Video nenรญ dostupnรฉ.
Omlouvรกme se.
DIAMOND PLATNUMZ : HARMONIZE AKITAKA KURUDI WASAFI/ INATEGEMEA ALIONDOKAJE
Vloลพit
- ฤas pลidรกn 27. 01. 2021
- ๐๐ธ๐โโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐๐ ๐บ
๐๐ญ๐๐ -๐ฐ๐ญ๐ญ | ๐๐ฆ๐ง๐ฉ ๐ฎ๐ต๐ฒ | ๐ญ๐จ๐๐จ-๐ฌ๐ฎ๐ด
๐ฆ๐ง๐๐ฅ๐ง๐๐ ๐๐ฆ-๐ฐ๐ฐ๐ฐ & ๐ฏ๐ฏ๐ฏ | ๐๐ข๐๐ข๐ก๐จ๐ง ๐ง๐ฉ-๐ฎ๐ฌ |๐๐ผ๐ฑ๐ผ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ-๐ญ๐ญ๐ฏ
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐๐๐๐๐ผโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐ฝ๐ ๐ป
๐ด๐ด.๐ต ๐๐๐ฅ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐ป | ๐ญ๐ฌ๐ฐ.๐ญ ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ ๐ป | ๐ต๐ฐ.๐ฑ ๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐๐ ๐ป
๐ฝ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐โ:
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ
๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2020 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm
This is my man. He's got a heart of gold. The GOAT!
C'EST VRAI IL A UN BON COEUR.
Even at the top of the game he is still very humble...Africa's Best Art.
Thatโs why I always love Diamond. Heโs always humble regardless of him being a super star. Much love boss ๐ฐ๐ช๐บ๐ธ
I like the wisdom and the heart of this guy
#harmonize is harmonize, and #diamond platinumz is a diamond as always, banger to banger, come on guys be one, you are all Tanzanian, #swahilination to the world
Very mature .... diamond is a role model. He speaks volumes .... watch and listen closely ๐๐
Lil ommy is the best interviewer in town for sure ๐ฅ๐ฅ
Itakuwa ujinga harmonize kurudi wasafi. Sometimes people have to grow and be independent
Very true
Lil ommy king bhn maswali yake konk sana..saluti tambwee ๐คด
Anajua kz yake anamuuliza maswali magumu bila uwoga
We are here after Harmonize interview, YOU ARE HEARTLESS PERIOD!
@@kibindankoi9824 ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Good question and it doesnโt require a response.
That was a great response from Diamond. He got a big heart.
We appreciate his artistic skills.
Vp
This comment is kenya vp can't work here๐
Jmn Shem wenu hakoseag ndio maan lebo ikaitwa waaaasafiiiii
Congrats baba lao simbaaaaaaa๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Dangonte kameweza hali qwake mm mkenya niliko mjini Nairobi nawaomba mnifikishe wasafi hata dakika mitano ntahakikisha miujiza ninazo mmezijua,,mie msanii wa kibongo fleva na. Nmetamani sana ngoma zangu ziwe kwenye label yenu nawaombeni DIAMOND PLATNUMZ producer mlisikie hili ombi siku kadha wa kadha imeishi kuwa ndoto ๐ช๐ช๐๐๐ WAAAAAH SAAAAAH FIIIIIH (WASAFI)
So wise words from diamond
@diamond anaongeaga Sana point ajawai kunikwanza shabiki yake yangu kumjua kwangu sijawai kumwona anamwongelea mtu kwa ubaya mond mungu akubarik Sana time WCB ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅโฅ๏ธโฅ๏ธโฅ๏ธโฅ๏ธโฅ๏ธ
Ni kweli kabisa anapenda sana kujishusha
@@carinadavid8214 ..... . ... .
@@carinadavid8214 kujishusha vipi na ile show off ya kudisplay pesa hadi kikwete alijaribu kumkataza tabia hiyo mbaya aiache lakini wapi ndiyo kwanza anazidi tuu kuonyesha ujinga na ushamba wake
Rich mavoko popote ulipo weka bando
Uione comment yangu hebu rudi WCB
umeshalahisishiwa huku na Boss
๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐คฃ๐คฃ
๐๐๐๐
๐๐๐๐๐ my ribs jmn sihami tz sio kwa raha hizii๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐Dahh
this gentleman is the best redio and tv presenter of our time
Diamond is so humble. May God bless you
DOMO is not humble he is arrogant and worse pretender
@@cheupestefano5424 ๐ค๐ค
Amenn
Sana
Mungu akujalie moyo huwohuwo katika maisha yako
Ndiyo maana mond anaendelea kwa kuwa hapendi majungu wana kwaana wenyewe wanaoishi kwa majungu
Mond kifo kimekukaa mdomoni hufiii mpk miaka elfu mojaaaa
Acahen unafk nyie kwahyo nyimbo zake hua hawapondan na harmonize nyie VIP mbn mnasapot ujinga anashndw kumpenda babake mzazi atapenda MTU baki anaongea unafk tu
666 Wasaniii.
Diamond una akili sana bro ๐น๐๐๐
Very wise response bravo my ๐
Diamond umenena kweli... Tou are a humble man. God bless you.
Waaah,,, simba always positive+
same as konde boy
That's the way it's supposed to be.unity is strength utengano ni udhaifu.
Kifupi waseme watukane wavimbe ila mwenye utimamu wa akili anatambua wewe ndo uliewaamsha wanamuziki wengi kwa kuwatoa uoga na kusogea nje ya nchi hata kama wapo walioanza kuwenda nje ila walienda kimya kimya bila kuitanganza nchi yetu dhambi zako sisi hazituhusu anaejua mungu
A very humble guy. Ure the one in a million of them brother. Thereโs nothing i gain from you but shout out to you
Diamond, Youโre right man thatโs true
Ingekuwa Tibisii wanaweza kuihoji serikali hivi dah ingekuwa so amazing
Nakubali broo majibu masafi Kama lebo yetu
KAMA UNAMKUBALI BIG DIAMOND NIPE LIKE ZANGU JAMANI
Shetani Hilo silipendi
Chibu, simba, nasibu, big baba tifa namkubali sana brooo kwa sababu nafatilia hasoling zake na najua
Simbaaaaaaaaaa,๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Acha ushabiki wa kijingaa
Paka
@@amosjulius6404 mjinga baba ako
Huna akili ww
Pole sanaa Mondi.
Watching from Nairobi
Mm bdo niseme tu,mond kama unavyofanya kwa RAIA wengne ,nivizur mno maana maishani sio lzma uwasaidie ndugu zko tu nomaana naamin hta ww umesaidiwa na watu baki tu.
Lkn wazaz or walezi aisi HSA dingi hta kama wakambo mnunulie hta bodaboda bro.
Noma sana mpe like zake mondi
Mvutano is because DOMO doesnt want any other musician to be on his level or better than him. Look at Congo musicians spring up every day and every night and that's why Congo music will forever shine
Kongo kunamziki gani
czcams.com/video/zqFX_iMsN70/video.html
Kongo kuna mzki? Au umetumia vilev
Big up saaaanaaa my G Lill ommy
Asee brother nakukubali saaaana Yan wew ni noumaa ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
*TAFADHALI KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAKUOMBA ANGALIA VIDEO YA WIMBO WANGU MPYA KWA KUGUSA PICHA YANGU HAPO PEMBENI LAKINI PIA NAOMBA SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YANGU ILI NIWEZE KUMONITIZE CHANNEL YANGU*
Tuma namba kujue
Mungu aliamua kukuweka juu ili uwasaidie wengine lkn binadamu hawana shukrani endelea kuwasaidia utalipwa na mungu
Best prezenter in town lili ommy
Prezenter ni nini!?
@@IamRogerz labda we ndyo unisaidie ndugu yangu me mswaili na kuandika kwa kiswahili siwez ..ebu lekebisha hapo fasta
@@abedichande2497 Amna kitu ajui ata kutangaza mi mwenyewe namzidi sema tu yuko kwa Daimond
@@elvisoscar9912 hahahaha blazaaa acha basiiiii
@@abedichande2497 lete vyombo vyako apa nikupigie voice
Ndugu mtangazaj upo care sana mzaz nakubal ๐๐๐๐๐
Sawa sawa mkuu
Simba halimganishwi na yeyote๐๐๐kabisa hashindani na yeyote๐๐๐๐โฅ๏ธ๐ง๐ฎ
Acha unafki ungekuwa mtu wa upendo ungeshow love kwa baba mlez wew n mnafki wa ndani
Safi sana mondi nimependa kwani ni vijana wachache wenye pesa wanaokumbuka kwamba kuna kufa
Kweli kamukubwa Mungu akupe maisha marefu
Like dat mwamba.......keep dat heart
Lily Ommy Hatariiii sanaaaa
Simba we genius Sanaa unani inspere bro๐
๐๐ nawakubali Sana wasafi
Good Simba nimekukubali Kama nipepo utaingia maana una moyo wa Aina yake kiukwel una moyo was huruma mwenyezi mungu akupe maisha marefu
Hatuoni wasafi TV hku kenya
Unacho kiongea sio unacho kiishi. Hili ndio tatizo la mdomo
kwani ushawahi kuishi nae au... achag usee ww
Simba baba mtoto
Naseeb! Mondi! Chibu! Simba! Dangote! Diamond Platnumz! "Nyange!" ๐ Look, ma man.. Ma buddy.. Ma bro! My "shit (The Best of all Tanzanian Musicians)!" Sifa ya aliye mwema ni kuchukiwa na wabaya huku wakimchekea. Unacho haribu ni kujichosha ukajibu vijembe vya wapumbavu juu yako! Wewe ni msanii mkubwa! Wachana na ujinga huo. Hufananii!
Diamond me nakuelewa sana, ndio maana mungu anazid kukubarik
Upo sahihi kabisa,cjawahi kukuona Mondy uwachukie unaowasaidia hata wanaokuchukia bila sababu cjawahi kukuona ukihamaki kwa hasira kuwajibu.
Binadamu ndvyo walivyo,pole na hongera kwa kuwavumilia
I love you mondi yani ww kiboko
๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Wa kwanza ku comment
The more you help the more you are hated. Binadamu hawana wema. Kadri unavyosaidia ndiyo kwanza unachukiwa. Kumbuka kila kitu unachofanya kizuri unajifanyia mwenyewe. Wenye chuki kama chuki zao za uonevu ni Mungu yule yule mmoja anaona yote. Kwa hiyo binadamu asikutishe bora wewe unayoyafanya ni mazuri kwa watu. Ni Mungu tu atakulipia kwa njia nyingine. Wanaokuombea mabaya yote yatapiga mwamba. Penye ukweli uwongo hujitenga.
God bless
MOND usishndane na panya yoyote achia ngoma kali bhaas!! hao mafala wa insta tuachie sisi ndo tutashindana nao shenz zao kabisa #hawakuwez ww ndo top africa masharik watake wasitake maninaa,,,, #WCB4LYF
Mondi una roho safi kama maziwa....usitutajie maswala ya kufa.we n simba ukifa mbuga utatuachia nani sisi Swara..
Huo moyo utumie kwa babaako โ๏ธ
Kabisaaa
Sure kaka
Point taken๐คญ๐คญamkumbuke babake kwanza
Mnauhakika hamkumbuk au mitandao inawadanganya????
Nakuheshimu Kaka big up Baba NJ
This guy is humble
Nimekuelewa simba mungu akujalie uwe na moyo uwo kilakheri broo
Diamond ๐๐ฏ๐ฏ
Love simbaaaaa
Hiyo kichwa ya mondi kila kukicha inaongezeka akili aseee
Sana brooo anakuwa
Hiyo akili yote munayoiona ni bi Sandra siyo Mondi. Mondi's business is hidden under the zipper
Akili ngani zakukana baba bila haibu hata baba alikukosea ,baba alikuacha ukiwana miaka 15 leo uko na 32 unamkana kwakua freemasone alikupanga sharyti ukisaidia mzee Abdul atashuka kimziki na kimaisha ingine uwenalala na mama yako ndio chazo yakuwanamuima pesa ,ipo siku utafika mwisho wengi wamesjapitia jiaizo na wakafiliska.
@@rosettematenga635 mhhhh, hayo ya ndani siyafahamu, akili ninayoongelea ni namna anavyojibu maswali ya kichochezi ya waandishi, maana hata mzee Abdul, ameshindwa kujibu waandishi kwa busara hiyo, hadi analaani mbele ya camera,
Interviewer uko sawa man
nakupendaa sana upo kwenye blood kabisa ann
Kizazi ommy Sana broo
I like it
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Show
Nice one
Kwangu mi sawa tu๐
WCB Ni lebo kubwa sana hapa Tz na east Africa!!!
Goood
๐ช
Chibuu mungu anakulipa kwa roho yako safi
Majibu sahihi sana Simba๐ฅ๐ฅ
Kweli anco mod uko vzuli ๐ na mungu akujalie by wing
Good bro
mm ndomana naipenda sana wcb
Mtangazaji naye, why do you wear sunglasses kwa studio๐ง๐๐
Eti star
Kwani kuna ubaya gani na huyo aliyevaa koti la winter studio hukumuona?
@@fredylucas2484 eti style ao fashion
@@joezeno8 wanaiga kila upumbavu. Mtu anavaa hood na jua la Dar hili, hawajui hizo hood winter ikikaribia kuisha kuna kuwa na sale kusudi wamalize discount 70%.
@@fredylucas2484 hawajui, wao hawangalii wakatiki wakuvaa hood, ana abari na winter kikubwa avae tuu
Good questions Mr interview
Safi sana mondi
Simba alomzaa tembo like zangu jamani
kama ww ni mtu wa kusamehe Sana Kwa nn usimsamehe mzee Abdul
Aiseee hili swali konki sana mzeee
Sio poa aisee
Kwani alikwambia wanaugomvi
@@swedinjaidi4658 Namimi nilitaka kuuliza hvo hvo
Hilo swali lako halina mashiko
The story book lin
Nakukubali
Pmoja sana
๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ๐ฆ
Simba anatu inspire sana vijana
2Millions wasafi media
Nakubali
100% kbs