DIAMOND : MZEE ABDUL SIO BABA YANGU/ UKWELI WOTE KUHUSU FAMILIA YA NYANGE NINAO

Sdรญlet
Vloลพit
  • ฤas pล™idรกn 27. 01. 2021
  • ๐•Ž๐”ธ๐•‹โ„‚โ„ ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐”ธ๐”ฝ๐•€ ๐•‹๐• ๐Ÿ“บ
    ๐—”๐—ญ๐—”๐— -๐Ÿฐ๐Ÿญ๐Ÿญ | ๐——๐—ฆ๐—ง๐—ฉ ๐Ÿฎ๐Ÿต๐Ÿฒ | ๐—ญ๐—จ๐—ž๐—จ-๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿด
    ๐—ฆ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—ง๐—œ๐— ๐—˜๐—ฆ-๐Ÿฐ๐Ÿฐ๐Ÿฐ & ๐Ÿฏ๐Ÿฏ๐Ÿฏ | ๐—–๐—ข๐—–๐—ข๐—ก๐—จ๐—ง ๐—ง๐—ฉ-๐Ÿฎ๐Ÿฌ |๐——๐—ผ๐—ฑ๐—ผ๐—บ๐—ฎ๐—–๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฒ-๐Ÿญ๐Ÿญ๐Ÿฏ
    ๐‘ฐ๐‘ต๐‘บ๐‘ป๐‘จ๐‘ฎ๐‘น๐‘จ๐‘ด: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐‘ป๐‘พ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ป๐‘ฌ๐‘น: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜๐˜„๐—ถ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐‘ญ๐‘จ๐‘ช๐‘ฌ๐‘ฉ๐‘ถ๐‘ถ๐‘ฒ: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ณ๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฏ๐—ผ๐—ผ๐—ธ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐•ƒ๐•€๐•Š๐•‹๐”ผโ„• ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐”ธ๐”ฝ๐•€ ๐”ฝ๐•„ ๐Ÿ“ป
    ๐Ÿด๐Ÿด.๐Ÿต ๐——๐—”๐—ฅ ๐—˜๐—ฆ ๐—ฆ๐—”๐—Ÿ๐—”๐—”๐—  ๐Ÿ“ป | ๐Ÿญ๐Ÿฌ๐Ÿฐ.๐Ÿญ ๐——๐—ข๐——๐—ข๐— ๐—” ๐Ÿ“ป | ๐Ÿต๐Ÿฐ.๐Ÿฑ ๐—”๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐Ÿ“ป
    ๐”ฝ๐•†๐•ƒ๐•ƒ๐•†๐•Ž ๐•Œ๐•Š ๐•†โ„•:
    ๐‘ฐ๐‘ต๐‘บ๐‘ป๐‘จ๐‘ฎ๐‘น๐‘จ๐‘ด: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ/
    ๐‘ป๐‘พ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ป๐‘ฌ๐‘น: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜๐˜„๐—ถ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ/
    ๐‘ญ๐‘จ๐‘ช๐‘ฌ๐‘ฉ๐‘ถ๐‘ถ๐‘ฒ: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ณ๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฏ๐—ผ๐—ผ๐—ธ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ
    ๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2020 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’….
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zรกbava

Komentรกล™e • 1,3K

  • @millicentnyaboke5415
    @millicentnyaboke5415 Pล™ed 3 lety +64

    Money ๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅthe mother confused his son totally....God is watching

  • @nabilbinjuma3280
    @nabilbinjuma3280 Pล™ed 3 lety +11

    Diamond kumbuka ya kwamba kuna mungu broo una mzalilisha mzee wa watu kisa utajiri wa duniani Sina cha kuongezea ila elewa ya kwamba mungu anakuona ๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 Pล™ed 3 lety +2

    Sinior Nazeeb,kiukweli zidi kupenda mzee abdul Kama baba yako tu,cz atabaki baba yako wa kufikia.Bado sawa pia zidi kumpa chochote anachokiitaji hata akidai ubadilishe jina na kutolitumia kwani hii ni safari ya papa hapa duniani tu.Mungu awe nawe kila siku na kwa kila hatua utakayo pitia๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘โค๏ธ๐ŸŒž๐Ÿ™๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช.

  • @chikotosammy3891
    @chikotosammy3891 Pล™ed 3 lety +60

    "What goes around comes around"
    Tenda wema uende zako, Hakuna mtu mwenye anaweza lipa Fadhila

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 Pล™ed 3 lety +38

    Njia za waongo zinakuaga fupiii Sana'a,,,wakumbuke lkn

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 Pล™ed 3 lety +34

    Kuishi kwingi kuona mengi nakusikia mengi. Haya Allah atupe mwisho mwema..

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 Pล™ed 3 lety +1

    Kwa maelezo yako dogo hata Kama ambaye hajasomea sheria akikusikiliza tu anajua wazi Abdul ni baba yako lakini humpendi sababu yeye hakukupenda utotoni,naomba umshukuru mungu Sana,naamini Kama mzee Abdul angekupenda unavyotaka wewe huenda kwa Sasa usingekua hivyo kimaisha,sababu ungebweteka)amini Ni mungu pekee alieyejua maisha yako na siyo mzee abdul.huenda mzee Abdul alitumiwa na mungu ili akuchukie ili upate hakili ya kupambana.bora ungekaa kimya kabisaaa mdogo wangu Kama zamani kwa maneno hayo ukweli umekosa mvuto kabisa kwa mashabiki zako.tegemea soko lako kushuka kimziki.

  • @mamumiyaskitchenvlogs5858
    @mamumiyaskitchenvlogs5858 Pล™ed 3 lety +26

    Wale maskini unao wasaidia kamwe hawawezi fanana na fadhla za mzee Abdul lkn Mungu ndie muamuzi Haki ya mtu haizami yaolea,Na Mungu ni azeezun hakeem

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Pล™ed 3 lety

      Eleweni basi nyie kwamba mond alitengwa na mzee abduly kitambo na ukweli sku zote haufchk

    • @daxmedia9115
      @daxmedia9115 Pล™ed 3 lety

      @@gosbertmuta5421 Yah nilizani ninaejua hilo ni peke yangu I dont know watu wana akili gani

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 Pล™ed 3 lety

      @@gosbertmuta5421 lakini maelezo yake yanaonyesha aliyewatenganisha ni mama ake hivyo mama ake ndo Ana hatia

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 Pล™ed 3 lety

      Mama umetoa laana kama umepewa mamlaka ya kuhukumu vile au kama wewe ni msafi vile kweli dunia hii ina mambo

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Pล™ed 3 lety

      Pole yako maana haujui ulisemalo

  • @chingychingy2066
    @chingychingy2066 Pล™ed 3 lety +6

    ila mond unaikumbuka nyimbo yako ya binadamu wabaya kuna kipande uliimba kwamba (upendo popote kwa baba yangu japo alinikataa) iyo ilikua mwaka 2011 sasa cjajua apo aliekukataa ni mzee nyange au mzee abdul....mana nimejaribu kuchambua apa baadhi ya matukio ya nyuma na sasa naona bado kuna kuna vitu havijakaasawa...nakukubali sana ila leo umeniangusha kabisaaa sana

  • @andreakulisha5144
    @andreakulisha5144 Pล™ed 3 lety +25

    Platnumz sikulaum kk, wazaz huwa na siri nzito sana but mkumbuke Mzee Abdul ktk mafanikio yako.
    Mzee Abdul usimsahau

    • @abdallahsalum4788
      @abdallahsalum4788 Pล™ed 3 lety +2

      Unamkumbukaj bab alokuw hakujal nandug wanakunyanyapaa

    • @kibayakibaya7776
      @kibayakibaya7776 Pล™ed 3 lety +2

      Amini mzee tangu anaanza game anajiita naseeb abdul

    • @awatifsaid3913
      @awatifsaid3913 Pล™ed 3 lety +1

      Kwel umeogea point sana kaka

    • @allisonmadii7620
      @allisonmadii7620 Pล™ed 3 lety

      Nataka hivo usemavo mzee.

    • @lucyhussein7126
      @lucyhussein7126 Pล™ed 3 lety

      Ila inauma kama mtu hajakujal chochote hakakusomesha umehangaaika mwenyewe anakufukuza fukuza ukiwa mdogo unajikomba lakin hakupend aende zake hakuna chalaana naasibu wakiache bahn

  • @amoswankara3863
    @amoswankara3863 Pล™ed 3 lety +71

    hapo mlaumu mamako ambae alikuchanganyia mafaili

    • @jacquesmoninga9245
      @jacquesmoninga9245 Pล™ed 3 lety +2

      MAMA yake alikuwa Mbwa malaya ๐Ÿคฃ

    • @sakinahkenia9426
      @sakinahkenia9426 Pล™ed 3 lety +4

      Ww muongo mama yako ameshakulisha kumbe ulimjuwa babako muda na ni kwann uliendelea kutumia ubini wa abduli mamayako andaa majibu ya kumjibu allah ww ni mtt wa haramu na ni kwann mamayako alimsingizia mimba mzee Abdul lipa fadhila pumzi zisikudanganye

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 Pล™ed 3 lety

      @@sakinahkenia9426 si sawa kumuita mtoto wa haramu maana nae kazaliwa tu uharamu wamefanya wazazi wake na wa kumlaumu ni mama yake kwa kutokumwambia ukweli maana mwenywe anasema miez 4 ilopita ndo kaongea na mama ake kuhusu baba ake ila uliposema akupe Fashola ni sawa kabisa hata kama c baba yake lakin bdo katumia jina lake

    • @depaolo3461
      @depaolo3461 Pล™ed 3 lety +1

      @@ummuhkhalfan5542 hakuna cha miez 4 wala nn Hawa wanajua wanachokifanya pumbavuuuu Hawa wanatupotezea mda

    • @dasilvajunior3016
      @dasilvajunior3016 Pล™ed 3 lety

      ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

  • @sirlugikonteminyanda3702
    @sirlugikonteminyanda3702 Pล™ed 3 lety +17

    We muongo usingeimba colabo ya kigoma all stars

  • @ramadyzo5587
    @ramadyzo5587 Pล™ed 3 lety +4

    Ewe mama yangu mzazi nakuombea kwamwenyez mungu usinibadilishie baba nkaja nkapa zambi hata kama kuna silizako jinsi ulivo ulivo vumilia kuanzia mimba yangu hadi Leo najielewa huyo ninae mtambua awe baba huyohuyo

  • @ummali7942
    @ummali7942 Pล™ed 3 lety +11

    Diamond anaeleza stry kama movie mjinga sanaa huyu

  • @debiesalma5311
    @debiesalma5311 Pล™ed 3 lety +7

    Nani mwingine anasoma tu comments

  • @irenemoraa8818
    @irenemoraa8818 Pล™ed 3 lety +6

    Hapo sawa modi kwa kuweka wazi big up diamond nyange

  • @revocatusrubaba4416
    @revocatusrubaba4416 Pล™ed 3 lety +28

    Umejieleza saana uhakika ni DNA

  • @vickydarling7922
    @vickydarling7922 Pล™ed 3 lety +18

    ata mimi najua babangu lakini namtambua babangu mlezi jamani mpe mzee abdul heshima yake

  • @jontezdiamond670
    @jontezdiamond670 Pล™ed 2 lety +1

    Diamond platnumz still number one wapende wasipende #Inama100 million views.

  • @mauthamani
    @mauthamani Pล™ed 3 lety +11

    Hapo diamond una kengeuka, czan kama ni vzuri kumuongelea baba mlezi katika vyombo vya habari kama hivi na kila siku kua mada. Una mambo mengi ya kufanya na ukimya ni jibu tosha kabisa(kufanya hivyo ni kama kuchoresha familia) na ukifatilia vizuri hakuna mtu alielewa vzuri kama yai au kupendwa sana na walezi, misukosuko lazima uipate tu. Mpe respect yake

  • @mudybandie2166
    @mudybandie2166 Pล™ed 3 lety +3

    Mtoto na mama lenu 1 apo umezingu broo usingeongelea Hilo.......๐Ÿ˜š๐Ÿ˜š๐Ÿ˜š

  • @philipojmwaipopo949
    @philipojmwaipopo949 Pล™ed 3 lety +7

    Uchokoraa tuu mungu atawalipa ninyi kwa haya mnayomfanyia mzee Abdul

  • @buja6350
    @buja6350 Pล™ed 3 lety +11

    Bro wew Allah mwenyewe ndiye atakuhukumu

  • @maryberege3093
    @maryberege3093 Pล™ed 2 lety +1

    Ila diamond unafanana sana na mzee Abdul shauri yako

  • @rodgermusa6845
    @rodgermusa6845 Pล™ed 3 lety +33

    Mwisho wa siku wote tutakufa tu mnachomfanyia mzee abduli siyo vzur

  • @kelvintajiri8982
    @kelvintajiri8982 Pล™ed 3 lety +86

    Kwa kweli pesa mbaya๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข

    • @prosperkullaya4529
      @prosperkullaya4529 Pล™ed 3 lety +7

      Masharti sio yeye

    • @kisansamoshi4363
      @kisansamoshi4363 Pล™ed 3 lety +3

      Nothing to say brother, just do you

    • @rehemamakwendo7743
      @rehemamakwendo7743 Pล™ed 3 lety

      @@prosperkullaya4529 nilikuwa naiyafuta hiiii

    • @desiremigezo1816
      @desiremigezo1816 Pล™ed 3 lety +5

      Surprisingly no journalist asked Diamond if he's ready or willing to take a DNA PATERNITY TEST. WASAFI journalists don't forget the basics of journalism. Don't lick your boss ass

    • @kimwerionlinetv5574
      @kimwerionlinetv5574 Pล™ed 3 lety

      @@prosperkullaya4529 sahihi sana

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Pล™ed 3 lety +7

    Back sound is too much big....!
    Mtangazaji unaogopa kumuuliza maswali ya muhimu na ya msingi boss wako, ukumbuke hili jambo ni kubwa sana amefanyiwa mzee Abdul sasa interview km hii ni muhimu sana ili mashabiki wa Diamond(nikiwemo mm) na watanzania kwa ujumla tufahamu ili tujiridhishe na huu udhalimu.kwa mf; Je, kwa nn Mzee Nyange (Bubu)hakumlea Diamond? Lkn pili, km mzee Abdul sio baba yake mzazi, Je,ni kwa nn ulipewa ubini wake!? Yn Nasibu Abdul na sio Nasibu Nyange(Bubu). Lkn pia ni kwa nn mama yako alikuficha kuhs mzee Abdul sio baba yako mzazi tangu zamani, sasa hivi ndio anaweka wazi tena public!

  • @judithkaishe9091
    @judithkaishe9091 Pล™ed 3 lety +8

    MUNGU Atakuchapa mdogoangu.. ๐Ÿ™๐Ÿฝ๐Ÿ™๐Ÿฝ๐Ÿ™๐Ÿฝ

    • @deborajonathan6182
      @deborajonathan6182 Pล™ed 3 lety

      Eti kumpa baba ako ela hadi uwambiwe na mama ako kweli jmn ๐Ÿ˜ญ mondi hauko sawa kwa hilo

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Pล™ed 3 lety

      @@deborajonathan6182 half anajion mjanj kuongea hivy public

  • @cutenaa6984
    @cutenaa6984 Pล™ed 3 lety +17

    Mtume (saw) kasema "Mtoto ni wa mama na Mzinifu lake ni jiwe" kwahio wote sio baba zake....mama yake hajaolewa.

  • @masala8099
    @masala8099 Pล™ed 3 lety +18

    Mwandawazimu diamond akili hana hata kidogo choko huyu

    • @ambrosiamlinga8402
      @ambrosiamlinga8402 Pล™ed 3 lety

      You have so much hate in your heart

    • @elishakalengo6368
      @elishakalengo6368 Pล™ed 3 lety

      Jamaa anauchukia ukweli hahaha Sasa mwenye familia yake kasema Ivo

    • @fatmadarweesh4754
      @fatmadarweesh4754 Pล™ed 3 lety +1

      Ukitaka kumjuwa mtu muongo mtizame mdomo wake na macho yake Yani apo Modi kaongopa Kira kitu tena kinaonekana Nandio maana arikataa siku ire arivyo urizwa swari na waandishi arijuwa maswari yake asinge yaweza kujibu ss Reo eti kaja apo Ofsini kwake akijuwa akuna atae mtandika maswari akutane na waandishi wa abari aone kama ajalimbia maswari msenge sana uyo

  • @73chengosaro4
    @73chengosaro4 Pล™ed 3 lety +6

    NYANGE ALIKUWA WAPIMAMAKO AKIENDA KWA MZEE ABDUL ??----Kilichompeleka mamako kwa mzee abdul ni nini ???-------- mpaka mda wote ukisoma hadi kumaliza hadi ukubwani uktumia jinalamzee Abdil -- Nyange alikwa wapi??-------------- wewe namamako mumemdhulu huyu
    mzee sana

    • @felisteredward6319
      @felisteredward6319 Pล™ed 3 lety

      Ndio maana akaitwa Nasib Abdul

    • @samxx411
      @samxx411 Pล™ed 3 lety

      Ndo maana huyu diamond na mambo yk km uhuni uhuni tu

  • @mtumwajuma4607
    @mtumwajuma4607 Pล™ed 3 lety +12

    Kuanzia leo sikusupport tn mbwa ww nimehamia konde gang na team kiba

    • @yazidu_tz
      @yazidu_tz Pล™ed 3 lety +1

      @@yusuphiddy4109 sasa kwani kakutukana wewe mbona kama akili yako haina akili

    • @wasalimie11
      @wasalimie11 Pล™ed 3 lety

      weweni nugu mbwamwitu kondoo mzee wivu ndio itawamaliza mpumbavu sana nyongo nyekundu shm

    • @abrahmanbalozi9064
      @abrahmanbalozi9064 Pล™ed 3 lety

      @@yazidu_tz kwa nn amtukane diamond akihama yy wasafi habari ya mjini

    • @mtumwajuma4607
      @mtumwajuma4607 Pล™ed 3 lety +1

      @@wasalimie11 acha kumsupport mtu asielewa anachokiongea DNA ndio sollution yak lkn ckumkana

    • @jasmineshechambo3401
      @jasmineshechambo3401 Pล™ed 3 lety

      @@yusuphiddy4109 huu mchezo hautaki hasira

  • @pauljohn3500
    @pauljohn3500 Pล™ed 3 lety +42

    Wew hakuna k2 niupuuz2

  • @jerushanyawera4964
    @jerushanyawera4964 Pล™ed 3 lety +11

    ๐ŸคAki sina lakusema,ila Sooner very soon Sir God will answer๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช

    • @waenikasanzu2546
      @waenikasanzu2546 Pล™ed 3 lety +1

      Asikize wimbo wa Richie spice "the world is a circle"

  • @ally1702
    @ally1702 Pล™ed 3 lety

    Wakati mamaako hakuelewa na yoyote katika hao Hakuna babaako ata mmoja apo ata kinasab huwezi chukua upande wao kikwetu zanazibar ungeitwa nasibu Abdallah ata ao kina tifa na wenziwe sio wanao wakati hukuoa huwezi kuozesha wala kurithiana nao ingekuwa na mkristo sijui sheria zao zinasemaje lakini kiislamu ipo ivo tuacheni zinaa Jamani na hii ndo miongoni mwa athar zake Allah atujaalie mwisho mwema

  • @user-jf7dn4st2s
    @user-jf7dn4st2s Pล™ed 8 mฤ›sรญci

    Ukweli nikwamba haounaojua ninduguzako kumbuka wamekupokea kwasababu unakipato, ingekuwa huna kipa wasinge kupokea mana wangeisi utaisabiwa kwenyemali za mzee wao, ungeonekana kama takataka, pole sana rud kwamzeeabduli ndio mshauri wako uyoo

  • @graceamadi2141
    @graceamadi2141 Pล™ed 3 lety +15

    Nasasa kama huo wakati ulikuwa na ukaribu mzee Abdul mbona usishukuru Mungu kwa ule muda alikulea? Msaidie kimatibabu na Mungu atakubariki zaidi

  • @elishakalengo6368
    @elishakalengo6368 Pล™ed 3 lety +40

    Tuliopitia maisha ya wazaz kutengana ndio tunaojua haya mambo

    • @gabriellamabele9138
      @gabriellamabele9138 Pล™ed 3 lety +1

      Kabsaaa inauma sana

    • @gladnesskombe1288
      @gladnesskombe1288 Pล™ed 3 lety +2

      Kiukweli diamond amepitia mengi ndio maaana anajua kuishi na walimwengu

    • @jumannekhalifa7761
      @jumannekhalifa7761 Pล™ed 3 lety +2

      Msijazane ujinga nyie kwani kupitia maisha ya kutengana ndo usitambue mzazi?

    • @hidayakasambwa3713
      @hidayakasambwa3713 Pล™ed 3 lety +2

      @@jumannekhalifa7761 Anayejua ukweli huwa ni mama.

    • @jumannekhalifa7761
      @jumannekhalifa7761 Pล™ed 3 lety +2

      @@hidayakasambwa3713 mama nae akiwa mgawaji inawezakua ikamchanganya kutambua nani mwenye uhakika!

  • @azizaakaposa6167
    @azizaakaposa6167 Pล™ed 3 lety

    tatizoo wanaumee naoo wanajisaau kwenye malezii ya watoto waoo ikitokeaa mmeachanaa basii mama unakuwaa single mama unaleaa mtoto mwenyewee ikitokeaa umepata baba wa andia anamlea mtoto wakoo vizurii na mtoto anapataa mapenzii yotee ya baba mtoto anajua yule ndo baba yakee mbele ukoo mungu akimjalia kapataa heraa maarufuu tajirii mungu kamubarikii baba ake mzazi ndo anakurupukaa ukoo anapotokaa ndo anasemaa huyuu mwananguu mudaa wotee ulikuwaa wapii kwa sababu tuu unatumiaa jina lakee

  • @allymsuya4596
    @allymsuya4596 Pล™ed 3 lety +10

    Namshukuru Mungu kwakupata wazazi wanaojielewa tumezaliwa watoto kumi lakini wote wa baba mmoja

    • @phanuelmtango504
      @phanuelmtango504 Pล™ed 3 lety +2

      Unajuaje kama na ww una baba yako?

    • @omarmasuke2768
      @omarmasuke2768 Pล™ed 3 lety +1

      @@phanuelmtango504 mtoto wa ndani ya ndoa hawezi kuwa na baba mwingne zaidi ya yule baba yake wa ndoa, hata ikitokea mama akatoka nje ya ndoa na mtoto akazaliwa mfanano wa yule aliechepuka nae, mtoto atabaki kuwa wa yule baba wa ndoa, ndio maana kuna msemo wa kitanda hakizai haramu.

    • @ahmadjuma7420
      @ahmadjuma7420 Pล™ed 2 lety

      @@omarmasuke2768 umemjibu vzr sna

  • @homchanel6934
    @homchanel6934 Pล™ed 3 lety +37

    We hujui chochote unaambiwa nakufata utapotea

    • @yunyun799
      @yunyun799 Pล™ed 3 lety

      ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

    • @mwakirudena1645
      @mwakirudena1645 Pล™ed 3 lety +1

      Sis enye tulpitia maisha kama diamond ndo tu naelewa vile anasema,,,,

    • @iansavage95
      @iansavage95 Pล™ed 3 lety +1

      @@mwakirudena1645 kweli wengine hawa ni kelele tu

    • @benedofilipe7064
      @benedofilipe7064 Pล™ed 3 lety +1

      Mshenzi sana wewe mpuuzi aujielewi ndondocha

    • @pereraabdi8096
      @pereraabdi8096 Pล™ed 3 lety

      a

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Pล™ed 3 lety +50

    Diamond na mama ako machoko sana kumbukeni fadhila za mzee abdul

    • @valeriaally4770
      @valeriaally4770 Pล™ed 3 lety +8

      We ndo unaijua familia yake sana kuliko yeye au? Mtakufa mapema na roho mbaya. Roho mbaya inapunguza siku za kuishi

    • @msendabakarially3499
      @msendabakarially3499 Pล™ed 3 lety +5

      So sawa kuzungumzia family ya watu kana kwamba unaijua vyema kuwazid...watachosema sklza nyamaza...au we ndo mamake mdogo???!!!...

    • @moodychanday9220
      @moodychanday9220 Pล™ed 3 lety +4

      Asa ww unazijua hizo fadhila za Mzee Abdul kuma la Mama yako

    • @pascalmsuyajr.7980
      @pascalmsuyajr.7980 Pล™ed 3 lety

      @@moodychanday9220 duuh

    • @msendabakarially3499
      @msendabakarially3499 Pล™ed 3 lety

      @@moodychanday9220 unazjua wewe shoga ake...ndo maana mnafirwa nowadays so kila kitu unazungumzia...ya familia yao yaache...

  • @yl_sports_af1994
    @yl_sports_af1994 Pล™ed 3 lety

    Diamond peponi moja kwa moja

  • @bogyboypiechez6240
    @bogyboypiechez6240 Pล™ed 3 lety +1

    Tuned in Nairobi kenya

  • @justingeorge8276
    @justingeorge8276 Pล™ed 3 lety +4

    Hahahaaaaaaaaaa mchele umemnyima mtoto mzee abdul
    Hiy nd nguv ya ubwabwa mm diamond bhn

  • @kesslycompanyltd
    @kesslycompanyltd Pล™ed 3 lety +3

    Nilikuwa na kuona kama mtu shezi wee ๐Ÿ™Œ pumbavu kweli

    • @rahmaally5419
      @rahmaally5419 Pล™ed 3 lety

      Mamaake alikuwa mdangaji Mara kila mwanaume anajitokeza yule wamwanza wanafanana Sana na mond

    • @shambiraghasi2777
      @shambiraghasi2777 Pล™ed 3 lety

      Pumbavu wewe mwenyewe.yako yanakushinda ya d utayaweza kweli

  • @fraviagaspary6559
    @fraviagaspary6559 Pล™ed 3 lety

    Pole sana Diamond

  • @irenekerubo9791
    @irenekerubo9791 Pล™ed 3 lety

    Baba mzazi na baba mlezi wote waeshimiwe

  • @naseershiner6738
    @naseershiner6738 Pล™ed 3 lety +5

    Mnajua ninyi huwa mnaa kaa mna hukumu ovyoo tu wakati hata Abdul mwenyewe ukimsikiliza tu tayali anawenge na ndo alie anzia hata kumkana hata kwa mitandaoo kuwa Mimi diamond simhesabu Kama mwanagu harafu Leo mnamuona diamond mpumbafu na huku Abdul hakumuweka karibu diamond tangu yupo chali acheni Mimi sipendagi upendeleo mwenyewe haya yapo tunaishi nayo

    • @benji3196
      @benji3196 Pล™ed 3 lety +4

      Sasa huyo Nyange aliye talekeza mimba ndiye anayeonekana ali tenda wema sana?Aliye leya mimba pamoja na mtoto akaoneka hafai kupewa eshima yake kama baba.

    • @halimasalum9701
      @halimasalum9701 Pล™ed 3 lety +2

      Kweli kaka tusiangalie upande mmoja

    • @amourkhamis8259
      @amourkhamis8259 Pล™ed 3 lety +1

      Ni kweli unayoyasema na hapa tumepewa funzo tujifunze.usibague mtoto.wanaume tabia hizo mnazo Sana

    • @naseershiner6738
      @naseershiner6738 Pล™ed 3 lety +1

      Unafikili alicho kisema diamond labda kakosea hapana ni mtazamo tu Mara nyingi ukikuta mtu aliye na uwezo frani Kama kuna mtoto yuko nae harafu mimba labda haihesabu Kama yake ni vigumu saana kumjali mtoto sasa Mara nyingi watoto wa hivyo huwa Wanakuja kufanikiwa balaaa inabaki majuto ni mjukuu hamjui maisha akiyokuwa anayaishi Nasibu pengine ungekuwa wewe wala usingekoloma ila ni Siri za family piah mama zetu wanapitia magumu Sana kutukuza sisi naongea hivi Mimi piah melelewa na mama Yangu baba was left longtime from two thousand up now I live with mom even though mom Geted marriage and I have a daddy we are not litle friend like the Lily Dady so make sure you show love for Evey body you live with you don't know the next seasons thank for reading

  • @wreshamodido2417
    @wreshamodido2417 Pล™ed 2 lety +4

    This is the best thing I love about SIMBA๐Ÿ’ชโค๏ธ

  • @rukiamwinyi2415
    @rukiamwinyi2415 Pล™ed 3 lety

    Sawa dunia mduwara..my friend..kumbuka uko na watoto....utalipwa hapa tu..

  • @cassimoa9217
    @cassimoa9217 Pล™ed 3 lety

    Shortly, Diamond, haukutakiwa kuongelea Family Affairs ktk social media, ungekuwa quit kwa hili. Kiislam hao wote hakuna baba yako, unabaki kwa mama yako. Kibinadam msaidie mzee Abdul kwa vile aliipokea mimba na alikulea kwa maelezo ya mama yako. Ulikuwa mtoto inawezekana kuna mengi haukuyajua. Muombe radhi mzee Abdul maisha yaendelee.

  • @priscaphedrick2396
    @priscaphedrick2396 Pล™ed 2 lety +4

    Diamond ni mtoto wa mzee Abdul mama daimond amefanya mambo ambayo wanawake wengi hufanya japo si woote tabia ya kuwanyima wanaume haki za kuwa karibu na watoto hasa pale wanapo kosana hakutaka kumpa nyange wa la Abdul sasa ameona nyange kafa ndio anampa moto nakama mzee nyange angekuwrpo mtoto angebakia wa mzee Abdul nakama mzee Abdul ndiye angekuwa marehemu natolea mfano halafu mzee nyange angesema daimond ni mwanae angeambiwa moto ni wamzee wa Abduli halafu na wewe diamond kwani unasaidia wangapi? msaidie huyo mzee kwafadhila zile zile alizo kufadhili kama hutaki kumuita baba basi kumbuka fadhila zake mlipo toka na huyo mzee nyie mnajua

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Pล™ed 3 lety +6

    Mwachieni tuu laana ya mzee wetu ishamvaa huyu

    • @chikundayaula9684
      @chikundayaula9684 Pล™ed 3 lety

      We unasema km sio mwnamke?hujui mama pekee ndo anajua mtoto wa nan?

  • @salehjuma5242
    @salehjuma5242 Pล™ed 2 lety

    Pua ya mzee abdul iyo imeinama wamama mnatia sumu watoto mpaka noma

  • @upendourio2847
    @upendourio2847 Pล™ed 3 lety +1

    Mueshim tu kama alikulea mpaka miaka 11 alikusaidia sana maisha yaende mama alikosa wakulea mimba akaamua kumpakazia hivyo huna budi kumlaum baba wakambo hawezi kuana mapenz yakina ila alikulea ata tumboni kwa mama yako sisi wanawake huwa tunasahau mazuri tunakumbuka maovu,, sasa uko unakojipeleka mbona nao hawakukule pili waume wa mama yako waeshim wote ni baba zako wamekulea kwa namna fulani

  • @isikesamike
    @isikesamike Pล™ed 3 lety +40

    If I would be Diamond, I would keep my mouth shut about this scenario. Why you waited to say this until you're well-of?
    Pesa mwanaharamu kabisa! ๐Ÿ˜ญ

  • @kivuyohalalmeatsupply9215
    @kivuyohalalmeatsupply9215 Pล™ed 3 lety +22

    Wewe hela za dawa alafu uzingua

    • @philimonmgina997
      @philimonmgina997 Pล™ed 3 lety +2

      Na wewe katafute za dawa ,,, roho ya kimaskini hiyo

  • @ashamuhammed3685
    @ashamuhammed3685 Pล™ed 3 lety +1

    Mond ingekuwa mzee abduli ana mapesa ingekuwa baba yako

  • @joycelulu8743
    @joycelulu8743 Pล™ed 2 lety

    Pole sana mond kwa yote yaliyo kupata juu ya baba yako mzee Abdul kwa kukufukuza

  • @mwasilemboanthony3771
    @mwasilemboanthony3771 Pล™ed 3 lety +18

    By the way Mungu ndiye anajua. Halafu it's not a matter of speaks high like, easy easy

    • @hassanandnabil7243
      @hassanandnabil7243 Pล™ed 3 lety

      You kid shut up and talk something else. Stop create myth story. We are not fool or stupid,, you should feel shame to yourself.. Do you real think, this is previledge of you try to humiliated some one who has been there from the day of your mum pregnancy of you... You are disgrace.

  • @btsanime6138
    @btsanime6138 Pล™ed 3 lety +5

    Kumbe pesa iko hivo mpaka mtoto anamkana aliemulea tangu utotoni ?Diamond kwa kitendo alichokifanya mamaako kwa mzee Abdul Mungu atamuadhibu as soon as possible.

  • @nurumohammed1133
    @nurumohammed1133 Pล™ed 3 lety

    Poooleee weee subhana llah mungu tupe mwisho mwema na watoto wetu

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto4721 Pล™ed 2 lety

    Mzazi huku na huku ndio unamjua daaaah dogo unazingua sana

  • @livvn6697
    @livvn6697 Pล™ed 3 lety +4

    You can make a difference with your kid's and let them know who there father was growing up

  • @kzonetz9048
    @kzonetz9048 Pล™ed 3 lety +23

    Ili nililijua toka kitambo diamond lazima afate akili ya mama yake ndo maana imekuwa shida ata kuishi na wanawake

  • @zulfahamiduni5312
    @zulfahamiduni5312 Pล™ed 3 lety

    Sijui ni kiki sijui ni madrama au mauzauza ipo kazi hapo haya bhana Diamond nyange

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 Pล™ed 3 lety +1

    Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake, Sio kila jambo lizungumzwe katika mitandao, Mama Nasibu na Mwanao Kiukweli Mmechemka, mkae mliangalie/mlifikirie Hilo, Na Mwenyezi Mungu Atawabariki, Aamina.

  • @miumanchannel197
    @miumanchannel197 Pล™ed 3 lety +7

    Ama kweli dunia ina mambo,hivi skuizi mtoto ndiye anae chagua babake kweli pesa.....

  • @danielsamson1013
    @danielsamson1013 Pล™ed 3 lety +22

    Sasa jina la naseeb abdul unalitumiaga la nn sasa ๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ

    • @bwanabrainex433
      @bwanabrainex433 Pล™ed 3 lety

      AsantโœŒ๏ธโœŒ๏ธโœŒ๏ธโœŒ๏ธ

    • @prosperkullaya4529
      @prosperkullaya4529 Pล™ed 3 lety

      Lol!

    • @danielsamson1013
      @danielsamson1013 Pล™ed 3 lety +2

      @@prosperkullaya4529 toka zaman anajiita naseeb abdul leo anatuambia ujinga ujinga apa

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 Pล™ed 3 lety

      Si ma kenge tu hawa. Kila siku wana mapya

    • @williammkenda3062
      @williammkenda3062 Pล™ed 3 lety

      Eeeee jina walitumia la nini wakati ulijua sio Baba???? Acha kudanganya watu wazima bwana, ulilofanya sio sawa

  • @papynakashinga9970
    @papynakashinga9970 Pล™ed 3 lety +1

    Uyo diamond umbwa kweli

  • @bricksentertainment460
    @bricksentertainment460 Pล™ed 3 lety +1

    Nimeguswa sana yani , alivo eleza Diamond .Nilishawahi kumsikizia tena mzee Abdul maelezo yake and I think Mzee Abdul anatatizo Fulani ambalo Kwa Udadisi wangu Diamond haelewi yani, Ningeomba tu yani hawa wote wakae kikao na wa solve hii issue yani dunia tunapita tu .

  • @davidsonstevenson2653
    @davidsonstevenson2653 Pล™ed 3 lety +4

    hata mzee abdul mwenyew anajua km mondi sio mwanae

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 Pล™ed 3 lety +11

    Duh yangu macho tuu ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช

  • @ibrahimdavid1088
    @ibrahimdavid1088 Pล™ed 3 lety

    Nilikuona upo kimya nikajuwa umekuwa na busara but umeongea umeingia kweny raana kubwa kesho utafanana na mwingine mama atasema ndugu zako utakubali God atakuelekeza

  • @ZanLeisureTours
    @ZanLeisureTours Pล™ed 3 lety

    Hapa ndio tulipofikia waislamu
    Mtu anakaa na kufurahia eti yeye ni mtoto wa zinaa
    Duh Allah atunusuru
    Me Naomba tufute mahali tumjuwe na kumtaka msamaha mwenyezi mungu na sio kujisifia kama wewe ni mtoto wa zinaa na kujisifia kwa kuzaa watoto wa zinaa
    Allah atuelimishe na atuongeze kwenye njia iliyonyooka na atusamehe makosa yetu๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

  • @Wennsleymusic
    @Wennsleymusic Pล™ed 3 lety +3

    Rekado anasema mlikuwa mnaishi from 4years wewe hapa unasema miaka 10... Confused element

  • @ndikumanasebastian8531
    @ndikumanasebastian8531 Pล™ed 3 lety +4

    Unachekesha sana kabisa na huyo umaarufu yoteeee kumbe hakili huna kabisa ,dishangai hata nyimbo zako xinaachilia moja kwa moja kwamba huna maadhili na hakili bcz hakili yako kashikiliwa na mama yako,Narendra kufuta nyimbo ,zako zote zenye ziko ndani ya simu yangu.

  • @nuurinkluge3263
    @nuurinkluge3263 Pล™ed 3 lety +1

    No no diamond he speak the true things ๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ’–๐Ÿ™

  • @swalehmwamazola7100
    @swalehmwamazola7100 Pล™ed 3 lety

    Mjuae baba mtoto mama sisi wa baba twalea . Kesho kwa mungu c mbali

  • @hajmohammed7399
    @hajmohammed7399 Pล™ed 3 lety +15

    Diamond ww muhongo kwanza wala aujui kujielezea ktk hilo maana unajitafunatafuna2

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie Pล™ed 3 lety +21

    ""2010 sijui,,,, 2000 "" hapa ninahis kuna jambo hapa.๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 Pล™ed 3 lety

    Chibu Dangote..unafanana Sana na mzee Abdul

  • @frdausmwawughanga9047
    @frdausmwawughanga9047 Pล™ed 3 lety

    Lakin ungemsaidia Tu kiukweli mumemdhalikisha mze wawatu by mkumbuke malipo nihapa dunia were mtoto wskslam unasahau fadhila pesa zina mwisho Una nini chakumlipa mze hata kama alitoa shilingi moja mambo yake na mamako usingeyaingilia were ungemsaidia ukijua Tu nimzazi kama vile mamako bt Mimi sina pesa nitasema nitamsadia mze bt dua zangu Inshallah Nina Imanmumemfungulia baraka Yani atabarkiwa mpka mshangae Inshallah Inshallah

  • @reginaedward4883
    @reginaedward4883 Pล™ed 3 lety +26

    Stay to know whats goes around comes around, don't forget mzee Abdul

    • @Beingme2024
      @Beingme2024 Pล™ed 3 lety +3

      Ana that what comes to mzee Abdul when he has money he dint care the little did he know diamond will be successful

    • @yassinm69
      @yassinm69 Pล™ed 3 lety +2

      @@Beingme2024 na huyo babake mbona kamkimbia

    • @gobar5118
      @gobar5118 Pล™ed 3 lety

      @@Beingme2024 1โ€‹89โ€‹Madam

    • @depaolo3461
      @depaolo3461 Pล™ed 3 lety

      @@Beingme2024 even if why he decided to use abdul's if so...

    • @rehemakitara9978
      @rehemakitara9978 Pล™ed 5 mฤ›sรญci

      @@depaolo3461Alishaanza kutumia hilo jina akiwa mdogo yy ana kosa gani!!!! Acheni chuki zenu mbn mzee alikuwa na uwezo na akamtelekeza!!! Wacha avune alichopanda hyo Mzee Abdul ๐Ÿ˜ข

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Pล™ed 3 lety +18

    Sasa kama alikuwa hai kakupa mchele na miambili kwann hukumwambia mxee Abdul mapema ndomana mlikuwa mkimnyanyasaa ilakumbuka aliejuu mgoje chini

  • @aishahaji3128
    @aishahaji3128 Pล™ed 3 lety +2

    Sikia Mondi mdogo wng km ww kweli Muislamu hauna baba hapo huwarithi wala hao unasema ni wanao hauna mtt hawakirithi jua hilo kuna kufa tu

  • @estherdaudi9853
    @estherdaudi9853 Pล™ed 3 lety

    Mbona unafanana na mzee Abdul

  • @saidibrahim5931
    @saidibrahim5931 Pล™ed 3 lety +3

    Hakuna mtu anafanana na diamond kuliko saleh abdul, wacha ricardo mombo, uyo kijana saleh abdul ni sura ya diamond 100% ukweli usemwe

  • @hamissaid788
    @hamissaid788 Pล™ed 3 lety +9

    ua nakukubali xna lkn apo nimekuona bonge la msenge kbx bola ungekaa kmya

    • @fatmandege9768
      @fatmandege9768 Pล™ed 3 lety

      Alikiba ndio star โญ wa bongo

    • @athumanialy9085
      @athumanialy9085 Pล™ed 3 lety +1

      Hahahaha ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wejamaa. Umenivunja mbavu harafu kweli buana. Niheri angekaa kimyatu maana Wanajizalilisha Yeye na Mamayake akilizinafanana

    • @mariamgodfrey53
      @mariamgodfrey53 Pล™ed 3 lety

      ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

  • @alee4252
    @alee4252 Pล™ed 3 lety +1

    HIZO NI 'CELEBRITY STORIES' MSIBABAISHWE๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž

  • @moseslango5932
    @moseslango5932 Pล™ed 3 lety

    Dah jamaa hajielewi sana.....pesa sio kitu bro.... Kumbuka hayo ni maisha tu

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 Pล™ed 3 lety +11

    Kwaio Mondi mluguru wa moroo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

  • @zalkiabendera7238
    @zalkiabendera7238 Pล™ed 3 lety +7

    Maelezo tako hayako sawa unarudiarudia maneno jmn ila hebu kuwa nakili yakiutuzima

  • @mussamsella5801
    @mussamsella5801 Pล™ed 3 lety +1

    Kiukweri haya mambo yasikie tuu ila ukifatilia single mama utaelewa sana haya mambo.
    Kiukweri naamini kwa namna moja ama nyingine inamuumiza sana Diamond but no way out

  • @ahmedadan1915
    @ahmedadan1915 Pล™ed 3 lety

    Safi sana diamond ww ni mungwana sana

  • @nabilbinjuma3280
    @nabilbinjuma3280 Pล™ed 3 lety +11

    Diamond iyo kauli unayo iongea ni ya uongo kama ulikuwa unajuwa mzee Abdul sio baba ako kwanini kila kitu umesajili kwa jina lake na kwanini usimueke mzee nyange kama baba ako kuwa na akili kaka na kaa ukijuwa nini unaenda kumjibu Allah pesa isikupe kiburi broo kaa na kufikiria kaka mm ni mdogo wako kiumri ila unavyo fanya sivo broo

    • @ototek8037
      @ototek8037 Pล™ed 3 lety

      Mtoto akiambiwa na mama yake Kuwa wewe sio babaake hilo ni tatizo .. Mchawi ni mama yake

    • @fatmafaki6163
      @fatmafaki6163 Pล™ed 3 lety

      @@ototek8037 Huyo diamond si mtoto tena, akili zake na za mamake zinalingana. Hii si familia ya kuikumbatia.

  • @nuurinkluge3263
    @nuurinkluge3263 Pล™ed 3 lety +10

    Mzee abudul his your father...

    • @nelsongodfrey9952
      @nelsongodfrey9952 Pล™ed 3 lety

      Sasa mnamlazimisha hawe baba yake jamani. Basi awazae nyie

    • @felisteredward6319
      @felisteredward6319 Pล™ed 3 lety

      @@nelsongodfrey9952 hata Mimi nawashangaa, mama ndo kasema mijitu inalazimisha...

  • @nickokihongole5841
    @nickokihongole5841 Pล™ed 3 lety

    Hee makubwa Diamond Mungu anakuona

  • @aisharevelian6933
    @aisharevelian6933 Pล™ed 3 lety +1

    Diamond your too brave my brother...ipo cku wataelewa2