KAJALA ALIVYOSHINDWA KUONGEA MBELE YA HARMONIZE LAMATA AMPELEKA KWENYE GARI HARMONIZE AMWAMBIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online
    #wasafi,#diamondplatnumz,#alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba
    ,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#CZcamslive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonize,#afro east,#linawachoma,#chadema,#rostam,#dodo,#diamond platnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,#nikuone,#sijaona,tetema,niteke,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga, Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online
    #wasafi,#diamond platnumz,alikiba,#harmonize,#ushamba,#nandyftalikiba,#nibakishie,#Wasafitvlive,#instalive,#CZcamslive,#Mboso,#lavalava,#zuchu,#koffieolomide,#diamond&kofiiolomide,#waah!,#waah!challenge #lavalava,kwaru,wcb,raha,#alikiba,yope,#rayvanny,#diamond,#bachela,#gere,#kwangwaru,#aslay,#missbuza,#thestorybook,#nanusu,#tetema,#nandy,#rayvanny,#lavalava,#hakuna kulala,#wasafi,#marioo,#live,#whozu,bedroom,#zuchu,mama,ashua,tamba,corona,harmonizplatnumz,#mbowe,wana,mauzauza,#cheche,#amaboko,#zuchu,#uchaguzimkuu2020,#trending,magufuli,#wasafitvlive,nisamehe,#harminze,alikiba,#tundulisu,#nandy,jeje,#ccmlive,#yoperemix #wasafi#,diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,#kamwambie,#harmonize remix,#tanzania,#tutorial,#tumewas
    #hakunakulala,#raha,#nisamehe,#bedroom,
    #yopeyoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
    #nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,
    #thestorybook,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko
    #sukari,#waah,#hasara,#nobody,#wizkid,#davido,#burnaboy
    #diamondplatnumz,#wana,#kwaru,buza#,jeje,#gere,#baclava,#harmonize,#wasafi,
    #thestory book,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#waah#,hasara, #wananchiday2020,#wananchi,#yanga,#youngafricans,#yangasc,
    #antonionugaz #yangaleo,#senzo,#alichokisemanugaz,#kambiyayangakigamboninibalaa,#mshindomsola,#wapesalamu,#shutikalitv,#simba,#azamtv,#azamtvmax,
    #azamsports,#morrison,#hajimanara,#diamondplatnumz,#simbasc,
    #manara,#wasafi,#globaltvonline,#barakampenja,#tuisilakisinda,
    #ligikuu,#azamtv,#michezo,#highlights,#azamsportshd,#azamsports2,
    #yanga,#sportarenawasafitv,#sportarena,#tanzanianews,#wasafitv
    #diamondplatnumz,#wana,#kwaru,#hakunakulala,#raha,#nisamehe,
    #bedroom,#missbuza,j#eje,#gere,#bachela,#dodo,#alikiba,#diamond,
    #yope,#yoperemix,#kwangwaru,#afroeast,#wcb,#tamba,#nandy,#aslay,
    #nanusu,#mama,#corona,#lavalava,#harmonize,#wasafi,#thestorybook
    ,#rayvanny,#tetema,#zuchu,#mauzauza,#ashua,#amaboko,#sukari,#shusa
    #wasafi,#diamond,#sikomi,#niache,#mbosso,#kwangwaru,#rayvanny,#lavalava,#diamondplatnumz,#eneka,#waka,#hallelujah,#nana,#kidogo,#fire,
    #kamwambie,#harmonize,#makulusa,#baila,#pamela,#iyena,#baikoko,
    #nikuone,#sijaona,#tetema,#kainama,#niteke,#tamu,#niuwe,#simba,#jeje,#gere,#kanyaga,#sound,#wizkid,#davido,#burnahboy,#chrisbrown,
    #despacito,#inama,#sukari,#shusha #harmonize,#uno,#ibraah,#corona,#covid19,#kondegang,
    #kondemusicworldwide,#diamondplatnumz,
    #wcbwasafi,#rayvanny,#mbosso,#zuchu,#lavalava,#halifa,#snopdoog,
    #davido,african music,#afroeast,#eastafricansound,#afropop,
    #bedroom,#kakatuchat,#sautisoul,#khaligraphjones,#nyanshisk,
    #yemialade,#magufuli,#tiwasavage,#rema,#fire #boy,#joeboy,#skiibii,#gwajima,#joti,#cnn,#mpoki,#salimkikeke,#darasa,
    #bongomovie,#netflix,#samatta,#quarantine,#onenight,#lockdown #swahiliflix #ikulumawasiliano #magufuliliveikulu #chatolive #youtubelive #instalive #jux #ladyjaydee #rostam #stamina #dogojanja #jumalokole #drkumbukauhondo #didashaibu #mashamsham #zarithebosslady #tanashadona #mamadangote #esmaplatnumz #queendareen #uchebe
    #shilolenarommy #babalevo #wolper #kajalanaharmonize #auntezekiel
    #kusah #wasafitvlive #simulizinasauti #Ayotv #rickmediatz #dizimonilne
    #aristote #hamisamobeto #tiffa #koffieolomidenanandy #waa! #diamondnakoffieolomide #papamopao #mwananchidigital #Edigital #middlesimba #ptvtanzania #rayvannysoundofafricaalbum

Komentáře • 152

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey Před 7 měsíci +18

    Km.hujui kinachoendelea kama mimi gonga like😂

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Před 7 měsíci +12

    Attention yote ipo kwa kajala 😂😂love u mama Paula ❤

    • @michaelmchanga
      @michaelmchanga Před 7 měsíci

      Sasa huyu ni mtangazaji au ni mpiga kelele.

    • @user-jg8zz6el8k
      @user-jg8zz6el8k Před 7 měsíci +1

      Ila watanzania mna maajabu yenu ni kama hapo sio shughuli ila walienda kwa sababu ya kajala ❤❤😂😂😂

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 Před 7 měsíci

      @@user-jg8zz6el8k mbona wanamuandama k c wafanye kilichowapeleka

    • @zainabhamisi9843
      @zainabhamisi9843 Před 7 měsíci

      😂😂😂

  • @evastephan1783
    @evastephan1783 Před 7 měsíci +1

    Nakupenda mama pau wakuache

  • @JoyceshidaYohana
    @JoyceshidaYohana Před 7 měsíci +4

    Nakupend mama Paula ❤

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Před 7 měsíci +7

    Kajala mrembo mzuri

  • @mellahbrain295
    @mellahbrain295 Před 7 měsíci +3

    Daaah wabongo bhn😮😮😮

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Před 7 měsíci +34

    Watangazi wa hovyo kweli hapo mmemfuta kajala au mmefwata alichokifanya lamata hovyooo

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 Před 7 měsíci +2

      Waandishi wetu mambo hayo wanayapenda,elimu Bado sana

    • @peninashungu6633
      @peninashungu6633 Před 7 měsíci +2

      Wengi wa ovyo

    • @svt3
      @svt3 Před 7 měsíci +1

      Kosefu wa Elimu unafahamu hawa sio watangazaji wenye uweledi , wote ni wa barabarani anapata tu microphone na kasimu au camera halafu wanajiita watangazaji

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Před 7 měsíci

      Yaaani wanakeraaaa mpk aibu,, Hao walienda shule ya CZcams.

  • @milengeclestine4421
    @milengeclestine4421 Před 7 měsíci +1

    Very nice kwao❤️❤️👌🏾👌🏾

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q Před 7 měsíci +6

    Ahahahaha jaman 😂😂😂 majaji wa comment hamna baya❤❤❤

  • @faridahamadi5345
    @faridahamadi5345 Před 6 měsíci

    🎉

  • @NuruKimu
    @NuruKimu Před 7 měsíci +17

    Kajala anampenda hamo innaonyesha

  • @kevinkihara2875
    @kevinkihara2875 Před 7 měsíci +4

    Wabongo na umbea, ndio maana mlishindwa na kingereza coz mngetuhangaisha hii Africa

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os Před 7 měsíci +4

      Acha ujinga rafiki. Africa wanaongea Kifaransa, Kireno, Kiswahili, Kikaburu, Kizulu, Kiibo, Kiingereza n.k.Wewe kwa ufinyu wa akili yako unakiona Kiingereza tu basi. Siku nyingine kama huna la maana la kusema kwenye comment shut your effing mouth and let those with enough intelligence take charge 🙄

    • @ShazmaMatonda-eo9kr
      @ShazmaMatonda-eo9kr Před 7 měsíci

      😂😂😂😂😂😂

  • @UwezoAlex
    @UwezoAlex Před 7 měsíci

    By f.d.q mwamala hao bado wana pendana.❤❤❤

  • @FAITHWAKHU
    @FAITHWAKHU Před 5 měsíci

    Mama pau ilov u

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d Před 7 měsíci +6

    Af km hamnaga Akil watangaazaji WA tz,,, yaan kwn Hao n WAtoto WA secondary AU mnawachukuliaje pumbavu zenu badala muulize maswal ya msingi nyie mnapenda trend za kisenge.

  • @joshuamwishawa6653
    @joshuamwishawa6653 Před 7 měsíci +13

    Wandishi kama mnatangaza mpira 😅😅

    • @OscarDzombo
      @OscarDzombo Před 7 měsíci +1

      😂😂😂umeonae mimi hata nlikua nataka kusema yuatangaza mpira tanzania na congo

    • @gloryjimson9831
      @gloryjimson9831 Před 7 měsíci

      Nimecheka kama mjinga

    • @alvohslizer254
      @alvohslizer254 Před 7 měsíci

      😂😂😂😂😂

  • @Kaysam.
    @Kaysam. Před 7 měsíci +1

    Wanapendana wakionana wanapatwa na mhaho wote wawili na wote wanafurahi sana wakionana

  • @MariaMafa-d3e
    @MariaMafa-d3e Před 7 měsíci

    Jamn achani kuhangaikaa kajala respect sanaa achana na hao wajinga♥️♥️❤️❤️❤️❤️❤️💝💝💝💝💝💝💝💝💝❤️❤️❤️❤️

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Před 7 měsíci +5

    Konde na lamata ni dada akd sana ana mresspekt Lamata

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Před 7 měsíci

    Kajala huyo ni ndege wako harmonie tu mwache aende Ila atarudi tu❤❤❤❤

  • @barakaalfred1491
    @barakaalfred1491 Před 6 měsíci

    Media mnakosea sana mnapoalikwa kenye ishu kubwa ya kitaifa halafu mnajitoa kwenye mstari kwa kutaka kutuonesha vitu personal, watu wamekuja kwenye ishu ya cancer kuinua uelewa katika jamii ninyi mnataka kufanya enterview na mtu on personal affairs!!!

  • @LuluLevy
    @LuluLevy Před 7 měsíci +1

    MBONA SIJAMUONA JUA KALI

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 7 měsíci +4

    Kwahy tumuangalie kajala au tukio

  • @abdallahmzee7677
    @abdallahmzee7677 Před 7 měsíci

    Nampenda sana kajali hajali lolote hapo kila mtu hamekuja na lake

  • @user-ho8lh9ke2d
    @user-ho8lh9ke2d Před 7 měsíci +2

    Ila utangazaji baba aiseeeee😂😂😂😂😂 kajala mambo vip😂😂

  • @AminaMaziku
    @AminaMaziku Před 7 měsíci +2

    Camera yote imeelekea kwa mtu mmoja tu jamani nchi hiii😅

  • @user-wr7ir1cj5t
    @user-wr7ir1cj5t Před 7 měsíci

    Nch hii

  • @mromalais900
    @mromalais900 Před 7 měsíci +2

    Watangazaji tuwapatie muda wataboresha matukio yao wakijuwa kutoa hapar muhimu na zakweli.

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w Před 7 měsíci +2

    Apa naona kazi ni moja tu ya kumwangalia kajala

  • @MaulidIddy-hi1vu
    @MaulidIddy-hi1vu Před 7 měsíci +1

    Fanyeni kazi hacheni ujinga Mimi napenda watu muonge hoja maoni

  • @satcobedis2874
    @satcobedis2874 Před 7 měsíci

    Kajala ni mpenzi wake MR CHAMPAGNE ya Burundi

  • @EpidordMahovu-t2v
    @EpidordMahovu-t2v Před 7 měsíci +1

    Nyie Wapumbavu. Mnafata Kajala Au Huyo Kenge?

  • @joyRozy-xb9qj
    @joyRozy-xb9qj Před 7 měsíci +1

    Yan kajl n harmonize bad wanapendan

  • @mwangokamedia
    @mwangokamedia Před 7 měsíci

    mh hao wanapendana

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 7 měsíci

    Kajala upo ktk ubora wk mzuri jamini HP hn mekap

  • @SalmaSamir-df3tz
    @SalmaSamir-df3tz Před 7 měsíci +2

    Yani camera inamfwata tu kajala kila saa

  • @user-kd7kh1io9k
    @user-kd7kh1io9k Před 7 měsíci +2

    Hahaha! Waaandishinyie niufalatuu yaani mmemfuata kajala hakuwajibu nammesema kwasababu konde yupo mbona nakondenae hakuwajibu walahamjasema kwakua yupo kajala?

    • @ashaahmad720
      @ashaahmad720 Před 7 měsíci

      hiv mpaka leo huzijui media za Tz 😅😅😅 n wajinga aloooh yan lazima watafute cha kusema ili sie tuangalie la sivyo nakwambia hawataingiza chochote

  • @AluvenceNdelwa
    @AluvenceNdelwa Před 7 měsíci

    Waandishi respext sanaaaa

  • @JacqDaniels-hu5xj
    @JacqDaniels-hu5xj Před 7 měsíci +2

    Kajala kama katoto jmn❤

  • @ben_digital
    @ben_digital Před 7 měsíci +1

    Dar kuna Joto walah...cheki wanavyohaha kujipukuta

  • @weekendservicechoir
    @weekendservicechoir Před 7 měsíci +2

    HOSHEN LOOD....HAPO NI OCEAN ROAD MZEE

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před 7 měsíci +3

    Kajala na hamo nawapenda jmn

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 7 měsíci +1

    KWELI MTU NA MTUWE,,,HARMONIZE WA KUPIGWA NA JUA..

  • @neemapraigory8832
    @neemapraigory8832 Před 7 měsíci +2

    Muacheni kajala

  • @paulalove1223
    @paulalove1223 Před 7 měsíci +3

    Kajala ana mwili mzuri anajitahd kujitunza

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 Před 7 měsíci +3

    Watangazaji ovyooo

    • @barakaalfred1491
      @barakaalfred1491 Před 6 měsíci

      Ni mazezeta! wanakosa kukomaa na kauli mbiu ya tukio wao wanalenga kuulizia mambo ya umbea tena personal. Eti hawakutegemea Harmonize kuja hapo kwanini asije ikiwa amealikwa???

  • @swesschao3095
    @swesschao3095 Před 7 měsíci

    Tanzania wanao gawa tigo wenye hawana tabia nzuri ndio mastar huko

  • @CarimoBenzema
    @CarimoBenzema Před 7 měsíci +24

    Kajala amekonda

  • @shadowkasi6881
    @shadowkasi6881 Před 7 měsíci

    Mtangazaji fala

  • @agneslozi867
    @agneslozi867 Před 7 měsíci

    😂amefanya vizuri mnaujinga watu wamekuja na mengine mnaongea kajala harmonize kwani hiyo ndio mada ushenzi wenu harmonize huyo kwiyoooo😏😏😏😏

  • @KabataTarented
    @KabataTarented Před 7 měsíci

    Jmn lamata ni kibonge

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 Před 7 měsíci

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @kaylin5776
    @kaylin5776 Před 7 měsíci

    Hajashindwa ameketaaa😅😅

  • @tabithamathias8370
    @tabithamathias8370 Před 7 měsíci

    Wana habari wanaboa jambo lililowapokea ni jingine na wanachokazia ni kingine

  • @vincentndonye7989
    @vincentndonye7989 Před 7 měsíci

    Watangazaji ovyo😢😢😢

  • @HalimaAbdalla-ce7zj
    @HalimaAbdalla-ce7zj Před 7 měsíci

    Waandishi wa habari haki ya munyu washakun aku

  • @chimamilion
    @chimamilion Před 7 měsíci +1

    Tukio la lamata hamjaliona mmewaona kajala na harmo

  • @omardini5112
    @omardini5112 Před 7 měsíci

    Kajala for konde..wanaendana

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Před 7 měsíci

    Kwani Harmonise nani kwake. Kweli watu wa habari wa Bongo hamna issue. Kwani salam lazma. Kwani ndio habari mlioifaya uhusiano wa Kajala na Harmonise? Wacheni ushamba huo unawawasha sana mkiona mambo yasiowahusu. Kama hamna la kusema linalohusu. Kakojoeni mkalale.

  • @shekhamohd4891
    @shekhamohd4891 Před 7 měsíci

    Ufisadi tu mlonao hamkuona mtu wa kumuhoji mpaka kajala tena baada ya kumuona x wake ujinga umekushikeni

  • @user-eo9cl7fy5r
    @user-eo9cl7fy5r Před 7 měsíci +1

    Kwan Kaz hapo n kajala na harmonize au imekaaje mbona watanzania tunakua wa ovyo mno

  • @EsterMaxwell-p2c
    @EsterMaxwell-p2c Před 7 měsíci

    Watangazaj waovyo

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Před 7 měsíci

    Hawa waandishi wanashida gani?

  • @SamiraIddy
    @SamiraIddy Před 7 měsíci

    Ifike Mahali muongelee kinacho husika acheni kupamb ujinga

  • @brucerashfordke5102
    @brucerashfordke5102 Před 7 měsíci +1

    Kajala bila harmonize hamna mtu

  • @timamulituto
    @timamulituto Před 7 měsíci

    Asaiv kajala Tako alipo 😂😂

  • @phelgonaamondi8547
    @phelgonaamondi8547 Před 7 měsíci +1

    Habari ovyo,,, it’s cancer campaign n you only focus on irrelevance????

  • @user-ir1ci1lo5y
    @user-ir1ci1lo5y Před 7 měsíci

    😊😊😊😅

  • @Gregoire-2006
    @Gregoire-2006 Před 7 měsíci +1

    Ivi uyo lamata ana cancer kweli ama

  • @LawrenceBukuku
    @LawrenceBukuku Před 7 měsíci +1

    mmeacha kilicho waleta mnataka umbea

  • @JOCENTE
    @JOCENTE Před 7 měsíci +2

    Nonsense

  • @RamseyOmmy
    @RamseyOmmy Před 7 měsíci

    Sasa nyinyi mmfuta nn apo mambo yenye mmefuata mengine mwatuambia mengine shenz

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q Před 7 měsíci

    Harmo kamchunia kajala maneno ya mjini ni posh queen tu

  • @JudithKimaro-fw6dd
    @JudithKimaro-fw6dd Před 7 měsíci

    Kajala ringa maana naona umefatiliwa ww t

  • @mamapeace6730
    @mamapeace6730 Před 7 měsíci

    Gabilieli mtanzania acha makasiliko kwa kajala wewe fwata yako kama mama yako hajipendi acha kufwatilia kajala fwata yako

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 7 měsíci

    mbona kajala mnampa kichwa kama ni mwanamke mzuri sana mbona malaya mtoa mimba mpaka kaamburia mtoto mmoja kwa kujiona atazeeka akizaa ndio yare ya wema sepetu katoa mimba mpaka. mfuko waa uzazi

    • @user-vd6kg7os5z
      @user-vd6kg7os5z Před 7 měsíci

      Ila ww mungu anakuona kumhukum mwenzio usimhukum mwenzio kabra ww hujahukumiwa Kwan wakati anatoa izo mimba ww ulikuwepu kuwa na mtoto mmoja ni maamzi yk mwenyew jaman tusiftiliane kamaivo jaman kwenyaisha haipendz na Wala cy vizur

  • @pettymauzo8414
    @pettymauzo8414 Před 7 měsíci

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hawa wandishi jaman

  • @loth5
    @loth5 Před 7 měsíci

    mtangazaji ovyo

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před 7 měsíci

    Hamna content nyinyi sasa kajala ameingiaje

  • @joyRozy-xb9qj
    @joyRozy-xb9qj Před 7 měsíci

    Amekata nn

  • @user-ms4fx5fb9l
    @user-ms4fx5fb9l Před 7 měsíci +1

    Kichw kibaya😂

  • @user-ev6bq9gf1f
    @user-ev6bq9gf1f Před 7 měsíci

    Watangazaji uchwara maswala

  • @mfaumezahoro9449
    @mfaumezahoro9449 Před 7 měsíci

    Wewe ni professional wa kazi hii kweli au unakurupuka?

  • @AnthonyAnatory
    @AnthonyAnatory Před 7 měsíci

    Watarudiana tu

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e Před 7 měsíci +2

    Kajara kaisha jmn kazeka

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q Před 7 měsíci

    Kajala mbona kabakia mchogo tu

  • @suedhabibu3665
    @suedhabibu3665 Před 7 měsíci

    Hoshen lod ni wapi kwani

  • @bbyfei
    @bbyfei Před 7 měsíci +1

    Watangazaji wengine n wapumbavu sna kma nyie hamjui kaz zenu apo mmefata kuonesha shuhur inaendaje au kuangalia mood za watu shenzi kbsa nyie

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Před 7 měsíci +5

    mbona mc ni kama shogaa

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 Před 7 měsíci

    Wandishi tolo zenu

  • @BabanahShoo-ms1cq
    @BabanahShoo-ms1cq Před 7 měsíci

    Kajalaa ndo mdudu ganiii

  • @kaylin5776
    @kaylin5776 Před 7 měsíci

    Usenge nyie😅

  • @themontanas1852
    @themontanas1852 Před 7 měsíci +2

    Wacheni kudharau wanawake

  • @munashabani
    @munashabani Před 7 měsíci

    Watangazaji wa ovyo kabisa

  • @devotalaiton5888
    @devotalaiton5888 Před 7 měsíci +1

    Kajara kakonda jaman

    • @faridalihondo3322
      @faridalihondo3322 Před 7 měsíci +3

      Hajakonda kapungua c anakesha gym😹

    • @MarrylinellyMshana
      @MarrylinellyMshana Před 7 měsíci +1

      Kama unaona unene ni dili nenepa wewe kajala anaipenda afya yake kila siku yuko gym

    • @LethisiaNjika
      @LethisiaNjika Před 7 měsíci

      Kapendeza sana,anajua kujitunza,pia ni mtu maarufu ndo maana Kila kitu nikajala tu

    • @marrymwashinga1942
      @marrymwashinga1942 Před 7 měsíci

      Unene ugonjwa sio sifa

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 Před 7 měsíci +1

    Ndio kajara aend uchi. Hapo lazima wagonjwa wapate unafuu

  • @MadalenaInacio-nh4lo
    @MadalenaInacio-nh4lo Před 7 měsíci

    Umbwa

  • @msindimalugendo8252
    @msindimalugendo8252 Před 7 měsíci

    Waandishi umbea tu ndiyomnaoutafuta

  • @alexsulle9683
    @alexsulle9683 Před 7 měsíci

    Waandishi wa bongo kwaiyo nyie mlienda kutafuta umbea au kufanyia kazi mlichosomea

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 Před 7 měsíci

    Tatizo watu wanao abudu mapenzi utawaona tu tukio muhimu sana wao wanaleta mapenzi ujinga kabisa ivi ukizungumzia uo ugojwa wanajua uzito wake wajinga kabisa😏😏