MAMBO YOTE HADHARANI MAMA DANGOTE AVUNJA UKIMYA HUYU NDIO BABA HALISI WA DIAMOND PLATNUMZ

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 01. 2021
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 1,9K

  • @zakayojeremiha9661
    @zakayojeremiha9661 Před 3 lety +74

    Mama Asitufanye cc watoto kwann Diamond Aitwe Nasibu Abdul.Pumbavuuu.

    • @kenyandamu
      @kenyandamu Před 3 lety +4

      Inaonekana Mama Dangote ako na shida na Mzee Abdul ... Machozi mafuriko 😭😭😭

    • @msafirisalum8436
      @msafirisalum8436 Před 3 lety +2

      Vita ya kuangamiza kizazi cha yule mzee abdul

    • @lemsimkwama4114
      @lemsimkwama4114 Před 3 lety +1

      Mzee anashida na hela za diamond

    • @bamuucmba92
      @bamuucmba92 Před 3 lety

      C bb wa kumlea Mana alichkua akiwa na mmba ety

    • @fuadabubakar5126
      @fuadabubakar5126 Před 3 lety +2

      Kumanisha alimuendea mumuwe kinyume akiwa mke wake halali, Mama ajiaibisha hadharani

  • @ayoubvegula1763
    @ayoubvegula1763 Před 3 lety +55

    Jaman jaman pesa hiz ni mapito,laana zitawaandama nawaoneeni huruma Sana mzee Abdul wew tulia Vita si yako acha mungu akupiganie 😭😭

    • @CyimSky
      @CyimSky Před 3 lety

      NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
      czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html

    • @siznic9115
      @siznic9115 Před 3 lety +1

      Kabisa mola atampigania haswaa Yani mitihan tu yakawaida duniani mapito

    • @jurassicparkmovies8805
      @jurassicparkmovies8805 Před 3 lety

      *Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
      czcams.com/video/LMMcOLVk4rs/video.html
      Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel

    • @gregorysangah2798
      @gregorysangah2798 Před 2 lety

      Ooooo

  • @lolanimals7206
    @lolanimals7206 Před 3 lety +144

    *NAKUKUMBUSHA* : _Hii Yote Ni Kwasababu Leo Hii Diamond Ni Tajiri. Angekua Masikini Yote Haya Yasinge Tokea!_

    • @sniperbogo6210
      @sniperbogo6210 Před 3 lety +7

      Hata mzee mwenyewe ameanza kujitapa mwanangu baada ya mafanikio ya diamond wakat hajafanikiw alikua hana time nae ko wala lisikuumize hilo

    • @sharshkan6034
      @sharshkan6034 Před 3 lety +1

      Cul

    • @jackilinram1083
      @jackilinram1083 Před 3 lety +3

      Fact

    • @chamakhsaeedy20
      @chamakhsaeedy20 Před 3 lety +2

      Yah n kwl

    • @omakywazamani6696
      @omakywazamani6696 Před 3 lety +6

      @@sniperbogo6210 Sana lakini chaajabu huyu Ricardo mwenyewe anashuhudia zina ambao hajakuwepo kuwa huyu Diamond ni kweli kabisa kwamba mdogo wake na hayo yote kwa sababu kapata hela ila hawa watu nijaa tu tumeambiwa ukizini ni dhambi kubwa usikubaliane nalo kama kweli ulizi leo huyu Ricardo mwenyewe anashuhudia zina ambao hajakuwepo

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 Před 3 lety +84

    Sasa km mzee abdul ni baba mlezi mmeshindwaje kumlipa fadhila ya ulezi?mamae zenu umbwa nyie

    • @saidingelemange3465
      @saidingelemange3465 Před 3 lety +3

      Huyo mama diamond na diamond mwenyew wote hawajielew hao washamba wapesa hao

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 Před 3 lety +2

      @@saidingelemange3465 wanajiona km tayar wameiona pepo

    • @maryjonh311
      @maryjonh311 Před 3 lety +2

      kujazia nyama😁😁

    • @muhidinihuud6764
      @muhidinihuud6764 Před 3 lety +2

      Kama alikataa mimba !na huku alimpa jina la Babu yake na ubin wake?we mama unajielewa?

    • @irenemoraa8818
      @irenemoraa8818 Před 3 lety +1

      Hapo sasa

  • @allymagasagospelsingerfrom6496

    Nikwamba ukiangalia mwanzo wa interview ilivyoanza niwazi ilipaniwa A-z watangazaj wameambia kila kitu...
    Amin Mungu FUNDI malipo ni hapa hapa.mzee abdull atalipiwa

    • @Legends_Interviews
      @Legends_Interviews Před 3 lety

      Amin ..so sad

    • @salmaomar6178
      @salmaomar6178 Před 3 lety

      Kweli watangazaji walikuwa washajua

    • @alicedavido1330
      @alicedavido1330 Před 3 lety

      Hii inajulilana muda mrefu labda ww nimgeni wamitandao

    • @khalifawapili1799
      @khalifawapili1799 Před 3 lety

      Ni kweli kabisa jamaa kamezeshwa maneno

    • @CyimSky
      @CyimSky Před 3 lety

      NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
      czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html

  • @IMMAAUG
    @IMMAAUG Před 3 lety +122

    *Wangapi mnataka tumsapoti mzee kwa kuchangia kwenye biashara zake? hii platform inaweza mpa pesa nzuri akawa na maisha mazuri, let's support mzee Abdul watanzania wenzangu* FOLLOW HİS İNSTAGRAM PAGE AND SUPPORT HİS BUSİNESS

    • @archienguzza6585
      @archienguzza6585 Před 3 lety +6

      Tufanye ivyo kk tumsaidie yule mzee

    • @J4UPro
      @J4UPro Před 3 lety +2

      Nipo tayari

    • @akamwizafrankie6096
      @akamwizafrankie6096 Před 3 lety +3

      Na mimi Nipo tayari tumcangiye mzee abdul 🤗Wallahi Iyi familia ya Diamond Mwenyezimungu anawaona

    • @beatussimon4873
      @beatussimon4873 Před 3 lety +4

      Wapo wengi anaowazidi uwezo wote utawachangia? Au Abdul kawaje sasa

    • @kenyandamu
      @kenyandamu Před 3 lety +4

      Tupo hapa 👍🏼👍🏼👍🏼

  • @evetemmy8966
    @evetemmy8966 Před 3 lety +3

    Waaaaa ile patience niko nayo cant allow me to watch till end mnaboo sana kelele mingi and its clear mlipanga God is watching

  • @fadhilarajabu903
    @fadhilarajabu903 Před 3 lety +5

    Mmh mtihani ninmshindwa kuelewa sasa huyo mzee Abdul kamleaje diamond wakati hapo nyuma alikua anasema hajawai kumlea mmh dunia inaenda mwishoni kweli🙌

  • @siznic9115
    @siznic9115 Před 3 lety +107

    Hizi hapari nimezipokea kwamasikitiko kama nilivyo pokea hapari za msiba wa malehemu kanumba😥😔🤦

    • @J4UPro
      @J4UPro Před 3 lety +2

      Me too

    • @kenyandamu
      @kenyandamu Před 3 lety +1

      Mimi pia 😭😭😭

    • @halimanasihu1200
      @halimanasihu1200 Před 3 lety +1

      Kweli my yani mtihani

    • @dambwelahiphop
      @dambwelahiphop Před 3 lety

      Hapari zinasikitisha eeeh

    • @CyimSky
      @CyimSky Před 3 lety

      NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
      czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před 3 lety +71

    Mungu atupe mwisho mwema, hii familia wana laana sio bure😭😭

  • @hamdincatalonia3272
    @hamdincatalonia3272 Před 3 lety +6

    Unaweza ukawa na hela lakini akili azipo kabisa mama anajizalilisha sana inaonekana kabisa mama alikuwa mtu wa haina gani mungu atuepushe

  • @msonocollo9551
    @msonocollo9551 Před 3 lety +20

    Why force someone to talk issue ya family hivyo I didn't like the way other reporter were forcing the guy heshima muhimu

    • @elipidiussimon1091
      @elipidiussimon1091 Před 3 lety

      Kwanini aseme kwa Sasa mama anakosea sana

    • @msonocollo9551
      @msonocollo9551 Před 3 lety

      @@elipidiussimon1091 hizi hela ubadilishi akili tu na kuforget pale umetoka

    • @maryamgeva3300
      @maryamgeva3300 Před 3 lety

      huu ni mchezo wa kuigiza waliouandaa kama Momo alikubali walipomuuliza kuwa baba yao ni mzee Abdul kwa nn walikataa ina maana wanajua kila kitu iweje kwa muda huohuo wamuandae mama diamond kwa jambo hilohilo na mama kajibu bila kusita wala kutafakari wala kushangaa walijipanga kumdhalilisha mzee Abdul

    • @antonyhunajamboweunalikakw4731
      @antonyhunajamboweunalikakw4731 Před 3 lety

      Unaxema babamlez halafu unasema hajamleachochote

    • @CyimSky
      @CyimSky Před 3 lety

      NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
      czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html

  • @makamekhamis3759
    @makamekhamis3759 Před 3 lety +38

    Mzee akinuna hapana linalotendeka amesha ongeya mzee abduli daimodi siyo mwanawe ila mzee abduli hajafurahi mungu atamlipiya mzee abduli

  • @evasaimon6764
    @evasaimon6764 Před 3 lety +104

    Huyu mama anajizaririsha sana, nmemshusha vyeo

    • @afrogirlradhiamusic2268
      @afrogirlradhiamusic2268 Před 3 lety +3

      Hahahaha jaman wababa wanakataa watoto zen wakipata mafanikio wanawafata ivi kama ww mtu kakataa mimb anaibuka kwenyerah kwann wann uyo

    • @nishasalim2880
      @nishasalim2880 Před 3 lety +1

      Yaani!

    • @nishasalim2880
      @nishasalim2880 Před 3 lety +1

      Inatia uchungu!

    • @nishasalim2880
      @nishasalim2880 Před 3 lety +4

      Mama Diamond atalipa hapa,hapa duniani.

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 Před 3 lety +3

      @@afrogirlradhiamusic2268 acha ushabiki wa kupumbavu...wewe ni mshenzi nini pia...unaunga mkono ushenzi mwanaharamu mkubwa wewe kuwa na adabu kbs unajua uchungu wa mzazi wewe???kwa pesa gani hasa walizokua nazo mpk wanyenyekewe???uchaw mtupu..
      Pumbavu kbs kbs...hv kwa wanavyomchukia yule mzee ingekua sio mwanae si muda tu yangejulikana???khaaaa Aibuuuu...hauna akili kbs

  • @egidiusmutabuzi4176
    @egidiusmutabuzi4176 Před 3 lety +3

    Watu wanalitaja tuu jina la mungu Kama anavomuita said, John au juma....Tena wamevalia na mavazi ya ibada kabisa kwenye maswala ya kipuuzi dah! Inasikitisha Sana.....all in all baba Ni baba awe mzazi au mlezi....in short wasafi kwa Ujumla hamjafanya kitu kizuri, hakina heshima, hekima, Wala maadali kwa jamii inayowazunguka ....je mnafundisha nn watoto wa kike au sisi wanaume.....kwa mwendo huu idadi ya single mothers na watoto kukosa malezi itazidi kuwa juu.....haipendezi maswala ya kifamilia kuyazungumza Kama vile unatangaza show ya wasafi festival ivo vitu Ni very sensitive na empact yake Ni kuwa kwa jamii...I fill so bad.😔😔

  • @WesOnline255
    @WesOnline255 Před 3 lety +3

    Reecado mimi naona umefanya vyema Chibu kuifahamu familia yake kwa undani zaidi coz jamaa alikuwa akitambua yeye ni wa KIGOMA, nimekukubali mkuu hongera sana

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 Před měsícem

      Huyo Licado siyo ndugu diamond baba yake ni lazalo Malyeto huyu mama aseme ukweli

  • @geraldgerrytrump254
    @geraldgerrytrump254 Před 3 lety +43

    Diamond anafanana na mzee Abdul, hafanani na huyu jamaa .. Cinema tuu

    • @esterchomete6802
      @esterchomete6802 Před 3 lety

      Kabisaa

    • @yasrsele4445
      @yasrsele4445 Před 3 lety +2

      Alf kwann wasema alikataa mimba alf mara ni baba mlenz .hyo mama dangote hajielew

    • @CyimSky
      @CyimSky Před 3 lety +1

      NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
      czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html

    • @skyskaters2299
      @skyskaters2299 Před 3 lety +1

      Hata sauti yao ni same

    • @ramadhanirama6636
      @ramadhanirama6636 Před 3 lety +1

      Sawa mamaake dai

  • @evasaimon6764
    @evasaimon6764 Před 3 lety +48

    Huyu mama n mkatili sijapata kuona dooh! anaweza hata kuua, pesa tu ndo zinamfanya anakua hvyo, hilo nalo litapita hii dunia ni ya Mungu bana sio ya diamond platinum

    • @CyimSky
      @CyimSky Před 3 lety

      NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
      czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html

    • @alexkilamlya1563
      @alexkilamlya1563 Před 3 lety +1

      Shida iko kwa wlio muuliza mama sio diamond wala mama naamini wamesomea kazi hiyo miiko ya kazi nmesoma kidogo journalism wanasema seek the truth and minimize ham nyie mmeshindwa hanamna ya kupunguza ukali wa maneno ?

  • @chidtec4485
    @chidtec4485 Před 3 lety +6

    Hii game mbona ya kawaida, me mwenyewe nipo nalea mimba ya mtu, maisha mchakamchaka

  • @sunrishmussan6958
    @sunrishmussan6958 Před 3 lety

    WALLAH kuanzia leo hii mimi kila siku ntakesha msikitini na kansani kuomba mungu kupitia kitendo hiki mungu awalipize ubaya mama Mond na mond mwenyewe waione dunia chungu, mali zao zote ziyeyuke, mikosi izidi na huyo mzee ainuliwe juu juu zaidi umaharufu wao ote opotee Tz na ulmwenguni kote. Amen

  • @adelajaksoni466
    @adelajaksoni466 Před 3 lety +73

    Wasoma comment kama mm kwa uchungu WA kutaka kuzulumiwa mtu damu yake dah wanawake tuweni na huruma bc 😥😥😥😥😥😥

    • @sharonkagai1943
      @sharonkagai1943 Před 3 lety +3

      this is just the begining of diamond platinumz downfall

    • @aliymajala5678
      @aliymajala5678 Před 3 lety

      💕🙏🙏

    • @CyimSky
      @CyimSky Před 3 lety

      NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
      czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html

    • @Emmamusiccmb
      @Emmamusiccmb Před 3 lety

      *TAFADHALI KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAKUOMBA ANGALIA VIDEO YA WIMBO WANGU MPYA KWA KUGUSA PICHA YANGU HAPO PEMBENI LAKINI PIA NAOMBA SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YANGU ILI NIWEZE KUMONITIZE CHANNEL YANGU*
      🎶🎶🎶🎶🎶

    • @jurassicparkmovies8805
      @jurassicparkmovies8805 Před 3 lety

      *Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
      czcams.com/video/LMMcOLVk4rs/video.html
      Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel

  • @magicsound-beats6075
    @magicsound-beats6075 Před 3 lety +154

    Ivi mnasoma comment kweri? Watanzania atujalipenda ili swala hata kidogo mnamnyang'anya mzee kisa hana pesa? Malipo ni duniani apa apa

    • @truthnafact9081
      @truthnafact9081 Před 3 lety +5

      Acha umama wewe alieliwa ni mama diamond we inakuhusu nini au uliliwa nae?

    • @muhsinmichenje9826
      @muhsinmichenje9826 Před 3 lety +5

      Duh uyu mama mkatili sanaaaa

    • @omakywazamani6696
      @omakywazamani6696 Před 3 lety +6

      Hawa watu wanazo laana

    • @cktamunga2356
      @cktamunga2356 Před 3 lety +8

      Uyu jama sindugu wa diamond hatasura ayikaribiani diamond platnumz ni mutoto wa abuli kabisa awepanga jama yakuharibu Jina lamuze

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania Před 3 lety +5

      @@cktamunga2356 Jamaa mbona kweli wanafanana?

  • @alexsalum7824
    @alexsalum7824 Před 3 lety +1

    Mtt anamiliki bilioni kadhaa wkt baba anaishi maisha ya kulaumu kwnn imekua leo,Diamond Mungu anakuona,Chozi la baba Mungu atamlipia.

  • @rogerrogers6991
    @rogerrogers6991 Před 3 lety +5

    Yan aikatae Mimba tangu ikiwa ndogo alafu mtoto azaliwe aitwe Nasibu abdul😂, dadeki au nn ndo cjaelewa vzr hapo, au mama Nasibu kaongea kingereza Jmn 🤣🙌🏼, Yan kama nicngezaliwa Tanzania mm aki ya Mungu ningeomba ulaia tu🤣, Bongo kutamu nyinyiii😂😂😂

  • @shijamakenzi3051
    @shijamakenzi3051 Před 3 lety +50

    Heti wasafi kumbe wachafu momo siku zote ulikuwa wap bro? diamond unafanana na baba yako kila kitu hadi ujanja mama anazinguwa

    • @vanessajohn6046
      @vanessajohn6046 Před 3 lety +1

      Kwwli kabisa hasimtoto wa hamissa anafanana na babu yake ila hawa wataona aibu sikuyake mh😭😭😭😭😭😭😭mungu amsimamie mzee amdlli na Allaa ampe wepesi jana nimelia sana kwauchungu kama nikiwa mama😭😭😭😭😭😭🙏

    • @kipimochamajimyddmwiru8824
      @kipimochamajimyddmwiru8824 Před 3 lety +1

      Huyo mm ajizalilishe mara ngap, mama hajieshim kitambo sn akumbuki hata aliko toka kuwa ametoka kwenye maisha gan na leo yupo wap, hata ndoa anyo ishi nayo sasa mpaka sasa uli wake hana heshima kutwa kwenye mitandao, ni mtu mzima asiye jiheshim hafai kuigwa hata kido

    • @aliclauclau4208
      @aliclauclau4208 Před 3 lety

      UKWELI UWUMA.POLENI

    • @zennahazeezy3363
      @zennahazeezy3363 Před 3 lety

      Kweli dunia hadaa kila la kher mzee Abdull

  • @swedish_james
    @swedish_james Před 3 lety +40

    Konde Boy Jeshi tengeneza paybill namba sote kama Wana Africa mashariki tumchangie Mzee Abdul 🇰🇪

  • @nimoshe0423
    @nimoshe0423 Před 3 lety +1

    Good job to that guy,is so humble

  • @lucykanyopa5350
    @lucykanyopa5350 Před 3 lety +5

    Mama Naseeb, acha kumnadi mtoto wako kiasi hicho, dunia in duara dada

  • @mwenyembiozakenyingisana4105

    Sijaona Familia ya watu wajinga duniani kama hawa watu

  • @nobertnichoraus6681
    @nobertnichoraus6681 Před 3 lety +69

    Kuanzia Leo mimi sio shabiki wake diamond, wamenikera saanaa

    • @Bmben1995
      @Bmben1995 Před 3 lety +4

      Nenda zako mwenyewe

    • @salamakitsao5555
      @salamakitsao5555 Před 3 lety +5

      Diamond anamakosa gani hapo Hadi unamchukia? Kwendaa zako. Hivi unamjua babako ww

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 Před 3 lety +3

      @@salamakitsao5555 😂😂😂😂😂😂

    • @zennahazeezy3363
      @zennahazeezy3363 Před 3 lety +2

      @@salamakitsao5555 hilo nalo neno tukianza kufukua makabur hapa yakumjua baba itakua hapatoshi

    • @zennahazeezy3363
      @zennahazeezy3363 Před 3 lety +3

      @@Bmben1995 tena aende mbio nying mnafki tuu huyu

  • @ibrahimmvogogo849
    @ibrahimmvogogo849 Před 3 lety

    mm nakuambia wallah mungu ampe maisha malefu mzee abduli pesa hizi azitupereki popote ila utu ndio kila kituu sijapenda atakidogo nishabiki wa wasafi lakini kwa hichi bola niwe konde boy tuu

  • @Marsemo
    @Marsemo Před 3 lety +3

    Nawalaumu wasafi media team na hosts Hawa kwa kuuliza hili swali...

  • @stargirlstargirl8837
    @stargirlstargirl8837 Před 3 lety +11

    😥😥😥😥😥mbn mnamfanyia ivo mzeeh abdul mzee mpole hana neno na mtu jamani diamond kumbuka n babako jamani mama nawe acha za ovyo

  • @denisdeusdedith5849
    @denisdeusdedith5849 Před 3 lety +25

    Kwahiyo kama alikataa mimba na hakuilea kwanini aliitwa naseeb Abdul? All in all itoshe kusema sandra ni Malaysia

  • @nestor384
    @nestor384 Před 3 lety +21

    Is like wote hawa they are pre informed and prepared to tell this scene!

  • @depabloescobar9265
    @depabloescobar9265 Před 3 lety

    Mama diamond ni mshamba sana.pesa makaratasi asifanye kiburi kisa pesa amejisahau sana. Ila ss tunamuombea mzee abdul mungu amjalie subra na afya aje aone mwisho wao

  • @neymardekutele8452
    @neymardekutele8452 Před 3 lety +22

    DNA ipo, lakini yote tisa, Diamond inabidi a-apreciate malezi ya baba mlezi

    • @anwaryatako940
      @anwaryatako940 Před 3 lety

      DNA ipo pesa pia zipo... kaka docta c pia ni binadamu atahongwa na mondi achukuliwe,mzee nasibu aachia mola tu

    • @rachelmukazayire8293
      @rachelmukazayire8293 Před 3 lety

      Ama kasema mzee abdul kakana mimba kwamba ule sio mtoto wake na hakumsaidia kitu tangu nursery paka secondary, sasa atakubali malezi ipi?

    • @jaxyoungsjaxyoungs5377
      @jaxyoungsjaxyoungs5377 Před 3 lety

      Bro Hata kama Hujuw kusoma picha Huon Hugo Diamond ni mtoto wa mzee Abdul

    • @neymardekutele8452
      @neymardekutele8452 Před 3 lety

      Mi tamko langu nitalitoa baada ya DNA, kwa sasa ni nikiongea ni sawa na kusimulia movie ambayo sijawahi kuitazama

    • @jurassicparkmovies8805
      @jurassicparkmovies8805 Před 3 lety

      *Tazama Lyrics ya wimbo mpya wa Zuchu sukari kwa kugusa linki hii ya chini*
      czcams.com/video/LMMcOLVk4rs/video.html
      Lakin pia naomba subscribe kwenye channel yangu ili niweze kumonitize channel

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 Před 3 lety +13

    Mimi nasema baba ake Diamond ni Mzee Abudul......acheni upuuzi

  • @darcieniyongere8982
    @darcieniyongere8982 Před 3 lety +5

    It's soooooo sad for really😞😞😞. Mama Dangote muongo😩😩🤯.

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Před 3 lety +1

    Hongera sn Ricardo Momo (Mohamed) Pa1 na Mama Diamond kwa kusema Ukwl kuhusu Diamond,,,,Ricardo,,,Esma na Queen darling Ukwl kuhusu Undugu wao uko Vp.. hilo jambo jema sn

  • @nassorohosseni5223
    @nassorohosseni5223 Před 3 lety +14

    Inalilaah wainalilaah rajiun diamond kumbuka mwenyez mungu ndie atakae kua hakim sk ya mwisho mwisho wa umaaruf ni kabri chunga nafs yko

  • @luqmanmohamedy3860
    @luqmanmohamedy3860 Před 3 lety +27

    Diamond platnumz muda wake wa kuwa on top unafika mwisho. Familia yake inamshusha muda sio mwingi.
    Mama yake na dada yake wana tatizo

    • @fx-farm6888
      @fx-farm6888 Před 3 lety

      Haki ya Mungu nimemchukia diamond na mama yake Wote mbwa tu

    • @ericklaura7511
      @ericklaura7511 Před 3 lety +1

      Sahau hilo , dua LA kuku halimfikii mwewe

    • @jacquelinemrosso8543
      @jacquelinemrosso8543 Před 3 lety

      Mwisho wa ubaya ni aibu wataumbuka kweupeee

    • @ericklaura7511
      @ericklaura7511 Před 3 lety

      Who are to say who can drop and who will elevate? Your not God chill it , wew sio Mungu.

    • @aminaakombo2710
      @aminaakombo2710 Před 3 lety

      Kwendraaa

  • @kilomanje
    @kilomanje Před 3 lety +6

    Just do DNA for all of them..Simples😘

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Před rokem +1

    Simpime damu tuu atakama baba alikataa kulea mimba lkn dn airuhusu kumpa mtoto baba mwengine mungu atusamehee wanawake ss 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @janethrodgers8666
    @janethrodgers8666 Před 3 lety +28

    Mnayoyafanya hayaendan na nyie, pesa zina mwsho wke but mzazi n mzazi tu

    • @rashidimohamedi8438
      @rashidimohamedi8438 Před 3 lety

      Kwer kabisa acha wajichetue wanajifanya wanaswali

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před 3 lety

      Hakuna hiyo km mzazi sio wake hakuna kitu km hicho

    • @edwinpaul9258
      @edwinpaul9258 Před 3 lety +1

      Angekua sio. Tajiri wasingemnganga'nia huyo mama pumbavuuuuu

  • @michaelnzunda7347
    @michaelnzunda7347 Před 3 lety +19

    Kwa nn cku zooote ajawai kuitwa nasibu salumu,hababaabhahahahh..bongo sinema lila kitu

  • @navanjkiba2439
    @navanjkiba2439 Před 3 lety +3

    Mama Domo na mwanao wote wasenge tu mnapenda kiki sana

  • @sifaa7354
    @sifaa7354 Před 3 lety

    mzee abdul anafanana na Nassibu na isitoshe natumia jina la abdul ambae nibaba yake hakika diamond utafeli maisha hatakama nibaba mlezi kama mnavyodai ungempa heshima yake na ukumbuke dunia tunapita tu hizo hela unazogawa mitaani ungemsaidia baba yako mlezi mungu angekuongezea siku zakuishi sina mengi ila ushauli wa mwana mke siku zote jiongeze nawewe

  • @alphageorge5563
    @alphageorge5563 Před 3 lety +33

    Mzee aende mahakamani kudai haki miliki ya jina lake, limetumiwa kimakosa, kiupotoshaji kwa miaka 30.

  • @diti4899
    @diti4899 Před 3 lety +30

    Upumbavu wenu unaenda kuharibu vizazi vya watanzania. Pesa azipatikani kwa ushetani huu

    • @glorysaimon8238
      @glorysaimon8238 Před 3 lety

      Hahahahaha pesa zipi nakati pesa wanazo tayari

    • @CyimSky
      @CyimSky Před 3 lety

      NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 19: ZAKIA MWENDELEZO.
      czcams.com/video/sr1oqlNs5Io/video.html

  • @sarahdamas6724
    @sarahdamas6724 Před 3 lety +13

    Wasoma koment. Tupo wengi tuendelee kulike

  • @ephraimkabeya2406
    @ephraimkabeya2406 Před 3 lety

    Mzee Abdul asisikitike, Amshukuru Mungu maana huko mbele kuna sadaka zitahitajika kutolewa, yeye hatahusika

  • @fatunam7721
    @fatunam7721 Před 3 lety +6

    Na Diamond is about time to be a really MAN! Wewe ni kioo cha jamii mpaka huku nchi za nje. Lakini all this bs hazikusaidii!! Help this man! Don't take judgement & punish Mzee Abdul Naseeb, only God can punish him. We all travelling in this world! Mark my word, the tears of Mzee Abdul will go down with you & your mom. PLEASE SAVE YOUR FAMILY BY DOING RIGHT HATA KAMA SIO BABA YAKO.🇱🇷🇱🇷🇱🇷🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @kessly291
      @kessly291 Před 3 lety

      Umezugumza ukweli leo upo juu1kesho upo chini ila ivi sasa ana pesa haoni.karibu sana Zanzibar

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před 3 lety +39

    Kwahyo kilichofanya abadilishe jina nnn

  • @zuwenamakame9963
    @zuwenamakame9963 Před 3 lety

    Subhanallah muogopeni mungu uongo ni dhambi ila alaisallahu biahkami -lhakmeen, Allah ndie hakimu kuliko mahakimu wote .

  • @husseinomary7267
    @husseinomary7267 Před 3 lety +7

    Bongo noma san Maelezo yao hayatoshelez ata therusi ya kumuaminsha mtu mwwny akil timamu.

  • @saidpazi6620
    @saidpazi6620 Před 3 lety +21

    PICHA limepangwa vibaya sana

  • @youngxurejr4353
    @youngxurejr4353 Před 3 lety +10

    Hakika mzee Wang Abdul jipe moyo haya nimapito tu achana nao malipo nihapa hapa dunian

  • @user-pz8cb9cj3i
    @user-pz8cb9cj3i Před 3 lety

    haki wala hamfanyi vizur mm pia nimelelewa na baba wakambo ila nilimpa heshima yake nikamthamin mpaka mwisho wa maisha yake nmpaka leo namkumbuka nakumuombea dua na sikuona mamangu kumdharau hata siku moja allah awarahamu wote wawili mama dagote ufanyavyo sivyo na mungu atakuhukumu kwakumvua nguo mzee alokukarimu ukiwa na mimba leo wamrudishia maovu allah anakuona ujue na je yule pacha wa mwanao nae tusemeje amezalia baba mumoja na dayamond pia basi ulikua kicheche kumbe pole sana mama mkosa haya ww

  • @fleythevoiceofficall5314
    @fleythevoiceofficall5314 Před 3 lety +1

    Mungu mpe moyo wa subra Mzee Abduli kwa mapito anayopitia

  • @jacobngonyan8787
    @jacobngonyan8787 Před 3 lety +15

    Mzee wa kudele umezingua mbona ww una potosha watu pesa haiziki m2

  • @twalib09
    @twalib09 Před 3 lety +13

    THE BOLD AND THE BEAUTIFUL ...........to be continued 😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 Před 3 lety +4

    Naipenda Sauti ya Ricardo Momo😍

  • @antoinebakevya8911
    @antoinebakevya8911 Před 3 lety

    Ricardo is very clever!!! Anajuwa kufanya interview. Hataki kupindishwa

  • @aminapeter6177
    @aminapeter6177 Před 3 lety +6

    Usiombe ufilusike we daimond wa tanzania watakuangalia kama mavi maana kupat a kidogo tu jeur mpaka kwa mashabiki mmbwa wasaf wote

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 Před 3 lety +51

    Mama aliandaliwa mbona anaonyesha kabisa anaangalia wasafi

  • @josephinekalwa8171
    @josephinekalwa8171 Před 3 lety +4

    Their voices resemble a lot

    • @kemmytega8982
      @kemmytega8982 Před 3 lety

      Even me I was ask my self why there voices are resemble? Mwanzo nilijua diamond anatangaza kipindi Cha michezo nikaambiwa sio yeye.

  • @sumatraveler1957
    @sumatraveler1957 Před 3 lety +40

    Umalaya huu jmn mnatuchanganya jmn.

  • @yolamshaban4387
    @yolamshaban4387 Před 3 lety +29

    Duh.....
    Mwananke sio kiumbe wa kuaminiwa.....

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 Před 3 lety +8

    Zari, The Boss Lady "kacheza" kama Pele "kutoka unyoya!"

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 Před 3 lety +1

      Hahaha shida zipo nyingi saana hapa aseee.....
      Busara kubwa zinahitajika

  • @angelolemista8063
    @angelolemista8063 Před 3 lety +10

    Sasa mzee Aboul ni baba mlezi vipi, na hakumsaidia mondi kitu?

  • @abunaderali6251
    @abunaderali6251 Před 3 lety +37

    Akapimwe DNA ndio kata ubishi Mzee Abdul na Nasib

  • @mariangittu7418
    @mariangittu7418 Před 3 lety +18

    Huyu mama simwelewi tyuu

  • @dunna1663
    @dunna1663 Před 3 lety +1

    Diamond hapa uko na brother wa dhati👍👍🙏🙏

  • @fatmabhinda3916
    @fatmabhinda3916 Před 3 lety +1

    Mmmh hii atali na nusu wallah ivi mwanamke mwenye wanaume wengi huwa anaitwaje

  • @evasaimon6764
    @evasaimon6764 Před 3 lety +14

    Mama diamond platinum maisha yanabadirika usimfanyie mwenzio unyama kiasi hiko, kisa pesa..yani naona unataka kuakichaa kwasababu ya pesa

  • @mariangittu7418
    @mariangittu7418 Před 3 lety +16

    Huyo mama ana lahana ya mwenyezi mungu miaka yoteeeeeeeeee iyo msiseme ukweli kisa pesa? pesa mbaya zinabadilisha na wazaz

  • @matagitheboss3521
    @matagitheboss3521 Před 3 lety

    Mama anasema !!asingeikataa mimba , asingemkosa mtoto!!naomba muitafakary vzr hyo kauli ya mama mond!!!iDaa !maisha haya!!!

  • @nasrafita6909
    @nasrafita6909 Před 3 lety +2

    Kiukweli hii taarifa imeniumiza sana kwanza nataka kujua hawa watu wawili hawakuwahi kufunga ndoa? je huyu mama mbona mwanzo alikuwa akisema alimuachia mtoto toka mdogo hakumsaidia ulezi mbona haya maneno yanatuchanganya?Jamani hii pesa nyiacheni tu huyu mama umaalufu unampereka pabaya nahii pesa inompa kiburi akumbuke ataiacha naadhabu ya mungu inamsubiri maana anayoyafanya sio sahii napia anamdhalilisha huyo mwanae nahili ajue linaweza kuwakost kwani Mondi anaweza kujipotezea washabiki wake kwa hili lililojiri kiukweli hata kama ilikuwa haya mambo wayaongee kifemily nasio kwenye kadamnasi ya watu nahuyu mama haoni soni kujitangaza kila mtoto na baba yake huu ni msiba mkubwa wallah ila subirini majibu ya Allah atawajibu tu hapa hapa duniani

  • @bernadphilipo1013
    @bernadphilipo1013 Před 3 lety +7

    Yaaan mnajidanganyaa mko Kama watt,kwann aliitwa nassibu abduli

  • @ItsLeonel
    @ItsLeonel Před 3 lety +15

    Yule mzee Abdul namhurumia sana

  • @fleythevoiceofficall5314
    @fleythevoiceofficall5314 Před 3 lety +6

    Kama umelia Kama nilivyo lia mimi kupitia ili gonga like

  • @sharifahamisi9812
    @sharifahamisi9812 Před 3 lety

    Ngoja tukae kimya tuangalie mwisho wahii mechi muamuzi mwenyezi mungu pekee huu nimsiba na aibu kubwa sana shikamoo pesa

  • @ibrahim10chimah64
    @ibrahim10chimah64 Před 3 lety +3

    Naamini mungu atalipa katika hili, pole sana mzee wetu

  • @venerandamasunga6789
    @venerandamasunga6789 Před 3 lety +36

    kwanzia leo mm sio shabiki wa diamond siwezi tena kushabikia uchafu na udharirishaji

    • @kaburaakbar4838
      @kaburaakbar4838 Před 3 lety +1

      Tangu lini ukawa shabik wa diamond platnumz? Kwani umempenda diamond platnumz juu ya familia ao juu ya kazi yake mijutu mingine bana

    • @vangraphixvan8320
      @vangraphixvan8320 Před 3 lety +1

      Kwendaaaa

    • @MJB-Africa
      @MJB-Africa Před 3 lety

      Aanazingua

    • @ShSh-my8cw
      @ShSh-my8cw Před 3 lety

      @@vangraphixvan8320 🤣

    • @stanslauselias9002
      @stanslauselias9002 Před 3 lety

      Tuachie simba wetu ukute leo ndio umeweka bado

  • @medievalyt1721
    @medievalyt1721 Před 3 lety +2

    Mchezo wa kuigiza😂😂. Ricardo alivoanza interview nikajua tu wanatupanga!

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Před 3 lety

    Mh! 🤔Haya mengine hayanihusu. Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe🤗🤗. Mimi nitabaki kuwa shabiki wa Chibu na kuwa shabiki wa mziki mzuri kutoka kwa #WCB tu. #WCBFORINTELLIGENTMAN

  • @njmahn3262
    @njmahn3262 Před 3 lety +11

    Mwachekesha nyie aki hahaaa yaani mlezi hadi jina akatumia la mlezi aki ndugu zangu hehee

  • @naomimarisa6858
    @naomimarisa6858 Před 3 lety +30

    hiyo ni game imepagwa kabisa,,

    • @mashaabuu463
      @mashaabuu463 Před 3 lety

      Wasizengue watu rikaldo hajafanana na diamond...ni game ya kumuumiza mzee abdull. Ati kisa kapata pesa.

  • @barikibenson4678
    @barikibenson4678 Před 3 lety +1

    Siku zote sisi walimwengu hatuna la kusema zaidi ya kuangalia vile mnatushow. Ila ushauri wangu2 ni kwamba,! Kwa hi dunia Kuna mambo mengine si yakuchezewa, mziki wake huwa ni mrefu Sana. Yatatokea muda sio mrefu

  • @ashuraamani2671
    @ashuraamani2671 Před 3 lety

    Adi kesho kwa mungu ushahid huo momo utakuponza pesa mbaya unakubali kuwatenganisha baba na mtoto inallilaj wainallilah raajuuni

  • @samuelmasatu9292
    @samuelmasatu9292 Před 3 lety +16

    Mh! Pesa hizi? Yaani zingekuwa zinatutetea tusife, maskini tungeisha

  • @annamwati9867
    @annamwati9867 Před 3 lety +22

    Momo ni muongo ndo maana Ana sua sua

    • @omanhuawei2428
      @omanhuawei2428 Před 3 lety +3

      Kamezeshwa maneno kashalipwa hapo

    • @abasikinjeki3075
      @abasikinjeki3075 Před 3 lety +1

      Cio muongo ni ndugu kwel mm niliwah kuwa sehemu na momo niliwah kujua ichi kitu

    • @salhasaamar9815
      @salhasaamar9815 Před 3 lety

      Na huku yupo mshkaj anaitwa kaprodo kafanana sn na mond. Kesho kutwa atambiwa ndugu yke.

    • @rehemaathuman8143
      @rehemaathuman8143 Před 3 lety

      Mi simuerewi kwanza fala kweli huyu katumwa ,,afanani kabisa Yani na ile familia

    • @rehemaathuman8143
      @rehemaathuman8143 Před 3 lety

      @@abasikinjeki3075 weee no no no ,umedanganywa wewe acha ujinga

  • @AmCool_
    @AmCool_ Před 3 lety +13

    Ila sauti kama Diamond, huyu jamaa

  • @allykimwaga6715
    @allykimwaga6715 Před 3 lety +5

    pesaaa inawatoa imaniiiii

  • @mimiwewe3547
    @mimiwewe3547 Před 3 lety +32

    Mlichokofanya huo sio utu kabisa io familia takataka tu,

    • @siznic9115
      @siznic9115 Před 3 lety +2

      Inasikitisha Yani iweje hati mondi kuita wanawe Abdul ilihali zee Abdul sio babake na mondi🤔🙁Nina maswali yakosa majibu mie

    • @rashidimohamedi8438
      @rashidimohamedi8438 Před 3 lety +1

      Nimachizi awo

    • @iddypaulomwamkinga5113
      @iddypaulomwamkinga5113 Před 3 lety

      Wewe familia yako iko Sawa maan mnaongelea family za wa2 2

    • @mimiwewe3547
      @mimiwewe3547 Před 3 lety +1

      @@iddypaulomwamkinga5113 huo sio utu ata useme naigilia za wenyewe walichokifanya kwanza io ni aibu!!! Inamaanisha mamake aliwa malaya tena ety diamond ni mtoto wa condom iliyopasuka??? Mnaonesha jamii nini???

    • @mimiwewe3547
      @mimiwewe3547 Před 3 lety +2

      @@siznic9115 maneno ya huyo mzee yanafanya watu walie, ety wamemtenga mwanzo ye maskini anamuaibisha diamond babake maskini!!! Tena hadi baba yake amejidharau hadi kasema amefeli kwenye maisha anagoja kufa tu! Amekua depressed already

  • @samuelmweipongwe140
    @samuelmweipongwe140 Před 3 lety +18

    Waliogundua sauti ya Momo na Mond zinafanana gonga like mingi sana.

    • @bernardjohn8788
      @bernardjohn8788 Před 3 lety +1

      Sauti,na mwonekano vyote vinatengenezwa na kuigizwa

  • @agnessksr2941
    @agnessksr2941 Před 3 lety

    Wasafi washamba sana huu ubaba wa kununua duuh kisa asiwazalilishe tu duuh mungu yupo

  • @fazohonlinemedia1714
    @fazohonlinemedia1714 Před 3 lety +9

    Huyo mama aitwe afanyiwe interview live aseme ukwel cm zinadanganya

  • @danielijackson8700
    @danielijackson8700 Před 3 lety +4

    Akili hamnaa kabisaaa mnachokitafuta niujinga nasibu na mzee abduli wanafanana kinomaaaa hata msemeje