DOGO JANJA ampa za USO RAYVANNY Kisa SURUALI ya MILIONI 7 "Inafuta ZAMBI?"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #DOGOJANJA #RAYVANNY

Komentáře • 183

  • @jamilaingu7922
    @jamilaingu7922 Před 3 lety +10

    Abdul aziz, mashaallah tabarakah llah

  • @EastCoasTGorilla90
    @EastCoasTGorilla90 Před 3 lety +7

    Respect this kid...he is different 🙌💯

  • @amoscapo1619
    @amoscapo1619 Před 3 lety +1

    True words....very humble and educative,big up dogo janja for the kind words

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 Před 3 lety +1

    Dogo janja umeongea vizuri sana mna wasanii wenge wanaishi maisha feck laivu

  • @zachariamaige1709
    @zachariamaige1709 Před 3 lety +3

    Umeongea vizuri sana mdogo wangu.. Hongera sana Mungu atakusimamia na utafika mbali sana.

  • @hanceysamuel5475
    @hanceysamuel5475 Před 3 lety +3

    Dogo anajielewa, na anajua nin anafanya. Kwa kiazi kikubwa elimu imemsadia sana!!👍🏻👍🏻👍🏻

  • @evamringo2331
    @evamringo2331 Před 3 lety +7

    Unampenda Mungu sawa ni jambo jema .. okoka basi mdogo wangu hizo pete na hizo .. zilizotoboka toboka acha nazo .. huko kubaya 😎

  • @eray5446
    @eray5446 Před 3 lety +7

    Positive Sana!umekuwa aisee

  • @al4classic691
    @al4classic691 Před 3 lety +9

    Daah janja umekuwa kwelii👏👏

    • @VennyTz
      @VennyTz Před 3 lety

      Mtanzania mwenzang ukitak kupat nyimb za mapenz, hihop andika j junior9 utapat kil kitu

  • @alwattanchinga
    @alwattanchinga Před 3 lety +15

    Hahahaha mwanagu wa nguvu janjaro,umenichekesha eti jinsi yafuta dhambi hahaha,nakutambua sana brother

    • @VennyTz
      @VennyTz Před 3 lety

      Mtanzania mwenzang ukitak kupat nyimb za mapenz, hihop andika j junior9 utapat kil kitu

  • @abubakariaman8575
    @abubakariaman8575 Před 3 lety +2

    Xo cool Dogo janja aprst together my brother

  • @maishakisunzu1029
    @maishakisunzu1029 Před 3 lety +10

    Dogo janja umeongea utamu kweli na mtangazaji uko na stail mzuri

  • @benjaminnshimba2917
    @benjaminnshimba2917 Před 3 lety +1

    Nimependa majibu ya dogo nanja hongera sana umekua kifikiraaaà waooooooooo

  • @allyhusseinally2461
    @allyhusseinally2461 Před 3 lety +2

    Nimekubali janjaro👍💪🙏

  • @eddovanny2553
    @eddovanny2553 Před 3 lety +5

    Janjaro Ngarenaro Republic ✊

  • @samaalexmaleto2509
    @samaalexmaleto2509 Před 3 lety +1

    First to view...more likes plz

  • @priscaassenga378
    @priscaassenga378 Před 3 lety +1

    Asee dogo upo vizuri balaa nakukubali kinoma mwanangu

  • @swaaztheclassic5638
    @swaaztheclassic5638 Před 3 lety +2

    top bro dogo janjaro👍

  • @mligogodfrey8882
    @mligogodfrey8882 Před 3 lety +12

    Dogo janja kakua yaan anaongea kiutu uzima

  • @mosalim871
    @mosalim871 Před 3 lety +15

    Hio jeansi itakua inafuta dhambi🤣🤣🤣🤣janjaro umetisha...

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 3 lety +7

    Huyu dada ni bonge la presenter anajua sana kuuliza maswali ya akili

  • @isayalaizer1367
    @isayalaizer1367 Před 3 lety +1

    Good

  • @muniramunira401
    @muniramunira401 Před 3 lety +7

    🔥🔥

  • @hakitv4717
    @hakitv4717 Před 3 lety +5

    We manzi ni bonge presenter unajua mpaka noma yan! Safi sana

  • @josephinebenjaminmassawe4264

    Una akili jajaro never let your life in public

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 Před 3 lety +5

    Hapaa dogo sipoo nawe jinaa zurii naa unajuwa kulitaja ilaa imanii yk hujuwe ipoo wp jiangalie muisilam au mkirisito sw

  • @phdmgaya95
    @phdmgaya95 Před 3 lety +1

    Nakubali Kaka janja upo vzri

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Před rokem +1

    Chuiii Respct this kid.he is diferent 🍡🍡 ravnnyn dogo janja ravnnyn Chuiii 🐯🐯🐯🐯

  • @selemangasper4669
    @selemangasper4669 Před 3 lety +1

    Daaaaah kweli Janjaro una unabusara sana utakuwa roily modol wangu

  • @barackatarimo9151
    @barackatarimo9151 Před 3 lety

    Nakubali

  • @godfreyhaule8331
    @godfreyhaule8331 Před 3 lety

    Ntangazaji mzuri anamaswali mazuri na interview nzuri 👍

  • @jovemcarlos1538
    @jovemcarlos1538 Před 3 lety +1

    Ume ongea vizuri sana Dogo

  • @tonyayoo7402
    @tonyayoo7402 Před 3 lety +7

    Konki mzaz point mwanzo mwisho,,,,waache waishi maisha ya video si mwendo alisiaaaa

  • @hijaTz
    @hijaTz Před 3 lety

    Mdogo wangu xaiz umekua big up sana kamanda wanguu

  • @magdalineparsaloi1740
    @magdalineparsaloi1740 Před 3 lety

    U r always top janjaro

  • @malikingoma900
    @malikingoma900 Před 3 lety

    Jajanja the real boy Safi Sana umeongea points Sana 👍👍

  • @younglady118
    @younglady118 Před 3 lety +1

    Mbele ya fashion ..mshamba wa fashion...limbuken wa maisha....asante janjaaaro huwa una maneeeno saaana ww

  • @abdallahdachi2406
    @abdallahdachi2406 Před 3 lety

    A r jal kala muna alla nnisay
    Majukumu ni kukichunga unachotakiwa kukichungu siku moja nitafurahi nitakapo sikia Rinah ni mke wako
    Jitahidi kumlingania ili umuoe si unajua maisha ni mafupi
    Kul hak laukana muraa
    Dini na dunia chapa kazi dogo
    Tumeambiwa tukumbushane kwa yalio mema

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb1814 Před 3 lety +1

    Napenda ushindani wa dogo janja na rayvany..... 😂😂😂😂😂😂😂😂.... Sio mbayaaa ni mzuri sio wa matusi

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Před 3 lety +1

    Chawa we!!!mweeeeh,umesema mskitini unaingia na kanisani anaingia daaah,Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

  • @youngmasamah9864
    @youngmasamah9864 Před 3 lety +3

    Nakubal dingiii

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 Před 3 lety

    Nakukubali sn yan dogo nja afu sn una alikili👍👍👍👍👍

  • @mbwarapatz1549
    @mbwarapatz1549 Před 3 lety +1

    Nakubali janjalo

  • @user-cl9xz5tv3t
    @user-cl9xz5tv3t Před 3 lety +1

    Ahaaaa piga mswagi bro

  • @khadijangaima1096
    @khadijangaima1096 Před 3 lety +2

    Mtangazaji fundi sana

  • @suleimankatana9442
    @suleimankatana9442 Před 3 lety +1

    Janja nakubali sana mia kwa mia

  • @peterkiswigo3439
    @peterkiswigo3439 Před 3 lety +1

    Sanaa janja

  • @mustaphagairo1936
    @mustaphagairo1936 Před 3 lety +3

    Inapendeza

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Před 3 lety +6

    I nterview ya janjaro hainipitagiiii

  • @johnsanchez1538
    @johnsanchez1538 Před 3 lety

    Nakubali sana kwa maneno yako janjaro

  • @youngmasamah9864
    @youngmasamah9864 Před 3 lety +6

    Siachag angalia interview yko mzee

  • @saidimarizia7770
    @saidimarizia7770 Před 3 lety

    I love Tanzania

  • @godblessnkyale8980
    @godblessnkyale8980 Před 3 lety +1

    Nimependa Sana janjaa

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před 3 lety +5

    Si dogo tena wew...WEWE NI BIG

  • @kingstyleband4471
    @kingstyleband4471 Před 3 lety

    Kali iyo

  • @kassimjaffar2112
    @kassimjaffar2112 Před 3 lety +4

    Hakuna muislam mwenye imani mbili wewe dogo,,, tatizo la waislam wa kurithi ni kutosoma dini pamoja na "Quran tukuf " ndo maana wanalega lega na imani zao maana wanaona dini ni kama team za mpira leo kawa muislam kesho kawa dini nyengine, na kama huyu mtoto kweli ni muislam na kasoma Quran basi asingezungumza neno alilozungumza eti mimi ni mshabiki wa mungu popote alipo na mm nipo "INNA LILLAH WAINNA ILAYH RAAJIOUN" hakika huu ni msiba tena uliomkubwa mno,,,,, namshauri aangalie na kaulizake anazozitoa mdomoni mwake asije jutia pindi kukutana na mola wake mlezi

    • @mereyamhomesmariamhomes3464
      @mereyamhomesmariamhomes3464 Před 3 lety

      Usimuhukumu mwenzio ata ww unamapungufu yako

    • @kassimjaffar2112
      @kassimjaffar2112 Před 3 lety +2

      homes kwanza kabisa acha nikuulize,,, unajua nini maana ya neno hukumu? Pili nipe kauli ya neno niliyo andika hapo linalo onyesha Kua nimemuhukumu, na hata hivyo mwenye mamlaka ya kuhukumu ni ALLAH pekee,,, na ndio maana mwisho kabisa nikamtahadharisha Kua achunge kauli zake asije kujuta pindi akikutana na mola wake mlezi nikiwa na maana hiyo siku ya kuhukumiwa asije akajutia ,,,sasa wewe mwamba unavyo sema nimemuhukumu hapo hata sjakuelewa kabisa point gani iliyokupelekea mpaka uhisi au uone kua mimi nimeandika maneno ya kumuhukumu huyo dogo,,, hem Rudia vizuri kaisoma hiyo comment yangu, nahisi hukuielewa ,,,, narudia tena muhukumu ni ALLAH pekee hakuna kiumbe chochote chenye mamlaka hayo

    • @ellyscarlxrd7380
      @ellyscarlxrd7380 Před 3 lety

      @@kassimjaffar2112 kwani wewe umezaliwa na dini wote tumerithi tu kutoka kwa wazazi wetu

    • @kassimjaffar2112
      @kassimjaffar2112 Před 3 lety +1

      @@ellyscarlxrd7380 mm nimezaliwa nikiwa ni muislam na ndio maana baada ya kuzaliwa tu nikaadhiniwa adhana

  • @shabaninassoro9421
    @shabaninassoro9421 Před 3 lety +10

    Dogo umekuwa sana

  • @hamisijuma6704
    @hamisijuma6704 Před 3 lety

    Kweli janjaro we unajitambua sana

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Před 3 lety +4

    Misalaba ya free........

  • @bakariathumani2740
    @bakariathumani2740 Před 3 lety +7

    Dogo janja unajitambua sana mdogo wangu endelea hivyo hivyo waache wapumbavu waendelee kupumbaa ,,, hata birdman & lill wayne ,, Chris Brown hawajawahi kuvaa jeans ya 7.4ml ,,, lakini kibongo bongo duuhhh huo ni ushamba

    • @salumlaurent9422
      @salumlaurent9422 Před 3 lety +1

      Wivu tu na wewe nunua

    • @danielsamson1013
      @danielsamson1013 Před 3 lety +1

      Huna hela na wivu unakusumbua

    • @khadijangaima1096
      @khadijangaima1096 Před 3 lety

      Mzee waongopee wasioelewa kwhyo hayo mavazi wananunua wakina nani kama wakina Chris brown hawavai mdomoni tu MTU kama drake anavaa million 22

    • @khadijangaima1096
      @khadijangaima1096 Před 3 lety

      Wanavaa jeans brand kama amiri, Balmain, ni zaidi ya hyo bei na ndo wanavaa wakina birdman,mayweather n.k

    • @edinamsonge1593
      @edinamsonge1593 Před 3 lety

      We n fala zao zinakuus nn

  • @stevenmasato5787
    @stevenmasato5787 Před 3 lety +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 inafuta dhambi hahahhahaha

  • @johnshirima6198
    @johnshirima6198 Před 3 lety +3

    KASNETA KIBOKO YA MICHEPUKO
    Kama unahisi mpenzi wako anakusaliti na unahitaji kusoma meseji zake kwa siri bila kushika simu yake na pasipo mpenzi wako kujua kama unaziona meseji zake, ingia PLAYSTORE kisha tafuta Application inayoitwa KASNETA download kwenye simu yako unganisha namba ya mpenzi wako kwenye hiyo Application utaweza kunasa meseji zake zote anazotuma na anazotumiwa kwa kutumia hii App ya KASNETA inapatikana PLAYSTORE...

    • @peninak1622
      @peninak1622 Před 3 lety

      Ata mkiwa amuhishi pamoja?

    • @johnshirima6198
      @johnshirima6198 Před 3 lety

      @@peninak1622 hii hauhitaji kushika simu yake hata kama yupo mbali

    • @peninak1622
      @peninak1622 Před 3 lety

      Okay but akuna ya kingereza cz mimi apa wanaleta only inchi mbili Tanzania na kenya na mimi sipo katika izo incho, what can I do?

    • @johnshirima6198
      @johnshirima6198 Před 3 lety

      @@peninak1622 uko nchi gani?

    • @jamilaingu7922
      @jamilaingu7922 Před 3 lety

      Mbona inakataa kufunguka shida nnini

  • @bosiitzrevocat8116
    @bosiitzrevocat8116 Před 3 lety +3

    umekuwa kaka

  • @Saneboy255
    @Saneboy255 Před 2 lety

    Kweli janja haikatai mzee

  • @ramsootz
    @ramsootz Před 3 lety +1

    Kashaishiwa sura ngumu kama mkate wa garilaya kamkazania Vanny boy kuhusu kuvaa sasa apo ye kavaa nini cha ajabu 😊

  • @rakishanlajivu8427
    @rakishanlajivu8427 Před 3 lety

    Nakubali Sana chuga boy

  • @yohanahalamela3115
    @yohanahalamela3115 Před 3 lety +4

    Jajaj umekua mkubwa kwa sas

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Před 3 lety

    Mtangazaji anafaa kufanya kazi Wasafi Tv/FM

  • @faharadam169
    @faharadam169 Před 3 lety +1

    Janjaro is normal

  • @omarimohammed1791
    @omarimohammed1791 Před 3 lety

    Hi

  • @ayshachondo9090
    @ayshachondo9090 Před 3 lety +8

    Endelea ivoivo usiweke mamb yako hazan una akil sana

  • @joshuashauri6513
    @joshuashauri6513 Před 3 lety

    Big up sana janjaro

  • @nyimbizikamtima7671
    @nyimbizikamtima7671 Před 3 lety +3

    Aisee kiukweli umekuwa Hadi kimawazo maneno unayoyaongea leo naona yafundisha

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 Před 3 lety +2

    Janjaroo

  • @emannueljohn3502
    @emannueljohn3502 Před 3 lety +2

    Boraa ukae kimya uwaacheeee waimbe pumbaa

  • @emilytv9526
    @emilytv9526 Před 3 lety +4

    Wa kwanza naombeni like ila Dogo janja simuelewi kabisa!

    • @mussamayele3134
      @mussamayele3134 Před 3 lety

      kila mtu na alivo umbwa we uja post mchumba ? acha izo kumbe walewale

  • @saida.muhsin2187
    @saida.muhsin2187 Před 3 lety +1

    Mbele ya fashion,mshamba wa fashion na limbukeni wa fashion 🤣🤣🤣

  • @jamesphiri3087
    @jamesphiri3087 Před 3 lety +1

    Big huyo

  • @kanuernest1425
    @kanuernest1425 Před 3 lety

    Facts sana janjaro

  • @emmanuelv.cc.kisese2806

    Nimekukubari Sana kwa majibu yako mkari wangu

  • @nassorokarambo6798
    @nassorokarambo6798 Před 3 lety +2

    Umeongea point san

  • @kelvinmboya5373
    @kelvinmboya5373 Před 3 lety

    Dogo janja unaongea fact kinoma nakukubal sanaaaah

  • @dankalama7677
    @dankalama7677 Před 3 lety +3

    Dogo anakàa down sana sio mwenye furaha ila interview nzuri

  • @chumilahazard6286
    @chumilahazard6286 Před 3 lety

    Janja makin Sanaa

  • @paulopascali1313
    @paulopascali1313 Před 3 lety

    👐👐👐

  • @samiasoud5040
    @samiasoud5040 Před 3 lety +2

    Umekua janjaro

  • @kimuratv255
    @kimuratv255 Před 3 lety +1

    Janja salut kwako

  • @tobiastobias4319
    @tobiastobias4319 Před 3 lety +1

    Duh dogo cyo pw

  • @olayo2556
    @olayo2556 Před 3 lety +1

    janjaro umekua xaxa naanza kukaa na nyimbo zako

  • @mwinyimvuaadonia8237
    @mwinyimvuaadonia8237 Před 3 lety

    Sasaivi anaitwa babu janja

  • @francissamson8028
    @francissamson8028 Před 3 lety +5

    Hakuna mtu anapenda kuwa maskini, ukipata lazima utumie lkn ukipenda kuishi kinaskini basi hukustaili kupata. Kuonyesha vitu vya gharama ni kumfanya mwingine afanye kazi ili apate kama ww.

    • @rashidisaidi7744
      @rashidisaidi7744 Před 3 lety

      Niushamba

    • @francissamson8028
      @francissamson8028 Před 3 lety

      @@rashidisaidi7744 umaskini unakusumbua

    • @rashidisaidi7744
      @rashidisaidi7744 Před 3 lety

      @@francissamson8028 sawa wewe tajiri

    • @francissamson8028
      @francissamson8028 Před 3 lety

      @@rashidisaidi7744 unapoweka makasilliko na wivu kwa aliyepata kwakufanya kazi ni mbaya, huwezi mpangia mtu jinsi yakuishi. Mwanamuziki au celebrities kwa ujumla huwezi waambie waishi kama wachungaji au mashehe ni ngumu iven ww huwezi. Tafuta pesa utapata heshima kwa ndugu,marafiki,majirani na watu wengine.

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 Před 3 lety

    Wasanii wa bongo mfara sana

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid6839 Před 3 lety +1

    Heko kijana

  • @hassanichangalawa649
    @hassanichangalawa649 Před 3 lety

    Uy jamaha mshambatu dogo janja mpezauso mshambauy suali zabii yachini sawana15000

  • @suleimanamour4837
    @suleimanamour4837 Před 3 lety +2

    Dah unawaz + san nn unaongea ni +

  • @aminahally1393
    @aminahally1393 Před 2 lety

    Haaaaaa apo kwa itakua inafuta dhambi

  • @avizpaul3086
    @avizpaul3086 Před 3 lety +1

    Miamba makin ya Kaskazini…..? et jeas yakufutia dhambi

  • @lukasrogath5825
    @lukasrogath5825 Před 3 lety +1

    Inafuta dhambi 😂 so pw ase 😀😂🤣😂😀😃

  • @juniorchristopher2110
    @juniorchristopher2110 Před 3 lety

    Tisha sana janjaroo

  • @saidiabdalah9287
    @saidiabdalah9287 Před 3 lety +1

    Kutangaza gharama huo ni u.........: