Mpaka Hom; Hapa Ndipo Anapoishi Mwigizaji Kajala Masanja

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 394

  • @extamwaijuni3199
    @extamwaijuni3199 Před 4 lety +28

    Ilaa ww mtangazaji unauvumilivuu duuuuh !!!! M2 Yuko bize bado tu unamdadisi🤣

  • @beatricephanuel5101
    @beatricephanuel5101 Před 6 lety +12

    cjapenda hana good cooperation

  • @mercywilfred4136
    @mercywilfred4136 Před 6 lety +67

    ivyo vitu kuna watu hawana Nguo wala viatu bora ugawe kuliko kujaza panya ndani kama umependa like ACH poz kajl kam hutakuf ivi

  • @pattitoshie410
    @pattitoshie410 Před 7 lety +17

    mashauzi classic! inabore

  • @aminaadalai280
    @aminaadalai280 Před 8 lety +17

    mashaa allah nyumba nzuri sana😍

    • @latifahusmail7316
      @latifahusmail7316 Před 7 lety

      Amina Adalai

    • @deboramwenda7639
      @deboramwenda7639 Před 6 lety

      dada naomba unitafute mi ni yule debora niliemlea paula naomba unitafute facebook andka debora mwenda utanikumbukatu nimetoka huko elfu mbili na kumi nimewamisi dada yangu naomba unitafute.

  • @saomobonsela9772
    @saomobonsela9772 Před 7 lety +12

    mashaa Allah nipazuri ume barikiwa dada mshukuru mola kwa hilo

  • @rehemarajabu2253
    @rehemarajabu2253 Před 6 lety +10

    kajal acha zarau we iyo sm yako au umeazim www

  • @SophieSpira
    @SophieSpira Před 3 lety +7

    This rich beautiful lady Kajala is so down to earth and shy. Be blessed zaidi. Love from Kenya.

  • @user-vw5pd3uu9o
    @user-vw5pd3uu9o Před 8 lety +17

    kajala amepika hatua nzir hongera Dada angu mungu aendelee kukuinua

  • @aminaadalai280
    @aminaadalai280 Před 8 lety +15

    mashaa allah nyumba nzuri hongera kajala😍

  • @tumainibihemo7755
    @tumainibihemo7755 Před 7 lety +45

    Hongela kwako pazuri unajitahidi sana, ila umeniboa sana jinsi unavyojiskia umekera sana, kuanzia Leo nimekushusha thamani.

  • @aminalasuli3550
    @aminalasuli3550 Před 7 lety +3

    hongera nyumba nzr na safi.Umejua kupangilia vitu hasa rangi

  • @martinenashon9800
    @martinenashon9800 Před 6 lety +10

    Acha ulimbukeni Ww, Tabia gani unasemeshwa Ww unaendelea kuchat!..

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 8 lety +13

    Hongera zake nimepapenda pako vizuri sana.

  • @wilkisteroduory913
    @wilkisteroduory913 Před 2 lety

    Congratulations mama Paula,watu hukutusi but umejitahidi big up from kenya

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 Před 7 lety +6

    woww nyumba yake nzuri

  • @iryncharlz3269
    @iryncharlz3269 Před 7 lety +12

    Mhhhh jaman sio kwa kujisikia huko

  • @suhailaali4175
    @suhailaali4175 Před 5 lety +7

    Kama hukuwa tayari kuhojiwa hatua ya mwanzo, baadae ndo kaonesha ushirikiano

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 Před 8 lety +6

    hongera my hata room ya Paula nice room

  • @remjimkweta106
    @remjimkweta106 Před 6 lety +12

    Ndio maana hatununui filam zenu yani unahojiwa unalinga au unajiona mzuri sana kama huendi chooni unaboa my sister

  • @mary5162
    @mary5162 Před 3 lety +1

    Nigupatiyr ushauri kuwa NA hakiri usiwe munyuma yakukoti njo ushauri wangu🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @jacklinemathewbicco1881
    @jacklinemathewbicco1881 Před 7 lety +36

    ninakupenda ila umeonesha huna nidham unajiskia

  • @emmazbouuuy8809
    @emmazbouuuy8809 Před 6 lety +24

    Usipende ku mraum mtu siku zimetofautiana naye ni binadamu kama ww kuna siku mbaya na njema so usiwe mwepesi ku jaji en unayetukana jeulize ww umefika wap mpaka asaivi yupo kwake uyo .... Ata kama mnasema sijui kaongwa ni vyakeee.... Uki panik nawe nenda kaongwe uwoni kama ni rahisi rahisi think like a man

  • @sheymahabdulwahidkhalid6355

    hongera sana kajara uko vizuli

  • @mushxwaggz5258
    @mushxwaggz5258 Před 7 lety +9

    mtu mwenyew mbona MADHARAU IVO?!!!! kaaa atak vile

  • @khadijahomar9139
    @khadijahomar9139 Před 7 lety +11

    kumbe anajeur sana.huyu komo kajala maana mtu anaongea.nae hata habr hana.anachezea sm tu.tabia mbya

    • @jaliavicent8912
      @jaliavicent8912 Před 6 lety

      jamani walimwengu acheni husda mbon mmemwandama mtt wa mwenzenu sio tabia nzuri kajala nakupenda sana dada angi

  • @saumusalimuhassan3041
    @saumusalimuhassan3041 Před 8 lety +8

    hongera sana kajala kwa kupiga hatua.

  • @ab3ab313
    @ab3ab313 Před 3 lety +2

    kajara nakupend bure💗💗💗💗na mung azidi kukusimamia

  • @happysummary1414
    @happysummary1414 Před 5 lety +6

    We unayesema anaringa kuwa na kwako pazuri kama apo na ww uringe mwenzio kajitahid hla Kwa sababu ya wivu mtesema anaringa nyooooooooo

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 3 lety +2

    Kajala unajisikia sana,mtanganzaji anaongea na wewe una muda ndio nini?

  • @roidatadey4599
    @roidatadey4599 Před 7 lety +10

    ongera sana rakini sio vizuli kuongea unavo jisikia

  • @mozaal-riyamy9009
    @mozaal-riyamy9009 Před 7 lety

    kajala am from.tanga dia naweza kukufyndisha mapishi mengiiiiiii ur.most welcome

  • @agnessjohn8404
    @agnessjohn8404 Před 6 lety +24

    Kama ni nyumba yako hongera kama umepanga shoga jitahidi ulipe kodi kwa wakati la sivyo yakakutokea puani hayo mashauzi siku ukishindwa kulipa kodi

  • @abdulqareemabdallah2579
    @abdulqareemabdallah2579 Před 3 lety +1

    Mtangazaj pole Sana haa mtu anahojiwa anazarau fyuuu aisee ningeondoka aisee Maan Sim ndio kanuna leo au shenzi typ. Mkiwa na intarv muwe nawek ushirikiano unajisikiya keki au udongo tu

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 Před 7 lety +1

    Hongera Sana kajara umejitaidi . kwako pazuri Sana.

  • @bonifacemollel4401
    @bonifacemollel4401 Před 5 lety +4

    Kajala umenikera mno wewe dada yaani unahojiwa alafu unajiskia kama huendi kaburini onasasa mtangazaji anapata anaona aibu hadi anatangaza vitu zako badala wewe ndio uonyeshe mashabiki,, naona kama hapo sio kwako bumbavu wewe GONGENI LIKE HAPA

  • @fridambwiliza190
    @fridambwiliza190 Před 4 lety +3

    Hongera sana kajala uwa nakupenda sanaaaaan

  • @bajjboy259
    @bajjboy259 Před 6 lety +3

    mtangazaj mwenyewe sasa!! bora Yule bro asiye badilishaga shati!!😂😂😂

  • @mossesmatechi9022
    @mossesmatechi9022 Před 6 lety +3

    #DADA KAJALA UMETISHAAA🙌🙌🙌

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 Před 2 lety

    Anaringa nini sasa kiboko yako🐘🐘🐘 tu ndo alikuweza yaani kuku wa kidhungu na yai lake 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃

  • @user-rb3gw3jd1o
    @user-rb3gw3jd1o Před 6 lety +2

    Daaaaaaah....umejaliwa

  • @latifahlondo6619
    @latifahlondo6619 Před 7 lety +1

    hongera my umejitahidi

  • @vickmiraji8845
    @vickmiraji8845 Před 7 lety +8

    Heshima na tabia nzuri muhimu sana

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 Před 2 lety

    Jamani na mupendag kajala from burundi❤❤❤👌

  • @happysummary1414
    @happysummary1414 Před 5 lety +1

    Love u Sanaa kajala umejitahid sanaaa mama

  • @salamaseif4183
    @salamaseif4183 Před 2 lety

    Ongera sana

  • @fredkulaya6381
    @fredkulaya6381 Před 6 lety +3

    hongera mmy

  • @agneskadzo9087
    @agneskadzo9087 Před 3 lety

    Beuthfull house Dada..Nakupendea natural hair

  • @maryamabdillahmohd9833
    @maryamabdillahmohd9833 Před 7 lety +2

    Nivizuri kua Na maisha yk mazuri nakupa big up

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 Před 2 lety

    Jamani namupendag kajala💕💕👌🇧🇮🇧🇮

  • @anetykalolo4942
    @anetykalolo4942 Před 7 lety +5

    mmmh me mwenyew kaniboa

  • @rahmakisabe2925
    @rahmakisabe2925 Před 5 lety +1

    Kuringa ni tabia ya mwanamke, mbaya kuwadharau wengine na kujiona bora kuliko wengine, hongera kajala

  • @sheilamjune1233
    @sheilamjune1233 Před 3 lety

    Masha Allah so beautiful dada ❤❤❤😘😘😘🔥🔥🙋‍♀️🇰🇪

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    NILIANGALIA KITAMBO ILANIMERUDI TENA VILE AMESHIKANA NA HARMONIZE KAJALA ANAPENDA HATABILA MA WIGI AU KUSONGWA🇨🇿

  • @darsinana2647
    @darsinana2647 Před 2 lety

    Hongera mma P .nakupenda sana uko mpole

  • @rahapaulina1451
    @rahapaulina1451 Před 7 lety +4

    pazuriii hongera

  • @nasramsami3410
    @nasramsami3410 Před 6 lety +4

    honger mamy uko vzr

  • @petersambaza.comvalerian
    @petersambaza.comvalerian Před 7 lety +5

    ama kweli kwenye delvokingdom kanumba hakukosea kupatia zlee sine

  • @shamsamalima6324
    @shamsamalima6324 Před 5 lety +1

    Linajiona sana linaojiwa lipo bze na cm

  • @shebysnuter3773
    @shebysnuter3773 Před 7 lety +49

    tabia mbaya unahojiwa afu uko busy na cm

  • @whitnessbenard1132
    @whitnessbenard1132 Před 7 lety +12

    Uyo kajala naon ajapend kuojiwa

  • @sifachristian9997
    @sifachristian9997 Před 3 lety +1

    Aibu kwa walio dhania kuwa kuachana na harmonize ndio mwisho wke mwaibike 😹😹😹😹😹

  • @akademkkz
    @akademkkz Před 7 lety +8

    respect zero aisee inakuaje una hojiwa ila kidole kipo kwenye simu tu...

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Před 2 lety

    Mazingira ni mazuri sn Hongera Kajala Masanja

  • @ericamyra1207
    @ericamyra1207 Před 7 lety +10

    kashtukizwa bila make up Ndo mana kajinunisha ..

  • @memisaphusseni7190
    @memisaphusseni7190 Před 5 lety +1

    Aki ya mungu..mbna wajishauwa ivyo mpaka kisunzi mmmmhh

  • @habibakhlifa8534
    @habibakhlifa8534 Před 7 lety +14

    Chefu unaringa kama hunyii mjinga we mapozi ya nn mavitu yenyewe ya kuhongwa tu kubaya kwake ka roho yake ilivyo mbaya yanii una mdharau MTU kiasi hicho

    • @claudialupimo4468
      @claudialupimo4468 Před 5 lety +1

      Unaonaje ukituonyesha nawewe ulivohongwa mpz km n rahisi kiasi hicho???

  • @salmahassan617
    @salmahassan617 Před 5 lety +1

    Kumbe huyu kajala ndo anaringa hiv jaman du! Anajiharibu mtoto mzur hatakiw kuringa jaman

  • @teddymeela2791
    @teddymeela2791 Před 5 lety

    Shukran hzo vpppp mtu unamuuliza anajibu kama atak

  • @editherkigabo9541
    @editherkigabo9541 Před 2 lety

    Punguza malingo we kajalala kichwa Kama sufuria la kande kwa p fank

  • @jasminebaibe7355
    @jasminebaibe7355 Před 6 lety +21

    kajala maringo muachie tausi daah mpaka unaboa

  • @pendoathuman1662
    @pendoathuman1662 Před 3 lety +2

    Dada ana maisha mazuri Mungu amuweke

  • @rahapaulina1451
    @rahapaulina1451 Před 7 lety +4

    kwakwel umejitahid SNA dada yang mung akujalie uzidishiwe

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před 2 lety

    Hongera.pazuri sana

  • @salmamwinyi2924
    @salmamwinyi2924 Před 7 lety +3

    nimeipenda kwa kweli

  • @jackrinejacksone1542
    @jackrinejacksone1542 Před 5 lety +6

    chefu kulinga uko VIP?uwe namalivip uendi Nazi kabulin wenzio awako ivo unavitu unalinga jeunge pewa uzuri ungetufanyaje maana sokwa poz izo atauwe tajili vipi uwez kuingia chooni nagali

    • @adijaally3208
      @adijaally3208 Před 3 lety

      acha wivu dada siku hazifanan maybe hayuko vzr

  • @kevinbarasa9852
    @kevinbarasa9852 Před 2 lety

    My favorite movie star

  • @brigidmua9558
    @brigidmua9558 Před 7 lety +1

    woooh. ...paradise

  • @sofiamavita8379
    @sofiamavita8379 Před 7 lety +2

    mashaAllah

  • @elizabethmwandoe2426
    @elizabethmwandoe2426 Před 4 lety +2

    wengine wanatembea bila viatu ww unaonesha viatu vya kumwaga hiyo sio stara ata mbele za mungu gawawia wenzio

  • @tanzanianqueen384
    @tanzanianqueen384 Před 7 lety +80

    mbona anaongea kama kalazimishwa?
    I hate it.

    • @neemamushi3710
      @neemamushi3710 Před 7 lety +2

      Dream Latifah yaan anaongea lakini kama she doesn't want to... anaongea kama hataki anaongeleshwa anajiskiaaaa kujibu anajifikiria mara ajifanye hajaskia

    • @cutebaby7448
      @cutebaby7448 Před 7 lety +1

      Neema Mushi ninge kuwa me ndo namhoji wallah ninge ondoka

    • @neemamushi3710
      @neemamushi3710 Před 7 lety +1

      Hafsat Sadallah yaan anatabia mbaya me sijapenda kabisaaa anavyojiskiaa

    • @samwelamosmusambwa9302
      @samwelamosmusambwa9302 Před 7 lety

      Dream Latifah mi mwenyew naona hivo

    • @giftmwinyi2680
      @giftmwinyi2680 Před 7 lety +5

      Dream Latifah ni anaringa adi anaboa tu

  • @halimashaha8442
    @halimashaha8442 Před 4 lety +1

    Mashaallah kajala nakupenda

  • @nicholausmweri3115
    @nicholausmweri3115 Před 4 lety +1

    Kwhy unaona kwamba ukimjib mtangazaji vizur bila dharau uhaiutatoka au masifa yasiyo kuwa na maana

  • @mwajumakitoro8582
    @mwajumakitoro8582 Před 5 lety +1

    Mbona sio mkarim hata hakujali kabisa show haijachangamka kabisa

  • @estermassawe1687
    @estermassawe1687 Před 2 lety

    Sa c mtaji kabisa

  • @tumpemahali7821
    @tumpemahali7821 Před 5 lety

    Aringi bhana ck azifanani

  • @maureenmollel3394
    @maureenmollel3394 Před 5 lety +2

    kajala hajuagi kiringa mm nampendaaaaa

  • @alvismumkaranja3360
    @alvismumkaranja3360 Před 6 lety +2

    Amepanga vizuri

  • @aminaalli2287
    @aminaalli2287 Před 3 lety +1

    Nilivyomsoma sio dharau anaaibu

  • @saidasaid5855
    @saidasaid5855 Před 5 lety +3

    kapatikana kweli lazma ajfanye yuko bize na cm kumbe anaona haya hajajmecup

  • @missmuunasharifu2323
    @missmuunasharifu2323 Před 8 lety +2

    maashaallah

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 Před 3 lety

    Angekuwa na pesa angetunyanyasa sana hali hiyo anafanana tu na mmi😂😂😂

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 Před 7 lety +3

    big up kajala

  • @shellymuro2317
    @shellymuro2317 Před 3 lety +1

    Hahahaaaaaa.... Alikua anaishigi chumba kimoja huyo sinza.😂😂😂 Amshukuru konde.... Hamo kafanya mambo ndo anaanza kujionyesha Duh!...

    • @queenandchill91
      @queenandchill91 Před 2 lety

      Wewe fala kweli....Hii video ya zamani sanaaaaaaaa....Kajala before Konde.Punguza kuropoka

  • @adelakingalu4653
    @adelakingalu4653 Před 2 lety

    Mungu azidi kuwaongoza ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 Před 2 lety

    Ametishaa

  • @solomoname4431
    @solomoname4431 Před 5 lety +2

    Hongera sana kajala!

  • @jastinesamboto4674
    @jastinesamboto4674 Před 6 lety +6

    Duuu hizo dharau au nyumba sio yake nini? Lakin sishangai sana maana mwanamke huwa hakui akili za kitoto kabisa mpaka anatafuna huku akihojiwa?

  • @user-fx9ty6ni7i
    @user-fx9ty6ni7i Před 6 lety +1

    Ama kweli maskini akipata...hulia mbwata duh!!

  • @rosejoely4518
    @rosejoely4518 Před 3 lety +1

    Hogera kajala👌👌👌👌