryaboytv3426 Před 5 lety +1

    Interview Hit

  • @fathermore9772
    @fathermore9772 Před 5 lety

    frequency za wasafi fm kwa arusha ningapi ngapi jombaaaa......love the stereo

  • @shadybadojulius2634
    @shadybadojulius2634 Před 5 lety +13

    Wangapi wameona tabasamu LA zege LA baunsaaa

  • @Mwaikwasi
    @Mwaikwasi Před 4 lety +3

    Naupenda ukakamavu wa Aaliyah kwa utangazaji❤️

  • @abdallajkhalfan1202
    @abdallajkhalfan1202 Před 5 lety +5

    Suali moja moja bs ajibu uulize jngne ingependeza

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Před 5 lety +11

    Diamond hukuwa specific kwenye mchango wa Ruge. Say it bro kama unapenda ukweli!

    • @johnnydepp3218
      @johnnydepp3218 Před 5 lety

      Mchango gani unaozungumziya??

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Před 5 lety +1

      @@johnnydepp3218 Unataka kusema Ruge hana mchango wowote katika kushape muziki wa Diamond? Please! Labda hufahamu kuhusu Diamond. Rudi nyuma hadi 2009/2010. Usisikilize hizi porojo zake za sasa.

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 Před 5 lety +9

    Duuh Diamond kweli umeongea

  • @denyo_rasmi
    @denyo_rasmi Před 5 lety +5

    Nasibu umejiumauma sana kwenye hili swali bro, Be Honest

  • @bonephasbenjamin4848
    @bonephasbenjamin4848 Před 5 lety

    Joni joh babako wahuni si watu wazuri huogopi boss🔥🔥🔥

  • @yonamakali8371
    @yonamakali8371 Před 5 lety +1

    Upo poa sana Simba 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @jullyanthony9734
    @jullyanthony9734 Před 5 lety +1

    Aliye sikia So aaah,,,,,,, kama mm like twende sawa

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 Před 5 lety +21

    Kilichotokea mlishapanga na watangazaji watakuhoji nn sasa kinachotokea watangazaji wanajikuta kuongea sana ili wasisahau na wanajikuta wanajibu na maswali hadi wakatizwe🤣🤣

  • @donald7022
    @donald7022 Před 5 lety +1

    King king

  • @dicksonjohnbosco6548
    @dicksonjohnbosco6548 Před 5 lety +3

    Upo vzr chibu kwa majibu yako 🙌🙌🙌

  • @petermasaku6728
    @petermasaku6728 Před 5 lety +7

    Diamond amevaa kama referee. Chunga usipewe red card..

  • @tumajuma6917
    @tumajuma6917 Před 5 lety +1

    R.I.p Ruge.sote njia moja .tutaonana baaadae inshaAllah.

  • @lameckntahondi8073
    @lameckntahondi8073 Před 5 lety +16

    Wcb

  • @ramanhoibrahim3383
    @ramanhoibrahim3383 Před 5 lety +6

    Za asubuhi..

  • @amashamasoud7636
    @amashamasoud7636 Před 5 lety +1

    Nzuri lakini watanfazaji mnalinda sana chakula chenu maana naona mnamuhuriza maswari lakini mnajijibu some time's

  • @aminachaulaya278
    @aminachaulaya278 Před 5 lety +6

    hivi a kiwa chooni anaingia na mlinzi?

  • @monicamasala137
    @monicamasala137 Před 5 lety +6

    Wangap wamesikia marehem ruge amefariki😂😂😂

  • @gandygandi2740
    @gandygandi2740 Před 5 lety +5

    Sema nn mi nabaki kimy

  • @thomasdiamosbob3965
    @thomasdiamosbob3965 Před 5 lety

    Nice

  • @badboy2577
    @badboy2577 Před 5 lety +1

    Kuzika ni kifanya kati ya mambo haya.. kutazama Maiti, kubeba Jeneza, kutupa mchanga kaburini.Ukienda mazishini na usifanye hivi vitu hujazika.Binadamu tunasahau kwamba tunaenda kuzika na sio kwenda ili uonekane kuwa ulihudhuria.

  • @bimaisarankamia4153
    @bimaisarankamia4153 Před 5 lety +6

    Watangazaji wapo vzr sn.yani hayo maswali Hadi ashushia soda😁😁

  • @bahatis.mbishi737
    @bahatis.mbishi737 Před 5 lety +1

    👏🏻👏🏻

  • @kelvinndege2200
    @kelvinndege2200 Před 2 lety +1

    haya maswali ndo source ya hiki kipindi kufutwa na jonijo kuondoka wasafi .

  • @frankchamba8894
    @frankchamba8894 Před 5 lety +3

    Hata hamjui kuhuriza maswali

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise1474 Před 5 lety +6

    Jamani msimuulize Simba swali nyingi za kutaka kumfanya aongee mabaya kuhusu marehemu ruge

  • @exhaudyvalentine1767
    @exhaudyvalentine1767 Před 5 lety

    Jonijooooo. Vip zile show zako tena ztaendeleaje

  • @mtagechota1002
    @mtagechota1002 Před 5 lety +6

    Wanafiki tyuu mbwa nyie

  • @mrtboy9788
    @mrtboy9788 Před 5 lety +6

    Hiii ni konk!!!!!

  • @Dm-yq9wn
    @Dm-yq9wn Před 5 lety +3

    Brother ukiacha ma drama Mziki wako utafka mbali sana zaidi ya hapa natagemea 1day ngoma zako zingie ata kwenye billboard

    • @allenkonky3146
      @allenkonky3146 Před 5 lety

      afike mbali wap tena

    • @Dm-yq9wn
      @Dm-yq9wn Před 5 lety

      Allen Konky kwa sahvi unaweza mlinganisha na Davido au wiz kid uwoni jaamaa kahacha gepu kubwa sana

    • @allenkonky3146
      @allenkonky3146 Před 5 lety

      m sielewagi hata mambo ya watu

  • @yusuphdeogratius1036
    @yusuphdeogratius1036 Před 5 lety +1

    Watakaaaa2 kazi ndy inaanza

  • @vincentsunhotlangwe5138

    Mondi hajawahi kuwa na biffu na mtuu yeyote , kama unaamini kama mondi hajawahi kushindwa na interview gonga like hapa

  • @jonathanicrisatijonathanic6708

    Naomba like zenu jamani

  • @anthonymsimbe1466
    @anthonymsimbe1466 Před 5 lety +1

    HAPO WATANGAZAJI HAMKO NA BOSS ANATAKIWA KUCHEKIWA HAKIRI KAUMIA KUONA ZARI KAPATA MCHUMBA

  • @mauwabijoux6966
    @mauwabijoux6966 Před 5 lety +1

    Ebu nambieni izo like ni zakazi gani maana naona maombi nimengi eti mala mi niwakwanza ku comment nipeni like munazipeleka wapi 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hamadrama9106
    @hamadrama9106 Před 5 lety +1

    Daah aya bna

  • @ellysbrand
    @ellysbrand Před 5 lety +2

    Mondy Simbaaaaa

  • @wisperfect3860
    @wisperfect3860 Před 5 lety +14

    Kama unamuona uyo dada anavomaangalia mond vizur tupo pamoj

    • @pendosammy5984
      @pendosammy5984 Před 5 lety

      Anampenda hata kukata mauno mbele yke mmh nimeona

    • @pendosammy5984
      @pendosammy5984 Před 5 lety

      nimemcheck sana huyo Broun lkn black ako simple mbona

    • @edinasabini6436
      @edinasabini6436 Před 4 lety +1

      Nimeon macho yamelegea yuk tayar kwa chochte

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 Před 5 lety +3

    Daaaaa!!! Aiseee ninyi mkasome kwa clouds media
    Wale jamaa wanajua sn

  • @focustz4408
    @focustz4408 Před 5 lety +2

    .Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
    ..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng'ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂 raha sana.

  • @sabunisteven4720
    @sabunisteven4720 Před 5 lety +2

    Hehèe....hvyo virasta navyo...katoe...🤔🤔🤔🤔

  • @azamanjv1946
    @azamanjv1946 Před 5 lety

    Je,wasafi Media inatufikia Bukoba kwa frequency ngp?

  • @beatricengonani4640
    @beatricengonani4640 Před 5 lety +1

    Unajbu vzr San na umeleweka san

  • @saddyclassicfashion9577
    @saddyclassicfashion9577 Před 5 lety +1

    Like hapa kwajili ya mondi 😁😁😁

  • @chibudangote5446
    @chibudangote5446 Před 5 lety

    Mm nawapa credit watangazaji muko real hakuna cha bosi hpo Safi Sana wasafi fm

  • @yussuphkazumar6229
    @yussuphkazumar6229 Před 5 lety +2

    Chibuuuuuu denga

  • @mudriksalum2069
    @mudriksalum2069 Před 5 lety

    Uyo dem anajuwa sana da kwa maswal noma

  • @zuwenaalamini4158
    @zuwenaalamini4158 Před 4 lety

    Mmmh mtihan

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 Před 5 lety +2

    Hawa wanawake wanaweza wakakiharibu kipindi, hawatulii

  • @judyibrahim9203
    @judyibrahim9203 Před 5 lety +1

    mbona kama alikuwa anakupenda sana alikusaliti na piter na ukavunga tu acha uboya watu hawaaemag vya uvunguni

  • @yasinimohamedy917
    @yasinimohamedy917 Před 3 lety +1

    Pepsi

  • @rashidyahya5727
    @rashidyahya5727 Před 5 lety +8

    Hao wadad wanajifunza kufanya interview mbona kelele sana

  • @emmanuelimaxxaka754
    @emmanuelimaxxaka754 Před 5 lety

    na kubali mzee baba simbaaa

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 5 lety +2

    yaani munamuogoooopa huyo mshkaji kumuuliza masuali dah kweli umaarufu nyoko

  • @rehemasaid6876
    @rehemasaid6876 Před 5 lety

    Mbona mnamuongelea sana merehemu ivi amna vyakumuhoji dai