@@catherinekiwipa9271 ingia ista kwenye account ya juma lokole utaiyona video yake anaelezea yeye mwenyewe ni harusi ya tano au nipe jina lako la ista nikufollow alaf nikutumie iyo video
Mbona kila kitu diamond anafanya lazima mumlete huyo harmonze wenu he doesn't live for harmonz he lives for himself hata akikohoa oooh anataka kuzima harmonica
Mrs Diamond Platznum mwenyewe wa kwanza na wa mwisho ❤hapa hatoki.❤
Thanks for the comment.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Watu. wapenda vigelegele maana kuna watu kutwa waolewa / waoa. Wakiachana .
Thanks for the comment.
Mmh!!!! Hatimae ety Simba atake kuoa makubwa hayoooo
Thanks for the comment.
Yaani Simba amechoka na harusi za dadake mpaka ameamua kuvaa vest.
Thanks for the comment.
😂😂😂😂
Angejuwa anania ya kuowa kashaoa zamani
Hebu dai muowe zuchu uwakate watu midomo😅
Thanks for the comment.
Tunatamani iwe hivyo
Akioa nakunya tena mpaka mwili umemlegea anayonga yonga kama mnazi na kimbunga
Thanks for the comment.
Harusi ya ngapi hiii Esma😅😅😅
2ya Pili
Ya5
Thanks for the comment.
@@princessvai6 hapana ata mi nilikosea Ni ya tatu ya kwanza na pettmana ,yapili Ni ya msizwa na ya tatu Ni hiii
@@catherinekiwipa9271 ingia ista kwenye account ya juma lokole utaiyona video yake anaelezea yeye mwenyewe ni harusi ya tano au nipe jina lako la ista nikufollow alaf nikutumie iyo video
Asma ndugu yetu harusi ya ngapi hii ungeifanya kimya kimya ingekuwa powa my bila sherehe 😂😂😂😂
Thanks for the comment.
😅😅😅😅😅najiuliza pia😅😅😅
Kwani ilikuwa ninini
Ilikua harusi ya dada yake
Eee amuoe zuchu
Thanks for the comment.
Anaweka watu a tension kwake ili kuua nyimbo ya harmonize
Thanks for the comment.
Mbona kila kitu diamond anafanya lazima mumlete huyo harmonze wenu he doesn't live for harmonz he lives for himself hata akikohoa oooh anataka kuzima harmonica
hamna lolote
Thanks for the comment.
Kiki hiyo
Kashaolewa Kiki y nn
😂😂😂😂 mko wajanja sana kwa nini pesa munamapatia mama muzazi kwa nini musimpatie anaeolewa Esima apati pesa ya mondi inaenda kwa mama yake 😂😂😂😂
Thanks for the comment.
Kiki zime kwisha😂😂😂
Thanks for the comment.
Sasa kuna kiki gani hapo
Mama yake Esma yuko wapi mbona hatumuoni
Thanks for the comment.
Siyo mamake Diamond ?