Husna busara na hekima ni kitu cha thamani sana kwenye Maisha, ukikosa hivyo vitu tambuwa wewe ni mpumbavu. So Almasi anao uwezo mkubwa wa kumzuia lokole asiropoke hayo anayoropoka, so cool
Tumia kondomi ndugu yangu.Kuzaa Na wanawake wengi hatari Na hasa mbeleni kwa wanao.Sasa hivi kwa umri ulionao.Jaribu kutafuta mwanamke ukae nae.Wanawake duniani wapo tena wengi tu na huwezi kuwamaliza.Sisi mashabiki tutakuheshimu zaidi ndugu yetu
Tunakuheshimu sana diamond lakini kuzaa na WA awake wengi ukitengana nap jameni si poa....they feel....a woman needs love care and peace,.... besides he is the one that creates separation....
Daimond ni vizuri kupenda watoto wako wote wakutanishe wote 6 tunataka tuwaone pamoja ila mimi naona zariri anakufaa daimond ni mwanamke mwenye msimamo sana😍
Hivyo sivyo mtu Ana défend baby's mama wake ingekua unachukiza hayo kina lokole wanvayotukana ma baby's mama umeonesha Nini? Huwezi furahisha kila mtu diamond wewe unajifanya mjanja but . Mungu anakuona wewe
Yani kuwapiga matukio yote yale bado wanakuletea watoto🤣🤣shkamoo pesa ww mchimba chumvi piga tukio moja tu kama utamuona mtoto wako subutuu utamskia kwenye radio tu
Simba acha wote ni wako mapacha wa Burundi ni wako banakufanana sana wote ni wakobaba Tifa hata wa Hamish ni wako Archana na mitandao kitanda hakizai Harajuku kumbuka mapacha ni wako pia
Daimdi mama usidanganyike na mzazi Mmoja mzee adulli ni baba yako tu hata kama ni baba yako mkezi lakini kumbuka kunasuku itakua alipitia changamoto yakukulea wewe kubwa mheshimu kama mzazi wako
@@etonabintu i know he live Africa i live in the same country as he live in and it is extremely hot why he wear all these clothes as if he live in North America or Russia 😆 is it fashion?
@@ayyotube5224 hahahhahahahah that is one think I don't understand about african people the want always kuigiga kila kitu kutokea Europa or Amerika. Kwaiyo wewe ni Mtanzania?
Kapime DNA wewe ujue kuwa mzazi wako nani.'?? Kapime DNA wewe ujue kuwa hao ni watt wako?? Hao wanawake wanafuata pesa baadae watageuka na kusema kuwa wewe sio baba yake
Mengine imekuwa kero sana yote haya utafanyia pia kuhao wanao na pia kumbuka uko na Zaa Watoto Kwa kila moja na mamae na mtoto wako Siku moja wataku oji subiria pigo la allah utajuwa kuwa malipo yote ni hapa chini yajuwa bro sijapenda ulicho kifanya kwenye mitandao 😳😳😳😏😏😏🙈🙈🙈
Mr Nyange bubu .. si kweli unachokiongea hapo.. usitudanganye ungekuwa unaumia wazazi wenzio wanavyotukanwa kwenye mitandao .. kwanza kabisa ungeanza na huyo house girl uliyemuajiri hapo kwenye ofice yako, kumtia adabu au kumkanya 2 asiwatukane wazazi wenzio kidogo tungeyaamini hayo unayoongea lakini hujawahi kufanya hivyo hata siku 1 tutayaamini vp unayoongea kama ni ukweli kutoka moyoni na mfano hujauonyesha ¿¿¿...unavyoendelea kupga kmya inamana unafurahishwa wazazi wenzio wanavyodhalilishwa mitandaoni !!!
Huyo ndio Diamond true colour nilisema huyu hampendi MTU wengine wakaniona mbaya UKWELI Diamond anajipenda nafsi yake Tu wala hajali hao aliowazalisha wanahisi vipi TANASHA chukua mwanao Rudi kwenu hapo ni kashfa Tu utaambulia atakupiga matukio mpaka maji utaita MMA kazi yako ilikuwa kuipa promo tumewasha kama Una akili ondoka
True nice speech
Thanx Diamond
Zuia watu wasimtukane mzazi mwenzia jenga rispect kwa wazazi wenzio weka mipaka wasitukanwe hovyo wanazalilishwa
atazuiaje 😂 yaani watu hata akili ya kufikilia huna
Husna busara na hekima ni kitu cha thamani sana kwenye Maisha, ukikosa hivyo vitu tambuwa wewe ni mpumbavu. So Almasi anao uwezo mkubwa wa kumzuia lokole asiropoke hayo anayoropoka, so cool
Ngumu ivoo
@@ikouwasi7644 yaani unadhani akimkataza lokole atasubuthu tena?
Anaeanzaga Ni juma lokole
That's for sure ako nawo ni Exclusive nyingine mabahari like kwake kwa wingi nyange imeshapitwa na wakati weweeeee👍
hhh
Well said , be strong
Can u translate please
At list Simba umesema coz watu walikuwa wanangoja useme wife wangu nimtu flani,wamekuwa hui wapende Tu wote
Tumia kondomi ndugu yangu.Kuzaa Na wanawake wengi hatari Na hasa mbeleni kwa wanao.Sasa hivi kwa umri ulionao.Jaribu kutafuta mwanamke ukae nae.Wanawake duniani wapo tena wengi tu na huwezi kuwamaliza.Sisi mashabiki tutakuheshimu zaidi ndugu yetu
Tunakuheshimu sana diamond lakini kuzaa na WA awake wengi ukitengana nap jameni si poa....they feel....a woman needs love care and peace,.... besides he is the one that creates separation....
Love umenepa poa dana ndugu yetu hao watoto wote niwako ,
You have mean good thought bro💪🇹🇿
Watot Ni mtaji broo hongera
🤣🤣🤣🤣🤣🤣wachukuwe wawekee Waah...! Pisi 3 zote hizo ni 🔥Mzee Simba zimekuzalia watoto wazuri MashaAllah
😂😂😂
Momdi.nilikuwanakueshimu.sana.kumbenibonge.lademu.lisilokuwana.msimamo..
Why
Bac acha kueka kila ufanyalo on internet🇰🇪
Daimond ni vizuri kupenda watoto wako wote wakutanishe wote 6 tunataka tuwaone pamoja ila mimi naona zariri anakufaa daimond ni mwanamke mwenye msimamo sana😍
Huwezi kumchagulia diamond mke, eti zari atamfaa, zari yuko na mahusiano yake
Nimekuskia nita mchukua Zari♥️
We umechaguliwa mwanaume
Yule chizi mzee
@@ikouwasi7644 kwani nimemchakulia kilamoja anaropoka tuu funga domolako nyangumi
Aki diamond umenena 💞💞 kweli..penda wote
Hongera unanidhamu hujampondea mwanamke yeyote
Wakwanza kucomment
Kumbe una unaakili sana diamond sikuamini bc hongera
Nakupenda Sana dai coz umeongea Jambo la maana sna
Kaonqea neno ushamba😂😂😂😂
Mtoto wa kike siku zote huwa anapendana Sana na dingi
Hasa kwakweli mm ninawatoto wawil wa Kwanza wakiume wapili wakike bt huyu wa kike ndio Kila kitu kwa babake!!
Hivyo sivyo mtu Ana défend baby's mama wake ingekua unachukiza hayo kina lokole wanvayotukana ma baby's mama umeonesha Nini? Huwezi furahisha kila mtu diamond wewe unajifanya mjanja but . Mungu anakuona wewe
Ila wewe Mungu hakuoni
Kikulacho kinguoni mwako waazilishi wa kuwatukana hao wazazi mwenza ni chawa na kunguni waliokuganda wakanye na wakuelewe na wengi watakufahamu
Nadhani yeye ndo huwa anawatuma la sivyo wasingeweza kufanya hivyo.
Yani kuwapiga matukio yote yale bado wanakuletea watoto🤣🤣shkamoo pesa ww mchimba chumvi piga tukio moja tu kama utamuona mtoto wako subutuu utamskia kwenye radio tu
Q
🤣🤣🤣🤣
@@meymahally8674 haki ya mungu
Translate in English please
Cool
Mpaka wa eldoret...Kenya..umu kumbuke..kasichana ka Kenya..
Can someone translate please
Naomba like zenuu
Za nn
Hongera sana ukisaidia mtu na akutukane usijali ndio ubwa huo bro
Good
Hmmm zari human ywajiona firstly kimberley wengine wake nawatoto mbele yake...hmmmmm wings zakatwa
Sasa hiyo title mbona ni tofauti ni kilichomo kwenye video, huu ni ushamba
Mumeanza kuweka headlines za uongo na vile naipenda hii chanel
Dini inaruhusu Maxmum of 4 but wako wamezidi anyway your life your choice
Nimezaa na diamond 2013 ila siitaji kujik wz
haaaahaahaaaaaa hongera baby riz
🤣🤣
🤣🤣🤣 raha sana aisee
Mucheki jiva ana ngoma kali sana
Kwani mnaishi kwa muogozo wa mitandao ya kijamii????
Lazima akunyima maan wew uweleweki
Jamani mimi naona mtoto wa Kim nana ndie wa dimond heeeeeee maneno yangu yazingatiwe
Huuuh.. First
Simba acha wote ni wako mapacha wa Burundi ni wako banakufanana sana wote ni wakobaba Tifa hata wa Hamish ni wako Archana na mitandao kitanda hakizai Harajuku kumbuka mapacha ni wako pia
Tiffa anafanana na. Baba yake
Daimdi mama usidanganyike na mzazi Mmoja mzee adulli ni baba yako tu hata kama ni baba yako mkezi lakini kumbuka kunasuku itakua alipitia changamoto yakukulea wewe kubwa mheshimu kama mzazi wako
Nyiye waongo bana eti kasema anawatoto 6 yaani nyiye
Play BOY. 😂
Kweli wanawatesa sana wazazi wenzako
Mbona hapo D amefanana sana na Mzee Abdul
Wambie hao wake zako wasisikilize Mambo ya watu kutanisha watoto wajuane
Hauna watoto. Kisheria ya did hauna
Watoto ni Wa mama
umeshasema dini lkn ni watoto wake ingekuwa siyo wake wasingewaleta
Basi niwakwako ww ulie na dini mbwa ww
Where does this man live why he dress as if he lives in ❄️ county?
Afrika
@@etonabintu i know he live Africa i live in the same country as he live in and it is extremely hot why he wear all these clothes as if he live in North America or Russia 😆 is it fashion?
@@ayyotube5224 hahahhahahahah that is one think I don't understand about african people the want always kuigiga kila kitu kutokea Europa or Amerika. Kwaiyo wewe ni Mtanzania?
The studio is air conditioned hence very cold
Vp dilan sasa hivi unasemaje
Lakini wewe Nasseb kwanini unampa chance lokole ya kutukaba wa mama za watoto zako? Lazima usikubali mtu kutukana family yako????????
Diamond aende kwa watumishi wa MUNGU jaman mwambie wamsaidie askofu Gwajima,Kakobe,Mwakasege wamsaidie
Wamsaidie kufanyeje ?
Hongera Sana Monday ww Ni mwanaume wa shoka ukweli umuweka mtu huru
😉😉
Kapime DNA wewe ujue kuwa mzazi wako nani.'??
Kapime DNA wewe ujue kuwa hao ni watt wako??
Hao wanawake wanafuata pesa baadae watageuka na kusema kuwa wewe sio baba yake
OVYOOOO
Sanaa
nomaaa
Hafu zari asema nilani sio baba yake utajisikianje
Wanamkubal 🦁 gonga like hapa
diamond oa ndugu yangu zinaa sio nzur usihisabu2 watt wa znaa ukumbuke kuna kufa ndugu yangu dunia isituadae hii
diamond anamuogopa zari
Tatizo kuweka your privacy life kwenye social media. Kila kitu. Especially Islam hamna ndoa hata moja hapo. Kwa nn unatangaza.
Huna mtoto hapo watoto ni wa wanawake coz umezini tu hukuowa
Wanaharamu wato hao. Kama kweli ungeowa ukapata wa halali.
Na Hamisa usithubutu kumpeleka mwanao kama anamtaka mwambie aje amchukue mwenyewe usijipeleke kabisa
Anawalima wakipeleka watoto mbezi🤣🤣🤣😂
Uyu domo kuna muda simuelewi hata anaongea nini...!!!!
Wewe baba jataishirini uazambona unabadlisha kama nguo hatuoni ajabu kwako
Mwambie juma lokole acache kumtukna zar
Lkn baba t msipende kuskiliza mitandao coz binadamu lazima waseme.wewe pamoja na wake zako watoto wako msiskilize ya walimwengu.
Kakwambia kaoa acha kummilikisha watoto wa wenzako.!
Eti wake zako ana mke hata mmoja.!? Hao ni wazazi wenzake ila sio wake zake.
Huo ndo uanaume💪💪💪
Watoto tuwaonyeshe mapenzi wakiwa wadogo
Kabisa .hamisa . Anaonana nae kila siku
Mengine imekuwa kero sana yote haya utafanyia pia kuhao wanao na pia kumbuka uko na Zaa Watoto Kwa kila moja na mamae na mtoto wako Siku moja wataku oji subiria pigo la allah utajuwa kuwa malipo yote ni hapa chini yajuwa bro sijapenda ulicho kifanya kwenye mitandao 😳😳😳😏😏😏🙈🙈🙈
Akii si mungekutanisha Dyllan na NJ
heheeee ujama anmtaka zuchu
Meeleze Juma lokole Acheni kuongea umbea
Mwambie juma awache kutukana wazazi wenzio sio vizury
Wotewakonakumakumaainatafauti
Why you doing this don't like what you're doing a woman outside you
Ai yamu mzunguzi
kuna wale mapacha wawili Burundi mond vip kuhusu wale vipi
Apana Kuna kasichana kangine Kenya ka yule mwanadada wa Riftyvalley🤸
Waaaaaa.... Una uhakika
Lugoba hatupati huduma zenu tunatamani sana fanyeni mipango huduma itufikie
Eti mitandao
Kama kweli yakumiza mbona usimkanye lokole. Mitandaoni yaletw na mfanyi kazi wako. Hypocrite
Mr Nyange bubu .. si kweli unachokiongea hapo.. usitudanganye ungekuwa unaumia wazazi wenzio wanavyotukanwa kwenye mitandao .. kwanza kabisa ungeanza na huyo house girl uliyemuajiri hapo kwenye ofice yako, kumtia adabu au kumkanya 2 asiwatukane wazazi wenzio kidogo tungeyaamini hayo unayoongea lakini hujawahi kufanya hivyo hata siku 1 tutayaamini vp unayoongea kama ni ukweli kutoka moyoni na mfano hujauonyesha ¿¿¿...unavyoendelea kupga kmya inamana unafurahishwa wazazi wenzio wanavyodhalilishwa mitandaoni !!!
Acha wivu fala mmoja ww
Wasichana watu wamezaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Shapioni
halafu atatokea mpumbavu mwingine atajibebesha mimba.
😂😂
C ndyo
With excuse ya...I don’t care about his past 🤣😂
ehhhh ur so taff
Sijui mizomb haijielw kisa pesa
Nacheka kifala 🤣🤣🤣🤣
Plz leave Islam out
🤙
ww muislam umejisahau damu ya uzinifu ni watoto wako yupi ulio muowa mond uko ovyo
Yeye mwenyewe katokana na uzinifu wa mamake,nae wanae wote amechagua watokane na uzinzi,
Like another like a son,""
Maji hufuata mkondo
W😅😁
Mtoto wake mwingine shoga hahahahahahha
Naseeb ni baba yake mzee abduli mzee abduli sio bb yake mond itabidi aitwe salum nyangr haipendezi hats wamama wengine visokoro mwiru
Kwa matatizo ya ngozi, kupunguza matiti, nyama uzembe, kupunguza matiti, Dawa za uzazi,nguvu za Kiume, n.k
SMS/whatsap 0693_330284
Wewe nn tena umeandika😁
.
Huyo ndio Diamond true colour nilisema huyu hampendi MTU wengine wakaniona mbaya UKWELI Diamond anajipenda nafsi yake Tu wala hajali hao aliowazalisha wanahisi vipi TANASHA chukua mwanao Rudi kwenu hapo ni kashfa Tu utaambulia atakupiga matukio mpaka maji utaita MMA kazi yako ilikuwa kuipa promo tumewasha kama Una akili ondoka
Achen kusaport ujng
Mwakitombile msenge ww nina watoto fyoko fyoko.
We puchu acha matusi, mwakitombile kukutombire?
Tuseme wewe hujawahi kutombwa 😂
uyoo dog anatukana nani
@@ikouwasi7644 C nilitombwa na baba yako jamani au huna taarifa
@@truthnafact9081 hahahahahahaha blazaaa acha basiiiii hahahahahahaha daaah