PAULA amjia juu HARMONIZE baada ya kuthibisha ni kweli alilala nae, na PAULA ndiye aliyemtongoza

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 111

  • @emilywangui
    @emilywangui Před rokem +11

    Hii ndio matokeo ya kudate watu si rika yako ....mungu nisaidie nisijikute ,much love from kenya 🇰🇪

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 Před rokem +7

    Harmonize leo kunywa k vant kabisaa utupe Mambo😂😂😂😂

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 Před rokem +5

    Kwahyo mlizima taa na paula mda sana 😂😂😂

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu Před rokem +4

    Mhhh kweli Mamaaa na mtoto kajala unatia aibu achakufuatana na Binti yako we mama

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m Před rokem +5

    Paula akifikisha miaka 30 kashazeeka😂😂😂uchi ka bwawaaa😂😂Ila kajala kichwaa ka kisoda mwilini nyumba akili sifuri

  • @gracepius1102
    @gracepius1102 Před rokem +9

    Huzuni kwakweli😢😢

  • @user-fo7tq4ib5e
    @user-fo7tq4ib5e Před rokem +11

    Harmonize endelea kulewa utupe vitu mmakonde😂😂

  • @samiraomari5442
    @samiraomari5442 Před rokem +9

    Yote tisa kumi Kajala na Mwanae hawafai wauwawe....wamenisinya hawa mbwa kwa kweli...kwanza Paula ni kama mwanasesere kila mtu anamchezea...yaani sina usemi japa watakufa vibaya hawa watu l say

  • @rehemaothman2475
    @rehemaothman2475 Před rokem +8

    Episode 7 😂😂😂😂 scripts za harmo ziko moto piga tungi utupe uhondo 😂😂😂

  • @ivymuthamia8234
    @ivymuthamia8234 Před rokem +4

    Niko hapo kwa hate him😂😂😂

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Před rokem +2

    Hellow dear x..nimepata tetesi 😂😂😂hii goma la hamo ni tamu sana

  • @talhahfathia16-.
    @talhahfathia16-. Před rokem +7

    Hii ndo reality show sasa

  • @ankovictor1564
    @ankovictor1564 Před rokem +6

    Watu wazima mnajitia aibu

    • @marycelestin6586
      @marycelestin6586 Před rokem

      Hapo wanawake ndo kujitia albu ....na kujidhalilisha wnyw

  • @enjoyMjungu-jg5dj
    @enjoyMjungu-jg5dj Před rokem +3

    Harmonize hana makosa jaman paula na kajala syo watu ni wa kutupwa wachafu kama anavaa vle mbele ya marioo nae kama ajatulia atamla waachen jaman ni rahana unazunguka

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před rokem +11

    Kwanza cwawezi yani mnamjibizana na mwana mume cwawezimalaya wakuu nyinyi

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před rokem +2

    Vita ya mapenzi nimbaya sn

  • @Semenhahemed-lf5om
    @Semenhahemed-lf5om Před rokem +3

    Huyo Paula atulie kabisa kwani nani aliyeanza kumchokonoa mwenzio kama sio mtoto na mamake

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 Před rokem +3

    Mimi ni nacho Ushauri hamo Azidi kupiga tungi Atupe utamu amezidi kumzoea sana

    • @user-fo7tq4ib5e
      @user-fo7tq4ib5e Před rokem +2

      Yani mi natamani ningekuwa karibu na harmo ningempa kret zima😂😂

    • @FatumaMamlo-st8pj
      @FatumaMamlo-st8pj Před rokem

      ​@@user-fo7tq4ib5eminashangaaga pombe gani inayoona kalamu kwenye sim 😢😢 au mizunguo ya harmo

  • @matildalauzi2072
    @matildalauzi2072 Před rokem +4

    Hii itakua vita sasa😂😂😂

  • @FortunatahAshely-dh7jz
    @FortunatahAshely-dh7jz Před rokem +2

    Lewa tujue mengi🤣🤣🤣

  • @user-kw2ln1vf4p
    @user-kw2ln1vf4p Před rokem +3

    Kichwa chake hakijapinda wala nn anaona tu aibu uyo mtoto ana adabu mwijaku alisema paula anamtaka hamo mukamuona muongo hayo sasa

  • @user-td6kr5dm3r
    @user-td6kr5dm3r Před 6 měsíci

    Mmmmmmh😢

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 Před rokem +2

    Akutunze kwahali na Mali umwite chizi dawa yao wameipata freesheet na bahati hiyo hairufi tena ngo'oo

  • @rashidyusuphwewenimtotowam1761

    Haya maisha bana hamoneze akivuta moshi atawanyoosha bora mngekaa kimya kuliko mjibu. Kawambia mkae kimya mkiludia atawaendea aer pot maneno atakayoyatoa mm smo😂😂😂😂😂😂emo

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 Před rokem +1

    Kajala na Paula kwani hamna kazi nyingine Zaidi ya kumfatilia Konde boy. Mambo ya kusemana yamepitea na wakati. Hivi mnaoata wapi muda??? Nyie mbona wadada Waziri sana achanene na hayo mambo yakijinga

  • @user-rc2ki7pn5d
    @user-rc2ki7pn5d Před rokem +1

    Hahaaaa😂 mwendo wakula kuku na mayaiyake

  • @zainabukhalid8223
    @zainabukhalid8223 Před rokem +7

    Kwahio jeshi ndo aliondoa bikra ya paula 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @husnaabdallah886
    @husnaabdallah886 Před rokem +2

    Harmonize anapenda sana kutafuta huruma😂

  • @user-ku5hr5nt4q
    @user-ku5hr5nt4q Před rokem

    MAMBO YAMEISHAPITA KWANINI. MSITUNZIANE. HESHIMA. KAMA WEWE PAULA. UMEKULA VINGAPI. VYA HAMONAIZI PESA NGAPI ALIZOKUPA SI NI AFADHARI HATA ANGESAIDIA WATOTO YATIMA AMBAO HAWANA HATA. CHUPI ZA KUVAAA.

  • @user-ku5hr5nt4q
    @user-ku5hr5nt4q Před rokem

    KWA HIYO. KAJALA HATA AKIPATA BWANA MQINGINE MWENYE. PESA UTALALA NAE. TUUUUU. UMEISHAZOEA

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 Před rokem +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 paula na mama ke ww

  • @marycelestin6586
    @marycelestin6586 Před rokem +1

    Kuna mtu alisema tuende NCHI JIRAN .....Wee nani ahame bongo kwny burudani live thubutu ......ata tozo ziongezwe ntang'ang'ana humuhumu ......😂😂😂😂😂 Tembo

  • @musamatsaki79
    @musamatsaki79 Před rokem

    😂😂😂kwa hiyo munajaribu kusema buy one get one free 🤣🤣🤣Musiniambie Marioo anakula na Mkwe wake Kajala pia😂😂

  • @ukhtymdee8557
    @ukhtymdee8557 Před 10 měsíci

    Aache ujinga huyo hamo maan wew ni mjinga

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Před rokem +1

    kwani kama kalala nae kaacha alama gani, kila kitu kinapita ila range ipo pale pale maumivu yakizidi muone daktari wa washamba anapatikana chitohori, pole we 😂😂😂

  • @user-ku5hr5nt4q
    @user-ku5hr5nt4q Před rokem

    KWANZA WEWE PAULA NI KWELI. ULIMTAKA HAMONAIZI. USHAHIDI. UPO. ULIKUWA UKIKATIKA MAUNO. M B ELE YAKE

  • @NajmaEmmanuel-ml6iq
    @NajmaEmmanuel-ml6iq Před rokem +1

    Sasa kama alilala na hamonazi mwaka 2017 hiyo bikir niipi alompa ravyn jmn 🤓🤓 mwana Malaya Huyo 🙆 duuh

  • @Veelicious999
    @Veelicious999 Před rokem +1

    😅😅😅habari ndio hiyo

  • @sivaboycm6633
    @sivaboycm6633 Před rokem +1

    😄Nooo 😁

  • @nafuwswedi2465
    @nafuwswedi2465 Před rokem +4

    Chizi kapewa rungu mweee😂😂😂😂

  • @hadahada4546
    @hadahada4546 Před rokem +1

    Hom in

  • @user-pm9gs1xb1j
    @user-pm9gs1xb1j Před rokem

    Jaman si mumuach kajala na mtto wak bona mnawasem saan adi nasikiy uchug masikin Pol kajala wang

  • @micksonnyamwez96
    @micksonnyamwez96 Před rokem

    HAPA BAADAE YA GUMZO NYING kondewide anaachia nyimbo moja tamu sana

  • @majumaatieno5640
    @majumaatieno5640 Před 5 měsíci

    Usijifanye unajua kusema so baada ya kulala na paula mbona hujafanya busara usidate na ma make ... hHarmonize ulikosea .kama ..ulijua ushalala na paula kwanini umdate mamake ..alafu unasema alikuwa mtoto mdogo ..huoni kama huna aikli

  • @MagrethThobias-fm8bm
    @MagrethThobias-fm8bm Před 6 dny

    Paula angalia ndoa yako usipo angalia nawe utakuwa kama mama yako kajala

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 Před rokem

    Mario m wew kula kuku na mayayi yake 😂😂😂 km honde

  • @user-kk5kf2uv8t
    @user-kk5kf2uv8t Před 10 měsíci

    Harmonaz nimkweli

  • @michelinesifa3502
    @michelinesifa3502 Před rokem +1

    Iyo mapenzi hakuwa yakawa ida

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 Před rokem

    Izi siku paulla avahi Tena izo wigi .maria huna pesa 😂😂😂😂😂paull umechoka

  • @AbibaKhamisi-yp4tt
    @AbibaKhamisi-yp4tt Před rokem

    Achana nayo harmo fanya kanz iliyo kuleta mjini

  • @jeturdasimon4851
    @jeturdasimon4851 Před rokem +1

    Kichaa kalogwa tena

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 Před rokem

    Yani kumbe mnajifanya wala bata kumbe hadi fance ya nyumba ya mama amejenga Harmonize.

  • @user-jo9tr9oz7i
    @user-jo9tr9oz7i Před rokem

    😂😂😂 makubwa mngu ninusulu minakizazi changu

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před rokem +1

    Ww harmonice acha ushamba we Ni mwanaume

  • @mwasitiramadhanramadhan7214

    Wapotee hao niumalaya unawasumbua mama namtoto

  • @VenerandaHerry-os1br
    @VenerandaHerry-os1br Před rokem +1

    Hii itakuwa vita ya tatu ya dunia🤣😅

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 Před rokem

    Lewa Tena hormns utupe mambo Paula ww kaa kimia na wewe uko mkee mdogo wa harmo

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 Před rokem

    Iyo ndo shida ku date mama n mtoto

  • @cristianorobathchilambo4463

    Mmakonde oeeeeeeeeeee

  • @PrettyAngel-lr6op
    @PrettyAngel-lr6op Před rokem +2

    Leta story ya Rich Mindindo na Wolper wame unfoliana uko insta 😂😂😂

  • @theresaelizabethelijah117

    Huyu Harmonize fala kweli kweli kama alidate na Paula 2017 ina maana Paula alikua 16. Yrs yani bado under age hajui ni kosa la jinaa kuwa na mtoto wa muaka 16? Kajala sasa ana haki ya kumpeleka Harmonize kotini amevunja sheria kwa kumharibu mtoto mdogo !

  • @user-cp1jb2cf4l
    @user-cp1jb2cf4l Před rokem

    Duh. Hii. Kali. Kala. Kuku. Na. Vifaranga. Vyake. Haja. Fanya. Poa

  • @user-ts1nm8ju8d
    @user-ts1nm8ju8d Před rokem

    Kindoa

  • @AAa-it7nx
    @AAa-it7nx Před rokem

    Yani kila kukicha ni Paula kwani kawalia nini

  • @lightnessabdallah2340
    @lightnessabdallah2340 Před rokem +3

    Tunasubili muendelezo 😂😂😂😂

  • @juliakinusa4900
    @juliakinusa4900 Před rokem

    Loi mama na mwanae...f really 😊

  • @annamtapila5761
    @annamtapila5761 Před rokem

    Hamo kuwa na adabu sasa na ukuwe pia. Tayari uko na mwingine achana nao imeisha hiyo.
    Hukawii kuanza kulialia na maua ma mabango.

  • @masizitony9800
    @masizitony9800 Před rokem +2

    🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣🙏🏼🙏🏼🙏👍

  • @user-xh7wy2mi2j
    @user-xh7wy2mi2j Před rokem

    Mungu wangu hii ndio nini. Kwa kweli hii ni aibu

  • @jacklinepallangyo196
    @jacklinepallangyo196 Před rokem

    Wape baba hawana hata chembe za aibu

  • @happynesssamwel4249
    @happynesssamwel4249 Před rokem +2

    Hawa akina pau na kajala wanajizalilisha2 kushindana na mwanaume nikaz kweli kweli

  • @OfficialTeacherTz
    @OfficialTeacherTz Před rokem

    Ukitaka kujua kiingereza bure ingia youtube Official Teacher kasome kuongea kiingereza bure kabisa

  • @christinamabula416
    @christinamabula416 Před rokem

    Mim napitia comments tu

  • @alawysaid3719
    @alawysaid3719 Před rokem

    Kwani hamumjui huyo dogo, anawatafuta wasanii alale nao

  • @dominarwechungura5797

    Kumbe Bado pombe ina ongea 😅

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 Před rokem

    Hamonize achana na hivi vitu fanta mziki, na kuwa na huyu msichana wako mpya

  • @nurumasha
    @nurumasha Před rokem

    Majani uko wapi??
    Simama kwa ajili ya binti yako

  • @DorcasWanny-jb4js
    @DorcasWanny-jb4js Před rokem

    Armo chéria ya kwetu weye ni mbakaji uli déti n'a mtoto mbele kwa nini upendane n'a mama ile ni montaje

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Před rokem +1

    Harmonizi apunguze manenoo

  • @mariamumsanzu8266
    @mariamumsanzu8266 Před rokem

    Tembo 😂😂😂😂😂

  • @user-px9mk4fh3l
    @user-px9mk4fh3l Před rokem

    Wewe Hamo ndio unajizalilisha kumbe ulinuana na Paula kabla ya mama kwanini ulimtongoza mama yake kwahiyo huyo Paula angeficha aibu angeendelea kudet na ww nahuku unakula mama yake mama alikuwa hajui chochote masikini wewe Hamo Malaya utamla Hadi mwanao Sasa siungebak nahuyo pau kuliko kumtongoza mama ake kwendaa makosa niyako yote

    • @pueblo148
      @pueblo148 Před rokem +3

      Kosa ni la kajala na mwanae.Kwa Nini Paula hayupo shule kimasomo? Anafatana na mama ake kwenye bar usiku kucha.

    • @samiraomari5442
      @samiraomari5442 Před rokem +1

      Wewe unalaumu hamo...Paula kalala na diamond kwani hakujua mamake pia alilala na diamond...hawa watu ni tamaa inawasumbua kwanza hamo ana subra na hekma kubwa sana...acheni kumuattack hamo

    • @deboramartin8111
      @deboramartin8111 Před rokem +2

      Mwanaume ni mwanaume ww kosa ni la mama na mtoto

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 Před rokem +1

      Hao wanawake hawana maana kabisa, Mondi kawachakaza wote, harmonize kawachakaza wote, na kunauwezekano wq marioo kuwaminya wote. Na unaweza kukuta hata Q laka kawaminya wote tayari😅😅😅😅, Harmonize we love you. Lewa tena utupe udaku😂😂😂

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 Před rokem +1

      Harmonize amewafanyia mengi, ebu watuambie wwnaume wengine wamewafanyia nini?

  • @MasizieRahim-gw1bf
    @MasizieRahim-gw1bf Před 8 měsíci

    🔥🔥🔥🔥🦣🦣🦣🦣

  • @MasiziaKari-lh6wc
    @MasiziaKari-lh6wc Před rokem

    🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣🦣🙏🙏🙏♥️