Hahahahahaha VANNY BOI in the building I feel YOU boi true talk you're in the league of your own broda him can't catch ya you see meee keep on shining Mimi najua thamani YA hayo mavazi yako yani upo vizuri
Kiukweli unapendeza kwanza mzuri .Dogo janja hakupati..pili hujaamua hasa kuvaa.lkn ukisema uamue na huo uzuri wako. utazidi kupendeza....maashalah suti pia zinakukubali sana.
nlichoelewa hapa kuna mmoja ana style yake ya kuvaa.....mwingine anavaa kwa kucopy n paste......maana nyingine ya msanii ni kuwa creative in everything...in ur own style......
Mbona mapovu yanakutoka #rayvanny ishu sio kuvaa vitu vya gharama sanaaaa, ishu ni kuvaa na ukapendeza!! dats all😂😂😂 kama unakubali #janjaro anvaa kuliko rayvanny gonga like tusepe
Hivi,wanaume munaanzaje kutupiana maneno kwaajili ya mavaz, wanaume hatuna hayo jaman, wanaume tunashindana kwenye maendeleo ya kimaisha, mambo ya kutupiana maneno ya WANAWAKE hayo, pigeni kazi bhana aah!!!!
Huhuhuhuhu Asee kuvaa nikipaji tofauti na watu wanavyofikilia Nimemsikia Ray kwa umakini kiufupi Kwa wataalam wa CODE nafikil tutaenda sawa Tunapozungumzia swala la kuvaa Tuna consider vitu vingi kama vile.. (1)Body shape..Unaweza ukavaa Nguo ya gharama ndio au ina trend kwa mda huo lkn Kulingana na Shep yako haifai kuvaa though ipo on trending na very Costive💰... (2)Colour...Swala la kuvaa lina consider Rangi ya MTU na Nguo husika nafikil wataaram wa Code wanaelewa nn namanisha sio kila Nguo ulioipenda lzm uivae ... (3) Age....Nguo inaezakua kwenye trend au Very Costive lkn Umri wako unakuruhusu kuivaa?? (4)Mazingira..je Nguo uliovaa na mazingira uliopo inafaa.. #Janja alimanisha kua hujui Kupangilia Code na mm nakubal ilo.. Na ktk maelezo yako nimekusikia vzl nimekuelewa kikubwa unachoangalia ktk mavazi ni Kuvaa kitu cha gharama, chapekee au alichowah kuvaa MTU mwenye wadhifa fln hivyo unafel ktk swala zima la Code huna Ubunifu... But kuna baaz ya wasanii wanajitaid example @Jux ni mbunifu na anavaa kutokana na body shape yake #Janja anajitaid coz anavaa vitu ambavyo ni simple..kwa mtazamo wako unaona anafel anachozingatia yule ni haangalii kavaa kitu cha bei gan ila kina mkaa vipi...Only that 😂😂😂 Kuvaa kipaji
Acha uongo wasanii wa tz mbona marekan 50 cent aliongea shit kwa myweather kuwa hajui kusoma? Wasanii kibao wanatunga kabisa nymbo ya kumponda msanii mwengne utasemaje wasanii wa bongo tu
Hyo glass ya Versace ndio fake kabsaa! Versace huezi ona macho clear bro! It's a bit tinted! That's a Vintage Sunglass weared by 2chains. Temple material and frame material are NYLON. I'm working at Versace store for 4yrs now bruh! I know what's fake! sorry bruh! Be who you're! Let's not forget where we come from! Don't compare yo self with the MoneyKicks
Hey watanzania nawapenda sana yani sana mimi najiita king cross am a kalenjin from Kenya.I love WCB so much tena nawafuata sana. Namtakia simba yani diamond platinum mema kwa vile naona akisaidia watanzania na naomba sana maulana mwenyezi mungu awexe akaniwezesha pia mimi humu Kenya kwa uzanii wangu ili niwexe nikasaidia wengine.Tanzania ntamake sure nimefika kuwazalimia kwa uwezo wa mungu.nawatakia baraka za mungu nyie watanzania
Umehongea point sana, kuna watu ambao wanasema wasio juwa.
Nakubali unayosema,kuna utofauti wa mtu anaye tembea na asiye tembea.big up sana bro.
Ray kazungumza kweli you rock on your on way ....so unique ...
My King Rock's _Rayvanny
Always on point and on top. Big Up to Fahyma
Wachuga sisi tunapenda ngumu Sanaa. Hila bro unatupia vitu Og #BigUp
Nimekuelewa van boy!! Gonga like hapa
Kumuachamba mwenzio hivi ndio NN haswa
الyvonne ال Kwani na yeye Janjaro, sialimchana mbele ya camera so hajamremba & usisahau Vanny ni hiphop so huwaga haturembi
rick barton n
Kwel mkal
Wuuuw Hakuna msanii anayevaaa vizuri Kama rayvanny 😍😍😍😍😘😘😉🤣 wapi like ya Vanny boy
Amna kitu hiizo Ni haso
Nampenda bure
shaz dela cruz vp
Daaaa, aseee janjaro ka feli sanaa
Namkubali san vyanny boy anajua kuvaaaa
Hahahahahaha VANNY BOI in the building I feel YOU boi true talk you're in the league of your own broda him can't catch ya you see meee keep on shining Mimi najua thamani YA hayo mavazi yako yani upo vizuri
Nilikuwa nakupenda ila kumponda dogo janja nakuona pimbi alaf wivu unakusumbua
Nahh VANY BOI YUPO ON POINT WHAT YOU KNOW ABOUT Fashion
Rayvanny boy we noma kweli
Mzee baba mbna povu sasa km unamkubali vany boy kwa anavyovaa plz gonga like hapa
Yohana Msafii Kali ravany
Kiukweli unapendeza kwanza mzuri .Dogo janja hakupati..pili hujaamua hasa kuvaa.lkn ukisema uamue na huo uzuri wako. utazidi kupendeza....maashalah suti pia zinakukubali sana.
ayoo mambo ya kikee weee bwegee
vanny Boy namkubali kuimba zaidi kuvaa
Dogo janja nakukubali sn mm chuga kwa sn
mdogo wangu nyamaza.. usijisifie Sana mavazi ni ziada tu kikubwa uvishe moyo wako utambulike kwa mwenyezi Mungu ..
Achana namambo ya dini
Mashabik muache unafiki wanajuana hao keep enjoy good music pochi Nene and banana
dogo janja kasema mwenyewe Kwenye interview
Upo xaw vany boy unaxema kwel jaaa
Hilary Syara kasema ila wanajuana hawa
Braighton Elias wanajuana
Change Mindset umeongea kweli kaka wanafanya maksudi
Mzee wangu nakuelewa gonga like bro
Rayvany umeongeaa kiistaarabu kabisa😂😂😂🔥👌
Nakuerewaga sana vanny boooooy
Vannyboy we appreciate u much and I personal love u much vannyboy.
chui nakubali sana baba ww mbn mkali kinoma
Vannnnnnnny boy nakukubaliiiii sanaaaa mzeee baba
Wajanja hawavaagi spesho..... Inatakiwa uwe Unique!! mnavaa za kufanana!! Ugali wa mavazi siyo kupendeza..... Rayvan unavaa nguo za Kariakooo!!
😂😂Nakupenda Ray😍Dog Janja anatafut kik, atapata TABU sana
broo bigup sana manenoyawatu yasikushushe wepigavitu awaelewi bado
Nakukubali sana mzee wa pochi nene
Ray knows what quality is😊✌✌
I know Im pretty off topic but does anyone know a good site to watch new movies online?
@Daniel Ellis meh atm I have been using flixportal. you can find it on google :) -mayson
@Mayson Kade thank you, I went there and it seems like a nice service :D Appreciate it !!
@Daniel Ellis You are welcome :)
Surely I like ur dressing Rayvanny
Salut kwako VANNY BOY
Rayvany anajua sana nanini anafanya km unakubali gonga like ako hapo
Eeeeh fundi huyoooo
Ushindani wa dogo janja na rayvany nakupenda sio wakupndana kimuziki
😂 Ravanny you're almost make Dogo Janja cry
Kuna tofauti ya Kuvaa na kupendeza,
Na kuna tofauti ya kupendeza.. Na Kuvaa bei ghali!!
Vany boy wee noma mzee baba gonga like
Nakupenda vanny umejua kumjibu
message sent!
nlichoelewa hapa kuna mmoja ana style yake ya kuvaa.....mwingine anavaa kwa kucopy n paste......maana nyingine ya msanii ni kuwa creative in everything...in ur own style......
Nakukubali watake radhi mateacher
Safi kaka wabongo washamba kazi yao maneno tu
oyoo...vanboe..mbeya city oyooo
Akuanzae mmalize, safi sana vannyboy
Rayvanny nakubali mavazi yake..
Rayvany fundi bhn
Vanny uko pw sana unavaa kistaa sana nakubalii vany
Umetema madini vanny boy,msamehe tu yule chali ya chuga😂😂😂😂
What is the Facebook page and cut
Salute kwako Kb24 karibuni city mall. Gonga like kama unamkubari Kb24
Dogo kazidi kwel akiulizwaga bei anajfnya kutaja dola km ana2ona wabongo washamba sn wa dola.mchane 2 anazngua na mambo yke ya saloon
Hiyo kweli sana kabisa mdogo wangu Rayvanny ila umetuboya sana sisi wakubwa zako
Kweli jux anajuwa kuvaa
.TEAM WCB"kwa movie mpya 2018"TEMBELEA youtube channel yangu"ENJOY.BONGOSTAR FLIX.
Rehma sureimani kweli 👌
Jux ndo kiboko yao wote tz
Rehma sureimani noma sana Uko sahii
dah wew unawezaa bn uyoo katoka kwao arushaa bn ukuu dar ndo kila kitu
Fanya ngoma na jux mzee baba najua itakua bonge la ngoma.
USI WA SIKIE WE LOVE YOU ALOT BROTHER ACHA WASEME USIKU WATA LALA .. NIKO CZECH REPUBLIC NA WOTCH W.. C.. B. .MUSIC KWA 📺
Ushamba mtupu na umama
Umetisha mzee Baba
team kusoma comments gonga like hapa plz comments zisiwe ndefu
Yule hovyo dogo ajui chochote anatafuta kiki tu
uma tisha
Chui we love you bila mafazi unaguza moyo wangu acha mafala wakaye naufala wawoo ❤❤❤❤❤❤❤🤝🤝
Namkubali rayvanny
Mbona mapovu yanakutoka #rayvanny ishu sio kuvaa vitu vya gharama sanaaaa, ishu ni kuvaa na ukapendeza!! dats all😂😂😂 kama unakubali #janjaro anvaa kuliko rayvanny gonga like tusepe
tuko pamoj mkali
Kabisaaaa amenikera unaweza vaaa vituu vyagharama nausipendezeeee
Rayvanny uko vzr sana kimavazi
Speechless
Safi Sanaa mtu hasifiwi mavazi anasiwa maendeleo ndo kila kitu
Ukitaka kuchukiwa na mjinga mwambie akikosea... Pozu nimejaza beseni
😂
Kwer
Waoooooow Guuud love you van boy
Vanboy ndomana me nakpendaga sana.
Mnyambe huyoooo
Kbs vany Boy nakubali kbs
Nakupat kinoma wachane!!
Sanaaaaah kaka me ndo nakukubal we ndo unavaa jesh
Hivi,wanaume munaanzaje kutupiana maneno kwaajili ya mavaz, wanaume hatuna hayo jaman, wanaume tunashindana kwenye maendeleo ya kimaisha, mambo ya kutupiana maneno ya WANAWAKE hayo, pigeni kazi bhana aah!!!!
Alaumiwe dogo janja aloanza Ray ana makosa kafanya kimjibu tyu
Alaumiwe dogo janja aloanza Ray ana makosa apo kamjibu tu
Saidi Amiri wanaume wa Dar!hahaha..
Ukweli ulio wazi rayvany a navaa according to world trend... ..tena OG ,,, huo Ndo ukweli .. Yeye Na Jux , diamond
Huhuhuhuhu Asee kuvaa nikipaji tofauti na watu wanavyofikilia Nimemsikia Ray kwa umakini kiufupi Kwa wataalam wa CODE nafikil tutaenda sawa Tunapozungumzia swala la kuvaa Tuna consider vitu vingi kama vile..
(1)Body shape..Unaweza ukavaa Nguo ya gharama ndio au ina trend kwa mda huo lkn Kulingana na Shep yako haifai kuvaa though ipo on trending na very Costive💰...
(2)Colour...Swala la kuvaa lina consider Rangi ya MTU na Nguo husika nafikil wataaram wa Code wanaelewa nn namanisha sio kila Nguo ulioipenda lzm uivae ...
(3) Age....Nguo inaezakua kwenye trend au Very Costive lkn Umri wako unakuruhusu kuivaa??
(4)Mazingira..je Nguo uliovaa na mazingira uliopo inafaa..
#Janja alimanisha kua hujui Kupangilia Code na mm nakubal ilo.. Na ktk maelezo yako nimekusikia vzl nimekuelewa kikubwa unachoangalia ktk mavazi ni Kuvaa kitu cha gharama, chapekee au alichowah kuvaa MTU mwenye wadhifa fln hivyo unafel ktk swala zima la Code huna Ubunifu... But kuna baaz ya wasanii wanajitaid example @Jux ni mbunifu na anavaa kutokana na body shape yake
#Janja anajitaid coz anavaa vitu ambavyo ni simple..kwa mtazamo wako unaona anafel anachozingatia yule ni haangalii kavaa kitu cha bei gan ila kina mkaa vipi...Only that
😂😂😂 Kuvaa kipaji
Sawa unajua kuvaa lakini hupendezi#hupendezi kaka love sana
nakukubali sana kaka
Sana kaka
unaiga fanya design yk kaka dogo janja simple but clear kijana
sana mzee baba voy anatupia sana. bigapu sana
Dogo janja avaa mitumba ya south africa camera
Last Seen 😂😂 are you for real
Last Seen haahaaa
Last Seen 😂😂😂😂😂😂😂😂ya kariako
Last Seen wew ni last seen kweli🤣🤣🤣🤣
Last Seen haha
Ray vanny uko sawa kabisa
rayvanny wanao kusema watapata tabu sana gonga like hapa kama wamkubali rayvanny
Clever boy nakukubali saana
That's why I normally walk naked 😂
Emma Adhiambo 😂😂😂😂
Emma Adhiambo 😀😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Bint Abu 😂😂
Anna Ngui 😂😂
Emma Adhiambo 🤣🤣🤣🤣
Tisha sana vanny boy!wachapie reality buda!ka unakubali dunga like!
Ray... Nimekukubali lakini mwanaume kimya tu... Ungemchapa kimavazi tena.. Sio ki maneno...
Ray kama Ray
😁😂😂 mmmh...jaman yajayo yanafurahisha
Huwezi ukamfananisha dogo janja na wewe yeye ni MTU wachuga lazima atie eshima like maasai sasa wewe unacho kivaa si sawa na msambaa kabisa
Mutajua wenyewe muvae machupi nje, muvae sidiria kwenye vichwa , muvae socks juu..! Kila mtu avae anavopenda sio kujisifu na kutoleana mapovu.
Bro nimependa comment yako
Eeeeeeeh
Ukovizuli janja sikuhzi 2nashindana maendeleao konde boy sinaga ivo leivani ajekwangu2
Golden Sparrow Wamemchokoza hanaga mambo mangi huyu
Kweli Vanny boy wambie kama kuna kijua kuvaa na kuvaa ukapendeza 👊👊👊
big up vanboy
Ravnyn kasha kuja Chuiii ❤❤
Broo dogo janja ameanguka tuu msamehe hajui Kama umemzidi, then umependezaaaa ulivyo broo wangu nakukubali saana kaka
Ww nomaa sana kwa bifu duuu VB buana nomaaaaaa
Big up V Vanny Boy.....huyo Dogo bado anavaa utumbo tu mshamba hajui label
Salim Chacha mzee
Vany bwoy duuhh povu lako hatar had mafuta ya nywele alikuwa anapaka kwako 😂😂 eeee bwanaeee kama unamkubal Vanny bwoy gonga like
kwel broo kuvaa unajua ila haupendezi mzee
Ashley Khan basi akae uchi
Ashley Khan 😁😁😁😁
Ashley Khan true kbsa
😂😂😂😂hiyo kwelii vannyboy anava Akini nyele zake hana ata good hair cut 😂
Eddie Eddie 😂😂😂
Aya bhana Star wetu
Mh! Kumbe sometimes na nyie mnakuwaga na umama e mtapata tabu sana nasema mtapata tabu sana
Nyinyi ni vijana fanyeni kazi acheni kubishana mavazi
👍
daaaaah inauma Sana
Kubali sana mzee baba dogo janja bado sana kwako
unazinguaaaaaa vany boy
Kusema kweli Van huwa unapendeza 👌
We vaa tu unavyotaka
🙋🙋🙋🙋🙋🙋
Safi sana mzee baba, janjaro kajazwa ujingaa
Huu ushamba wasanii wa e.africa hususan wa TZ mtaacha huezi ongea kuhusu msanii mwenzio kwa dakika 50 Nkt!!
hameed mbogo tulia mtu achambue mavzi ,dressing code syo kosa
hameed mbogo acha atumie hat masaa ma3 amchane dogo kazdi wkt 2nakaona knakuja mjini alaf anaanza kujiona hàpa
Acha uongo wasanii wa tz mbona marekan 50 cent aliongea shit kwa myweather kuwa hajui kusoma? Wasanii kibao wanatunga kabisa nymbo ya kumponda msanii mwengne utasemaje wasanii wa bongo tu
Uliyesikia Vany boi kasema....SHOKISI acha like apa.... tuko makini ha haaaaaa
Hyo glass ya Versace ndio fake kabsaa! Versace huezi ona macho clear bro! It's a bit tinted! That's a Vintage Sunglass weared by 2chains. Temple material and frame material are NYLON. I'm working at Versace store for 4yrs now bruh! I know what's fake! sorry bruh! Be who you're! Let's not forget where we come from! Don't compare yo self with the MoneyKicks
Van boy we unayajua maisha achananae
Janjaro njoo uone povu lako!
Makini sana vanny
Kwa asie jua atasema hawa wanatupiana michapo kumbe co, kunakitu wanafanya co kiki ila ni KIKI,
vjana.
Juma Mtwale hawa tulisha anza kuwazoea
Ayubu Henry huhuhuhuhu!! Teh teh teh
Peace Elisha bora ucheke maana daa
Hey watanzania nawapenda sana yani sana mimi najiita king cross am a kalenjin from Kenya.I love WCB so much tena nawafuata sana. Namtakia simba yani diamond platinum mema kwa vile naona akisaidia watanzania na naomba sana maulana mwenyezi mungu awexe akaniwezesha pia mimi humu Kenya kwa uzanii wangu ili niwexe nikasaidia wengine.Tanzania ntamake sure nimefika kuwazalimia kwa uwezo wa mungu.nawatakia baraka za mungu nyie watanzania
Rayvanny ajua kuvaa Na ana nguo👌au sio bhana😂😂😂
Neema Novath 😂😂😂au sio bhana
Ushaskia bhana😂😂
The Man Next Door 😂😂😂
Tuma Juma
Tuma Juma 😂