MZEE ABDUL Afunguka baada ya kuambiwa DIAMOND sio MTOTO wake' NITAMSHITAKI DIAMOND"
Vložit
- čas přidán 14. 01. 2021
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#DIAMONDPLATNUMZ #MAMADANGOTE - Zábava
Pesa ni maua......mzee stepped up when his biological father didn't,hongera mzee.your 👑 crown is somewhere.
Du
Mzeee usjali atakufa siku sio nyingi usjali
Khadija
Mzee unamaneno mzuri mungu atakusaidia usijali mungu yupo pamoja na ww
We mama mond una roho ya chui huyu baba nampenda Sana Ana majibu mazur Sana sikuzote mungu akupe furaha mda wore inshallA
Mungu akujalie mwisho mwema mzee Abdully, Dunia Mapito umeongea maneno yenye hekima waelewa tumekuelewa vizuri sana.
Mwenyez Mungu akutie subra na akuzidishie kheri 😭😭
Ameen
Uyu mama naona atakufa
@@lovvy854 😭😭
“Yule marehemu mtarajiwa tu kama mimi” yooooh hii kauli Noma sana asee. Plus mzee yuko cool sana money doesn’t faze him AT ALL !!! RESPECT ✊🏿 TO THAT
Big respect to Baba Diamond cause he positive and he didn’t care about how rich his son is so big up 😍😍😍😍
True
Acha nae babangu
Yule mama sio mzima,,,
Ana laana yule na bado atalaanika yeye pamoja na uyo mwanae
Big respect to man up
Respect father, Huo ni moyo ambao Mungu anautaka
Pesa ndio zinawafanya hivyoo 💵💸🤌🏽🤌🏽 nzee Abdul be strong 💪🏾 jikaze tuu
Miee wasafii kindakindaki ilaa ukweli uyuu bimkubwa anatupotezea mashabiki nimemaindi sanaa afu anamyumbisha mondi kwa umalaya wake😆😆😆
Mungu andelee kukupa hekima mzee,uko vizuri sana mzee wetu.
Ule mama fimbo ya Mungu, siku itampiga ataingia Google na kuandika how can I stop to cry🤞🏾
Nilisema mm uyu mama ni malaya
Ataingia hadi play store
@@dullazero7465 haloooooo
@@michellewangoe2244 oi
Ogopa hii species, pesa ni maua. This man is a role model
Majibu ya mzee adbul ata mimi ningejibu ivo, yule mama kalewa pesa tu🙌
Aibu kubwa Sana be strong father we love you I wish to see again my father May ALLAH grant him in the jannah Amin
Lets unfollow the WCB FAMILY ..uyu mzee ana hekma sana
MUNGU AKU Bless Baba Angu 😭😭😭Inaniliza Hakika Pesa Mbaya Wallah
Inahuzunisha sana mzee mungu akupe subra Sana ina uma Sana😭
Huyu mzee ana hekima sana, he has come to closure, amekubali na ameelewa kwa nini alitengwa, amejikubali. Sandra (mama Dangote) ndiye wakulaumiwa hapa.Mama muhuni kuanzia usichana hadi uzeeni.
Hahaha kabisa
😂😂😂😂 kabisa
Huyu mama alikua malaya katoa mimba alafu kachepuka akatiwa mimba akaileta kwa mwanamume mwengine shwain
Mbavuu zanguu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee ametaja mambo makubwa sana
So sad😭😭😭😭😭
Very very sad
Hana hekima bimkubwa 😔😔
Daaah aise Mzee Abdul uko vzr sana mbali na wao kusema hvyo ila cc pia mashuhuda jinsi ulivyofanana na mwanao nasibu inauma sana!!gonga like kama unaamin Mzee Abdul ni baba mzazi wa nasibu but all in all harmonize ndio source
This is one of negative sides of social medias!pole Sana mzee Abdul!!
Baba nakuombea kila lakher allah atakulipa kwa kuwa baba mlezi na malipo niapa apa duniani🤗🤗
Maskini dhiki za mnyonge si za mwenye nguvu 😭😭😭
Baba Abdul usiwafate tena Allah yuko pamoja na wewe
@@salamajuma5481 kabisaaa
Mzee mungu akutie nguvu ila mama dangote Malipo ni hapa duniani
Wallah huyo mama Mungu atamrpa kwri naumia kama baba angu 😭😭😭😭
Ni kweli
@@josephchongolo6916 wanawake wanaweza!!!
Pole sana mzee,wameamua watafute mbinu wakunawe live live.
Kweli mashart yao hawaezi msaidia ndio mana wameamua kumkana
We umeona mbali
Harmonize umeamsha mengi kwenye wimbo wa wapo big up na pia MUNGU akupe kila jema katika maisha yako mzee Abduly
Day mama dai umekosea Sana na halipendezi kwa kweli,mzee kweli unabusara lkn malipo hapa hapa duniani
DUNIANI TUNAPITA TUU😭😭🙏 mwenyezi mungu akulinde baba
MZEE ana BUSARA SANA MUNGU nijaalie busara kama za huyu mzee nami imenitokea nimenyimwa DAMU yangu kapewa mtu mwingine MUNGU atie nguvu
Dah😭😭😭😭
Pole sana
Pole sana Boss DNA fanya jibu utapata tu.
Pole sana kaka angu
@@salhaayoob2504 ahsante DUNIA duara ulimwengu shujaa Allah ndie mjuzi
When you allow fame and money to control you then your life will end up in a miserable way. (How you translate this statement is up to you)
Well spoken "👍👍👍"big up
U are absolutely right well said bro
Omg this is Cray's
Huyu mzee ana hekima sana. Mungu ambariki sana. Ingawa kaumia sana. Waandishi mumuache apunguze mawazo.
Dah saa moja moja mmeshafika kuongea naye appreciated 💪🏽💪🏽
Wacheza na watangazaji ww wa tz🤣🤣
Hawachelew
Chezea online tv weweee
Baba wahekim ALLAH akulipe kila lakheri
Ako kamama kana laana
Tutaona mwisho wa awowatu
Unaongeya kiutu uzima ki hekima
Kijana jiongeze,pesa ni maua tu,Ujuwe unaishi na mama ambaye hajielewi!Jiongeze bwana!!
Huyu mama shetani kuliko shetani mwenyewe inauma sana kwakweli mzee you are so smart mungu atakulipa pepo kwa majibu yako
Even a fool will see diamond looks like his dad
So sad 😭 in deed .God gives and God takes ..
Stay strong baba abdoul 💪 malipo ni hapa hapa dunian NA kher kuisabiliwa 😔allah akupe nguvu insha allah 🤲
Ameen
Ameen thuma Ameen
Ameen duhh inahuzunisha Dunia hii
Hivi baba mlezi hana thamani? kwa uelewa wangu ana thamani kuliko baba mzazi alie kutelekeza ALLAH atujaalie mwisho mwema
Ameen
Katika maisha wanazuoni hukiri wazi kwamba, "hekima haimuishii mtu Bali utajiri wa fedha na Mali huisha kwa mtu". Mzee Abdul your so good aisee mwenyezi Mungu akubariki. Achana nao hao
Pôle mzee malipo hapo kwa . Mungu waachie tuu waendelee
Daah mzee amenyang'anywa mtoto lakini mungu yupo mzeee mondi na babaake haitaji DNA
Pole Mzee Wangu. Mungu Atakusimamia..Haki Aiombwi.
Kabisa
Haya maisha tu mzee wangu wala usiuzunike...Pesa umbadilisha mtu tabia Pesa ubadilisha ukwel kuwa uongo...mungu akutia nguvu inshallah
Diamond na Recardo hawafanani,ata heri uniambie Pacha Mondi nkt!!
Hata kidogo
Muangalie nasibu na uyo mzee utauliza kweli Kuna maisha badala ya kesho
Pesa tu , ndio zimewapa kiburi chote hiko
Wee diamond jirekebishe huyu mzee ni babako mzazi wee utapata laana malipo ni hapa hapa duniani alfu hizi pesa utaziacha uvichwe sanda nyeweupe hata si misuti.bwege sana ww ufffffffff
Umeniuliza baba kwa maneno yako Allah mkubwa atakulipa.
Wisdom is needed in such situation,thank you abdul
Daymondi kumbuka huyu ni baba mzazi wako unacho kipanda utakifuna na vizazi vyako vyote pesa isikukudanganye kumbe uliteseka na mama yako ukiwa tumboni mungu anakuona 😭😭😭😭😭
Nakupongeza sana Mzee Abdul! Kwa kuijali karama yako! Utajiri sio pesa utajiri ni roho ! Hivo wewe ni tajiri mkubwa! Usijali mzee wangu Allah atakujaali Afya, Furaha na Rizki za halali! Huyo Diamond ndio mwenye hasara si wewe! In Shaa Allah! Allah atakupa Subra! Luv u always Baba yangu!
Oooh my God! Mungu atusamehe walimwengu
Mama mdangaji mungu atakulipa mzee km ni mali hayo maisha tu
Mdanganyi namba moja halafu anampeleka Dylan DNA
Very sad indeed. Kuza siyo kazi mbali kulea ndio kazi. Huyu Mzee Umebarikiwa. God Bless...
Kama umeskia sauti ni sawa na ya Mondi gonga like hahahaa vitu vingine vipo wazi
Umeona eeee mungu anazalilisha
Jaman so sad huyu mama hana mafunzo ndo mana esma hana adabu Mungu kupe nguvu baba
Kumbe uyo mama kondom ilipasukia ndani duuu
Atalipwa huyo mama
Esma na Diamond wote ni damu chafu hawajatokea ktk damu safi basi wakiwa na tabia nchafu kama mama yao ni stahili ndomaana mkaona kuzazaa kwao wote yeye na dada yake hawajui ndoa nini kuza wana haramu kama walivyo zaliwa kwao c'est une famille de la honte
esma ni mtoto wa dadake mama daimond
Umeonaee mungu atamlipa sana huyu mama
Ile DNA mama Dangote alimfanyia Dylan, sasa mzee Abdul pia aitishe DNA
Ya nin hakiwa anapata nin awaache tu maan ht hawana msaad kwake ht akijua mtt ni wake atapt faida gan🍓
🤣🤣🤣umetisha mtu wangu
😂😂😂😂
Hata akifanyiwa ikajulikana ni wke bdo haisaidii kma mama anavyosema alimkataa mtoto kumsaidia tka akiwa shule na kma ni kweli mtoto alishuhudia hy pia ni tatizo kwake hy mzee ndy maana tunashaur msionyeshe tofaut zenu kw watoto matokeo yk ndy hayo
Huyu mzee anaonesha anafahamu kuwa ni kweli yeye sio baba mzazi sema tu ilikuwa siri,, so hamna cha DNA hapo
Harmonize popote ulipo mungu akubariki kwa kazi nzuri unayo fanya, umeamsha walio lala kupitia nyimbo yako #@ wapo
Wazazi wa kiume huwa wanafeli sana. Mtoto anavyokua unatakiwa kuwa karibunae. Watoto wanaathirika sana kuishi na mzazi mmoja wakati hawajatoboa; wakitoboa wanaanza kuwa karibu. Hafu wanakuja na kisingizio cha laana kwasababu ya kuwa mzazi. Sio poa wazazi wazazi wa kiume. Mnaumiza sana watoto. Kuwa mzazi sio kigezo shughulikeni pia kwenye makuzi ya mtoto..
MAMA DAI JIFUNZE KWA MAMA KANUMBA HAYA NI MAISHA TU
Victor mushi ..meonaee
Kabisaaaaa
Ajifunze nini... kumlilia Lulu kila siku
km ndo mpitisha hukumu ya kifo cha
mtoto wake au...
Kabisaaa jmn haya ni maisha na yana mwisho
Kabisa
Jamani kama kuna mtu anazo namba za uyu baba nitumie plz niko Nederlad Europe 🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱
Ok
Mtafute instagram anatumia mzee abduli
Mtafute ist
Njoo whatsapp +255712605229
Dada msaidie huyu mzee jamani 😭😭😭😭
Thunder that will strike her, is at Mt Kilimanjaro doing pressups, mali ya illuminati ni ya muda tu mama, kuwa mpole, wewe c wa kwanza kuzaa superstar
Ushauri wangu... Konde Boy Jeshi tengeneza paybill namba sote kama wana Africa Mashariki tumbadilishie maisha kwa kidogo kidogo tutakachotuma let's do this if you guy's really feel this 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jmn mungu akupe nguvu naomba msamehe mtoto hana makosa. Nmehisi uchungu sana 😭😭
Bigap Sana mzee mungu yupo nawe ucjar Sana
Mtoto pia anakosa kwani yeye hajielewi
Kuna kitu kina nifikirisha kidogo .......hivi mwaka 1990 huyu mzee abdul alikua ana miliki deki ya VHS ....?
It's really heartbreaking, very sad 😪
Woyee uchungu mkubwa 😥😥nimwjifunza mengi kutoka kwako mzee mungu akupee nguvu 🙏 hii dunia ina mambo kwanza uyo mama malipo n papa hapa
Don't worry mzee,,,everything happens for reason and papers,, mungu you pamoja nawe am from🇰🇪
Pamoja mtuwangu😀😀
mzee anaongea vizuri sana
Mama diamond alidangaga sana kipindi cha nyuma!!! Trust me bro ma legendary ndo tunajuwaga vitu Ka hizo⚠️⚠️
Hahaha like mother like childrens
Hhhhhhhhhhh
Sana katembea na marafiki zetu mpaka Holyday in enzi hizo nani asiyejua
Kadanga Sana mpka hajui baba za watoto zake
Pole Baba. Usichukue pesa zake huyo diamond ni za mashetani. Mungu amekuepusha na mengi Sana . Acha kungangania vi Tu vya kimashetani. Mungu hatakuucha kabisaaaaaa
Dah Mzee, Mungu atakupigania.
Nimejiskia vibaya utafkiri mimi Allah tusamehe waja wako daaa
Saaana aiseeee😥😥😥😥😥
Sio wew tu jamani angamstir maana hatujui tuendako Jamani😭😭
@@kimarohuba7441 sasa kumsitiri vp na nasibu amfanana babake hiyo ni aibu kwa mama sura iko pale pale haibadiliki
Innaa lillah wainna ilayh raajiuun huu ni mtihani mzito san dada zetu wanawake mnayo yafanya ni mazito mpk ibilis anaogopa subhanallah mungu tunusuru na hii mitihani dah inauma vibaya mno
Mzee wangu mwenyezi mungu ndiye anayo fahamu kila kitu.
Kwa kweli inaniuma sanaa baba.
Mzazi ni mzazi tu.
Kwa gisi munavyo fanana na huyo diamond hata DNA haina kazi.
May Allah be with you all the time.
You will always be a happy dad.
I wish to you(natamani nikuone)
Inshaallah tutaona,
Wewe mzee mungu aku bariki Sana daimondi nimtoto wako kabisa Mimi natwa Jonas john makwambula. Uwo ndo ukweri. Sija lizika mka pime dna
Daaaah pole sana baba Abdul jamani mungu atakupa shufaa t inshallah kama ipoipo ty jamani kwasababu malipo n hapahapa dunian
Diamond n.a. familiar yake mama dada Kaka wote machokokoka washenzi kwel dah..... midume ndio tujifunze hapo ukiambiwa wanaaake hatari hua unaelewa
Dah big point mzee baba
Inabidi tukipata mtoto tukapime kwanza DNA ndo tuendelee kulea
Mama dangote Ni limbukeni hata iweje kwa mwanamke mwny akili hawez kumkana BABA
Wallah Mzee Abdul Pole Kwa Yote Hayo,Allah Akupe Subra Uweze Kuhimili Yote Hayo.Mama Nasibu Plz Hata Kama Umemchukia Huyu Mzee,But Plz Huko Mliko Fikia Siko.
Alie lea mimba ndio anajua thamani ya mtoto, mungu akujalie mwisho mwema baba amin❤
yani huyu mzee nampenda hadi bc hapanik ananyosha maelezo
Huo ni uongo wa kutengeneza kwa namna diamond anavyofanana na mzee Nasibu si kweli hayo ni maigizo
@@flowinmwanyika6935 maigizo wakati mbeba mimba kaongea, ukiwa na mama vile ni aibu
@@begukulemosobe9685 hana akili yule mwanamke
Mmh dai laana hiyooo
@@linahsemindu4261 kweli kabisaaa
*DIAMOND PLATNUMZ SHOULD BE CAREFUL WITH HIS MOM I LOVE HIM BUT DAH HIS MOM IS sO filled with hatred* 😭😭😭😭😭😭
"Is too hatred"???... Next time tumia kiswahili tu mtu wangu
@@JohnDoe-ly2lp chill my friend 😂🙈
All I WANTED TO say is that Mama d is bitter lol
Sorry for my imperfections brother 😭
Pole Sana mzee Mungu akupe nguvu, jipe moyo mkuu, Mungu mwenye haki atajibu.
Hapa duniani malipo yapo kesho hesabu. Hata kama ni mlezi wake huyo ni baba tuu kwa vyovyote hata Dada wakazi akikuleya mpaka mkubwa huyo ni mama tuu mlezi.
I'm speechless!
This is really hurts.
Sijamsikia @diamond platnumz akizungumza juu ya hili but akikubali kitu Alichosema mama yake kuanzia hapo nitakuwa konde gang japo napenda Sana wcb IPO ndani ya damu sasa hole wake
😂😂🏃
Allah atakulipia haki yako baba hapa hapa duniani
Pole mzee wangu yote muachie Mungu ndiye mueza wa yote
baba mlezi ni baba tu.for sure diamond knew this for a very long time and qeeun darlin remained his sister
Yeye. Ni real dad. Mom gets money and wants to control the silly son. Tupesa todogo makes Sandra feel she has reached heaven.
Mzee Abduli nimependa uelewa wake hongela baba mtoto hagombaniwi.🙏🙏🙏🙏
Marehemu mtarajiwa tu , pesa ni maua tu yaani vitu vya kupita ! Huyo mama ni mtu mbaya sana ila Malipo ya ubaya ni hapa hapa duniani ! Pole sana mzee
Mama ana roho mbaya sana ......
Mzee usijali mungu ata kulipa na hao wana tabishwa na hamonaizi
Mungu ndiyo ajuae usipime DNI mwachie Mungu yote ni maisha🤲
duuh mugu akubaliki baba wawatu inshallah waache waendeleee baba yangu mungu atakuwa na wewe
Don’t let money fool you😳🙌🏽🙌🏽🙌🏽
True
Ni kweli achee kutumia jina la mzee Abdul
Kabisaaa
Si bab yake
Pole sana baba yangu we endekea kulia na mungu ipo siku atakuona wathamani na siku zote mungu hamtupi mja wake.
mzee Juma Mungu atakuonekania, na nimependa Sana majibu lako, sisi big love baba from kenya
It's so sad wallah nime feel vibaya 😢😢😢😢😢
Mimi sipengamii upande wowote
Naomba Monde kama anapata comment yangu atoe hela wakapime DNA ili apate ukweli kamili asiji akajikuta ameingilia ugomvi wawazazi
Dna ya nini atakama sio baba ake iyi myaka yote kwanini leo ndo wamwambie sio baba yake.mtoto akiwa na umli Wa myaka 18 mwambie ukweli wote.baba mondi abaki na uyo msimamo wake
Ss ww hat wakipim DNA itasaidia nn wakat hamsaidii kwa chocht
Hawezi nimpngo wamepanga ili wazibe watu midomo wasirudi kuwasema kwanini hawamsaidii mze
@@nadrahassan5241 apana ule baba anafanana na nassib ukiangaliy PC y'a mondi angali mtoto.baba mondi ndo yule kafaa .mama dangote mama mbaya kwanini afice paka ivi.
@@nzeyimanaanassi3585 akapime kwa faida gani haina haja waendelee ki maisha yao tu kama walivyo
Kwanini hii media imekata kata baadhi y maneno wacha tuskie yote ametoa duku duku lake tuskie ... inauma Sana Kwa kweli pole Sana mzee wangu Mungu akutie nguvu queen Darlen sijuwi anajiskiaje
DNA Ya nini mtoto kafanana na baba kabisa uyu ni baba mondi true. Mzee mshukuru mungu kwa kila jambo
Pole baba,mond ni kama mwana mpotefu,mwache dunia itamfunza na uyo mamake,
I feel sorry for Diamond!! Huu ni ugomvi wa wazazi!! His just a victim of this conflict...it’s even worse now that his a grown up!!
Why do you say that?
Mbona asema sasa hayo mambo huyo mama nae azeeka vibayaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tokea hapo husaidiwi mzee ilobaki kuhitimisha waladhwaleen Ameen😊🙌
Eee mungu labda kama wan mungu wao Ila Kam ni mungu huyhuy tunaemuabud mungu atatenda haki katika hili mzee Abdul pole Sana baaba
Mungu akutie wepesi baba angu
Ameen inauma sana
Sana kuliko maelezo