PAULA AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA KUHUSU MIMBA YAKE NA MARIOO/KAJALA MARIOO NI MKWE ATOE MAHARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • #PAULA #KAJALA #PAULANAKAJALA #MARIOONAPAULA #carrymastorytv

Komentáře • 92

  • @joycesamwely7896
    @joycesamwely7896 Před 10 měsíci +13

    Ila paula anaonekan mpole san jaman halaf ukiachan na mitandao kiuharisia huy bint han mambo mengi kabisa❤❤

  • @khamismakame8944
    @khamismakame8944 Před 10 měsíci +16

    Kajala She's the very strong Mama Unastahili kupewa Pongezi kwa Miono ya Mwanao unavyomsimamiya Mungu Akubariki🙏Maisha yana njiya pili kuongokeya au kupoteya sasa kwa vyovyote duniani kila mmoja Ana lifestyle yake na Imani yake kutoka kwenye Dini au imani ya kifamiliya Kajala Unajaribu kuplaypart together na Mwanawe na kumsimamiya kwa hali yoyote ile ya Aibu au Ya Mafanikiyo nice one Kajala Paula Anakuwa Anajitengenezeya Brand kama Mama yake Mungu Amsimamiye Lakini Ajijenge kwenye Akili ya Maendeleo siyo kila siku sherehe

    • @FatumaBaruti-qw6jm
      @FatumaBaruti-qw6jm Před 10 měsíci +1

      Kabisa yani ni mfano kwa kweeli mtu unatakiwa kumshika mtoto kwa chochote kile.abarikiwe.

    • @upendojames5378
      @upendojames5378 Před 10 měsíci +1

      Kabisa Ni strong mama kwakwer kajala anastahilii pongezii yupo na mwanae kila mahalii

  • @almaodhiamboodhiambo917
    @almaodhiamboodhiambo917 Před 10 měsíci +4

    Ksjala your the sweetest mother ever 💗 💖

  • @LilianAchieng-bo9xo
    @LilianAchieng-bo9xo Před 10 měsíci +4

    Congratulations team paula🎉🎉🎉

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 Před 10 měsíci +2

    Congratulations, Mama na mtoto kwa duka mpaya ,Allah aibariki

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 10 měsíci +7

    Nimegundua watu wana wivu saaaaaana na maisha ya paula na mamake dangeni basi na ninyi mpewe, maana hata wanaume ciku hizi wanaolewa

  • @nshimirimanacharlene8988
    @nshimirimanacharlene8988 Před 10 měsíci +4

    Mama yangu ni rafiki yangu❤

  • @happymasha4318
    @happymasha4318 Před 9 měsíci +1

    hongera sana na ubarikiwe mpendane hivo hivo na mungu awatangulie hadi raha jamani

  • @ushyentoabdulnunu8044
    @ushyentoabdulnunu8044 Před 10 měsíci +2

    Congrats sana sana ❤❤❤❤Allah awajalie sana

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 7 měsíci

    Paula kazur Sanaa jmn❤❤❤

  • @user-rb5uu5pv1q
    @user-rb5uu5pv1q Před 8 měsíci +1

    Waooooooooooooow nimepend hiy

  • @WardaSwalehe
    @WardaSwalehe Před 8 měsíci

    Kwakweli wanastahili maua yao nawapenda sana❤❤❤

  • @paulinamajollo1637
    @paulinamajollo1637 Před 10 měsíci +1

    Hongereni sana mama na binti yake

  • @alineolivia2392
    @alineolivia2392 Před 10 měsíci +2

    Juma akimpepea uncle wake😂😂😂 juma mnafki sana aise 😂😂😂

  • @aminabintisaid9113
    @aminabintisaid9113 Před 10 měsíci +3

    Jum lokol chaw🥰

  • @sweefatyprince
    @sweefatyprince Před 10 měsíci +1

    Nampenda kajl😮😮

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k Před 10 měsíci +2

    Nawapenda nyie❤

  • @Hotensia
    @Hotensia Před 10 měsíci +12

    Paula ni mrembo jamani

    • @user-vi3ck1cw3h
      @user-vi3ck1cw3h Před 10 měsíci +1

      Sio kama mamaake

    • @zuhuraMangapi
      @zuhuraMangapi Před 10 měsíci

      Hata we mrembo kumz yeye Kwan we mzuri hujatumiya mekaup kama hawa

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před 10 měsíci +3

    Ila kajala kaanza kuliwa kitambo😢…em kumbuka zile songs za majaniii..Temba hapa😅 mpaka sa ivi we zombie

  • @newassong5985
    @newassong5985 Před 10 měsíci +2

    Juma mungu anakuona

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před 10 měsíci +1

    Daaah mama na mwana akiri sawa 😂

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 Před 10 měsíci +1

    nimekupenda bure kajala hujaweka makuchakucha ❤❤❤

  • @user-rb5uu5pv1q
    @user-rb5uu5pv1q Před 8 měsíci +1

    Jamn mam hawez kumtup mwanae hakik nimepend na nawwish all the best wapendw na hay ni manen ya wat yataish tu helloooooooo😢

  • @gerlasvayahi8441
    @gerlasvayahi8441 Před 10 měsíci +1

    Wa kwanza leo

  • @ashurahaji4794
    @ashurahaji4794 Před 9 měsíci +1

    Mkwe ana heshima ila mama mkwe unamuonyesha vichupi vyako

  • @RehemaHussein-uv5yw
    @RehemaHussein-uv5yw Před 9 měsíci

    Congratulations

  • @user-rb5uu5pv1q
    @user-rb5uu5pv1q Před 8 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapend wote

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Před 10 měsíci +2

    Guys she's 20 and something she's not a baby leave her alone

  • @dinaalfani
    @dinaalfani Před 10 měsíci

    Nikajua n lapl jmn kumbe limebadrk 2❤❤❤ ila vzur limeongezek

  • @tuunganefoundation3019
    @tuunganefoundation3019 Před 3 měsíci

    ❤️❤️❤️

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před 8 měsíci

    Yaani Lokole unanichekesha na huo upepeo wako😂

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Před 10 měsíci

    Mhh mnaongelea duka au mahusiano ya paula😂

  • @ashuraabdallah9229
    @ashuraabdallah9229 Před 10 měsíci

    😂😂😂aaah juma mpk uso unakuchupa kwa uogo

  • @hawababy120
    @hawababy120 Před 10 měsíci +3

    😅😅😅juma kazi unayo😅😅

  • @Official83640
    @Official83640 Před 10 měsíci +4

    Mimba ipo wapi hapo jaman mnaijua mimba au mnaandika tu

  • @AsmaAsma-hy7wp
    @AsmaAsma-hy7wp Před 9 měsíci +1

    Binadamu nyie mna kazi

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 Před 10 měsíci +2

    Anamimba sura inaonyesha kwa sisi wataramu

  • @upendojames5378
    @upendojames5378 Před 10 měsíci +2

    Paula kamekuwa mpka saiv interview kanajibu vizur tu hakaogopi safii sana 😊

  • @graciek5872
    @graciek5872 Před 10 měsíci +1

    Kwani Paula hana confidence ya kujieleza????

  • @iyanboy4786
    @iyanboy4786 Před 10 měsíci +2

    Wa pili

  • @janethpPoul
    @janethpPoul Před 4 měsíci

    Namuona lokole

  • @mongeramatondo1320
    @mongeramatondo1320 Před 9 měsíci

    Kwan huyu Paula si ameolewa au?? Sasa anaishi nyumbani kwq mama ake kivip

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Před 10 měsíci

    Juma❤

  • @user-uz6sv1zt8z
    @user-uz6sv1zt8z Před 10 měsíci

    Paula anamimba ya diamond😂😂😂😂😂😂

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 10 měsíci +1

    Kajala anaongea kama toto dogo ,,haongei kama mzaz,,haongei kama professional business woman anaetangaza biasharA

  • @happymasha4318
    @happymasha4318 Před 9 měsíci

    wasikusumbue kama unaona anafaa zaa tena faster

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Před 10 měsíci

    Atoe tena mahali nilifikiri katoa million. 100 hata hilo hatafunga tuu hWans kauli nhuri na wateja

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před 8 měsíci

    Kajala usivae wigi

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Před 9 měsíci +1

    Fyuuuuu kwahiyo aigwe Nini kuacha shule na kuliwa hovyo au

  • @user-12345love
    @user-12345love Před 10 měsíci

    Air condition

  • @NunuselemaniNkurunziza
    @NunuselemaniNkurunziza Před 10 měsíci

    Mimba Ipo kabisa

  • @user-vi3ck1cw3h
    @user-vi3ck1cw3h Před 10 měsíci

    Haishi na marioo na unamuita marioo mkwe 😮

    • @roseamon7906
      @roseamon7906 Před 10 měsíci +1

      Ni mkwe mtarajiwa kwahiyo lazima amuite mkwe

  • @user-zm8eh3ym1s
    @user-zm8eh3ym1s Před 10 měsíci

    Hujitambui ndo maana konde kawapitia wote wawili

    • @roseamon7906
      @roseamon7906 Před 10 měsíci +2

      Wakati anawapitia mlikua na huyo konde? Kazi kuropoka mihemuko Haina maana

  • @marryfelician1426
    @marryfelician1426 Před 10 měsíci

    Kajala mawigi hayawezi maskini jotooo

  • @user-vi3ck1cw3h
    @user-vi3ck1cw3h Před 10 měsíci

    Marioo acpomlipa lokole atapata dhambi

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Před 10 měsíci +1

    Marioo ukimaliza kuliwa hivo vipesa utatafuta buyu ukakune😂😂😂😂

    • @roseamon7906
      @roseamon7906 Před 10 měsíci +6

      Maneno kawaida yenu kama marioo analiwa pesa nenda basi nawe kamlie kama waweza acha wivu mtakalia hayo kafungua duka kamlia marioo jua linazama mna hayo tu wenzenu wapo mbali hata hamuwagusi

    • @lovemwagala8259
      @lovemwagala8259 Před 10 měsíci

      ​@@roseamon7906👏👏

  • @Neema-lh8pi
    @Neema-lh8pi Před 10 měsíci +1

    Sasa anajifuta futa nin anakera

    • @joycesamwely7896
      @joycesamwely7896 Před 10 měsíci

      Kajara hajazoea wig hapo ni kajikaz tuu joto hatar

  • @user-fh4gw8oy4g
    @user-fh4gw8oy4g Před 9 měsíci

    Kwa joto gan wacha ushenzi bibi

  • @lacheekah1849
    @lacheekah1849 Před 10 měsíci

    Pete tumeiooonaaa

  • @user-wg7xi9fu9z
    @user-wg7xi9fu9z Před 10 měsíci

    Mtu na mamake akili sawa na ndio mana wanaliwa wote na Mtu mmoja

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Před 10 měsíci +1

    Joto la dar hilo daa hamna vi feni vya mikononi

  • @user-zm8eh3ym1s
    @user-zm8eh3ym1s Před 10 měsíci

    We bibi umeshazeeka

    • @roseamon7906
      @roseamon7906 Před 10 měsíci +2

      Analingana na mama mzazi aliekuza au bibi yako kwanza unamuita bibi yawezekana huyo Kwako ni sister Ako acha kashfa

  • @user-iu6hu6bs9v
    @user-iu6hu6bs9v Před 10 měsíci +1

    paula jamn ni mfano wa kuigwa kwa mabinti

  • @estermtambala4181
    @estermtambala4181 Před 10 měsíci

    Congratulations

  • @user-dq5tc4uu9s
    @user-dq5tc4uu9s Před 10 měsíci

    ❤❤❤