🔴
Vložit
- čas přidán 21. 07. 2020
- 🔴#LIVE: KAJALA AMWAGA MACHOZI Afanyiwa 'SAPRAIZI' BIRTHDAY YAKE/ Mzazi Mwenzie P.FUNK Amkumbatia!.
Marafiki wa Kajala Masanja wamemsapraiz mrembo huyo kwenye siku yake ya kuzaliwa na kumfanyia sherehe huku naye akizungumza maneno mazito juu ya mapenzi yake na rafiki yake Lamata Leah na pia kufunguka kuwa mwaka huu au ujao ataleta uhai mwingine duniani baada ya Paula.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ
Inapendeza sana jamn happy birthday 🎂 ya mrembo Kajala nampenda san❤
Ukiona hvyo ujue Kajara ni mtu wa watu sana ,love u so much my ss
Kajala alivyomvuta roda kwa hisia awesome more love too you bby mama 🍾🥂🎂🍽
Iyo ndo maana halisi ya kuishi na watu vizuri ,,,,,,happy birth day Dada ake mungu akupe umri mrefu
Happy birthday to you kajala
MashaAllah mollah akuzidishie upendo na marafiki nikitu muhimu dada kajala nakuombea heri yakuzaliwa uishi maisha marefu furaha uzima itangulie 🇰🇪🙏💐🎂🎉
Hi dunia bwana we unaeza usimpende lakn kuna watu wanampenda had I wanaumwa
Mommy you deserve all this🥰🥰🥰
Happy birthday Mhenga mwenzangu😘
Happy birthday dear 🎂🎂🍽️🍽️
Msalimieni🌹🌹🌹
dora
happy birthday 🎉🎂🎈🎈 and you're so beautiful alafu hakuna wenye kuvaa uchi lovely event
Happy birthday sweetie ❤️ may your wishes come true an lots of prosperity, live long sweet mommy
KAJALA my favorite women so humble
Mashallah allah akupe umri mungine mbele ❤️❤️🙏🏻
Jomon my hongera sana ila nime muona my brother wa mm faridy uwezo damu yangu mm penda San my brother wangu ❤️❤️
Come bobo now
Hbd my lovely kajala mungu akuweke miaka 200000
Heri yakuzaliwa kajala mungu akuzidishie umriii mrefuuuu🙏🙏
Duuh wamemfanyia vizuri kweli raha mtoto anayake ya kusema
HAPPY BIRTHDAT SHEMEJI KAJALA NAKUOMBA HUYO MTOTO UNAEMTARAJIA AWE WA MDOGO WANGU HARMONIZE PLEASE,DR. JOHN NTULUKA HAPA MOZAMBIQUE
Happy birthday Mama ake Paula mmwaaah ❤️
Lovely
Is good
Happy birthday congrats
The show is so nice,,, happy birthday to you (kajala) many more years of happiness,healthy
Happy birthday mungu akupe maisha marefu
Nmejikuta na mm nalia kwakwel ukipata rafiki wa kwel n kumshukuru mungu
Tuko wengi,Yani mtu akilia na Mimi nalia
Aisee apo ata akiumwa saa 9 usiku nami kaniliza kwa kweli kuna marafiki wanajari aisee kushinda ndugu wakati mwengine
@@abubakaryalmas7673 umeona eeee, yaani ht ndg wanasubiri
@@magiehermess9949 ndo zangu, mpk kuna mda najichukia
Hbd kwako msukuma mwenzangu
Happy birthday 🎂 🥳 🎉 🎈 kajala mama Pau 💓 💗 💖
Mashallah 😁wap mbunge mpokiii
Hbd 🎂 dada ake
Happy birthday 🎂
Zaliwa salama msukuma mwenzangu @kajala star
Kajala mzuri sana jaman
Kajala i love love you so much dada yangu mwenye zimungu a Ku linde 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
usilie bwana twakupenda sana jamani
Jamani mpaka na mm naria
Happy🎉🎉🎉happy.mama.angu.mungu.akuweke
Adi raha sana
Kuishi na watu vizuri raha sana ,adi machozi
Umeona
Hbd my
Hbd
Misiba bongo imepungua sana ndo maana watu wana machozi ya hovyo kabisa, eti namimi nimelia sana 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Nice surprise
Hadi raha jmn😘😘
Happy birthday mama paula
Ataaaa sijui kwann nanilia mimi, miaka mingi kwako kajala
Wow lovely!
Kajala watoto wenzako wanafujo ongera nakupenda sn
💞💞💞💞
Mungu akujalie kwa kuzaliwa tena
Gody akupe maisha malefu❤❤❤❤
Alafu nnapenda uyu dada 🥰🥰mrembo MashaAllah
Mwenyewe nampenda atar
Ume vaa vizuri leo😘😘😘
Happy birthday mama p 😘😘😘 from Kenya
Marshallah kajala wangu,,,,,hbd kwako
MASHALLAH NDUGU KUFAANA SIO KUFANANA SURA HONGERA SANA KAJALA
Dada wee mzur
Hongera zako dada ake mungu azidi kukupigania❤❤
wallah kupendwa raha
Hbd dada ake 💕💕💕
❤️❤️❤️❤️nakupenda mpaka naumwaaaa kajara hakika ww ni mama bora
Dora ana sim kubwa kuliko yeye
Mmmmh imenlza kwa kwel,xo suprized aiseeee
Hbd Kajala
Upendo ulioje. Hongereni kwa umoja
HAPPY BIRTHDAY TO YOU KAJALA MUNGU AKUPE UMRI MREFU
Kajala ni mtu wa watu, mi mwenyewe nimelia
I like ur comment namba yng iyo tuchat shost 0653667026
Una machozi ya mchezo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Una machozi ya mchezo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Congratulation
Iyo hug aliyo pewa doraa n ya moyoni nimependaaa sana💯🥰🥰🥰🥰🥰🇰🇪
Walah kajala anafanana sana na mama Masai msanii
Hapibastey Dada mungu akurindi
Usiriye mungu anakupe bado
Hata Mimi nimelia jamn kupendwa raha san
Acha zako ww unalia nn
Nimependa koment yako nimependa uwe rafik 0653667026 this jamila
Ukiliaa.aupendeziiijamanii
😍😍😍😍
Waooo!! Dora jaman namuona hapa!
happybirthday kajala
Hongera San kajala happy birthday to you
Ukiwa na Ela ukaishi Kama mwenye Ela huzeeki upesi kwasabb utaacha kutnbea na miguu utapanda gar na hutoungua na jua na utainjoi sehem nzuri Sanaa ambazo ilikua huendi kwahyo miaka 37 wapo wamezeeka kutokana na njaa na kukksa mahitaji muhm mengne au ya ziada Kama lotion nzur pia
Ooooh my goodness ❤️❤️❤️❤️🔥🔥🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦
Haapy birthday mama p
Hbday to you
Ilaelekea kajal n mtu wa watu honger dd 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anaga majivuno yupo simple
Masikini najua tunakwazana👍👍👍👍
Mi mwenyewe nimelia kupendwa raha sana
Stella Joseph njoo nimekuletea zawadi yako ya birthday
Happy born day kajala masanja
Happy birthday k
Huwezi kuchukiwa na watu wooote madui wapo na marafiki wapo enjoy dada acha wabaya wako waendelee kuteseka
Wowoooh
🎉🎉🎉🎉🎉😘😍wifi yangu wakumusi
hbd
Tunakupenda kajala
Kajala mzuri hataukilia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mombe Mungu tu atakupa mume mwingine mwema 💕🌷💕🌷💕🌷🙏🌷
hakuna mume Bora wenye pesa munajidanganya , tatizo lenu munapenda waume wenye pesa baada ya mwaka Moja ooooh waume wabaya
Kumbe yimbo a x aisuswi hii2ndo mn y kuchn sio vit n ukizingtia tnzania nzima nyimbo nzuri yenye mvuto,tamu y batheday na y konde tu.
Inapendeza sana
Jamani Kajala anapenda kulia 😢😢 kama mimi
Mm pia sjui kwann
Mimi pia
😘😘😘
Inapendeza...mkifanyiana hivyo kwa wasanii wote....umoja wenu utazidi kudumu.Mungu awaongoze vema
P-Funk mbona hajaonekana apo
Anyway me mwenyewe sijui ni kwanini nalia nimejikuta tu machozi ya furaha yakinibubujika miaka mingi kwakwo sweetie me nakupendaga tu 🌹🌹
Mapenzi jamani
wimbo mwisho wa video waitwaje tafadhali?
Hongera sana kajala
Nice
Hata hivyo amejitajidi mi ningelia mayowe kama nimepata msiba
Hahahaaaaaaaaaaaaaaa