DIAMOND : MZEE ABDUL SIO BABA YANGU/ UKWELI WOTE KUHUSU FAMILIA YA NYANGE NINAO
Vloลพit
- ฤas pลidรกn 27. 01. 2021
- ๐๐ธ๐โโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐๐ ๐บ
๐๐ญ๐๐ -๐ฐ๐ญ๐ญ | ๐๐ฆ๐ง๐ฉ ๐ฎ๐ต๐ฒ | ๐ญ๐จ๐๐จ-๐ฌ๐ฎ๐ด
๐ฆ๐ง๐๐ฅ๐ง๐๐ ๐๐ฆ-๐ฐ๐ฐ๐ฐ & ๐ฏ๐ฏ๐ฏ | ๐๐ข๐๐ข๐ก๐จ๐ง ๐ง๐ฉ-๐ฎ๐ฌ |๐๐ผ๐ฑ๐ผ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ-๐ญ๐ญ๐ฏ
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐๐๐๐๐ผโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐ฝ๐ ๐ป
๐ด๐ด.๐ต ๐๐๐ฅ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐ป | ๐ญ๐ฌ๐ฐ.๐ญ ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ ๐ป | ๐ต๐ฐ.๐ฑ ๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐๐ ๐ป
๐ฝ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐โ:
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ
๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2020 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zรกbava
Money ๐ค๐ค๐ฅ๐ฅthe mother confused his son totally....God is watching
Her son
Diamond kumbuka ya kwamba kuna mungu broo una mzalilisha mzee wa watu kisa utajiri wa duniani Sina cha kuongezea ila elewa ya kwamba mungu anakuona ๐ข๐ข๐ข
Ila wanafanana pia
Mama yako dangote malaya Sana inapashwa ufae ADN tu
Sinior Nazeeb,kiukweli zidi kupenda mzee abdul Kama baba yako tu,cz atabaki baba yako wa kufikia.Bado sawa pia zidi kumpa chochote anachokiitaji hata akidai ubadilishe jina na kutolitumia kwani hii ni safari ya papa hapa duniani tu.Mungu awe nawe kila siku na kwa kila hatua utakayo pitia๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐๐๐โค๏ธ๐๐๐ฐ๐ช.
"What goes around comes around"
Tenda wema uende zako, Hakuna mtu mwenye anaweza lipa Fadhila
Kweli kabisaa
Saana tu kaka
Njia za waongo zinakuaga fupiii Sana'a,,,wakumbuke lkn
Kuishi kwingi kuona mengi nakusikia mengi. Haya Allah atupe mwisho mwema..
Ameen
Huyu salum siyo baba yake
Kwa maelezo yako dogo hata Kama ambaye hajasomea sheria akikusikiliza tu anajua wazi Abdul ni baba yako lakini humpendi sababu yeye hakukupenda utotoni,naomba umshukuru mungu Sana,naamini Kama mzee Abdul angekupenda unavyotaka wewe huenda kwa Sasa usingekua hivyo kimaisha,sababu ungebweteka)amini Ni mungu pekee alieyejua maisha yako na siyo mzee abdul.huenda mzee Abdul alitumiwa na mungu ili akuchukie ili upate hakili ya kupambana.bora ungekaa kimya kabisaaa mdogo wangu Kama zamani kwa maneno hayo ukweli umekosa mvuto kabisa kwa mashabiki zako.tegemea soko lako kushuka kimziki.
Wale maskini unao wasaidia kamwe hawawezi fanana na fadhla za mzee Abdul lkn Mungu ndie muamuzi Haki ya mtu haizami yaolea,Na Mungu ni azeezun hakeem
Eleweni basi nyie kwamba mond alitengwa na mzee abduly kitambo na ukweli sku zote haufchk
@@gosbertmuta5421 Yah nilizani ninaejua hilo ni peke yangu I dont know watu wana akili gani
@@gosbertmuta5421 lakini maelezo yake yanaonyesha aliyewatenganisha ni mama ake hivyo mama ake ndo Ana hatia
Mama umetoa laana kama umepewa mamlaka ya kuhukumu vile au kama wewe ni msafi vile kweli dunia hii ina mambo
Pole yako maana haujui ulisemalo
ila mond unaikumbuka nyimbo yako ya binadamu wabaya kuna kipande uliimba kwamba (upendo popote kwa baba yangu japo alinikataa) iyo ilikua mwaka 2011 sasa cjajua apo aliekukataa ni mzee nyange au mzee abdul....mana nimejaribu kuchambua apa baadhi ya matukio ya nyuma na sasa naona bado kuna kuna vitu havijakaasawa...nakukubali sana ila leo umeniangusha kabisaaa sana
Baba yake mwingine kabisa baba yake anaitwa lazalo malyeto
Platnumz sikulaum kk, wazaz huwa na siri nzito sana but mkumbuke Mzee Abdul ktk mafanikio yako.
Mzee Abdul usimsahau
Unamkumbukaj bab alokuw hakujal nandug wanakunyanyapaa
Amini mzee tangu anaanza game anajiita naseeb abdul
Kwel umeogea point sana kaka
Nataka hivo usemavo mzee.
Ila inauma kama mtu hajakujal chochote hakakusomesha umehangaaika mwenyewe anakufukuza fukuza ukiwa mdogo unajikomba lakin hakupend aende zake hakuna chalaana naasibu wakiache bahn
hapo mlaumu mamako ambae alikuchanganyia mafaili
MAMA yake alikuwa Mbwa malaya ๐คฃ
Ww muongo mama yako ameshakulisha kumbe ulimjuwa babako muda na ni kwann uliendelea kutumia ubini wa abduli mamayako andaa majibu ya kumjibu allah ww ni mtt wa haramu na ni kwann mamayako alimsingizia mimba mzee Abdul lipa fadhila pumzi zisikudanganye
@@sakinahkenia9426 si sawa kumuita mtoto wa haramu maana nae kazaliwa tu uharamu wamefanya wazazi wake na wa kumlaumu ni mama yake kwa kutokumwambia ukweli maana mwenywe anasema miez 4 ilopita ndo kaongea na mama ake kuhusu baba ake ila uliposema akupe Fashola ni sawa kabisa hata kama c baba yake lakin bdo katumia jina lake
@@ummuhkhalfan5542 hakuna cha miez 4 wala nn Hawa wanajua wanachokifanya pumbavuuuu Hawa wanatupotezea mda
๐๐๐๐
We muongo usingeimba colabo ya kigoma all stars
Ili lijamaa nichiz kwer
Limbukeni huyu anatimiza masharti ya utajiri huyuu
Ewe mama yangu mzazi nakuombea kwamwenyez mungu usinibadilishie baba nkaja nkapa zambi hata kama kuna silizako jinsi ulivo ulivo vumilia kuanzia mimba yangu hadi Leo najielewa huyo ninae mtambua awe baba huyohuyo
Diamond anaeleza stry kama movie mjinga sanaa huyu
Si mjing Bali mpumbavu sana huyu
Sureee mpuuz Sana huyu kjana
Wajinga, wapuuzi ni nyinyi hapo kuingilia yasiyo yahusu
lisenge tu na maliponi hapa hapa
Nani mwingine anasoma tu comments
Hapo sawa modi kwa kuweka wazi big up diamond nyange
Umejieleza saana uhakika ni DNA
ata mimi najua babangu lakini namtambua babangu mlezi jamani mpe mzee abdul heshima yake
Mm pia
Sure
Diamond platnumz still number one wapende wasipende #Inama100 million views.
Hapo diamond una kengeuka, czan kama ni vzuri kumuongelea baba mlezi katika vyombo vya habari kama hivi na kila siku kua mada. Una mambo mengi ya kufanya na ukimya ni jibu tosha kabisa(kufanya hivyo ni kama kuchoresha familia) na ukifatilia vizuri hakuna mtu alielewa vzuri kama yai au kupendwa sana na walezi, misukosuko lazima uipate tu. Mpe respect yake
Tumemaliza
Diamond ni Mara ya kwanza kuongea hivi lkn huyo mnayemwita baba kashaongea Mara ngap kila media
Msenge huuyu
Mtoto na mama lenu 1 apo umezingu broo usingeongelea Hilo.......๐๐๐
Uchokoraa tuu mungu atawalipa ninyi kwa haya mnayomfanyia mzee Abdul
Bro wew Allah mwenyewe ndiye atakuhukumu
Naww atakukum nani shetani ww
WW ni mbwa anavojieleza kuwa Abdul alikuwa anamtenga usikii au
Ila diamond unafanana sana na mzee Abdul shauri yako
Mwisho wa siku wote tutakufa tu mnachomfanyia mzee abduli siyo vzur
Mbona wapuuzia hayo mabaya ya mzee abdhul
@@frederic9631 Ila kwa kwl kaka wangeacha tu cz ni kudhalilisha mzee yule
Kweli kabisa
@@khadijasulleyman3804 Umeonaeee
Wamesahau kuna time alikua mzuri
Kwa kweli pesa mbaya๐ข๐ข๐ข๐ข
Masharti sio yeye
Nothing to say brother, just do you
@@prosperkullaya4529 nilikuwa naiyafuta hiiii
Surprisingly no journalist asked Diamond if he's ready or willing to take a DNA PATERNITY TEST. WASAFI journalists don't forget the basics of journalism. Don't lick your boss ass
@@prosperkullaya4529 sahihi sana
Back sound is too much big....!
Mtangazaji unaogopa kumuuliza maswali ya muhimu na ya msingi boss wako, ukumbuke hili jambo ni kubwa sana amefanyiwa mzee Abdul sasa interview km hii ni muhimu sana ili mashabiki wa Diamond(nikiwemo mm) na watanzania kwa ujumla tufahamu ili tujiridhishe na huu udhalimu.kwa mf; Je, kwa nn Mzee Nyange (Bubu)hakumlea Diamond? Lkn pili, km mzee Abdul sio baba yake mzazi, Je,ni kwa nn ulipewa ubini wake!? Yn Nasibu Abdul na sio Nasibu Nyange(Bubu). Lkn pia ni kwa nn mama yako alikuficha kuhs mzee Abdul sio baba yako mzazi tangu zamani, sasa hivi ndio anaweka wazi tena public!
MUNGU Atakuchapa mdogoangu.. ๐๐ฝ๐๐ฝ๐๐ฝ
Eti kumpa baba ako ela hadi uwambiwe na mama ako kweli jmn ๐ญ mondi hauko sawa kwa hilo
@@deborajonathan6182 half anajion mjanj kuongea hivy public
Mtume (saw) kasema "Mtoto ni wa mama na Mzinifu lake ni jiwe" kwahio wote sio baba zake....mama yake hajaolewa.
Unamaanisha nasibu ni mtoto wa zinaa
@@KhalidAli-xx4vk ndio
Kwa stry inavokwend ni mtt wa nje ya ndoa
Duuh
Kwaio ni mtoto wa tendo la kharam
Mwandawazimu diamond akili hana hata kidogo choko huyu
You have so much hate in your heart
Jamaa anauchukia ukweli hahaha Sasa mwenye familia yake kasema Ivo
Ukitaka kumjuwa mtu muongo mtizame mdomo wake na macho yake Yani apo Modi kaongopa Kira kitu tena kinaonekana Nandio maana arikataa siku ire arivyo urizwa swari na waandishi arijuwa maswari yake asinge yaweza kujibu ss Reo eti kaja apo Ofsini kwake akijuwa akuna atae mtandika maswari akutane na waandishi wa abari aone kama ajalimbia maswari msenge sana uyo
NYANGE ALIKUWA WAPIMAMAKO AKIENDA KWA MZEE ABDUL ??----Kilichompeleka mamako kwa mzee abdul ni nini ???-------- mpaka mda wote ukisoma hadi kumaliza hadi ukubwani uktumia jinalamzee Abdil -- Nyange alikwa wapi??-------------- wewe namamako mumemdhulu huyu
mzee sana
Ndio maana akaitwa Nasib Abdul
Ndo maana huyu diamond na mambo yk km uhuni uhuni tu
Kuanzia leo sikusupport tn mbwa ww nimehamia konde gang na team kiba
@@yusuphiddy4109 sasa kwani kakutukana wewe mbona kama akili yako haina akili
weweni nugu mbwamwitu kondoo mzee wivu ndio itawamaliza mpumbavu sana nyongo nyekundu shm
@@yazidu_tz kwa nn amtukane diamond akihama yy wasafi habari ya mjini
@@wasalimie11 acha kumsupport mtu asielewa anachokiongea DNA ndio sollution yak lkn ckumkana
@@yusuphiddy4109 huu mchezo hautaki hasira
Wew hakuna k2 niupuuz2
MOND ni fala
Kichwan punga zimejaa
๐คAki sina lakusema,ila Sooner very soon Sir God will answer๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช
Asikize wimbo wa Richie spice "the world is a circle"
Wakati mamaako hakuelewa na yoyote katika hao Hakuna babaako ata mmoja apo ata kinasab huwezi chukua upande wao kikwetu zanazibar ungeitwa nasibu Abdallah ata ao kina tifa na wenziwe sio wanao wakati hukuoa huwezi kuozesha wala kurithiana nao ingekuwa na mkristo sijui sheria zao zinasemaje lakini kiislamu ipo ivo tuacheni zinaa Jamani na hii ndo miongoni mwa athar zake Allah atujaalie mwisho mwema
Ukweli nikwamba haounaojua ninduguzako kumbuka wamekupokea kwasababu unakipato, ingekuwa huna kipa wasinge kupokea mana wangeisi utaisabiwa kwenyemali za mzee wao, ungeonekana kama takataka, pole sana rud kwamzeeabduli ndio mshauri wako uyoo
Nasasa kama huo wakati ulikuwa na ukaribu mzee Abdul mbona usishukuru Mungu kwa ule muda alikulea? Msaidie kimatibabu na Mungu atakubariki zaidi
Matibabu kwan mzee abduli anaumwa???
Mungu yupo naaa akosei
@@ramadhanirama6636 yeah mzee abdul ana matatizo ya miguu
mzee alipewa milioni 5
Mzee abdul nae miyayusho kmmk
Tuliopitia maisha ya wazaz kutengana ndio tunaojua haya mambo
Kabsaaa inauma sana
Kiukweli diamond amepitia mengi ndio maaana anajua kuishi na walimwengu
Msijazane ujinga nyie kwani kupitia maisha ya kutengana ndo usitambue mzazi?
@@jumannekhalifa7761 Anayejua ukweli huwa ni mama.
@@hidayakasambwa3713 mama nae akiwa mgawaji inawezakua ikamchanganya kutambua nani mwenye uhakika!
tatizoo wanaumee naoo wanajisaau kwenye malezii ya watoto waoo ikitokeaa mmeachanaa basii mama unakuwaa single mama unaleaa mtoto mwenyewee ikitokeaa umepata baba wa andia anamlea mtoto wakoo vizurii na mtoto anapataa mapenzii yotee ya baba mtoto anajua yule ndo baba yakee mbele ukoo mungu akimjalia kapataa heraa maarufuu tajirii mungu kamubarikii baba ake mzazi ndo anakurupukaa ukoo anapotokaa ndo anasemaa huyuu mwananguu mudaa wotee ulikuwaa wapii kwa sababu tuu unatumiaa jina lakee
Namshukuru Mungu kwakupata wazazi wanaojielewa tumezaliwa watoto kumi lakini wote wa baba mmoja
Unajuaje kama na ww una baba yako?
@@phanuelmtango504 mtoto wa ndani ya ndoa hawezi kuwa na baba mwingne zaidi ya yule baba yake wa ndoa, hata ikitokea mama akatoka nje ya ndoa na mtoto akazaliwa mfanano wa yule aliechepuka nae, mtoto atabaki kuwa wa yule baba wa ndoa, ndio maana kuna msemo wa kitanda hakizai haramu.
@@omarmasuke2768 umemjibu vzr sna
We hujui chochote unaambiwa nakufata utapotea
๐ญ๐ญ๐ญ
Sis enye tulpitia maisha kama diamond ndo tu naelewa vile anasema,,,,
@@mwakirudena1645 kweli wengine hawa ni kelele tu
Mshenzi sana wewe mpuuzi aujielewi ndondocha
a
Diamond na mama ako machoko sana kumbukeni fadhila za mzee abdul
We ndo unaijua familia yake sana kuliko yeye au? Mtakufa mapema na roho mbaya. Roho mbaya inapunguza siku za kuishi
So sawa kuzungumzia family ya watu kana kwamba unaijua vyema kuwazid...watachosema sklza nyamaza...au we ndo mamake mdogo???!!!...
Asa ww unazijua hizo fadhila za Mzee Abdul kuma la Mama yako
@@moodychanday9220 duuh
@@moodychanday9220 unazjua wewe shoga ake...ndo maana mnafirwa nowadays so kila kitu unazungumzia...ya familia yao yaache...
Diamond peponi moja kwa moja
Tuned in Nairobi kenya
Hahahaaaaaaaaaa mchele umemnyima mtoto mzee abdul
Hiy nd nguv ya ubwabwa mm diamond bhn
Nilikuwa na kuona kama mtu shezi wee ๐ pumbavu kweli
Mamaake alikuwa mdangaji Mara kila mwanaume anajitokeza yule wamwanza wanafanana Sana na mond
Pumbavu wewe mwenyewe.yako yanakushinda ya d utayaweza kweli
Pole sana Diamond
Baba mzazi na baba mlezi wote waeshimiwe
Mnajua ninyi huwa mnaa kaa mna hukumu ovyoo tu wakati hata Abdul mwenyewe ukimsikiliza tu tayali anawenge na ndo alie anzia hata kumkana hata kwa mitandaoo kuwa Mimi diamond simhesabu Kama mwanagu harafu Leo mnamuona diamond mpumbafu na huku Abdul hakumuweka karibu diamond tangu yupo chali acheni Mimi sipendagi upendeleo mwenyewe haya yapo tunaishi nayo
Sasa huyo Nyange aliye talekeza mimba ndiye anayeonekana ali tenda wema sana?Aliye leya mimba pamoja na mtoto akaoneka hafai kupewa eshima yake kama baba.
Kweli kaka tusiangalie upande mmoja
Ni kweli unayoyasema na hapa tumepewa funzo tujifunze.usibague mtoto.wanaume tabia hizo mnazo Sana
Unafikili alicho kisema diamond labda kakosea hapana ni mtazamo tu Mara nyingi ukikuta mtu aliye na uwezo frani Kama kuna mtoto yuko nae harafu mimba labda haihesabu Kama yake ni vigumu saana kumjali mtoto sasa Mara nyingi watoto wa hivyo huwa Wanakuja kufanikiwa balaaa inabaki majuto ni mjukuu hamjui maisha akiyokuwa anayaishi Nasibu pengine ungekuwa wewe wala usingekoloma ila ni Siri za family piah mama zetu wanapitia magumu Sana kutukuza sisi naongea hivi Mimi piah melelewa na mama Yangu baba was left longtime from two thousand up now I live with mom even though mom Geted marriage and I have a daddy we are not litle friend like the Lily Dady so make sure you show love for Evey body you live with you don't know the next seasons thank for reading
This is the best thing I love about SIMBA๐ชโค๏ธ
Sawa dunia mduwara..my friend..kumbuka uko na watoto....utalipwa hapa tu..
Shortly, Diamond, haukutakiwa kuongelea Family Affairs ktk social media, ungekuwa quit kwa hili. Kiislam hao wote hakuna baba yako, unabaki kwa mama yako. Kibinadam msaidie mzee Abdul kwa vile aliipokea mimba na alikulea kwa maelezo ya mama yako. Ulikuwa mtoto inawezekana kuna mengi haukuyajua. Muombe radhi mzee Abdul maisha yaendelee.
Diamond ni mtoto wa mzee Abdul mama daimond amefanya mambo ambayo wanawake wengi hufanya japo si woote tabia ya kuwanyima wanaume haki za kuwa karibu na watoto hasa pale wanapo kosana hakutaka kumpa nyange wa la Abdul sasa ameona nyange kafa ndio anampa moto nakama mzee nyange angekuwrpo mtoto angebakia wa mzee Abdul nakama mzee Abdul ndiye angekuwa marehemu natolea mfano halafu mzee nyange angesema daimond ni mwanae angeambiwa moto ni wamzee wa Abduli halafu na wewe diamond kwani unasaidia wangapi? msaidie huyo mzee kwafadhila zile zile alizo kufadhili kama hutaki kumuita baba basi kumbuka fadhila zake mlipo toka na huyo mzee nyie mnajua
Mwachieni tuu laana ya mzee wetu ishamvaa huyu
We unasema km sio mwnamke?hujui mama pekee ndo anajua mtoto wa nan?
Pua ya mzee abdul iyo imeinama wamama mnatia sumu watoto mpaka noma
Mueshim tu kama alikulea mpaka miaka 11 alikusaidia sana maisha yaende mama alikosa wakulea mimba akaamua kumpakazia hivyo huna budi kumlaum baba wakambo hawezi kuana mapenz yakina ila alikulea ata tumboni kwa mama yako sisi wanawake huwa tunasahau mazuri tunakumbuka maovu,, sasa uko unakojipeleka mbona nao hawakukule pili waume wa mama yako waeshim wote ni baba zako wamekulea kwa namna fulani
If I would be Diamond, I would keep my mouth shut about this scenario. Why you waited to say this until you're well-of?
Pesa mwanaharamu kabisa! ๐ญ
Indeed he was not supposed to disclose all this shit.
@@letustalk.tuongee2186 sure!
Sasa ayo Maneno yate ya nini aende na awo wandugu zake wafanye DIA ma shabiki wapate ukweli.
Vtrue
Wewe hela za dawa alafu uzingua
Na wewe katafute za dawa ,,, roho ya kimaskini hiyo
Mond ingekuwa mzee abduli ana mapesa ingekuwa baba yako
Pole sana mond kwa yote yaliyo kupata juu ya baba yako mzee Abdul kwa kukufukuza
By the way Mungu ndiye anajua. Halafu it's not a matter of speaks high like, easy easy
You kid shut up and talk something else. Stop create myth story. We are not fool or stupid,, you should feel shame to yourself.. Do you real think, this is previledge of you try to humiliated some one who has been there from the day of your mum pregnancy of you... You are disgrace.
Kumbe pesa iko hivo mpaka mtoto anamkana aliemulea tangu utotoni ?Diamond kwa kitendo alichokifanya mamaako kwa mzee Abdul Mungu atamuadhibu as soon as possible.
Fact
Poooleee weee subhana llah mungu tupe mwisho mwema na watoto wetu
Mzazi huku na huku ndio unamjua daaaah dogo unazingua sana
You can make a difference with your kid's and let them know who there father was growing up
Ili nililijua toka kitambo diamond lazima afate akili ya mama yake ndo maana imekuwa shida ata kuishi na wanawake
Aki mbona unasema ukweli kabisa waaaaah
Aki mbona unasema ukweli kabisa waaaaah
Pointi ungekua kalibu ningekupa soda ya pepsi
What goes around comes around
Sijui ni kiki sijui ni madrama au mauzauza ipo kazi hapo haya bhana Diamond nyange
Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake, Sio kila jambo lizungumzwe katika mitandao, Mama Nasibu na Mwanao Kiukweli Mmechemka, mkae mliangalie/mlifikirie Hilo, Na Mwenyezi Mungu Atawabariki, Aamina.
Ama kweli dunia ina mambo,hivi skuizi mtoto ndiye anae chagua babake kweli pesa.....
Siku za mwisho watoto watawakana wazizi waoo๐ญ๐ญ
hahhaha hatari tupu
Hiyo laana haitakaa imuache
Sasa jina la naseeb abdul unalitumiaga la nn sasa ๐ฅ๐ฅ
Asantโ๏ธโ๏ธโ๏ธโ๏ธ
Lol!
@@prosperkullaya4529 toka zaman anajiita naseeb abdul leo anatuambia ujinga ujinga apa
Si ma kenge tu hawa. Kila siku wana mapya
Eeeee jina walitumia la nini wakati ulijua sio Baba???? Acha kudanganya watu wazima bwana, ulilofanya sio sawa
Uyo diamond umbwa kweli
Nimeguswa sana yani , alivo eleza Diamond .Nilishawahi kumsikizia tena mzee Abdul maelezo yake and I think Mzee Abdul anatatizo Fulani ambalo Kwa Udadisi wangu Diamond haelewi yani, Ningeomba tu yani hawa wote wakae kikao na wa solve hii issue yani dunia tunapita tu .
hata mzee abdul mwenyew anajua km mondi sio mwanae
Duh yangu macho tuu ๐๐๐ฐ๐ช
Nilikuona upo kimya nikajuwa umekuwa na busara but umeongea umeingia kweny raana kubwa kesho utafanana na mwingine mama atasema ndugu zako utakubali God atakuelekeza
Hapa ndio tulipofikia waislamu
Mtu anakaa na kufurahia eti yeye ni mtoto wa zinaa
Duh Allah atunusuru
Me Naomba tufute mahali tumjuwe na kumtaka msamaha mwenyezi mungu na sio kujisifia kama wewe ni mtoto wa zinaa na kujisifia kwa kuzaa watoto wa zinaa
Allah atuelimishe na atuongeze kwenye njia iliyonyooka na atusamehe makosa yetu๐ญ๐ญ๐ญ
Rekado anasema mlikuwa mnaishi from 4years wewe hapa unasema miaka 10... Confused element
Unachekesha sana kabisa na huyo umaarufu yoteeee kumbe hakili huna kabisa ,dishangai hata nyimbo zako xinaachilia moja kwa moja kwamba huna maadhili na hakili bcz hakili yako kashikiliwa na mama yako,Narendra kufuta nyimbo ,zako zote zenye ziko ndani ya simu yangu.
Hauna ujanja uwo Paka ww
kwamba unamkomoa au?๐๐
@@herbertstaford fara uyu Jamaa
Nyoooo mama ake ndo kila kitu fala ww yawezekana tu na wew unatelekeza watoto mbwa ww
@@azizayahaya1767 nyoko Ww
No no diamond he speak the true things ๐๐๐๐
Mjuae baba mtoto mama sisi wa baba twalea . Kesho kwa mungu c mbali
Diamond ww muhongo kwanza wala aujui kujielezea ktk hilo maana unajitafunatafuna2
muhongo au muongo?
""2010 sijui,,,, 2000 "" hapa ninahis kuna jambo hapa.๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Sijui nilikuwa na miaka 11 ๐๐๐
Kauma ulimi huu niuongo zahiri
Chibu Dangote..unafanana Sana na mzee Abdul
Lakin ungemsaidia Tu kiukweli mumemdhalikisha mze wawatu by mkumbuke malipo nihapa dunia were mtoto wskslam unasahau fadhila pesa zina mwisho Una nini chakumlipa mze hata kama alitoa shilingi moja mambo yake na mamako usingeyaingilia were ungemsaidia ukijua Tu nimzazi kama vile mamako bt Mimi sina pesa nitasema nitamsadia mze bt dua zangu Inshallah Nina Imanmumemfungulia baraka Yani atabarkiwa mpka mshangae Inshallah Inshallah
Stay to know whats goes around comes around, don't forget mzee Abdul
Ana that what comes to mzee Abdul when he has money he dint care the little did he know diamond will be successful
@@Beingme2024 na huyo babake mbona kamkimbia
@@Beingme2024 1โ89โMadam
@@Beingme2024 even if why he decided to use abdul's if so...
@@depaolo3461Alishaanza kutumia hilo jina akiwa mdogo yy ana kosa gani!!!! Acheni chuki zenu mbn mzee alikuwa na uwezo na akamtelekeza!!! Wacha avune alichopanda hyo Mzee Abdul ๐ข
Sasa kama alikuwa hai kakupa mchele na miambili kwann hukumwambia mxee Abdul mapema ndomana mlikuwa mkimnyanyasaa ilakumbuka aliejuu mgoje chini
Dua la kuku halimpati mwewe!!!
Kuna ka mchezo hapo dada
Mungu atalipa jasho la mtu halipotei bure
Kwanzaa mi na amini Basi vipimo vya D N A vime fanyika wapi. Na vikwapi kwanini wasi ende kupima D N A
Sikia Mondi mdogo wng km ww kweli Muislamu hauna baba hapo huwarithi wala hao unasema ni wanao hauna mtt hawakirithi jua hilo kuna kufa tu
Mbona unafanana na mzee Abdul
Hakuna mtu anafanana na diamond kuliko saleh abdul, wacha ricardo mombo, uyo kijana saleh abdul ni sura ya diamond 100% ukweli usemwe
ua nakukubali xna lkn apo nimekuona bonge la msenge kbx bola ungekaa kmya
Alikiba ndio star โญ wa bongo
Hahahaha ๐๐๐๐๐ wejamaa. Umenivunja mbavu harafu kweli buana. Niheri angekaa kimyatu maana Wanajizalilisha Yeye na Mamayake akilizinafanana
๐คฃ๐คฃ๐คฃ
HIZO NI 'CELEBRITY STORIES' MSIBABAISHWE๐๐๐๐๐
Dah jamaa hajielewi sana.....pesa sio kitu bro.... Kumbuka hayo ni maisha tu
Kwaio Mondi mluguru wa moroo๐๐๐๐๐๐๐คฃ
Sio kigoma tena ๐๐๐๐
๐๐๐๐
Mbona aliimba lekadutigite ya kigoma all stars?
Maelezo tako hayako sawa unarudiarudia maneno jmn ila hebu kuwa nakili yakiutuzima
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Bora alikiba
Kiukweri haya mambo yasikie tuu ila ukifatilia single mama utaelewa sana haya mambo.
Kiukweri naamini kwa namna moja ama nyingine inamuumiza sana Diamond but no way out
Safi sana diamond ww ni mungwana sana
Diamond iyo kauli unayo iongea ni ya uongo kama ulikuwa unajuwa mzee Abdul sio baba ako kwanini kila kitu umesajili kwa jina lake na kwanini usimueke mzee nyange kama baba ako kuwa na akili kaka na kaa ukijuwa nini unaenda kumjibu Allah pesa isikupe kiburi broo kaa na kufikiria kaka mm ni mdogo wako kiumri ila unavyo fanya sivo broo
Mtoto akiambiwa na mama yake Kuwa wewe sio babaake hilo ni tatizo .. Mchawi ni mama yake
@@ototek8037 Huyo diamond si mtoto tena, akili zake na za mamake zinalingana. Hii si familia ya kuikumbatia.
Mzee abudul his your father...
Sasa mnamlazimisha hawe baba yake jamani. Basi awazae nyie
@@nelsongodfrey9952 hata Mimi nawashangaa, mama ndo kasema mijitu inalazimisha...
Hee makubwa Diamond Mungu anakuona
Diamond your too brave my brother...ipo cku wataelewa2
Munafanana..sana.walai