KWA MARA YA KWANZA OMMY DIMPOZ AFUNGUKA YA BABA YAKE WA SUMBAWANGA “HAKUMZIKA MAMA,SINA MAPENZI NAE”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2022

Komentáře • 949

  • @annwanjiru8897
    @annwanjiru8897 Před rokem +113

    Umeogea ukeli kaa mimi baba mtoto wangu alikataa mtoto wangu nikiwa na miba.sasa hivi ajitokeze siwezi kubali na hiyo May God bless you

    • @elishajuma2615
      @elishajuma2615 Před rokem +1

      Xaxa xikaja kukusaidia kulea au nawew mtoto kaixhakua star

    • @lalyilaoman5800
      @lalyilaoman5800 Před rokem +2

      Tena huyo mzee chizi, haupati laana yoyote mm mtt wang hajawai hata kumuona baba yake mm ndio kila kitu anasubir kesho na kesho kutwa waje walalamike mm baba wafulan nawachukia mababa suruali

    • @jackyluns8224
      @jackyluns8224 Před rokem +2

      @@lalyilaoman5800 pole,Mimi naita madumeee misuruali haswaa

    • @umarwa6915
      @umarwa6915 Před rokem

      Ata mm

    • @123kerim23
      @123kerim23 Před rokem +1

      Mjifunz sasa dad zetu msipend kutegeshea wat mimba kila kitu ni makubalian ya wawil uko sik zako za hatr tumia soksi atak sepa mtakuw masing parent wa kutosh kam hamjitambui..

  • @Baby-ps3xk
    @Baby-ps3xk Před rokem +19

    Story yako ommy ni kama ya mwanangu mungu akusimamie kwa kila japo mkatae saba mara sabini

  • @ladyr.hamsini2311
    @ladyr.hamsini2311 Před rokem +37

    Wa llahi 😭 dimpozy tupo pamoja 🤝 Sana kakangu,na nimekupenda buree 🥰wa nataka waume hii iwe dawa kwa waume wote

    • @makoledukani6425
      @makoledukani6425 Před rokem

      Nikwel

    • @husnasamdia4176
      @husnasamdia4176 Před rokem

      Alhamdulilla, Mimi nimelea mtoto wangu ,ikiwa na mimba aliambiwa ukinitaja nitakuwa,basi nimelea mtoto wangu, kwakweli nashukuru mwenyenzi Mungu,Leo hii mwanangu ananipenda

  • @dianamsangawale9925
    @dianamsangawale9925 Před rokem +85

    Ommy muombee baba yako aishi maisha marefu ili azidi kuona mafanikio yako na iwe fundisho kwa wengine

  • @elizabethmwalukomo9949
    @elizabethmwalukomo9949 Před rokem +6

    Wazazi upande wa wanaume mjifunze hapa jamani,,
    Wazazi kama hawa wapo wengi sana,, ukijua kuzaa jua na kulea watoto bila kubagua,FUNZO HILO. Pole sana Ommy
    I wish angekuwepo mama yako aenjoy maisha😪

  • @katetejoseph7290
    @katetejoseph7290 Před rokem +12

    Safi sanaaaa Ommy, kila mtu apambane n hali yake...

  • @somji_tz5389
    @somji_tz5389 Před rokem +1

    Mungu Anizidishie Kipato..
    Kamwe Siji Kutelekeza Watoto Wangu..
    Watoto Ndiyo Ndugu Wa Ukweli...
    Ommy Amkazie Huyo Dingi Mpaka Mwisho..

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Před rokem +1

    Mmmmh Mzee umeongeaa kiumeee🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥 asa Mwijaku nae wakuumiza kichwaa Akili hamnaa yulee

  • @samwelizetii4479
    @samwelizetii4479 Před rokem +13

    Nimekubali Sana broo tumetelekezwa wengi saivi maisha safi hata Mimi natamani Sana babayangu anitafute

  • @sherryeverest2522
    @sherryeverest2522 Před rokem +8

    Ommy pole sana watoto wengi mnoo wanapitia hayo maisha wanaume wengi awapendi majukumu wanapenda ule muda wa kustaregeshana baada hapo wanasubiri wasikie mtoto wako ni mtu flan anaingiza mkwanja hapo ndipo anapotaka kuwa baba
    Wanaume tambuen ile mimba unayoikataa au yule mtoto unamtelekeza na kumkimbia ipo siku utatamani utambulike kupitia jina lake

  • @HellenRanny
    @HellenRanny Před rokem +74

    Kwa yeyote anaeona kama OMMY anakosea, trust me hajavaa viatu vyake pindi alipokua
    anapitia ugumu wa maisha..cz am sure if u do sidhan km kuna mtu angekaa upande wa baba mtu!!!🥺🥺🥺
    🙏🏾Tusiwe wepesi kuJUDGE na kumkandamiza mtt kusamehe au kumuhudumia mzaz wake cz nobody knows a story behind maisha ya kutelekezwa!!
    🙇🏽‍♀️I can relate ndomana namuelewa Dimpoz..
    “THE STRUGGLE IS REAL!!!!🙌🏿”
    Acheni tu..🤦🏽‍♀️

  • @deboraadolfu4011
    @deboraadolfu4011 Před rokem +79

    Najiulizaga kila siku mzazi mwenzangu aliniambia hataki mtoto wa kike kwa mdomo wake na kwa vitendo hajawahi kumhudumia Toka mimba mpaka Leo hajui anaitwa nani hajui anaishi wapi miakq kumi na mitano sasa namwomba Mungu tu anikuzie asome amche Mwenyezi Mungu awe na maisha mazur na mwisho akifanikiwa kumwona baba yake amuulize kwa nini alisema hataki mtoto wa kike kwa nn hakumtunza kwa nn hakua anajua hata jina lake na kwa nn sasa amwite baba ?

    • @nurukiwia93
      @nurukiwia93 Před rokem +2

      pole tupo wengi mama

    • @mamananga2849
      @mamananga2849 Před rokem +2

      Khaaaaa mawazo yake tasa kweli

    • @reganshao
      @reganshao Před rokem +3

      Dah ! Natamani nikufaham zaid lakin basi tu dada yangu ,pole sana , mtumaini Mungu kila wakati na usiongee chochote kuhusu huyo mwanaume nyamaza tu ,kuna siri kubwa katika kunyamaza ,hakika inaumiza ila we nyamaza tu

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před rokem

      Utasikia na yeye analalamika mtoto kamkataa

    • @raphaelnkwabi9676
      @raphaelnkwabi9676 Před rokem

      itakusaidia nini ?

  • @dinnahsamwel9607
    @dinnahsamwel9607 Před rokem +51

    Well said jamani 🥺 Mungu anipe umri mrefu nimlee mwanangu Imani♥️🙏

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před rokem +12

    Safi sana Ommy! Ungekuwa maskini acngekutafuta.

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Před rokem +1

    Pole sana Ommy Dimpoz wahenga walisema Fainali Uzeeni.....alidhani atakufa mapema Mungu kataka ayaone Matunda yako...Relax
    Happy birthday to U darling.

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Před rokem +2

    Duh...hiii ni fact tupu I say...wababa tunafeli wapi kushindwa kuwashughulikia watoto zetu na wakati tumekula raha na mama zao kitanda kimoja then tunawaachia wamama wanateseka maskini na kudhalilika mitaani....Ila pia kijana OMY umeongea point kwny uislamu mtoto wa nje ya ndoa sio wa baba na hawarithiani hawa..So hili la kukutupa na kuzaa nje ya ndoa inatosha kumuwacha na yeye akala nyota ya jiwe....Imeisha hiyo iwe funzo kwa mababa wengine...I swear ya kwamba ntakula, kuvaa, kuishi na kulala na wanangu mpaka roho yangu itapochukuliwa...Love u my children.

  • @bensonshukuru8181
    @bensonshukuru8181 Před rokem +30

    BigUp brooo nimekubali ndo inavyotakiwa...Mimi nakuunga mkono 👊👊

  • @erickjmgema3923
    @erickjmgema3923 Před rokem +17

    Mwijaku siku zote uwa ni mnafiki..sasa kama alikuwa ana jua hayo yote ali yaonyesha ya nini..ni kweli ata mimi baba yangu alini chukia ivyo ivyo ommy kama wewe..we piga kazi mungu ata kusimamia..

  • @itNeza
    @itNeza Před rokem +18

    Ommy Big Up Mafunzo Haya tena yanatufunza Sisi Vijana. ( Nipo na Wewe 100% ) ❤️✅☑️

  • @mtausi6995
    @mtausi6995 Před rokem +1

    Kukosea kupo na kusamehe kupo,Achana na mitandao Omary msamehe baba yako alijikwaa na huna mzazi mwengine ebu rudisha upendo huyo ndio mzazi wako aliebaki mpendw maisha yaendelee .Hivi ndivyo pepo inavyotafutwa maneno ya watu yasikuvuruge.
    Nakushauri msamehe baba alafu utaona maisha yako yatavyonyooka zaidi

  • @eugeniaevarist1697
    @eugeniaevarist1697 Před rokem +56

    Kuwa baba sio kuwa na watoto, kuwa baba ni kuwajibika kwa wototo. Ommy D big up brother. Hakuna laana yeyote itakayokupata kutoka kwa mtu ambaye hakuwajibika

    • @paskaziasholla7471
      @paskaziasholla7471 Před rokem +1

      Anatakiwa kusamehe

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem +2

      Kwanza anayetoa laana ni mungu si binadamu

    • @aishajuma18
      @aishajuma18 Před rokem +3

      Yana watu banah wanaona rahisi sana kusamehe sijui wao wangeweza kusamehe gafra gafra tu

    • @lailaoman3856
      @lailaoman3856 Před rokem

      Sana,na baba ana zambi itakompata kumtenga omi,maana siwa alali yake,zambi itabakia kwenye uzinifutu

    • @lailaoman3856
      @lailaoman3856 Před rokem +1

      @@ahz6907 nakwanza amusu kwasababu si baba yake,yani omi kapatikana nnje yandoa uslam,ndounavyo sema mtoto wannje yandoa ni wamama, siwa baba duniani mbaka fil akhera

  • @bettymasitsa9504
    @bettymasitsa9504 Před rokem +3

    Ommy uko sawa kabisa ❤️❤️❤️wanajitokeza wakati watoto wako sawa

  • @jamilalucas5274
    @jamilalucas5274 Před rokem

    Yani umenitonesha ommy umenitonesha kidonda changu nakuombea kwa mw/mungu uwe baba Bora kwenye kizazi chako ♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 Před rokem +18

    Mwijaku Ana Mambo Ya Kitoto Sana .. Anyways Utoto Ni Wa Kwake.... But ommy Yuko Sawa ,Mm Binafsi Nampenda Baba Yangu Coz Amenilea Na Kunipenda Na Mama Yangu The Same ... But Wasingefanya Hvyo Nisingekuwa Na Mapenz Nao .. Fullstop

    • @saraphinasahani5104
      @saraphinasahani5104 Před rokem +1

      Kama mie

    • @sergiopauloagostinho7322
      @sergiopauloagostinho7322 Před rokem

      Ommy a djakoseia amioguea visury alikua na mama bila o pendo WA Baba Sasa leu mungu ka mbariki a me pata rizik ,Sasa uyo baba anataka kudjisogueza kwa Ommy sio visury aendelee na maicha yake,Samany mimi ni Moçambicano sidjui kwandica viry lugayeno.

  • @bigdad1816
    @bigdad1816 Před rokem +30

    Well said Brother msamehe mzee wako sisi wote hapana duniani sisi wote ni wapita njia mimi mwenyewe Baba yangu Mungu hamrehemu alinitupa lakini nilipofanikiwa nikamsamehe na mpaka mauti yanamkuta nilimuuguza bila kuwa na chuki moyoni wala hasira wewe endelea kupigana lakini mzee msamehe wazee wetu wa zamani wengi uelewa wao ulikuwa mdogo na mazingila waliyokulia sio kama Leo our generation ni tofauti.
    Pls toa hasira chuki uchungu moyoni naona wewe ni mcha Mungu so forgive him and let it go na pia epuka kujibishana kwenye mitandao. Talk to him try to educated him.

    • @lalyilaoman5800
      @lalyilaoman5800 Před rokem +4

      Hakuna kusamehewa ale raha yy kwa msaada upi alioutoa kwake

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před rokem +1

      Si babaake ndo mana kidini hawana uhusiano Wa baba na mtoto

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před rokem +1

      Huyo Mzee hautaji msamaha anachotaka ni msaada angekuwa anataka msamaha angekuja wakati hajafanikiwa

    • @bobjulieoneheartband
      @bobjulieoneheartband Před rokem

      Exactly hii dunia tunapitaaa amsamehe

    • @bobjulieoneheartband
      @bobjulieoneheartband Před rokem +2

      Ilaaa Mwijako has a very shallow Mind

  • @rehemabryson5101
    @rehemabryson5101 Před rokem +4

    Uko vizuri ommy,wababa kama hawa wanastahiki na kupigwa na bastla kabisa,enzi anakula bataaa alijiona maisha yotee kayapitia fainali sasa ndio anaiona uzeeni shenzi kabisa.

  • @nurukidakule9468
    @nurukidakule9468 Před rokem

    Barikiwa kaka sana, Mungu akutunze tu, Mungu HUWA ni wa huruma, hatuchukulii kama wanadamu wanavyotuchukulia, ukionekana ni wa nini leo, kesho thamani YAKO itaonekana

  • @fredrickallan5437
    @fredrickallan5437 Před rokem +11

    Umeongea ukweli kaka na mwijaku anakosea sana hasitumie njia ya kutafuta ugali wake kwa kuwatumia wazazi wa aina hiyo.

  • @mussangali1694
    @mussangali1694 Před rokem +5

    Namuunga mkono ommy dimpoz maana yaliyonikuta yanafanana na situation ya maisha niliyopitia kabisa yani wazee wetu mfumo wa hovyo sana bila kujua anayepanga maisha ni mungu na sio mwanadamu maana nakumbuka hata me toka nimezaliwa sikuwahi kupata malezi wala huduma yoyote kutoka upande wa mzazi wangu wa kiume sasa je nitakuwaje na upendo zaidi kwao

  • @sanurahaji5194
    @sanurahaji5194 Před rokem +10

    Mwijaku mnafiki sana na mchonganishi baba mtu mzima Hana hekma

  • @petersimba3663
    @petersimba3663 Před rokem +1

    Pole sana ommy dimpoz mungu alikunyanyua wewe kwasb baba yak alimsaliti vibay sana mama yak we usijl hakuna laana itakupat mungu yuko na ww ndo mana uko juu

  • @queenmollel6739
    @queenmollel6739 Před rokem +2

    Ila Ommy samehe mtendee wema japo kidogo, Mungu mwenyewe atakubariki

  • @natashakindamba4351
    @natashakindamba4351 Před rokem +18

    Watu wambezi tujuwane hapa omy kasema atakula nasisi ,💞💞

  • @stevenmwakisimba8282
    @stevenmwakisimba8282 Před rokem +5

    Umejitambua kijana dimpoz huyu mshikaji kakwama Kwann asikuite?

  • @charlesmatesorehani5012
    @charlesmatesorehani5012 Před rokem +1

    Uko sahihi kaka Mungu akubariki kwa kauri nzuri umetowa

  • @goldengordian6835
    @goldengordian6835 Před rokem +1

    Pole sn Bro... ua not alone! Tupo wengi! Kubwa ni Kusamehe na Kumtanguliza Mungu.

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 Před rokem +11

    SAFI SANA, WABABA NDIO WALIVYO KUKIMBIA WATOTO. IVYOIVYO

    • @harmonymattondo4042
      @harmonymattondo4042 Před rokem

      Mm Mama alinikibia na hajawahi kufanya chochote ktk maisha yangu.Hata aliposikia baba angu amefariki hakuja msibani wala hajawahi kuja kunijulia hali....

    • @zaydelabay9776
      @zaydelabay9776 Před rokem

      @@harmonymattondo4042 pole sana lakini wababa ndio wanaongoza. Pole ulipata mama mbaya

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 Před rokem +7

    Naomba mungu watoto wangu wajekuwa na maisha mazuri baba yao ajeaumbuke kama huyu Mzee ninavyoteseka hivi mungu Ndo anajua

    • @dotnatajoseph2620
      @dotnatajoseph2620 Před rokem

      Inshallah mungu yu pamoja nawe

    • @salumally926
      @salumally926 Před rokem +1

      Ommy hakuna kitu kinauma kama kuishi na mzee mmoja alafu mtu anakukimbia anakuja kujileta piga chini kula Bata tu dogo.

    • @ameenaameena1224
      @ameenaameena1224 Před rokem

      @@dotnatajoseph2620 Ameen🤲🤲

    • @fridamusa8152
      @fridamusa8152 Před rokem

      Inshallah mungu atamuumbua zaidi ya huyu

    • @aflahabdula4084
      @aflahabdula4084 Před rokem

      Ameen Ameen atakufanyia wepesi mmungu

  • @zaitungosbert9495
    @zaitungosbert9495 Před rokem +1

    Dah inauma.sanaaa MUNGU nisaidie nimlee mwanangu awe na moyo kama wako nakupendaaa

  • @annababuya233
    @annababuya233 Před rokem +1

    Uko sahihi kabisa omy, maana wanaume wanachukulia pow sana kuwatelekeza watoto, haya ndo yanayotokea baadae, mungu akupe maisha zaidi ya hapo! Mungu pekee ndo anaratiba ya maisha ya Kila mtu

  • @tifahhamiar8739
    @tifahhamiar8739 Před rokem +3

    Umeongea point Sana ommy..na hio iwafikie wababa kama Hao wenye roho za ubinafsi....na adhabu kwa juu Sana...yaani siwapendi na sio Sawa hata Kwa mwenyezi Mungu....sisi wote ni binadamu tunaitaji faraja na upendo niwe wa nje au wa ndani kwani mi mtoto kosa langu...hana aibu huyo mzee na wazee wote wenye tabia kama hizo

  • @allysimon2800
    @allysimon2800 Před rokem +6

    Hakuna aliyesahihi katika haya maisha msamehe baba yako amejifunza.

  • @fatmachambo1188
    @fatmachambo1188 Před rokem +1

    Pole sn kua n msimamu huo huo mungu azidi kukupigania inshallah kakangu

  • @gracemrope6198
    @gracemrope6198 Před rokem +1

    Ommy umenikumbusha mbaaali sana..umenipa mawazo sàana.ila pia umenitoa machozi🤲🤲🤲 🙏🙏🙏🙏

  • @African511
    @African511 Před rokem +35

    Wazee wa sasa wanafer sana,hii situation inatokea sana kwenye hii life ikiwagonga hawa wazee,ndio wanaanza kufuatilia vijana wao,wakiwa wako safi kwa uchumi,wababa badilikeni acheni mambo hizi ninyi wazee.

  • @zainabujuma7870
    @zainabujuma7870 Před rokem +4

    Nakuelewa sana dimpozi anaekulaumu hajajuauchungu wakulelewa namam pekeyake wakati baba yupo hataki kujua majukumiyake halafu leo anajitokeza baba fulani inauma Sana napole Sana nimeumia Sana wababa wanatakiwa wajifunze kutekeleza majukumu yawatoto hata kamaunamaisha magumu kiasigani hataupendo tu wamtoto muonyeshe lakini wapi mtu unakuta tangu azaliwe hamjui baba nababa yupo kweli hivi kweli mtoto akikua wataka akutambue Kama baba

  • @onetoanotherglory2024
    @onetoanotherglory2024 Před rokem +1

    Ommy Baba ni Baba analo la kukupa ,hata kama sio tajiri Amin nakuambia

  • @aishafahdi8355
    @aishafahdi8355 Před rokem

    Safi Sanaa nakuelewa Ommy na mim nakusii simama na msimamo wako huo huo!❤️❤️👍. Wengine watajifunza

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673

    Baba yako amekosea Sana.Lkn jukumu lako kumsamehe tyu bure na kushea nae baraka alizokupa Mungu. Usihesabu makosa maana Mungu angetuhesabia makosa
    Yetu, kweli tusingelikuwepo Leo.Shetani alimpotosha Baba yako akakukimbia,chunga shetani huyo huyo asikupotoshe na wewe umkimbue baba yako, ,maana mbele za Mungu mtakuwa na makosa yaliyo fanana wewe na baba pia

    • @ibrahimmakasi4690
      @ibrahimmakasi4690 Před rokem

      Usirahisishe hakuna shetani hapo.... Acha mzee nae asote kama alivyosota jamaa na hata laana haipo hapo

  • @djkayumba
    @djkayumba Před rokem +5

    Mwijaku hanaga akili timamu huyo jamaa ni chizi mi nawambia

  • @sophierseyyd1162
    @sophierseyyd1162 Před rokem +2

    Achana nae asikuumize kichwa kula maisha alijua utakuja kuwa mwiz au alijua utkua mtu ambae haelewek Mungu anajua kuwaumbuwa watu km hao kajua utateseka ndo Kwanza Mungu anazid kukunyooshea
    Mm hap mjmzt mwanaume kanikataa akinambia nitoe au nitafute mwanaume mwingine sina mama Sina baba nailea mimb yang kwa tabu Sana
    Nina iman ipo siku CZ Allah hulipa hapahapa dunian shd ninazopitia kesh uje useme Nina mtt Wang ooh MTT Wang Aiseee 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 Allah anipe nguvu nielee MTT Wang vyema InshaAllah 🙏🏼

  • @maromedia6272
    @maromedia6272 Před rokem

    Wimbo mpya wa Bahati Bukuku Ft Madam Martha (Baraka) & Christina Shusho Ndoa czcams.com/video/YPdroiDXKjM/video.html

  • @mariamone2406
    @mariamone2406 Před rokem +5

    Msiterekeze watoto hata Kama humpendi mama wa toto mtumie hata matumizi kidogo

  • @sanaayetu4615
    @sanaayetu4615 Před rokem +3

    Omyy dimpoz brother,!! Nakubali ulichokiongea nifact na ni point sana !! Wew pekeeako ndiye unayejua maisha uliyo yapitia kaka lakini ikumbukwe tuuh!! Hata kwenye kitabu cha Allah inajulikana kuwa ndie baba alie kutaa kiunoni mwake, haina budi kumweshu nakusamehe yote fadhila zitatoka kwa Mungu kakaangu mfanyie kheri baba ako kwakumshukuru kwanamna ya kukuleta duniani broo Nakuomba mpe fadhila ata kidogo coz ni baba mzazi uyo kula nae meza moja mwonyeshe upendo nayeye ndiye alie mpa furaha marehem mamaako kabula ya yote ayo huwez jua season behind ila muone ni mzazi roho ya kisasi kwenye damu yako usithubutu kurehemu Ndo ibaada kuu utamwambia nin Allah ikiwa kwa baba umesema Nooh!! 🙏🙏🙏 Naomba huu ujumbe umfikie ommy kwanamna yeyote please@mirady Ayotv

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 Před rokem

      Mh! Mungu anisamehe

    • @abdallahathman8306
      @abdallahathman8306 Před rokem

      Sio rahis kam unavodhan alaf ksheria mtoto wa nje ya ndoa hatambulk kidin yaan:baba hawez kumrth mtoto wala mtoto hawez kumrth baba kwahyo ksheria ya din hatambulk mtoto ni wamama kam ni wa nje yand0a

  • @neemalema5312
    @neemalema5312 Před rokem +1

    Tuacheni kumsema na kumlalamikia Mwijaku , Hili limetokea ni mipango ya Mungu tu kuwakumbusha wazazi wote wana wajibu wa kuwalelea watoto au mtoto. Pole Ommy

    • @mtonigamba8993
      @mtonigamba8993 Před rokem

      Mwijaku needs to be human enougj not to cross certain bounderies regardless of his profession viti vingine ni personal sio for promotion he is heartless.

  • @tahiyasaeed
    @tahiyasaeed Před rokem +1

    NAKU-SUPPORT 100% OMMY DIMPOZ HUYO MZEE ACHANA NAE KABISA KM ULIVOSEMA KIDINI KWANZA SIO HATA BABA YAKO. HUMRITHI WALA YY HAKURITHI ACHANA NAE…….

  • @zubeirkhamisabdallah8090
    @zubeirkhamisabdallah8090 Před rokem +17

    Ila dini inakuruhusu kama ulkuwa mtoto wa nnje ya ndoa sio babako huyo mama ndio kila kitu achana nae.

    • @stevenlugojeremia2323
      @stevenlugojeremia2323 Před rokem +1

      Zabeir Khamis Abdallah...Ni Dini Gani hiyo inayo elemea upande mmoja?? kuwa ukiwa mtoto wa nje ya ndoa kuwa huna baba?? na kwanini usiseme mama yake pia sio mama yake??

    • @mwajumayassir2251
      @mwajumayassir2251 Před rokem +1

      Dini inakataza mtoto ila zinaa inaruhusu

    • @abdallahally1309
      @abdallahally1309 Před rokem

      Umesha ommy una baya sio ww wazee Kam hao wapo wengi tu usjar

    • @isackmichael1571
      @isackmichael1571 Před rokem

      mwijaku unamamboo ya kishoga mbog

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      @@mwajumayassir2251 unakufuru,,,

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +4

    Itambilike hiyi Mtoto wa nje ya ndoa sio wa Haramu Haram nikile kitendo walicho fanya wazazi Hamna Mtoto Anae tambua twaja kujuwa ukubwani Mungu Atusameh pole sana kweli Inaumaa wazazi wanao telekeza watoto sio poa hakki teseka na mwanao hujuwi ya kesho 🙏😥

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 Před rokem +1

    Ommy hupo sahii sana mpe mtaa tu huyo mzee ana mpango bro hata ukitazama maojiano ya yule mzee unatambua tu mzee yupo duniani kwaji yakuongeza idadi ya watu

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před rokem +1

    Pole ommy wazaz wa hvii weng sanaa ,hata mm nkiwa na jina baba angu aitokeza anadaim mm mwanae ,duuu ntachukua mdaa kumsameheee,ila msamehee tuu kaka

  • @machachehardware5975
    @machachehardware5975 Před rokem +5

    Hapana mzee kwa jinsi alivyo si kwamba anashida sana. Mahitaji yake anakidhi mbona yuko vizuri anavyoonekana cha msingi amsamehe mzee wake maisha yaendelee kuna mengi katika ndoa

  • @unjuinkuganda1991
    @unjuinkuganda1991 Před rokem +9

    STORY Yako na Yangu hazitofautiani sana.

  • @karibunyumbani3824
    @karibunyumbani3824 Před rokem +1

    Yaani ommy unetumia hekima Sana MUNGU akusimamie tu upo sahihi kabisa

  • @anastaziajoseph7682
    @anastaziajoseph7682 Před rokem +1

    Huyu mwijaku ni kichaa.hajuagi hata kuwa kuna mapito katika maisha ya watu wengine

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Před rokem +6

    Wanaume wa kibongo wengi waho wanaroho mbaya wakisha gombana na mama watto wao wanaweka chuki mbaka kwa watto wanawasusa sio vzr mjue mtto unaemtelekeza kesho mungu anamuinua kuriko hao watto hunaowapenda kwa muda huo,sisi wa mama turiochiwa watto tunaptia mengi sana wababa wengi wapo ivyo wanakimbia majukum kwa kigezo atanitafuta tu sasa bola mnavyo wakomesha ivyo ivyo my bro nimefurai sana urivyo toa ushauri kwa waze wanaokimbia majukum mtto akikuwa hanajifanya ndio vidume na.ndio baba?

  • @salmaadil7122
    @salmaadil7122 Před rokem +10

    Kwa dini yetu yakiislam huyo sio baba yako nawala humrithi wala hakurithi chochote kama ww umezaliwa nje ya ndoa...so upo sahihi tu wala huna dhambi broo ishi maisha yako...na jitahid umfanyie sadaka mamaako zitamfikia huko aliko nakumueka pahala pazuri.ammin

    • @bintik2311
      @bintik2311 Před rokem +1

      Salma nimependa ushauri wk.Safi.Allah akulipe

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před rokem

      Bila shaka yupo sahihi. Si babake.

  • @mkadammkadam
    @mkadammkadam Před rokem

    Pole sana Ommy Dimpose pia hongera kwa ufafanuzi wako mzuri.
    Ni mtihani mkubwa lakini Mwenyezi Mungu Muumba atakuongoza.

  • @restitutorcharles4253
    @restitutorcharles4253 Před rokem +2

    Nimejikuta natoa machozi😭 bro nisiongee sana Mungu awatunze wamama wote

  • @hidayyahharoonsulhi8911
    @hidayyahharoonsulhi8911 Před rokem +19

    Thnx bro for narrating such an inspirational story luv udea

  • @marckione5100
    @marckione5100 Před rokem +15

    Uko sahihi ila msamehe maana hata Mungu atajitukuza juu wema wako

    • @zamdakimaro8040
      @zamdakimaro8040 Před rokem

      UMEONGEA POINT

    • @mammam4701
      @mammam4701 Před rokem

      Kabsa

    • @angelraphael8754
      @angelraphael8754 Před rokem +1

      Hamna kumsamehe,ili wengine wajifunze siku hizi wengi wanakimbia majukum ilighali wanajua watasamehewa.

    • @realscholarships-bolde.2344
      @realscholarships-bolde.2344 Před rokem +1

      Kusamehe kasemehe...kunatofauti kubwa ya kusamehe na kujifunza. Kusamehe ni kuponya jeraha ila kujifunza hakuna hisia za mapenzi yeyote.

    • @saralema4589
      @saralema4589 Před rokem +1

      Naona hujamuelewa keshakwambia kua dini yke inasema mtt wa nje ya ndoa ni mtt wa mama Sasa wewe unasema amsamehe amsamehe hyo vpi lbda?

  • @michaelmotika5250
    @michaelmotika5250 Před rokem +1

    Mwijaku hajitambui mnafiki Sana na yeye amuo yeshe baba yake!

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Před rokem +2

    Wababa wanajisahau Sana wanaona ya leo ya kesho hawayaon mungu akutie nguvu ommy

  • @bahatikyusa8864
    @bahatikyusa8864 Před rokem +8

    Story yako ni kama ya mwanangu babaake arimkataa tangia yupo tumboni mpaka kazariwa bado anamkataa sasa anaumri wa miaka kumi na 2 napambana nae mwenyewe mungu yupo na hajawahi kutuacha

    • @simbaboymawe435
      @simbaboymawe435 Před rokem +1

      Umalay wenu pia nao unachangia akuna chiz akatae mtot kama hamkua na migogoro ya fumaniz kweny mahusian

    • @allyrashid3732
      @allyrashid3732 Před rokem

      @@simbaboymawe435 yaan sababu za mtoto kukataliwa hawasemagi,kazi yao kulalamika tu ht ukweli wa jambo kasababisha yeye

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před rokem

      @Bahati Kyusa Huyo mwanaume alikuowa ama mlikutana guest tu.
      Sisi wanaume watoto wa short time huwa tunajua wana mababa hata mia, ukiwa uliolewa tena unatekelezwa hapo nakupa pole.

  • @dancun217
    @dancun217 Před rokem +4

    Clouds maboya,,,,mwijaku mnafki

  • @alicembulumi6903
    @alicembulumi6903 Před rokem +1

    sio wewe tu ommy ata sio wewe tu wengine baba walitukataa mpk mzaz kafa awakukubali kbs mungu anawaona wababa wote wanao kataa watto

  • @lailaasked3570
    @lailaasked3570 Před rokem

    Da inauzunisha sana Pole sana huyu mwijaku ifike mahali ajiheshimu bwana kula raha zako kaja ommy achana nae

  • @latifaalsh5421
    @latifaalsh5421 Před rokem +6

    Yani ommiy wewe hiyo story yako ni Mimi kabisa kinaga ubanga hata mimi baba angu Sina mapenzi naye hata chembe Maan nimeteseka na mama angu hadi leo bado mungu ni mwema na dua la kuku halimpati mwewe dayma acha atangaze Lakin Allah ndo kinga yetu

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 Před rokem +3

    Mwinjaku kayataka yote haya...SALUTE kwa dimpozi...

    • @mdta8161
      @mdta8161 Před rokem

      Mwijaku mie naona yupo sawa Sasa tungepata wapi ubuyu

  • @zipporahogembo142
    @zipporahogembo142 Před rokem +1

    Is a touching story but.. you have to forgive him manaake mahali ulipo ni kwa neema yake mwenyezi Mungu

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 Před rokem

    kazi ya kumuadhibu baba ako ,,sio yako ommy,,niya Mungu mwenyewe,,kumbuka pepo yako ipo chini yake,,, sisi watoto tunapaswa kuwa samehe wazazi wetu,,hatakama walitukosea sana,,lakini wao ndio chanzo cha uhai wetu,,wana daraja kubwa sana kwenye maisha yetu,,msamehe ,na muishi mazuri,,Mungu anapendezwa na maisha ya mapatano sio ugomvi,,mna mpa shetani nguvu na kuwa vuruga familia nzima ,,nakusihi sana ommy,,msamehe baba ako

  • @suleymanally1465
    @suleymanally1465 Před rokem +3

    Mwijaku uchale umezidi mpaka unakuwa bwege, hicho unachokifanya sio sfa Bali unamtia unyonge dimpoz kwa kutaka kwako misifa, na wote wenye akili timamu tumekudharau mnoo

  • @winny973
    @winny973 Před rokem +14

    Ni kweli namjua huyo mzee tena huwa anajitangaza kabisa yeye ni baba wa ommy dimpoz, anajisifu balaa na bajaji yake pale sumbawanga mjini

  • @audreyirakoze7807
    @audreyirakoze7807 Před rokem

    🤝🤝 pole sana Ommy Allah akupe umri mrefu 😘🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 Před rokem +2

    Pole sana na Hongera sana umewafundisha wa baba wengi wanaotelekeza watoto

  • @rehemamshiko6753
    @rehemamshiko6753 Před rokem +4

    Umeongea vizuri sana ommy kwakweri

    • @clementbulabo7771
      @clementbulabo7771 Před rokem

      Kizazi hiki Mungu atusaidie mzazi ni mzazi tuu hatakama hakutoa hata mia kwako hizo ni bengu zake umetoka kiunoni mwake ujajileta duniani nawala usihisi kama unamukomoa kusema asiwe ukaribu nawewe mari tutaziacha hapa hapa duniani hatukuja na vitu hivyo nivitu vya kupita ila mzazi hapiti samahani ya mzazi iko pare pare hatakama alitaka kukua ukapona ila itabaki kuwa mzazi wako tuu nawaote mnao sapot mtu kutengana na baba yake fikirini kwa mara nyingine mzazi ni mzazi tuu

  • @aishaaisha4082
    @aishaaisha4082 Před rokem +21

    Ommy, i must commend you for having the courage to tell off that man how life goes. What makes you a man is not the ability to make a child, it is the courage to raise it. Ommy this man could be your biological father but he was not in your journey. Dont let him trap you na sarakasi zake

    • @kallandoshija5121
      @kallandoshija5121 Před rokem

      Acha wenge wewe bila baba yake angekuwepo?? Msipende kuropokaropoka!! Heshima kwa baba lazima iwepo haijalishi ni baba wa dhambi gani!! Au unaongea kwa sababu ushabiki kuwa halisi

    • @gracekabuje4183
      @gracekabuje4183 Před rokem

      Ommy uko sahihi kibisa nakuunga mkono bat wengi tumebitia hayo maisha mungu yuko pamoja nawewe sawa na ndomana Kuna maisha mengine baada ya maisha mengine

    • @truthmediatz861
      @truthmediatz861 Před rokem

      @@kallandoshija5121 huyo sio baba yake na dimpoz ni mzee aliyesaidia kurutubisha yai la mama dimpoz mataCall wewe

    • @kallandoshija5121
      @kallandoshija5121 Před rokem

      @@truthmediatz861 kitanda hakizai haramu upo tena awe na heshima na adabu kwa legend wake!!

    • @truthmediatz861
      @truthmediatz861 Před rokem

      @@kallandoshija5121 kitanda cha nyoko !! ndo alishindwa ata kumzika mzaz mwenzie ! Oky hakua mkewe hamhusu , ata kumpa pole mwanae hakueza !! akala bati mazima ! uyo mzee ni kuma tu hakuna cha Legend ni kuma !!

  • @suleimanjuma4443
    @suleimanjuma4443 Před rokem +2

    Broo nmekulewa cn huakika wazee huwa wanazingua sn kutekeleza wtto halfu maisha ykiwa sw hujileta na kupakaza ubaya halfu ndo ukiwa muslamu unahiyar yko kumpa au kutompa maana hta yy hajatenda haki kukuzaa njee ya ndoa Broo achana nae na bora ungekaa kmy ukamucha afanye anavo taka big up

  • @user-ob4ud6qh3j
    @user-ob4ud6qh3j Před rokem +5

    Simpendi mwijaku mnafki Sana huyu Kaka 😠

  • @mubarakatwaha7776
    @mubarakatwaha7776 Před rokem +9

    Hayo maisha tunayo wengi lkn tulisamehe kwa sababu mama zetu walituasa kusamehe, halafu ktk maisha yako Kama umeweza kutengeneza watu na wakakuthamini, na niwengi kuliko baba yako basi wanatosha kuwa baba zako, acha kisasi binaadamu tunakasoro nyingi sana, na uisilamu hauna deni ktk watoto wa aina zetu.

    • @selestinemchome7154
      @selestinemchome7154 Před rokem

      Mambo ni mengi kwa ground,sema tu maza katangulia mbele za haki so hatujui ukweli,unawezakuta hata mama alimwambiaga huyu sio mwanao..ndio dingii akala kona

  • @asiaidd8813
    @asiaidd8813 Před rokem

    Wewe endelea na maisha yako Kaka,Ila mwijaku achana nae yeye anatafuta pesa.pia alitaka tu asikie Hilo baba litasemaje.pambana na Hali yako.

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Před rokem +1

    Mungu atusaidie tu kina baba mjifunze na ndo mnaongoza kwa kutelekeza watoto

  • @OmanCom-ky8tn
    @OmanCom-ky8tn Před rokem +18

    Vizuri omary achana nae mtt wa nnje ya ndoa ni mtt wa mama

    • @yfhff5268
      @yfhff5268 Před rokem +2

      Safi sana ommy dimpoz endelea na maisha yako mazuri hakuna laana yoyote itakayo kupata kwa kumkataa baba alie kutelekezw ukiwa mdogo.kwanini mwinjanku asimchukue km baba wa ziada amsaidie.

    • @lailaoman3856
      @lailaoman3856 Před rokem

      Ujakosea nikweli

  • @fatimamv2723
    @fatimamv2723 Před rokem +4

    We are the same mm pia simjui babayng alinikataaa inauma sn 🥲

    • @hamed_nassoro
      @hamed_nassoro Před rokem +1

      Pole sana fatima

    • @fatimamv2723
      @fatimamv2723 Před rokem

      @@hamed_nassoro Asante ndo hivyo nmeshakuwa unajua watoto w kukataliwa ndo wengi wao ufanikiwa mm sai hata babangu atokee nitamwambia cjui

  • @Karromiatz
    @Karromiatz Před rokem

    Ujinga part 1 👉👉🔞🔞czcams.com/video/ijC18_XGqbA/video.html

  • @ladyr.hamsini2311
    @ladyr.hamsini2311 Před rokem +2

    Upo sahii kaka omiy dimpozy hakuna laana yoyote itakayokupata

  • @victormartin1696
    @victormartin1696 Před rokem +3

    Big boy haukua na haja ya haya yote Clouds tunawajua we got your back

  • @tumaininzunda7206
    @tumaininzunda7206 Před rokem +4

    Umeniumiza stori yako ni kama yangu😭😭

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před rokem +2

    Huyu mwijaku ana umama sana aisee pumbervu kweli kweli

  • @angelinaomare9015
    @angelinaomare9015 Před rokem

    You are right…Mzazi kamili ni ule aliekulea…haijalishi Ni Baba wa Kambo au jamii…Wazazi wengi sana wamezoea kutekeleza watoto wao wanasahau Mungu Ndio anampa Mwanadamu uhai

  • @amanishiughaaa6345
    @amanishiughaaa6345 Před rokem +3

    hakuna raan hap om huy Mzee hajakosa uchawi kwanza kaa naeh mbar