dada naomba unitafute mi ni yule debora niliemlea paula naomba unitafute facebook andka debora mwenda utanikumbukatu nimetoka huko elfu mbili na kumi nimewamisi dada yangu naomba unitafute.
Usipende ku mraum mtu siku zimetofautiana naye ni binadamu kama ww kuna siku mbaya na njema so usiwe mwepesi ku jaji en unayetukana jeulize ww umefika wap mpaka asaivi yupo kwake uyo .... Ata kama mnasema sijui kaongwa ni vyakeee.... Uki panik nawe nenda kaongwe uwoni kama ni rahisi rahisi think like a man
Mtangazaj pole Sana haa mtu anahojiwa anazarau fyuuu aisee ningeondoka aisee Maan Sim ndio kanuna leo au shenzi typ. Mkiwa na intarv muwe nawek ushirikiano unajisikiya keki au udongo tu
Chefu unaringa kama hunyii mjinga we mapozi ya nn mavitu yenyewe ya kuhongwa tu kubaya kwake ka roho yake ilivyo mbaya yanii una mdharau MTU kiasi hicho
Dream Latifah yaan anaongea lakini kama she doesn't want to... anaongea kama hataki anaongeleshwa anajiskiaaaa kujibu anajifikiria mara ajifanye hajaskia
Ilaa ww mtangazaji unauvumilivuu duuuuh !!!! M2 Yuko bize bado tu unamdadisi🤣
cjapenda hana good cooperation
ivyo vitu kuna watu hawana Nguo wala viatu bora ugawe kuliko kujaza panya ndani kama umependa like ACH poz kajl kam hutakuf ivi
Ndio mamae zake anajishauwa
Nakuwambia makorokoro kibao mh wala
🥰🥰💃🤣🤣🤣
mashauzi classic! inabore
mashaa allah nyumba nzuri sana😍
Amina Adalai
dada naomba unitafute mi ni yule debora niliemlea paula naomba unitafute facebook andka debora mwenda utanikumbukatu nimetoka huko elfu mbili na kumi nimewamisi dada yangu naomba unitafute.
mashaa Allah nipazuri ume barikiwa dada mshukuru mola kwa hilo
kajal acha zarau we iyo sm yako au umeazim www
This rich beautiful lady Kajala is so down to earth and shy. Be blessed zaidi. Love from Kenya.
True
kajala amepika hatua nzir hongera Dada angu mungu aendelee kukuinua
mashaa allah nyumba nzuri hongera kajala😍
Amina Adalai
nymba yke au kasulumu
Hongera yake wengine hawana
Nyumba nzuri sana
Hongela kwako pazuri unajitahidi sana, ila umeniboa sana jinsi unavyojiskia umekera sana, kuanzia Leo nimekushusha thamani.
Achen matusi we bb mbona unakuwa boya acha ajisikie mdada anajikubari
☺️☺️☺️☺️🤭
hongera nyumba nzr na safi.Umejua kupangilia vitu hasa rangi
Anamaringo utafkiri hanyagi
Acha ulimbukeni Ww, Tabia gani unasemeshwa Ww unaendelea kuchat!..
Hongera zake nimepapenda pako vizuri sana.
Congratulations mama Paula,watu hukutusi but umejitahidi big up from kenya
woww nyumba yake nzuri
Mhhhh jaman sio kwa kujisikia huko
mtangazaji sikuelewi
Kama hukuwa tayari kuhojiwa hatua ya mwanzo, baadae ndo kaonesha ushirikiano
hongera my hata room ya Paula nice room
hapo umeharibu kajala,jifunze kwa wengine
Ndio maana hatununui filam zenu yani unahojiwa unalinga au unajiona mzuri sana kama huendi chooni unaboa my sister
Nigupatiyr ushauri kuwa NA hakiri usiwe munyuma yakukoti njo ushauri wangu🇧🇮🇧🇮🇧🇮
ninakupenda ila umeonesha huna nidham unajiskia
Usipende ku mraum mtu siku zimetofautiana naye ni binadamu kama ww kuna siku mbaya na njema so usiwe mwepesi ku jaji en unayetukana jeulize ww umefika wap mpaka asaivi yupo kwake uyo .... Ata kama mnasema sijui kaongwa ni vyakeee.... Uki panik nawe nenda kaongwe uwoni kama ni rahisi rahisi think like a man
hongera sana kajara uko vizuli
mtu mwenyew mbona MADHARAU IVO?!!!! kaaa atak vile
kumbe anajeur sana.huyu komo kajala maana mtu anaongea.nae hata habr hana.anachezea sm tu.tabia mbya
jamani walimwengu acheni husda mbon mmemwandama mtt wa mwenzenu sio tabia nzuri kajala nakupenda sana dada angi
hongera sana kajala kwa kupiga hatua.
kajara nakupend bure💗💗💗💗na mung azidi kukusimamia
We unayesema anaringa kuwa na kwako pazuri kama apo na ww uringe mwenzio kajitahid hla Kwa sababu ya wivu mtesema anaringa nyooooooooo
Kabis
Kajala unajisikia sana,mtanganzaji anaongea na wewe una muda ndio nini?
ongera sana rakini sio vizuli kuongea unavo jisikia
kajala am from.tanga dia naweza kukufyndisha mapishi mengiiiiiii ur.most welcome
Kama ni nyumba yako hongera kama umepanga shoga jitahidi ulipe kodi kwa wakati la sivyo yakakutokea puani hayo mashauzi siku ukishindwa kulipa kodi
Haha kweli amekuboa
😂😂😂Shida ya watanzania wenzetu, mnachukia maendeleo yawenzenu
Ni nyumbani kwake wapendwa
@@urueuudududu5760 Ni kweri nyumba yakwake
Mtangazaj pole Sana haa mtu anahojiwa anazarau fyuuu aisee ningeondoka aisee Maan Sim ndio kanuna leo au shenzi typ. Mkiwa na intarv muwe nawek ushirikiano unajisikiya keki au udongo tu
Hongera Sana kajara umejitaidi . kwako pazuri Sana.
Kajala umenikera mno wewe dada yaani unahojiwa alafu unajiskia kama huendi kaburini onasasa mtangazaji anapata anaona aibu hadi anatangaza vitu zako badala wewe ndio uonyeshe mashabiki,, naona kama hapo sio kwako bumbavu wewe GONGENI LIKE HAPA
Hongera sana kajala uwa nakupenda sanaaaaan
mtangazaj mwenyewe sasa!! bora Yule bro asiye badilishaga shati!!😂😂😂
Hahahahaha atar sana bora yule bro asie badilisha shat
😄😄😄
#DADA KAJALA UMETISHAAA🙌🙌🙌
Anaringa nini sasa kiboko yako🐘🐘🐘 tu ndo alikuweza yaani kuku wa kidhungu na yai lake 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Daaaaaaah....umejaliwa
hongera my umejitahidi
Heshima na tabia nzuri muhimu sana
Jamani na mupendag kajala from burundi❤❤❤👌
Love u Sanaa kajala umejitahid sanaaa mama
Ongera sana
hongera mmy
Beuthfull house Dada..Nakupendea natural hair
Nivizuri kua Na maisha yk mazuri nakupa big up
Jamani namupendag kajala💕💕👌🇧🇮🇧🇮
mmmh me mwenyew kaniboa
Kuringa ni tabia ya mwanamke, mbaya kuwadharau wengine na kujiona bora kuliko wengine, hongera kajala
Masha Allah so beautiful dada ❤❤❤😘😘😘🔥🔥🙋♀️🇰🇪
Honger kjla
NILIANGALIA KITAMBO ILANIMERUDI TENA VILE AMESHIKANA NA HARMONIZE KAJALA ANAPENDA HATABILA MA WIGI AU KUSONGWA🇨🇿
Hongera mma P .nakupenda sana uko mpole
pazuriii hongera
honger mamy uko vzr
ama kweli kwenye delvokingdom kanumba hakukosea kupatia zlee sine
Linajiona sana linaojiwa lipo bze na cm
tabia mbaya unahojiwa afu uko busy na cm
dharau
Mshamba tuu
Labda hajapenda walivyoenda kwake
Uyo kajala naon ajapend kuojiwa
Aibu kwa walio dhania kuwa kuachana na harmonize ndio mwisho wke mwaibike 😹😹😹😹😹
Hhii. Video INA miaka
Kajenga nyumba kabla
respect zero aisee inakuaje una hojiwa ila kidole kipo kwenye simu tu...
Mazingira ni mazuri sn Hongera Kajala Masanja
kashtukizwa bila make up Ndo mana kajinunisha ..
kajala apendagi make up
Kwel alaf alikua ajavaa brazia ndo maana anatupa mgongo 2
Hapendag make up
Aki ya mungu..mbna wajishauwa ivyo mpaka kisunzi mmmmhh
Chefu unaringa kama hunyii mjinga we mapozi ya nn mavitu yenyewe ya kuhongwa tu kubaya kwake ka roho yake ilivyo mbaya yanii una mdharau MTU kiasi hicho
Unaonaje ukituonyesha nawewe ulivohongwa mpz km n rahisi kiasi hicho???
Kumbe huyu kajala ndo anaringa hiv jaman du! Anajiharibu mtoto mzur hatakiw kuringa jaman
Shukran hzo vpppp mtu unamuuliza anajibu kama atak
Punguza malingo we kajalala kichwa Kama sufuria la kande kwa p fank
kajala maringo muachie tausi daah mpaka unaboa
Anajisikia sana sijapenda
Dada ana maisha mazuri Mungu amuweke
kwakwel umejitahid SNA dada yang mung akujalie uzidishiwe
Hongera.pazuri sana
nimeipenda kwa kweli
chefu kulinga uko VIP?uwe namalivip uendi Nazi kabulin wenzio awako ivo unavitu unalinga jeunge pewa uzuri ungetufanyaje maana sokwa poz izo atauwe tajili vipi uwez kuingia chooni nagali
acha wivu dada siku hazifanan maybe hayuko vzr
My favorite movie star
woooh. ...paradise
Anakosa uhuru kwa7babu nyumba ya kuazima
mashaAllah
wengine wanatembea bila viatu ww unaonesha viatu vya kumwaga hiyo sio stara ata mbele za mungu gawawia wenzio
mbona anaongea kama kalazimishwa?
I hate it.
Dream Latifah yaan anaongea lakini kama she doesn't want to... anaongea kama hataki anaongeleshwa anajiskiaaaa kujibu anajifikiria mara ajifanye hajaskia
Neema Mushi ninge kuwa me ndo namhoji wallah ninge ondoka
Hafsat Sadallah yaan anatabia mbaya me sijapenda kabisaaa anavyojiskiaa
Dream Latifah mi mwenyew naona hivo
Dream Latifah ni anaringa adi anaboa tu
Mashaallah kajala nakupenda
Kwhy unaona kwamba ukimjib mtangazaji vizur bila dharau uhaiutatoka au masifa yasiyo kuwa na maana
Mbona sio mkarim hata hakujali kabisa show haijachangamka kabisa
Sa c mtaji kabisa
Aringi bhana ck azifanani
kajala hajuagi kiringa mm nampendaaaaa
Amepanga vizuri
Nilivyomsoma sio dharau anaaibu
Kweli
kapatikana kweli lazma ajfanye yuko bize na cm kumbe anaona haya hajajmecup
Ww sio mecup ni make up mxuewww😂😂😂
maashaallah
Angekuwa na pesa angetunyanyasa sana hali hiyo anafanana tu na mmi😂😂😂
big up kajala
Hahahaaaaaa.... Alikua anaishigi chumba kimoja huyo sinza.😂😂😂 Amshukuru konde.... Hamo kafanya mambo ndo anaanza kujionyesha Duh!...
Wewe fala kweli....Hii video ya zamani sanaaaaaaaa....Kajala before Konde.Punguza kuropoka
Mungu azidi kuwaongoza ❤️❤️❤️❤️❤️
Ametishaa
Hongera sana kajala!
Duuu hizo dharau au nyumba sio yake nini? Lakin sishangai sana maana mwanamke huwa hakui akili za kitoto kabisa mpaka anatafuna huku akihojiwa?
Ama kweli maskini akipata...hulia mbwata duh!!
Mungu wangu nyumba nzuri kweli kweli
Hogera kajala👌👌👌👌