BIRTHDAY PARTY ya PAULA BALAA, FULL KUBEBISHANA na RAYVANNY Mbele ya MAMA YAKE..
Vložit
- čas přidán 14. 07. 2021
- BIRTHDAY PARTY ya PAULA BALAA, FULL KUBEBISHANA na RAYVANNY Mbele ya MAMA YAKE..
MTOTO wa muigizaji Kajala na prodyuza P Funk Majani, Paula, usiku wa leo Julai 15, amefanya sherehe ya kuzaliwa huko Masaki na imehudhuriwa na watu wachache akiwemo mwanamuziki Rayvanny, ambaye inadaiwa ni mpenzi wake.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Zábava
Alie kimbilia ksoma comment km mm a like hapa😂😂
Awezi kuzimia kwasabbu yye akumuumba vni kua wke pekeake kilaktu knamalefu na mpana anacheka Leo kesho analia uyo p
🤣🤣🤣🤣
😅😅😅
Tupamoja
Me jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anaeanza kusoma comment huku akichek mambo agonge makopa hapa
Walio ona kma mimi mama na mwana kwenda kwa rayvan, na kajala kupeleka msosi kwa rayvan achia like ako
Huuuuuuuuwi mm nawapa hongera san
😁😁😁yani weacha nimecheka sana mm mkwe anapeleka msosi
🤣🤣
Tuliokuja kusoma comment tujuane
Mimi hapa
Tupoooo
tupo kama wote
mboma huuo paula sijui kilaa saaa kushika gauni juu yakifua kwan alilazimishwa kulivaa🤣🤣
Sijaielewa vzur
Paula twakwachia mungu ray my all time favourite artist kumbuka family yako hakuna kosa lisilo samehewa
Jamani kila kitu kina mwanzo na nwisho
@@user-fk3rf4uj9f inaudhi
Mungu aitulise roho yako fayma😪😪😭😭
Kama umeskia mama mkwe akisema washen wenyewe gonga like ila nyie wanaume tafuten pesa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Waume tafuteni pesa ili mthaminiwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂🤣
@@zaitunibakari6632 duh😂😂😂
😁😁
Mtoto akililia wembe mpe.... KAJALA..... you've played your part well 🙏👏
This love is real let them be u can never separate two people who love each other may God protect your relationship ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🐆🐆
Wow very beautiful
Media never forgets, tutarudi hapahapa tu kumuomboleza after ameachwa😂😂😂
Kuqcwa ni kawaidha... kwani yeye ndio atakuwa wa kwanza kuacwa..na yeye....si anawaca wengine....ni hivo hivo
🤣🤣🤣🤣🤣
Haya mapenz ya daladala ukishuka mwingine anapanda
Waswahili🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Mama Paula alivyomuhug mwanae nimeskia raha flani nawapenda sana ain't nobody tell u nothing sweet @kajala
Jameni wanapendana! Kajala bariki ao watoto.
Rayvanny all the best usijaribu kumsugua Paula 🥰🥰🥰🥰🥰
Wow wish u all the best 🥰🥰😍😍
Jaman namim wakigom nimefulahiy video hii nahitaji like zenu❤️❤️🥰 😂😂😂
Daaah!!! Mimi bado nasisitiza tuu haka katoto kana bahati mbaya sana!! Kameanza mapenzi na Vanyboy😭😭 katakuja kuchukia wanaume wa dunia nzima haka!!!!!
Maumivu Loading..........🔨
Wamlipe tu hamisa ndio kaunganisha mchongo mpka kukafanyika birthday kubwa hvo
mmmh mapenzi ya wasanii ni kama umeme mda wowote luku anaisha😢😢soon paula atalia na kujutia sema wanawake tunajisahau sn
Everyone is looking for real love go go vanny boy
Kama Hamisa ndiye alifanya hii connection anafaa kulipwa hela ndefu, au amshtaki kajala.
Inaweza kuwa Hamisa dah
😀😀😀
Hamisa noma sana
😂😂
Naunga mkono kwa ilo wamlipe mpunga mzefu
Wanawake wote ni mama zetu.. tunashukur mungu, Ila ukipata mwenye akili anakua mama×2 zaidi.., majan hii pigo atalijutia mpaka anaingia kaburin..kudill' na mama ziro, najua ule ukali wako na usiopenda upuzi.. painful bro.
Kukosa mama mwenye akili n pigo
Dah
@@mymunamymuna4807 sanaaa
Sanaa anajutia kimoyoni
Katoto laini, vanny boy🔥🔥👏
Jaman awa wanajidanganya tu .. Kajala bado mtoto lkn siyo kwa anayoyafanya malezi mabovu kbs
Dah ! mambo hayo Sasa😂 Fayma pole I know God has enstore a good man for you ni swala LA muda tu
Sasa dada Faima si alikimbia mwenyewe
Hyo da fay wenu ni ka hana akili utabadilishaje dini eti kisa mwanamume adhabu ndio hiyo kapewa mtoto wakiislamu
@@magorymara5515 labda alitaka abembelezwe
Vijana tafuteni pesa!
Kaka jitombee 2
Mmependezana Sana ❤️🎂🥂📸
Really awesome
Naona mama mkwe anampelekea chakula mkweee ila wameendana jamani ❤️❤️❤️❤️
Weeee weeeeeee sanaaa
E, Mola hakika binadam twajisahau sana...niongoze katika mema mie mja wako
Chezea wanaume ww yuwap nana sah pitiwa tuu aende kwa mwengne nan kakwambia wasafi family huoa pole
i love you kwamaneno yako
Kamuachia Ibraah
Tunaomuonea hurumu fayma like hapa
am happy when is see people happy that my happiness...happy birthday qeen of next label paula...
Hamis umeniaribia mtoto hapo hamisa ndio kampa van kiberiti awasheee😂
🤣🤣🤣
😂😂😂
Hahaaaa
Kajala ni mpembav sana
😂😂
wonders shall never end paula waah
Beautiful faces HBD Paula kajala
Rayvanny looks good in white attire
The best couple in town...
Ila mwisho wa siku itakua Kama mama yake tu
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
😅😅😅😅ukona nguvu ya kuongea bado
Love's busyness all de tym we are watching til de end
Wow very beautiful ❤️
Mama asiejielewa anafuraia uzinifu wa mwanae
A whole new series for me to watch am in season 1 episode 2 can't wait for the big break up drama
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
😂😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 But you
Chui 🐅❤❤ munyama mukall sana ravnnyn
Respect mon grand frère
Wow 😍🥰🥰😍🥰
Yangu macho
This is wonderful
Happy birthday paula
Hii niliona fb nikasema haiwezekani Nikuje upande wa pili 😁😁 naombeni like jameni
Chui 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌 ckilupngi bloody
Ray van umejua kunikomeshea watu 👌 Live bila chenga, Sasa watulie sindano ziwaingie.
😄😄😄😄 true
Hahahahahaha na imewangia kweli
kupendwa raha napia ukiachwa achika bana❤❤❤❤
Mmetisha sana
Mtoto uleavyo ndivyo akuwavyo yarabii nisamehe mm kwani piya ni mzazi lakini mengine na wazazi tunachangia sana
Mama yake anafurahiya mwanae kapata danga lenye hela
Kwani mnataka afanyeje jamani
Kwan yy ndio wa kwanza kwenye hii dunia
Dent Do usake mimba,,,,
Understanding niimbe nisake vina,,,,
Mwizi Iba usake Kona,,,,,
Mc tangaza upate jina,,,,,
Nyie nendeni zenu komaeni na familia zenu
Nice n lovely
Paula and rayvnna I love ❤❤❤💔💔💔💔💔💔💔💔
Daaah😭 kweli jaman kweli???? Eheee yaan Mimi nishuhudie hawala wa binti yangu eheee yaan sio mkwe wangu kuwa katoa mahari ya binti yangu hapana ila ni bwana wake duuh nimeumia kiukweli maisha haya mweeeh 😭😭 tunauza watoto sasa kwa mabwana jaman😭😭😭😭
Mnyakyusa mwenzangu mzee wa mafundi
I love Ray and and Paula
Wallahi hawa wote na waliokuepo hapo walaaniwe na Mola wetu mlezi
Jilaani mwenyewe, Hawa wako kwenye mapenzi kama couple ingine yeyote
Pambeee sana lover's
Jamais nawapenda saaana Rayvan na paula munaendana ❣️❣️❣️
Cute 🥰🥰🥰🥰
Raha Sana naipenda caple yenu
Miaka 19 kuna caple hapo ni kupotezeana mda
Ndo washapendana Sasa hayo majuto Huwa yanakujaga baadae si
Sasa unahis kama Upo pepon ila kwa mm kamaa kwelii wanapenda basi wasiachane coz wanaendana ❤️
😏
😂😂😂yaani wakamchafua hamis wa watu kumbe mambo yalikuwa ivi chini ya maji🙄🙄🙄
Heri basi angewaoa wote wawili wala sio kwa maumivu haya,,,pole fayma
Kbsa angeawaowa wote
Hakuna wakuolewa hapo full kutumian tu
@@kadibebe7128 yes dear it pain...ukiona mwanamke amekuzalia jua kakupenda na ukimwonesha dharau unamumiza,,,,,
@@wisperfect5320 okay,,,basi watumiwe wote,,Leo kwa fayma kesho kwa Paula,,,at least mama mkubwa na mama mdogo wahudumiwe sawa
Dunia Duara wacha izunguke pole Fayma
So nice like it
5:51 Aunt muna 😂😂😂😂my ribs
Ukipata Mwanamke wa maisha yako ukamwacha ,ukampata mwanamke wa ndoto zako,hautakuwa tena yule wa zamani.Utakosa maisha ila utapata vitu.
Ex wangu mimi khaaa hamisa kuimba uyuwimbo nikama umelota
iachie hiii ngoma alomwimbia Paula jamaaaani ninzuri na nitamnoooooo sanaaaaaaa jmamani hata wanaendana jamani wamemechi
Nakubali. Ngoma nitam iachiwe
Cute 🥰
If mwanaume anaeza fanya hivi comfortable tym mwengine analia mmmmh mbinguni jehanamu t malipo hapa hapa jitayarishe sweetie...hii movie tuuh
Kwani si walikuwa wameacha mbona mnakuwa ivo
Kwani Vanyboy alimfukiza sialiondoka mwenyewe kwa kiburi chake
Ivi izo Pole munazo mpa fqhyma kama kqfiwa ni za nnini?mulitqka ray abaki single forever...what wrong haki
Hawakuoana, Fahima alikuwa anamaliza hela ya vanny boy kwa fashion show za insta. Ila huyu Paula kama nae ni vile vile tu
Kwan alimuoa?
Hbd Paula baby girl
Hongera bint
Yan kaja Mavi kwel ww mbwa kasoro mkia. Kumbe ulikuw mania yakuwa chaguw wenzio tu. Ulivyo mchafu amisa mbwa ww. Mungu anakuona na umalaya wak
Hajielew ila kwa wapumbav wanamsapot
Mtaachana tu
Faymah usijali God will grant you a good man like he did to vanessa mdee ,,
Yaaalabi ninusulu mimi nakizazi changu inxhaallah wawe niwatoto wenye hofu ya mungu
Kwa kwel dah inauma Bora haya mambo angefanya mtoto mama hayajui
napita tuu🏃♀️🏃♀️
💯💯❤️❤️❤️❤️👏🏽👏🏽
Ila uongo zambi wamependezan balaa 😍😍😍😍😍😍
Lkn ikumbukwe vanny na fayma waliachana kabla kumpata Paula
Yawezekana Paula alikuwa wa kichinichini pia
Kwakweli
Naomba hii birthday irudiwe jmn npate mualiko nkaanglie vzr ni macho yanaona vbya au 😢😢
Haaaaaaaaaahaaaa
Nice
Ngoja niendlee kuimba mimi.. Shuka Bwana shuka, shukaa Bwana.....
🤣🤣🤣
rayvann and Paula I love come my mom
Haijakaa sawa hatakama nimtu wapaula mamahatakiwi kujua mahusiano ya mtoto ake labda kama kaisha mchumbia Paula unaaribu maisha
Love 💕💕 is a gift
Ndoa ipit
Kapu hiii sichoki kuitazama kwanza wameedana sana 💋💋💋💋❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💍💍
Acha nisome comments tu mm
mm nawapa hongela
Wakati wako huu Paula utumie mama..ukizembea ujue ndo unapita hivyo ila hongeren mpendezana mapenz moto
Mungu nisamehe mimi
Mmmmmmmmmh umma moja watu wote kweli Haya bwana
Yani mmmh Kila mdomo hapo
Cool
Acheni kumuweka hamisa kwenye mambo ya ajabu huyo paula si mtoto kumbukeni ni mtu mzima anajua zuri na baya na yeye hawezi pangiwa maisha yapi aishi mungu ndie anajua maisha yake na sahani yake itajaa kias gani
Ndunia inawanapeleka Kama vile munakataba na mungu,
😢😢acha niangalie hii shuhuli after nyimbo ya forever 3 flowers 💐 😂😂
😅😅😅😅😅naenda kulike mara ya pili Ina unlike 😅😅😅nafeel kupea your comment million likes
@@breebrearch4946 😭😭thanks ❤️ 🤣🤣🙌🙌
🥰🥰🥰🥰
Uma moja imelisha watu 50 hakuna stiki jmn? Unachoma keki na kutupa 😎
Wabongo nyie
Ww mungu anakuona ujue
@@rashidkarisa7427 Sio w bongo sio ustaarab kwa kweli mana wanaeza ambukizana magonjwa
Sana kajara umependeza
Waoane
Fayma 🤣🤣🤣mimi mtoto wa siachigwi🤣🤣🤣
Yaani weacha tuu
🙈🙈🙈💃
😆😆😆😆😆
Watanga hatuachagwi alisikika Fahima akisema bila hata aibu. Mara paap kapigwa kibuti na mubebe muremboooo kaingizwa ndani kabakia anaugulia
Daaaaaah
Sema neno moja kwa harmonize.
Mimi nimemuona mwanakondoo Maria na kaka furee tu🙈🙈😂😂