Unamsomesha mtoto anaacha kutumia akili yake kupata pesa anaanza hv., Wazazi watakua na ham ya kusomesha kweli!!!. Ni aibu...Wwe una masters Lakini ni Bora usingeenda shule
Huyu jamaa sio mtanzania ndio maana anajipigia debe kwenye serikali ya huyu mama ili apate uraia wa kitanzania warundi na waruanda wako wengi tanzania na wanajifanya watu wa kigoma mzawa awezi kufanya mambo kama hayo kwa sababu ana wajomba baba wadogo na watu aliokulia nao watamsema. Mijitu ya kuja yote ndio wanakua machawa mpaka mashoga.
Maana DRC ni inchi ya wezi,tozo Hata U.S wanatoza Hadi chooni ,aching mambo ya kuondoa sijuwi kupunguza wongo huo na siasa zisizokuwa na maana inchi ni tozo.
Namuwlewa vzr mwijaku
Humumuelewi anachotaka kuonyesha utofauti wa Baba na mwana.
Mtoto anawaka mjini 😂😂
Uyu jamaa ana akili sana. Ila wachache saana wana mwelewa, hapo ka portray kitu kwenye jamii
Ila msisahau nani aliyemlea Dimpozi ni nani
Kweli ata mi nimeona hilo
Uchizi anaye huyu mwijaku
Wao wanaingiza pesa mzeee
Mwijaku mnafik sana
Mwenye mume uy ana hasara
Hiv wew mwijakuu una shida ganii jamann🤣🤣🤣
Kumbe mwijakuuu kiboko msomi anajuwa mtangazooo
Hiii nchi INA vijana wa hovyooo Sana kama mwijaku
hatari sana
Mke wa Mwijaku anakazi jamani na vituko vya mumewe😂
Akili zko mwijaku unazijua mwenyew 2🤣🤣🤣🤣🤣
Mwinjaku ❤️❤️❤️❤️❤️
Huyu jamaa sijui ni comedy au misifa ishajaa unalala chini jamaani🤔🤔🤔🤔
...dah! Huyu Mwijaku eti nae anamke nawatoto😂😂
Ndivyo inavyosemekana ila upande wapili ao watoto niwajamaa flani
@@jumapiliissa4835 achaumbea tafuta maisha mwenzi anapata pesa wewe waongea mambo kama ulikuepo kitandani nae
Hivi uyu mwijaku nimzima kweri😄😄
Huyu jama
Babalevo yupo sahihi
Kwa kusema amepasuka kichwa
Hiv ndo anaonyesh uchiz wak
🤣🤣🤣..
Uyu jamaa unaweza kumpija risasi ukiw na jazba
Hahaha 🤣 kama angekuwa mume wang ningeomba talaka
Mwijaku nakupenda,unaniondolea msongo
Nimemsoma mwijaku anataka kutuonyesha dreva bajaj🤣🤣
Kumbe ndo maana malekani watu kama hawa huwa wanapigwa risasi
Kumbe sio wa kigoma..
Hii inaitwa chizi kalogwatena
Sasa si ulinkataa
Ipo siku atatoa advertising ya makalio yake😂😂😂
Jamani mwijaku unavituko kwakwel 😅😅😅
Ila wakina omy,,, daah ,mungu anawaona,,,,
Mwijaku sio mzima nyie 🤣😂
Zaidi ya matumbo yenu hakuna mnachojua!
Ahahah
Hivi una Mke we boya.siyo kwa kujipendekeza huko
Wewe kuusu tozo acheni masiala munakula iyo aipingiki iyo
Huyu mwijaku lazima atakua aliugua funza hizi akili si za kawaida 😃😃😃😃
Khadijah umenichekesha eti aliuguwa funza 🤣🤣🤣🤣🤣✋
@@MaryamMaryam-gd7qh 😃😃😃
🤩🤩🤩
Mwijaku is not fair 😢😢😢
Uyu mwijako Tako kweli
Wanafiki wengi chini ya jua jamani hahahaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwijaku weye mungu anakuona walahi duuuuuh
Huyo jamaa Kuna plug moja haichomi
Huu ujinga si uwache tu...usiforce umaarufu kwa kelele zisizo na maana
Mwijaku maarufu wewe na mimi ndio sio maarufu
@@romualdmadeniromuald525 what a poor and God forbid soul... that's your etc I understand u
Mwijaku umeshindikana
Chiz mwijaku
Nmh wewe DC wewe hulioni jicho la mungu apo pembeni
Hii ni ujinga gani ?
Tumvalishe dera shogo huyo
Sasa nayeye hapo si kasujudu arikuwa anamsema h baba
Wanamtumia Mzee kufanya mambo Yao yaende
Sio kwa ubaya … hivi sio vyema !!! Ni hayo tu..
Aisee huyu mtoto wa kiume kweli
Sina uhakika aisee nahis atakua upande wa k
Mvua inanyesha dish limeyumba
Shosti huyo,mchicha mwiba.
Ila hili kubwa JINGA nyie😔
Mwijaaku na mwelew sana
Duh
Uwe pozi kwa pozi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ilamwijaku jamenii
Huyu mzee anamatusi Sana,Ni jirani yetu
Ni baba ake Ommy kweli au
🤣🤣🤣🤣 huyu jamaa kituko
Ningekuwa dar nishamtumba huyu
😂😂😅 SA watoto wake itakuaje
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mwijaku 💥💥
Mipasho tu huyu mwijaku nina mashaka na yeye aliwa matako mana yeye anaishi kwa kutegemea kubebwa
Mwanaumwe ndio mwinjaku ndio mama umempenda ndio mama toka moyoni ndio mama haya video zimevujaaaaa
Hahahaha mbavu zng
Huyu sio mzima
Kweli jamaa ni pungaaa
Huyu jamaa kweli anaakili lkn
Unamsomesha mtoto anaacha kutumia akili yake kupata pesa anaanza hv., Wazazi watakua na ham ya kusomesha kweli!!!. Ni aibu...Wwe una masters Lakini ni Bora usingeenda shule
Baba WA baya navo mjua ommy hana roho mayya
Chizi
Na akimuona babake Elon M
Masomo ya sayansi nayo!
Wanajitoa ufaham
😂😂😂
Et ni mtu alichukua fomu yakugombea uspika huyo
Huyu jamaa sio mtanzania ndio maana anajipigia debe kwenye serikali ya huyu mama ili apate uraia wa kitanzania warundi na waruanda wako wengi tanzania na wanajifanya watu wa kigoma mzawa awezi kufanya mambo kama hayo kwa sababu ana wajomba baba wadogo na watu aliokulia nao watamsema. Mijitu ya kuja yote ndio wanakua machawa mpaka mashoga.
Maana DRC ni inchi ya wezi,tozo Hata U.S wanatoza Hadi chooni ,aching mambo ya kuondoa sijuwi kupunguza wongo huo na siasa zisizokuwa na maana inchi ni tozo.
Huyu jamaa Kiki itampeleka pabaya . Kujitoa akili kama mwehu
🤣🤣🤣🤣😂😂
Mshua anajua pigo za ommy?
Haki nini husubua huyu jamaa
Mnafiki mkubwa huyo
U
Uyu jama karogwa vipi 🤣🤣🤣🤣
Mbona Mwinjaku anatwerk twerk ?
Serikali ya ma chawa
😄😄😄😄😄😄😄😄🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂
Akili zimemruka 😏😏
Mwijaku mnafk tu!
Ahahaha Hili jamaaa buan
Kutafuta umalufu kazi
Mtu mzima kileja huyu
Hili ni dongo kwa Domo mpende wazazi wenu💪💪
Unawashwa!
Wee wakwako unamsaidia
Da vraiment Mr ta perdu la tête vraiment
😂😂😂🤣 Kingwendu akasome tena
🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃
Acheni uchawa nyie pimbi
Kama lijinga hili😆 asa ndo nn kuji galagaza jitu Zima hvyooooo 😂
Ujinga sasa mwijaku
kunguni wewe
😂😂😂😂
Akili zimemruka 😏😏