#EXCLUSIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • #EXCLUSIVE: BABA MZAZI wa OMMY DIMPOZ AFUNGUKA MAZITO, KAZI YAKE YA KUENDESHA BAJAJI, DIMPOZ NI WA 9
    GLOBAL TV imefanya mahojiano na Baba mzazi wa mwanamuziki Ommy Dimpoz, mzee Nyembo, anayeishi Sumbawanga akifanya biashara ya kuendesha bajaji.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 233

  • @way9tv821
    @way9tv821 Před rokem +20

    Mi so mzee wa zaman mm mzee wakisasa😄😁 kam n ww umesikia hivo gonga like tujuane

  • @reubenshaban6488
    @reubenshaban6488 Před rokem +7

    Uko smart sana baba. Samahani kwanza shikamoo, uko viwango vya juu sana wazazi wengi kila mda kazi yao nikutamka laana tu utazani tuliwalazimisha watuzae

  • @veronicamadaha2654
    @veronicamadaha2654 Před rokem +4

    Duh mzee huyu kajua kujidhalilisha leo! Anajidai yuko humble amna kilakitu 😂😂😂

  • @djurio
    @djurio Před rokem +16

    Huyu ana kazi maalumu...bajaji geresha tuu...

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 Před rokem +9

    Nilishagajiuliza mda mwingi saana Ommy mbona ni kama ana ukongo ukongo vile .......leo nimejibiwa .....na mzee nyembo

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 Před rokem +6

    Yupo sahihi Sana uyu mzee anajitambuwa sana

  • @vero57
    @vero57 Před rokem +7

    Baba soup soup kweli kweli, safi sana 👍

  • @mosesnyamhanga449
    @mosesnyamhanga449 Před rokem +4

    Asee mzee yupo vizuri sana!

  • @joselinekahashi1732
    @joselinekahashi1732 Před rokem +8

    Acha kelele na story nyingi za kicongo mzee, omba msamaa mwanao, ufe kifo kizuri,

  • @basimisecadet6569
    @basimisecadet6569 Před rokem +4

    Kumbe Ommy ni from congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 Před rokem +2

      wazungu kweli ni wabaya sio watu wazuli mi nawambiaga watanzania chombe chombe usitusi watu wakutoka mipakani sehemu kama kalemi uvira kando kando na bahari wale ni wadugu ukoo lazima upo kueni makini achaneni ni mipaka tulie wekewa na ma beberu

    • @Phoenix_TechAnalyst
      @Phoenix_TechAnalyst Před rokem +2

      @@nyembomajidi3027 nice talk. Chef nyembo namfaham Kalemie Katanga uvira baraka, so Omary ni half Congolese

  • @mbonimanakisenya4178
    @mbonimanakisenya4178 Před rokem +2

    Excellent

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Před rokem +2

    Sasa dimpz unamkanaje huyu mzee.kwanza hakuombi ukizidiwa anakutoa na mshiko acha maneno mpende babako

  • @binbaya923
    @binbaya923 Před rokem +2

    Kweli kina mama (wanawake) wamechoka, hizi komenti humu asilimia ndogo sana ya wanawake ndio wanamuelewa huyu Mzee. Tuweni makini wanaume👊🏿

  • @iddmtimi7920
    @iddmtimi7920 Před rokem +5

    Saf sana baba umeongea vzr sana

  • @SaidSaid-jr9jt
    @SaidSaid-jr9jt Před rokem +2

    Kwa sheria ya dini yangu mimi uislam MTOTO WA MJE YA NDOA HANA BABA kwaiyo habari za ommy kumsamehe huyu mzee ni maamuzi yake ila hawezi kuwa baba yake na wala mzee kisheria hatambuliki kama baba na ndio mana kati yao kisheria hakuna anaemrithi mwenzie hapo labda waamue tu kugaiana chochote katika mali zao.

  • @hassanngayaga9727
    @hassanngayaga9727 Před rokem +3

    Mzee uko smart sana uishi milele

  • @Phoenix_TechAnalyst
    @Phoenix_TechAnalyst Před rokem +4

    Ya chef Nyembo anafahamika Kalemie na Shaba…So Omary ni mkongomani half.

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +5

    Mzee kiboko sana huyu anawatoto 17🙌🙌

    • @monadinadi5295
      @monadinadi5295 Před rokem

      Huku - Kuna mama wakiarabu Kazaa watoto 15 ni balaa🤣🤣

  • @d.m453
    @d.m453 Před rokem +4

    Nimejikuta namchukia tu huyu baba,baada ya kumsikilisa Ommy Dimpoz.

  • @shaphaina9941
    @shaphaina9941 Před rokem +8

    Some times wababa mnajitakia wenyewe munatelekeza watoto mnasubiria mpaka akishafanikiwa ndio mnajileta juuu .

  • @jacklinejacklinejonh6530

    Kwann hukuenda kumzika mama yake omy!

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před rokem +12

    Wasanii wengi hawana mashirikiano na wazee huyu mzee anaficha kitu ila anazungumza Kwa hekima mashalla

    • @silasmichael602
      @silasmichael602 Před rokem +1

      kweli saikologie iko hivo lakini katanguliza busara

    • @veeJesus
      @veeJesus Před rokem

      Natumaini ushasikia alichokisema omy

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy Před rokem

      @@veeJesus Watu wako fasta kujaji. Baada ya kumsikiliza ommy, watatamani kufuta comments zao.

    • @veeJesus
      @veeJesus Před rokem

      @@RuzoOwzy yaaan

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 Před rokem

      @@RuzoOwzy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed Před rokem +9

    Mzee amekula pamba kinyamwezi flani dah,oya mzee upo vzuri!!

  • @harunamwaholi6551
    @harunamwaholi6551 Před rokem +10

    Mwandishi huyu mkorofi anauliza swali moja zaidi ya mara tatu .mzee kamjibu tuko vzr ameng'ang'ania tu

  • @aoman5214
    @aoman5214 Před rokem +6

    Wow namempenda Sana Baba anaongea Kwa kujiamin Sana

  • @jumaabdala7530
    @jumaabdala7530 Před rokem +2

    Nyembo siyo nduguyangu Duuh 🤔 wasiseme Najipendekeza ok Ila mzee 👍👍👍

  • @streetconatv100k
    @streetconatv100k Před rokem +4

    Mzee yuko smart sana kwenye maneno Hadi muonekano.

  • @christinenguyo4542
    @christinenguyo4542 Před rokem

    Wise Man 👨 👏 👌🏽 🙌 🙏 💯

  • @mathisngulo8302
    @mathisngulo8302 Před rokem +4

    Mcheshi sana ukipanda bajaji yake kweli safi

  • @jestinaluvanda4787
    @jestinaluvanda4787 Před rokem +7

    Nimesoma comment eti mzee ana hekima, hekima ya kutelekeza watoto? Kwanza watoto 17 inaonesha kabisa alikuwa kiruka njia.

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 Před rokem

      Jinga wewe ulitaka watoto wawe wangapi? Unajua unapoweka kigezo cha idadi ya watoto kama kosa eleza sababu

    • @alexdukes5547
      @alexdukes5547 Před rokem

      Wote wenye mtizamo hasi ni wanawake muwe mnaheshimu hisia za wanaume mda mwingine viburi na majivuno muachage mnaharibu watoto mnawajengea watoto uadui mkubwa sana na wazazi upande mwingine

    • @aldeamasuki6196
      @aldeamasuki6196 Před rokem

      Ndo walivyo hawa wanaume hawapendi majukumu

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Před rokem +1

    Mzee Yuko vizuri ..

  • @barakanitwa3663
    @barakanitwa3663 Před rokem +1

    Mzee uko na hekima xna hongera xnaaaa

  • @Winstonfying
    @Winstonfying Před rokem +2

    Mzee kafunika wale mastaa wa Man united wootee

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 Před rokem +3

    Huyu mzee Majanja mjanja sana.

  • @babnaafaizaani3368
    @babnaafaizaani3368 Před rokem +1

    Kama mmi mzanzibar nimegundua watanganyika wengi cio watanzania og

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy Před rokem +2

    Mwandishi anapelekwa pelekwa mputa bila direction. Interview inaisha haina kitu chenye mashiko makubwa.

  • @wahapahapa3279
    @wahapahapa3279 Před rokem +4

    NIMEANGALIA video ya ommy nimekuja kumskiliza mzee SIONI hata ommy KWANINI kaja kuongea vile Sawa baba yake alimkosea lakini baba yake anamtakia mema NA HATA KAMA HAWAKO SAWA BHASS MZEE KAJITAHIDI KUONESHA UPENDO KWA MWANAE NA SIO KUMKANDIA KAMA MZEE WA MTU FULANI ,ommy hakuna binadamu aliekamalika msamehe mzee wako mfate kaa nae ongea nae na inaonekana anajua wapi alikosea na kaongea kwa uchungu lakini Zote ni point

    • @bushiridems
      @bushiridems Před rokem

      Kaongea cz ni mkongo akutaka baba yake ajulikane ataweka uwazi wata mchukia

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 Před rokem +2

    Mimi nilitelekezwa na mama yangu nikiwa mdogo sababu baba alimuacha nimelelewa na mjomba wangu leo hii nikiwa mtu mzima najitegemea mwenyewe sitaki kabisa kumuona mama katuma mabarua mpaka kachoka sijamjibu chochote nina maisha mazuri na afya nzuri naongea na ndugu zangu tu walionijali nikiwa mdogo lakini sio mama yangu hata akiumwa sitaki kujua

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 Před rokem +1

      @@Prishnakdrama haitawahi kutokea katika maisha yangu aliwachukua kaka zangu akaniacha mimi peke yangu

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 Před rokem

      @@Prishnakdrama kwako yeye tu pambana na mama yako mama yangu mimi akanikana kwa marafiki zake kuwa mimi si mtoto wake

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 Před rokem

      Na mimi leo namkana mama yangu kuwa siyo mama yangu

    • @ommarysaid7391
      @ommarysaid7391 Před rokem

      Hilo ni kosa Kubwa Sana Mama Ni Mama Nenda kamuombe Radhi Ukae na Vizuri Haya Maisha tu Hakuna Aliyekamilika

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 Před rokem

      @@ommarysaid7391 mama yangu anataka kuniua ndiyo maana nalindwa na social na polisi na ambulens

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Před rokem +1

    Kumbe ulikuwa na kaz nzuri ccm alafu hukuwahi kulea watoto wako ukawatelekeza wakiwa wadogo mpuuz sana wew fala sana

  • @juliusndule4016
    @juliusndule4016 Před rokem +5

    Tukiwa na wazee milioni kama huyu amini tutapiga hatua sana

  • @hellaskarras1567
    @hellaskarras1567 Před rokem +2

    Mzee unajipunguza Akili unafiri ubaba ni kuzaa tu ni pamoja nakulea usimlaumu mtoto

  • @rahmaelmi8748
    @rahmaelmi8748 Před rokem +5

    Mzee hajamuongelea vibaya ommy why ommy atoke huko alikotoka kuja kumshambulia baba yake

  • @salimaanna6898
    @salimaanna6898 Před rokem +4

    Huyu mzee anasema ukweli sana. Wakati niliona jina lake la Nyembo, nilisema ya kwamba huyu anatoka D.R. Congo. Sababu ni kwamba chifu familia ya chifu wangu wa Katanga, Baraka, Congo 🇨🇩 wana jina la Nyembo pia.

  • @ismailissa4935
    @ismailissa4935 Před rokem +5

    17🙄

  • @isaacmagambo4017
    @isaacmagambo4017 Před rokem +17

    Huyu Mzee ana hekma sana

  • @charlessomeke8992
    @charlessomeke8992 Před rokem

    Hongera mzee uko vizr waache wakutukane tu. Ila. Uko. Vizri wewe ni baba utabaki. Kua baba tu

  • @fatmakirungi9926
    @fatmakirungi9926 Před rokem +1

    nimelipenda mzee sio tengemezi unachapakakazi mwenyewe iko poa sana

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi3663 Před rokem +2

    Ahsaanteeee...weweco mzee wazamaniii baba

  • @aishamwinyi7820
    @aishamwinyi7820 Před rokem +11

    Nawachukia sanaaa hawa mababa wanaotelekeza watoto huyu mzee kamtelekeza ommy tokea mchnaga ila anajifanya kasahau sina mapenz nao hata chembe wanaume washez kama hawa

    • @Hanifa-xc
      @Hanifa-xc Před rokem

      Ugovi wa mama yako na baba yako haupaswi kuingilia bwege ww haitobadilika shahawa yake ndio imekuleta duniani

    • @aishamwinyi7820
      @aishamwinyi7820 Před rokem +2

      Hahahahaha lazima uchukie ila huo ndio ukwel pia mm mpk leo nalelewa na baba tena ananipenda sanaaa kuliko mama na nnampenda sana baba angu ila baadhi yao wanazingua

    • @NellyWaKidato
      @NellyWaKidato Před rokem

      Wanawake Huwa mnajisahau Sana Unaweza kuzaa na Mwanaume Halafu mkagombana kwa Maisha ya Hapa na pale Sasa Badala ugomvi Wenu uishie Hapo unamwambia """Hata Huyu Mtoto Sio Wako""" Mjitafakari Sana Hilo Neno Huwa linatuumiza Sana maana mmekuwa mkilitumia mkidhani mnatukomesha Kumbe mnawakomesha Watoto Wetu bila Kujua

    • @nyerere1259
      @nyerere1259 Před rokem

      Mbwa nyie

    • @alexdukes5547
      @alexdukes5547 Před rokem

      Unawachukia nini hebu jitathimini kwanza ndo ujuwe unawezaje kumchukia mtu usienkuwa nae mahusiano fyuuuu

  • @joselinekahashi1732
    @joselinekahashi1732 Před rokem +8

    Ana shida na mwanae huyu mzee, ndo mana maneno hayaishi mdomoni

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Před rokem +1

    Yes this is really man

  • @mkadammkadam
    @mkadammkadam Před rokem

    Nyote mnaojifanya kuwakilisha kundi la vijana na kumkandia huyu mzee kwa kilichotokea hadi kusema nyinyi wazee na nyinyi kujiita sisi vijana. Tambueni kuwa ujana una mwisho. Baba na Mama ni kila kitu duniani hivyo hata wafanye nini bado ni wazazi na hatuna budi kuwapa heshma zao na sio kuwaanika kwenye vyombo vya habari.

  • @tibaijukaolevarez6257
    @tibaijukaolevarez6257 Před rokem +2

    Kumbe na birthday baba anaijua ahaaa

  • @goodhelpnolland6792
    @goodhelpnolland6792 Před rokem +4

    Mzee huna mahusiana mazuri na mtoto wako ongea ukweli na tatizo sio la Omy ni wewe

    • @alexdukes5547
      @alexdukes5547 Před rokem

      Ulitaka aongee nini labda muongelee wewe wanaume nyie ndo mana tabia za kike

  • @ngwanasongowelero7153

    Mmmmh acha ivo

  • @mzalendomtokambali6551
    @mzalendomtokambali6551 Před rokem +2

    Wa kwetu kabisa

  • @hannamakamba6108
    @hannamakamba6108 Před rokem +1

    Mmmmm

  • @siscleonard5093
    @siscleonard5093 Před rokem +6

    Huyu mzee mjanjamjanja hana mahusiano mazuri na mwanae sbb anaulizwa ommy ametokea kwako ooh mi nilikuwa napiga marimba mara mwanangu siwezi kumuomba msaada we mwanao umemlea mwanzo mwisho kwa usimuombe msaada na yuko vzr

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Před rokem +1

    Huyo mzee kapeleka wapi nywele

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Před rokem +4

    Ndio maana yake mzee wangu mazingira ndio yenyewe ongera mzee

  • @neltone
    @neltone Před rokem +3

    Mzee yuk vzr

  • @Clementjackson3
    @Clementjackson3 Před rokem +2

    Mzee mcongo kweli 🇨🇩

  • @goodhelpnolland6792
    @goodhelpnolland6792 Před rokem +8

    Huyu mzee anazingua Omy anasema alitelekezwa na baba yake hakua na mapenzi na mtoto wake baada ya kuona mtoto amekua maarufu ndio anajifanya anampenda Omy na kujiita baba Omy mzee Kuna kitu anaficha Bora angemuomba msamaha mtoto

    • @eliyahsakaika8641
      @eliyahsakaika8641 Před rokem +2

      Wazee kama hawa miyeyusho

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 Před rokem +1

      Baada ya kumuangaria ommy dimpozi kumkosoa baba yk nikaja nikaja kumuangaria mzee wake🤣🤣🤣

    • @emanuelsam1543
      @emanuelsam1543 Před rokem

      Kwa hiyo inafuta kuwa ni baba yake??

    • @charlessomeke8992
      @charlessomeke8992 Před rokem

      Mnamtukana kesho mzee akiamua kusema ukweli kuhusu kuachana mke wake mtasemaje

  • @respiciusndyanabo366
    @respiciusndyanabo366 Před rokem +2

    Love your great dady Indeed

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Před rokem +3

    Kwanza mzee hana tabu ya kujisononesha

  • @djunnydjux4126
    @djunnydjux4126 Před rokem

    Mzee Kumbi omari mu kongo mani wa Maniema mimi piya mu kongo mani wa Maniema kasongo

  • @leilaamankwar8279
    @leilaamankwar8279 Před rokem +3

    Ukamtelekeza Ommy sasa kwa vile amefanikiwa wataka jihusisha nae...nyoooo

  • @archtecturaldesigner5916

    Huyu mzee ana maisha mazuri kuliko Ommy

  • @sautiisiyosema
    @sautiisiyosema Před rokem +2

    Kausha mzee ilivyo mtelekeza ulijua angekufa?

    • @bushiridems
      @bushiridems Před rokem

      Kumbe Omy ni mkongo ndomana ataki baba yake ahojiwe

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem +2

    Yuko vizuri sana

  • @DurahRich
    @DurahRich Před rokem +2

    05:24 Interview si anaziona kule! Akitegemea mambo yatakua SOAP SOAP😂😂😂🙌 (Hajui mwanae kamjibu nini huko)

  • @Donrugi
    @Donrugi Před rokem +12

    Huyu mzee napenda sana kupanda bajaji yake hapa sumbawanga 😂. Anastory nyingi sana pamoja na mask 😷 yake usoni hatoi 😂 lakin eti ommy kamkana. Nakumbuka niliwahi kumtania kuwa inasemekana mwanao ni ILE ILE anatembea na wanaume, MZEE ALINISHUSHA KWENYE BAJAJI YAKE 😂😂😂

    • @mwaneyseifseif3059
      @mwaneyseifseif3059 Před rokem

      Make hapo kwanza ncheke

    • @user-le9lb8oc8d
      @user-le9lb8oc8d Před rokem

      Sasa anamkataa nn nakati hata ongea ziko sawa na usmati ndo kabsaa

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před rokem

      @@user-le9lb8oc8d kwahyo ww kama baba yako alikutelekeza toka utotoni hutamkataa kisa usmart? Kweli duniani tupo wengi

    • @jumasoli7818
      @jumasoli7818 Před rokem

      Kumkataa haifuti kovu zaid kila ukiwaza baba utamuwaza yeye tu hatochonga mzaz mpya aache ujinga kwa kuwa kafanikiwa

    • @user-le9lb8oc8d
      @user-le9lb8oc8d Před rokem

      @@rumdeesonsoa1811 sasa nimukatae ili iweje kwenye huu ulimwengu haliyakuwa tunapita sema tuu n jeuri ya dunia ndo maaana ila mbona kakubali kama n babaake sema tu hamjali kwendarrrr we mwelewa 😏😏😏😏😏

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone Před rokem +2

    Huyu mzeeanahemkima saana jaman nimejifunza kituuuu

  • @bwizaparadise4193
    @bwizaparadise4193 Před rokem +3

    Mimi ni bangu bangu maniema oye oye ❤️💥💥💥

  • @omarymwigula9826
    @omarymwigula9826 Před rokem +1

    Kanajichetua haka kalimtelekeza Leo kanajiplaudi

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před rokem +4

    Kumbe omy mkongomani Watu wa Kigoma inabidi tuwahoji vizuri

  • @kastomwaipopo1763
    @kastomwaipopo1763 Před rokem +1

    Mpaka Leo ih namchukia sana baba angu bc tu😔🥺

  • @aoman5214
    @aoman5214 Před rokem +1

    Baba anajielewa Sana

  • @johndevi2153
    @johndevi2153 Před rokem +1

    Mbona ommy baba yake ni wa kasulu?

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Před rokem

    Wewe ni mkali kuliko ommy

  • @ashayummy2299
    @ashayummy2299 Před rokem +2

    Sawa mzee

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 Před rokem +2

    Mzee Punguza kuvaa matangazo mara Dunlop mara Coke
    Dogo akupige pamba za ukweli

  • @jumasalumkautipe9311
    @jumasalumkautipe9311 Před rokem +3

    Mzee nimemuelewaa

  • @halimamajid4042
    @halimamajid4042 Před rokem +1

    Anhaaaa kumbe ulikua unakacheo flani ndio maanaa ukamdharau mzazi mwemzako na mwanao nyoooko shenzi weeee....... Saiv wajitowa kimasomaaso ilooo... Yaani hauna ishu wewe mzeee

    • @aldeamasuki6196
      @aldeamasuki6196 Před rokem

      Usimlaumu mwanaume mhuni huwa halei watoto kazi yake kuhangaika tena dereva kina kituo kuna mwanamke

  • @davidjohn4356
    @davidjohn4356 Před rokem +1

    Endelea kupambana usitengemee msaada kwa ommy, kasha weka mamb hazalani🤔🤔

  • @laghtnesphilipo489
    @laghtnesphilipo489 Před rokem

    Ommy, msamehee baba yako

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před rokem +6

    Sidhani kama Wana uhusiano mzuri. Kuzaa hovyo nako ni shida. Na kutokuwa mlevi si kipimo cha kuwa msafi

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před rokem +2

      Omary kaongea mengi sana nendakwa miiladayo au insta ya omary

  • @hamisisalumu5485
    @hamisisalumu5485 Před rokem

    mzazi nimzazi tu ila wazee wanakimbia family

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Před rokem +1

    Wabongo ni shida, mamake hukumuowa, kisha unalilia mtoto kisa ana chakula.
    Waislamu wa ovyo kabisa.

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 Před rokem +1

    Dindi yuko poa

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Před rokem +1

    Moyo wa kipekee.

  • @lovenessmsuya7386
    @lovenessmsuya7386 Před rokem +2

    Wababa leeni watotowenu kwa upendo hatakama niwanjeyandoa

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem +6

    Dah kumbe mzee alifatilia interview ya Salama😄😄😄

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 Před rokem +2

    Interview mbovu sana Haina muelekeo muulizeni alicho kizugumza ommy mwenywe muulize jee ulimtupa ommy kwa miaka ishirini ni kweli ama laa muulize ulimsomesha ama laa lakini wewe mjinga sana mambo ya diamond yameingia na wapi fala wewe

  • @happyalicko8571
    @happyalicko8571 Před rokem

    Wababa leeni watoto wenu wacheni tantalila nyingi msyuuu

  • @athumanimambo8478
    @athumanimambo8478 Před rokem +4

    Mwanao kakukataaa hukooo

  • @mwatangachuma9069
    @mwatangachuma9069 Před rokem

    Mnatukataa tukifinakiwa mnaanza kujileta msibaguwe watoto amjui kesho yetu

  • @mwamedypwemu6117
    @mwamedypwemu6117 Před rokem +1

    mm baba yangu na mama yangu wametengan ila mpk sasa twaishi ila kipato cha dunia vijan wengi twawakat wazazi wety kam mondy leo hi mzee abdul amtak ndo ommy nae

    • @dyakinyamadyaki8908
      @dyakinyamadyaki8908 Před rokem +1

      Mzee Abdul sio baba Mzaz wa Diamond , Baba wa Diamond n Nyange Mruguru...

  • @aoman5214
    @aoman5214 Před rokem +2

    Mbn Omar alisema Baba hajamsaidia chochote kile Hadi mama yake alipokufa jaman Ila ommy apige moyo konde amsaidie Tu hata kama aliwakosea

    • @allykigatta7564
      @allykigatta7564 Před rokem

      ..amsaidie KWANI HUYU BABA KUNA MAHALI KASEMA ANA SHIDA NA ANAHITAJI MSAADA??..KASEMA WAPI??

    • @harakationlinetv8224
      @harakationlinetv8224 Před rokem

      Àmsaidie nini? Mbona sijaona kuna mahali anaomba msaada, ukisikia vzuri utasikia kuna bajaji nyngne anaendesha mwanangu hassan, kiufupi dingi ana njaa lakn pia namsifu haoneshi unyonge wa kuombaomba

  • @user-le9lb8oc8d
    @user-le9lb8oc8d Před rokem +1

    Hadi ongea walai