MARIOO AONESHA KUFURU KWA PAULA, AMMWAGIA PESA NDANI ya BOTI WAKILISHANA KEKI....
Vložit
- čas přidán 14. 07. 2023
- MARIOO AONESHA KUFURU KWA PAULA, AMMWAGIA PESA NDANI ya BOTI WAKILISHANA KEKI....
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
i really love how genuine marioo is❤ Mungu awape maskizano msije achana kwa vitu vya kipuzi....mahusiano yana panda shuka mvumiliane
❤❤❤❤❤❤❤ muito amor involvito 🤭💕💕💕🔥
C'est beau l'amour
Saivi raha sana had unaona km dunia yte na vilivyomo ndan yake ni vyenu lkn weeeee usiombee upepo ugeuke balaa lake sio poa
😂😂😂😂😂
Uo ndio ukwer
@@zainabwage4658 tunajua dadangu tumepitia humor na hakuna rang utaacha ona
Kila kitu na wakati wake,saa hii ni muda wao wakula raha
🚣
Tia mimba mapema broo kbl awajageuza kibao
Huyu si wa elf mbilii sasa hiyo 21 ni vipii
Pesa watafute wao muanze kuwawekea masharti yakutumia pesa zao
Ok
👏👏👏👏👏👏👏
Wallah sijui ikiwa ndo mwanangu anazimwaga hivi nitapata presha labda awe ananipaga zaidi ya hizo
🤣🤣🤣🤣
Mama akee Mario roh mkononi
❤❤🎉🎉
Yanamdaaaa
💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
😂😂😂Diva linataniwa na kina marioo
0:59 1:00 1:01 1:02 1:03
Hyu Paulo anawadh pesa tu
🎉🎉🎉 ila paula unamimba
Dogo home kwenu wote wako poa kama wewe invest na ndugu zako acha michezo ya kishamba kumbuka kuna ndugu zako mlo wa siku ni mtihani mjini hapa akili mkichwa big up
Hizo pesa nizake nandugu zake watafute zao, acha wivu wakishamba
😂😂😂😂Duh paula 700.kitu 😂😂mama mkwe....Alooo
Paulakajala ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ happy birthday 🎉🎉 Nagupenda Sana
Huyo marioo anavyohangaika utafikili ataka avishwe pete jamani
Nyota jaman paula
Mhhhhhhhhhhhh
Nawakbl n mnaendna san
Haaa!! Haaa!! Omari utatoa hela mpaka utakoma apo😂😂😂paula na mamake so watu wa mchezo mchezo apo ni kumwaga manoti tuu utabloo
Cha Ajabu Wasanii Wanabaki Kwenye Nyumba Za Kupanga Sijui Wako Vipi Awa Maisha Yao Ya Michongo
Duuuu
Hata kwa ray alimwagiwa nyingi kuliko hizo mloona birthday ya pau ya mwKa jana mwakan sijuw atafanyiwa na mwanamzik ganii au sjuw baba levo au jux 😂😅😅
Umeona enheeeeee so tusubili ya Mwakani
Hahaha, ninecheka kwa sauti jamanii
Pesa za mashetani hizo / Freemason
Kisa demu mwanangu
Ndo kazi yahera brother Kama hunapesa zamawazo huwezi fanya haya yote
Ivi jamani P fank hayaoni aya matukio ya mtoto wake 😂😂😂😂
Mama yake yupo hapo hapo ujinga una fanyika ha! Huyu kajala
Mama na mtoto wakionaga pesa wanachaganyikiwa
Sanaa
mara paaaa wamezagamuliwa wote
Happy birthday paula omari
Hivi utamuoa??najee yuko tayari kubadili DINI?mario swali lako tafadhali nijibu
Maswali mazuri
Kajala sijui ni mama wa aina gani jamani
Wana jini pesa
Mama na mtoto hufatan kama mabata ukot mam notI izo
Huyo anayetangaza si kajala au
Saut ni yake ndio yupo kzn kupromote penz 😂😂😂
@@zainabwage4658😂😂😂😂
Naomba alone ntafurahi alafu atuliye
Kaka fungua nacho halafu soma tabia zao mama na mtoto utapata jibu kabla ya kuitwa falaaaaz
Hili janamke na mama yake wezi huyo sura mbaya marioo kaingiliwa
Wananuna wafup
Ushamba mtupu
Na mama yake yuko pembeni anajiangalia movie ya mwanae na mkwe
Ndio mwalimu wake anamuangalia mwanafunzi wake kama kafaulu
Mtihan kwakwer huu ni upuuz km upuuz mwengne alaf atakuja Lia uku mitandaon
@@sabihaibrahim143😂😂😂😂
Hukute akili za matope Za kibantu huyu zuzu hata mama yake mzazi hajamjengea nyumba ya kisasa mama yake mzazi au ndugu zake wa Karibu ila hela anaenda kutumia na malaya, na hawa wakiumwa mabusha matende na minyoo nk wanatia huruma wanataka tuwachangie hela Za Matibabu
😂😂😂Wala SI uongo voo, maneno Yako sadaktaaa❤❤❤
Tafuta Hela uache makasiriko na maisha ya watu 😎😏😏
@@rehemaomary3493mwambie mawivu2
Kisa madem mwanangu