Kajala She's the very strong Mama Unastahili kupewa Pongezi kwa Miono ya Mwanao unavyomsimamiya Mungu Akubariki🙏Maisha yana njiya pili kuongokeya au kupoteya sasa kwa vyovyote duniani kila mmoja Ana lifestyle yake na Imani yake kutoka kwenye Dini au imani ya kifamiliya Kajala Unajaribu kuplaypart together na Mwanawe na kumsimamiya kwa hali yoyote ile ya Aibu au Ya Mafanikiyo nice one Kajala Paula Anakuwa Anajitengenezeya Brand kama Mama yake Mungu Amsimamiye Lakini Ajijenge kwenye Akili ya Maendeleo siyo kila siku sherehe
Maneno kawaida yenu kama marioo analiwa pesa nenda basi nawe kamlie kama waweza acha wivu mtakalia hayo kafungua duka kamlia marioo jua linazama mna hayo tu wenzenu wapo mbali hata hamuwagusi
Ila paula anaonekan mpole san jaman halaf ukiachan na mitandao kiuharisia huy bint han mambo mengi kabisa❤❤
Kma vile ulikuwa kweny akili yangu jman
Kajala She's the very strong Mama Unastahili kupewa Pongezi kwa Miono ya Mwanao unavyomsimamiya Mungu Akubariki🙏Maisha yana njiya pili kuongokeya au kupoteya sasa kwa vyovyote duniani kila mmoja Ana lifestyle yake na Imani yake kutoka kwenye Dini au imani ya kifamiliya Kajala Unajaribu kuplaypart together na Mwanawe na kumsimamiya kwa hali yoyote ile ya Aibu au Ya Mafanikiyo nice one Kajala Paula Anakuwa Anajitengenezeya Brand kama Mama yake Mungu Amsimamiye Lakini Ajijenge kwenye Akili ya Maendeleo siyo kila siku sherehe
Kabisa yani ni mfano kwa kweeli mtu unatakiwa kumshika mtoto kwa chochote kile.abarikiwe.
Kabisa Ni strong mama kwakwer kajala anastahilii pongezii yupo na mwanae kila mahalii
Ksjala your the sweetest mother ever 💗 💖
Congratulations team paula🎉🎉🎉
Congratulations, Mama na mtoto kwa duka mpaya ,Allah aibariki
Nimegundua watu wana wivu saaaaaana na maisha ya paula na mamake dangeni basi na ninyi mpewe, maana hata wanaume ciku hizi wanaolewa
Asaaaaanteeeee imeeeeenda hiyoooooooooo!
😂😂😂😂kweli
Mama yangu ni rafiki yangu❤
hongera sana na ubarikiwe mpendane hivo hivo na mungu awatangulie hadi raha jamani
Congrats sana sana ❤❤❤❤Allah awajalie sana
Paula kazur Sanaa jmn❤❤❤
Waooooooooooooow nimepend hiy
Kwakweli wanastahili maua yao nawapenda sana❤❤❤
Hongereni sana mama na binti yake
Juma akimpepea uncle wake😂😂😂 juma mnafki sana aise 😂😂😂
Mmmh! So Kwa kizazi changu
Jum lokol chaw🥰
Mtu na mke mwenza
Nampenda kajl😮😮
Nawapenda nyie❤
Paula ni mrembo jamani
Sio kama mamaake
Hata we mrembo kumz yeye Kwan we mzuri hujatumiya mekaup kama hawa
Ila kajala kaanza kuliwa kitambo😢…em kumbuka zile songs za majaniii..Temba hapa😅 mpaka sa ivi we zombie
Juma mungu anakuona
Daaah mama na mwana akiri sawa 😂
nimekupenda bure kajala hujaweka makuchakucha ❤❤❤
Jamn mam hawez kumtup mwanae hakik nimepend na nawwish all the best wapendw na hay ni manen ya wat yataish tu helloooooooo😢
❤❤❤❤❤❤❤❤ by janeth
Wa kwanza leo
Mkwe ana heshima ila mama mkwe unamuonyesha vichupi vyako
Congratulations
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapend wote
Guys she's 20 and something she's not a baby leave her alone
Nikajua n lapl jmn kumbe limebadrk 2❤❤❤ ila vzur limeongezek
❤️❤️❤️
Yaani Lokole unanichekesha na huo upepeo wako😂
Mhh mnaongelea duka au mahusiano ya paula😂
😂😂😂aaah juma mpk uso unakuchupa kwa uogo
😅😅😅juma kazi unayo😅😅
Kwel juma kazi unanyo😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
🤣🤣
Mimba ipo wapi hapo jaman mnaijua mimba au mnaandika tu
Wanaandika kutuvutia
Binadamu nyie mna kazi
Anamimba sura inaonyesha kwa sisi wataramu
Tena kubwa tu
Paula kamekuwa mpka saiv interview kanajibu vizur tu hakaogopi safii sana 😊
Kwani Paula hana confidence ya kujieleza????
Wa pili
Namuona lokole
Kwan huyu Paula si ameolewa au?? Sasa anaishi nyumbani kwq mama ake kivip
Juma❤
Paula anamimba ya diamond😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Kajala anaongea kama toto dogo ,,haongei kama mzaz,,haongei kama professional business woman anaetangaza biasharA
wasikusumbue kama unaona anafaa zaa tena faster
Atoe tena mahali nilifikiri katoa million. 100 hata hilo hatafunga tuu hWans kauli nhuri na wateja
Kajala usivae wigi
Fyuuuuu kwahiyo aigwe Nini kuacha shule na kuliwa hovyo au
Air condition
Mimba Ipo kabisa
Haishi na marioo na unamuita marioo mkwe 😮
Ni mkwe mtarajiwa kwahiyo lazima amuite mkwe
Hujitambui ndo maana konde kawapitia wote wawili
Wakati anawapitia mlikua na huyo konde? Kazi kuropoka mihemuko Haina maana
Kajala mawigi hayawezi maskini jotooo
Marioo acpomlipa lokole atapata dhambi
Marioo ukimaliza kuliwa hivo vipesa utatafuta buyu ukakune😂😂😂😂
Maneno kawaida yenu kama marioo analiwa pesa nenda basi nawe kamlie kama waweza acha wivu mtakalia hayo kafungua duka kamlia marioo jua linazama mna hayo tu wenzenu wapo mbali hata hamuwagusi
@@roseamon7906👏👏
Sasa anajifuta futa nin anakera
Kajara hajazoea wig hapo ni kajikaz tuu joto hatar
Kwa joto gan wacha ushenzi bibi
Pete tumeiooonaaa
Mtu na mamake akili sawa na ndio mana wanaliwa wote na Mtu mmoja
😮😮
Acha wivu we mbwa
Joto la dar hilo daa hamna vi feni vya mikononi
Umeme hakuna
We bibi umeshazeeka
Analingana na mama mzazi aliekuza au bibi yako kwanza unamuita bibi yawezekana huyo Kwako ni sister Ako acha kashfa
paula jamn ni mfano wa kuigwa kwa mabinti
Mmmh! So Kwa kizazi changu
Hamna lolote!
Congratulations
❤❤❤