NYUMBA ALIYOJENGA BISTAR NI HATARI/ATUMIA MAMILIONI YA PESA /AMEONESHA KILA KITU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 09. 2023
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" CZcams channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • Zábava

Komentáře • 258

  • @aud548
    @aud548 Před 9 měsíci +117

    Huwa naheshimu sana mtu yoyote anayepambana kuhakikisha wanafamilia wake wana paa juu yao hawapigwi na baridi usiku...nyumba nzuri sana ...Mungu akujalie umalize Insh'Allah

  • @beatricechillewa2806
    @beatricechillewa2806 Před 9 měsíci +20

    Hata kijana yupo vizuri anajua kumuingia mtu bila kubughdhi japo anaongelea vya ndani ila anaaproch nzuri

  • @WinfridaZakayo-mj7co
    @WinfridaZakayo-mj7co Před 9 měsíci +20

    Anaigizaga mcharuko kumbe mama msitaarab mcheahi❤❤❤

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 Před 9 měsíci +48

    Raman ya nyumba nzur umejitahid mashallah mwanamke kumiliki mjengo hongera zko mashallah mungu akuogezee kipato umalize nyumba yko atufungulie milango na cc inshallah

  • @joycesamwely7896
    @joycesamwely7896 Před 9 měsíci +31

    Huyu mam ana maisha yake ya uharisia nimempend Bure najifunza kitu kwa huy mam nimemuheshim San🙏

  • @queenandchill91
    @queenandchill91 Před 9 měsíci +18

    Mama Mwenye NYUMBA
    Hongera sana Bi Star, pakiisha patakuwa 🔥🔥🔥. Stay blessed🙏🏼

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Před 9 měsíci +61

    Huyu Mama mashaAllaah tabaraAllaah apewe eshima yake kumiliki nyumba Ni jambo kumbwa sana sio wakina fulani eti wanatumia milioni 5 kwa siku na nyumba hawana

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Před 9 měsíci +4

      😂😂😂😂😂😂umenenaaaa

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 9 měsíci +6

      Ni waongo hawana lolote akipata hela saloon kubadilisha makabati ndani hawana lolote msitishwe na picha za histagram za kina uwoya tena huyo ndio anaishi maisha feki sanana

    • @zulfahussein6784
      @zulfahussein6784 Před 9 měsíci

      @@user-po8hz7xw9j umeona uongo gani kasema

  • @abedmzungu9057
    @abedmzungu9057 Před 9 měsíci +10

    safi sana dada haya ndio mambo yakujifunza sina mengi

  • @ZainabMustafaIbrahim
    @ZainabMustafaIbrahim Před 9 měsíci +18

    Huyu mama Mashallah hana showoff mungu amzidishie barka

  • @peggypeggy665
    @peggypeggy665 Před 9 měsíci +45

    Congratulations mama!!.... You've encouraged me..

  • @zainabtumba1186
    @zainabtumba1186 Před 8 měsíci +4

    🇹🇿🇺🇲🥰 Waminshari hasidin idhaa hasad akuondolee Allahu Maa Meen Yaaap Mama Umeweza na umetishaaaa Mnoooo.
    Saleh mdogo wangu " In my mind"
    Yaap piga hodi ya Mchumbaaa utajengaaa tu. Ukiwa Na Mkwee smart Km bi star iyo project ya kujenga rahisi
    Si Unesema Ata kiwanja huna Mdogo mdogo Maokoto yako utaongozwaaa na bi star kupitia Machumo yako ya kazi ukimpata Naaaaa❤

  • @januaryfrancis4860
    @januaryfrancis4860 Před 9 měsíci +34

    HUYU HATA AKIKWAMA TUNAWEZA KUCHANGA AAISE MAANA YUPO HALISI KABISA

    • @WlkmkeissBriana
      @WlkmkeissBriana Před 5 měsíci

      Aki ata tungemalizia uyo mujengo.amepambana sana

  • @swaibahhassan5056
    @swaibahhassan5056 Před 9 měsíci +15

    Daah hongera zako mama mjengo na bado unasomesha mtoto kirinjiko Islamic same hyoo aweeh htr😘

  • @adellaritte3558
    @adellaritte3558 Před 9 měsíci +9

    Mamaa na mpendaaa huyuu balasa😘 unajuwaa saana kazi yake

  • @ummulkhayrmuhsin-yb7ow
    @ummulkhayrmuhsin-yb7ow Před 7 měsíci +5

    Wallahi nampenda Sana huyu mama ananifurahishaga sana

  • @angelmwoleka7892
    @angelmwoleka7892 Před 9 měsíci +6

    Dua la mgumba pambee🎉🎉❤❤. I love this lady..

  • @boscokikoti
    @boscokikoti Před 9 měsíci +11

    Nyumba nzuri
    .Mungu hambariki mama amalizie nyumba yake.napenda sana anapoigiza..anavaa uhusika dhahiri

  • @Roqua-hs3qf
    @Roqua-hs3qf Před 9 měsíci +13

    Unaishi maisha yako kabisaa ❤❤❤❤❤

  • @dottohami
    @dottohami Před 9 měsíci +8

    Mashaallh mama nakupenda sana ❤️nyumba nzuri sana inshaallah Allha akujalie uweze kuimalizia

  • @bernaberna4159
    @bernaberna4159 Před 6 měsíci +9

    Siku nikihamia kwangu nitafrah mtu kwako raha sana, hongera mama angu❤❤❤

  • @monikamasasi7582
    @monikamasasi7582 Před 9 měsíci +18

    Nimependa Sana bi star Hana maisha ya ku fake hongera zake

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Před 9 měsíci +7

    Waoooow! ! ! hongera sana mwanamke mpambanaji, nimependa sana! sana! sana.

  • @cheka480
    @cheka480 Před 8 měsíci +2

    Mashallah
    Hii inaitwa kujenga kwa jasho langu mwenyewe very nice Allah akujaalie umalize

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Před 6 měsíci +4

    Congrats to her ila Sanaa ya bongo ngumu tangu alipoanza kuigiza Bi Star Hadi Leo alistahili zaidi ya hapo.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 9 měsíci +17

    Awesome hongera sana mama nyumba zuri tena ikija kuisha mashalllah mashalllah 👌🏽💃

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l Před 9 měsíci +10

    Huu anapambana sana nakupenda .mama❤❤

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před 9 měsíci +4

    Bismilah Mash Allah hongera umefanya kitu kikubwa bonge la mjengo hili .

  • @lameckshaba813
    @lameckshaba813 Před 9 měsíci +20

    Hongera sana mama mungu aendelee kukunyoshea huna mbambamba kama wasanii wengine unaishi maisha yako harusi kabisa. Wee ni mwanamke shujaa.

  • @pendomkumbo8262
    @pendomkumbo8262 Před 9 měsíci +14

    Huyu Mama nI mimi kabisaaaaaa kasoro cherehani❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 9 měsíci +4

    Mashallah 😍 bi star Allah azid kukupa Afya

  • @SashaOscar
    @SashaOscar Před 6 měsíci +4

    Nimempenda xan huyu mama yaan anaish maisha ya kiuhalisia kbx, nimejifunz kitu kikubwa xan

  • @kisamwakobela8767
    @kisamwakobela8767 Před 9 měsíci +6

    Mama semen jaman kumbe n mzima kabisa mm nilikuwa namuona Kama alivyokuwa kwenye jua Kal kumbe anaakili

  • @Official83640
    @Official83640 Před 9 měsíci +10

    Na Nyama yao anajenga kitaa hiko hiko Maa'shaallah

  • @MariaCassian
    @MariaCassian Před 8 měsíci +1

    Nakupenda sana Mwanamke wewe unajiheshimu unajijali kibwa zaidi unajijua nini unataka na nini ufanye ili uishi vile utakavyo Congratulations ♥️♥️♥️♥️♥️

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m Před 7 měsíci +3

    Haitokaa itokee tamthilia ka FUKOTO❤BI STAR HONGERA. NYUMBA YA KISASA. ILA SEHEM NI WAPI NMEPAPENDA.,TAMBARARE.napenda kupanda mboga mboga, ALLAH Akupe siha na afya umalize mjengo wako❤

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva Před 6 měsíci +2

    Mashallah ❤ mungu akusaidie umalize nyumba yako mama inshallah 🤲

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před 9 měsíci +5

    Mashaallah mama etu mungu akubariki sana ❤❤🎉🎉

  • @Ohhvio
    @Ohhvio Před 8 měsíci +6

    Woooow😍😍😍 so inspiring

  • @zayleemwix7555
    @zayleemwix7555 Před 8 měsíci +2

    Govindaaaaa😂😂😂😂😂mtot wa bibi kikaraa...nakupenda we mam jmn❤..yan anavyoongea mpole mwenyew😂😂mkute kazin had rah..much respect mama❤😂

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 Před 9 měsíci +5

    Hongeraa ulipofikia japo ni msanii wa kitambo saaan.

  • @BakariJuma-cf6ye
    @BakariJuma-cf6ye Před 9 měsíci +5

    Mashallah Nyumba nzur m/mungu akusimamie izid kupendeza Zaid🙏

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před 9 měsíci +5

    Mama yuko vizur Mashaallah

  • @edwintouches
    @edwintouches Před 9 měsíci +9

    Hivi huyu mtu wenu wa Camera ni kwambaana huwa record Auto au yupo slow kubadili? Hii mwanga inabadilika badilika mala too dark mala too bright, noma sana!

    • @fatumahashimmcheni9610
      @fatumahashimmcheni9610 Před 6 měsíci

      Aoana hii nyumba inapitisha mwangaza mdani kulee kwa siwa mbona alikuwa light tu

  • @amirishauur5795
    @amirishauur5795 Před 6 měsíci +1

    Ivi kumbe unaweza ukaacha kazi fulan ulozoea na baadae ukarudi mambo yakawa sawa tuu BIG LESSON

  • @hassanngayaga3202
    @hassanngayaga3202 Před 9 měsíci +4

    Hongera sana umepiga atua kubwa

  • @HappinessKipoya-yi6sq
    @HappinessKipoya-yi6sq Před 9 měsíci +7

    Duh nimekupenda bure mama ❤

    • @yuzoooyuso583
      @yuzoooyuso583 Před 8 měsíci

      Hongera sana Mama kipenzi unahaki kuutwa kioo Cha jamii umetoka elimu ya burekwa jamiii pamoja na kukuangalia na umeacha kitu chakujifunza

  • @hadija_makange
    @hadija_makange Před 9 měsíci +4

    Mashaallah sihaba hudaiwi kodi

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Před 9 měsíci +5

    Hongera zako mama

  • @fatumahapesamohamedfatumah4633
    @fatumahapesamohamedfatumah4633 Před 9 měsíci +3

    MASHALLAH ameweza.

  • @mwana4599
    @mwana4599 Před 9 měsíci +6

    Huyu mama Anas Tahiti tuzo zaidi ya moja.

  • @mariamanzazi2696
    @mariamanzazi2696 Před 9 měsíci +3

    Mashaallah sauti nzuri mama hungera

  • @HawaAbdallah-vn8dq
    @HawaAbdallah-vn8dq Před 8 měsíci +1

    Inshallaah mungu akufanyie wepesi umalizie mjengo wako umeweza

  • @khadijaali4657
    @khadijaali4657 Před 8 měsíci

    Mashallah hongera sana dadangu nakupenda sana from kenya

  • @sandramwangi7231
    @sandramwangi7231 Před 6 měsíci +7

    Mashallah, hii nyumba ikimaliza itakuwa hatar sana

  • @DijaMriri-wc4qd
    @DijaMriri-wc4qd Před 9 měsíci +5

    Salehe kampenda naa😂😂😂😂

  • @user-mp3fb9gu8g
    @user-mp3fb9gu8g Před 4 měsíci +1

    Good job❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 9 měsíci +6

    Mashaalah tabarakallah mungu akuongezee

  • @user-qx2jh9ur1f
    @user-qx2jh9ur1f Před 6 měsíci +2

    Natamani sana mimi kuwa na kibanda changu hata cha vyumba2 tu nimechoka kweli na maisha ya kupanga mimi

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před 9 měsíci +4

    Mashaallah , hongera sana mama , mungu akufanyie wepesi umalize inshaallah

  • @user-dr5jc8jv9c
    @user-dr5jc8jv9c Před 5 měsíci +1

    Nakupenda sana bi star ❤

  • @happygukwi568
    @happygukwi568 Před 8 měsíci +2

    Hongera mama ,kumbe nngekula kwanza maisha nngekuja kujenga hata nikiwa na 40 kumbe sawa tu

    • @nasraabdallah8566
      @nasraabdallah8566 Před 6 měsíci

      Hahahaha tunajikomaza na miaka 23 kujenga daah kumbe watu wanajenga wakiwa 40 sio mbaya tutaongeza nyumba nyengine

  • @rynesalewa7043
    @rynesalewa7043 Před 9 měsíci +6

    Hongera sana ❤❤ nyumba nzur mno bi star apo ikiisha ya kishua sana 🔥🔥🔥🔥

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před 8 měsíci

    Tuletee video kam izi kwa wingi tunajifunza nzuri woww❤

  • @tifagede3267
    @tifagede3267 Před 7 měsíci

    Masha Allah, hongera mama.
    Umewezaaa❤❤🎉

  • @user-ds6me1eh7n
    @user-ds6me1eh7n Před 6 měsíci

    Mashallah hongera sana allah akupe afya njema

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx Před 9 měsíci +2

    Mashallah mwenyewe Ana stara

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx Před 9 měsíci +3

    Nyumba nzuri sana

  • @ibrahimkhamis8394
    @ibrahimkhamis8394 Před 9 měsíci +2

    Anasauti ndhuuli, maashallah

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 Před 9 měsíci +2

    Hongera mama umejitahidi mno

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Před 9 měsíci +2

    Tena yakubidi lamata akurudishe kwa juwa kali uje umpe semene hongera zake anapambania ndowa yake 😂😂😂

  • @user-ly6qc3nh7c
    @user-ly6qc3nh7c Před 8 měsíci +1

    Hongera sana jamna mungu akujalie ufke mbali umalize nyumba yako

  • @Iragibarune1.
    @Iragibarune1. Před 7 měsíci

    From Amerca
    Wow hongera sana 🎉🎉🎉

  • @annamosha968
    @annamosha968 Před 9 měsíci +2

    Hongera sana

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Před 9 měsíci +3

    Hard work paid🎉🎉🎉🎉

  • @Nailaty564
    @Nailaty564 Před 4 měsíci

    Masha Allah hongera super woman Allah akusimamie🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🌹

  • @ChristopherEzron
    @ChristopherEzron Před měsícem

    Naomba hilo friji la pespi lirudishwe kiwandani haraka sana

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 9 měsíci +2

    Hapo kwenye choo ulichofukia panda mgomba utastawi kweli

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 Před 8 měsíci +2

    Kumiliki nyumba NIJAMBO KUBWA mno apewe HESHMA yake

  • @lailati6980
    @lailati6980 Před 5 měsíci

    Hongera sana na nimejifunza vitu kwa maisha yako

  • @ReginaNehemia
    @ReginaNehemia Před 20 dny

    Jaman nakupend bule we mama❤❤

  • @Lynnalice217
    @Lynnalice217 Před 9 měsíci +2

    Salehe unajua kuhoji mtu❤

  • @user-uf9dy7bv8m
    @user-uf9dy7bv8m Před 9 měsíci +4

    Mashallah❤❤❤❤❤

  • @user-kc9iu4mg2e
    @user-kc9iu4mg2e Před 9 měsíci +2

    Nilikuwa naenjoy nkiingia pale tandale ccm nikikuta kibisa kimeanza uwanilikuwa napenda kumuangalia anavyocheza ngoma na uwigizaji wakee Allah azid kukubariki mama angu

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 Před 9 měsíci +2

    Hongera sanaa bi star

  • @bahatirngulika4493
    @bahatirngulika4493 Před 7 měsíci

    Nakupenda sana mom big up sana

  • @HusnaSaidi-os9yx
    @HusnaSaidi-os9yx Před 8 měsíci

    Hongera sana,

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 8 měsíci +1

    Ata mimi nilikuwa nampendaga na mama kibakur mcheshi tulikuwa wote kwenye harus ya rafiki yangu akawa anatusemesha

  • @mwajabually6738
    @mwajabually6738 Před 7 měsíci

    Hongera sanaa bi mkubwa

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 Před 8 měsíci +2

    Mama yupo vizuri sanaa ikiisha mtuonyeshe pia wakujifunza tuzidi kujifunzaa kweli Kila kitu huanzaa katika udogo ✍️❤️🔥🙌

  • @zainabufeka87
    @zainabufeka87 Před 5 měsíci

    Mashaallah yuko vizuri

  • @m.yuzoh...7276
    @m.yuzoh...7276 Před 3 měsíci

    Safi sana dada Hongera bint Ndwangira.

  • @mercymariki2148
    @mercymariki2148 Před 9 měsíci +1

    Big up Mama ❤

  • @masoudabubakar9749
    @masoudabubakar9749 Před 8 měsíci +3

    Napenda uhalisia wako bi ⭐,kuna maisha baada ya Sanaa

  • @MwanakomboMbeho-wl6hw
    @MwanakomboMbeho-wl6hw Před 7 měsíci

    Ma sha Allah

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Před 8 měsíci +1

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 5 měsíci

    ❤❤❤❤❤dada ongera sana kumbe una bonge house

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 9 měsíci +2

    Mashallah 👏👏

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 9 měsíci +3

    Mashallah, hongera sana bi star

    • @nzeyimanamwavita1904
      @nzeyimanamwavita1904 Před 9 měsíci

      Mashaallah ongera sana 🥰🥰🥰🥰🙏🙏👏👏👏👏💪

    • @shemsahamad
      @shemsahamad Před 8 měsíci

      @@nzeyimanamwavita1904 uu hop up

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g Před 8 měsíci

    Hongera sana bibstar

  • @ndogolofadhila6203
    @ndogolofadhila6203 Před 8 měsíci

    Hadi raha yani