Zama unahoji vitu vya maana na vya kuinspire mashaAllah sio wengine kila siku sijui beyonce wa buza,gigi,na hawana projects zozote wanazoonesha....shout out to u kajala pia
Mungu apewe sifa kiukweli kwakuacha pombe maana ma stars wato munasumbuliwa sana na hilo pepo la kunywa pombe. Mungu awaguse nawengine tusikiye ushuhuda.
Akitoka Millard kwa kuhoji vizuri upande wa wanaume nazani wakike inafata zama yannnn yupo so smart sio maneno mengi anakua direct na kitu anachouliza waooh I do love her jmnnn🥰🥰
@@kimzymamy6594 Inauma sana wallahy, amefanya kila jitihada ya kumlinda mtoto wake, ila inakaa wa moja ni wa moja tu, hata ukimpa mbili, moja bora ipotee tu #Paula
Da zamaradi mmeongea vizuri sana wewe na kajala ila swali muhimu sana hujauliza.... alivyo tolewa gerezani na WEMA SEPETU ..... tatoo yake ya wema.... yama ni matangazo tu ya byashara zake na blablablaaaa..... wengi hatuja furai kwa kweli na tujuane jamani.... but ilikua poa.....🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪
Kama unajuwa amemwelewa kajala piga like hapa
Hayo ndo maisha yanavyotakiwa kajala hongera kwakubadili mwenendo wa maisha yako ❤️❤️❤️❤️
Nampenda sana kajala yupo really anajielewa sio kama mikapuku mengine ya bongo movie huyo ndio beauty with brain banaa
Ipo siku na Mimi nitakuwa Boss. Hongera Kajala
Nampenda sana huyu dada na mtoto wake.
Yaan napendaga kujifunza kutoka kwake pia napenda life style yake.
I real love Kajala She's pretty and intelligent go girl God is there all the time never give up😍😘
Awwwww kajala anaongea kiutu-uzima hadi raha, Mungu akuzidishie maisha marefu Kajala wetu! Zama ua the best💜
Nimerud hapa baada ya zile video 😥stay strong Mama Paula
Nakupendaga bure kajala you treat as matured
Dada zamaradi na kupenda sana
Hatamimi nampenda sana kajala, zaidi sana filamu zake, uzuri na urembo wake....hongera sana na kazi njema.
Una upendo sana uvumilivu mungu huko nawa ubarikiwe wewe na family yako
Mungu wa ajabu hongera kwa kuacha po oooooombe
She inspires me much hard working woman
Mmmh .
Hii chai mdangaji tu kama anavyomtrain mwanae
nawapenda sana Paula na kajala
Uliza kapitia mboo ngapi mpaka kufikia hayo maendeleo😎
Kajala we mzuri usiwe unaweka zile nywele fupi hapo umependeza sn, hongera kwa biashara kubwa na nzuri
Nawapenda jamn zama na kajala
Hongera sana dada kajala office nzuri sana
Hongera sana kajala kwanza kwa kuacha pombe lakini pili kuwa mwanamke imara mpambanaji, keep it up, Mungu akujalie afya njema na uzima yele.
Dada zamarad rkebisha sauti ipo chini sana pia ongera❤🎉
Nakupenda kajala mungu akujalie maisha marefu
nalipenda hili lidada lizuri and bigup kwa kukua mam
Zamaradi you is the best😎
Feelings of a mother is alive.uliona haya
Kajala usijichubue Mbona we mzuri😘😘
Mimi interview ya zamaradi kama mtu hajalia siangalii nataka nikisoma comment nione zama weka tissue mezani jamani 😂 😂 😂 😂 🙈
Wewe kama mimi... Ukute hadi awepo studioni kwake
Hongera kwa kwa kuacha pombe inarudisha maendeleo nyuma sana
Hongera kajala unajielewa sana dear.
Mungu akuepushiye usirudi tena huko.
Kajala mpole sana sema mitandao inamponza nampenda sana
Mwambiye nampenda sana yani ni mwanamke anajiheshim nakujitambua yeye ninani then she’s not show off like other movie artist
Hongera kajala
Hongera zama na kajala interview nzuri ila kajala capital c kwa wasanii tuu watanzania wengi wanashindwa kufanya biashara kwa sababu ya capital.
Kajala weusi wako mzuri jamani usijibadilishe rangi.
Uyu dada anaakil Sana ya utafutaji,nakukubal kajala ata mm nmejifunza kutoka kwako soon nitafungua yang mng akipenda
Amiin🙏🏼😍
Zama unahoji vitu vya maana na vya kuinspire mashaAllah sio wengine kila siku sijui beyonce wa buza,gigi,na hawana projects zozote wanazoonesha....shout out to u kajala pia
🤣🤣🤣🤣
hahahaha
Nampenda. Kajara hafek maisha nampenda sanaaaaaaa
Jamani namupendag kajala san💖💖🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮💋💋
Hardworking woman @Kajalaa..💓💓🥂#Zamarad una hoji m2 vizurii hadii achokii jaman bigup 2 u✌🏽✌🏽
Mashallah Mzuri Mama paula
Nice interview
Nakupenda kajara maisha unayo ishi binty yako
Hongera npe kibarua cha kufanya usafi 😘😘😘👌
Waoo nice iko day nitafka hapo ulipo kajala
Interview nzuri na sauti ni nzuri sana .big up kajala sauti Leo inasikika vzr
Ila miziwadumu
Kajala she's so pretty🙌❤
Munira Ahmed aise munira kila kona upo mh
Mungu akujaalie jmn we dada kajala nakupendaga sana nimim zulfa
Mungu apewe sifa kiukweli kwakuacha pombe maana ma stars wato munasumbuliwa sana na hilo pepo la kunywa pombe. Mungu awaguse nawengine tusikiye ushuhuda.
Nice Interview 👍 hongereni Wanawake wa Nguvu
She’s very beautiful and humble
Da zama unapenda kutafuta watu machozi🤣🤣 sema unajua
Nami napenda sanaa
Congratulations Kajala
Zama sijawahi jutia MB zangu kwenye interview zako
Good interview
Hongera zako kajala mungu akupe unalo lihitaji ameen inshaallah 🤲
Hongera Na MUNGU AKUBARIKI kajala Kwa kuacha pombe na kusimama katka KAZI zako Insha,Allah 🙏 MUNGU AKUSIMAMIE
Kajala❤❤ nakupenda kweli ntangu zamani ila leo pendo limeongezeka kwamaamuzi uliochukuwa kuacha pombe mungu akuwezeshe
Hongera Kajala
Am inspired kajala uko vzr u're so politely my God give u strength
Hongera Sana mwanamke mwenzangu mungu akubariki daima, nawapenda kajala na bbygirl wetu
Kajala nakupenda Sana my sister
Akitoka Millard kwa kuhoji vizuri upande wa wanaume nazani wakike inafata zama yannnn yupo so smart sio maneno mengi anakua direct na kitu anachouliza waooh I do love her jmnnn🥰🥰
Vile nampend kajala ' Mwanae paul😍 😍
mungu akuzidishie
I love you kajala
Nzuri sana nampenda pia sema siku nyingine atueleze kisa chote na jinsi alivyoweza kutoka jela .Asante Zamaradi show zuri.
Alitolewa na wema kwa Pesa lkn alikuwa afungwe miaka 7jela
Alikuaga amefungwa kwa kosa gani dear
Kajala kapendeza sana😍
zama unajua sana kuhoji
This interview forecasts everything happening today in Kajala's life. Her worst fears are confirmed, sadly
Nimemuonea huruma😢
duh😪
@@ghalibally8252 kweli kabisa mimi pia tena zaidi. amewekeza sana kwa hali na mali kwa bintiye, ila binti mwenyewe kamponza
@@kimzymamy6594 Inauma sana wallahy, amefanya kila jitihada ya kumlinda mtoto wake, ila inakaa wa moja ni wa moja tu, hata ukimpa mbili, moja bora ipotee tu #Paula
@@hukuUJERUMANI kakangu mm mwenyewe nimeishiwa pozi lkn mungu yuko ni kweli walitaka kumkomoa dada wa watu pole snaa mam paula 😥🤲
Kajala nakupenda sana
Hongera sana Kajala 😘
Okoka my sister..
Nampenda sana kajala
U are really my dear
Hongera sana
Hongera Dada
Zamarad ur the best
Tukumbukeee hiii jmn tumempenda kajalaa tuendlee kumpndaa nakupndaa sna ni2023 bad naftlya ya nyuma
Kaz nzr mama paula
I love her💞💞💞
Yaani ukinyoa unapendeza zaidi
Ongera shogaangu upo vizuri
Nakupenda sana..lakin napenda zaid ukiwa na konde
Kajala is so pretty 🇰🇪
Very good conversation, very clever ladies
Tuongee ukweli wasani sijui namatakwa yao ao hawaolewagi na wakiolewa basi ni kwaka 1 wala myaka 2 na akiza katoto kamoja nanjo basi
So beauty mamy
Kabisa. kajala uko naakili mutu mwenye anakata mutoto Uwo si mama
Maashaallah
Umenifunza kajala
Kajala kama uliwacha tembo swadakta kbsa👌
Interview nzuri Sana. Lakini hatukujua Kajala alifungwa jela kwa sababu gani.
Dhuluma km ckosei
Heshima kwa zamarad
Mashallah, hongera sana kuwa mama bora
Kuna kitu nimejifunza kupitia wewe,hongera sana
Waoooh such an incredible person with high vision ....God bless you kajala😘😘
Nakupenda Sana kajala mwanamke mpambanaji hongera
Nice
dada ana akili uyuu
Kajala nakupenda dha! Zamaradi mpz safi sana bonge la interview
Kajala anafanana na bahat bukuku sijui ni macho yangu?
Ni kweli wanafanana sana
Kwel kabisa sikufuatilia imebid nimchunguze
Da zamaradi mmeongea vizuri sana wewe na kajala ila swali muhimu sana hujauliza.... alivyo tolewa gerezani na WEMA SEPETU ..... tatoo yake ya wema.... yama ni matangazo tu ya byashara zake na blablablaaaa..... wengi hatuja furai kwa kweli na tujuane jamani.... but ilikua poa.....🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪
yan mm pia nilitaman kujua hilo kwann walihitilafiana
Mbona alishaisema kipindi chanyuma kwamba hajafuta anayo
@@m.mmarckus6298 but kipindi cha nyuma ndia....anaweza badilisha mawazo ....lol....
WAooooo so nice
Much lov
Safi sana