GHOROFA JIPYA ALILOHAMIA CHINO/ LINA SEBULE MBILI NA VYUMBA SITA/ AWAOMBA MSAMAHA MASHABIKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 02. 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" CZcams channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • Zábava

Komentáře • 162

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 Před 4 měsíci +26

    huweze changanya washikaji na familiaaaa... tafuta sehem nyingine ambayo washkaji a.k.a wahuni watakuwa wanakuja na kufikiaaa mixa mashisha... ila nyumbani pabaki kuwa na heshima yakeee.

    • @user-yc7cx8lw8h
      @user-yc7cx8lw8h Před 4 měsíci

      Tafuta hela Binaaadam

    • @musicheals1545
      @musicheals1545 Před 4 měsíci

      @@user-yc7cx8lw8h mbona nilichoandika na ulichoandika havina mahusiano mzeee🤣🤣🤣

    • @afrodinova
      @afrodinova Před 4 měsíci

      Kwani maana ya familia ni nini Mzee???

    • @musicheals1545
      @musicheals1545 Před 4 měsíci

      @@afrodinova familia inahusisha washkaji/marafiki sio... anyway tumwache na maisha yake hata akifungua bar nyumbani poa tuu🤣🤣

    • @user-ck7pw4fm8c
      @user-ck7pw4fm8c Před 4 měsíci

      ​@@musicheals1545😂😂😂

  • @AgnesAgnes-fm8wp
    @AgnesAgnes-fm8wp Před 4 měsíci +5

    Hilo jamaa lenye mtishet mwekundu linanichefua mim nafsiii yng😂😂

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Před 4 měsíci +1

    Ooooh karibu Oman chino bro❤

  • @ArnoldMarley-xz1vj
    @ArnoldMarley-xz1vj Před 4 měsíci +2

    Jersey Namba 13 ni bora ulivyotumwa kwa Shoe Shine Maan Too Much Kimbelembele Kimezidii..

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l Před 4 měsíci +8

    haya ndio mambo marioo hataki😅😅😅

  • @SenetaKilaka
    @SenetaKilaka Před 4 měsíci +3

    Ongela sana

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 Před 4 měsíci +6

    Hakuna kitu kubaya duniani kma kuweka mafanikio yako adharani weka ila baadhi yaifadhi sio yote systems ndugu watu wanamuangalia unavyoyatema mafanikio yako sisi binadamu ndio hawa hawa mm nakupenda

    • @Mkombozi255
      @Mkombozi255 Před 4 měsíci

      Nyie ndo wachawi wenyewe ,kila kitu kutishana tu.ukiona hivyo ujue hata buku huna.muache dogo aishi anvyotaja yeye.akionyesha Mali ni maamuzi yake.

    • @PhyinaElias-mu4wf
      @PhyinaElias-mu4wf Před 4 měsíci +2

      Halima upo Sahihi sema binadamu hata ukiongea Kwa vzuri kabisa unaonekana mchawi,,,Ila hayo maisha ya wasanii huta yaweza Bora tuyaache kama yalivyooo ukitoa wazo waambulia kejer na matus🤐🤐🤐

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Před 4 měsíci +9

    Kwanni usingempangishia mamako nyumba ingine tofwaut na hapo akae na ndugu zako maana hapo mpo vijana wengi haipendezi mi naona ushaur tuu lakin

    • @AfricanLady889
      @AfricanLady889 Před 4 měsíci +2

      Amesema anamjengea mama yake nyumba, so hakuna haja ya kupanga nyumba ingine

    • @jamesgustav196
      @jamesgustav196 Před 4 měsíci

      😅

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 Před 4 měsíci +2

    Hao mabisboo wote humo ndani wanakula wapi 😢 uwiii usanii kazi sio kwa nyomi hilo

  • @saidibanda8347
    @saidibanda8347 Před 4 měsíci +5

    Maisha yana badilika mzee acha kutumia ela nyingi kupga ga fanya mpango jenga home boy

  • @faridalihondo3322
    @faridalihondo3322 Před 4 měsíci +4

    😂uyo mwenye 13 asee unaweza mpa banzi

  • @LinaUlaya-ze4en
    @LinaUlaya-ze4en Před 4 měsíci

    Sawa bro chino jaa bress

  • @salekhvidal8346
    @salekhvidal8346 Před 4 měsíci +6

    Hongera bro more blessings

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 Před 4 měsíci +5

    Huyo alovaa white anazunguka kama Nesi wa zamu 😂😂😂😂😂

  • @jumanamwasa-iw2zn
    @jumanamwasa-iw2zn Před 4 měsíci +2

    Ilo Kabat👀👀

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 4 měsíci

    Mungu akuongoze

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 4 měsíci +3

    Nakuona umekua superstar faster illuminate wanapawa ya kumkuza mtu hongera sana

    • @syntaxsaintezzer5547
      @syntaxsaintezzer5547 Před 4 měsíci +1

      Acha usenge wew na kama vp na wew nenda ukakuzwe na illuminati

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 Před 4 měsíci

      @@syntaxsaintezzer5547 nyie si mnapakuliwa wenye shobo nani kakuuliza paka mweusi wewe

    • @user-gn7nk7mw8v
      @user-gn7nk7mw8v Před 4 měsíci

      Vitmtkea puani

    • @donhussle948
      @donhussle948 Před 4 měsíci +1

      Wape ukwelikakuzwa na illuminati juu ya kumuua mwenzake

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 Před 4 měsíci

      @@donhussle948 kuna huyo hapo sijui ndo chakula chake chino kuna watu wasanii wanapambana na hawatoki sasa huykatokea wap

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws Před 4 měsíci +5

    Nyie wapoli poli sana timberland haioxhwi na maji daa😂😂

    • @leecode6135
      @leecode6135 Před 4 měsíci

      Hkuna kiatu kinasafishwa kwa maji hayo ni mambo ya zamani saaana 😅

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Před 4 měsíci

      Wewe wa 79 bdio maana hujui

  • @kerryestomic8099
    @kerryestomic8099 Před 4 měsíci +2

    Huyo mwenye tshirt ya baseball ana kimbelembele

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 Před 4 měsíci +2

    huyo wa tshrt nyeupe namba 13 ni mshamba wa kamera ee

  • @Barakatabudul
    @Barakatabudul Před 4 měsíci +2

    Jamaa Alovaa White" Anaushamba Anaboa sanaaa kuandama adama! watu kama hawa ni wachawii" jamaa atamani kama yy ndo Angekua Chino" dah! mshamba wa camera 😂😂😂😂😂😂

  • @user-sg1du9dp1i
    @user-sg1du9dp1i Před 4 měsíci +3

    Dah Nashkuru Taifa Zima Tumetambua Namna Muuni mwenye uzi namba 13 namna anaushamba mwingi😂😂😂

  • @mrrajjy
    @mrrajjy Před 4 měsíci

    Chinoo 🔥🔥🔥🔥

  • @user-so2yy8se7o
    @user-so2yy8se7o Před 4 měsíci +1

    Nampendaga salehe Anaadabu sana yani kila sehemu anambia viatu mashallah

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Před 4 měsíci +3

    Sema kuna mwamba uyo mwenye base ball anaranda sana si atulie

  • @Wigoz_puppy
    @Wigoz_puppy Před 4 měsíci +5

    Tunaomba NGOMA na Mavoko ❤❤❤❤ sio kila SIKU unamtaja alafu humsapiti boss wako wakitambo❤❤❤❤😂

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba8513 Před 4 měsíci

    Mwenye no 13 anaziba kamera anaboa😂😂

  • @mamrashdon3632
    @mamrashdon3632 Před 4 měsíci +3

    Salehe Umekosea Uyo Mwenye Nguo Nyeupe Ungemfukuza Bwana Anaboa

  • @pozclever854
    @pozclever854 Před 4 měsíci +1

    Uyo Jamaaa ana kaz gn anatembea tu

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Před 4 měsíci +5

    Huyo kijana mwingine mbona anafata nyuma kama mkia 😅

  • @user-op5gz7vj6w
    @user-op5gz7vj6w Před 4 měsíci

    guuudi man munguu akubaaariiikii San brother daa ur soo smart blood.... Utazidii itakuwa

  • @mrrajjy
    @mrrajjy Před 4 měsíci

    🔥🔥🔥

  • @Soundprobeats
    @Soundprobeats Před 4 měsíci +1

    Kashapotea🚶huyo hamna kitu

  • @saidtembele3070
    @saidtembele3070 Před 4 měsíci +3

    Namba 13 mgongoni is typing and deleting.............😂😂😂😂

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 4 měsíci

    myumba aina privacy kabisa

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 4 měsíci +3

    MKIAMBIWA KUNA BAHATI MSIWE MNABISHA😊,,HUYO CHINO HAINGII KIVYOVYOTE,,,,KWA BADI.

  • @mwinyiado1129
    @mwinyiado1129 Před 4 měsíci +1

    Namba 13 anataka aonekane mwanafamiliaa 😂😂😂

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 Před 4 měsíci

    Lake?

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 Před 4 měsíci +2

    ILA CHINO ANA MAMBO YA WASHKAJI SANA SANA BADO MTOTO MDOGO HUYU AKILI ZAKE, ZIMEKAA KISHKAJI KISHKAJI TU… ANASEMA AKIHAMA ANAWAGA VITU KWA WANA, HUYU ATAKUJA FULIA VIBAYA SANA MWISHO WAKE WAJA.. KAMA ANASHINDWA KUJIJENGA KWA UPEPO ALIOPATA SASA ATAFULIA SANA VIBAYA MNO

    • @user-vu9ee7yg1j
      @user-vu9ee7yg1j Před 4 měsíci

      Iman yake inaamin watu hawo aliwo kuwa nawo ndo wamechangia mchango mkubwa kweny harakat zake.. appreciate my king chino you doing well bro waliyo kusaidia kutafut kuni ndo hawo hawo ota nawo moto...wewe ni Really mengine mungu ndo refa...

    • @leylamohamed9939
      @leylamohamed9939 Před 4 měsíci +1

      @@user-vu9ee7yg1j UPUUZI HAKUNA MCHANGO WOWOTE, NGOJA AFIRISIKE NDIO UTAJUA HUO MCHANGO WA WANA ULIVYO

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 Před 4 měsíci +5

    Mchizi mwenye jezi ya base ball kaleta ushamba wa kizamani sana, mbona wenzake wametulia tu

    • @user-pi2zh8fg7g
      @user-pi2zh8fg7g Před 4 měsíci

      baba levo uyo

    • @user-vu9ee7yg1j
      @user-vu9ee7yg1j Před 4 měsíci

      Bro uwo sio ushamba but kaonesha upendo mkubwa appreciate broo chino uyo ndo mshikaji kweli ✌️

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 Před 4 měsíci

      @@user-vu9ee7yg1j
      Acha utoto huoni alikuwa anazuia camera, halafu unajua dhima ya hicho kipindi? Bora alivyotumwa akapeleke viatu kwa fundi huyo mjinga

  • @pascalinajames9117
    @pascalinajames9117 Před 4 měsíci +5

    Huyu nwenye mtshrt mweupe mbona anafwata kila mahal jmn ameboa

  • @badifundi6089
    @badifundi6089 Před 4 měsíci

    Niozesheni uyo philomeno bwana

  • @HanceBablo-ot8sz
    @HanceBablo-ot8sz Před 4 měsíci

    Mnaekelekwa na 13 gonga like

  • @khadijamemba785
    @khadijamemba785 Před 4 měsíci

    Hivi "kama kawa" ndio salam

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Před 4 měsíci +2

    Bongo bana mchiz kafua timberland yani 😂😂😂😂

    • @mattmax773
      @mattmax773 Před 4 měsíci +2

      Hakuwa anajua angejua adingefanya Hvo ki ubinadamu tu Viatu sio kitu cha thaman kuzid binadam

  • @Happy-ef9kf
    @Happy-ef9kf Před 4 měsíci +1

    Pambana sasa ujenge yako cyo kila siku kupanga punguza stare heee make pesa tengeneza maisha bro,,,

    • @Official83640
      @Official83640 Před 4 měsíci

      Kapanga kapangiwa na boss mpya mume wa Fety Kitasa

  • @donhussle948
    @donhussle948 Před 4 měsíci

    Baada ya kumtoa mwenzake wa karibu sanaa kumtoa kafara ... ndo freemasonry ndo wanafanya hvyo either ,family or mtu wako wakaribu or rafiki yako wa karibu sanaa ama watu kwa live performance kisha unatajirika c pesa halali azipatazo hizo

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 Před 4 měsíci

    Washkaji ndio wamejaa. Kuna privacy kweli humu duh

  • @mamrashdon3632
    @mamrashdon3632 Před 4 měsíci

    Kwani Uyo Kama Bodgard Vp

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 4 měsíci +3

    Hingera sn punguza marafiki wengne sio wazuri kbs

  • @rockyjr6314
    @rockyjr6314 Před 4 měsíci +4

    Ao masela tafta shm uwapeleke nyumba inakosa heshima

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 4 měsíci +4

    Nimefulai sna kwakuelewana unajua wewe chino na Mario mnabond nzur Sana na mkiwa pamoja ndo mtapiga pesa Kwa pamoja kwamana mnaendana sana

  • @Official_JohnVicker
    @Official_JohnVicker Před 4 měsíci +1

    Umetisha chinno

  • @Saumujames1234
    @Saumujames1234 Před 4 měsíci

    Uyo namba 13 mmempigilia 😂😂😂😂😂 kila comment watu wana mlalamikia 😂😂😂 mwane2 anapenda camera anachukua mafundisho ya ustar😅😅😅😅

  • @user-ie6hs3ul2q
    @user-ie6hs3ul2q Před 4 měsíci

    Huyu namba 13 mtafutie bwana

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 4 měsíci

    Currently viatu havioshwi, tumia foam

  • @nelsonmaganya5391
    @nelsonmaganya5391 Před 4 měsíci +1

    Waka miradi ndugu yangu

  • @user-zk7sc7fg1s
    @user-zk7sc7fg1s Před 3 měsíci

    Sisi uku DRC🇨🇩 sisi wenye maisha ya chini ndo tuna tembeleya ma BMW kama izo.lkn tz ni za wasanii

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 Před 4 měsíci

    Jenga utenganishe washkaji nabfamilia

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo Před měsícem

    Nyumba ina watu weng sana kama wahindi yani

  • @naumikabila5880
    @naumikabila5880 Před 4 měsíci

    No 13 bwanaake nani😅 jmn

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 Před 4 měsíci

    Tafuta nafasi ujenge Ili familia ikae sehem moja maana naona group kubwa ,

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr Před 4 měsíci +2

    Salehe nampenda anaheshima na nyumba za watu saana haingii tuu kama chooni

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 4 měsíci +3

    Apo chino umekosea kusema utaki mama ako kufunga ni Kwasababu atakonda? Kwer? Apo umekosea piga astakafirural kama nimuislam

  • @TheBastarrrd
    @TheBastarrrd Před 4 měsíci

    Ulimwosha nani miguu Chino,mbona usenge huo????

  • @EsterMpete
    @EsterMpete Před 3 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu mwenye nyeupe yaan ni kama mwanajeshi wa zamani

  • @user-lw7wd8nz9g
    @user-lw7wd8nz9g Před 4 měsíci

    Hongera sana chino wan man

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 Před 4 měsíci

    Khaaa hii nyumba au ghetto 🙄

  • @happy56timothy58
    @happy56timothy58 Před 4 měsíci

    Bora umempa kazi yakupeleka viatu kwa fundi😂😂😂😂

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 Před 4 měsíci

    Halafu Namba 13 Falaaaaaa Anaboa Yeye utasema ndio Camera Man, NI NANI HUYU???😂😂😂😂😂 Jinga Kweliiii 😂😂😂😂😂 Kila eneo yupo anafuata fuata tuu… Yeye ndio nani kwa Chino😂😂😂😂

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Před 4 měsíci +1

    Zawadi ya damu ilishapita mambo yanafunguka

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 Před 4 měsíci +3

    Kabla umeki ujenge unaanza kupanga majumba ya gharama shaulizako

    • @agreymbwilo5874
      @agreymbwilo5874 Před 4 měsíci

      Msanii huyo mkuu, acha aishi maisha yanayofanana na sanaa yake. Na kujenga anamjengea kwanza mama ake

    • @stanslausmathias1878
      @stanslausmathias1878 Před 4 měsíci +1

      Msanii ni tofauti na ww, vilevile maisha ni plan....mawazo ya kuwaza kuwai kujeng ni ya kimaskini saana watu wengi waliofanikiwa huanza na investment haijalishi kapanga maana kwa mji wa dar es salaam kimsingi huwezi jenga nyumba ya mil.3

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 Před 4 měsíci +2

      Kitu mtu anatafuta pesa mwenyewe na anaamua mwenyewe atumie vipi, anaweza tumia zote hata ndani ya siku moja. Tatizo tunapenda kujadili maisha ya watu wakati wao hawana habari na maisha yetu. Hatujui mipango yao na hawajui yetu

    • @abbassalum6824
      @abbassalum6824 Před 4 měsíci

      @@agreymbwilo5874 Duuuh saw ndio fikla zako ziliko ishia

    • @abbassalum6824
      @abbassalum6824 Před 4 měsíci

      @@stanslausmathias1878 Daaah blaza kwa Muonekano wako unaonekana ni mtu mmoja mwenye akilizake lakin si hivyo nilivyo tegemea Kwan kumshauli mtu kunatatz kwan nnachomwambia mim kinaubaya kwan wasanii wote lazima waishi maisha anaishi yeye au hujaona wasanii walikua wakubwa kama wakina chidi mst naisi wakowap sasaiv

  • @user-jj9xf7nt9k
    @user-jj9xf7nt9k Před 4 měsíci

    Uyu nae anataka kuoneka maan sio kwa kufata uko kama mkia

  • @AgnesAgnes-fm8wp
    @AgnesAgnes-fm8wp Před 4 měsíci +3

    Chinoo punguza marafiki watakuponza

  • @fredanthony740
    @fredanthony740 Před 4 měsíci +2

    Mpe kolabo mavoko sasa

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 Před 4 měsíci

    Bora mwamba katumwa apeleke viatu kwa shoe shiner

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Před 4 měsíci +1

    Camera man umezingua

  • @halima_nasseb
    @halima_nasseb Před 4 měsíci

    hili li namba 13 jaman kila sehemu

  • @benahdesigner
    @benahdesigner Před 4 měsíci

    Bola katumwa 😂

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 4 měsíci

    Saleh hivo viatu kama ni mimi ningevua kisha nikashika mkononi nikapanda navo maana ulipo mbali😂😂

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 Před 4 měsíci

    Maisha ya kufeki haya mtakuja muumbuke

    • @user-vu9ee7yg1j
      @user-vu9ee7yg1j Před 4 měsíci

      Watu wanaishi broo awafek tafuta nawew upate ili tuone kama utafek au utaishi....

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Před 4 měsíci

    Napenda unavyo ishi na mzazi wako

  • @dr_godfrey
    @dr_godfrey Před 4 měsíci +3

    Kama ni kwako hongera sana ila kama umepanga da! POLE SANA usije laumu watu baadae

    • @naifathassan2607
      @naifathassan2607 Před 4 měsíci

      Anajenga kwake hapo kapanga

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 Před 4 měsíci +1

      Maisha ni yake aachwe aishi

    • @musicheals1545
      @musicheals1545 Před 4 měsíci

      ushauri muhimu mwisho wa siku asije kwenye media akaomba msaada, umri unaendaaaaaaa@@narrissajackson3869

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 Před 4 měsíci

      Anamalizia nyumba 2.ziko pamoja

    • @amanimanase8798
      @amanimanase8798 Před 4 měsíci

      Usimpangie MTU maisha na matumizi ya pesa zake kwani anasaidiwa na MTU apo?

  • @yasiniramadhani4871
    @yasiniramadhani4871 Před 4 měsíci

    Bonge show

  • @ruu6592
    @ruu6592 Před 4 měsíci

    mbona mafanikio ya chino yanaanza kujitokeza baada ya ile ajali na kifo cha yule kijana ama nina mawazo potovu

  • @Saumujames1234
    @Saumujames1234 Před 4 měsíci

    Aahh kwer ili jumba la zambi 😂😂 watu kibao😅😅

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Před 4 měsíci

    alimtoa mwenzake kafara chura huyu

  • @BAGAMOYOMEDIATZ
    @BAGAMOYOMEDIATZ Před 4 měsíci +1

    czcams.com/video/Ks3yvfIK0Eg/video.htmlsi=go--XEKTOW151aga
    AMEN
    MANKOLOMATZ FT MC KIBILITI X KHAZAV ( MASNICHI )