RAYVANNY Afanya KUFURU, BIRTHDAY ya PAULA, AMMWAGIA MIHELA Mbele ya MAMA YAKE...
Vložit
- čas přidán 14. 07. 2021
- RAYVANNY Afanya KUFURU, BIRTHDAY ya PAULA, AMMWAGIA MIHELA Mbele ya MAMA YAKE...
MTOTO wa muigizaji Kajala na prodyuza P Funk Majani, Paula, usiku wa leo Julai 15, amefanya sherehe ya kuzaliwa huko Masaki na imehudhuriwa na watu wachache akiwemo mwanamuziki Rayvanny, ambaye inadaiwa ni mpenzi wake.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Zábava
Thank you so weet rayvanny
Dada.kajala.hongera.kwa.kuzaa.mrembo.kama.wewe...mmependeza.sana.naomba.mungu.rayvani.afunge.ndoa.na.Paula.amina
Daa Paula kwa kuhug nakupa Big up. Unajua sanaa kuhug 🥰❤ isiwe maigizo mpendane kweli kweli. Wabaya waulizane.
Poleee sana fahima umebadilisha dini umejiaminisha hawez kupinduwa kwako kafika. Kumbe alikuwa anapita hajafika. Utulivu rudi kwenye dini yako ulee mtoto wako.
Kisa mume kabadili Mpka Dini! Nabado zaitwaaa laaanah.....hilo n lingine kumpata mpaka atakapo rudi kwa mola wake
@@maryambakari4934 ,
Mapenzi matamu❤️❤️, Vanny boy mtoto mzuri
Rayvanny looks nice dressed in white....even at Elizabeth Michael's birthday party he was dressed in white 👌
Jamani huyu mtoto!! Hata aibu hamna !! Umekua mamaangu. Lakini chunga saaana. Hata wengine walipendwaga hivyo hivyo.
Ameskia kwel kwan Nana na fahma hawakuwa na nn?
Mama na mtoto wote niwavunja
Mahusiano ya watu
Chui 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌 ckilupngi bloody
Acheni wale maisha, hakuna mwanamke asopenda pesa Paula, usisikie hii mitandao ponda maraha, hata huku mtaani mabinti wameshindikana vile vile na wengine wanakutupia maneno huyu Wana mitoto inachukua Hadi waume zawatu.Kula rahaaaaa! Una bahati mtoto huyo wako deka mamae!
Hatari sana
Khaaaaaaa 🙌🙌🙌
Raha sanaa
Duniaaa hiiii Mungu atusimamie sisi wazazi
Duh! Limama nalo lilivyova! Huyo paula atakavyokuja kuwa bonge ngoja ajichezeshe tu.
Sasa hamisa kosa lake Lili simama wap hapo jaman mbona mambo mushikide
Wanasema kajara hakubaligi kosa huona anaonewa tu mavi yake huyu mama
2030 Enshallah i will play this video
Utasubiri sana
Fimbo inayo mpiga mke mwenzio... Tupa nyuma ya upango😪😪😪ukii acha ndani kesho itakupiga na wewe🙋
Kabisa
jamani mwanaume akiacha haruhusiwi kupenda tena
Haswaa
🔥🔥🔥🔥🔥
Hela ndiyo kila kitu huyo rayvany angekuwa hana pesa huyo bint asingeenda kwake shikamoo pesa wameenda mpka namama yake🤣🤣🤣
Ukitaka heshima tafuta pesa ukitaka vitu vzr lazima uwe na pesa ukitaka kila mtu akuone huna akili kosa pesa ndugu ndio utajuwa
kinachokuhusu Nini maisha Yao hao
Chuiii nexti levo
Honger paula
Brother rayvani umeacha mwamke mzuri sana mrembo nashangaa umebeba kiporo cha juzi mrembo wako nimzuri San
Obvious hapo ni kutoa na kuondoka
❤❤❤🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Mmependeza sana mpaka naona wivu😍😍
Wamependezana kwel nawapenda sana
Watazamaji tupo tu hapa wamependeza
Jibebishe mama huu ni wakati wako na Kila mutu anakula kwa ulefu wa kamba yake usiogope mishale ya watu ziba masikio ikisha chapa mwendo Nakupenda sana
Niulize tu wakiachana kwa mfano watalia Instagram ama kwa choo kajala kuleni hzo pesa za rayvany ndyo msitoke bure😂😂😂😂
🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅😅😅
Rayvan pesa yake ndiyo inaliwa hivyo hiyo part kaandaa mwenyewe Rayvn,hiyo studio itatoboa kweli?hela iliwe na mama na mtt pia
Duuu nimejaribu kukaa nafasi ya fahma moyo unauma ila hakuna jambo lisilokuwa na mwisho
😂😂😂😂😂😂😂 leo ni furaa kesho mtaliya 😂😂😂😂😂😂😂
Hawa
Kabisa yale yale ya queen darlin na sabra yako wapi sasa
Kwani huyo fahma yy ameolewa au njoo nenda tu
@@shemsaomar2785 njoo nenda wasaf wanaowaga
Mmmmh
Seigneur aide cette enfant prcq tu es encore bb
ALIYEACHA DINI KWA WANAUME YUPO WAPI NA BADO UTATIA AKILI MWANGA WEWE
Kabisa ety kaacha dini yake ya uislamu
Arudi tu kwny dini yake
By the way this is her punishment l also think so. Balaah kubwa
NA BADO LAANA YA KUACHA DINI YAKE MWENYEENZI MUNGU ANAMCHAPA HAPA HAPA ,SASA AJIFUNZE
Tafuta pesa bro,hacha kuangalia pesa za wanaume wenzako,nenda Sasa hivi katafute.,hacha ujinga
Mmh kama kumi na tisa! yupo hivi ikifika ishirini na mbili atakuwaje? 😨😨
Sio kumi na tisa ni kumi na saba.😂😂😂 mtu mzima mtoto uyo
Pale Pesa inapopata MPENZI 😁
Laanatu llah alayhi looh
Kazi ipo
🇸🇪❤
Wazazi usikute mkoa hela ya kununua Sukari hawana wewe unatupa hela kwa Mwizi huku
Lovely mnaendana sana
Mnapendez
Nakupali sana hadi raha pamesemwa mengi sana Allah awazidishie mapenzi yenu
🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️😀😀😀
Jaman rayvan ww napaula mtaurudiana tu
Vanny boy
Khaaa macho yangu mimi 👀👀👀👀👀
Hii hela itatufikisha wapi?
Uyo mwanafunzi jamani mwacheni ndio majibu yetu sisi waungwana
aka kumbe jambo lipo🤔
Weweee pambe tuu
Majuto huja badaye
Sasa Hamisa alishitakiwa wa nn?
Umeona eeeh Kajala mshenzi sana yule mama
Hapo sasa
mmh
Hatuwezi kujua ss sili wananijua wao je Kama kasha poswa hebu tunyamaze tuone upepo unavuma wapi tusikaumu tu
Hamna filter apo tizama yale magoti😂😂😂😂
Shepu iko wapi leo hapo upo live hahahahaha
Mambo
Raha ziendeleye kwao
Daaaah inasikitisha Sana wenyewe wanaona Kama wanamkomoa harmonize kumbe wanaharibikiwa kaaah et anataka kurubishwa chuo
Mdumu basi jamani
Haoi wameshazoe kuchezea Vito to vya watu take care totorito
Anammwagia hela kama mbuzi wa kafara aisee..., movie za kinaijeria
Nakumbuka Fahma aliimbiwaga siri ya nini.....
Hahahaha ❤️
Pesa za fayma
Hatali tamba Paula
Hivihawatu jamni wapowotekimapenzi kweli au nihizokikitu?nakqmanikweli basi faima ananyooka kweli napia siyopoa anachokifa raivan faima nimzazi mwenzako haitakiwi kufanya uyafanyayo
Jamani umevunja ndoa ya mwenzio na wewe van fy van ulichomfanyia mungu yupo
Hahaha 🤣🤣 mtoto na make ana haibu ata
Nina mimba ya rayvanny
Hayayot nimaisha hakunachenyemwanzo kikaksamwisho Eemungu tuurumiesswtotowako
Mama atatuambiia nn tena maana kesha tufanya mazuzu
Kula rahaa mama wakati wako
Mama na mwanae hawan haya
Mama ndio wakuokota pesa 🤣🤣🤣🤣
Mkiiachana mposti pia tuone
Fahima usijalie rav niwako.atatumiwa tu
Duuh
makubw hay
Do
Mama yako anapigwa na narudi mbeya hata ungemnunulia hiter....🙄
hahah
Km ningekua namanati lazma ningelala lokapu
Mama yake ndo Hana akil kabisa kalea mtoto kipumbavu
Mmmmmh 🙄🙄
Natowa machozi kwa furaha
Wapige nao wote mama na mwana kama chinga boy alivyo wakanyaga nao
Ndugu abiria langu jicho 🤣
🤣🤣
Mtasema yote
Nanukuu japo kidogo tu maana mambo ni mengi muda ni mchache ,serikali naomba inisaidie ilikuwa siku nimesahau hyio siku hamisa alikuja kunchukuwa mwanangu akadai wanatoka lanchi walivyofika huko wakamywesha mwanangu pombe kisha wakamlikodi vidio chafu jamani nanukuu mkato mkato tatizo mb ,haya leo imekuwaje na jamii itakuchukuliaje maana wengine tuliamini kweli hamisa Haya tena mhmh jamani tusitukane mamba kabla ya kuvuka mto 😂,kajala huna uwaminifu tena hata kama ukija midia kuongea ukweli sie tutakuona muongo asaivi ukiwa na linalokusibu bora ulitatuwe huko huko kwako lakini sio kuja kutia huruma kwa mitandao nisaidini nisaidieni ,haya sasa kwa haya unafikili utakuja kusaidiwa nini yakitokea mengine maana tutakuona ni muongo
Hujamwambia poa naomba urudie mara ya pili ndo imuingie vizuri
Kunayatima wanataka msaada bwege ww
Haaaaa 😃 19 year old mudogo sana bado! Sio wa ndoa niwa showbiz
😂😂 ww ndo umejua chakuongea
Chunga usiwachwe aibu utapata jikaze