Kwa mara ya kwanza BABA YAKE OMMY DIMPOZ Amjibu baada ya kumkataa nimechukizwa na kauli yake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 359

  • @amanimapenzi571
    @amanimapenzi571 Před rokem +12

    Mzee endelea na maisha yako. Chapa kazi. Wachana na ommy! Kila mtu na kazi yake

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Před rokem +26

    Watangazaji nyiye ndiyo wachochezi na family zawatu

  • @joymafur1935
    @joymafur1935 Před rokem +2

    Yaani hawa watu ninawachukia sana nitawachukia siku zote za maisha yangu sijui kipindi uzazi wake unahitajika alikuwa wapi alafu saivi anaongea kwa kupaniki mzee fanya mambo yako ommy achana naye si ulimtelekeza

  • @lisaozokalonji7655
    @lisaozokalonji7655 Před rokem +8

    Mzee unaongeya sana acha mtoto haishi maisha yake ulikula bata aukujuwa una mtoto? Ulisaau kama dunia ni mvirigo leo kwako na kesho kwangu! My dear Ommy enjoy your life and don't forget to help people was close to you when you was little boy!

  • @injili90
    @injili90 Před rokem +2

    Nimemkubali mzee kaongea vizuri kabisa

  • @dyanamotz
    @dyanamotz Před rokem +25

    Mzee anajalibu kutumia Busara kweli lkn dunia inamuhelemea any way Mungu akupe wepesi mzee uzuri hauna ulemavu hauna njaa hata magonjwa yakukufanya ushindwe kazi hauna ko Endelea Mzee wote tunakosea but makosa yetu yasitufanye tusiwe na busara kwamba tusiwe watenda wema

    • @svt3
      @svt3 Před rokem +1

      Tinho_tz: mzee dunia ilimlemea mpaka akakimbia majukumu mtoto akapoteza mpaka mama yake wala hakukuja hata kumpa pole mtoto, hajawai munalia hata daftari,.. .. huyo baba gani? Ana watoto 15 ambao ali jihushisha nao apambane na hao

    • @rehanijuma1421
      @rehanijuma1421 Před rokem +2

      Kabisa

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 Před rokem +1

      Busara yake ya kiujanja anataka kitu huyo ndo mana akawa mpole hivo

    • @dyanamotz
      @dyanamotz Před rokem

      @@fatmamansour676 ndivyo alivyo sema ??

    • @alexmwashifungwe5174
      @alexmwashifungwe5174 Před rokem +1

      Mzee pw sana

  • @Worldcup613
    @Worldcup613 Před rokem +20

    Usijali mzee wangu. Kumbuka damu ni nzito kuliko maji na ikiwa ni hivyo basi amini mtoto wako kunasiku atajishauri mwenyewe. Mimi naona mzee huyu ni mtu wa busara sana kwasababu angalia hii video yote wala hajamtukana mwanae ila anamshauri na kumshukuru kwa yale mazuri ambayo ameisha ya fanya. Mzee usijali kama 0mmy dimpoz ni mwanao basi amini atajishauri na kujipa jibu mwenyewe pia atakutafuta tu. Hayo ndo maoni yangu. (Jax boy.)

    • @fatmamansour676
      @fatmamansour676 Před rokem +5

      Huyu mzee mjanja hawezi kutukana 7bu kuna kitu anakitaka ka ommy lazima atie busara anajifanya mzee asiejali lkn kilichpmuuliza omyh jua kwamba kifo cha mamake kwanni hakuja kwanni hakumtafuta mwanawe kipindi cha msiba ndo anachoumia ommy

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před rokem +1

      hana lolote c hakumjali sasa kelele za nn

    • @Ann-Strong
      @Ann-Strong Před rokem +4

      Jax boy na ukumbuke mzazi ni ulezi nasio kurusha sperm na kuhepa,,, alafu mbona maji ni safi kuliko hyo tamu

    • @jefferasto4160
      @jefferasto4160 Před rokem

      Kwel ndugu yang mzaz ni mzaz

    • @fawzalbusayid7232
      @fawzalbusayid7232 Před rokem +3

      Anajiosha tu apo

  • @jumannesui9264
    @jumannesui9264 Před rokem +2

    Hata hivyo mzee sio mkweli unawezaje kukaa kimya na mwanao Toka 2008 mpaka 2022? Kuna nn hapo🙏🙏🙏🙏

    • @fredrickjohn5969
      @fredrickjohn5969 Před rokem

      Ommy kamla block dingi hadi aamue kumpigia yeye mwenyewe 🤣

  • @Worldcup613
    @Worldcup613 Před rokem +7

    Watu awatawaonganisha ila kwa upendo wenu wakifamilia utatuma muna kuwa pamoja nyinyi wote. Napenda haya maneno anayo ya ongea mzee huyu. Na wala 0mmy dimpoz sio mtoto wa kwanza kuachwa ki namna hiyo. Kuna ambao wanatafuta ma baba zao wenyewe sasa kwa bahati yako Baba yako kaja kwako furahi kuna wanao itafuta iyo bahati mpaka sasa awaipati mpaka wanachukua atua ya kuwatafuta wazee wao wenyewe. Napenda nikisikia tena 0mmy dimpoz na baba yake wanaishi pamoja tena kwa upendo. Asante Mungu awabariki na amuonganishe kwa kifamilia . Asante .

  • @nathankihiyo6194
    @nathankihiyo6194 Před rokem +7

    Inawezekana Omy haja play sana na wanawake huenda angejua sababu za babaake kuwa mbali nae na huenda angesamehe

    • @amanabdallah2823
      @amanabdallah2823 Před rokem

      Ommy hanaga mwanamke umesahau ngoma ya Ney wa mitego

    • @mwanjinzara8009
      @mwanjinzara8009 Před rokem +1

      Ni ujeuli tu wa baba hakuna sababu ya mama na baba ingekuwwpo baada ya mama yake kufariki basi baba angejisogeza kwa mwanae lkn wapi baba jeuri tuu yamemkuta

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před rokem

      Ndo maana ataki kuoa

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před rokem

      Usipocheza na wanawake lazima uwe na problems

    • @halimamvungi1
      @halimamvungi1 Před rokem

      Ila hadi mama alifariki pale ndio ilikua mda wa kua na mwanae maana Omy alikua namuhitaji

  • @Graceyust
    @Graceyust Před rokem +2

    Tunao wazee wengi wa hivi mtoto anapokua na maisha mazuri wanajifanya ni wanyenyekevu sasa tangu 2008 ommy kapitia mangapi hapo katikati kaugua nusula kufa hata hakuonekana huyu mzee saiz anatuletea mbwela upuuzi sana alf na nyie waandishi mjitambue kuna mda mnatumalizia mb kwa kulefusha mazungumzo kwa maswali yasiyo na tija

    • @jeniferemmanuel4251
      @jeniferemmanuel4251 Před rokem +1

      Yaan mm siungi mkono kabisa.....apambane na hali yake af huyu baba bishoo mnooo anaonekana alkuwa mwehu kwel ..mungu atusamehe kwakwel

    • @Graceyust
      @Graceyust Před rokem +1

      @@jeniferemmanuel4251 kweli anazingua

    • @jeniferemmanuel4251
      @jeniferemmanuel4251 Před rokem +1

      @@Graceyust sna yaan ...ila tu bc watu kama hayajawakuta wawawez kujua

    • @Graceyust
      @Graceyust Před rokem

      @@jeniferemmanuel4251 kabisa wataona mzee kama anaonewa ila anastahili, tunafundishwa kusamehe ila kuna mda inakua ni ngumu sana, inakuwaje nihusike katika kumtafuta mtoto alf akishapatikana nimtelekeze alf anafanikiwa natia huruma,

    • @jeniferemmanuel4251
      @jeniferemmanuel4251 Před rokem

      @@Graceyust na mbaya zaid mzaz mwenzie alifarik jmn hata kuhudhuria wala salam za Pole hakuna ...hapo hamna lolote

  • @saodashabani2652
    @saodashabani2652 Před rokem +4

    Omary aliumwa sanaa kila mtu analijua ilo mbona atukuona kuongea chochote jamani hivi vitu uvisikie tu kwa mwenzio mie pia ni muhanga wanangu nalea mwenyewe Baba anakula bata tuwaombe watoto wetu wawe watoto wema waje kutulea na sisi tunaowalea kwa shidah

    • @vradmirlenin8290
      @vradmirlenin8290 Před rokem

      Sasa mtu hakutaki unakwambia mzee anataka kuteleza na ganda la ndizi hata mm sji kukuona

    • @stevenbushiri2291
      @stevenbushiri2291 Před rokem

      Kama unalea mwenyewe jichunguze unakosea wapi

  • @allanothuman2941
    @allanothuman2941 Před rokem

    Mzee umenena..umemaanish kauli 👏🏻

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 Před rokem +12

    As tutishe Kwan yey ndio wa kwanza kuzariwa out of marriage wapo wakina Ishmael mtoto wa Baba wa iman. Piga Kaz Mzee kwanza hatu juwi kama tafikisha umri Wako bado na pesa for sure ana ata mtoto. So final uzeen

  • @hannanommy302
    @hannanommy302 Před rokem +1

    Alhamdulillah 🙏 unachukizwa nini?hawa wa Toto wa sasa hivi si wale wa Enzi zako wewe mzee,hii ndo faida usipomjali mwanawe ukizeeka ndo matokeo yake hayooo, na siku zote usipomlea mtoto, mtoto ndo huwa anamafanikio wazazi wakilemewa ndo wanatafuta watoto,

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Před rokem +21

    Madeleva wa maloli malaya sana sana na wanatelekeza sana watto kila mkoa wanawatto

  • @jastinboyjastin4073
    @jastinboyjastin4073 Před rokem +1

    Hakuna mkamilifu duniani ommy amsameehe tu Mzee wake, tupo Duniani mitihani lazma kama ukijiona wewe huna mtihani hapa duniani jitafakari sana

  • @azizasaid5255
    @azizasaid5255 Před rokem +5

    Jamani na awa wanahabari wachonganishi sana. Fitna sana. Wanafatilia sana familia za watu. Wanaoji nini.

  • @danielmwita2136
    @danielmwita2136 Před rokem

    Daah kumbe media ndio imeamsha kichonganishi, huyu mzee japo mtata ila ana staha na itifaki, mambo yao waende wamalize wenyewe. Father alikuwa speed, kashindwa ku balance time tu.

  • @najmamimi5007
    @najmamimi5007 Před rokem +23

    Ninachompendea huyu mzee hamzungumzii.vibaya mwanae hata kidogo na bado anaweza kujikim harafu kumbe wanamjua watu kitambo wala simgeni masikioni mwa watu

    • @lucykristensen7145
      @lucykristensen7145 Před rokem +1

      Atamzunguziaje kibaya wakati haumfahamu?

    • @isaacleonard2774
      @isaacleonard2774 Před rokem +1

      Ndo hapo Sasa ommy na mzee ndo wanajua ukweli

    • @lannemwenda
      @lannemwenda Před rokem +2

      😂😂😂saa hizi hawezi kumzungumzia vibaya, si anataka hela. Alimfanyia mabaya kumzungumzià mabaya alipokuwa mdogo

    • @leaherasto929
      @leaherasto929 Před rokem

      Anachofanya niunafiki mtupu

  • @makamekhamisi7337
    @makamekhamisi7337 Před rokem +6

    Hapna Kuna Siri kubwa katika baba na mama usijaribu kumchukia baba au mama kisa kakuacha mzeee kaongea kweli kabisa

    • @bakarimwamaovu8143
      @bakarimwamaovu8143 Před rokem +1

      Kweli kabisa ndugu yangu on point💯☑️

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 Před rokem

      Ni hatari sana mkuu daahh

    • @sabinaluyego4408
      @sabinaluyego4408 Před rokem

      Kama kuna Siri iliyomfanya mzee asihudumie mtoto wake, Leo hiyo Siri imeondoka Hadi mzee anataka mtoto amtambue yeye Kama baba yake? Wapo wanaume wanaojielewa hawezi kuacha mtoto wake akose matunzo kisa ugomvi wake na mwanamke, anafanya kila njia ili mtoto wake apate huduma. Mimi ni mmoja wa watoto waliopata bahati hiyo. Baba yangu hakujali maneno ya mama yangu, alihakikisha ananisomesha, ananipa matumizi ya kila mwezi na ananitembelea, alikuwa radhi amtume hata mtu kuja kuleta vitu vya kila mwezi. Kama mama alikuwa mbaya akasababisha na mtoto akose huduma basi ubaya wa mama uendelee amuache mtoto aendelee na maisha yake

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před rokem

      Hakuna Siri yeyote kwani alimuoa? Alitoa mimba akasepa. Na hata kama iko ndio usitunze Mtoto?

  • @naomilukani2279
    @naomilukani2279 Před rokem +3

    🤣🤣dah! Dunia ina mambo hii, sasa hivi mwandishi anasema watu ndio tunawagombanisha! Alafu watu hao hao vigeugeu sasa hivi watu wako upande wa baba.

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Před rokem +1

    Dah mtihani sana 😢

  • @otrich30
    @otrich30 Před rokem

    OG

  • @sabrinamsabaha2905
    @sabrinamsabaha2905 Před rokem +1

    Baba ni yule anaemlea mtoto wake na sio unajiita baba alafu huna huduma yoyote kwa mwanao nikiwa kama mama nasema hivi kama hujamlea mwanao na hujamtunza mwanao akifanikiwa we kula kwa macho tuu nyie ma baba mnao tia mimba na kukataa kutunza watoto wenu wakifanikiwa na wakishindwa kuwatunza msilalamike kwangu baba ni yule mwenye matunzo na sio baba jina

  • @alexmwashifungwe5174
    @alexmwashifungwe5174 Před rokem

    Uko sawa mzee

  • @evergeorge3269
    @evergeorge3269 Před rokem

    muache ommy na maisha yake acha kum hafua kijana wawatu, pumbavuzako na Bado utaona mengi sana Kwa ommy na iwe funzo Kwa watelekeza watoto wote

  • @anawa4326
    @anawa4326 Před rokem

    Pole mzee 😢😢😢

  • @mu9tz639
    @mu9tz639 Před rokem

    Muzee unabusala San🥰🥰

  • @justinekashililika6329

    Mzee nimependa kujiamini kwake yeye Ni dereva wa magari makubwa pia nae kaenda Congo Rwanda na kwengineko kwaio kwenda ulaya hakumtishi pia yeye Ni maarufuku Kuliko ommy Hakika sikio halizid kichwa

  • @aayanmaroba6056
    @aayanmaroba6056 Před rokem

    MZEE MI NIMEKUELEWA SANA PIA WANAWAKE WANA MADHAIFU YAO PALE AMBAPO UNAKUA UMEKOSANA NAE AFU ANA MTOTO WAKO MDOGO

  • @hassanally4960
    @hassanally4960 Před rokem

    Mwache amkatae t kwanza kisheria sio baba ake,kisha kaona ommy kapata mas lahi ndo kamfata na kama anagekua hana kitu asingemfata

  • @artsononadilolo7474
    @artsononadilolo7474 Před rokem +8

    This reporter wasn't prepared on this interview or lack professionalism.

  • @abrahmanabdallah8479
    @abrahmanabdallah8479 Před rokem +11

    Mzeee pambana na hali yako hujalea umekimbia majukumu wapumbavu kweli nyie watu nakuchikia sana hawa watu

  • @aishaomarry6996
    @aishaomarry6996 Před rokem

    Sasa we unawatoto 17 si uende kwa hao 17 Ommy mmoja anakupigisha kelele mtumzima

  • @estermahenge5972
    @estermahenge5972 Před rokem

    Uyu baba nyie eti abadilishe jina 😀😀😀kazi ipo jamaniii khaa

  • @ngwanasongowelero7153

    Mmmmh

  • @otrich30
    @otrich30 Před rokem

    Parent talk

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před rokem

    Ommy Funga mdomo achana na malumbano na mzee maana wako wengi km huyo mzee walikimbia majukumu Sasa wajisogeza ili wale.

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 Před rokem

    Mzee anawatoto 17 kwani Dimpoz ananini cha kumtisha. Shida unapozaa katoto kamoja au viwili taaabu ndio huanzia hapo ...

  • @stonetown578
    @stonetown578 Před rokem

    Nchi ngumu hii 😎

  • @michaelbennady223
    @michaelbennady223 Před rokem

    Mzee nimekuelewa Sana mwanao ustaa ndoo unamsumbuwa

  • @violetoloo445
    @violetoloo445 Před rokem +8

    Waandishi wa habari nao wachochezi kwelikweli..... Haya yote kayalete Mwijaku.

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando Před rokem +7

    Ompy kamwaga Mchele Mzee Dimpoz anamwaga mboga

  • @christopherkanyalakc8941

    Kwel Baba kigoma atok Boyi

  • @cathbertmpepo5587
    @cathbertmpepo5587 Před rokem +6

    Baba ni Chanzo, Baba ni Asili
    Baba ni Baba!! No matter what

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 Před rokem

      Una akili nyingi sana wew bin adam niwachache wanao elewa hilo

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před rokem

      Kumbuk mam ni mara 3 af ya 4 ni baba

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před rokem

      Mbona Paulo naye hakua na baba, kama unamjua babake Paulo ntajie jina la babake. Hata Firauni hana baba.
      Ommy huyo si babake, mamake hukumuowa, mtoto si wake kiimani.

  • @noelsanga6853
    @noelsanga6853 Před rokem +1

    Elimu sio pesaaa angalizo hilo

  • @sulemeki2827
    @sulemeki2827 Před rokem +3

    Ingawa nixiku nyingi haujaonana namtoto wako yy atabaki kua mtt naww nimuhimu kweke mzee tuliaa akijisjia yy sw usjal we mzee

  • @otrich30
    @otrich30 Před rokem

    Sema mzee 😬🤣🤣

  • @najimahgomez3334
    @najimahgomez3334 Před rokem

    Mmmmmmm baba shikamo

  • @Michaeldanny_214
    @Michaeldanny_214 Před rokem +1

    Bajaji ngapi kwani unazo.Si una bajaji moja tu

  • @tinkiboniface3342
    @tinkiboniface3342 Před rokem +1

    Waendesha malori wana mdomo apo kashindwa tu kusema kumamake mm najulikana kuliko yeye🤣

  • @juliethfrancis7799
    @juliethfrancis7799 Před rokem +1

    Acha kelele Mzee,ulikojoa ukajisahaulisha wajibu wako. Leo ndo unajitapa ubabaa lol tulia ulinde heshima yako. Ulikuwa sehemu ya maumivu kwa mwanao hujui maumivu ya kujua bba upo lakini hujigusi hata salaam tu kwa kizazi chako.

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 Před rokem

      Unamchukia nan ss ww yafamilia ya wat umeyajuaje ww mzee mbon kasem vizur tuh ss ttz lipo wap apo

  • @ifrahrashid8695
    @ifrahrashid8695 Před rokem +1

    watu mmeshikilia Ni baba Ake Lakini siyo baba Ake katika Dini ya kislam mtoto wowote aliyezaliwa nje ya ndoa Ni WA mama Sio WA mwanamme ommy anahiyari yake kumsaidia Sio lazima kama alivyosema ommy huyo Mzee mwenyewe kamjua ukubwani tu tangu utoto wake alikua wapi mpaka Leo kapata jina ndo amekua mtoto wako

    • @majotv3405
      @majotv3405 Před rokem

      Kumanyoko alijitomba mwenyewe

    • @ashangalawa9492
      @ashangalawa9492 Před rokem

      Angekuwa Tajiri msingesema hayo tena mngesema ampe ulithi wake kabisa

  • @rajabufarahani1418
    @rajabufarahani1418 Před rokem

    Ukiwa baba utamuelewa huyu mzee

  • @esthercedrick4914
    @esthercedrick4914 Před rokem +1

    mzee unafeli sana cha kufanya tumia hekima kama mzee hayo mambo kifamilia yanakwisha tu

  • @elianaevarsty2325
    @elianaevarsty2325 Před rokem +3

    Mzee anaongea saana mtavuna mrichopanda,

  • @lannemwenda
    @lannemwenda Před rokem

    😂😂😂😂 huyu baba anatapatapa sasa! Hivi kwanini hamuangaliagi mbele.

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před rokem +4

    Maskini, mzee tayari kapata psychology problem 😔

    • @ramadhanmaisa788
      @ramadhanmaisa788 Před rokem

      😂😂

    • @aoman5214
      @aoman5214 Před rokem

      Kweli kabisa tatizo wao wamekwenda Sana Kweny upande wa dini Ila angelinda Heshima ya mzazi wake Mzee kaumia Sana

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 Před rokem

    Wewe Mzee Yani niwalewale Bola TU umebahatika ommy atoa fundisho Kwa wababa wote waliotelekeza watoto zao wakitokeza wajipange na sababu maalum maan Hata Mimi kunandugu yangu tulipoteana maan Hata Mimi nilikua nimetelekezwa ,daah ACHA TU imauma

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 Před rokem +1

    😏fanda kuna papa mokonzi

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Před rokem +1

    Mzee, hananjaa uyooo halafu hamchukii jamaaa,,

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 Před rokem +5

    Wewe mtangazaji kasome tena. Huwezi ukawa unamhoji mtu na uko busy kuangalia mambo ya pembeni. Angalia hiyo interview wewe mwenyewe!

    • @counselordavid
      @counselordavid Před rokem

      Fact✊

    • @naomilukani2279
      @naomilukani2279 Před rokem

      Kwanza anajikanyaga kanyaga! Haulizi maswali ya kumtetemesha mzee!
      Sikia maswali Kama haya
      Kipindi mama ake Ommy anakufa ulienda msibani?
      Baada ya mama ake Ommy kufariki je uliwajibika Kama baba?
      Kwanini Ommy alikujua akiwa Ni mtu mzima katika makuzi yake uliwajibika vipi Kama mzazi n.k

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 Před rokem

    Wandishi wa habari wachonganishi sana Leo yamefika na ya kupiga picha na Lonardo ulaya daaah!!

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Před rokem

    Mimi nasema wanaume wengine mumezoea kutelekeza watoto

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Před rokem +2

    Ommy amesema sababu yy ni mtoto wa nje,kiislam sio mtoto wa huyu baba...
    Swali,kwa nn anajiita Omary Nyambo na asibadilishe na kujiita jina la ukoo wa mama yake...anejua anieleweshe plz

    • @svt3
      @svt3 Před rokem +4

      Vincent Mushi: inawezekana mama Omy alipo zaa alikuwa anampenda saana baba omy basi aka mpatia mwanae jina la baba yake ila siku zilipo zidi kuenda baba hakuonesha kujali mwanae mpaka mama akafariki omy ilo jina lilikuwa limesha bana kuenda nalo shule.... kosa sio ya Omy yeye ni jina tu kama jina zingine alikomaa ameisha lipewa, labda mama omy alikuwa na fikiria baba kama baba atamjali mwanae ila haikuwa hivyo

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 Před rokem +3

      #Vincent Mushi.
      Hilo jina nani kakwambia alijiita mwenyewe na tangu lini mtoto anajiita jina? Kazaliwa wakampa jina akiwa bado mtoto akawa enrolled in School na jina likaendelea kutumia kuwa official ila hakujipa yeye from word go pia majina ni majina tu hayatoi rizki na jina hilo la nyembo huyo baba yake Omari si binadamu wa kwanza kulitumia na wala hana hati miliki nalo, ni uzuzu kumwambaia asitumie jina ambalo hakuna mwenye hati miliki nalo.

    • @svt3
      @svt3 Před rokem +1

      @@unclepwechnov1381 : yaani nakubaliana na wewe jina hilo ma million ya watu wanalo na sio hata wa kizazi moja na huyo baba kwa hiyo hilo jina halina mumiliki mtu yeyote anaweza kuliita mwanae,

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před rokem

      .point ya mtoto wa nje alisema Kua kwakua yeye ni mtoto wa nje kiimani yake kunamfanya asirithi wala kurithiwa na mzee hapo tu ila si kwenye matumizi ya jina ilibase hapo

    • @svt3
      @svt3 Před rokem +1

      @@fahadfaraj6474 hilo jina halina miliki millioni ya watu wanalo, wamuache Omy na Amani mzee anao watoo 15 ashugulike na hao

  • @anuarymzee9898
    @anuarymzee9898 Před rokem

    Myangazaji hujui kabisa kumuhoji mtu

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před rokem

    Kumbe ommy ni wa kwetu mwanga kigoma

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Před rokem

    Mtoto sio rizk yule

  • @suzanetilito8194
    @suzanetilito8194 Před rokem

    Huyu mzee mpuuzi sanaaaaaaaa

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 Před rokem

    Shida jamani ni sio Ommy ni Mwijaku jmn anataka kumshushia Ommy brand yake.dah. yy ndo chanzo cha yote. Yaaani huyu mwijaku!!!!!

  • @fatmashija5637
    @fatmashija5637 Před rokem

    Una umarufu gani kama sio dimpos kuwa msani angekuona nani get lost tushachoka na wanaume kama nyinyi

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před rokem

    Uyu mzee Ujana wake Hakua Panya road kweli??🥴🥴

  • @elisanteshayo3882
    @elisanteshayo3882 Před rokem +2

    Mzee amefeli 😂

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 Před rokem

    Usipaniki, tunzeni watoto wenu wanaume.Acheni makasiriko.Mtaumbuka.

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před rokem

    Mavii

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Před rokem +12

    Ndio tatizo la mambo ya mitandao,na yote hii alaumiwe Mwijaku...wangeweza kusuluhisha mambo yao bila dunia kujua,
    Mzee nae hapaswi kujibu mashambulizi mtandaoni,ila wazee wa zamani wana nguvu za asili watoto 17 na bado anadunda.. oyaaaa wanaume wa dar tuache kula chips kila siku.....

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 Před rokem

    Nyie wanaume mnajiona wanaume imara watt wakeshakuwa tuu watt wakiwa wadogo nnajifanya kama mashoga mko bizi kutia wanja na kubeba vipochi hawana time na watt wakisha kukuwa ndio wanajifanya marijali wanabowa mpaka kichefu chefu

  • @anuarymzee9898
    @anuarymzee9898 Před rokem

    Mtangazaji hujui kabisa kumuhoji mtu

  • @marthaanton6967
    @marthaanton6967 Před rokem

    Ila nanyie waandishi wahabari niwagombanishi mwee kwanini iwe hivyo😂😂😂

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před rokem

    HALAFU WEWE MZEEE NAKUPENDA SANA KWA MAJIBU YAKO. NAONA UKO NGANGALI. HUBABAIKI KABISA. NI WALE WAZEE NJAA NDO WANAHANGAIKAGA.

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    ATUONYESHEE PICHA ALIZO PIGA NAE KAMA DIAMOND NA BABAKE ALIE MKATAA

  • @Michaeldanny_214
    @Michaeldanny_214 Před rokem +1

    Umefuck up afu unapanick 😅😅

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 Před rokem

    Kidume huyo. Watoto 17

  • @teshkatushworld9218
    @teshkatushworld9218 Před rokem +6

    wachaneni na ommy dimpoz, sijaiona Kenya wanafuatilia maisha ya msanii namna hii, wacheni ufala🚮

    • @pci__tanzania
      @pci__tanzania Před rokem +1

      Maisha yenu sio precedent... Ishi upendavyo usiishi kwa kucopy life ya mwenzako

  • @otrich30
    @otrich30 Před rokem

    Ni ngumu kudharau lolote analosema mzee huyu. God see this.

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Před rokem +4

    Nyie wa baba wa bongo mnakwepa majukum mtto akishakua mnajinadi na kujitapa hachen kukimbia majukum na omy atumi hubin wako aumpi ridhiki anatoa Allah na mtto wa mnje ya ndoa sio wa baba ni wamama we kakmya koma na hao watto wako kumi na saba

    • @josephndanu2626
      @josephndanu2626 Před rokem

      Ommy ingiza field....mbona mzee utamtunuku ...uadilifuu

  • @amiria.mustafa9859
    @amiria.mustafa9859 Před rokem

    Hiz nyambu hiz, mmh, 😂😂😂

  • @emmanuelemmanuel3047
    @emmanuelemmanuel3047 Před rokem

    mm baba atakama alininikataa lla nitaendelea kumpenda mana bila yeye nisinge kuwepo kila jambo linakusudi

  • @stephanomayunga5540
    @stephanomayunga5540 Před rokem

    Wazee wanaokataliwa ni wasio na mpunga ebu tuchukulie kwa mfano angekuwa mtoto wa Mo au bakhressa angesema amtaki??

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Před rokem

    Note BAJAJ..POZY KWA POZY.

  • @mohammedkilaly2770
    @mohammedkilaly2770 Před rokem

    Mzee mwanao hakutaki get real unasema uongo sio vizuri jaribu kutafuta solutions not unasema uongo Amesema hakutaki hakuna mtu anayesema.

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Před rokem

    Bas hata kumzika mama yake?

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 Před rokem +27

    Mzee kapanuc haha washenzi sana hawa mi niliachwa na mtoto wa mwaka na nusu wa ndani ya ndoa sasa ana 31 kwa mwara ya kwanza kaniona fb akaanza kuniambush na kuniletea vitisho vya kimungu na kichwawi eti huyo mtoto hatokuja hakusaidie au asimame, marehemu baba alienda mpaka kijijini kwao kumuulizia kwa baba yake lakini alikataa katakata kuja tuu kumuona mtoto ,sasa mtoto ni mganga wa wanawake niko nae Europe kalelewa na baba mwingine toka akiwa mtoto eti leo mtoto wangu

    • @hamiyhamadi2613
      @hamiyhamadi2613 Před rokem

      Sasa km unakataa naye nufantaje

    • @hamiyhamadi2613
      @hamiyhamadi2613 Před rokem

      Ukikataa namtoto matumizi hupewi

    • @sulemeki2827
      @sulemeki2827 Před rokem +4

      Ikiwa mtu anakataa pepo yadunia shauri yake ila mtoto nimtoto wazee no wazee hakuna wazee wawili.

    • @hassanmugire1497
      @hassanmugire1497 Před rokem

      So what ww ulimkera mwenzio malkia kafa hako katoto pia katakufa 😂

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před rokem

      Chanzo cha ugomvi uenda ni wewe

  • @aminahassan4214
    @aminahassan4214 Před rokem +1

    Funzo kwa wanaume wote hivi ulipo muacha ulidhani atabaki kuwa mtoto hatakua mshenzi sana

    • @godfreypeter1174
      @godfreypeter1174 Před rokem

      we ujielewi unaongea tu unajua walivokuwa wanaishi mpk uyo mtoto ametokea

  • @mariamdaudi2315
    @mariamdaudi2315 Před rokem

    Wanachonga waliolelewa nawazazi wao wote hawajuwi uchungu wakulelewa namzazi mmoja

  • @mwitaagness455
    @mwitaagness455 Před rokem

    Jina sio tatizo, ulikuwa wapi hata mama yake hukwenda kumzika, hiyo siku ya ma ziko tuu ulikuwa wapi, acha kulazimisha usaidiwe wkt hata kumsomesha ujamsomesha kaa kimya mzee wa kiki wewe.

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před rokem +5

    Omy sio chizi Mzee ulikosea sana,Unaonekana huna ubinadamu Mzee huna aibu kabisa ETI mara ya mwisho kuonana na Mtoto wako 2008 duuu

    • @tanzaboy4824
      @tanzaboy4824 Před rokem +2

      Big some time ogopa sana wamama uwezi jua pia nini kilitokea mambo ya familia inakuwaga na mambo mengi wanawake kunawakati wao ndio chanzo

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 Před rokem +1

      Huwezi jua .mambo ya family kuwa uyaone

    • @sulemeki2827
      @sulemeki2827 Před rokem +1

      Acha kutukana wazee wawatu ww omi naye amekosea kuna makosa mzee amekosea ila naomi kakosea sana

    • @chunaamahamud1089
      @chunaamahamud1089 Před rokem

      Kweli mzee ana shida! Haya tuseme wanawake ndiyo shida haya na huyo binti mwengine aliyemtelekeza? Pia mama yake alikuwa mbaya?

    • @samwelkeremu4111
      @samwelkeremu4111 Před rokem

      Baadhi ya wamama akishatofautiana na mzaz mwenzake hatak baba hat amuone mtoto na mzee amesema kuna vitu hawez kuviongea kwenye media

  • @kilimonachangamotozake6652

    Mtangazaji unabooa

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Před rokem

    Uyu mzee pamparira nyinqiii
    Af parara.