Ila maneno muachee huyu dada ni mzurii Sana tenaa anajitambua Sana watangaa wapo vizurii sanaaa I love you feyvan mungu awape maisha mazurii muwakomeshee wambeaa
kwani wote wanaoishi na wanaume wamefunga ndoa??? na kwan hawawaiti waume zao ni mabwana wao??? wabongo buana mnapenda kuona ya wenzenu tyuuuu mungu hapendi
Subiria moto wa Mungu maana ulichokifanya cha kubadili Dini kwa ajili ya mapenzi (mwanaume) hiyo ni laana kubwa sanaaaa. Na hao wazee wako wanaonekana hawajielewi
Kabla hujaanza kumsema huyu binti jiulize babu yako mzaa babu alikuwa dini gani manake naona watu mnavyomshambulia tuwashukuru waarabu na wazungu ama sivyo msingejua maana ya msahafu wala biblia watu wanajifanya wanajua dini kuwashinda hata wenye dini zao pumbavuuuu
for the first time i drop my coment this woman is real and mature. i love this couple.
Seeing this after the big break up and then he is back to our favourite girl yaani fahyvanny kiboko yao..😅😅😊we pray the reunion last forever.
Kumbe siko pekeangu hapa
Tuko wengi
Huyu dada inaonekana amelelewa maadili mazuri sana MUNGU awasimamie kwenye maisha yenu
Ila maneno muachee huyu dada ni mzurii Sana tenaa anajitambua Sana watangaa wapo vizurii sanaaa I love you feyvan mungu awape maisha mazurii muwakomeshee wambeaa
This woman is so mature ...I love her na ndo baaaaaasiiiii...and she even apologized again....😍😍😍😍💯
By
Napenda Sana kazi zako ndungu yangu natamani Sana kuwa karibu Sana nawewe
Wangapi tumerudiyahapa wakati wa Paula?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbea ww
@@ShSh-my8cw 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kujimakini nako
Mtoto wa tanga haachwi ndio nimerudia hapa 😄
YOUR SOOO BEAUTIFUL BABY GIRL NA UMEONGEA POINT SANA .🇰🇪🇨🇿
Kama naww umesikia very rooooooong,gonga like
😂😂😂
😂😂😂roooong seriously
My country pple😂😂😂😂
@@raelachayo8591 yeah our fellow kenyan🙂
😂😂😂😂😂
Kuhusu ndoa wakat wamungu ndiyo sahihi dada mungu awajalie her😊
Nampenda moto uyu kweli ni mtoto mwenye heshima 👏👏
So beautiful, Such a real woman humble low-key
Kmaaa ndoo mRa ykoo ya kwanza kumuona fyma kwenye intervew gonga like aapa😀😀
Nani ako huku kujikumbusha tu aliposema haezi achwa🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi ati mtoto wa kitanga
😉
@@sandrakateslopez2488 yaan natoa macho tu hta si mmaliz huyo dada kwenye r ana eka l na kwenye l ana eka r mtihan hawa wasanii wetu
Jamani mbonaivo binadam hmmmm kwani ulitaka aseme iposiku tutaachana watu jaman kufa situnajuwa kama Hakuna atakae baki dunian ila Nani kasema nakakufa 😀😀
Nawwe.rudi nyuma kwenye maisha yako utakuta byenye ulisemaga naukabipita
Wow @ fayma you just one in a million may God keep you and your relationship gal bigup
😭😭😭😭😭they broke up
Rayvanny and Fahyma the best couple 👏👏👏👏👏👌💯
fahyma nikazur kanajielewa sana mashallah😘😍
Anajielewa nn kama karitadi
Thanks for astory dear, much love💚
Mashallah fahima mzur kama mmi wajina wake
Kweli wew mzuri ummu
Mbona anaongea kwa kujiramba ajiamini vile
Gooood sana Mrembo fahyma uko vzr sana
Maashallah ima so beautiful 😍 😍😍 😍😍 😍
Rayvanny is very handsome boy, I really admire him.
Hello
No one is perfect na kila mtu ako na upungufu wake.. Sionhei mengi kwa sababu mimi pia ni mwanamke
Nakuombea dadangu mungu awajaalie mufunge ndoa ya kheri inshaallah
😭😭😭😭
Very intelligent beautiful young lady tzd
Kama umeskia audio coll na sio voice coll acha like japo Kama unajua kusikiliza kwa makini
"Nilikuwa Lesi sana" "nikianza kuelezea it's arooooong stoly" hii shida sasa.😂😂😂😂
😁😁
Kassim Rajabu 😂😂😂
😆😆😆😆😆
yaaani jitu zimaaaaaaaaa linashindwa kutofautisha r na l wanakwazaaaaaa
😂😂😂😂😂😂
Kura yangu nimewapa nyinyi best couple
Akili kubwa maana watu wana midomo mirefu 🥰🥰
😁😁
nilicho kipenda kwako shem ni mkweli sana yani kunawanawake wengine ni wazuri kushinda wewe safi sana umejikubali
We mzuri jamn nakupenda 😘😘😘
Faimaa nakupendaa da😘😘😘😘
Uyu dada yuko kwenye malezi mazuri na naamini kuwa anampenda sana rayvani , poles sana fayma
May God bless your union, 🙏
Tafadhali achieni kizungu wazungu na wale wanawezana nacho. 😂 😂 😂 to cut this roooong story short tupende Kiswahili Sheng achieni wakenya
God bless you.254 mpooo
254🙋🙋🙋🙋🙋
254 oyeee....wa githu najua mko apa
Tupo kwa mpingo
Wakujie lessons kwa kartelo
Uko vizuri na umepatia kipaji lengo LA kila kitu ni kukizi yako na ya jamii inayokusogea
kwani wote wanaoishi na wanaume wamefunga ndoa??? na kwan hawawaiti waume zao ni mabwana wao??? wabongo buana mnapenda kuona ya wenzenu tyuuuu mungu hapendi
Waambie my
Ni bwanake mnaumwa wapi
Jamani😒😒🤔
Kwel hp wanazugaa kushangaaaa
Faima kakua mzuri maashallah
Wow 💞so Sweet😍
Fy nakupenda nakupenda mnoooo u mwelew xn
So Cute Fahyma
GOOD COMMENT BY THE LADY...WOMEN SHOULD RESPECT THYA HUSBANDS...
Jmn kumbe Instagram nitamu kumbe ngoja Nika download now kiukwel kumbe naweza pata mume kule ila mm naichukia sanaa kumbe nzuri jmn loooh 🏃
Hukty Asnaty mume wangu nilikuta nae insta mpka sasa ni mume
@@sarahalfani3124 jmn uwiiiiiiiiii mbona awaji jmn nataka iyo bahat jmn mimi
Hukty Asnaty haha
Mmm
Hukty Asnaty 🤣🤣
Nakupendaa San fahyma❤️💖
I am here after they're back together 😍
She is very beautiful
Penda Sana ninyi ..hongera umejua kujieleza
Fahima umeongea point nzuri mungu awaendeleze
You r beautiful dear
Karembo jamani❤...ila usimsifie mwanaume saaaaana..bakisha mama ila napenda couple yenu
Saidah licious 254 sawa umeona
Sifa nyingi those are the results
My best couple... Single ladies tujuane hapa
MaryGrace Msigwa hello
Hellow..
@@raymoneyog-theafricantiger Hellow.
MaryGrace Msigwa How are you
how are you
Kazuri sana
WA SNS Shukran Sana kwa kumuona Fayma
Safi Sanaa hatakama Janjaro katafuna mzigo yamepita Yale SEMA nyote wawili mnaushawishi,...Mhenga mmoja Aliniambia wanawake weupe Sio Watamu Bwana duu...•√
Mbona mm mtamu
Nivizuri Kama uko Mtamu by the way Sio Wote Ila Wengi wao...
Nani kaja kusikiliza hii intevew baada ya fayvanny kupigwa chini tujuane na likes 🇶🇦
Nimekuja baada ya fayma kurudiwa
Tanga. Tuwarembo jomn. Ebu. Like wataka watnga wenzangu
Daa fatma sio kwa ubaya nikuulize huyu bint mbona kartadi ?Ama family yake sio waislaam Wa kuzaliwa?
Nisamehe kama nitakuwa nimekukwaza coz nimeona labda unamfahamu
Dogo janja kashapita hapo🤣🤣
Sanaa mtoto mwenyewe nimrembo
@@ladymashaallahilikeuaadvis997 majibu kwa umbea sijaulizwa mm ila karitadi mtt mzuri an achezea moto kwa vidole
Love you faymah
Nakubali sana huu couple
It's a rooong story......aaaaaa mama 😁😁😁😁😁sasa ushatuambia ni rong tusikilize au tupite
Ha ha bora tupite
Waislamu nao kila mara wao huona dini yao ndio dini pooh mnaboo.Only God can judge we Christians know God will judge all people
I really like her... biggest fan😍
Love u fahyma mamy
I can't listen anyone broken english speak kiswahili mbona ni lunga safi tu
Mimi nime rudia Huku Leo Nani mwenzangu Alie rudia kama Mimi tujuane, Huyu demu ni mrembo jamani she's so beautiful
Umbea TU umetuleta hapa 😂😂😂
Its a rong story very rooooong story 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
🤣🤣🤣🤣
Mamori Dan 😂😂😂😂😂
mamori dan acha uchokozi bwana lol
Mamori Dan 🤣😂😂
😂😂😂😂
Nice mdd
Pole sanaa kwa kuachwa
Safi sana namsikiliza mme wangu tyu Sasa kwa upande wa pisi zingne zinasikiliza maneno ya watu hawataki kuwasikiliza waume zaoh
Shout out to u fayma you know how love is 👏👏👏👏❤❤
official istar focus
Nakukubali San fahima
Things Gonna Change on de World to suit de current movement
uko sawa sana dada ake
'Walembo, mala ya pili.' watanzania nyi hunishinda
PC kaki
Big up sana shemeji!;
Karibu tena mbeya
Kupigiana video call ikageuka video ya paula😂😂😂😂😂😂😂
Nobody is talking about how beautiful she is all they're good @ is pinpointing her accent 🙄
Beauty with useless cheap accent is total bullshit
Soo cute😍😎
KILA MTU NI MZURI JAMANI
Wallah fahyma ni mzur then nampenda sn huyu dada na couple yake i wish cku moja nmwone
Cute couples
Huyu dada anamfaa sana vanyboy wenye wivu wajinyonge
even me I can't listen anyone😂😂😂😂
Shenzi😂😂
🤣🤣🤣
Fayma wa zaman mzuri jaman ila sahv hapana
Nice couple mungu awawezeshe to stay strong 💪
Ka beautiful 🤗😘😘
I Love you so much baby faima
Nakubeda Sana mum faima mupezi wa ravanny
M’ss vanny unajitambua nimekupenda bure
Pole,,this ladys engrrrish is very rooooong lol ,,,oh dear even with her trying to be so confident lakini english Balaa
Cool
💛💛💛💛💛
Kibali😀⬜
Dada unajiamini mupaka u achika 🎤🎤 🏃♀️ 🏃♀️ 🏃♀️ 😂😂😂 Paula kakutimuwa 😂😂😂🤣🔥🔥
Washa taa 😁minashangaa ujue
🤗🤗🤗🤗🤗
Namkub namkubl san msanii wangu rayvanny
Like back kuwa wakwaza ravnnyn
mmmh dogo janja ameshachimoa betrii hapo
Duh
Mungu ndo anaye panga kam ipo ipo tu
Am the #SNS’s Best #MVS
Jifunze kusema inshaallah
Kwanza huyu Sasa........... oh my shrubber!!
Umeongea Point sana pole lakn
Kumbe ni WA TANGA ndio home mmmmm hatari karembo fahmee
bas nataka couple ya tanga
Mume wako😂😂😅😅
roooooong story bado ni sawa bwana wee, kizungu kilikuja na meli bwana itabdid tunaelewa....
duh were Dada unenipendeza xana na majibu yako nakupenda sana unajitambua sana
Subiria moto wa Mungu maana ulichokifanya cha kubadili Dini kwa ajili ya mapenzi (mwanaume) hiyo ni laana kubwa sanaaaa. Na hao wazee wako wanaonekana hawajielewi
Mutapata tabu san nyinyi 😏😏😏😏😏😏😏😏😏
ila acha kuhukumu maana wewe mwenyewe huna uhakika kama huo moto hautokupata.
Naona mmekuwa wasemaji wa MUNGU eeee!
@@charlesjonas4412 umewapa ukwel
Kabla hujaanza kumsema huyu binti jiulize babu yako mzaa babu alikuwa dini gani manake naona watu mnavyomshambulia tuwashukuru waarabu na wazungu ama sivyo msingejua maana ya msahafu wala biblia watu wanajifanya wanajua dini kuwashinda hata wenye dini zao pumbavuuuu