DIAMOND : NADHANI NINA WATOTO 6/ MAMA YAKE HATAKI KUNIPA MTOTO WANGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 176

  • @amzish26576
    @amzish26576 Před 3 lety +8

    True nice speech

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 Před 3 lety +5

    Thanx Diamond

  • @addo2149
    @addo2149 Před 3 lety +22

    Zuia watu wasimtukane mzazi mwenzia jenga rispect kwa wazazi wenzio weka mipaka wasitukanwe hovyo wanazalilishwa

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Před 3 lety

      atazuiaje 😂 yaani watu hata akili ya kufikilia huna

    • @addo2149
      @addo2149 Před 3 lety +1

      Husna busara na hekima ni kitu cha thamani sana kwenye Maisha, ukikosa hivyo vitu tambuwa wewe ni mpumbavu. So Almasi anao uwezo mkubwa wa kumzuia lokole asiropoke hayo anayoropoka, so cool

    • @salamakombo3257
      @salamakombo3257 Před 3 lety

      Ngumu ivoo

    • @awezayesu1779
      @awezayesu1779 Před 3 lety

      @@ikouwasi7644 yaani unadhani akimkataza lokole atasubuthu tena?

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 Před 3 lety

      Anaeanzaga Ni juma lokole

  • @Chapesatv
    @Chapesatv Před 3 lety +9

    That's for sure ako nawo ni Exclusive nyingine mabahari like kwake kwa wingi nyange imeshapitwa na wakati weweeeee👍

  • @janezaini6472
    @janezaini6472 Před 3 lety +1

    Well said , be strong

    • @brian7586
      @brian7586 Před 3 lety

      Can u translate please

    • @ceciliambui5972
      @ceciliambui5972 Před 3 lety

      At list Simba umesema coz watu walikuwa wanangoja useme wife wangu nimtu flani,wamekuwa hui wapende Tu wote

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 3 lety +1

    Tumia kondomi ndugu yangu.Kuzaa Na wanawake wengi hatari Na hasa mbeleni kwa wanao.Sasa hivi kwa umri ulionao.Jaribu kutafuta mwanamke ukae nae.Wanawake duniani wapo tena wengi tu na huwezi kuwamaliza.Sisi mashabiki tutakuheshimu zaidi ndugu yetu

    • @sherylachieng4660
      @sherylachieng4660 Před rokem

      Tunakuheshimu sana diamond lakini kuzaa na WA awake wengi ukitengana nap jameni si poa....they feel....a woman needs love care and peace,.... besides he is the one that creates separation....

  • @janemburu4112
    @janemburu4112 Před 3 lety +1

    Love umenepa poa dana ndugu yetu hao watoto wote niwako ,

  • @Agavaddy
    @Agavaddy Před 3 lety

    You have mean good thought bro💪🇹🇿

  • @adamsthedonytv636
    @adamsthedonytv636 Před 3 lety +1

    Watot Ni mtaji broo hongera

  • @marinamooh4055
    @marinamooh4055 Před 3 lety +6

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣wachukuwe wawekee Waah...! Pisi 3 zote hizo ni 🔥Mzee Simba zimekuzalia watoto wazuri MashaAllah

  • @allymahamudu9492
    @allymahamudu9492 Před 3 lety +4

    Why

  • @jerushanyawera4964
    @jerushanyawera4964 Před 3 lety +4

    Bac acha kueka kila ufanyalo on internet🇰🇪

  • @petronillamnyambi7607
    @petronillamnyambi7607 Před 3 lety +2

    Daimond ni vizuri kupenda watoto wako wote wakutanishe wote 6 tunataka tuwaone pamoja ila mimi naona zariri anakufaa daimond ni mwanamke mwenye msimamo sana😍

  • @maryatieno3818
    @maryatieno3818 Před 3 lety +1

    Aki diamond umenena 💞💞 kweli..penda wote

  • @johnjuma3345
    @johnjuma3345 Před 3 lety

    Hongera unanidhamu hujampondea mwanamke yeyote

  • @bibinamay1964
    @bibinamay1964 Před 3 lety +4

    Wakwanza kucomment

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 18 dny

    Kumbe una unaakili sana diamond sikuamini bc hongera

  • @noelaelisha379
    @noelaelisha379 Před 3 lety +1

    Nakupenda Sana dai coz umeongea Jambo la maana sna

  • @rehemamakwendo7743
    @rehemamakwendo7743 Před 3 lety +12

    Kaonqea neno ushamba😂😂😂😂

  • @amaninyoni8672
    @amaninyoni8672 Před 3 lety +6

    Mtoto wa kike siku zote huwa anapendana Sana na dingi

    • @taturajabukhalfani7953
      @taturajabukhalfani7953 Před 3 lety

      Hasa kwakweli mm ninawatoto wawil wa Kwanza wakiume wapili wakike bt huyu wa kike ndio Kila kitu kwa babake!!

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Před 3 lety +4

    Hivyo sivyo mtu Ana défend baby's mama wake ingekua unachukiza hayo kina lokole wanvayotukana ma baby's mama umeonesha Nini? Huwezi furahisha kila mtu diamond wewe unajifanya mjanja but . Mungu anakuona wewe

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 Před 3 lety +3

    Kikulacho kinguoni mwako waazilishi wa kuwatukana hao wazazi mwenza ni chawa na kunguni waliokuganda wakanye na wakuelewe na wengi watakufahamu

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns Před 3 lety

      Nadhani yeye ndo huwa anawatuma la sivyo wasingeweza kufanya hivyo.

  • @salehjuma5242
    @salehjuma5242 Před 3 lety +12

    Yani kuwapiga matukio yote yale bado wanakuletea watoto🤣🤣shkamoo pesa ww mchimba chumvi piga tukio moja tu kama utamuona mtoto wako subutuu utamskia kwenye radio tu

  • @milagrosaabegue5246
    @milagrosaabegue5246 Před 3 lety +1

    Translate in English please

  • @monulphenasibu2883
    @monulphenasibu2883 Před 2 lety

    Cool

  • @victraleblegoodyone7978

    Mpaka wa eldoret...Kenya..umu kumbuke..kasichana ka Kenya..

  • @brian7586
    @brian7586 Před 3 lety

    Can someone translate please

  • @erickjuma1535
    @erickjuma1535 Před 3 lety +6

    Naomba like zenuu

  • @mohemediali1175
    @mohemediali1175 Před 3 lety

    Hongera sana ukisaidia mtu na akutukane usijali ndio ubwa huo bro

  • @kashindikanga1681
    @kashindikanga1681 Před 2 lety

    Good

  • @tiamo726
    @tiamo726 Před 3 lety

    Hmmm zari human ywajiona firstly kimberley wengine wake nawatoto mbele yake...hmmmmm wings zakatwa

  • @charlesgeorge2855
    @charlesgeorge2855 Před 3 lety

    Sasa hiyo title mbona ni tofauti ni kilichomo kwenye video, huu ni ushamba

  • @olidershitawa9822
    @olidershitawa9822 Před 3 lety

    Mumeanza kuweka headlines za uongo na vile naipenda hii chanel

  • @essykenya.4128
    @essykenya.4128 Před 2 lety

    Dini inaruhusu Maxmum of 4 but wako wamezidi anyway your life your choice

  • @elizabethnaih5455
    @elizabethnaih5455 Před 3 lety +2

    Nimezaa na diamond 2013 ila siitaji kujik wz

  • @venture_rafael
    @venture_rafael Před 3 lety +4

    🤣🤣🤣 raha sana aisee

  • @jonathanicrisatijonathanic6708

    Mucheki jiva ana ngoma kali sana

  • @marycianaanthony6385
    @marycianaanthony6385 Před 3 lety

    Kwani mnaishi kwa muogozo wa mitandao ya kijamii????

  • @recholistalmastian6303

    Lazima akunyima maan wew uweleweki

  • @safaasaid7514
    @safaasaid7514 Před 3 lety +2

    Jamani mimi naona mtoto wa Kim nana ndie wa dimond heeeeeee maneno yangu yazingatiwe

  • @chrisssalmon3175
    @chrisssalmon3175 Před 3 lety +3

    Huuuh.. First

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 Před rokem

    Simba acha wote ni wako mapacha wa Burundi ni wako banakufanana sana wote ni wakobaba Tifa hata wa Hamish ni wako Archana na mitandao kitanda hakizai Harajuku kumbuka mapacha ni wako pia

  • @brigithakahise7048
    @brigithakahise7048 Před 3 lety +3

    Tiffa anafanana na. Baba yake

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 Před 2 lety

    Daimdi mama usidanganyike na mzazi Mmoja mzee adulli ni baba yako tu hata kama ni baba yako mkezi lakini kumbuka kunasuku itakua alipitia changamoto yakukulea wewe kubwa mheshimu kama mzazi wako

  • @uwiringiyefabiola8434
    @uwiringiyefabiola8434 Před 3 lety

    Nyiye waongo bana eti kasema anawatoto 6 yaani nyiye

  • @pettyschulte6608
    @pettyschulte6608 Před 3 lety +5

    Play BOY. 😂

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 Před 3 lety +1

    Kweli wanawatesa sana wazazi wenzako

  • @josephinewangwe9064
    @josephinewangwe9064 Před 3 lety

    Mbona hapo D amefanana sana na Mzee Abdul

  • @rahelmasiga1503
    @rahelmasiga1503 Před 3 lety +1

    Wambie hao wake zako wasisikilize Mambo ya watu kutanisha watoto wajuane

  • @wm9669
    @wm9669 Před 3 lety +1

    Hauna watoto. Kisheria ya did hauna
    Watoto ni Wa mama

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Před 3 lety

      umeshasema dini lkn ni watoto wake ingekuwa siyo wake wasingewaleta

    • @charlesalfani5425
      @charlesalfani5425 Před 3 lety

      Basi niwakwako ww ulie na dini mbwa ww

  • @ayyotube5224
    @ayyotube5224 Před 3 lety +6

    Where does this man live why he dress as if he lives in ❄️ county?

    • @etonabintu
      @etonabintu Před 3 lety

      Afrika

    • @ayyotube5224
      @ayyotube5224 Před 3 lety +2

      @@etonabintu i know he live Africa i live in the same country as he live in and it is extremely hot why he wear all these clothes as if he live in North America or Russia 😆 is it fashion?

    • @etonabintu
      @etonabintu Před 3 lety

      @@ayyotube5224 hahahhahahahah that is one think I don't understand about african people the want always kuigiga kila kitu kutokea Europa or Amerika. Kwaiyo wewe ni Mtanzania?

    • @amo9579
      @amo9579 Před 3 lety

      The studio is air conditioned hence very cold

  • @FabianoElihaji
    @FabianoElihaji Před 4 měsíci

    Vp dilan sasa hivi unasemaje

  • @mariaalsaid3690
    @mariaalsaid3690 Před 3 lety +1

    Lakini wewe Nasseb kwanini unampa chance lokole ya kutukaba wa mama za watoto zako? Lazima usikubali mtu kutukana family yako????????

  • @johnjuma3345
    @johnjuma3345 Před 3 lety

    Diamond aende kwa watumishi wa MUNGU jaman mwambie wamsaidie askofu Gwajima,Kakobe,Mwakasege wamsaidie

  • @elinagordon8161
    @elinagordon8161 Před 3 lety

    Hongera Sana Monday ww Ni mwanaume wa shoka ukweli umuweka mtu huru

  • @behindakalenda1144
    @behindakalenda1144 Před 3 lety +1

    😉😉

  • @hashimalhasham3279
    @hashimalhasham3279 Před 3 lety +3

    Kapime DNA wewe ujue kuwa mzazi wako nani.'??
    Kapime DNA wewe ujue kuwa hao ni watt wako??
    Hao wanawake wanafuata pesa baadae watageuka na kusema kuwa wewe sio baba yake

  • @aminamarie2387
    @aminamarie2387 Před 3 lety +1

    OVYOOOO

  • @youngchua697
    @youngchua697 Před 3 lety +2

    nomaaa

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 Před 3 lety

    Hafu zari asema nilani sio baba yake utajisikianje

  • @tonytz3418
    @tonytz3418 Před 3 lety +3

    Wanamkubal 🦁 gonga like hapa

  • @mkazahamisi8508
    @mkazahamisi8508 Před 3 lety

    diamond oa ndugu yangu zinaa sio nzur usihisabu2 watt wa znaa ukumbuke kuna kufa ndugu yangu dunia isituadae hii

  • @mycmeranyswai7957
    @mycmeranyswai7957 Před 3 lety +1

    diamond anamuogopa zari

  • @nyaligwanyamizi8210
    @nyaligwanyamizi8210 Před 3 lety

    Tatizo kuweka your privacy life kwenye social media. Kila kitu. Especially Islam hamna ndoa hata moja hapo. Kwa nn unatangaza.

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Před 3 lety

      Huna mtoto hapo watoto ni wa wanawake coz umezini tu hukuowa

  • @aliarsenal
    @aliarsenal Před 3 lety

    Wanaharamu wato hao. Kama kweli ungeowa ukapata wa halali.

  • @muzneali387
    @muzneali387 Před 3 lety +3

    Na Hamisa usithubutu kumpeleka mwanao kama anamtaka mwambie aje amchukue mwenyewe usijipeleke kabisa

    • @junemuchiri609
      @junemuchiri609 Před 3 lety

      Anawalima wakipeleka watoto mbezi🤣🤣🤣😂

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Před 3 lety +1

    Uyu domo kuna muda simuelewi hata anaongea nini...!!!!

  • @jumaakimana2188
    @jumaakimana2188 Před 3 lety

    Wewe baba jataishirini uazambona unabadlisha kama nguo hatuoni ajabu kwako

  • @shakilaabdallaherio5617
    @shakilaabdallaherio5617 Před 3 lety +1

    Mwambie juma lokole acache kumtukna zar

  • @marryshayo3806
    @marryshayo3806 Před 3 lety

    Lkn baba t msipende kuskiliza mitandao coz binadamu lazima waseme.wewe pamoja na wake zako watoto wako msiskilize ya walimwengu.

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns Před 3 lety

      Kakwambia kaoa acha kummilikisha watoto wa wenzako.!
      Eti wake zako ana mke hata mmoja.!? Hao ni wazazi wenzake ila sio wake zake.

  • @prettycareen170
    @prettycareen170 Před 3 lety

    Huo ndo uanaume💪💪💪

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před 3 lety

    Watoto tuwaonyeshe mapenzi wakiwa wadogo

  • @joharishabani2893
    @joharishabani2893 Před 3 lety

    Kabisa .hamisa . Anaonana nae kila siku

  • @tchale266
    @tchale266 Před 3 lety

    Mengine imekuwa kero sana yote haya utafanyia pia kuhao wanao na pia kumbuka uko na Zaa Watoto Kwa kila moja na mamae na mtoto wako Siku moja wataku oji subiria pigo la allah utajuwa kuwa malipo yote ni hapa chini yajuwa bro sijapenda ulicho kifanya kwenye mitandao 😳😳😳😏😏😏🙈🙈🙈

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 Před 3 lety +1

    Akii si mungekutanisha Dyllan na NJ

  • @francklopeyok7647
    @francklopeyok7647 Před 3 lety

    heheeee ujama anmtaka zuchu

  • @halima23862
    @halima23862 Před 3 lety +5

    Meeleze Juma lokole Acheni kuongea umbea

  • @fatimamowa8166
    @fatimamowa8166 Před 3 lety

    Mwambie juma awache kutukana wazazi wenzio sio vizury

  • @fmbxn7272
    @fmbxn7272 Před 2 lety

    Wotewakonakumakumaainatafauti

  • @THESTARKIDS.0
    @THESTARKIDS.0 Před 3 lety +2

    Why you doing this don't like what you're doing a woman outside you

  • @mycmeranyswai7957
    @mycmeranyswai7957 Před 3 lety

    kuna wale mapacha wawili Burundi mond vip kuhusu wale vipi

  • @victraleblegoodyone7978

    Apana Kuna kasichana kangine Kenya ka yule mwanadada wa Riftyvalley🤸

  • @rindanolenjeka7170
    @rindanolenjeka7170 Před 3 lety

    Lugoba hatupati huduma zenu tunatamani sana fanyeni mipango huduma itufikie

  • @omarymwigula4340
    @omarymwigula4340 Před 3 lety

    Eti mitandao

  • @lunavv2475
    @lunavv2475 Před 3 lety +1

    Kama kweli yakumiza mbona usimkanye lokole. Mitandaoni yaletw na mfanyi kazi wako. Hypocrite

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 Před 3 lety +1

    Mr Nyange bubu .. si kweli unachokiongea hapo.. usitudanganye ungekuwa unaumia wazazi wenzio wanavyotukanwa kwenye mitandao .. kwanza kabisa ungeanza na huyo house girl uliyemuajiri hapo kwenye ofice yako, kumtia adabu au kumkanya 2 asiwatukane wazazi wenzio kidogo tungeyaamini hayo unayoongea lakini hujawahi kufanya hivyo hata siku 1 tutayaamini vp unayoongea kama ni ukweli kutoka moyoni na mfano hujauonyesha ¿¿¿...unavyoendelea kupga kmya inamana unafurahishwa wazazi wenzio wanavyodhalilishwa mitandaoni !!!

  • @adamsthedonytv636
    @adamsthedonytv636 Před 3 lety

    Wasichana watu wamezaa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sadamuhamisi5077
    @sadamuhamisi5077 Před 3 lety

    Shapioni

  • @mrs2918
    @mrs2918 Před 3 lety +8

    halafu atatokea mpumbavu mwingine atajibebesha mimba.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 3 lety +1

    Nacheka kifala 🤣🤣🤣🤣

  • @karthala6676
    @karthala6676 Před 3 lety

    Plz leave Islam out

  • @user-bj4ld1jw4k
    @user-bj4ld1jw4k Před 3 lety

    🤙

  • @zuwenaabrahman9913
    @zuwenaabrahman9913 Před 3 lety

    ww muislam umejisahau damu ya uzinifu ni watoto wako yupi ulio muowa mond uko ovyo

    • @rahmarajab3688
      @rahmarajab3688 Před 3 lety

      Yeye mwenyewe katokana na uzinifu wa mamake,nae wanae wote amechagua watokane na uzinzi,
      Like another like a son,""
      Maji hufuata mkondo

  • @saidemkupa4638
    @saidemkupa4638 Před 3 lety

    W😅😁

  • @ahmadsalmin9931
    @ahmadsalmin9931 Před 3 lety +1

    Mtoto wake mwingine shoga hahahahahahha

  • @frpme2611
    @frpme2611 Před 3 lety

    Naseeb ni baba yake mzee abduli mzee abduli sio bb yake mond itabidi aitwe salum nyangr haipendezi hats wamama wengine visokoro mwiru

  • @fetty1571
    @fetty1571 Před 3 lety

    Kwa matatizo ya ngozi, kupunguza matiti, nyama uzembe, kupunguza matiti, Dawa za uzazi,nguvu za Kiume, n.k
    SMS/whatsap 0693_330284

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před 3 lety

    .

  • @muzneali387
    @muzneali387 Před 3 lety +1

    Huyo ndio Diamond true colour nilisema huyu hampendi MTU wengine wakaniona mbaya UKWELI Diamond anajipenda nafsi yake Tu wala hajali hao aliowazalisha wanahisi vipi TANASHA chukua mwanao Rudi kwenu hapo ni kashfa Tu utaambulia atakupiga matukio mpaka maji utaita MMA kazi yako ilikuwa kuipa promo tumewasha kama Una akili ondoka

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 Před 3 lety +19

    Mwakitombile msenge ww nina watoto fyoko fyoko.