EXCLUSIVE: Baba Ommy Dimpoz Afunguka A-Z baada ya Maneno ya Ommy | "Nitazikwa na Manispaa"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • FOLLOW US
    Instagram: / tanzaniatrends
    Facebook: web.facebook.c...
    Twitter: / tanzaniatrends
    EXCLUSIVE: Baba Ommy Dimpoz Afunguka A-Z baada ya Maneno ya Ommy | "Nitazikwa na Manispaa"

Komentáře • 130

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před rokem +2

    Mm namsifu sana Mzee Kwa nn umbembeleze mtoto safi sana kuwa na msimamo huo Mzee mradi unajiweza mwenyewe piga kazi

  • @bobsalim4285
    @bobsalim4285 Před rokem +8

    Wacheni ujinga nyote wawili.
    Omy hajakasirika kuhusu interview zako,ameeleza ukweli kuwa hakujui kama baba koz hukuwepo katika maisha yake.
    Swali ni' ulikuwa wapi na kwann hukuwa ukimshughulikia.
    Omy hana 15yrs,ni mtu mzima,so maisha yoote utokee leo.
    Ushindwe.

  • @tahiyasaeed
    @tahiyasaeed Před rokem +14

    Mzee kwanza una dhambi ya zinaa, pili umemtia mimba mwanamke wa watu then ukamtelekeza. Tatu mtoto aliezaliwa pia hukumhudumia kwa chochote mpaka kawa mtu mzima tena star, halafu ww ndo unajitokeza kifua mbele ati baba yake. Mzee nakusihi bora ungekomaa vile vile ukauchuna tuu, kwanza ulikuwa sawa kumhudumia was ur choice haikuwa lazima kwako cos ni mtoto wa nje ya ndoa kidini sio mwanao. Lkn sasa hivi unaanza kufuja unang’ang’ania awe mwanao na unajuwa fika kuwa si mwanao kidini na humrithi na wala yy hakurithi. Bora tuliza mshono endelea na maisha yako na yy muwache na maisha yake km ulivomuwacha alipokuwa mtoto, period.

    • @jesuspower2390
      @jesuspower2390 Před rokem

      PILI maandiko yanasema '' UKIRICHO KWA KINYWA NDICHO UPOKEACHO'' huyu baba alisema yeye huya hatafuti watoto ila watoto ndio wanamtafuta yeye... sasa OMARY bado mdogo akikua atamtafuta analeta kelele za nini... ningekuwa OMARI ningemjibu baba bado sijakua nikikua ntakutafuta.😄

    • @actionscene4753
      @actionscene4753 Před rokem +1

      Kwani ww kwenu hakuna mtoto wa Zina na huenda hata ww ni wa Zina

    • @bakariathumani8105
      @bakariathumani8105 Před rokem

      Kabla yakutaja aibu yamwenzako.. je,wewe hujawahi kuzini?

    • @wilsonjonas5481
      @wilsonjonas5481 Před rokem

      Mbona maelezo mengi ommy kakosea Kwan Mzee alimuomba hela au kama ni dam yake ulitaka aseme nn maana Yale ni mayai yake

    • @innocentmtashobya1257
      @innocentmtashobya1257 Před rokem +1

      Ulivyoorozesha makosa ya mwenzio utafikiri ww huna dhambi..mnafiki mkubwa

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Před rokem +5

    Unajisifia au sio

  • @jesuspower2390
    @jesuspower2390 Před rokem +5

    kwanza vyombo vya biashara ungeachana navyo tu vitakuvuruga muulize baba diamond

  • @ashobozakabalimu9212
    @ashobozakabalimu9212 Před rokem +8

    Kwa ufupi ulikimbia majukumu. Imeisha hiyo.

  • @kushcultureralph568
    @kushcultureralph568 Před rokem

    DAh kumbe mzee hana time!mzee wewe ni mwanaume hasa tena hasa!huyo bwege atakusaidia nini kwanza unaonekana huitaj msaada wa mtu!big up sana jembe wewe ni baba wa kuigwa!skia mzee huko dar wanaume wamekua mashoga!huyu tupa kule atafte baba yake anae mjua kwani anakusaidia nini wanskuza maada wakajua labda ni omba omba kama mzee abdul

  • @ramaosman8060
    @ramaosman8060 Před rokem +2

    ♥️ ! #Ljaystunner #LuckyHavana #LjayKitchens #NyamaChoma

  • @aishaally4831
    @aishaally4831 Před rokem +8

    Mzee unababaika ujui hata unachoongea hiyo ndio inaitwa fainali uzeeni, ujana maji ya moto,

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem +4

    😂😂😂Nimeamini ukiwanajina ni shida baba ulikuwa wapi wakat ana teseka kijan wako mam alimtoka mapem

  • @badaral6167
    @badaral6167 Před rokem +2

    Mzee ulikua na uwezo wa kulea omaly lakini ulimuacha baci endelea kumuacha Acha maneno mengi

  • @gladnesskennedy6238
    @gladnesskennedy6238 Před rokem +6

    Kwa hiyo huyo mzee ni mkongo tuanzie hapo kwanza

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Před rokem

    Pole sana Mzee, ndii Uzazi huo na watoto wanalishwa Sumu nyingi sana na kina Mama bora huna unyonge Mzee wangu simamia Kwa unachoamini.

    • @truthmediatz861
      @truthmediatz861 Před rokem

      Mtoto atalishwa sumu sawa lakini actions speak loudeer than words ! Huyu mzee angekua na mapenzi na mwanae in any way mtt mwnyw anajiongeza lkn inavoonekana tabia za mzee na sumu za mama yalikua yanaendana

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Před rokem +3

    Mzazi ni mzazi tuiu ndugu zanguuu hata km akukulea bado ni mzazi tusitowe maneno mabay kwa mzazi

    • @sixbertmwakaluwa5665
      @sixbertmwakaluwa5665 Před rokem +1

      Kbs ndiyo maana ommy dimpoz hajaacha kutumia ubini wa baba yake

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před rokem

      Kwani Ommy katoa neno gani Baya? Kasema Hana mapenzi nae mlitaka ajilazimishe na hakumlea?

    • @sixbertmwakaluwa5665
      @sixbertmwakaluwa5665 Před rokem +1

      @@sarahgaula2220 mengine ya family bhn

  • @ericnzabonimpa765
    @ericnzabonimpa765 Před rokem +6

    Alizaa kama nyoka na ajipiga kifua ‘´pumbavu

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 Před rokem +1

    Ommy kaza Buti achana nae huyo, hata nyani ana baba asikusumbueeeee. Ambambane na Hali yake.

  • @rithatarimo2
    @rithatarimo2 Před rokem +2

    Huyu mzee atulie kabisaaa abatapatapa hakumjua mtoto wakati wa shida na wakati wa raha iwe ivoivo sio mtu wakuhudumia watoto uyo

  • @ayubuomondi4911
    @ayubuomondi4911 Před rokem +3

    Jina ulimpa ukiwa hujui kesho atakuwa nani kwahyo usijisifie kwa kumpa jina

  • @s.flavor38
    @s.flavor38 Před rokem +2

    Bora www kuliko mwenzio anajing'atang'ata Kule Tandale 😬😬😬

    • @litangongo2451
      @litangongo2451 Před rokem +1

      Mmaniema hawezi kujing'ata hata kdg akisema mafu basi kwisha hiy

  • @fawzalbusayid7232
    @fawzalbusayid7232 Před rokem +3

    Anajifanya kuongea kwa feelings ili aonewe huruma mm si kublock tu ninge sahau kabisa kama nna baba😂😏

  • @nyasizobonny805
    @nyasizobonny805 Před rokem +2

    🙃🙃😉

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 Před rokem +5

    Omba msamaha kama kuna shm ulikosea siyo huna hoja

  • @truthmediatz861
    @truthmediatz861 Před rokem +2

    Mzee kufa tu kibudu ! Unavuna umanyema wako leo ..

  • @angellamwanri8414
    @angellamwanri8414 Před rokem +3

    Mzee huyu mkorofi... Jeuri... Roho mbaya... Halifai

  • @evanjau4481
    @evanjau4481 Před rokem +1

    Ulikuwa baba bata kwan bata ajuwi kulea watoto mkisha ona watoto wamefanikiwa ndiyo wa baba lakini kabla ya hapo ni wamama egeandika ata kuku nini omy

  • @providencekusinza7122

    Wewe uko mu congo original kabisa kwa majigambo ayo 😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza2716 Před rokem +1

    Mzee wa hovyooo! huyu mwe!

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu1659 Před rokem +2

    Kweli wee mzee wa kigoma mana watu wa huko kwa misifa hata wahaya wanasubiri

  • @wanaupendotv7183
    @wanaupendotv7183 Před rokem +2

    Mmanyema wa Kwetu

  • @stevenfumbi9566
    @stevenfumbi9566 Před rokem +1

    Wananzengo wenzangu tuwe na uelewa wakutosha, mzee amesema hatafuti msaada wala hataki kusaidiwa

    • @mgallason...5686
      @mgallason...5686 Před rokem

      Wajinga hawawezi kumuelewa na wengi wanaangalia upande mmoja na kuhukumu bila kujua kilichotokea awali.

  • @mshikamanojames7610
    @mshikamanojames7610 Před rokem

    Hamna mzee umefeli unajitafunasana

  • @fawzalbusayid7232
    @fawzalbusayid7232 Před rokem +2

    Sio sababu kutokua na mawasiliano kipindi iko huyu mzee anatufa umaarufu na sifa

  • @zahorokasentisenti6761
    @zahorokasentisenti6761 Před rokem +1

    Mzaz ni mzazi tu alafu mzee hana shida ya msaada dimpoz acha maneno ya kuambiwa

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před rokem

      Kaambiwa nini kwani matunzo yanahitaji kuambiww si unajua tu.

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před rokem +2

    .

  • @faithkapondo5383
    @faithkapondo5383 Před rokem

    Yaan hyu baba km mwanaume wng nlyezaa naye watoto wawil yaan wanapenda kujitetea ikiwa wamekosea,,,jmn Mung aniweke Dunian nlee watoto wng kwa roho nyeupe yeye ale tu ujana wanaume siku hz n shda kwa kwel

  • @omarimohammed8892
    @omarimohammed8892 Před rokem +1

    Nymbani wanamkubar ungemtelekeza wee mzee nimshezi tu

  • @gracekessy9150
    @gracekessy9150 Před rokem +9

    Mungu anawapa umri mrefu ili mteseke kama hivi😂

    • @tukolivemedia
      @tukolivemedia Před rokem

      Wewe ndo wale wakina mama mnaojaza watoto ujinga ety wawachukie wazee wao f***

    • @gracekessy9150
      @gracekessy9150 Před rokem +1

      @@tukolivemedia unawashwa ee kajambe mbele🖕🏽

    • @aimfetty1641
      @aimfetty1641 Před rokem

      😂😂😂😂 nimecheka sana walah

    • @tukolivemedia
      @tukolivemedia Před rokem

      @@gracekessy9150 ukweli unauma
      Kafiri mkubwa wewe

    • @jesuspower2390
      @jesuspower2390 Před rokem +1

      PILI maandiko yanasema '' UKIRICHO KWA KINYWA NDICHO UPOKEACHO'' huyu baba alisema yeye huya hatafuti watoto ila watoto ndio wanamtafuta yeye... sasa OMARY bado mdogo akikua atamtafuta analeta kelele za nini... ningekuwa OMARI ningemjibu baba bado sijakua nikikua ntakutafuta.😄

  • @omarimohammed8892
    @omarimohammed8892 Před rokem

    Kaka Omi kwamaelezo yababa yako inaonekana anakutafutia matatizo anae ukumu mungu ulicho nacho msaidie auna bac ucongee mengi kaka we mtoto najua unaumia nanaelewa maumivu yakukosa malez yababa maana mmi mwenyewe nimepitia umoumo kaka kinywa maji pambana namaisha yako ucereze mengi utajiongeza maumivu kaka

  • @kushcultureralph568
    @kushcultureralph568 Před rokem

    Jamani naombeni namba ya huyu mzee nna zawadi yake

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Před rokem +1

    Mzee ww ndo ulikosea unapiga mimba mtoto wawatu unalaza mbee kwel

  • @bosschick2417
    @bosschick2417 Před rokem +2

    Tala kaka, mafout hahaha 😆 😂

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 Před rokem +1

    Mtu yeyeote ambaye anajua nafasi yake hatumii nguvu kujitambulisha kuwa mm diye baba ukiona unatumia nguvu ujue hukuijua nafasi yako ipasavyo😏😏😏

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Před rokem

    Fadha, kubaliana na pigo la matendo yako ya ujana. Allah anasema “Laa takrabu zzinaa(Wala msiikaribie zinaa.” Wewe ukaikaribia na ukazini. Tena ukatelekeza. Tumikia jeuri yako kwa Amri ya Muumba. Wacha mikwara ambayo itaishia kukuletea presha ambayo ulisha msababishia Omar na mama yake!

  • @Mimi.Official
    @Mimi.Official Před rokem

    Mmmm huyu mzee analo jambo,
    Anajitahidi kueleza lakini ndani kuna uongo ,amekuwa mtumzima ndio unamwita mwanao .

  • @janethhendry6734
    @janethhendry6734 Před rokem +2

    Dua la kuku likurudie wewe bwege

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 Před rokem

    Wewe Mzee huna inshu kuwatelekeza watoto

  • @maryamsaid3297
    @maryamsaid3297 Před rokem +2

    sumbawangahio wachainyeshe tuonepanapovuja

  • @sadikijuma4560
    @sadikijuma4560 Před rokem +2

    Acha ujinga ww mzee , endelea na maish yk hutakiwi, mtoto star ndio unajipendekeza, pumbavuuuuu😏😏

  • @milliondollarvoice4055
    @milliondollarvoice4055 Před rokem +3

    Tumejifunza laikini Mzazi ni mzazi Tu.... Ommy ajishushe Tu, bila kukutana na mama yake asingekuwepo, vitabu vya dini vinasema muheshimu Baba yko na mama yko siku zako zipate kuwa nyingi hawakusema mambo ya maleZi wala Tabia za mzazi, Watu wenye akili wamshauri ommy

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před rokem

    ah Kumbe ulimzaa nje ya ndoa? ulitakiwa ukae kimya mana ulishafanya Dhambi ya zinaa utubie usijitangaze

  • @pachaerick8057
    @pachaerick8057 Před rokem

    Safk

  • @zaidankasamya2211
    @zaidankasamya2211 Před rokem +4

    Ommy ajui vinzur istory ya utoto wake..yeye Anajua vitu jujuu tu

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před rokem

    Acha wehu Mzee huyo mama yake kafa miaka ungetaka kumtafuta ungemtafuta. Watu walikuwa wanapata Taarifa mbali miaka hiyo na walitembeleana na kuzikana. Mtoto asomeshwe ujombani unaona sawa. Mzeee pambana na Hali yako.

  • @lm6373
    @lm6373 Před rokem

    Anaona wivu vile kamuona Cristiano ronaldo . wa baba wa ki Africa ndo sana wanatupa watoto sasa kaona mtoto kawa maaruff maneno yanamtoka toka uko .mzeee hata sura yako unaonekana mkorofi,

  • @mazagazagaonlinetv9775
    @mazagazagaonlinetv9775 Před rokem +3

    Mzee unalolote

  • @janethhendry6734
    @janethhendry6734 Před rokem

    We mzee huna akili ,eti wakimsomesha kuna shida gani ,,bwege wewe

  • @sarahsulubu8587
    @sarahsulubu8587 Před rokem

    Baba jamani so ommy wanni kama huna shobo nae wazazi wengine jamani sasa madharau haya piA

  • @bakariathumani8105
    @bakariathumani8105 Před rokem

    Mzee huenda anauwezo kuliko omy.. sizani kama,Mzee anaziki

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 Před rokem

    Mzee Mmanyema huyu hatari !

  • @robertoantonio5682
    @robertoantonio5682 Před rokem +1

    Mimi baharia wewe ni mkongo

  • @hassansuleiman4139
    @hassansuleiman4139 Před rokem

    Fala om hana akili pumbavu zake

  • @elizabethamon7454
    @elizabethamon7454 Před rokem

    We mzee unaonekana jeuri huna hekima sasa damu yako imekuwa jeur

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před rokem

    Bado na yeye anapambana na mitandao kama Baba wa Diamond.

  • @dylanmingi5064
    @dylanmingi5064 Před rokem +9

    Story na familia za watu wacheni kabisa..Mzee katoroka Majukumu wakati umefika akule ukatili wake...

  • @lazarojoseph7541
    @lazarojoseph7541 Před rokem

    Ulimsomesha

    • @mgallason...5686
      @mgallason...5686 Před rokem

      Kwani ommy kasoma mpaka Elimu ya level gani? Msishabikie msivyovijua.

    • @wilsonjonas5481
      @wilsonjonas5481 Před rokem

      Kumsomesha sio shida yeye kumzaa tu inatosha kitu kikubwa sana

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před rokem

    Kwa kweli huyu Baba ni boya anajikanyaga kanyaga tu hana lolote. Pambana na hali yako huna wasiwasi kaa kimya interview zote za nini kaa na msimamo wako. Unamvua nguo ama akuvue nguo?

  • @mtktv597
    @mtktv597 Před rokem

    Kuna maboya wanabwabwaja kumsema huyu mzee vibaya ivi mnajua process ya kutia mimba mtoto akazaliwa ? Kuma nyie wote

  • @jeniferemmanuel4251
    @jeniferemmanuel4251 Před rokem +3

    Mmayema yyte hana haja ya kutafta mtoto....duuh aisee huy mzee mwehu

  • @maryammorekhamis6703
    @maryammorekhamis6703 Před rokem +3

    Mzee wewe mzazi usiendekeze vyombo vya habari huyo ni mtoto wako mambo ya family yatabaki kuwa family

    • @mgallason...5686
      @mgallason...5686 Před rokem

      Vyombo vinamfuata bwana Kwani hujui vinatafuta airtime

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před rokem

    Ww taiya auna dhambi ww? Ujafanya zinaa ww?

  • @sportsarenakingsoffootball8635

    Ila Ommy siku zake zinahesabika, nimeanza kuelewa kwanini alinyweshwa sumu! Laana hii🤭

    • @ayubuomondi4911
      @ayubuomondi4911 Před rokem

      We kenge nn au na ww ndo wale wale wakutelekeza watoto wakijakuwa na uwezo mnaanza kujipendekeza

    • @husseingabo5497
      @husseingabo5497 Před rokem

      @@ayubuomondi4911 we mbona unhukum sehem Moja we unajua mama omy alimfanyia vituko gani huyu Mzee we wanawake unawajua au unawasikia

    • @mwanaidhassan9977
      @mwanaidhassan9977 Před rokem

      @@husseingabo5497 hakuna vituko vya mwanamke eti umsuse mtoto nyumba ngapi zina migogoro na baba analea watoto yaani mateso tunayopitia wakati wa ujauzito na wakati wa kuzaa mtoto wko akikosa mahitaji mama anaumia mnooo chuki inayojaa moyoni sio ndogo sawa mama ulikua na ugomvi nae vip alipofariki ilikuaje bado alikua na chuki na marehemu wakati mtoto mdogo kaachwa mwenyewe na vip ommy dimpoz alipoumwa alikua wapi mbona hatukumuona hapo hakuna laana hata aongee nn hakuna kitu apo ww ni muislam kama dini unaijua hakuna laana hapo

    • @tugabiz4286
      @tugabiz4286 Před rokem

      @@husseingabo5497 mama yake amekufa Ommy akiwa bado shule ya msingi. Sasa kama baba alikua na ugomvi na mama je baada ya mama kufariki kwanini yeye baba hajaenda kumchukua mtoto wake na kumtunza?

  • @vradmirlenin8290
    @vradmirlenin8290 Před rokem

    Mzee amna kunyenyekea mtu makaratasi kaza adi mwisho huyo choko asikubabaishe wapo walio lelewa na wazazi na hawatoi msaada wowote

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 Před rokem +2

    Mbona ulimuomba canter

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Před rokem +3

    Uko sahihi mzee yule mwanao limbukeni hata dini haijui maana hajui kusamehe kishakuwa shetani

    • @svt3
      @svt3 Před rokem +1

      Frank Mwinuka: mzee kakinbia majukumu kwa Omy, ila ana watoto alio chukuwa majukumu sababu walikuwa wa ndoa mbona hawafuate hao ila anafuatana na haramu, mzee afuatane na hao watoto wengine

    • @jeniferemmanuel4251
      @jeniferemmanuel4251 Před rokem +1

      Yaan mnajifanya mnahukum ...watu wanateseka huku njee jmn ...mzee anaonekana mwehu

    • @svt3
      @svt3 Před rokem +1

      @@jeniferemmanuel4251 kweli ni mwehu na hakuchukuwa majukumu, ila anaona mtoto amepata ka kitu ana kuwa mimi baba, mbona haendi kwa hao wa toto alichukuwa majukumu yao? Ama hao sio wa kujivunia

    • @jeniferemmanuel4251
      @jeniferemmanuel4251 Před rokem +2

      @@svt3 yaan hana lolote lile na anajiproud et mm mmanyema siwez mtafta mtoto atajileta yeye..ni ujinga na upuuz tu..af mm sipend mtu mzima anajisifia sana....ukimwangalia tu unajua alikuwa mwehu sana enzi zake.....watu msijifanye wema kumsapot ndo kuendekeza ujinga wa wazee kama hawa

    • @svt3
      @svt3 Před rokem +2

      @@jeniferemmanuel4251 nakubaliana na wewe kabisa huyu mzee mhuni saana

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Před rokem

    Omy arihumwa koho muda mlefu mbon hakumtafuta mtto na kujitokeza mitandaon miaka yote hakumlea wala alivyo humwa hakumjari ungu mzee hapambane na hari yake