MAMBO YOTE HADHARANI MAMA DANGOTE AVUNJA UKIMYA HUYU NDIO BABA HALISI WA DIAMOND PLATNUMZ
Vložit
- čas přidán 14. 01. 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Mama Asitufanye cc watoto kwann Diamond Aitwe Nasibu Abdul.Pumbavuuu.
Inaonekana Mama Dangote ako na shida na Mzee Abdul ... Machozi mafuriko 😭😭😭
Vita ya kuangamiza kizazi cha yule mzee abdul
Mzee anashida na hela za diamond
C bb wa kumlea Mana alichkua akiwa na mmba ety
Kumanisha alimuendea mumuwe kinyume akiwa mke wake halali, Mama ajiaibisha hadharani
Jaman jaman pesa hiz ni mapito,laana zitawaandama nawaoneeni huruma Sana mzee Abdul wew tulia Vita si yako acha mungu akupiganie 😭😭
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html
Kabisa mola atampigania haswaa Yani mitihan tu yakawaida duniani mapito
*Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
czcams.com/video/LMMcOLVk4rs/video.html
Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel
Ooooo
*NAKUKUMBUSHA* : _Hii Yote Ni Kwasababu Leo Hii Diamond Ni Tajiri. Angekua Masikini Yote Haya Yasinge Tokea!_
Hata mzee mwenyewe ameanza kujitapa mwanangu baada ya mafanikio ya diamond wakat hajafanikiw alikua hana time nae ko wala lisikuumize hilo
Cul
Fact
Yah n kwl
@@sniperbogo6210 Sana lakini chaajabu huyu Ricardo mwenyewe anashuhudia zina ambao hajakuwepo kuwa huyu Diamond ni kweli kabisa kwamba mdogo wake na hayo yote kwa sababu kapata hela ila hawa watu nijaa tu tumeambiwa ukizini ni dhambi kubwa usikubaliane nalo kama kweli ulizi leo huyu Ricardo mwenyewe anashuhudia zina ambao hajakuwepo
Sasa km mzee abdul ni baba mlezi mmeshindwaje kumlipa fadhila ya ulezi?mamae zenu umbwa nyie
Huyo mama diamond na diamond mwenyew wote hawajielew hao washamba wapesa hao
@@saidingelemange3465 wanajiona km tayar wameiona pepo
kujazia nyama😁😁
Kama alikataa mimba !na huku alimpa jina la Babu yake na ubin wake?we mama unajielewa?
Hapo sasa
Nikwamba ukiangalia mwanzo wa interview ilivyoanza niwazi ilipaniwa A-z watangazaj wameambia kila kitu...
Amin Mungu FUNDI malipo ni hapa hapa.mzee abdull atalipiwa
Amin ..so sad
Kweli watangazaji walikuwa washajua
Hii inajulilana muda mrefu labda ww nimgeni wamitandao
Ni kweli kabisa jamaa kamezeshwa maneno
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html
*Wangapi mnataka tumsapoti mzee kwa kuchangia kwenye biashara zake? hii platform inaweza mpa pesa nzuri akawa na maisha mazuri, let's support mzee Abdul watanzania wenzangu* FOLLOW HİS İNSTAGRAM PAGE AND SUPPORT HİS BUSİNESS
Tufanye ivyo kk tumsaidie yule mzee
Nipo tayari
Na mimi Nipo tayari tumcangiye mzee abdul 🤗Wallahi Iyi familia ya Diamond Mwenyezimungu anawaona
Wapo wengi anaowazidi uwezo wote utawachangia? Au Abdul kawaje sasa
Tupo hapa 👍🏼👍🏼👍🏼
Waaaaa ile patience niko nayo cant allow me to watch till end mnaboo sana kelele mingi and its clear mlipanga God is watching
Mmh mtihani ninmshindwa kuelewa sasa huyo mzee Abdul kamleaje diamond wakati hapo nyuma alikua anasema hajawai kumlea mmh dunia inaenda mwishoni kweli🙌
Hizi hapari nimezipokea kwamasikitiko kama nilivyo pokea hapari za msiba wa malehemu kanumba😥😔🤦
Me too
Mimi pia 😭😭😭
Kweli my yani mtihani
Hapari zinasikitisha eeeh
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html
Mungu atupe mwisho mwema, hii familia wana laana sio bure😭😭
Mungu atuongoze
Kweli laana tupu
True
Kwani mkiambiwa ukweli hamtaki
Unapo msema mwenzako kua analaana Kuna kuwa na mambo mawili laana atakuwa nayo ulie msonta au wew ulie sonta. Kwahy mwenye laana anaweza kuwa wew au wao mjuz ni mwenyez mungu.
Unaweza ukawa na hela lakini akili azipo kabisa mama anajizalilisha sana inaonekana kabisa mama alikuwa mtu wa haina gani mungu atuepushe
Why force someone to talk issue ya family hivyo I didn't like the way other reporter were forcing the guy heshima muhimu
Kwanini aseme kwa Sasa mama anakosea sana
@@elipidiussimon1091 hizi hela ubadilishi akili tu na kuforget pale umetoka
huu ni mchezo wa kuigiza waliouandaa kama Momo alikubali walipomuuliza kuwa baba yao ni mzee Abdul kwa nn walikataa ina maana wanajua kila kitu iweje kwa muda huohuo wamuandae mama diamond kwa jambo hilohilo na mama kajibu bila kusita wala kutafakari wala kushangaa walijipanga kumdhalilisha mzee Abdul
Unaxema babamlez halafu unasema hajamleachochote
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html
Mzee akinuna hapana linalotendeka amesha ongeya mzee abduli daimodi siyo mwanawe ila mzee abduli hajafurahi mungu atamlipiya mzee abduli
Huyu mama anajizaririsha sana, nmemshusha vyeo
Hahahaha jaman wababa wanakataa watoto zen wakipata mafanikio wanawafata ivi kama ww mtu kakataa mimb anaibuka kwenyerah kwann wann uyo
Yaani!
Inatia uchungu!
Mama Diamond atalipa hapa,hapa duniani.
@@afrogirlradhiamusic2268 acha ushabiki wa kupumbavu...wewe ni mshenzi nini pia...unaunga mkono ushenzi mwanaharamu mkubwa wewe kuwa na adabu kbs unajua uchungu wa mzazi wewe???kwa pesa gani hasa walizokua nazo mpk wanyenyekewe???uchaw mtupu..
Pumbavu kbs kbs...hv kwa wanavyomchukia yule mzee ingekua sio mwanae si muda tu yangejulikana???khaaaa Aibuuuu...hauna akili kbs
Watu wanalitaja tuu jina la mungu Kama anavomuita said, John au juma....Tena wamevalia na mavazi ya ibada kabisa kwenye maswala ya kipuuzi dah! Inasikitisha Sana.....all in all baba Ni baba awe mzazi au mlezi....in short wasafi kwa Ujumla hamjafanya kitu kizuri, hakina heshima, hekima, Wala maadali kwa jamii inayowazunguka ....je mnafundisha nn watoto wa kike au sisi wanaume.....kwa mwendo huu idadi ya single mothers na watoto kukosa malezi itazidi kuwa juu.....haipendezi maswala ya kifamilia kuyazungumza Kama vile unatangaza show ya wasafi festival ivo vitu Ni very sensitive na empact yake Ni kuwa kwa jamii...I fill so bad.😔😔
Reecado mimi naona umefanya vyema Chibu kuifahamu familia yake kwa undani zaidi coz jamaa alikuwa akitambua yeye ni wa KIGOMA, nimekukubali mkuu hongera sana
Huyo Licado siyo ndugu diamond baba yake ni lazalo Malyeto huyu mama aseme ukweli
Diamond anafanana na mzee Abdul, hafanani na huyu jamaa .. Cinema tuu
Kabisaa
Alf kwann wasema alikataa mimba alf mara ni baba mlenz .hyo mama dangote hajielew
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html
Hata sauti yao ni same
Sawa mamaake dai
Huyu mama n mkatili sijapata kuona dooh! anaweza hata kuua, pesa tu ndo zinamfanya anakua hvyo, hilo nalo litapita hii dunia ni ya Mungu bana sio ya diamond platinum
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html
Shida iko kwa wlio muuliza mama sio diamond wala mama naamini wamesomea kazi hiyo miiko ya kazi nmesoma kidogo journalism wanasema seek the truth and minimize ham nyie mmeshindwa hanamna ya kupunguza ukali wa maneno ?
Hii game mbona ya kawaida, me mwenyewe nipo nalea mimba ya mtu, maisha mchakamchaka
😂😂😂
WALLAH kuanzia leo hii mimi kila siku ntakesha msikitini na kansani kuomba mungu kupitia kitendo hiki mungu awalipize ubaya mama Mond na mond mwenyewe waione dunia chungu, mali zao zote ziyeyuke, mikosi izidi na huyo mzee ainuliwe juu juu zaidi umaharufu wao ote opotee Tz na ulmwenguni kote. Amen
Wasoma comment kama mm kwa uchungu WA kutaka kuzulumiwa mtu damu yake dah wanawake tuweni na huruma bc 😥😥😥😥😥😥
this is just the begining of diamond platinumz downfall
💕🙏🙏
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html
*TAFADHALI KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAKUOMBA ANGALIA VIDEO YA WIMBO WANGU MPYA KWA KUGUSA PICHA YANGU HAPO PEMBENI LAKINI PIA NAOMBA SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YANGU ILI NIWEZE KUMONITIZE CHANNEL YANGU*
🎶🎶🎶🎶🎶
*Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
czcams.com/video/LMMcOLVk4rs/video.html
Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel
Ivi mnasoma comment kweri? Watanzania atujalipenda ili swala hata kidogo mnamnyang'anya mzee kisa hana pesa? Malipo ni duniani apa apa
Acha umama wewe alieliwa ni mama diamond we inakuhusu nini au uliliwa nae?
Duh uyu mama mkatili sanaaaa
Hawa watu wanazo laana
Uyu jama sindugu wa diamond hatasura ayikaribiani diamond platnumz ni mutoto wa abuli kabisa awepanga jama yakuharibu Jina lamuze
@@cktamunga2356 Jamaa mbona kweli wanafanana?
Mtt anamiliki bilioni kadhaa wkt baba anaishi maisha ya kulaumu kwnn imekua leo,Diamond Mungu anakuona,Chozi la baba Mungu atamlipia.
Yan aikatae Mimba tangu ikiwa ndogo alafu mtoto azaliwe aitwe Nasibu abdul😂, dadeki au nn ndo cjaelewa vzr hapo, au mama Nasibu kaongea kingereza Jmn 🤣🙌🏼, Yan kama nicngezaliwa Tanzania mm aki ya Mungu ningeomba ulaia tu🤣, Bongo kutamu nyinyiii😂😂😂
Heti wasafi kumbe wachafu momo siku zote ulikuwa wap bro? diamond unafanana na baba yako kila kitu hadi ujanja mama anazinguwa
Kwwli kabisa hasimtoto wa hamissa anafanana na babu yake ila hawa wataona aibu sikuyake mh😭😭😭😭😭😭😭mungu amsimamie mzee amdlli na Allaa ampe wepesi jana nimelia sana kwauchungu kama nikiwa mama😭😭😭😭😭😭🙏
Huyo mm ajizalilishe mara ngap, mama hajieshim kitambo sn akumbuki hata aliko toka kuwa ametoka kwenye maisha gan na leo yupo wap, hata ndoa anyo ishi nayo sasa mpaka sasa uli wake hana heshima kutwa kwenye mitandao, ni mtu mzima asiye jiheshim hafai kuigwa hata kido
UKWELI UWUMA.POLENI
Kweli dunia hadaa kila la kher mzee Abdull
Konde Boy Jeshi tengeneza paybill namba sote kama Wana Africa mashariki tumchangie Mzee Abdul 🇰🇪
Sana umetoa point nzuri
Mimi nitakua wa kwanza na naapa nitatoa mchango mkubwa sana kwa huyo mzeee
@@omakywazamani6696 ndio
Nipo tayari
Kabisa
Good job to that guy,is so humble
Mama Naseeb, acha kumnadi mtoto wako kiasi hicho, dunia in duara dada
Sijaona Familia ya watu wajinga duniani kama hawa watu
Sawa kabisaaaa
Nikwer kabisa hii familia nimachizi kabisa
Kabisaaa
Alafu hawakujui kbs
Ni tabia tu ya kimanyema, akipata inakuwa shida, fuatilieni familia nyingine za wanaojiita wamanyema ni shida tupu, wanawakana hata ndugu zao, ni kawaida tu.
Kuanzia Leo mimi sio shabiki wake diamond, wamenikera saanaa
Nenda zako mwenyewe
Diamond anamakosa gani hapo Hadi unamchukia? Kwendaa zako. Hivi unamjua babako ww
@@salamakitsao5555 😂😂😂😂😂😂
@@salamakitsao5555 hilo nalo neno tukianza kufukua makabur hapa yakumjua baba itakua hapatoshi
@@Bmben1995 tena aende mbio nying mnafki tuu huyu
mm nakuambia wallah mungu ampe maisha malefu mzee abduli pesa hizi azitupereki popote ila utu ndio kila kituu sijapenda atakidogo nishabiki wa wasafi lakini kwa hichi bola niwe konde boy tuu
Nawalaumu wasafi media team na hosts Hawa kwa kuuliza hili swali...
😥😥😥😥😥mbn mnamfanyia ivo mzeeh abdul mzee mpole hana neno na mtu jamani diamond kumbuka n babako jamani mama nawe acha za ovyo
Huyo mzee abdul na licado momo siyo ndugu wa diamond diamond anababa yake
Kwahiyo kama alikataa mimba na hakuilea kwanini aliitwa naseeb Abdul? All in all itoshe kusema sandra ni Malaysia
🤣🤣🤣
kabisa 100%
Wangejb xwal hlo kma n kwel!!!
Aliyekataa mimba mzee salum jamani si abduli au me ndio sijaelewa !
Mzee abduli akapewa baada ya mzee slum kukataa
Is like wote hawa they are pre informed and prepared to tell this scene!
Movie
Mama diamond ni mshamba sana.pesa makaratasi asifanye kiburi kisa pesa amejisahau sana. Ila ss tunamuombea mzee abdul mungu amjalie subra na afya aje aone mwisho wao
DNA ipo, lakini yote tisa, Diamond inabidi a-apreciate malezi ya baba mlezi
DNA ipo pesa pia zipo... kaka docta c pia ni binadamu atahongwa na mondi achukuliwe,mzee nasibu aachia mola tu
Ama kasema mzee abdul kakana mimba kwamba ule sio mtoto wake na hakumsaidia kitu tangu nursery paka secondary, sasa atakubali malezi ipi?
Bro Hata kama Hujuw kusoma picha Huon Hugo Diamond ni mtoto wa mzee Abdul
Mi tamko langu nitalitoa baada ya DNA, kwa sasa ni nikiongea ni sawa na kusimulia movie ambayo sijawahi kuitazama
*Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
czcams.com/video/LMMcOLVk4rs/video.html
Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel
Mimi nasema baba ake Diamond ni Mzee Abudul......acheni upuuzi
Tumekuelewa mama daimond
It's soooooo sad for really😞😞😞. Mama Dangote muongo😩😩🤯.
Mkweli wew ulie beba mimba ya dai.
Hongera sn Ricardo Momo (Mohamed) Pa1 na Mama Diamond kwa kusema Ukwl kuhusu Diamond,,,,Ricardo,,,Esma na Queen darling Ukwl kuhusu Undugu wao uko Vp.. hilo jambo jema sn
Inalilaah wainalilaah rajiun diamond kumbuka mwenyez mungu ndie atakae kua hakim sk ya mwisho mwisho wa umaaruf ni kabri chunga nafs yko
💯
Jaman hapo sasa daimomd anajiaribia saana
Kabsa dunia inamwisho apa 2napita
Hakika kwel
Diamond platnumz muda wake wa kuwa on top unafika mwisho. Familia yake inamshusha muda sio mwingi.
Mama yake na dada yake wana tatizo
Haki ya Mungu nimemchukia diamond na mama yake Wote mbwa tu
Sahau hilo , dua LA kuku halimfikii mwewe
Mwisho wa ubaya ni aibu wataumbuka kweupeee
Who are to say who can drop and who will elevate? Your not God chill it , wew sio Mungu.
Kwendraaa
Just do DNA for all of them..Simples😘
Simpime damu tuu atakama baba alikataa kulea mimba lkn dn airuhusu kumpa mtoto baba mwengine mungu atusamehee wanawake ss 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mnayoyafanya hayaendan na nyie, pesa zina mwsho wke but mzazi n mzazi tu
Kwer kabisa acha wajichetue wanajifanya wanaswali
Hakuna hiyo km mzazi sio wake hakuna kitu km hicho
Angekua sio. Tajiri wasingemnganga'nia huyo mama pumbavuuuuu
Kwa nn cku zooote ajawai kuitwa nasibu salumu,hababaabhahahahh..bongo sinema lila kitu
Mama Domo na mwanao wote wasenge tu mnapenda kiki sana
mzee abdul anafanana na Nassibu na isitoshe natumia jina la abdul ambae nibaba yake hakika diamond utafeli maisha hatakama nibaba mlezi kama mnavyodai ungempa heshima yake na ukumbuke dunia tunapita tu hizo hela unazogawa mitaani ungemsaidia baba yako mlezi mungu angekuongezea siku zakuishi sina mengi ila ushauli wa mwana mke siku zote jiongeze nawewe
Mzee aende mahakamani kudai haki miliki ya jina lake, limetumiwa kimakosa, kiupotoshaji kwa miaka 30.
Fact
Uko sawa ndugu yng
Kwani Abdul yeye pekeake duniani!?
siku hz sheria iko after money af mzee hali yk ndo hv tn unafkir haki itapatikana kirahc kihivo
@@aminarashid8795 we ubongo wako una matatizo
Upumbavu wenu unaenda kuharibu vizazi vya watanzania. Pesa azipatikani kwa ushetani huu
Hahahahaha pesa zipi nakati pesa wanazo tayari
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html
Wasoma koment. Tupo wengi tuendelee kulike
Mzee Abdul asisikitike, Amshukuru Mungu maana huko mbele kuna sadaka zitahitajika kutolewa, yeye hatahusika
Na Diamond is about time to be a really MAN! Wewe ni kioo cha jamii mpaka huku nchi za nje. Lakini all this bs hazikusaidii!! Help this man! Don't take judgement & punish Mzee Abdul Naseeb, only God can punish him. We all travelling in this world! Mark my word, the tears of Mzee Abdul will go down with you & your mom. PLEASE SAVE YOUR FAMILY BY DOING RIGHT HATA KAMA SIO BABA YAKO.🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Umezugumza ukweli leo upo juu1kesho upo chini ila ivi sasa ana pesa haoni.karibu sana Zanzibar
Kwahyo kilichofanya abadilishe jina nnn
Hana akili kbs kbs
Anakuwaje baba mlezi alafu alikataa mimba huyumama anahakili kweli jamani
Hahahahaaaa..... Yajayo yanafurahishaaa...
Kube mna asli ya uwenda wzimu polni
@@barynaron3718 dole la kati linakufaa kuondoka nalo kibabe
Subhanallah muogopeni mungu uongo ni dhambi ila alaisallahu biahkami -lhakmeen, Allah ndie hakimu kuliko mahakimu wote .
Bongo noma san Maelezo yao hayatoshelez ata therusi ya kumuaminsha mtu mwwny akil timamu.
PICHA limepangwa vibaya sana
They think were all stupid.
Hakika mzee Wang Abdul jipe moyo haya nimapito tu achana nao malipo nihapa hapa dunian
haki wala hamfanyi vizur mm pia nimelelewa na baba wakambo ila nilimpa heshima yake nikamthamin mpaka mwisho wa maisha yake nmpaka leo namkumbuka nakumuombea dua na sikuona mamangu kumdharau hata siku moja allah awarahamu wote wawili mama dagote ufanyavyo sivyo na mungu atakuhukumu kwakumvua nguo mzee alokukarimu ukiwa na mimba leo wamrudishia maovu allah anakuona ujue na je yule pacha wa mwanao nae tusemeje amezalia baba mumoja na dayamond pia basi ulikua kicheche kumbe pole sana mama mkosa haya ww
Mungu mpe moyo wa subra Mzee Abduli kwa mapito anayopitia
Mzee wa kudele umezingua mbona ww una potosha watu pesa haiziki m2
THE BOLD AND THE BEAUTIFUL ...........to be continued 😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏
Naipenda Sauti ya Ricardo Momo😍
Ricardo is very clever!!! Anajuwa kufanya interview. Hataki kupindishwa
Usiombe ufilusike we daimond wa tanzania watakuangalia kama mavi maana kupat a kidogo tu jeur mpaka kwa mashabiki mmbwa wasaf wote
Mama aliandaliwa mbona anaonyesha kabisa anaangalia wasafi
kiki hiiiiiii
Nikweli
Ndio
Umeona ee🤣🤣🤣
Mchezo wa kuigiza
Their voices resemble a lot
Even me I was ask my self why there voices are resemble? Mwanzo nilijua diamond anatangaza kipindi Cha michezo nikaambiwa sio yeye.
Umalaya huu jmn mnatuchanganya jmn.
Kabixa
Kisha tunamuonea bure diamond kurithi haya kwa mamake
Duh.....
Mwananke sio kiumbe wa kuaminiwa.....
Ukweli mtupu 💯
Ndo ume jua hilo bibilia mbona ime sema ukweli kwamba muushi na wanawake kwa akili nyie ndio mnao jisahau
Hakika
Kweli
Zari, The Boss Lady "kacheza" kama Pele "kutoka unyoya!"
Hahaha shida zipo nyingi saana hapa aseee.....
Busara kubwa zinahitajika
Sasa mzee Aboul ni baba mlezi vipi, na hakumsaidia mondi kitu?
Yan 🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@@rogerrogers6991 ni hatari
Akapimwe DNA ndio kata ubishi Mzee Abdul na Nasib
Jamani wa Baba muwe makini mnapo pata watoto isije tokea makubwa baadae
Hakuna DNA inayokataa MTOTO
acha ubishi tafuta picha za mzee nyange
Uko sahii
@@siznic9115 kabisaa
Huyu mama simwelewi tyuu
Diamond hapa uko na brother wa dhati👍👍🙏🙏
Mmmh hii atali na nusu wallah ivi mwanamke mwenye wanaume wengi huwa anaitwaje
Mama diamond platinum maisha yanabadirika usimfanyie mwenzio unyama kiasi hiko, kisa pesa..yani naona unataka kuakichaa kwasababu ya pesa
Yaani ! Acha tu! Ni kama movie.
Machungu jamani
Diamond atajificha wapi jamani?
waangalie mfano wa mama kanumba wapate somo,...
Huyo mama ana lahana ya mwenyezi mungu miaka yoteeeeeeeeee iyo msiseme ukweli kisa pesa? pesa mbaya zinabadilisha na wazaz
Umekuwa Mungu tangu lini sister?
Mama anasema !!asingeikataa mimba , asingemkosa mtoto!!naomba muitafakary vzr hyo kauli ya mama mond!!!iDaa !maisha haya!!!
Kiukweli hii taarifa imeniumiza sana kwanza nataka kujua hawa watu wawili hawakuwahi kufunga ndoa? je huyu mama mbona mwanzo alikuwa akisema alimuachia mtoto toka mdogo hakumsaidia ulezi mbona haya maneno yanatuchanganya?Jamani hii pesa nyiacheni tu huyu mama umaalufu unampereka pabaya nahii pesa inompa kiburi akumbuke ataiacha naadhabu ya mungu inamsubiri maana anayoyafanya sio sahii napia anamdhalilisha huyo mwanae nahili ajue linaweza kuwakost kwani Mondi anaweza kujipotezea washabiki wake kwa hili lililojiri kiukweli hata kama ilikuwa haya mambo wayaongee kifemily nasio kwenye kadamnasi ya watu nahuyu mama haoni soni kujitangaza kila mtoto na baba yake huu ni msiba mkubwa wallah ila subirini majibu ya Allah atawajibu tu hapa hapa duniani
Yaaan mnajidanganyaa mko Kama watt,kwann aliitwa nassibu abduli
Yule mzee Abdul namhurumia sana
Kama umelia Kama nilivyo lia mimi kupitia ili gonga like
Ngoja tukae kimya tuangalie mwisho wahii mechi muamuzi mwenyezi mungu pekee huu nimsiba na aibu kubwa sana shikamoo pesa
Naamini mungu atalipa katika hili, pole sana mzee wetu
kwanzia leo mm sio shabiki wa diamond siwezi tena kushabikia uchafu na udharirishaji
Tangu lini ukawa shabik wa diamond platnumz? Kwani umempenda diamond platnumz juu ya familia ao juu ya kazi yake mijutu mingine bana
Kwendaaaa
Aanazingua
@@vangraphixvan8320 🤣
Tuachie simba wetu ukute leo ndio umeweka bado
Mchezo wa kuigiza😂😂. Ricardo alivoanza interview nikajua tu wanatupanga!
Mh! 🤔Haya mengine hayanihusu. Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe🤗🤗. Mimi nitabaki kuwa shabiki wa Chibu na kuwa shabiki wa mziki mzuri kutoka kwa #WCB tu. #WCBFORINTELLIGENTMAN
Mwachekesha nyie aki hahaaa yaani mlezi hadi jina akatumia la mlezi aki ndugu zangu hehee
hiyo ni game imepagwa kabisa,,
Wasizengue watu rikaldo hajafanana na diamond...ni game ya kumuumiza mzee abdull. Ati kisa kapata pesa.
Siku zote sisi walimwengu hatuna la kusema zaidi ya kuangalia vile mnatushow. Ila ushauri wangu2 ni kwamba,! Kwa hi dunia Kuna mambo mengine si yakuchezewa, mziki wake huwa ni mrefu Sana. Yatatokea muda sio mrefu
Adi kesho kwa mungu ushahid huo momo utakuponza pesa mbaya unakubali kuwatenganisha baba na mtoto inallilaj wainallilah raajuuni
Mh! Pesa hizi? Yaani zingekuwa zinatutetea tusife, maskini tungeisha
kabisa
Momo ni muongo ndo maana Ana sua sua
Kamezeshwa maneno kashalipwa hapo
Cio muongo ni ndugu kwel mm niliwah kuwa sehemu na momo niliwah kujua ichi kitu
Na huku yupo mshkaj anaitwa kaprodo kafanana sn na mond. Kesho kutwa atambiwa ndugu yke.
Mi simuerewi kwanza fala kweli huyu katumwa ,,afanani kabisa Yani na ile familia
@@abasikinjeki3075 weee no no no ,umedanganywa wewe acha ujinga
Ila sauti kama Diamond, huyu jamaa
pesaaa inawatoa imaniiiii
Mlichokofanya huo sio utu kabisa io familia takataka tu,
Inasikitisha Yani iweje hati mondi kuita wanawe Abdul ilihali zee Abdul sio babake na mondi🤔🙁Nina maswali yakosa majibu mie
Nimachizi awo
Wewe familia yako iko Sawa maan mnaongelea family za wa2 2
@@iddypaulomwamkinga5113 huo sio utu ata useme naigilia za wenyewe walichokifanya kwanza io ni aibu!!! Inamaanisha mamake aliwa malaya tena ety diamond ni mtoto wa condom iliyopasuka??? Mnaonesha jamii nini???
@@siznic9115 maneno ya huyo mzee yanafanya watu walie, ety wamemtenga mwanzo ye maskini anamuaibisha diamond babake maskini!!! Tena hadi baba yake amejidharau hadi kasema amefeli kwenye maisha anagoja kufa tu! Amekua depressed already
Waliogundua sauti ya Momo na Mond zinafanana gonga like mingi sana.
Sauti,na mwonekano vyote vinatengenezwa na kuigizwa
Wasafi washamba sana huu ubaba wa kununua duuh kisa asiwazalilishe tu duuh mungu yupo
Huyo mama aitwe afanyiwe interview live aseme ukwel cm zinadanganya
We ndio umeongea baba kashaongea tunamtaka mama
Akili hamnaa kabisaaa mnachokitafuta niujinga nasibu na mzee abduli wanafanana kinomaaaa hata msemeje