EXCLUSIVE: MAMA DANGOTE AFUNGUKA BAADA YA ZUCHU KUTOTOKEA KWENYE BIRTHDAY PARTY YAKE...
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 7. 07. 2022
- EXCLUSIVE: MAMA DANGOTE AFUNGUKA BAADA YA ZUCHU KUTOTOKEA KWENYE BIRTHDAY PARTY YAKE...
WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - ZĂĄbava
That why nafanya niwezalo kwa mtoto wangu kesho yake aijuae Mungu babake atakuja kushuhudia zaidi ya hili,so proud of single moms who works tirelessly to make sure our kids are happy nd living like those who has dads eiish inapendeza
Mnoooo my unawaza km mimi
Na mungu kiukweli huwa anatujaalia sana single mother anaona jinsi tunavyopambanađMungu tulindie watoto wetu ameenđđ
@@nuruahmed4842 Amen đ
Darleen katolewa kwenye familia..
Pole Darleen
Happy birthday mom huwa nakuangalia sana jins kipindi iko maisha yalipoanzia mpk leo na kijana wako naseeb
Mama Nassibu mzuri wa sura jamani,nakupenda sana dada angu.â€â€â€đđđđâ€â€â€â€
Aki mungu nibariki NAMI napatiye mamayangu pesa kama hii jamaniđ
Happy birthday mama dangote ,Allah akujalie umriy tawil
No make up today you look good and natural mama twende taratibu sasa jikubaliđ
Kila la kheri mama dangoteâ€
Wow hongera mama
Unayesoma hapa fanya kazi kwa bidii sku moja umfanyie hili mzazi wako đđđ.
Amiin
Natumai ww ushatafta izo pesa na saii upo site ukifanya hivi kwa wazaz wako
@@marksulle6120 đđ
Eti wengine wanawatoa kafara wazazi wao
Ameen đđđđ
HAPPY BIRTHDAY macherie tifa
Happy birthday mama mzaa chema 54 but still looking freshâ€ïžâ€ïžđč
đ„â€ïžđ„
Nampenda mama anapenda watoto wake wote
The Queen,
Duh kuna watu wanapesa
Mashaallah
Proud of u
Happy birthday to you mama
Happy birthday mama
Joyeux anniversaire maman dangote
Mama happy birthday to you
NAMI naomba siku moja nimjengee mama yangu japo nyumba ya bati
Wow
Tunakupenda mama from kenya
Diamond anatufanya sisi tusieleweke kwa wazazi wetu đ€Łđ€Ł
đđđđđđ
đ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł umenigusa
Nimecheka đđđ
@@nancyg8664 cheka ila kama amesema ukweli ujue đđđđ
Wallah ipo siku tu na mm nataman nimtuze mama kwa chochote uwiii
Hongera sana mama lakini upo tungi kidogo.
Amepombekaaa
Uyu mma muongo anajirudsha nyuma miaka aiseee
sasa miaka yako ao yake..mbona makasiriko kweny miaka ya mwenzenu
Uyo mama hakose myaka stini.nibasi tu nasura inakuwa inamufanana
Haya leiraty tuambie ww mamaake mzazi mwanao mama dangote anamiaka miaka mingapi
Sasa miaka 54 michache jaman mlitaka aseme anamiaka 70? Diamond mwenyewe wa89
đđđ
Hope wambea mmeskia vizuri,mama dangote na zuchu ni marafiki wa karibu.
awa ata wakiambiwa hawawezi sikiađ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
@@perrygeorges2032 đđđwanapenda kupea watu beef haiko na rumours za uwongo, we know them
54 mama dangote bado young kuzaa mdogo raha happy birthday mama dangote
Ameen
Happy birthday queen đ
Mama via hilo kofia kama mkulima wa mkonge. Happy birthday
Asante saaana mama kuzaa raha jamoooniđ„°
Kufuruu ya pesa hio
wapi AUNCLE SHAMTE
Mama kula Bata but usimsahau aliyekupa pumz kwa kutoa sadaka na kujenga misikiti Ni Mali ya kudumu hata ukifa unalipwa na Allah
Wivu tu unatamani ungekua wew apo kama muda upo wakuzitumia zitumie
mashalha
I tap this blessings...in future this is what my kids will be doing to me.
Happy birthday to you,mama tangote
Kwanini kilasiku zuchu mbona mnamuandama sana
ALIYA VULIA NGUO SASA AYAOGE NIKAMA NIKIPOFU HAONI WALIO ZALISHWA WAREMBO NAWALIACHWA WOTE
Wakosa la kusema
Ulitakaje?.
Wanamssidia apate kick
nzuri sana
HAPPY BIRTHDAY MY LOVELY SISTER
Happy birthday Mama đđđđ
HB mama Diamond .may you blow a thousands candles.
Kwini Darleen yuko wapi? Sio vizur bado ni mwanafamilia mkumbuke
Mashallah
Family yakitajiri mashaallah
Amin
Courage. My mother
đ„đ„đ„đ
Vp Queen
Kwa hela hizi anaanzaje Sasa kuzeeka
Queen Yuko wapi
Hii imeweza
Kuzaa kuzuriđ„°
Jamani
Mama hawezi ruhusu mwanae aoe. Masharti
mungu akufungulie milango ya kumuabudu na kuipa nyongo dunia
Ameen
Kazoea kufanyiwađ
Jamani Queen Darling kwenye hi familia inakuwaje
â€ïž
đ
Huyu chizi malaya ndio kaingiza hii topic
Jamani khaaaa
Toeni sadaka Mungu atawaona sio show TU hapo
Sadaka sio mpaka mtu Ajitangaze....mwisho wa Mazungumzo yake kasema In sha Allah....inatosha kujuwa Amemtanguliza Mungu mbele....
Tafuta pesa fala wewe njaaa inakusumbua
We unatoaga
Mama dangote yuko bwiiiiii
Anabonge la kofia
Alafu hapo alipo sema anko kazuga tu kuua sođđ
Naona siku hizi umebadilika Sana saivi umekuwa mtu wa busara Sana na hekima ule usharo umeaza kuisha
Anafamilia ndio maana ukiwa umeoa unabadilika na pia umri unasonga
Uncle shamte kwani ashapigwa teke
Baba. Dangote yupo wapi
Huyu Mama si mzima anaumwa hata akiongea ana pumzi pumzi
Kalewa aonekana
Happy bdy mom simba
Mwacheni zuchu â€ïž
Mpeni na mzee Abdul basi hizo Pesa" Maskini, mzee Abdul maskini mama Untumia majii" yake ya uzimađ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
Nhtr mutoto wetu mze abdul hajulikani
Ipo cku namimi mama yangu nitamnunulia gari
Amen
Mbona Kwa Mtoto wake wa Kwanzaađ€Łđđđ€Ł
Yaani hapo uncle anaenda kuzibunya kirahisi kabisa, dah! Maisha haya
Rj Leo Karopokaaaa...
Kumbe Esma Sio Mama Ake Mama Dangotre
Kasemaje??
Kwani ndo unajua LEO?
Ila sioni UBAYA pale
Kuzaaa kwemaaa
Mama anavaa mapama duh
Huyu siku moja tu ambayo atakapo kuwa kitandani mahututi ndio atajuwa dunia tamu au mbaya mana ni muda wa kutubu dhambi zake ndio kwanza anakifanya mwehu
Pesa zake wacha ale ujana
Una uhakika hatubu dhana mbaya.
Hahaha đ huo ni wivu tu Sasa mambo ya kufa yanausika Nini đđ
Ww umejuaje kama hatubuđ€Łau unataka awe anaitisha press conference ili uone akitubu
Wew umetubu tuanzie hapo wivu tu acha makasiliko tafuta pesa kwahyo asifurahie kisa dhambi mkamilifu Mungu pekee
Jumaa bdo sna kua kma msii.... Yy bora tu awe chawa wa kawaida...
Ni wakati wake jamani achen Makasiriko.Kutubu ni yeye na Mungu wake unataka akiwa anaomba awaite au.Kula Maisha Mama
Raha
uyu mmama kalewa uyu mbna anavoongea haelewekiđkutoka kutoka
Santana yuko wapi?
Ndugu kuna likizo aisee we unataka afanye kazi kila siku
Mbona hatujamuona mume wa Mama dangote
Kwani uncle kasafiri?
Kwelu baba alienda wapi
Usichokijuw nn ww bi mkubw ach upuuz
Kwani mzee wake waliachana shamtel
H b d mom
Mama anaeinjio maisha đđ€Łđ„
Taraj Mrembo
Sasa haya makofia kama mfuga ng'ombe vipi?
Kishaumana
na huku mzee abdul anateseka sijui mtu unapata wapi hii nguvu.
Uyooo maman mjinga sana kuliko kujijongeza kwa Allah kazi birthday đ mjinga mze mzima watu hatujuwi kama ni mwislamu Ao kafiri subhanallah iviii haoni kama anakaribia kifo Hata Hidja hatakwenda
Tafuta hela kijana ukiendelea hivi mbele ya safari utafirwa aisee, kwanza ukute unakaa kwa bibi bado, unateseka ukiwa kijijini?
Acha Wivu.....
Kuwa na akili mungu ndio mna kuomb na kawek umri kun umri ukifk atakam ujanani aujafany ibada basi ukiwa mzee ibada muhimu sasa huy mama si umri kbsa wa mama Malia nyerere
Njaaaa inakusumbua
Kuna ndugu yako kaenda hija, mijitu mingine mipumbavu humu kufuatilia maisha ya watu
Babake Diamond Yuko wap hapo
Mama kumbe bado unalipa 54
Mama hija inakusubir usikalie dunia ni ukumbusho tu
Mhmm hana habari na akhera
@@sabihaibrahim143 habari zahuko tuzifikirie sisi tu
Mungu atuhidi
Muhimu ni kumkumbusha
Hata ww pia jitafakar juu y hija
Wa2 ambao hawana ela wanamakasiriko