Tena huyo mzee chizi, haupati laana yoyote mm mtt wang hajawai hata kumuona baba yake mm ndio kila kitu anasubir kesho na kesho kutwa waje walalamike mm baba wafulan nawachukia mababa suruali
Mjifunz sasa dad zetu msipend kutegeshea wat mimba kila kitu ni makubalian ya wawil uko sik zako za hatr tumia soksi atak sepa mtakuw masing parent wa kutosh kam hamjitambui..
Wazazi upande wa wanaume mjifunze hapa jamani,, Wazazi kama hawa wapo wengi sana,, ukijua kuzaa jua na kulea watoto bila kubagua,FUNZO HILO. Pole sana Ommy I wish angekuwepo mama yako aenjoy maisha😪
Ommy pole sana watoto wengi mnoo wanapitia hayo maisha wanaume wengi awapendi majukumu wanapenda ule muda wa kustaregeshana baada hapo wanasubiri wasikie mtoto wako ni mtu flan anaingiza mkwanja hapo ndipo anapotaka kuwa baba Wanaume tambuen ile mimba unayoikataa au yule mtoto unamtelekeza na kumkimbia ipo siku utatamani utambulike kupitia jina lake
Kwa yeyote anaeona kama OMMY anakosea, trust me hajavaa viatu vyake pindi alipokua anapitia ugumu wa maisha..cz am sure if u do sidhan km kuna mtu angekaa upande wa baba mtu!!!🥺🥺🥺 🙏🏾Tusiwe wepesi kuJUDGE na kumkandamiza mtt kusamehe au kumuhudumia mzaz wake cz nobody knows a story behind maisha ya kutelekezwa!! 🙇🏽♀️I can relate ndomana namuelewa Dimpoz.. “THE STRUGGLE IS REAL!!!!🙌🏿” Acheni tu..🤦🏽♀️
Najiulizaga kila siku mzazi mwenzangu aliniambia hataki mtoto wa kike kwa mdomo wake na kwa vitendo hajawahi kumhudumia Toka mimba mpaka Leo hajui anaitwa nani hajui anaishi wapi miakq kumi na mitano sasa namwomba Mungu tu anikuzie asome amche Mwenyezi Mungu awe na maisha mazur na mwisho akifanikiwa kumwona baba yake amuulize kwa nini alisema hataki mtoto wa kike kwa nn hakumtunza kwa nn hakua anajua hata jina lake na kwa nn sasa amwite baba ?
Dah ! Natamani nikufaham zaid lakin basi tu dada yangu ,pole sana , mtumaini Mungu kila wakati na usiongee chochote kuhusu huyo mwanaume nyamaza tu ,kuna siri kubwa katika kunyamaza ,hakika inaumiza ila we nyamaza tu
Pole sana Ommy Dimpoz wahenga walisema Fainali Uzeeni.....alidhani atakufa mapema Mungu kataka ayaone Matunda yako...Relax Happy birthday to U darling.
Duh...hiii ni fact tupu I say...wababa tunafeli wapi kushindwa kuwashughulikia watoto zetu na wakati tumekula raha na mama zao kitanda kimoja then tunawaachia wamama wanateseka maskini na kudhalilika mitaani....Ila pia kijana OMY umeongea point kwny uislamu mtoto wa nje ya ndoa sio wa baba na hawarithiani hawa..So hili la kukutupa na kuzaa nje ya ndoa inatosha kumuwacha na yeye akala nyota ya jiwe....Imeisha hiyo iwe funzo kwa mababa wengine...I swear ya kwamba ntakula, kuvaa, kuishi na kulala na wanangu mpaka roho yangu itapochukuliwa...Love u my children.
Mwijaku siku zote uwa ni mnafiki..sasa kama alikuwa ana jua hayo yote ali yaonyesha ya nini..ni kweli ata mimi baba yangu alini chukia ivyo ivyo ommy kama wewe..we piga kazi mungu ata kusimamia..
Kukosea kupo na kusamehe kupo,Achana na mitandao Omary msamehe baba yako alijikwaa na huna mzazi mwengine ebu rudisha upendo huyo ndio mzazi wako aliebaki mpendw maisha yaendelee .Hivi ndivyo pepo inavyotafutwa maneno ya watu yasikuvuruge. Nakushauri msamehe baba alafu utaona maisha yako yatavyonyooka zaidi
Kuwa baba sio kuwa na watoto, kuwa baba ni kuwajibika kwa wototo. Ommy D big up brother. Hakuna laana yeyote itakayokupata kutoka kwa mtu ambaye hakuwajibika
@@ahz6907 nakwanza amusu kwasababu si baba yake,yani omi kapatikana nnje yandoa uslam,ndounavyo sema mtoto wannje yandoa ni wamama, siwa baba duniani mbaka fil akhera
Mwijaku Ana Mambo Ya Kitoto Sana .. Anyways Utoto Ni Wa Kwake.... But ommy Yuko Sawa ,Mm Binafsi Nampenda Baba Yangu Coz Amenilea Na Kunipenda Na Mama Yangu The Same ... But Wasingefanya Hvyo Nisingekuwa Na Mapenz Nao .. Fullstop
Ommy a djakoseia amioguea visury alikua na mama bila o pendo WA Baba Sasa leu mungu ka mbariki a me pata rizik ,Sasa uyo baba anataka kudjisogueza kwa Ommy sio visury aendelee na maicha yake,Samany mimi ni Moçambicano sidjui kwandica viry lugayeno.
Well said Brother msamehe mzee wako sisi wote hapana duniani sisi wote ni wapita njia mimi mwenyewe Baba yangu Mungu hamrehemu alinitupa lakini nilipofanikiwa nikamsamehe na mpaka mauti yanamkuta nilimuuguza bila kuwa na chuki moyoni wala hasira wewe endelea kupigana lakini mzee msamehe wazee wetu wa zamani wengi uelewa wao ulikuwa mdogo na mazingila waliyokulia sio kama Leo our generation ni tofauti. Pls toa hasira chuki uchungu moyoni naona wewe ni mcha Mungu so forgive him and let it go na pia epuka kujibishana kwenye mitandao. Talk to him try to educated him.
Uko vizuri ommy,wababa kama hawa wanastahiki na kupigwa na bastla kabisa,enzi anakula bataaa alijiona maisha yotee kayapitia fainali sasa ndio anaiona uzeeni shenzi kabisa.
Barikiwa kaka sana, Mungu akutunze tu, Mungu HUWA ni wa huruma, hatuchukulii kama wanadamu wanavyotuchukulia, ukionekana ni wa nini leo, kesho thamani YAKO itaonekana
Namuunga mkono ommy dimpoz maana yaliyonikuta yanafanana na situation ya maisha niliyopitia kabisa yani wazee wetu mfumo wa hovyo sana bila kujua anayepanga maisha ni mungu na sio mwanadamu maana nakumbuka hata me toka nimezaliwa sikuwahi kupata malezi wala huduma yoyote kutoka upande wa mzazi wangu wa kiume sasa je nitakuwaje na upendo zaidi kwao
Pole sana ommy dimpoz mungu alikunyanyua wewe kwasb baba yak alimsaliti vibay sana mama yak we usijl hakuna laana itakupat mungu yuko na ww ndo mana uko juu
Mm Mama alinikibia na hajawahi kufanya chochote ktk maisha yangu.Hata aliposikia baba angu amefariki hakuja msibani wala hajawahi kuja kunijulia hali....
Uko sahihi kabisa omy, maana wanaume wanachukulia pow sana kuwatelekeza watoto, haya ndo yanayotokea baadae, mungu akupe maisha zaidi ya hapo! Mungu pekee ndo anaratiba ya maisha ya Kila mtu
Umeongea point Sana ommy..na hio iwafikie wababa kama Hao wenye roho za ubinafsi....na adhabu kwa juu Sana...yaani siwapendi na sio Sawa hata Kwa mwenyezi Mungu....sisi wote ni binadamu tunaitaji faraja na upendo niwe wa nje au wa ndani kwani mi mtoto kosa langu...hana aibu huyo mzee na wazee wote wenye tabia kama hizo
Wazee wa sasa wanafer sana,hii situation inatokea sana kwenye hii life ikiwagonga hawa wazee,ndio wanaanza kufuatilia vijana wao,wakiwa wako safi kwa uchumi,wababa badilikeni acheni mambo hizi ninyi wazee.
Nakuelewa sana dimpozi anaekulaumu hajajuauchungu wakulelewa namam pekeyake wakati baba yupo hataki kujua majukumiyake halafu leo anajitokeza baba fulani inauma Sana napole Sana nimeumia Sana wababa wanatakiwa wajifunze kutekeleza majukumu yawatoto hata kamaunamaisha magumu kiasigani hataupendo tu wamtoto muonyeshe lakini wapi mtu unakuta tangu azaliwe hamjui baba nababa yupo kweli hivi kweli mtoto akikua wataka akutambue Kama baba
Baba yako amekosea Sana.Lkn jukumu lako kumsamehe tyu bure na kushea nae baraka alizokupa Mungu. Usihesabu makosa maana Mungu angetuhesabia makosa Yetu, kweli tusingelikuwepo Leo.Shetani alimpotosha Baba yako akakukimbia,chunga shetani huyo huyo asikupotoshe na wewe umkimbue baba yako, ,maana mbele za Mungu mtakuwa na makosa yaliyo fanana wewe na baba pia
Achana nae asikuumize kichwa kula maisha alijua utakuja kuwa mwiz au alijua utkua mtu ambae haelewek Mungu anajua kuwaumbuwa watu km hao kajua utateseka ndo Kwanza Mungu anazid kukunyooshea Mm hap mjmzt mwanaume kanikataa akinambia nitoe au nitafute mwanaume mwingine sina mama Sina baba nailea mimb yang kwa tabu Sana Nina iman ipo siku CZ Allah hulipa hapahapa dunian shd ninazopitia kesh uje useme Nina mtt Wang ooh MTT Wang Aiseee 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 Allah anipe nguvu nielee MTT Wang vyema InshaAllah 🙏🏼
Omyy dimpoz brother,!! Nakubali ulichokiongea nifact na ni point sana !! Wew pekeeako ndiye unayejua maisha uliyo yapitia kaka lakini ikumbukwe tuuh!! Hata kwenye kitabu cha Allah inajulikana kuwa ndie baba alie kutaa kiunoni mwake, haina budi kumweshu nakusamehe yote fadhila zitatoka kwa Mungu kakaangu mfanyie kheri baba ako kwakumshukuru kwanamna ya kukuleta duniani broo Nakuomba mpe fadhila ata kidogo coz ni baba mzazi uyo kula nae meza moja mwonyeshe upendo nayeye ndiye alie mpa furaha marehem mamaako kabula ya yote ayo huwez jua season behind ila muone ni mzazi roho ya kisasi kwenye damu yako usithubutu kurehemu Ndo ibaada kuu utamwambia nin Allah ikiwa kwa baba umesema Nooh!! 🙏🙏🙏 Naomba huu ujumbe umfikie ommy kwanamna yeyote please@mirady Ayotv
Sio rahis kam unavodhan alaf ksheria mtoto wa nje ya ndoa hatambulk kidin yaan:baba hawez kumrth mtoto wala mtoto hawez kumrth baba kwahyo ksheria ya din hatambulk mtoto ni wamama kam ni wa nje yand0a
Tuacheni kumsema na kumlalamikia Mwijaku , Hili limetokea ni mipango ya Mungu tu kuwakumbusha wazazi wote wana wajibu wa kuwalelea watoto au mtoto. Pole Ommy
Mwijaku needs to be human enougj not to cross certain bounderies regardless of his profession viti vingine ni personal sio for promotion he is heartless.
Zabeir Khamis Abdallah...Ni Dini Gani hiyo inayo elemea upande mmoja?? kuwa ukiwa mtoto wa nje ya ndoa kuwa huna baba?? na kwanini usiseme mama yake pia sio mama yake??
Itambilike hiyi Mtoto wa nje ya ndoa sio wa Haramu Haram nikile kitendo walicho fanya wazazi Hamna Mtoto Anae tambua twaja kujuwa ukubwani Mungu Atusameh pole sana kweli Inaumaa wazazi wanao telekeza watoto sio poa hakki teseka na mwanao hujuwi ya kesho 🙏😥
Ommy hupo sahii sana mpe mtaa tu huyo mzee ana mpango bro hata ukitazama maojiano ya yule mzee unatambua tu mzee yupo duniani kwaji yakuongeza idadi ya watu
Hapana mzee kwa jinsi alivyo si kwamba anashida sana. Mahitaji yake anakidhi mbona yuko vizuri anavyoonekana cha msingi amsamehe mzee wake maisha yaendelee kuna mengi katika ndoa
Wanaume wa kibongo wengi waho wanaroho mbaya wakisha gombana na mama watto wao wanaweka chuki mbaka kwa watto wanawasusa sio vzr mjue mtto unaemtelekeza kesho mungu anamuinua kuriko hao watto hunaowapenda kwa muda huo,sisi wa mama turiochiwa watto tunaptia mengi sana wababa wengi wapo ivyo wanakimbia majukum kwa kigezo atanitafuta tu sasa bola mnavyo wakomesha ivyo ivyo my bro nimefurai sana urivyo toa ushauri kwa waze wanaokimbia majukum mtto akikuwa hanajifanya ndio vidume na.ndio baba?
Kwa dini yetu yakiislam huyo sio baba yako nawala humrithi wala hakurithi chochote kama ww umezaliwa nje ya ndoa...so upo sahihi tu wala huna dhambi broo ishi maisha yako...na jitahid umfanyie sadaka mamaako zitamfikia huko aliko nakumueka pahala pazuri.ammin
Story yako ni kama ya mwanangu babaake arimkataa tangia yupo tumboni mpaka kazariwa bado anamkataa sasa anaumri wa miaka kumi na 2 napambana nae mwenyewe mungu yupo na hajawahi kutuacha
@Bahati Kyusa Huyo mwanaume alikuowa ama mlikutana guest tu. Sisi wanaume watoto wa short time huwa tunajua wana mababa hata mia, ukiwa uliolewa tena unatekelezwa hapo nakupa pole.
Yani ommiy wewe hiyo story yako ni Mimi kabisa kinaga ubanga hata mimi baba angu Sina mapenzi naye hata chembe Maan nimeteseka na mama angu hadi leo bado mungu ni mwema na dua la kuku halimpati mwewe dayma acha atangaze Lakin Allah ndo kinga yetu
kazi ya kumuadhibu baba ako ,,sio yako ommy,,niya Mungu mwenyewe,,kumbuka pepo yako ipo chini yake,,, sisi watoto tunapaswa kuwa samehe wazazi wetu,,hatakama walitukosea sana,,lakini wao ndio chanzo cha uhai wetu,,wana daraja kubwa sana kwenye maisha yetu,,msamehe ,na muishi mazuri,,Mungu anapendezwa na maisha ya mapatano sio ugomvi,,mna mpa shetani nguvu na kuwa vuruga familia nzima ,,nakusihi sana ommy,,msamehe baba ako
Mwijaku uchale umezidi mpaka unakuwa bwege, hicho unachokifanya sio sfa Bali unamtia unyonge dimpoz kwa kutaka kwako misifa, na wote wenye akili timamu tumekudharau mnoo
Kizazi hiki Mungu atusaidie mzazi ni mzazi tuu hatakama hakutoa hata mia kwako hizo ni bengu zake umetoka kiunoni mwake ujajileta duniani nawala usihisi kama unamukomoa kusema asiwe ukaribu nawewe mari tutaziacha hapa hapa duniani hatukuja na vitu hivyo nivitu vya kupita ila mzazi hapiti samahani ya mzazi iko pare pare hatakama alitaka kukua ukapona ila itabaki kuwa mzazi wako tuu nawaote mnao sapot mtu kutengana na baba yake fikirini kwa mara nyingine mzazi ni mzazi tuu
Ommy, i must commend you for having the courage to tell off that man how life goes. What makes you a man is not the ability to make a child, it is the courage to raise it. Ommy this man could be your biological father but he was not in your journey. Dont let him trap you na sarakasi zake
Acha wenge wewe bila baba yake angekuwepo?? Msipende kuropokaropoka!! Heshima kwa baba lazima iwepo haijalishi ni baba wa dhambi gani!! Au unaongea kwa sababu ushabiki kuwa halisi
Ommy uko sahihi kibisa nakuunga mkono bat wengi tumebitia hayo maisha mungu yuko pamoja nawewe sawa na ndomana Kuna maisha mengine baada ya maisha mengine
@@kallandoshija5121 kitanda cha nyoko !! ndo alishindwa ata kumzika mzaz mwenzie ! Oky hakua mkewe hamhusu , ata kumpa pole mwanae hakueza !! akala bati mazima ! uyo mzee ni kuma tu hakuna cha Legend ni kuma !!
Broo nmekulewa cn huakika wazee huwa wanazingua sn kutekeleza wtto halfu maisha ykiwa sw hujileta na kupakaza ubaya halfu ndo ukiwa muslamu unahiyar yko kumpa au kutompa maana hta yy hajatenda haki kukuzaa njee ya ndoa Broo achana nae na bora ungekaa kmy ukamucha afanye anavo taka big up
Hayo maisha tunayo wengi lkn tulisamehe kwa sababu mama zetu walituasa kusamehe, halafu ktk maisha yako Kama umeweza kutengeneza watu na wakakuthamini, na niwengi kuliko baba yako basi wanatosha kuwa baba zako, acha kisasi binaadamu tunakasoro nyingi sana, na uisilamu hauna deni ktk watoto wa aina zetu.
Mambo ni mengi kwa ground,sema tu maza katangulia mbele za haki so hatujui ukweli,unawezakuta hata mama alimwambiaga huyu sio mwanao..ndio dingii akala kona
Safi sana ommy dimpoz endelea na maisha yako mazuri hakuna laana yoyote itakayo kupata kwa kumkataa baba alie kutelekezw ukiwa mdogo.kwanini mwinjanku asimchukue km baba wa ziada amsaidie.
You are right…Mzazi kamili ni ule aliekulea…haijalishi Ni Baba wa Kambo au jamii…Wazazi wengi sana wamezoea kutekeleza watoto wao wanasahau Mungu Ndio anampa Mwanadamu uhai
Umeogea ukeli kaa mimi baba mtoto wangu alikataa mtoto wangu nikiwa na miba.sasa hivi ajitokeze siwezi kubali na hiyo May God bless you
Xaxa xikaja kukusaidia kulea au nawew mtoto kaixhakua star
Tena huyo mzee chizi, haupati laana yoyote mm mtt wang hajawai hata kumuona baba yake mm ndio kila kitu anasubir kesho na kesho kutwa waje walalamike mm baba wafulan nawachukia mababa suruali
@@lalyilaoman5800 pole,Mimi naita madumeee misuruali haswaa
Ata mm
Mjifunz sasa dad zetu msipend kutegeshea wat mimba kila kitu ni makubalian ya wawil uko sik zako za hatr tumia soksi atak sepa mtakuw masing parent wa kutosh kam hamjitambui..
Story yako ommy ni kama ya mwanangu mungu akusimamie kwa kila japo mkatae saba mara sabini
Wa llahi 😭 dimpozy tupo pamoja 🤝 Sana kakangu,na nimekupenda buree 🥰wa nataka waume hii iwe dawa kwa waume wote
Nikwel
Alhamdulilla, Mimi nimelea mtoto wangu ,ikiwa na mimba aliambiwa ukinitaja nitakuwa,basi nimelea mtoto wangu, kwakweli nashukuru mwenyenzi Mungu,Leo hii mwanangu ananipenda
Ommy muombee baba yako aishi maisha marefu ili azidi kuona mafanikio yako na iwe fundisho kwa wengine
Ndio maana kasema ana muheshimu sana
Pole Kaka
Wazazi upande wa wanaume mjifunze hapa jamani,,
Wazazi kama hawa wapo wengi sana,, ukijua kuzaa jua na kulea watoto bila kubagua,FUNZO HILO. Pole sana Ommy
I wish angekuwepo mama yako aenjoy maisha😪
Safi sanaaaa Ommy, kila mtu apambane n hali yake...
Mwijaku anatabia za hovyo sana
Mungu Anizidishie Kipato..
Kamwe Siji Kutelekeza Watoto Wangu..
Watoto Ndiyo Ndugu Wa Ukweli...
Ommy Amkazie Huyo Dingi Mpaka Mwisho..
Mmmmh Mzee umeongeaa kiumeee🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥 asa Mwijaku nae wakuumiza kichwaa Akili hamnaa yulee
Nimekubali Sana broo tumetelekezwa wengi saivi maisha safi hata Mimi natamani Sana babayangu anitafute
Ommy pole sana watoto wengi mnoo wanapitia hayo maisha wanaume wengi awapendi majukumu wanapenda ule muda wa kustaregeshana baada hapo wanasubiri wasikie mtoto wako ni mtu flan anaingiza mkwanja hapo ndipo anapotaka kuwa baba
Wanaume tambuen ile mimba unayoikataa au yule mtoto unamtelekeza na kumkimbia ipo siku utatamani utambulike kupitia jina lake
Kwa yeyote anaeona kama OMMY anakosea, trust me hajavaa viatu vyake pindi alipokua
anapitia ugumu wa maisha..cz am sure if u do sidhan km kuna mtu angekaa upande wa baba mtu!!!🥺🥺🥺
🙏🏾Tusiwe wepesi kuJUDGE na kumkandamiza mtt kusamehe au kumuhudumia mzaz wake cz nobody knows a story behind maisha ya kutelekezwa!!
🙇🏽♀️I can relate ndomana namuelewa Dimpoz..
“THE STRUGGLE IS REAL!!!!🙌🏿”
Acheni tu..🤦🏽♀️
Especially siku alimppoteza mamake alafu hakupata hata pole kutoka kwa baba!!! you feel like dunia imeisha!
Ni kweli kbx jmn unakuta baba anaombwa tu ht kumhudumia mtt anakujibu anavyojua
upo saiii hata mm iyo imenitokea
Msamaha ni kila kitu kwa maisha yake
P
Najiulizaga kila siku mzazi mwenzangu aliniambia hataki mtoto wa kike kwa mdomo wake na kwa vitendo hajawahi kumhudumia Toka mimba mpaka Leo hajui anaitwa nani hajui anaishi wapi miakq kumi na mitano sasa namwomba Mungu tu anikuzie asome amche Mwenyezi Mungu awe na maisha mazur na mwisho akifanikiwa kumwona baba yake amuulize kwa nini alisema hataki mtoto wa kike kwa nn hakumtunza kwa nn hakua anajua hata jina lake na kwa nn sasa amwite baba ?
pole tupo wengi mama
Khaaaaa mawazo yake tasa kweli
Dah ! Natamani nikufaham zaid lakin basi tu dada yangu ,pole sana , mtumaini Mungu kila wakati na usiongee chochote kuhusu huyo mwanaume nyamaza tu ,kuna siri kubwa katika kunyamaza ,hakika inaumiza ila we nyamaza tu
Utasikia na yeye analalamika mtoto kamkataa
itakusaidia nini ?
Well said jamani 🥺 Mungu anipe umri mrefu nimlee mwanangu Imani♥️🙏
Amiin sote ln Sha Allahu
🙏🙏
Ameen
Safi sana Ommy! Ungekuwa maskini acngekutafuta.
Pole sana Ommy Dimpoz wahenga walisema Fainali Uzeeni.....alidhani atakufa mapema Mungu kataka ayaone Matunda yako...Relax
Happy birthday to U darling.
Duh...hiii ni fact tupu I say...wababa tunafeli wapi kushindwa kuwashughulikia watoto zetu na wakati tumekula raha na mama zao kitanda kimoja then tunawaachia wamama wanateseka maskini na kudhalilika mitaani....Ila pia kijana OMY umeongea point kwny uislamu mtoto wa nje ya ndoa sio wa baba na hawarithiani hawa..So hili la kukutupa na kuzaa nje ya ndoa inatosha kumuwacha na yeye akala nyota ya jiwe....Imeisha hiyo iwe funzo kwa mababa wengine...I swear ya kwamba ntakula, kuvaa, kuishi na kulala na wanangu mpaka roho yangu itapochukuliwa...Love u my children.
BigUp brooo nimekubali ndo inavyotakiwa...Mimi nakuunga mkono 👊👊
Mwijaku siku zote uwa ni mnafiki..sasa kama alikuwa ana jua hayo yote ali yaonyesha ya nini..ni kweli ata mimi baba yangu alini chukia ivyo ivyo ommy kama wewe..we piga kazi mungu ata kusimamia..
Mujaku katusaidia hadi tukajuwa stori hiyo
Mwijaku mjinga..mnafiki mnafiki mnafiki tena
Ommy Big Up Mafunzo Haya tena yanatufunza Sisi Vijana. ( Nipo na Wewe 100% ) ❤️✅☑️
Kukosea kupo na kusamehe kupo,Achana na mitandao Omary msamehe baba yako alijikwaa na huna mzazi mwengine ebu rudisha upendo huyo ndio mzazi wako aliebaki mpendw maisha yaendelee .Hivi ndivyo pepo inavyotafutwa maneno ya watu yasikuvuruge.
Nakushauri msamehe baba alafu utaona maisha yako yatavyonyooka zaidi
Kuwa baba sio kuwa na watoto, kuwa baba ni kuwajibika kwa wototo. Ommy D big up brother. Hakuna laana yeyote itakayokupata kutoka kwa mtu ambaye hakuwajibika
Anatakiwa kusamehe
Kwanza anayetoa laana ni mungu si binadamu
Yana watu banah wanaona rahisi sana kusamehe sijui wao wangeweza kusamehe gafra gafra tu
Sana,na baba ana zambi itakompata kumtenga omi,maana siwa alali yake,zambi itabakia kwenye uzinifutu
@@ahz6907 nakwanza amusu kwasababu si baba yake,yani omi kapatikana nnje yandoa uslam,ndounavyo sema mtoto wannje yandoa ni wamama, siwa baba duniani mbaka fil akhera
Ommy uko sawa kabisa ❤️❤️❤️wanajitokeza wakati watoto wako sawa
Yani umenitonesha ommy umenitonesha kidonda changu nakuombea kwa mw/mungu uwe baba Bora kwenye kizazi chako ♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mwijaku Ana Mambo Ya Kitoto Sana .. Anyways Utoto Ni Wa Kwake.... But ommy Yuko Sawa ,Mm Binafsi Nampenda Baba Yangu Coz Amenilea Na Kunipenda Na Mama Yangu The Same ... But Wasingefanya Hvyo Nisingekuwa Na Mapenz Nao .. Fullstop
Kama mie
Ommy a djakoseia amioguea visury alikua na mama bila o pendo WA Baba Sasa leu mungu ka mbariki a me pata rizik ,Sasa uyo baba anataka kudjisogueza kwa Ommy sio visury aendelee na maicha yake,Samany mimi ni Moçambicano sidjui kwandica viry lugayeno.
Well said Brother msamehe mzee wako sisi wote hapana duniani sisi wote ni wapita njia mimi mwenyewe Baba yangu Mungu hamrehemu alinitupa lakini nilipofanikiwa nikamsamehe na mpaka mauti yanamkuta nilimuuguza bila kuwa na chuki moyoni wala hasira wewe endelea kupigana lakini mzee msamehe wazee wetu wa zamani wengi uelewa wao ulikuwa mdogo na mazingila waliyokulia sio kama Leo our generation ni tofauti.
Pls toa hasira chuki uchungu moyoni naona wewe ni mcha Mungu so forgive him and let it go na pia epuka kujibishana kwenye mitandao. Talk to him try to educated him.
Hakuna kusamehewa ale raha yy kwa msaada upi alioutoa kwake
Si babaake ndo mana kidini hawana uhusiano Wa baba na mtoto
Huyo Mzee hautaji msamaha anachotaka ni msaada angekuwa anataka msamaha angekuja wakati hajafanikiwa
Exactly hii dunia tunapitaaa amsamehe
Ilaaa Mwijako has a very shallow Mind
Uko vizuri ommy,wababa kama hawa wanastahiki na kupigwa na bastla kabisa,enzi anakula bataaa alijiona maisha yotee kayapitia fainali sasa ndio anaiona uzeeni shenzi kabisa.
Barikiwa kaka sana, Mungu akutunze tu, Mungu HUWA ni wa huruma, hatuchukulii kama wanadamu wanavyotuchukulia, ukionekana ni wa nini leo, kesho thamani YAKO itaonekana
Umeongea ukweli kaka na mwijaku anakosea sana hasitumie njia ya kutafuta ugali wake kwa kuwatumia wazazi wa aina hiyo.
Namuunga mkono ommy dimpoz maana yaliyonikuta yanafanana na situation ya maisha niliyopitia kabisa yani wazee wetu mfumo wa hovyo sana bila kujua anayepanga maisha ni mungu na sio mwanadamu maana nakumbuka hata me toka nimezaliwa sikuwahi kupata malezi wala huduma yoyote kutoka upande wa mzazi wangu wa kiume sasa je nitakuwaje na upendo zaidi kwao
Mwijaku mnafiki sana na mchonganishi baba mtu mzima Hana hekma
Pole sana ommy dimpoz mungu alikunyanyua wewe kwasb baba yak alimsaliti vibay sana mama yak we usijl hakuna laana itakupat mungu yuko na ww ndo mana uko juu
Ila Ommy samehe mtendee wema japo kidogo, Mungu mwenyewe atakubariki
Watu wambezi tujuwane hapa omy kasema atakula nasisi ,💞💞
Ujakosea.kaka..baba.asiye.leya.mtt.ana.mana
Umejitambua kijana dimpoz huyu mshikaji kakwama Kwann asikuite?
Uko sahihi kaka Mungu akubariki kwa kauri nzuri umetowa
Pole sn Bro... ua not alone! Tupo wengi! Kubwa ni Kusamehe na Kumtanguliza Mungu.
SAFI SANA, WABABA NDIO WALIVYO KUKIMBIA WATOTO. IVYOIVYO
Mm Mama alinikibia na hajawahi kufanya chochote ktk maisha yangu.Hata aliposikia baba angu amefariki hakuja msibani wala hajawahi kuja kunijulia hali....
@@harmonymattondo4042 pole sana lakini wababa ndio wanaongoza. Pole ulipata mama mbaya
Naomba mungu watoto wangu wajekuwa na maisha mazuri baba yao ajeaumbuke kama huyu Mzee ninavyoteseka hivi mungu Ndo anajua
Inshallah mungu yu pamoja nawe
Ommy hakuna kitu kinauma kama kuishi na mzee mmoja alafu mtu anakukimbia anakuja kujileta piga chini kula Bata tu dogo.
@@dotnatajoseph2620 Ameen🤲🤲
Inshallah mungu atamuumbua zaidi ya huyu
Ameen Ameen atakufanyia wepesi mmungu
Dah inauma.sanaaa MUNGU nisaidie nimlee mwanangu awe na moyo kama wako nakupendaaa
Uko sahihi kabisa omy, maana wanaume wanachukulia pow sana kuwatelekeza watoto, haya ndo yanayotokea baadae, mungu akupe maisha zaidi ya hapo! Mungu pekee ndo anaratiba ya maisha ya Kila mtu
Umeongea point Sana ommy..na hio iwafikie wababa kama Hao wenye roho za ubinafsi....na adhabu kwa juu Sana...yaani siwapendi na sio Sawa hata Kwa mwenyezi Mungu....sisi wote ni binadamu tunaitaji faraja na upendo niwe wa nje au wa ndani kwani mi mtoto kosa langu...hana aibu huyo mzee na wazee wote wenye tabia kama hizo
Hakuna aliyesahihi katika haya maisha msamehe baba yako amejifunza.
Nyamaza wewe hayajakufika
Kweli pengine angelelewa na baba now angekuwa mtu wa kawaida tu
Pole sn kua n msimamu huo huo mungu azidi kukupigania inshallah kakangu
Ommy umenikumbusha mbaaali sana..umenipa mawazo sàana.ila pia umenitoa machozi🤲🤲🤲 🙏🙏🙏🙏
Wazee wa sasa wanafer sana,hii situation inatokea sana kwenye hii life ikiwagonga hawa wazee,ndio wanaanza kufuatilia vijana wao,wakiwa wako safi kwa uchumi,wababa badilikeni acheni mambo hizi ninyi wazee.
Hakika kaka
Nakuelewa sana dimpozi anaekulaumu hajajuauchungu wakulelewa namam pekeyake wakati baba yupo hataki kujua majukumiyake halafu leo anajitokeza baba fulani inauma Sana napole Sana nimeumia Sana wababa wanatakiwa wajifunze kutekeleza majukumu yawatoto hata kamaunamaisha magumu kiasigani hataupendo tu wamtoto muonyeshe lakini wapi mtu unakuta tangu azaliwe hamjui baba nababa yupo kweli hivi kweli mtoto akikua wataka akutambue Kama baba
Ommy Baba ni Baba analo la kukupa ,hata kama sio tajiri Amin nakuambia
Safi Sanaa nakuelewa Ommy na mim nakusii simama na msimamo wako huo huo!❤️❤️👍. Wengine watajifunza
Baba yako amekosea Sana.Lkn jukumu lako kumsamehe tyu bure na kushea nae baraka alizokupa Mungu. Usihesabu makosa maana Mungu angetuhesabia makosa
Yetu, kweli tusingelikuwepo Leo.Shetani alimpotosha Baba yako akakukimbia,chunga shetani huyo huyo asikupotoshe na wewe umkimbue baba yako, ,maana mbele za Mungu mtakuwa na makosa yaliyo fanana wewe na baba pia
Usirahisishe hakuna shetani hapo.... Acha mzee nae asote kama alivyosota jamaa na hata laana haipo hapo
Mwijaku hanaga akili timamu huyo jamaa ni chizi mi nawambia
Achana nae asikuumize kichwa kula maisha alijua utakuja kuwa mwiz au alijua utkua mtu ambae haelewek Mungu anajua kuwaumbuwa watu km hao kajua utateseka ndo Kwanza Mungu anazid kukunyooshea
Mm hap mjmzt mwanaume kanikataa akinambia nitoe au nitafute mwanaume mwingine sina mama Sina baba nailea mimb yang kwa tabu Sana
Nina iman ipo siku CZ Allah hulipa hapahapa dunian shd ninazopitia kesh uje useme Nina mtt Wang ooh MTT Wang Aiseee 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 Allah anipe nguvu nielee MTT Wang vyema InshaAllah 🙏🏼
Asee nitafute wewe Dada, please,
@@sheckycobb5240 nakutafutaje
Wimbo mpya wa Bahati Bukuku Ft Madam Martha (Baraka) & Christina Shusho Ndoa czcams.com/video/YPdroiDXKjM/video.html
Msiterekeze watoto hata Kama humpendi mama wa toto mtumie hata matumizi kidogo
Omyy dimpoz brother,!! Nakubali ulichokiongea nifact na ni point sana !! Wew pekeeako ndiye unayejua maisha uliyo yapitia kaka lakini ikumbukwe tuuh!! Hata kwenye kitabu cha Allah inajulikana kuwa ndie baba alie kutaa kiunoni mwake, haina budi kumweshu nakusamehe yote fadhila zitatoka kwa Mungu kakaangu mfanyie kheri baba ako kwakumshukuru kwanamna ya kukuleta duniani broo Nakuomba mpe fadhila ata kidogo coz ni baba mzazi uyo kula nae meza moja mwonyeshe upendo nayeye ndiye alie mpa furaha marehem mamaako kabula ya yote ayo huwez jua season behind ila muone ni mzazi roho ya kisasi kwenye damu yako usithubutu kurehemu Ndo ibaada kuu utamwambia nin Allah ikiwa kwa baba umesema Nooh!! 🙏🙏🙏 Naomba huu ujumbe umfikie ommy kwanamna yeyote please@mirady Ayotv
Mh! Mungu anisamehe
Sio rahis kam unavodhan alaf ksheria mtoto wa nje ya ndoa hatambulk kidin yaan:baba hawez kumrth mtoto wala mtoto hawez kumrth baba kwahyo ksheria ya din hatambulk mtoto ni wamama kam ni wa nje yand0a
Tuacheni kumsema na kumlalamikia Mwijaku , Hili limetokea ni mipango ya Mungu tu kuwakumbusha wazazi wote wana wajibu wa kuwalelea watoto au mtoto. Pole Ommy
Mwijaku needs to be human enougj not to cross certain bounderies regardless of his profession viti vingine ni personal sio for promotion he is heartless.
NAKU-SUPPORT 100% OMMY DIMPOZ HUYO MZEE ACHANA NAE KABISA KM ULIVOSEMA KIDINI KWANZA SIO HATA BABA YAKO. HUMRITHI WALA YY HAKURITHI ACHANA NAE…….
Ila dini inakuruhusu kama ulkuwa mtoto wa nnje ya ndoa sio babako huyo mama ndio kila kitu achana nae.
Zabeir Khamis Abdallah...Ni Dini Gani hiyo inayo elemea upande mmoja?? kuwa ukiwa mtoto wa nje ya ndoa kuwa huna baba?? na kwanini usiseme mama yake pia sio mama yake??
Dini inakataza mtoto ila zinaa inaruhusu
Umesha ommy una baya sio ww wazee Kam hao wapo wengi tu usjar
mwijaku unamamboo ya kishoga mbog
@@mwajumayassir2251 unakufuru,,,
Itambilike hiyi Mtoto wa nje ya ndoa sio wa Haramu Haram nikile kitendo walicho fanya wazazi Hamna Mtoto Anae tambua twaja kujuwa ukubwani Mungu Atusameh pole sana kweli Inaumaa wazazi wanao telekeza watoto sio poa hakki teseka na mwanao hujuwi ya kesho 🙏😥
Ni kweli
Kweli umefunza kitu
Ommy hupo sahii sana mpe mtaa tu huyo mzee ana mpango bro hata ukitazama maojiano ya yule mzee unatambua tu mzee yupo duniani kwaji yakuongeza idadi ya watu
Pole ommy wazaz wa hvii weng sanaa ,hata mm nkiwa na jina baba angu aitokeza anadaim mm mwanae ,duuu ntachukua mdaa kumsameheee,ila msamehee tuu kaka
Hapana mzee kwa jinsi alivyo si kwamba anashida sana. Mahitaji yake anakidhi mbona yuko vizuri anavyoonekana cha msingi amsamehe mzee wake maisha yaendelee kuna mengi katika ndoa
Huyo Mzee mpenda kitonga, Mzee wa mjini
STORY Yako na Yangu hazitofautiani sana.
Yaan na me
tofaut ye kapga pcha na ronaldo
Yaani ommy unetumia hekima Sana MUNGU akusimamie tu upo sahihi kabisa
Huyu mwijaku ni kichaa.hajuagi hata kuwa kuna mapito katika maisha ya watu wengine
Wanaume wa kibongo wengi waho wanaroho mbaya wakisha gombana na mama watto wao wanaweka chuki mbaka kwa watto wanawasusa sio vzr mjue mtto unaemtelekeza kesho mungu anamuinua kuriko hao watto hunaowapenda kwa muda huo,sisi wa mama turiochiwa watto tunaptia mengi sana wababa wengi wapo ivyo wanakimbia majukum kwa kigezo atanitafuta tu sasa bola mnavyo wakomesha ivyo ivyo my bro nimefurai sana urivyo toa ushauri kwa waze wanaokimbia majukum mtto akikuwa hanajifanya ndio vidume na.ndio baba?
We hao sio wa bongo wakigoma
Kwa dini yetu yakiislam huyo sio baba yako nawala humrithi wala hakurithi chochote kama ww umezaliwa nje ya ndoa...so upo sahihi tu wala huna dhambi broo ishi maisha yako...na jitahid umfanyie sadaka mamaako zitamfikia huko aliko nakumueka pahala pazuri.ammin
Salma nimependa ushauri wk.Safi.Allah akulipe
Bila shaka yupo sahihi. Si babake.
Pole sana Ommy Dimpose pia hongera kwa ufafanuzi wako mzuri.
Ni mtihani mkubwa lakini Mwenyezi Mungu Muumba atakuongoza.
Nimejikuta natoa machozi😭 bro nisiongee sana Mungu awatunze wamama wote
Thnx bro for narrating such an inspirational story luv udea
Uko sahihi ila msamehe maana hata Mungu atajitukuza juu wema wako
UMEONGEA POINT
Kabsa
Hamna kumsamehe,ili wengine wajifunze siku hizi wengi wanakimbia majukum ilighali wanajua watasamehewa.
Kusamehe kasemehe...kunatofauti kubwa ya kusamehe na kujifunza. Kusamehe ni kuponya jeraha ila kujifunza hakuna hisia za mapenzi yeyote.
Naona hujamuelewa keshakwambia kua dini yke inasema mtt wa nje ya ndoa ni mtt wa mama Sasa wewe unasema amsamehe amsamehe hyo vpi lbda?
Mwijaku hajitambui mnafiki Sana na yeye amuo yeshe baba yake!
Wababa wanajisahau Sana wanaona ya leo ya kesho hawayaon mungu akutie nguvu ommy
Story yako ni kama ya mwanangu babaake arimkataa tangia yupo tumboni mpaka kazariwa bado anamkataa sasa anaumri wa miaka kumi na 2 napambana nae mwenyewe mungu yupo na hajawahi kutuacha
Umalay wenu pia nao unachangia akuna chiz akatae mtot kama hamkua na migogoro ya fumaniz kweny mahusian
@@simbaboymawe435 yaan sababu za mtoto kukataliwa hawasemagi,kazi yao kulalamika tu ht ukweli wa jambo kasababisha yeye
@Bahati Kyusa Huyo mwanaume alikuowa ama mlikutana guest tu.
Sisi wanaume watoto wa short time huwa tunajua wana mababa hata mia, ukiwa uliolewa tena unatekelezwa hapo nakupa pole.
Clouds maboya,,,,mwijaku mnafki
sio wewe tu ommy ata sio wewe tu wengine baba walitukataa mpk mzaz kafa awakukubali kbs mungu anawaona wababa wote wanao kataa watto
Da inauzunisha sana Pole sana huyu mwijaku ifike mahali ajiheshimu bwana kula raha zako kaja ommy achana nae
Yani ommiy wewe hiyo story yako ni Mimi kabisa kinaga ubanga hata mimi baba angu Sina mapenzi naye hata chembe Maan nimeteseka na mama angu hadi leo bado mungu ni mwema na dua la kuku halimpati mwewe dayma acha atangaze Lakin Allah ndo kinga yetu
Mwinjaku kayataka yote haya...SALUTE kwa dimpozi...
Mwijaku mie naona yupo sawa Sasa tungepata wapi ubuyu
Is a touching story but.. you have to forgive him manaake mahali ulipo ni kwa neema yake mwenyezi Mungu
kazi ya kumuadhibu baba ako ,,sio yako ommy,,niya Mungu mwenyewe,,kumbuka pepo yako ipo chini yake,,, sisi watoto tunapaswa kuwa samehe wazazi wetu,,hatakama walitukosea sana,,lakini wao ndio chanzo cha uhai wetu,,wana daraja kubwa sana kwenye maisha yetu,,msamehe ,na muishi mazuri,,Mungu anapendezwa na maisha ya mapatano sio ugomvi,,mna mpa shetani nguvu na kuwa vuruga familia nzima ,,nakusihi sana ommy,,msamehe baba ako
Mwijaku uchale umezidi mpaka unakuwa bwege, hicho unachokifanya sio sfa Bali unamtia unyonge dimpoz kwa kutaka kwako misifa, na wote wenye akili timamu tumekudharau mnoo
Ni kweli namjua huyo mzee tena huwa anajitangaza kabisa yeye ni baba wa ommy dimpoz, anajisifu balaa na bajaji yake pale sumbawanga mjini
🤝🤝 pole sana Ommy Allah akupe umri mrefu 😘🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Pole sana na Hongera sana umewafundisha wa baba wengi wanaotelekeza watoto
Umeongea vizuri sana ommy kwakweri
Kizazi hiki Mungu atusaidie mzazi ni mzazi tuu hatakama hakutoa hata mia kwako hizo ni bengu zake umetoka kiunoni mwake ujajileta duniani nawala usihisi kama unamukomoa kusema asiwe ukaribu nawewe mari tutaziacha hapa hapa duniani hatukuja na vitu hivyo nivitu vya kupita ila mzazi hapiti samahani ya mzazi iko pare pare hatakama alitaka kukua ukapona ila itabaki kuwa mzazi wako tuu nawaote mnao sapot mtu kutengana na baba yake fikirini kwa mara nyingine mzazi ni mzazi tuu
Ommy, i must commend you for having the courage to tell off that man how life goes. What makes you a man is not the ability to make a child, it is the courage to raise it. Ommy this man could be your biological father but he was not in your journey. Dont let him trap you na sarakasi zake
Acha wenge wewe bila baba yake angekuwepo?? Msipende kuropokaropoka!! Heshima kwa baba lazima iwepo haijalishi ni baba wa dhambi gani!! Au unaongea kwa sababu ushabiki kuwa halisi
Ommy uko sahihi kibisa nakuunga mkono bat wengi tumebitia hayo maisha mungu yuko pamoja nawewe sawa na ndomana Kuna maisha mengine baada ya maisha mengine
@@kallandoshija5121 huyo sio baba yake na dimpoz ni mzee aliyesaidia kurutubisha yai la mama dimpoz mataCall wewe
@@truthmediatz861 kitanda hakizai haramu upo tena awe na heshima na adabu kwa legend wake!!
@@kallandoshija5121 kitanda cha nyoko !! ndo alishindwa ata kumzika mzaz mwenzie ! Oky hakua mkewe hamhusu , ata kumpa pole mwanae hakueza !! akala bati mazima ! uyo mzee ni kuma tu hakuna cha Legend ni kuma !!
Broo nmekulewa cn huakika wazee huwa wanazingua sn kutekeleza wtto halfu maisha ykiwa sw hujileta na kupakaza ubaya halfu ndo ukiwa muslamu unahiyar yko kumpa au kutompa maana hta yy hajatenda haki kukuzaa njee ya ndoa Broo achana nae na bora ungekaa kmy ukamucha afanye anavo taka big up
Simpendi mwijaku mnafki Sana huyu Kaka 😠
Hayo maisha tunayo wengi lkn tulisamehe kwa sababu mama zetu walituasa kusamehe, halafu ktk maisha yako Kama umeweza kutengeneza watu na wakakuthamini, na niwengi kuliko baba yako basi wanatosha kuwa baba zako, acha kisasi binaadamu tunakasoro nyingi sana, na uisilamu hauna deni ktk watoto wa aina zetu.
Mambo ni mengi kwa ground,sema tu maza katangulia mbele za haki so hatujui ukweli,unawezakuta hata mama alimwambiaga huyu sio mwanao..ndio dingii akala kona
Wewe endelea na maisha yako Kaka,Ila mwijaku achana nae yeye anatafuta pesa.pia alitaka tu asikie Hilo baba litasemaje.pambana na Hali yako.
Mungu atusaidie tu kina baba mjifunze na ndo mnaongoza kwa kutelekeza watoto
Vizuri omary achana nae mtt wa nnje ya ndoa ni mtt wa mama
Safi sana ommy dimpoz endelea na maisha yako mazuri hakuna laana yoyote itakayo kupata kwa kumkataa baba alie kutelekezw ukiwa mdogo.kwanini mwinjanku asimchukue km baba wa ziada amsaidie.
Ujakosea nikweli
We are the same mm pia simjui babayng alinikataaa inauma sn 🥲
Pole sana fatima
@@hamed_nassoro Asante ndo hivyo nmeshakuwa unajua watoto w kukataliwa ndo wengi wao ufanikiwa mm sai hata babangu atokee nitamwambia cjui
Ujinga part 1 👉👉🔞🔞czcams.com/video/ijC18_XGqbA/video.html
Upo sahii kaka omiy dimpozy hakuna laana yoyote itakayokupata
Big boy haukua na haja ya haya yote Clouds tunawajua we got your back
Umeniumiza stori yako ni kama yangu😭😭
Huyu mwijaku ana umama sana aisee pumbervu kweli kweli
You are right…Mzazi kamili ni ule aliekulea…haijalishi Ni Baba wa Kambo au jamii…Wazazi wengi sana wamezoea kutekeleza watoto wao wanasahau Mungu Ndio anampa Mwanadamu uhai
hakuna raan hap om huy Mzee hajakosa uchawi kwanza kaa naeh mbar